So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
Tunakushukuru ee mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa maisha ya john magufuli umsamehe uovu wake na umpumzishe kwa amani..R .I .P
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
Am still shedding tears 😭😭😭😭 missing you my mentor, nobody else will ever fill the big gap you left continue resting in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ Baba la Africa 🌍
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
Amina ♥️♥️♥️
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
Alikuwa mwenzetu, mungu amemkuchua, tunaomba mungu type mwingine mbora zaidi atimize kazi Yako,
Anakuja Amin tu
Mwenzetu😢😢😢
makonda
By after by XD XD XD XD
BBlog😊oikk😊😅@@jacksonkabaata6011
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
Amina
Amina
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
🎉
@@mkandalasbudete2620aaaqi😅
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
Aitoke wapi uku kwetu 🇨🇩😭🇨🇩
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
African we need people like this one
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
T
😊
Amina 🙏🙏🙏
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
haitakuja kutokea tena
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
Amina
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
@@Theloopmenusana😢
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
Wewe ni mimi kabisa😢
Hat mimi
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
MUNGU akubaliki
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
😅
😂😂
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
So sad alinyakuliwa malema mno
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
Umenigusa sana Rais JPM.
Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao.
Barikiwe sana Rais wetu
Tunakukumbuka Baba Makufuli
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
Rest in peace kiongozi wetyu
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
We will never forget you
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
wema awana maisha cku zote
Kweli 😢😢😢
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
Leo tareh 5/10/2024
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
No one like you baba😢😢
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi
🤔🤔
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏
Nimejikuta naliatu kiukweli
😭😭😭
Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya
Mungu akuzidishie pumziko la milele
Tunakukumbuka magufuli raisi wa wanyonge mungu akulaze nahala pema
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
RIP from kenya we loved uuuuu
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
Lllllllllllllllll
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
Tunakushukuru ee mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa maisha ya john magufuli umsamehe uovu wake na umpumzishe kwa amani..R .I .P
Tutakukumbuka daimaa milele IPO siku mi na ww tutaonana tena mtetezi wetu%
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
Huyu ndiye Rais halisi
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
True leader,chosen by God him self...
Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema
HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT
Lazima uyu king ako heaven
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
My lovely Dadyyy
This was a man of God
MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤
Tunakukumbuka sana,chema hakidumu
Mungu wajalie wote
Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭
Maulana Ailaze roho yako pema peponi Mr President Magufuli
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
Duniani tunapita ukimsikiliza Mfungwa utajuwa Allah yupo
Mungu akuweke vyema baba yetu😭😭😭😭😭
Z
2022 November 😭 Rip my father John
🤦🤦🤦🤦😢😢😢😢 mungu jamani mlaze mahala peponi. Rais wetwo.
Magufuli mweshimiwa Mungu akurehumu 🌧️🌧️🌧️🌧️🙏🙏🙏
Am still shedding tears 😭😭😭😭 missing you my mentor, nobody else will ever fill the big gap you left continue resting in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ Baba la Africa 🌍
099
Isitoria ya Vita vya Uganda
I'm
Guitar 😂😂
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
tunateseka sana
Merci m le président
Yan baba jaman jaman hatuamin Kwa macho yetu watazania 😢😭😭😭😭😭😭😭😭
Love MAGUFULI 8/10/2024
This was a gospel God nionyeshe Mungu
Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha
Wewe ni rais bora wa muda wote nchini Tanzania.
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
😭😭😭😭tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭
RIP Magufuli
Mungu wangu we wajua sababu kwanini tunapitia haya😢😢😢
Rest easy John pombe magufuli
Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
CONTINUE RESTING IN PEACE MHESHIMIWA MAGUFULI. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 MUCH LOVE FROM KISUMU - KENYA
Si tivi
Rest in peace magufuli
Kwel nimeamin kizur hakidumu 😭
Kweli kizuri hakidumu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kenya iko poa