OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 117

  • @fadhilinzano5840
    @fadhilinzano5840 Год назад +5

    Spirit ya Magufuli naiyona ndani ya waziri mkuu Ana uchungu na nchi na huu ndio mwenendo wa magufuli alikuwa anaongea na mtu wa chini na waziri mkuu ndio anachofanya mungu ibariki Tanzania waziri wetu kasimu majaliwa awe raising wetu

    • @yesuanikumbukejanuary8363
      @yesuanikumbukejanuary8363 Год назад

      Nikweli kabisa wazili mkuu alifaa awe RAISI wetu sema basi nampenda buree ana ijua shida ya wa tu wahali ya chini jamaani watu wana ungua na maisha nyie acheni tuu.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Год назад +9

    Hongra mh waziri mkuu mola akuongonze kwa kuwatetea wa Tanzania

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Год назад +9

    Waziri mkuu umefanya vizuri sana kuchukuwa machungu kwa kila mmoja na watu wamefunguka kero zao zote kwa uhuru nashukuru Asante sana

  • @maisarahnassoro814
    @maisarahnassoro814 Год назад +3

    Tena mheshimiwa huyu ana upendo na huruma na akisimamia jambo analisimamia kweli inn shaa Allaah ipo siku utakua Rais inn shaa Allaah Allaah akupe afya njema umri mrefu wenye furaha na Allaah akupe mwisho mwema husnulkhaatima hii coment inn shaa Allaah nitakuja kuisoma tena kipindi hicho ushakua rais

  • @hashimgovea4070
    @hashimgovea4070 Год назад +2

    Ewe mwenyezi mungu mjalie afraid njema kipenzi cha watanzania mh,Waziri mkuu wetu huyu ndio kimbilio wa wanyonge

  • @rabiahamadi5866
    @rabiahamadi5866 Год назад +9

    Mzee usingetaja sehemu unayokaa lakini big up baba angu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +9

    Kikubwa utekelezaji mkuu na SI kusikiliza tu.

  • @rahamamohd3075
    @rahamamohd3075 Год назад +9

    Baba Mungu akulinde

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Год назад +10

    Huyu ndio waziri mkuu

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Год назад +5

    Waziri mkuu anaupendo na huruma sana

  • @leonardnelson5307
    @leonardnelson5307 Год назад +6

    Wachane ostadh 😢😢😢#biashara zetu ndio maisha yetu👏👏👏👏

  • @FRESHSLEEMAHMED
    @FRESHSLEEMAHMED Год назад +5

    Kweli kabisa shehee wangu

  • @renatusmahombwe3093
    @renatusmahombwe3093 Год назад +8

    Ni kweli China inalinda wananchi wake katika suala la biashara duniani kote

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Год назад +4

    Maajabu mdada ashangilia mpaka kuvua nguo zote kisa yanga wamefunga magori 2

  • @ezekiasanga9320
    @ezekiasanga9320 Год назад +1

    Mungu akubariki sana mkuu waziri

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Год назад +1

    Mubunge alievalia suti blue da,kapendeza❤

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 Год назад +5

    Uncle Magu we miss you for sure

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Год назад +1

    Kaka ❤❤❤

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Год назад +2

    Safii Sana Waziri mkuu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 11 месяцев назад

    Waziri Mkuu MUNGU akuingize IKULU baba

  • @ismailysaidy884
    @ismailysaidy884 Год назад +4

    dah wee jamaa gombea urais mimi ntakupigia kampen buree

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад

    Waziri mkuu ni mtu sahihi sana kwenye hili Taifa ila mabosi wake wanamwangusha.

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад

    Sawa sawa sheikh wangu

  • @niahpike8593
    @niahpike8593 Год назад

    Ccm wakija leta ujinga wakazika alichopanga Mungu juu ya Uyu mh Waziri mkuu haki watapata laana mbaya sana

  • @Eliaskihagatv
    @Eliaskihagatv Год назад

    Hongera sana ostaz

  • @JustineMwarabu
    @JustineMwarabu Год назад +1

    Kweli kabisa ulicho kisema shee umeongea poity tupu

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Год назад +1

    Safi sanaaaa sheheeeeee❤❤❤❤

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v Год назад +3

    Umefunguka kwa uchungu mnooo

  • @rashvokotz1205
    @rashvokotz1205 10 месяцев назад

    🙏🤝kwel sana anacho sema mzee

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Год назад +1

    Wafanyakazi wa Serikali hawaliziki namishahara wanashindana kujenga majumba yakifahari kwa dhuruma kuibia serikali nawanchi kiujumla

  • @habibarashdi2250
    @habibarashdi2250 Год назад +2

    Watu wamefunguka Sana maskini km jpm alivyokua anafanya

  • @mihambomahona8129
    @mihambomahona8129 Год назад +2

    Aje awe Rais wetu badae huyu mwamba

  • @nuryally7015
    @nuryally7015 Год назад +1

    Namkubali sana waziri mkuu hakuna kama wewe

  • @user-hu7li2sn8x
    @user-hu7li2sn8x 11 месяцев назад

    Namkubar waziri wetu 2:24

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Год назад +2

    Daaaa watu kama hawa wajengewe masanamu😂

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Год назад +2

    Kweli kawanyea 😄😄😄😄😄

    • @rehema971
      @rehema971 Год назад

      Hali ni mbaya sana Kwa ajili majiji ni waizi huwa wanapewa rushwA watu wasikate leseni mapato yanapotea sana na waokata leseni. Wanashidwa kuliba mapato Kwa sababu wanauza beii ya chini

  • @goodluckmlaki5595
    @goodluckmlaki5595 Год назад

    Yaan inasikitisha Sana kuona jinsi watu wananyanyasika na utakuta nikakijana kamepata kazi TRA KANAWANYANYASA WATZ WENZAKE

  • @musagodfrey5729
    @musagodfrey5729 Год назад

    Nikimkumbuka yule kijana aliyenikadiria mapato TRA nikashindwa kulipa mpka nikafunga biashara nikaja kutana nae kanisani da! Roho iliniuma na mpka sasa nikimkumbuka Roho inauma.

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 Год назад +3

    Rip magufuli

  • @athumannyiddy1886
    @athumannyiddy1886 Месяц назад

    Waziri angefaa kua raisi wangalau tungeinjoi

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Год назад +1

    Tunashukuru sn mze wangu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Год назад +3

    Daa inasikitisha

  • @leonardnelson5307
    @leonardnelson5307 Год назад +3

    MUNGU atakulinda

  • @ELPHAZJAVANAMONAMON
    @ELPHAZJAVANAMONAMON 2 месяца назад

    Hawa mashekh ndo walikuwa wapingaji wakuuu wa magufuli walimchukukia Sanaa, ila amekubli hakuna wakati mgumu kwao kamavawamu hiii ya samia ,ama kwel magufuli ni alale pema pepon

  • @AndersonMakala-vm6im
    @AndersonMakala-vm6im Год назад

    Ostazi

  • @emmanuelbaldwin4822
    @emmanuelbaldwin4822 Год назад

    Vichee

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 Год назад

    Mungu awabariki sn

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Год назад +1

    Najuwa wazarendo watakuunga mkonooo mkuu ila

  • @user-lf3vd1xx2p
    @user-lf3vd1xx2p 11 месяцев назад

    Watu lazima wafunguke

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Год назад +3

    Muheshimiwa sisi watu wachini tumenunua hisa kwenye makampuni simu kwa ushawishi wa serekali mimi nimenunu his 5500 kwa kampuni ya vodacom kwathamani ya karibu milioni tano toka mwaka 2017 ila kila mwaka wanatangaza asara wanafanya biashara kwa fedha zetu sisi hatupati kitu hiyo nisawa?, muheshimiwa waziri mkuu au mnamkono wenu hapo?, maana tumenunua hisa kwenye mabenki ya serekali.

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Год назад +2

    nihasira mpaka nimekosea kuandika ni mawaziri wakuvaa nemboo yataifa wanajiita wazalendo

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 Год назад +3

    Mzee katema cheche😂

  • @saalaf8325
    @saalaf8325 Год назад +2

    Naam mze watufikilie

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Wamekua wiziii sanaa hao jamaaa wananunua magari tuuu herazetuuu niwezi ndioo 😢😢😢

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Год назад

    Dah TRA wezi kabisa badala ya kuifaidishs serikali ela wanaweka mifukoni mwao

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Год назад +1

    RIP JPM🙏😢🇹🇿

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Год назад +2

    Hii inchi wakabiziwe wafanya biashara tyu

  • @AmedeKaishe
    @AmedeKaishe 2 месяца назад

    Ozaa

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Год назад

    Kweli ,foreigners sioni haja yao kufanya biashara za wazawa wakawekeze kwenye miradi mikubwa huko na walipe kodi zote maana hata sisi hatupewi nafasi ya kumiliki hizo kampuni

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Год назад

    TRA ,kumamae zenu

  • @semenimpanda-lr7om
    @semenimpanda-lr7om Год назад +1

    Ongea baba

  • @chinganasoMungo-vv9cz
    @chinganasoMungo-vv9cz Год назад

    Beka favour =

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp Год назад

    Bora waziri mkuu mupite kwa wananchi kwani wale tulio wachagua wanalala na kuchati tu kwenye bunge

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 11 месяцев назад

    VIONGOZI WOTE WANGEKUA WANASIKILIZA MATATIZO YA WANACHI TUNGEKUA MBALI LKN MPK WAZIRI MKUU.SHIDA TUPU.

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Год назад

    Achani kuwabeba waharifu mtu akikosa mfukuze muweke mwingine kuliko kumhamisha ni kosa la jinai

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 Год назад

    Ustaz aneamua kuunguza utambi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Год назад

    Walikuwa wanasema wakati wa JPM ndo ulikuwa mgumu ,ila huu hapana wakati huu ni zaidi ya jehanamu ,maisha magumu uuuu dhuruma zimezidi wanadharau kama hawatakufa lakini wanajidanganya MUNGU hatowaacha salama ,atashughulika nao

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 Год назад +1

    Hmnakitu hpo alikuwA jpm tu Hakuw namzaha kbs

  • @annadaudi3114
    @annadaudi3114 Год назад

    Hii nchi tunaishi Kama watumwa ndani ya nchi yetu loooh Hawa mbinguni hawaendi

  • @JemsiMbilinyi-if5ho
    @JemsiMbilinyi-if5ho Год назад

    Zambia Raha sn sukar buku jelo bongo buuku jelo

  • @TitusBett-rl6gu
    @TitusBett-rl6gu Год назад

    Wow 🎉

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Год назад

    Weka kauli mzuri mbona walio pita hukusema ma pasta wamepita kavaa kanzu

  • @etoyi2664
    @etoyi2664 Год назад

    Tanzania tumeshama tumehenda Kenya hatulipi Kodi Kama machinga

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Год назад

    Mtasema lkn hao ccm n wafanyakazi wao

  • @BabuJuma-ze6to
    @BabuJuma-ze6to Год назад +1

    Shukrani nawe

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    inaonekama wafanya biashara kariakoo wengi usalama na ccm ndomana hamna mamuzi mkifunga maduka wiki 2 watatuliza wenyewe hao mnalalamika mnaleta siasa jampen za ccm hizi ni njama tu miaka 50 mnalalamika

  • @mwakondoyakub2444
    @mwakondoyakub2444 Год назад

    Kweli tupu

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Год назад +2

    Hao unaowashukuru ndio wezi wenyewe

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Год назад

    Vizuli

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Год назад

    Mmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 Год назад

    Ndio maana watu wanaugua magonjwa mengi wakishastahafu kwa sababu ya dhuruma
    Wanatenda dhuruma nyingi wakati wakiwa kazini na kutumia vibaya madaraka yao😢

    • @maisarahnassoro814
      @maisarahnassoro814 Год назад +1

      Ni kweli watu wanadhulumiwa hawana cha kufanya wanamhukumia kwa Mungu ndio maana yanawakuta madhila

    • @mariamjuma4136
      @mariamjuma4136 Год назад

      @@maisarahnassoro814 yaani baadhi wajui kama dhuruma mbaya dhuruma ina felisi
      Dhuruma inaleta maradhi dhuruma ina felisi
      Dhuruma inaondoa kheri
      Ukidhurumu unajidhurumu mwinyiwe MUNGU apabariki penye dhuruma
      Wengijua ubaya wa dhuruma wengiiogopa Ata shilingi moja

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Год назад

    sure

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Год назад

    TRA wanahitaji usimamizi angalau hata MWKT wa ccm mkoa ahakikishe wanatumia sheria za biashara kwa manufaa ya wafanyabiashara, na walaji ili waache kuzipindisha ama kuzigeuza fimbo kwa wananchi kisa hakuna mtu wa kuwafuatilia,wanakua wannyama waroho wasio na utu wala uaminifu katika nafasi zao!

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Год назад +2

    Huyu anaemsifia waziri wafedha huyu nikibaraka waserekari

  • @Issaissa-dg7yn
    @Issaissa-dg7yn Год назад

    Issa

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Год назад

    Rais

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Год назад

    Katba mpya ndo suruu ya hao hao kwn wameanza leo ??

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Год назад

    Waziri wa fedha atimuliwe hivi huyu mama anasikia watanzania wanavyoumia lkn? Waziri mkuu nakukubali lkn km waziri wa fedha ataendelea kuwepo madarakani basi ata wrwe ni walewale tuu, mtikisiko woote huu bado mumukumbatie tuu, atatuibia mpk tukome labda km na nyie mna asilimia zenu huko kweny hiyo dhuruma wanayofanya wazir wa fedha na vijana wake

  • @wisealiy
    @wisealiy Год назад

    @Mbengo Tv Kajifunze lugha ya Kiswahili ili uweze kuzungumza na kuwasilisha taarifa vizuri. "kengere"

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Год назад

    Mmmhhhhh

  • @hidayapaulo6752
    @hidayapaulo6752 Год назад

    Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja🤐

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Год назад

    Wewe ndio kidume

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад

    Mchina analipa kodi laki mbili tu? Kwa pato lipi? Kodi I naenda a na pato. Huyu mchina na huyu kaka ni Sawa na mchina msambazaji kweli?

  • @richardjmadebe727
    @richardjmadebe727 Год назад +1

    Police kweli wezi unajua sababu hawalipwi sitahiki zao Askari anahamishwa zaidi ya vituo vitano halipwi pango halipwi sare maji umeme anapeleka mhalifu mkoa Hadi mkoa zote ni garama zake anatumia mshahara wake unategemea Nini? Ataishi vp? Lazima tafute kipato Cha ziada

    • @fredrickkagusa3915
      @fredrickkagusa3915 Год назад +1

      sawa bora uache kazi kuliko kuwa kazini kazi ambayo haina manufaa kwa mhusika ni dhambi kuchukuwa pesa ambayo ipo kinyume na utaratibu yesu aliulizwa na askari na sisi je tufanye nini akawaambia rizikeni na mishahara yenu hivyo kama kazi ni kikwazo ni bora uache pia yesu alisema yuaheri mtu akaingia Mbinguni akiwa anachongo kuliko kuingia kamili ilihari jicho limekukosesha

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Год назад +1

      @@fredrickkagusa3915 umetish sana kwanukuuu hzo

    • @masaimollel2525
      @masaimollel2525 Год назад +1

      @@fredrickkagusa3915 ongera sana ujumbe mzuri

    • @masaimollel2525
      @masaimollel2525 Год назад +1

      Hacha kazi kwaiyo nawewe si ugome ili serikali ifanye Kuja kuongea nanyi km hivyo kuliko kuwaumiza watu ambao hawana hatia

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Год назад

    ❤❤❤

  • @rahamamohd3075
    @rahamamohd3075 Год назад +2

    Wa kwanza leo like zangu

  • @user-jj2ws1fr1x
    @user-jj2ws1fr1x Год назад

    Hakuna mtu anaekwenda mbinguni

  • @user-gn7zw8of4h
    @user-gn7zw8of4h 7 месяцев назад

    Muzzekachiwajembe semaamekakosawongoziwakumirikihekaa iriajuweanavoyirimavizuri&😂

  • @JapharSaid-yj3sh
    @JapharSaid-yj3sh Год назад +1

    Xxxxxxxxxx