Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2016
  • Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Комментарии • 193

  • @Muchoma
    @Muchoma Год назад +7

    Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Год назад +27

    Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 Год назад +9

    Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama

  • @bennie7239
    @bennie7239 Год назад +10

    Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 Год назад +17

    Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa

    • @majumbatv1116
      @majumbatv1116 Год назад +2

      Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu

    • @dalali_professionalwa_dodo8330
      @dalali_professionalwa_dodo8330 Год назад +2

      @@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Год назад

      Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?

  • @user-uq2mo7mw2l
    @user-uq2mo7mw2l 2 месяца назад +3

    Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Год назад +9

    Mungu akupe pumziko la Amani

  • @starworldengineering9523
    @starworldengineering9523 Год назад +8

    Duh magu mungu akulaze maali pema

  • @eliakimyesse6086
    @eliakimyesse6086 2 года назад +14

    Lala pema peponi kamanda,

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 Год назад +10

    Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад +7

    Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Год назад +11

    Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 Год назад +6

    Poleni kumpoteza jembe huyo
    Hona ukaguzi wake sehemu nyeti

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 Год назад +7

    Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 Год назад +8

    Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 4 месяца назад +2

    Allah akuhifadhi mzeh wetu

  • @richardmalley68
    @richardmalley68 Год назад +10

    Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 Год назад +15

    Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 Год назад +8

    genious

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Год назад +5

    My President forever R.I.P Baba

  • @jumaakida5951
    @jumaakida5951 Год назад +10

    Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo

    • @fakiinajummwe9972
      @fakiinajummwe9972 Год назад

      Atotokea Kwa kizazi hiki

    • @mpabwas5916
      @mpabwas5916 Год назад

      Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +10

    Huyu mwamba alikuwa chuma

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 Год назад +5

    Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Год назад +6

    Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Год назад +9

    Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen

  • @edmundbarongo8649
    @edmundbarongo8649 Год назад +5

    Great Loss, Mungu utulinde.

  • @azadiunatishamumyloveungab6614
    @azadiunatishamumyloveungab6614 8 лет назад +8

    bba ahsante kwa kazi

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Год назад +5

    Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
    Inasikitisha mno.
    Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Год назад +4

    Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 Год назад +14

    R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z 2 месяца назад +1

    RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!

  • @johnmichire7809
    @johnmichire7809 8 месяцев назад +3

    Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 Год назад +5

    R.i.p jpm🙏🙏

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 Год назад +10

    Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 Год назад +2

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 Год назад +4

    daah, RIP JPM

  • @tillionsmon6131
    @tillionsmon6131 Год назад +5

    Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Год назад +7

    Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 месяца назад

    Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako

  • @deswaggz6185
    @deswaggz6185 Год назад +5

    Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 Год назад +6

    Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga2693 Год назад +3

    Good job

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 Год назад +7

    Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 9 дней назад

    Nnani anaepitia magufuli 2024 ❤❤❤

  • @motivational_leader
    @motivational_leader Год назад +2

    Nakukumbuka sana magu 😢

  • @papangoda229
    @papangoda229 Год назад +4

    Ulinidanganya sindio

  • @bonfaceomuhande6332
    @bonfaceomuhande6332 5 месяцев назад +1

    That's management indeed.everyone must be accountable for his docket

  • @FaridaIbrahim-ym6jy
    @FaridaIbrahim-ym6jy 2 месяца назад +1

    Rest in peace

  • @usetobe.1067
    @usetobe.1067 Год назад +17

    One in a million..Rest easy Buldoza

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 Год назад +5

    😭😭😭R.I.P

  • @waswajumbe1075
    @waswajumbe1075 Год назад +1

    Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu

  • @sisye1
    @sisye1 Год назад +5

    Kama drama vile.. Sema ukweli

  • @LengaiSaruni
    @LengaiSaruni 4 месяца назад +1

    Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said

  • @user-zd7iw3my3y
    @user-zd7iw3my3y 8 месяцев назад +1

    😢😢 r.i.p Jpm

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Год назад +1

    Mising you so much my przdt😭

  • @user-vn9yi3dj4q
    @user-vn9yi3dj4q 6 месяцев назад +1

    Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani

  • @mpabwas5916
    @mpabwas5916 Год назад +2

    Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 Год назад +2

    Tutakukumbuka milele😭😭😭😭

  • @tedroyc9897
    @tedroyc9897 Год назад

    You went too soon ,Much love from Rwanda

  • @amosalphonce1631
    @amosalphonce1631 Месяц назад

    Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @basitv2299
    @basitv2299 Год назад +2

    We miss u baba

  • @nsanzetito1453
    @nsanzetito1453 Год назад

    Kasim atafanya kazi badae

  • @eriminahchai8489
    @eriminahchai8489 Год назад +1

    Kazi safi sana makofuli

  • @anthonynjoroge968
    @anthonynjoroge968 2 месяца назад

    😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 11 месяцев назад +1

    Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo

  • @saidsalum4602
    @saidsalum4602 Год назад +2

    Tutakukumbuka baba

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 Год назад +2

    Dah

  • @lameckkasuga2270
    @lameckkasuga2270 Год назад +1

    Magufuli 🙏

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 Год назад +2

    ni yeyeeeeeeeeeee

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 Год назад +4

    Huyu mwamba dah

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 8 лет назад +14

    Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...

  • @flova7022
    @flova7022 Год назад +1

    RIP Baba daah

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 10 месяцев назад +1

    RIP baba

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Год назад +1

    Baba 🇹🇿🙏

  • @adrianbrown3586
    @adrianbrown3586 3 месяца назад

    I.will always remember you

  • @gedionngetich6678
    @gedionngetich6678 Год назад +2

    Rip

  • @lutahmwesi8525
    @lutahmwesi8525 Год назад +1

    😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 Год назад +1

    Tumekumiss sana dah😭😭😭😭

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Год назад +1

    Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen 9 месяцев назад +1

    Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi

  • @user-wg1hw5kj2o
    @user-wg1hw5kj2o 3 месяца назад +1

    Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00

  • @edwardseluyange8426
    @edwardseluyange8426 2 месяца назад

    Kweli tulipoteza

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg 8 месяцев назад +1

    Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Год назад +1

    Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 4 дня назад

    Basi Mungu anajua...lkn huyu baba aliondoka mapema sana

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 3 месяца назад

    Sijaona kweli😅...Congo 🇨🇩 tumpate wapii?

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke2610 2 года назад +13

    Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 года назад +2

      Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 года назад +3

      Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад

    Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Год назад

    I miss you

  • @nuruabasi5503
    @nuruabasi5503 Год назад +2

    😭😭😭

  • @davidelias7803
    @davidelias7803 27 дней назад

    Kashajichanganya tayari kusema anauhakika, waite wote wajibu, mi najua walizi off kwa magusudi ili wapitishe madudu yao

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Год назад +2

    Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 3 месяца назад

    R.I.P dady😭😭😭😭😭😭😭

  • @alirashid4887
    @alirashid4887 Год назад +2

    BABA HAKUNA KAMA WW 😭

  • @expert5898
    @expert5898 Год назад +2

    Ulikuwa n uozo Ila!!!

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 10 дней назад

    Huwa sichoki kumuangalia JPM alkuwa zaidi ya Rais jmn

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 10 месяцев назад +1

    Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu

  • @paulkarani559
    @paulkarani559 7 месяцев назад +1

    4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏

  • @YonaMakali
    @YonaMakali 8 месяцев назад

    Tu me kumic baba ❤❤❤❤❤❤

  • @user-un9gr1tk3u
    @user-un9gr1tk3u 3 месяца назад

    Kweli jamani kizuri hakidumu😭😭😭