MUSIBA AFUNGUKA MAOVU YA MAKAMBA,KINANA NA NAPE/WANATAKA KUNIUA/KUNA GARI INANIFUATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 734

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад +31

    Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi Месяц назад +8

    Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .

  • @georgeerick3140
    @georgeerick3140 5 лет назад +44

    ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.

    • @titorazalo2546
      @titorazalo2546 2 года назад +3

      Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.

    • @czmediaconsultant5640
      @czmediaconsultant5640 Год назад +1

      @@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go Месяц назад

      Hongera bro Musiba

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go Месяц назад +1

      Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe

    • @JosephmwitaJosephmwita
      @JosephmwitaJosephmwita 21 день назад

      Muunge mkono mwenyewe huyu msiba ni mhuni,,huyu huyu si ndo alikuwa akiwatukana watz wenzake kwakiburi kutoka kwa magufuli,,

  • @aliceannasepan9644
    @aliceannasepan9644 Год назад +8

    Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 11 месяцев назад +9

    Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika

  • @KafumuBoniphace
    @KafumuBoniphace Месяц назад +6

    Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m Месяц назад +2

    Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 5 лет назад +15

    Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +10

    Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe

  • @saidmalata5154
    @saidmalata5154 2 года назад +2

    Pole sana musiba kwakukosa check and balance
    Hujafa hujaumbika
    Sasa ujifunze kwa kiherehere chako
    Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana

  • @robinchristian3125
    @robinchristian3125 5 лет назад +5

    Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri
    wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.

  • @AdamuChayupa
    @AdamuChayupa Месяц назад +1

    Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei7136 5 лет назад +9

    uko vizuri,tupe ukwel

  • @sadickmkanda4531
    @sadickmkanda4531 5 лет назад +15

    Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.

  • @sanyengekiyumbageita9107
    @sanyengekiyumbageita9107 5 лет назад +5

    Upo sawa bro

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 3 года назад +5

    Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii

  • @luttumohamedfafara9630
    @luttumohamedfafara9630 5 лет назад +15

    Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.

  • @MustafaOmach
    @MustafaOmach Месяц назад +5

    Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia

  • @kenanmakere5325
    @kenanmakere5325 2 года назад +4

    Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀

  • @princepiusmutaihwa9606
    @princepiusmutaihwa9606 5 лет назад +55

    Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM

    • @mo-linehabari9569
      @mo-linehabari9569 5 лет назад +2

      Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa

    • @latlailat274
      @latlailat274 5 лет назад

      yap

    • @davidraulence305
      @davidraulence305 5 лет назад

      Mmh haya bhana

    • @mosaymophosa9567
      @mosaymophosa9567 5 лет назад +2

      my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 года назад +2

      Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.

  • @chrisantgeorge3677
    @chrisantgeorge3677 5 лет назад +14

    Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv Месяц назад +4

    bgap sana wambie

  • @getrudangoto6742
    @getrudangoto6742 2 года назад +5

    Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o Месяц назад +1

    Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.

  • @kuryangamakesenimakeseni2611
    @kuryangamakesenimakeseni2611 5 лет назад +30

    Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!

  • @isaacsanga6171
    @isaacsanga6171 Месяц назад +1

    Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA

  • @DrSuleman-r1d
    @DrSuleman-r1d Месяц назад +2

    Uko vizur

  • @listerelieza56
    @listerelieza56 3 года назад +3

    Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 5 лет назад +10

    Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 5 лет назад +14

    Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa

  • @augustinonestorysasi3683
    @augustinonestorysasi3683 Год назад +4

    Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!

  • @mo-linehabari9569
    @mo-linehabari9569 5 лет назад +25

    Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.

  • @jacksonedward201
    @jacksonedward201 5 лет назад +10

    Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee

  • @leonardmfikwa78
    @leonardmfikwa78 Месяц назад

    Mr msiba this country msiba mungu akakulinde

  • @MwanahawaMusa
    @MwanahawaMusa Месяц назад

    Asante sana baba

  • @nestor384
    @nestor384 5 лет назад +15

    Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao..
    shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM

    • @ramadhanaldawiyya8659
      @ramadhanaldawiyya8659 5 лет назад

      Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.

    • @ramadhanaldawiyya8659
      @ramadhanaldawiyya8659 5 лет назад +1

      "Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR

    • @edithazmwasanga7091
      @edithazmwasanga7091 5 лет назад

      Nestroy Buyungu Ndugu tureze

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Месяц назад +1

    Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад +2

    Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Месяц назад

      Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?

  • @mkushioriginalsillo5074
    @mkushioriginalsillo5074 Месяц назад +1

    Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm

  • @user-do5mp8zl1v
    @user-do5mp8zl1v Месяц назад +1

    Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu

  • @peninamafuru9638
    @peninamafuru9638 2 года назад

    Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад +2

    Huyu Mzee makamba ndiye aliyesema wenye dhambi wanakufa mapema.

  • @GraceGaudent
    @GraceGaudent Месяц назад +2

    Ao ndo wanao sababisha tanzania tunaishi maskin

  • @yasinshaban4933
    @yasinshaban4933 5 лет назад +15

    Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂
    Hapo veeepeee

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 2 года назад

    Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma

  • @massawejose3594
    @massawejose3594 5 лет назад +4

    Sema kak

  • @sosasoda567
    @sosasoda567 5 лет назад +16

    Wape wape Baba Musiba...

  • @zenj1986
    @zenj1986 5 лет назад +7

    Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.

  • @user-fw3jq3ff5s
    @user-fw3jq3ff5s Месяц назад +1

    Wakichunguzana humo ndani hakuna atakae Baki salama

  • @gwaujuma2531
    @gwaujuma2531 5 лет назад +7

    Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад +1

    Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 26 дней назад

    Tu aomba mhe.utusaidie hili swala la bandari ila Tanzania tuna watu wenye akili sana hongera kijana wangu

  • @papafikiri
    @papafikiri 5 лет назад +10

    Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????

  • @mbarakafitina8255
    @mbarakafitina8255 5 лет назад +9

    No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.

  • @IdrisaHoza
    @IdrisaHoza 20 дней назад

    Nihatari sana duh

  • @anethlukuna1474
    @anethlukuna1474 3 года назад

    Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa

  • @athumanimpenza5657
    @athumanimpenza5657 Месяц назад +1

    Huyu jamaa naye mzushi yeye naye ni mtanzania si angeenda mahakani akawashtaki, anaongea amekosa mgao tu huyo wote ni walewale tu

  • @sambiaj
    @sambiaj 5 лет назад +5

    Jamaa ana hoja nzuri sana

  • @rehemamlowe1464
    @rehemamlowe1464 2 года назад

    Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv521 5 лет назад +4

    bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 5 лет назад +8

    Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa

  • @albertnshunju4172
    @albertnshunju4172 5 лет назад +13

    Ubarikiwe sana kaka.

  • @JoyceWaisai
    @JoyceWaisai Месяц назад

    Maji bu yanayohusu aliko RC Mako nda yanatia mashaka

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv Месяц назад +3

    weweugana namakonda muikoboe hii nchi

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 2 года назад +1

    Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine

  • @user-xn5yv6yg8g
    @user-xn5yv6yg8g Год назад +1

    Kweli bwana

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 5 лет назад +8

    😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 Месяц назад +1

    Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Месяц назад

    Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii

  • @tafaqurtvtz7669
    @tafaqurtvtz7669 3 года назад +1

    Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera

  • @WilliamSamwel-vh5op
    @WilliamSamwel-vh5op Месяц назад

    Safi sana mwana harakati

  • @philibertlwiwa297
    @philibertlwiwa297 3 года назад

    Mkuu tuambieee Ss yotehayo tulikuwa hatuyajui😇😇😇😇

  • @irenevedastombamanyile7615
    @irenevedastombamanyile7615 5 лет назад +2

    safi sana Msiba we we sema sisi tunakuombea

    • @bmctz1729
      @bmctz1729 3 года назад

      Umejipendekeza mwenzio kakuacha, tusimtegemee mwanadamu tukawatukana watu.

    • @francohaule8057
      @francohaule8057 2 года назад

      Mbona Sasa umenyamaza Kama hukutumwa

    • @francohaule8057
      @francohaule8057 2 года назад

      Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo

    • @francohaule8057
      @francohaule8057 2 года назад

      Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo

  • @saidymtenda9777
    @saidymtenda9777 5 лет назад +5

    Duh mungu wangu!!

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 2 года назад

    Asant kwakutetea taifa mungu akulinde

  • @sosasoda567
    @sosasoda567 5 лет назад +7

    Hongera bwana Musiba.
    Keep it up

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 2 года назад

    Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani

  • @kidodosimichael349
    @kidodosimichael349 5 лет назад +5

    Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄
    Kazi kweli kweli!!!

  • @abdallabashili2295
    @abdallabashili2295 2 года назад

    Mungu akusaidie

  • @MussaHassani-q8b
    @MussaHassani-q8b 17 дней назад

    Kk kk unanikosh daa sema sikuanza kukuelewa Leo tuka umeanza namungu ataukulinda na duwa zetu

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 2 года назад

    Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life

  • @michaelmakenzi908
    @michaelmakenzi908 5 лет назад +5

    Safi sana musiba

  • @upgo6112
    @upgo6112 5 лет назад +7

    Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu

    • @emilianimalala9306
      @emilianimalala9306 5 лет назад +1

      Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime

    • @mashakaemmanuel7147
      @mashakaemmanuel7147 3 года назад

      Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?

  • @florameza9529
    @florameza9529 5 лет назад +3

    Mmmhhh nchi ililiwa kweli Rais amefanyakazi hebu jibuni hoja hizi so painful

  • @frankmsasa948
    @frankmsasa948 3 года назад

    Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад

    Mwanangu Tanzania hii watu hawataki ukweli mungu amlaze pema peponi Rais magufuli amina

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Месяц назад

    Tuamke Watz tuache wogaaaw

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 5 лет назад +7

    mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa

  • @sara3stephy195
    @sara3stephy195 3 года назад

    Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia

  • @martinyakobo7355
    @martinyakobo7355 2 года назад +1

    Ukweri ubaki ukweri

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin4741 2 года назад

    Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +1

    Ahsante mungu atakusaidia sana mbona sasa hivi simu zote zinasikilizwa

  • @raji3432
    @raji3432 5 лет назад +10

    Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 4 года назад

      Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu

    • @kabongebugwigwi300
      @kabongebugwigwi300 4 года назад

      Nate Hugo ameanza zake

  • @sululungasa3849
    @sululungasa3849 2 года назад

    upo sahihisana kiongozii 👍

  • @johnphatmgaza3816
    @johnphatmgaza3816 3 года назад +1

    Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri

  • @emmanuelkahangamabula6527
    @emmanuelkahangamabula6527 29 дней назад

    Sio walitaka kuifanya kichaka Cha wezi Inchi hii ni kichaka Cha majambazi na wauwaji wakubwa Hayo unayoyasema yote yamerudi Kama zamani wote wamerudi kwenye kichaka chao

  • @bulunjumjuli9572
    @bulunjumjuli9572 2 года назад

    Angalia

  • @nasibumzava4948
    @nasibumzava4948 2 года назад +1

    Ukweli unawaumiza

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 Месяц назад

    Umeanza tena

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv Месяц назад +1

    ukweli utaonekanatu mkuu tuko Yuma yako mikataba ya kuagamiza nchi