Tutakumbuka, JPM aliwaita wafanya biashara Ikulu na akawasikiliza changamoto zao na vile vile aliwaita wachimbaji madini na kuwasikiliza. inabidi tujifunze kama serikali yetu ni ya wananchi basi vilio vya wananchi lazima visikilizwe. Taasisi za serikali nyingi zina shida wengi wa watumishi wake wao wanaona wameukata! Kitu ambacho kinakaribisha rushwa!
Mwelekeo mzuri kwani chama kitawanyosha na kuwafunza jiongeze wafanya bihashara wageuka wasomi na wasomi wageuka wezi na wanyanganyi ukiona mchanganyiko hio jua umefika Tanzania
Siku ileile wakati wafanyabiashara walipokuwa wanalalamikia kuhusu hawa wajinga wa TRA jpm angewafukuza siku ileile pamoja na huyo waziri wao mwenye kiburi na huyo mama waziri wa biashara hajui kitu chochote
Tutamkumbuka magufuli daima milele
Mungu akubaliki Sana Tena sana waziri mkuu, Chukua pointi hizo hata sekta ya madereva Haina mtetezi bungeni kwenye zile nafasi 10 tukumbukwe madere
Ila kwa kweli watu wana Uchungu sana,TRA ichunguzwe.
Magufuri bado atakumbukwa kwa kuendesha nchi kibabe lakini alikua anasaidia sana upuuzi kama wa hawa wajinga tra
magufuli ndie alikuwa RAIS hawa wengine wezi tu
Wakati wa magu nfio rushea ilikuwa kubwa kuliko sahivi, kitu kidogo una tishwa na ujumi chumi sisi ndio tunajuws ukweli
Nilimpenda JPM
@@mohamedelmi7435 we unaongea kidini peleka mavi huko
@@mohamedelmi7435 una uhakika wewe??? Labda ulikuwa nje
JOHN POMBE MAGUFULII AMMKAAAAAA HUKU WANANCHI MASIKINI WANAKUFAAAAAAA BABA.
TRA wanajua namba siyo hesabu nikwel kabisa.
Tutakumbuka, JPM aliwaita wafanya biashara Ikulu na akawasikiliza changamoto zao na vile vile aliwaita wachimbaji madini na kuwasikiliza. inabidi tujifunze kama serikali yetu ni ya wananchi basi vilio vya wananchi lazima visikilizwe. Taasisi za serikali nyingi zina shida wengi wa watumishi wake wao wanaona wameukata! Kitu ambacho kinakaribisha rushwa!
Huu ni mfumo wa hovyo wa chama cha mapinduzi CCM CCM ilikuwa nzuri wakati wa JPM ,
Wapeni tu kura za kutosha mpaka mtaelewa
Ingekuwa nzuri angebadilidha katiba
Wametengenezewa mfumo wa kudai rushwa,na kweli rushwa wanasomba
Wapo pale mikumi wanatusumbua Sanaa nauli wanajipangiaa wao mkuu tusaidie na hilo
Hahaha
Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.
Hao t.r.a wafuatiriwe mali wanazomiliki zilinganishwe na mishahara wanayolipwa
Mwelekeo mzuri kwani chama kitawanyosha na kuwafunza jiongeze wafanya bihashara wageuka wasomi na wasomi wageuka wezi na wanyanganyi ukiona mchanganyiko hio jua umefika Tanzania
Daaa!! Mjombaa kaongea point Sana Sana serikali yachukueni hayaaa
Fact
Siku ileile wakati wafanyabiashara walipokuwa wanalalamikia kuhusu hawa wajinga wa TRA jpm angewafukuza siku ileile pamoja na huyo waziri wao mwenye kiburi na huyo mama waziri wa biashara hajui kitu chochote
Nhi yote ni walarushea sasa mripuku umekuwa mkubwa hakuna atakayepona maisha yatakuwa magumu sana sifa mbaya kwa serikali na nchinzima jumla 🇹🇿
Safii. Sana jamaa ameongea pwenti wafanya biashara tuwe na wawakilishi bungeni😭😭😭😭😭😭😭😭
Hamjawapiga shaba tu: ao TRA
Ha ha ha!!! TRA wanajua namba hawajui hesabu!!!!!😁😁😁
Huyu waziri wa wafanyabiashara msenge
Daaah hii nchi CCM mlipo ifikisha MUNGU anajua
Kwa kweli wanajeuri mno
Kaka nimekuku bali
Wezi hao waache kuiba tufukuze washenzi hao kenge kbs wanaendesha magari mazuri na family zao nikuchoma izo nyumba na magari
Ndio vizur chadema wpate chans
Kweli kwa tanga mtihani kweli kweli
MBONA HUYU MUONGEAJI HANA ADABU KATIKA KUONGEA KWAKE?
Maginga' kama,, Maginga,,
Wanajua namba nn!!
Hawa sasa tutawa shughulikia hatakwa mapanga
Wanaume wanaumia hawa..wanaongea kwa maumivuuu😢😢
Hawakutii mamlaka
TRA inanuka Rushwa tupu
Jamani mugufuli amka kidogo uje uone nchi yako
Mkataa pema pabaya pametuita
@
kama kar limebalishwa maumbile je mabint wakibadilisha makaliyo .wanalipa tra .pret nomba imendondoka je nikilidisha no zile zile ni kosa
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii nchi inatakiwa umafia wa kufa mtu Yani mtu akikuonea kwenye biashara yako ni kumpoteza tu
Piga ndumba2
No way hapa mwendo wa kuwapiga utamaduni tu ( kama utakumbuka yule askari aliye zuia gari ya samaki hadi wakaoza, kilichomkuta
Tanzania raisi hayopo
Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.
Sasa ye na TRA anahusikaje hapo mwigulu ndio muhusika na waziri wa biashara na viwanda
@@swedinjaidi4658 asa we Kwa fikra zako unadhani Kwa nn ameitwa waziri mkui?????