"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
HTML-код
- Опубликовано: 11 дек 2022
- "TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊
Mungu Akupe uraisi WA inchi
Anafaa kuwa rais wa tanzania
@ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin
Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana
Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe
Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania
Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza
Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.
Amiin
Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao
Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi
Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka
Nakukubari sana sana Mh: Waziri Mkuu Allah akujaarie na moyo huwo howo Amiina!
Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu
Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia
Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.
katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,
Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo
Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate
Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo
Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch
W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann
Hongera sana mh. Waziri mkuu tunahitaji utumishi uliotukuka na kujali wananchi wanyonge. Utabarikiwa zaidi.
i wish you to be president 2025 you real deserve
Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏
He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake
Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana
Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele
Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu
RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah
Huyu muongo 2 na nimnafiki
Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen
Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.
Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!
Big up Majaliwa
Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania
Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu
Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.
Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤
The next big thing
Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa
YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.
Mola akubariki sana
Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba
HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.
Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.
Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania
Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu
Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde
Mungu akubaliki majaliwa
Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni
Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI
Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri
@@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs
Labda anakula msoto
@@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo
Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥
Mungu akulinde
BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu
Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen
Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana
Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..
Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa
Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah
Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi
Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.
Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia
Ubarikiwe waziri kwa utumishi
Hongera sana wazir mkuu soo President
Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu
Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa
2025 tunakuhitaj FATHER✊✊
Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine
Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu
Wazili mkuu yukoo vizuri sana
kwa hili.nakupa hongera
Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa
Mungu akubariki waziri mkuu
Waziry 💖💖💖💖👏👏👏huyo tapeli
Mungu akutunze pm majaliwa
Nakukubali sana
Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu
Nakuombea kwa mungu akupe uhai mrefu afya njema waziri mkuu wetu ili uje kuwa raisi wetu wa baadae.
Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge
mungu amueke waziri wetu
majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii
ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi
Mwenyezimungu tupe Majaliwa
Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu
Hatari sana
Safi sana
Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.
Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired
Hongera Sana kiongoz sahihi
Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza
Majaliwa tunamuombea MUNGU amtunze. Ila kwa mfumo wa chama cha mbuzi, atapigwa chini mda sio mrefu. Next round harudi.
Cyokupgwa chin tu yanaweza yakamkuta yaliyomkuta jpm.maana huyu akiwa rais wanch anaweza kuzuia watu wasilambe asali.
Mbona mko vizuri2
Mahufuri katuachia mbegu njema
Aisee Kuna wa2 wanamatamaaa dah😭😭
Mh Majariwa big up.
Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!
Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu
M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.
Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man
Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati
Haya niyakweli MH waziri mkuu wapo wengi. Mwingine ni Mwenyekiti Baraza la Ardhi mkoa mza
Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz
Weka ndani huyo
Huu ndiyo utendaji wa kazi tunao uhitaji,
Nakupenda bule fatanyayo zahayat magu
Mwamba nakukubali sana
Chapa kazi mzee wazur mkuu twakusapot
Mwambaa sana Huyu Waziri Mkuu
0:27 0:27 0:27 0:27 0:27
Mungu akubariki mheshimiwa waziri unamoyo wakusaidia wananchi 2025 gombea
Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee
Sumba😊
Mh. Waziri Mkuu tuna kuomba sana huu mkoa wa Katavi una madudu mengi sana, na ufisadi mkubwa naomba chunguza kila idara hapa katavi
WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN
Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭
Mwaka 2025 ebu jitose kupambania urais, ss ndo tunakuelewa kuliko mwanasiasa yyte
Waziri nimempenda sana aisee duh