UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2023

Комментарии • 55

  • @patoojonas8519
    @patoojonas8519 Год назад +10

    Tutamkumbuka magufuli daima milele

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Год назад +1

    Mungu akubaliki Sana Tena sana waziri mkuu, Chukua pointi hizo hata sekta ya madereva Haina mtetezi bungeni kwenye zile nafasi 10 tukumbukwe madere

  • @fnnyanda5993
    @fnnyanda5993 11 дней назад +1

    Ila kwa kweli watu wana Uchungu sana,TRA ichunguzwe.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Год назад +19

    Magufuri bado atakumbukwa kwa kuendesha nchi kibabe lakini alikua anasaidia sana upuuzi kama wa hawa wajinga tra

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 Год назад +2

      magufuli ndie alikuwa RAIS hawa wengine wezi tu

    • @mohamedelmi7435
      @mohamedelmi7435 Год назад +1

      Wakati wa magu nfio rushea ilikuwa kubwa kuliko sahivi, kitu kidogo una tishwa na ujumi chumi sisi ndio tunajuws ukweli

    • @butungo1
      @butungo1 Год назад +1

      Nilimpenda JPM

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Год назад +1

      @@mohamedelmi7435 we unaongea kidini peleka mavi huko

    • @Worldunite
      @Worldunite Год назад

      ​@@mohamedelmi7435 una uhakika wewe??? Labda ulikuwa nje

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад +3

    JOHN POMBE MAGUFULII AMMKAAAAAA HUKU WANANCHI MASIKINI WANAKUFAAAAAAA BABA.

  • @Gidionmbwaga
    @Gidionmbwaga Год назад +3

    TRA wanajua namba siyo hesabu nikwel kabisa.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад +3

    Tutakumbuka, JPM aliwaita wafanya biashara Ikulu na akawasikiliza changamoto zao na vile vile aliwaita wachimbaji madini na kuwasikiliza. inabidi tujifunze kama serikali yetu ni ya wananchi basi vilio vya wananchi lazima visikilizwe. Taasisi za serikali nyingi zina shida wengi wa watumishi wake wao wanaona wameukata! Kitu ambacho kinakaribisha rushwa!

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 Год назад +6

    Huu ni mfumo wa hovyo wa chama cha mapinduzi CCM CCM ilikuwa nzuri wakati wa JPM ,

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 15 часов назад

    Wametengenezewa mfumo wa kudai rushwa,na kweli rushwa wanasomba

  • @BarakaKatamba-xm2if
    @BarakaKatamba-xm2if Год назад +4

    Wapo pale mikumi wanatusumbua Sanaa nauli wanajipangiaa wao mkuu tusaidie na hilo

  • @chombasimon
    @chombasimon Год назад +1

    Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 9 месяцев назад +1

    Hao t.r.a wafuatiriwe mali wanazomiliki zilinganishwe na mishahara wanayolipwa

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 8 дней назад

    Mwelekeo mzuri kwani chama kitawanyosha na kuwafunza jiongeze wafanya bihashara wageuka wasomi na wasomi wageuka wezi na wanyanganyi ukiona mchanganyiko hio jua umefika Tanzania

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Год назад

    Daaa!! Mjombaa kaongea point Sana Sana serikali yachukueni hayaaa

  • @ahmadimbazi5843
    @ahmadimbazi5843 Год назад +3

    Fact

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 Год назад +2

    Siku ileile wakati wafanyabiashara walipokuwa wanalalamikia kuhusu hawa wajinga wa TRA jpm angewafukuza siku ileile pamoja na huyo waziri wao mwenye kiburi na huyo mama waziri wa biashara hajui kitu chochote

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 9 месяцев назад

    Nhi yote ni walarushea sasa mripuku umekuwa mkubwa hakuna atakayepona maisha yatakuwa magumu sana sifa mbaya kwa serikali na nchinzima jumla 🇹🇿

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 21 день назад

    Safii. Sana jamaa ameongea pwenti wafanya biashara tuwe na wawakilishi bungeni😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 Год назад +1

    Hamjawapiga shaba tu: ao TRA

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Год назад +8

    Ha ha ha!!! TRA wanajua namba hawajui hesabu!!!!!😁😁😁

  • @GreceMwalende
    @GreceMwalende День назад

    Huyu waziri wa wafanyabiashara msenge

  • @gabrieljohn6422
    @gabrieljohn6422 25 дней назад

    Daaah hii nchi CCM mlipo ifikisha MUNGU anajua

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Год назад +1

    Kwa kweli wanajeuri mno

  • @philemonbenjamin4225
    @philemonbenjamin4225 Год назад +3

    Kaka nimekuku bali

  • @user-we7uq1qh7p
    @user-we7uq1qh7p 21 день назад

    Wezi hao waache kuiba tufukuze washenzi hao kenge kbs wanaendesha magari mazuri na family zao nikuchoma izo nyumba na magari

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya1820 19 дней назад

    Ndio vizur chadema wpate chans

  • @shabanishemzize5655
    @shabanishemzize5655 18 дней назад

    Kweli kwa tanga mtihani kweli kweli

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne 6 дней назад

    MBONA HUYU MUONGEAJI HANA ADABU KATIKA KUONGEA KWAKE?

  • @user-vh7ll3vp7w
    @user-vh7ll3vp7w 22 дня назад

    Maginga' kama,, Maginga,,

  • @deusdickson
    @deusdickson Год назад

    Wanajua namba nn!!

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya1820 19 дней назад

    Hawa sasa tutawa shughulikia hatakwa mapanga

  • @mashachaney2048
    @mashachaney2048 Год назад +2

    Wanaume wanaumia hawa..wanaongea kwa maumivuuu😢😢

  • @ennyngalawa2809
    @ennyngalawa2809 Год назад

    Hawakutii mamlaka

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Год назад +2

    TRA inanuka Rushwa tupu

  • @JacksonMolely-kd7lr
    @JacksonMolely-kd7lr Год назад

    @

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Год назад

    kama kar limebalishwa maumbile je mabint wakibadilisha makaliyo .wanalipa tra .pret nomba imendondoka je nikilidisha no zile zile ni kosa

  • @hassanmasoud8167
    @hassanmasoud8167 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-jm8tr2ex4m
    @user-jm8tr2ex4m 22 дня назад

    Hii nchi inatakiwa umafia wa kufa mtu Yani mtu akikuonea kwenye biashara yako ni kumpoteza tu

    • @emmanuelndahan9815
      @emmanuelndahan9815 21 день назад

      Piga ndumba2

    • @user-jm8tr2ex4m
      @user-jm8tr2ex4m 21 день назад

      No way hapa mwendo wa kuwapiga utamaduni tu ( kama utakumbuka yule askari aliye zuia gari ya samaki hadi wakaoza, kilichomkuta

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 19 дней назад

    Tanzania raisi hayopo

  • @chombasimon
    @chombasimon Год назад

    Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.

    • @swedinjaidi4658
      @swedinjaidi4658 Год назад

      Sasa ye na TRA anahusikaje hapo mwigulu ndio muhusika na waziri wa biashara na viwanda

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Год назад +1

      @@swedinjaidi4658 asa we Kwa fikra zako unadhani Kwa nn ameitwa waziri mkui?????