"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- "TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
@ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin
NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊
Mungu Akupe uraisi WA inchi
Anafaa kuwa rais wa tanzania
Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania
Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza
Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.
Amiin
Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao
Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi
Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana
Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka
Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia
Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.
katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,
Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo
Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate
Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo
Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch
W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann
Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu
He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake
Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe
i wish you to be president 2025 you real deserve
Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana
Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu
Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen
Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.
Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele
Asante kiongozi,mungu Akupe umri mrefu,Tunateseka watu wa hali ya chini
Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.
Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!
Big up Majaliwa
Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu
Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania
Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏
Waziri mkuu mungu akulinde sanaaa.
Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni
Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI
Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri
@@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs
Labda anakula msoto
@@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo
Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba
Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa
HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.
2025 tunakuhitaj FATHER✊✊
Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine
The next big thing
Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤
Safi sanaa mh waziri mkuuu. Huyo ana tamaa sanaaaa
Mola akubariki sana
Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah
Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi
Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.
Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia
YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.
hongera sana waziri mkuu
majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii
ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi
Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.
Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania
Mungu akubaliki majaliwa
Hongera sana wazir mkuu soo President
Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥
Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu
Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu
Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen
BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu
Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde
Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana
Nasikiliza hiki kitu namkumbuka magufuli machozi yanataka kunitoka kabisa.
Pole yani katuachia jembe kama yeye
Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu
Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa
kwa hili.nakupa hongera
Wazili mkuu yukoo vizuri sana
Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..
Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu
Mwenyezimungu tupe Majaliwa
Mungu akubariki sanaa
Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa
Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!
Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.
M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.
Mungu akubariki waziri mkuu
Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge
Mwaka 2025 ebu jitose kupambania urais, ss ndo tunakuelewa kuliko mwanasiasa yyte
Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu
RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah
Huyu muongo 2 na nimnafiki
Mungu akuongoze waziri wëtu mkuu wa Tanzania
Huyo ana tamaaa sanaaa.
Mungu akulinde
Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu
WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN
Hatari sana
Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭
Ubarikiwe waziri kwa utumishi
Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati
Mahufuri katuachia mbegu njema
Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza
Hongera Sana kiongoz sahihi
Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa
Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired
Weka ndani huyo
Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man
Waziri mkuu kama huyu tumlinde kwa nguvu zetu zote
Mbona mko vizuri2
mungu amueke waziri wetu
Duh huyu mtu ni hatari sana. Fikiria mtu kama huyu ndiyo awe kiongozi wa taifa atajimilikisha kila siku kitu huyu ni zaidi ya mbinafsi
Huu ndiyo utendaji wa kazi tunao uhitaji,
Kasim majaliwa mungu akutunze kwaajili yetu watanzania
MUNGU wa Mbingun mjalie huyu mja wako awe na afya njema, huyo ndo rais mtarajawa.
Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz
Nakukubali sana
Nakupenda bule fatanyayo zahayat magu
Mungu akutunze pm majaliwa
Mungu akubariki mheshimiwa waziri unamoyo wakusaidia wananchi 2025 gombea
Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee
Ww ndo ndomzalendo wa kweli
Shughulikia na pesa.zinazopigwa na mawaziri na maofisa wakubwa badala.ya kuwafuatilia hawa wadogo na.kuonyesha ukali.
Aisee Kuna wa2 wanamatamaaa dah😭😭
Mwamba nakukubali sana
Safi sana
Huyu baba ni mzuri anafuata nyayo za Magufuli kilichomponza ni kitu kidogo tu. Kujumuika kwenye bandari ila pia ninawasiwasi sidhani kama moyoni mwake ameruhusu bandari zitaifishwe ila kwakuwa hana kauli mwenye kauli ni mama. Sidhani yeye kama yeye amependa