ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema
Sio walitaka kuifanya kichaka Cha wezi Inchi hii ni kichaka Cha majambazi na wauwaji wakubwa Hayo unayoyasema yote yamerudi Kama zamani wote wamerudi kwenye kichaka chao
Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania
Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
Hongera bro Musiba
Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe
Muunge mkono mwenyewe huyu msiba ni mhuni,,huyu huyu si ndo alikuwa akiwatukana watz wenzake kwakiburi kutoka kwa magufuli,,
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.
Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
Pole sana musiba kwakukosa check and balance
Hujafa hujaumbika
Sasa ujifunze kwa kiherehere chako
Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri
wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
hihuqq
Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa
uko vizuri,tupe ukwel
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
wajinga tu ndio wanaojifanya kumuelewa
Upo sawa bro
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
yap
Mmh haya bhana
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
bgap sana wambie
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
Uko vizur
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
Yuko wapi sasa
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
Keep it up Musiba
@@ipyanamwakabana858 pp
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
Mr msiba this country msiba mungu akakulinde
Asante sana baba
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao..
shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm
Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
Huyu Mzee makamba ndiye aliyesema wenye dhambi wanakufa mapema.
Ao ndo wanao sababisha tanzania tunaishi maskin
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂
Hapo veeepeee
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
Sema kak
Wape wape Baba Musiba...
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
Wakichunguzana humo ndani hakuna atakae Baki salama
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
Unajiskiaj na hali
Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu
Tu aomba mhe.utusaidie hili swala la bandari ila Tanzania tuna watu wenye akili sana hongera kijana wangu
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
Nihatari sana duh
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
Huyu jamaa naye mzushi yeye naye ni mtanzania si angeenda mahakani akawashtaki, anaongea amekosa mgao tu huyo wote ni walewale tu
Jamaa ana hoja nzuri sana
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa
Ubarikiwe sana kaka.
Maji bu yanayohusu aliko RC Mako nda yanatia mashaka
weweugana namakonda muikoboe hii nchi
Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine
Kweli bwana
😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...
Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema
Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
Safi sana mwana harakati
Mkuu tuambieee Ss yotehayo tulikuwa hatuyajui😇😇😇😇
safi sana Msiba we we sema sisi tunakuombea
Umejipendekeza mwenzio kakuacha, tusimtegemee mwanadamu tukawatukana watu.
Mbona Sasa umenyamaza Kama hukutumwa
Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo
Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo
Duh mungu wangu!!
Nani aliuza nyumba za msaki
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
Hongera bwana Musiba.
Keep it up
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄
Kazi kweli kweli!!!
Mungu akusaidie
Kk kk unanikosh daa sema sikuanza kukuelewa Leo tuka umeanza namungu ataukulinda na duwa zetu
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
Safi sana musiba
Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu
Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime
Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?
Mmmhhh nchi ililiwa kweli Rais amefanyakazi hebu jibuni hoja hizi so painful
Ahsante mama
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
Mwanangu Tanzania hii watu hawataki ukweli mungu amlaze pema peponi Rais magufuli amina
Tuamke Watz tuache wogaaaw
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia
Ukweri ubaki ukweri
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
Ahsante mungu atakusaidia sana mbona sasa hivi simu zote zinasikilizwa
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
Nate Hugo ameanza zake
upo sahihisana kiongozii 👍
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
Sio walitaka kuifanya kichaka Cha wezi Inchi hii ni kichaka Cha majambazi na wauwaji wakubwa Hayo unayoyasema yote yamerudi Kama zamani wote wamerudi kwenye kichaka chao
Angalia
Ukweli unawaumiza
Umeanza tena
ukweli utaonekanatu mkuu tuko Yuma yako mikataba ya kuagamiza nchi