"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 дек 2022
  • "TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 336

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 Год назад +35

    NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 Год назад +26

    @ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin

  • @absalomnamoyo7176
    @absalomnamoyo7176 Год назад +23

    Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana

  • @ELEONORARUBANZA
    @ELEONORARUBANZA 3 дня назад

    Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Год назад +50

    Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Год назад +3

      Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana Год назад +5

      Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Год назад +1

      Amiin

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 Год назад +2

      Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 Год назад +2

      Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi

  • @pascalngalawapascalngalawa5714
    @pascalngalawapascalngalawa5714 Год назад +11

    Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka

  • @rajabushabani6962
    @rajabushabani6962 Год назад +7

    Nakukubari sana sana Mh: Waziri Mkuu Allah akujaarie na moyo huwo howo Amiina!

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 10 месяцев назад +8

    Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Год назад +16

    Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Год назад

      Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.

    • @witnessmmari9902
      @witnessmmari9902 8 месяцев назад

      katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Год назад +28

    Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 Год назад

      Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 8 месяцев назад

      Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 8 месяцев назад

      W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann

  • @user-eq9lw9ju1l
    @user-eq9lw9ju1l 8 месяцев назад +1

    Hongera sana mh. Waziri mkuu tunahitaji utumishi uliotukuka na kujali wananchi wanyonge. Utabarikiwa zaidi.

  • @adamsondishon
    @adamsondishon Год назад +16

    i wish you to be president 2025 you real deserve

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 3 месяца назад

    Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏

  • @joshuakigola6823
    @joshuakigola6823 Год назад +12

    He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Год назад +2

    Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana

  • @user-hs3er9ed6l
    @user-hs3er9ed6l 2 месяца назад

    Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Год назад +8

    Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Год назад +33

    RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah

    • @yapukahassan
      @yapukahassan 8 месяцев назад

      Huyu muongo 2 na nimnafiki

  • @nadirdoody7955
    @nadirdoody7955 2 месяца назад

    Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Год назад +2

    Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u 8 месяцев назад

    Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!

  • @salem9874
    @salem9874 Год назад +8

    Big up Majaliwa

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Год назад +4

    Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Год назад +12

    Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake

  • @jamalhamisi5559
    @jamalhamisi5559 2 месяца назад

    Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu

  • @mgungachannel9280
    @mgungachannel9280 Год назад +2

    Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 3 месяца назад

    Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤

  • @jamesmayala5491
    @jamesmayala5491 Год назад +2

    The next big thing

  • @user-dx9gf7vx1r
    @user-dx9gf7vx1r 3 месяца назад

    Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Год назад +1

    YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 8 месяцев назад

    Mola akubariki sana

  • @hildapenina815
    @hildapenina815 Год назад +1

    Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 8 месяцев назад

    HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 7 месяцев назад

    Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 Год назад

    Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde

  • @blanikamgaya-hh6ie
    @blanikamgaya-hh6ie 8 месяцев назад

    Mungu akubaliki majaliwa

  • @daud405
    @daud405 Год назад +5

    Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад +2

      Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +1

      Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад +1

      @@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      Labda anakula msoto

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад

      @@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 Год назад +1

    Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥

  • @zuberyshabaniiddy
    @zuberyshabaniiddy Год назад

    Mungu akulinde

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +1

    BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu

  • @mohammednassor8167
    @mohammednassor8167 Год назад

    Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen

  • @user-xc4gr6by1y
    @user-xc4gr6by1y 8 месяцев назад

    Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana

  • @bilo1106
    @bilo1106 8 месяцев назад

    Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..

  • @pasuabozi-df9wy
    @pasuabozi-df9wy Год назад

    Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Год назад +3

    Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah

    • @amosmbangala9079
      @amosmbangala9079 Год назад

      Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 8 месяцев назад

      Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.

    • @user-gx2do8ls8z
      @user-gx2do8ls8z 8 месяцев назад

      Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 Год назад

    Ubarikiwe waziri kwa utumishi

  • @yassinimahawe7785
    @yassinimahawe7785 Год назад

    Hongera sana wazir mkuu soo President

  • @Athumanibandima-kx4qs
    @Athumanibandima-kx4qs 3 месяца назад

    Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu

  • @adamufundikira7878
    @adamufundikira7878 Год назад

    Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 Год назад +6

    2025 tunakuhitaj FATHER✊✊

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Год назад

      Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 8 месяцев назад

    Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu

  • @wismankamendu6264
    @wismankamendu6264 Год назад

    Wazili mkuu yukoo vizuri sana

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi 8 месяцев назад

    kwa hili.nakupa hongera

  • @cosmasathanas1184
    @cosmasathanas1184 Год назад

    Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa

  • @tumainikilembe1008
    @tumainikilembe1008 Год назад

    Mungu akubariki waziri mkuu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +1

    Waziry 💖💖💖💖👏👏👏huyo tapeli

  • @charleslusekelo4069
    @charleslusekelo4069 Год назад

    Mungu akutunze pm majaliwa

  • @gaspamwamlima6942
    @gaspamwamlima6942 Год назад

    Nakukubali sana

  • @hassanikanjesikiwallekiwal9826

    Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад +8

    Nakuombea kwa mungu akupe uhai mrefu afya njema waziri mkuu wetu ili uje kuwa raisi wetu wa baadae.

  • @hamidahamis4537
    @hamidahamis4537 Год назад

    Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge

  • @zlatanibra4791
    @zlatanibra4791 Год назад

    mungu amueke waziri wetu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Год назад +7

    majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Год назад +1

      ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi

  • @jumakasentsent4464
    @jumakasentsent4464 Год назад

    Mwenyezimungu tupe Majaliwa

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Год назад +16

    Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 6 месяцев назад

    Hatari sana

  • @marysebelelo
    @marysebelelo Год назад

    Safi sana

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 8 месяцев назад

    Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Год назад

    Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired

  • @lightnessreuben9202
    @lightnessreuben9202 Год назад

    Hongera Sana kiongoz sahihi

  • @prophetzakayomkemwa5154
    @prophetzakayomkemwa5154 Год назад

    Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza

  • @amanijm746
    @amanijm746 Год назад +4

    Majaliwa tunamuombea MUNGU amtunze. Ila kwa mfumo wa chama cha mbuzi, atapigwa chini mda sio mrefu. Next round harudi.

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana Год назад

      Cyokupgwa chin tu yanaweza yakamkuta yaliyomkuta jpm.maana huyu akiwa rais wanch anaweza kuzuia watu wasilambe asali.

  • @KassimJabu
    @KassimJabu Месяц назад

    Mbona mko vizuri2

  • @dolomentfrance418
    @dolomentfrance418 Год назад

    Mahufuri katuachia mbegu njema

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 3 месяца назад

    Aisee Kuna wa2 wanamatamaaa dah😭😭

  • @josephmkina
    @josephmkina Год назад

    Mh Majariwa big up.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 8 месяцев назад

    Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v 8 месяцев назад

    Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu

  • @andersonmutta3807
    @andersonmutta3807 Год назад

    M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад

    Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man

  • @enockngande9114
    @enockngande9114 Год назад +2

    Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 Год назад

    Haya niyakweli MH waziri mkuu wapo wengi. Mwingine ni Mwenyekiti Baraza la Ardhi mkoa mza

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn 7 месяцев назад

    Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Год назад +5

    Weka ndani huyo

  • @eliudymwanandenje7229
    @eliudymwanandenje7229 8 месяцев назад

    Huu ndiyo utendaji wa kazi tunao uhitaji,

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 Год назад

    Nakupenda bule fatanyayo zahayat magu

  • @hamisishabani4333
    @hamisishabani4333 Месяц назад

    Mwamba nakukubali sana

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 10 месяцев назад

    Chapa kazi mzee wazur mkuu twakusapot

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 Год назад

    Mwambaa sana Huyu Waziri Mkuu

  • @user-hj1qz6xs6d
    @user-hj1qz6xs6d 3 месяца назад

    0:27 0:27 0:27 0:27 0:27

  • @merengosimion5999
    @merengosimion5999 Год назад

    Mungu akubariki mheshimiwa waziri unamoyo wakusaidia wananchi 2025 gombea

  • @sadicksanga6034
    @sadicksanga6034 8 месяцев назад

    Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee

  • @SangaSokoineMwanfipa
    @SangaSokoineMwanfipa 7 месяцев назад

    Sumba😊

  • @emmanuelmatogolo5869
    @emmanuelmatogolo5869 Год назад +2

    Mh. Waziri Mkuu tuna kuomba sana huu mkoa wa Katavi una madudu mengi sana, na ufisadi mkubwa naomba chunguza kila idara hapa katavi

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu 8 месяцев назад

    WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 Год назад +1

    Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭

  • @JoshuaMartin-qk3ev
    @JoshuaMartin-qk3ev Год назад +3

    Mwaka 2025 ebu jitose kupambania urais, ss ndo tunakuelewa kuliko mwanasiasa yyte

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Год назад

    Waziri nimempenda sana aisee duh