Waziri Mkuu: Kamanda ondoka naye huyu | Wanachoma moto ofisi za serikali | mtulie tunyooshane vizuri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 дек 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 225

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 Год назад +32

    Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi.
    Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Год назад +11

    Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu

  • @shafiiomarali6984
    @shafiiomarali6984 Год назад +15

    Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿

  • @saadyahaya5896
    @saadyahaya5896 Год назад +14

    Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah

  • @stevembaigwa7078
    @stevembaigwa7078 Год назад +6

    Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Год назад +6

    Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 Год назад +2

    Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais

    • @zakiabdi4793
      @zakiabdi4793 Год назад

      thanks for dat

    • @nyarikibweko
      @nyarikibweko Год назад

      Kama mzee magu kabisa mungu angurinde unachapakazi.

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад +1

    Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka

  • @kulengwamabula9508
    @kulengwamabula9508 Год назад +9

    majaliwa ndo magufuli watakiona moto

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 Год назад +1

    Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali

  • @user-hp8oi2or8e
    @user-hp8oi2or8e 8 месяцев назад +1

    Unyamaa mwingi waziri

  • @hasani565
    @hasani565 Год назад

    Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Год назад +5

    Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w 4 месяца назад

    Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 Год назад +1

    Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Год назад +2

    Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Год назад +1

    Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Год назад +1

    Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake

  • @Solace577
    @Solace577 8 месяцев назад

    Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂

  • @ramambaga5561
    @ramambaga5561 Год назад +1

    Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад

    Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 Год назад +4

    Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Год назад

    Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Год назад

    Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu

  • @kabwikaibrahim-up3vg
    @kabwikaibrahim-up3vg Год назад

    You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!

  • @adirhoregilitu6507
    @adirhoregilitu6507 Год назад

    Hongera waziri mkuu

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Год назад +1

    Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Год назад +4

    Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo

    • @ndayishimiyeelias9692
      @ndayishimiyeelias9692 Год назад

      Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Год назад +5

    Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama

    • @hubimogela9167
      @hubimogela9167 Год назад +1

      Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba

    • @uwembatvonline
      @uwembatvonline Год назад

      @@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Год назад

      Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Год назад

      @@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Год назад

    Mungu akulinde sana mh waziri mkuu

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Год назад

    Vizuri sana mh waziri mkuu.

  • @priscabonifas7037
    @priscabonifas7037 Год назад +1

    Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake

  • @Lizzleboy
    @Lizzleboy Год назад

    Asante Mkuuuuuu

  • @abelshaursshauris9810
    @abelshaursshauris9810 Год назад +2

    Mungu akulinde mzee wangu

  • @manning979
    @manning979 Год назад +2

    Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Год назад

    Safi mkuu wetu

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Год назад

    Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe

  • @rizionesegeza9742
    @rizionesegeza9742 Год назад

    Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈

  • @rafaelpaschal2245
    @rafaelpaschal2245 Год назад

    Mhw.waziri mkuu saluuti kwako

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 Год назад +6

    Rais wetu ndio huyuu

    • @yassinshamte4172
      @yassinshamte4172 Год назад

      We unadhani anafanya kwa maelekezo ya nani....

    • @jessegodson8575
      @jessegodson8575 Год назад

      @@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa

    • @nsanyarasheeed8693
      @nsanyarasheeed8693 Год назад

      Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .

    • @fredmashauri210
      @fredmashauri210 Год назад

      Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏

  • @Petro.John.
    @Petro.John. 2 месяца назад

    Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.

  • @lawrencechacha7863
    @lawrencechacha7863 Год назад

    Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 9 месяцев назад

    Sawa big kazi iendeleeeee

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 Год назад

    Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад

    Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    Uyo kamanda Sura nzuri sana

  • @othumantabai
    @othumantabai Год назад

    Weka ndani wote mkuu

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq Год назад +2

    Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq 9 месяцев назад

    Unaeleweka waziri mkuu

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 Год назад

    Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @wiltonexon6003
    @wiltonexon6003 Год назад

    Nakubali muheshimiwa 👏🏽

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.

  • @ayoublamesi6347
    @ayoublamesi6347 9 месяцев назад

    Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Год назад +1

    Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli!
    Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Год назад +1

    Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Год назад

    Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri

  • @hassann4209
    @hassann4209 Год назад

    Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮

  • @huseinikhamiskibwa2545
    @huseinikhamiskibwa2545 Год назад

    Powa

  • @benjaminemiku8200
    @benjaminemiku8200 Год назад +3

    inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Год назад

    Waziri Mkuu✅

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Год назад +1

    Safi sana mkuu tunakipenda mnooo

  • @yunislemnhe9560
    @yunislemnhe9560 Год назад

    Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake

  • @yekoniakusiluka469
    @yekoniakusiluka469 Год назад

    Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu

  • @MmadiJuma-is2kz
    @MmadiJuma-is2kz Год назад

    Honngela munguakubaliki akupeuwepesi afya njema amin

  • @swalehembich2247
    @swalehembich2247 Год назад

    Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 Год назад

    Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA

  • @MajaliwaAssenga-ev9jg
    @MajaliwaAssenga-ev9jg Год назад +1

    Magufuli si huyu hapa

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Год назад +1

    Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 Год назад

    Baba Asante kwakututia moyo

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 Год назад

    Ndio👏

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад

    Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад

    Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Год назад

    Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Год назад

    Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu

  • @user-tt8bz5zs6b
    @user-tt8bz5zs6b 9 месяцев назад

    MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Год назад

    Wew nijembe safi sana.

  • @beatriceisack5317
    @beatriceisack5317 Год назад +1

    Ameni ameni

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Год назад

    Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 Год назад

    Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona

  • @gabumremi4876
    @gabumremi4876 Год назад

    sweka ndani

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n 5 месяцев назад

    Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Год назад +1

    Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru

  • @amehassanrehanirehani7906
    @amehassanrehanirehani7906 Год назад

    Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Год назад

    Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi?
    Maana........

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234 Год назад

    Mmm! Hiyo takukuru hiyo daaah! Hizo kazi si mgetupa sisi vijana ? Hao wezi piga chini hawapendi nchi yao

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +3

    Mama samia ikikupendeza nenda navmajaliwa miaka5 tena

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 Год назад +1

      Samia anatoka katiba ya ccm Rais anatoka bara samia alipata zari la mentaly tu, majariwa ndo Rais wa 25

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 Год назад

    Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now

  • @edosichilengwe3150
    @edosichilengwe3150 Год назад

    Eeeeeeh, hapo sawa chuma

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Год назад

    Hivi hamuwaonei huruma wananchi wanyonge kweli roho inaniuma sana

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 Год назад

    Hao wakurugenzi ndio mlio wafundishaga wizi mpaka wakaibaga uchaguzi wa 2020 hivyo wanaendeleza yale mafunzo ya wizi wa uchaguzi hivyo sioni kipyaa hapo. Uchaguzi mwingine unakuja hahahahahha

  • @johnjonath6687
    @johnjonath6687 Год назад +2

    Kwann uswze lahis, jamen, daaaa uko Kama magufuli 😭

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 Год назад

    Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Год назад

    Si peke take na hao wasimamizi wa taasisi zinazohusika kuchunguza hawafsi au wameshirikiana nae

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 Год назад

    Uyu ndiye mridhi wa jpm anaitwa Kasim majariwa magofuli

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 Год назад

    Piga kazi comrade

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Год назад

    Wakati umefika sasa wa kuweka sheria ya kuwafilisi na kuwanyonga hawa wanaochezea pesa za umma.Mwendo huu wa kuwashika tu na faini hautoshi.

  • @huseinikhamiskibwa2545
    @huseinikhamiskibwa2545 Год назад

    Wakalimejeera mpaka magodaun watujazie wananchi

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Год назад

    Hawa wakuu wa mikoa na wilaya ni mzigo.bora vijana wasipewe uongozi tamaa simewajaa

  • @ahmedshkeli85
    @ahmedshkeli85 Год назад

    Msaidie mama Ili tunufaike watu wa chini