KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2023
- KIMEUMANA KIGOMA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Waziri Mkuu amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo. - Развлечения
Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy
Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr
Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.
My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen
bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali
Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.
Yes yes
Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN
Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida
Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda
Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone
Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi
Mungu atusaidie jaman
Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤
Asante baba
This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana
kazi ngumu si wamejipa wenyewe.
mfumo wa CCM ni mbovu .
Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo
Mh ,hata bukoba mjini
Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi
Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana
Baba unastairy mh waziri mkuu na mungu akusaidie
Sio ukweli ni kneels tu
Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani
Wallah wanatia
hasira
Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.
Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti
Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry
Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu
Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.
Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena
Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣
Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani
Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,
Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe
Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!
Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu
Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa
Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua
Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.
Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila
Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha
Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo
Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu
Tupawote ndani wanachafua inch
Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.
Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.
Nataman mwaka mmoja uwe Rais wa nchi hii
Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮
Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu
Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli
Daaaah
Katiba mpya ni sasa
Hongera wew ndio raisi wa ichi hii
Hamna kitu ccm wameshafeli
Kwel
Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine
Imeshaliwa hyo
Kongole,Tua Mama Ndoo Kichwani.
WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI
Endelea na kazi
Majariwa oyoooooooooooooooo lete chomboooo ayo ndo maamuzi ya kiume hapa kwa hapa
KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!
Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu
Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa
Majaliwa Khasim...
Kiongozi .
Kweri mzee ukamilishaji
Kasimu anafanya kazi sana tatizo wakurugenz njaa nyingi
Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮
Maigizo tuuu😢
Waziri mkuu njoo na huku nkasi ututembelee baba
Huuuyuuu mzeee🙏🙏🤦🙏🙏
Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu
Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu
Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅
Fukuza wote hao unasubili nini pm
Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂
Kiongoz wng uliobak wa muda wte love dady
Hii Nchii ngumu sana
MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA
Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase
Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji
Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa
Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz
Shida vikao vya ndani,hebu fanyeni kama makonda,malizana nao hapohapo waludishe hera sio mahakaman hela mliikabidhi mahakama,basi hata hela muwemnawakabidhia mahakaman.acheni kutuinyoyi.
Chumaaaa ichooo baba
Inchi imeliwa Sana watupishe tuu
😅
Simuwafukuze kazi
Hao sio kufukuza kazi tu napesa walizoiba wazirudishe na wakamatwe wawekwe ndani
Mlisema jpm alikuwa dikteta. Mtaendeleaje na wakurugenzi wa namna hiyo. Watu wanastahiki kufungwa maisha. Bila udikteta nchi haiendi. Angalia China hata kainchi kama Rwanda. Mambo ya haki za binaadamu na ushoga ni ugoro mtupu. Wanatunza fedha wakingoja mianya ya kuzipiga. Ongeza ukali Majaliwa tuko nyuma yako.
Mungu azidi kukulinda baba...
Mhshmw Majaliwa na Makonda majembe ya mama yetu Samia
Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.
Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana
Mheshima tunakuomba uchukue formu 2024 tunakuomba wewe ni Raisi wa wanyonge
Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida
Mmmh hii imeenda watu tuache urasimu
Katika uongozi wa sasa kuna madudu San watu hawatumbuliwi kabisa watu hawana hata hofu
Hiii dunia ina maajabu sana
Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu
Huyu Mkurugenzi mmemtoa wapi ? Uzoefu wake ? Daaaaah!
Tumengoja mvua inyeshe ili tuone panapo vuja. Sasa tumepaona. Uteuzi pia uhdaifu ulikuwapo
Fukuza . Mnaleana Sana
Pesa zinaliwa wekeni uchunguzi
Wezi hao wapewe kichapo
Wapewe azabu lile fundisho kwa wengne,hakuna utofauti na wahujumu uchumi.
Mzee ongera sana ila mtwara madudu mawilayani hususani masasi Mzee plz
Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!