"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • "TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 345

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 Год назад +26

    @ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 Год назад +35

    NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Год назад +50

    Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Год назад +3

      Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana Год назад +5

      Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Год назад +1

      Amiin

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 Год назад +2

      Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 Год назад +2

      Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi

  • @absalomnamoyo7176
    @absalomnamoyo7176 Год назад +23

    Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana

  • @pascalngalawapascalngalawa5714
    @pascalngalawapascalngalawa5714 Год назад +11

    Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Год назад +16

    Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Год назад

      Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.

    • @witnessmmari9902
      @witnessmmari9902 Год назад

      katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Год назад +28

    Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 Год назад

      Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 Год назад

      Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 Год назад

      W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Год назад +8

    Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu

  • @joshuakigola6823
    @joshuakigola6823 Год назад +12

    He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake

  • @ELEONORARUBANZA
    @ELEONORARUBANZA 3 месяца назад

    Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe

  • @adamsondishon
    @adamsondishon Год назад +15

    i wish you to be president 2025 you real deserve

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Год назад +2

    Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Год назад +8

    Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu

  • @nadirdoody7955
    @nadirdoody7955 5 месяцев назад

    Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Год назад +12

    Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake

  • @mgungachannel9280
    @mgungachannel9280 Год назад +2

    Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.

  • @cathyrwiza
    @cathyrwiza 5 месяцев назад

    Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele

  • @waziriramadhani1186
    @waziriramadhani1186 2 месяца назад

    Asante kiongozi,mungu Akupe umri mrefu,Tunateseka watu wa hali ya chini

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Год назад +2

    Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid Год назад

    Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!

  • @salem9874
    @salem9874 Год назад +8

    Big up Majaliwa

  • @jamalhamisi5559
    @jamalhamisi5559 6 месяцев назад

    Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Год назад +4

    Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 6 месяцев назад

    Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul 26 дней назад

    Waziri mkuu mungu akulinde sanaaa.

  • @daud405
    @daud405 Год назад +5

    Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад +2

      Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +1

      Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад +1

      @@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      Labda anakula msoto

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Год назад

      @@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo

  • @hildapenina815
    @hildapenina815 Год назад +1

    Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba

  • @JacksonKisiri-w1n
    @JacksonKisiri-w1n 6 месяцев назад

    Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Год назад

    HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 Год назад +6

    2025 tunakuhitaj FATHER✊✊

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Год назад

      Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine

  • @jamesmayala5491
    @jamesmayala5491 Год назад +2

    The next big thing

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 7 месяцев назад

    Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul 26 дней назад

    Safi sanaa mh waziri mkuuu. Huyo ana tamaa sanaaaa

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 Год назад

    Mola akubariki sana

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Год назад +3

    Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah

    • @amosmbangala9079
      @amosmbangala9079 Год назад

      Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 Год назад

      Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.

    • @JohnAntony-i7u
      @JohnAntony-i7u Год назад

      Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Год назад +1

    YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Месяц назад

    hongera sana waziri mkuu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Год назад +7

    majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Год назад +1

      ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 10 месяцев назад

    Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania

  • @blanikamgaya-hh6ie
    @blanikamgaya-hh6ie Год назад

    Mungu akubaliki majaliwa

  • @yassinimahawe7785
    @yassinimahawe7785 Год назад

    Hongera sana wazir mkuu soo President

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 Год назад +1

    Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Год назад +16

    Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu

  • @mohammednassor8167
    @mohammednassor8167 Год назад

    Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +1

    BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 Год назад

    Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde

  • @DenizaChambala
    @DenizaChambala Год назад

    Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 Год назад +6

    Nasikiliza hiki kitu namkumbuka magufuli machozi yanataka kunitoka kabisa.

  • @Athumanibandima-kx4qs
    @Athumanibandima-kx4qs 7 месяцев назад

    Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu

  • @pasuabozi-df9wy
    @pasuabozi-df9wy Год назад

    Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi Год назад

    kwa hili.nakupa hongera

  • @wismankamendu6264
    @wismankamendu6264 Год назад

    Wazili mkuu yukoo vizuri sana

  • @bilo1106
    @bilo1106 Год назад

    Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Год назад

    Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu

  • @jumakasentsent4464
    @jumakasentsent4464 Год назад

    Mwenyezimungu tupe Majaliwa

  • @MkomboziMaskuzi-o7c
    @MkomboziMaskuzi-o7c Год назад

    Mungu akubariki sanaa

  • @cosmasathanas1184
    @cosmasathanas1184 Год назад

    Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 11 месяцев назад

    Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад

    Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.

  • @andersonmutta3807
    @andersonmutta3807 Год назад

    M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.

  • @tumainikilembe1008
    @tumainikilembe1008 Год назад

    Mungu akubariki waziri mkuu

  • @hamidahamis4537
    @hamidahamis4537 Год назад

    Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge

  • @JoshuaMartin-qk3ev
    @JoshuaMartin-qk3ev Год назад +3

    Mwaka 2025 ebu jitose kupambania urais, ss ndo tunakuelewa kuliko mwanasiasa yyte

  • @hassanikanjesikiwallekiwal9826

    Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Год назад +33

    RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah

  • @michaelgilbert1531
    @michaelgilbert1531 Год назад

    Mungu akuongoze waziri wëtu mkuu wa Tanzania

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul 26 дней назад

    Huyo ana tamaaa sanaaa.

  • @zuberyshabaniiddy
    @zuberyshabaniiddy Год назад

    Mungu akulinde

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago Год назад

    Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu 11 месяцев назад

    WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 10 месяцев назад

    Hatari sana

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 Год назад +1

    Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 Год назад

    Ubarikiwe waziri kwa utumishi

  • @enockngande9114
    @enockngande9114 Год назад +2

    Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati

  • @dolomentfrance418
    @dolomentfrance418 Год назад

    Mahufuri katuachia mbegu njema

  • @prophetzakayomkemwa5154
    @prophetzakayomkemwa5154 Год назад

    Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza

  • @lightnessreuben9202
    @lightnessreuben9202 Год назад

    Hongera Sana kiongoz sahihi

  • @adamufundikira7878
    @adamufundikira7878 Год назад

    Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Год назад

    Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Год назад +5

    Weka ndani huyo

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад

    Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 Год назад +2

    Waziri mkuu kama huyu tumlinde kwa nguvu zetu zote

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 5 месяцев назад

    Mbona mko vizuri2

  • @zlatanibra4791
    @zlatanibra4791 Год назад

    mungu amueke waziri wetu

  • @mwitasteven8759
    @mwitasteven8759 Год назад +7

    Duh huyu mtu ni hatari sana. Fikiria mtu kama huyu ndiyo awe kiongozi wa taifa atajimilikisha kila siku kitu huyu ni zaidi ya mbinafsi

  • @eliudymwanandenje7229
    @eliudymwanandenje7229 Год назад

    Huu ndiyo utendaji wa kazi tunao uhitaji,

  • @jimmyfrankie8301
    @jimmyfrankie8301 Год назад

    Kasim majaliwa mungu akutunze kwaajili yetu watanzania

    • @johnsonmpelwa2316
      @johnsonmpelwa2316 Год назад

      MUNGU wa Mbingun mjalie huyu mja wako awe na afya njema, huyo ndo rais mtarajawa.

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn 11 месяцев назад

    Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz

  • @gaspamwamlima6942
    @gaspamwamlima6942 Год назад

    Nakukubali sana

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 Год назад

    Nakupenda bule fatanyayo zahayat magu

  • @charleslusekelo4069
    @charleslusekelo4069 Год назад

    Mungu akutunze pm majaliwa

  • @merengosimion5999
    @merengosimion5999 Год назад

    Mungu akubariki mheshimiwa waziri unamoyo wakusaidia wananchi 2025 gombea

  • @sadicksanga6034
    @sadicksanga6034 Год назад

    Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee

  • @skylove5146
    @skylove5146 Год назад +7

    Ww ndo ndomzalendo wa kweli

    • @mikejohn7423
      @mikejohn7423 Год назад

      Shughulikia na pesa.zinazopigwa na mawaziri na maofisa wakubwa badala.ya kuwafuatilia hawa wadogo na.kuonyesha ukali.

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 7 месяцев назад

    Aisee Kuna wa2 wanamatamaaa dah😭😭

  • @hamisishabani4333
    @hamisishabani4333 5 месяцев назад

    Mwamba nakukubali sana

  • @marysebelelo
    @marysebelelo Год назад

    Safi sana

  • @AnnaKillo-bo7cx
    @AnnaKillo-bo7cx 10 месяцев назад

    Huyu baba ni mzuri anafuata nyayo za Magufuli kilichomponza ni kitu kidogo tu. Kujumuika kwenye bandari ila pia ninawasiwasi sidhani kama moyoni mwake ameruhusu bandari zitaifishwe ila kwakuwa hana kauli mwenye kauli ni mama. Sidhani yeye kama yeye amependa