RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali

Комментарии • 582

  • @MarryLinors-hj7jb
    @MarryLinors-hj7jb Год назад +14

    Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil

  • @givenjackson5449
    @givenjackson5449 Год назад +37

    Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 11 месяцев назад +12

    Alikuwa mwenzetu, mungu amemkuchua, tunaomba mungu type mwingine mbora zaidi atimize kazi Yako,

    • @jacksonkabaata6011
      @jacksonkabaata6011 7 месяцев назад +1

      Anakuja Amin tu

    • @Theloopmenu
      @Theloopmenu 3 месяца назад +2

      Mwenzetu😢😢😢

    • @BabaLucy
      @BabaLucy 24 дня назад

      makonda

    • @AthmanHamis
      @AthmanHamis 4 дня назад

      By after by XD XD XD XD
      BBlog😊​oikk😊😅@@jacksonkabaata6011

  • @msafirinampya8986
    @msafirinampya8986 Год назад +27

    Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi

  • @maramegamahega1991
    @maramegamahega1991 Год назад +72

    Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane

  • @YousuphstevenDaniely
    @YousuphstevenDaniely 8 месяцев назад +26

    Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh

  • @stephanojames2935
    @stephanojames2935 Год назад +23

    Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon

  • @gastoenock3020
    @gastoenock3020 10 месяцев назад +15

    Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina

  • @giftladis
    @giftladis 8 месяцев назад +28

    Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭

  • @kaburamechack4071
    @kaburamechack4071 Год назад +12

    Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏

  • @grease7635
    @grease7635 Год назад +8

    Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.

  • @olivasumundi9227
    @olivasumundi9227 Год назад +10

    Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President

  • @TunzaFikiri
    @TunzaFikiri День назад +1

    African we need people like this one

  • @mourinhonyamkekwa3568
    @mourinhonyamkekwa3568 Год назад +15

    Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu

    • @LucyNtambi
      @LucyNtambi 4 месяца назад

      Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 лет назад +16

    Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 Год назад +12

    Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯

  • @abubakarmwita6974
    @abubakarmwita6974 Год назад +6

    Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako

  • @ombababrian
    @ombababrian Год назад +4

    So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 Год назад +14

    Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 5 лет назад +16

    Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President

  • @FahdMbwego
    @FahdMbwego Год назад +15

    Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa

  • @MeshackMarwakihengu
    @MeshackMarwakihengu 5 месяцев назад +7

    Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli

  • @neemagabrieli-ff4mq
    @neemagabrieli-ff4mq Год назад +6

    Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo

  • @JumanneAbdallah-vp3vk
    @JumanneAbdallah-vp3vk Год назад +4

    MUNGU akubaliki

  • @mkangyailutashaggy7207
    @mkangyailutashaggy7207 Год назад +5

    Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Год назад +7

    Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako

  • @japhetmalahuleokilangi9872
    @japhetmalahuleokilangi9872 5 лет назад +20

    Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe

  • @issabella1455
    @issabella1455 Год назад +2

    Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi

  • @JohnNjengaCOCO
    @JohnNjengaCOCO 5 лет назад +10

    Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.

  • @stevenbupamba4161
    @stevenbupamba4161 9 месяцев назад +2

    Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 5 лет назад +6

    Umenigusa sana Rais JPM.
    Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao.
    Barikiwe sana Rais wetu

  • @Kakaduma
    @Kakaduma Месяц назад +2

    Tunakukumbuka Baba Makufuli

  • @akilimalilisholukazige
    @akilimalilisholukazige 5 месяцев назад +4

    mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.

  • @joelmusyimi2565
    @joelmusyimi2565 10 месяцев назад +1

    Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu

  • @bettymapesa34
    @bettymapesa34 Год назад +3

    Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele

  • @wigoxfashionkiller8675
    @wigoxfashionkiller8675 7 месяцев назад +3

    Rest in peace kiongozi wetyu

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Год назад +9

    MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA

  • @safari5774
    @safari5774 Год назад +8

    We will never forget you

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Год назад +5

    Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip

  • @kidrajuma4092
    @kidrajuma4092 Год назад +7

    wema awana maisha cku zote

  • @IddiJumanne-po2pp
    @IddiJumanne-po2pp Год назад +4

    Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen

  • @hajiame583
    @hajiame583 9 дней назад +1

    Leo tareh 5/10/2024

  • @kellennehemiah2534
    @kellennehemiah2534 5 лет назад +10

    Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe

  • @KelvinNassary-ld5yg
    @KelvinNassary-ld5yg Год назад +11

    A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭

  • @giftkitua9712
    @giftkitua9712 Год назад +3

    No one like you baba😢😢

  • @fadhilikaphizi7772
    @fadhilikaphizi7772 2 года назад +7

    Pumzika Kwa amani Mzee wetu

  • @julaimalidadi6394
    @julaimalidadi6394 Год назад +10

    Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi

  • @MwanaharusiJumanne
    @MwanaharusiJumanne 6 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 5 лет назад +18

    Nimejikuta naliatu kiukweli

  • @rosemuthoni1549
    @rosemuthoni1549 Год назад +4

    Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya

  • @hamisimkongwe5035
    @hamisimkongwe5035 Год назад +2

    Mungu akuzidishie pumziko la milele

  • @mwanaidyhamis
    @mwanaidyhamis Год назад +1

    Tunakukumbuka magufuli raisi wa wanyonge mungu akulaze nahala pema

  • @RukiaSalum-z4l
    @RukiaSalum-z4l Год назад +1

    Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤

  • @LemannMbalwa-g7q
    @LemannMbalwa-g7q 8 месяцев назад +2

    Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭

  • @ochiengbrian5065
    @ochiengbrian5065 Год назад +7

    RIP from kenya we loved uuuuu

  • @DenisOkuzi-je8jb
    @DenisOkuzi-je8jb 10 месяцев назад +6

    Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.

  • @simontamba2189
    @simontamba2189 Год назад +3

    Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you

  • @willistonemdindi9898
    @willistonemdindi9898 Год назад +6

    I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉

  • @lyricszonetogo2502
    @lyricszonetogo2502 8 месяцев назад +1

    Tunakushukuru ee mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa maisha ya john magufuli umsamehe uovu wake na umpumzishe kwa amani..R .I .P

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад +4

    Tutakukumbuka daimaa milele IPO siku mi na ww tutaonana tena mtetezi wetu%

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Год назад +2

    Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai

  • @salomeorango9041
    @salomeorango9041 Год назад +2

    Huyu ndiye Rais halisi

  • @hawamjungu3396
    @hawamjungu3396 Год назад +2

    😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima

  • @salumumsike8175
    @salumumsike8175 5 лет назад +4

    Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..

  • @MaryStambuli-r4p
    @MaryStambuli-r4p Год назад +6

    Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.

  • @JohnNjenga-em4fd
    @JohnNjenga-em4fd 9 месяцев назад +1

    True leader,chosen by God him self...

  • @amanihans5367
    @amanihans5367 Год назад +3

    Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema

  • @eastleighphoto2833
    @eastleighphoto2833 11 месяцев назад +2

    HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT

  • @rsonmangale
    @rsonmangale Год назад +2

    Lazima uyu king ako heaven

  • @jumakichamo1344
    @jumakichamo1344 8 месяцев назад +1

    Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤

  • @directordin3976
    @directordin3976 Месяц назад +1

    My lovely Dadyyy

  • @UncleJonah-h8l
    @UncleJonah-h8l Год назад +4

    This was a man of God

  • @meshackgerald4032
    @meshackgerald4032 Год назад +5

    MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 5 лет назад +13

    Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.

  • @meshaksaidimusukuruiet-gc2zb
    @meshaksaidimusukuruiet-gc2zb Год назад +2

    😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤

  • @JoselineHokororo-ny3ke
    @JoselineHokororo-ny3ke Год назад +2

    Tunakukumbuka sana,chema hakidumu

  • @AziziMsumba
    @AziziMsumba Год назад +4

    Mungu wajalie wote

  • @givenjackson5449
    @givenjackson5449 Год назад +4

    Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭

  • @ROLYNENYANGARESI-fc2xs
    @ROLYNENYANGARESI-fc2xs Год назад +1

    Maulana Ailaze roho yako pema peponi Mr President Magufuli

  • @MichaelPaulTZ
    @MichaelPaulTZ 5 лет назад +3

    Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 27 дней назад +1

    Duniani tunapita ukimsikiliza Mfungwa utajuwa Allah yupo

  • @editorlais5185
    @editorlais5185 Год назад +2

    Mungu akuweke vyema baba yetu😭😭😭😭😭

  • @c.e.omasasi5131
    @c.e.omasasi5131 Год назад +7

    2022 November 😭 Rip my father John

  • @NicksonMganyizi
    @NicksonMganyizi 2 месяца назад +1

    🤦🤦🤦🤦😢😢😢😢 mungu jamani mlaze mahala peponi. Rais wetwo.

  • @NarokeeMusa-j3k
    @NarokeeMusa-j3k 9 месяцев назад +1

    Magufuli mweshimiwa Mungu akurehumu 🌧️🌧️🌧️🌧️🙏🙏🙏

  • @paulondiek4355
    @paulondiek4355 Год назад +32

    Am still shedding tears 😭😭😭😭 missing you my mentor, nobody else will ever fill the big gap you left continue resting in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ Baba la Africa 🌍

  • @EstermbawalaMbawala
    @EstermbawalaMbawala 11 месяцев назад

    Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu

  • @FortunatusJason
    @FortunatusJason 23 дня назад +1

    tunateseka sana

  • @SELENapubari
    @SELENapubari Месяц назад +1

    Merci m le président

  • @LucyNtambi
    @LucyNtambi 4 месяца назад +1

    Yan baba jaman jaman hatuamin Kwa macho yetu watazania 😢😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 4 дня назад

    Love MAGUFULI 8/10/2024

  • @UncleJonah-h8l
    @UncleJonah-h8l Год назад +1

    This was a gospel God nionyeshe Mungu

  • @DorcasManase-sp3ld
    @DorcasManase-sp3ld Год назад +11

    Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha

  • @AngelHamad-d6q
    @AngelHamad-d6q 7 месяцев назад

    Wewe ni rais bora wa muda wote nchini Tanzania.

  • @rashidsaid678
    @rashidsaid678 7 месяцев назад

    Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +6

    😭😭😭😭tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭

  • @innocentmkuwa2938
    @innocentmkuwa2938 9 дней назад +1

    RIP Magufuli

  • @Catherinemichael1995
    @Catherinemichael1995 18 дней назад

    Mungu wangu we wajua sababu kwanini tunapitia haya😢😢😢

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 Год назад +1

    Rest easy John pombe magufuli
    Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli

  • @rayogweno2431
    @rayogweno2431 Год назад +16

    CONTINUE RESTING IN PEACE MHESHIMIWA MAGUFULI. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 MUCH LOVE FROM KISUMU - KENYA