KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 482

  • @user-ff9ft1pk2n
    @user-ff9ft1pk2n Год назад +65

    Likes kwa muha 🔥🔥🔥

  • @jmc2196
    @jmc2196 Год назад +20

    Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri 😭😭😭 RIP baba

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 Год назад +41

    Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa 😢

  • @user-rr1lw7sz6h
    @user-rr1lw7sz6h Год назад +18

    Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra

  • @kastusbonifas2674
    @kastusbonifas2674 Год назад +11

    ❤❤waha wakipewa nchi tutakuwa salama sana😂

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +19

    Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipua❤😂😂😂😂

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад +31

    Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah 🙏

  • @joelmwita3592
    @joelmwita3592 Год назад +17

    Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +10

    Huyu kweli kigoma

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Год назад +20

    Hatari sana 😂😂😂 anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa

  • @allykimeru944
    @allykimeru944 Год назад +3

    Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe 🍀🌼🏵️🌺🌷💐yake

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Год назад +12

    Muha original amechomoa battery 😂😂😂😂😂

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Год назад +8

    Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Год назад +29

    Huyu mwamba apewe 💐🌹💐 yake mapema

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Год назад +14

    Waha hatuna dogo😄

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Год назад +3

    Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee

  • @martintssoray5352
    @martintssoray5352 Год назад +10

    Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад +8

    Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 Год назад +2

      Uwanja wa ndege ni balaaa😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod 🥹🥹🥹

  • @olomympwa4211
    @olomympwa4211 Год назад +3

    From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +43

    MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Год назад +1

      Maliza wewe bwegest

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli

    • @AdamFundikira-kk5oj
      @AdamFundikira-kk5oj Год назад +5

      ​@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto

    • @achsahcharles6728
      @achsahcharles6728 Год назад

      Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад +1

      @@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 Год назад +8

    R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 Год назад +11

    Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +12

    Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Год назад +3

    Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali 😂

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Год назад +16

    Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.😢😢

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Год назад +1

    Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .

  • @thatboywithakeyboard9292
    @thatboywithakeyboard9292 Год назад +8

    Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.

  • @vumiliamtakati-zd3nc
    @vumiliamtakati-zd3nc Год назад +4

    Aiseeee inauma sanaaa

  • @georgemaganga3804
    @georgemaganga3804 Год назад +16

    Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 Год назад +36

    Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.

    • @magembekisabo9632
      @magembekisabo9632 Год назад

      Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?

    • @zaharahassan-et7ui
      @zaharahassan-et7ui Год назад

      ​@@magembekisabo9632
      Kimekuumaeeee

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 Год назад

      ​@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana

    • @hassanihussein4479
      @hassanihussein4479 Год назад +2

      Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka

  • @jacksonjamesndyabawe495
    @jacksonjamesndyabawe495 Год назад +3

    Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua

  • @fredymwinuka5133
    @fredymwinuka5133 Год назад +14

    Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwangu👍👍

  • @elishapaul9423
    @elishapaul9423 Год назад +4

    Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Год назад +4

    Huyu brother k au 👏👏👏👏

  • @isayajustin
    @isayajustin Год назад +4

    Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo

  • @magokola2376
    @magokola2376 Год назад +10

    watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Год назад +6

    Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz Год назад +28

    Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +2

      Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.

    • @rabwarab574
      @rabwarab574 Год назад +1

      Brother k noma sana😅😅

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 Год назад +7

    Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi

  • @salha6596
    @salha6596 Год назад +12

    Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo 😭😭😭😭

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Год назад +1

    Heeh Sina hata la kusema naona hatari hiyoo!!.

  • @zahramoo4760
    @zahramoo4760 Год назад +9

    Hawana adabu hataaaa chembeeee

  • @LudelemulaMabula-cn3mw
    @LudelemulaMabula-cn3mw Год назад +3

    Uyo ndo kanyasha maneno

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Год назад +6

    Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад +28

    😂😂😂😂 muha oyeee

  • @owoyesigirehannington6822
    @owoyesigirehannington6822 Год назад +3

    Uganda ni tambararee kweli

  • @victormneney1307
    @victormneney1307 Год назад +4

    Magufuli angekwepo
    simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine 🇹🇿 twende mbele

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Год назад +27

    Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +6

      Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад +1

      Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.

  • @danniellussendela4382
    @danniellussendela4382 Год назад +4

    Huyu muha kweli

  • @vedastamalekela8711
    @vedastamalekela8711 Год назад +1

    Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi

  • @israelimjema4573
    @israelimjema4573 Год назад +16

    Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point

  • @priscajackson240
    @priscajackson240 Год назад +2

    Hata mza tunasumbuliwa na asikari

  • @aronjmabindo8544
    @aronjmabindo8544 Год назад +2

    Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Год назад +9

    Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa Год назад +4

    Rushwa ni jipu kwa taifa!!

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies Год назад +1

    Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie

  • @geladjuma6897
    @geladjuma6897 Год назад +3

    Mpeni mauwa yake muha og

  • @erickmsaki9383
    @erickmsaki9383 Год назад +1

    Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice

  • @fredrickmandia1741
    @fredrickmandia1741 Год назад +2

    Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Год назад +3

    Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana

  • @user-es6wx3dh6z
    @user-es6wx3dh6z Год назад +28

    Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Год назад +3

    Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Год назад +1

    Apew ulinz 💪💪💪👍👍

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Год назад +1

    Safi sana

  • @SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd
    @SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd Год назад +2

    Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO

  • @isaacphilemon5599
    @isaacphilemon5599 Год назад +1

    Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,😭😭😭

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Год назад +4

    Sema baba

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru6735 Год назад +2

    Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Год назад +2

    Wasafi bwana eti Muha 🤣🤣kwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes Год назад +1

    Kimewaka💯💯💯💯💯💯💪💪💪💪💪💪

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Год назад +2

    Proudly to be a man from KIGOMA capital 🔥🔥🔥🌟

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Год назад +1

    Ni kweli kabisa polisi .na tra... Wapi kwa wapi

  • @andrewemanuel2213
    @andrewemanuel2213 Год назад +1

    Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Год назад +1

    Ongea poti ndugu yangu hakia'mungu

  • @maherzain2555
    @maherzain2555 Год назад +42

    Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 Год назад +14

    Rest in Peace Magufuli we Missing you

  • @danieldm92
    @danieldm92 Год назад

    Ahsante sana mdogo wake brother K.

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto1087 Год назад +1

    Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254

  • @sekelamwasomola1864
    @sekelamwasomola1864 Год назад +5

    Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma

  • @salimswedy6114
    @salimswedy6114 Год назад

    Huyo ndio nyenge

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад +3

    Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад +1

    Hapa ndo namkumbuka Magufuli aisee

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Год назад +2

    Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya

  • @raymonddaud9835
    @raymonddaud9835 Год назад +3

    Ungechelewaa angeenda na maiki, Mha kachukia kwelii

  • @husseinmagari3245
    @husseinmagari3245 Год назад +3

    sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao

  • @danielshauri9054
    @danielshauri9054 Год назад +1

    Ukweli wanatunyoosha

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Год назад +2

    Muha nimekupenda❤❤

  • @samsungtz9148
    @samsungtz9148 Год назад +2

    Muha ameupiga mwing😂

  • @mkwabisabina1448
    @mkwabisabina1448 Год назад

    Du, Mungu airehemu hii nchi!

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga6544 Год назад +2

    Police na mambo ya TRA wapi na wapi😂😂😂😂

  • @stevensimtowe
    @stevensimtowe Год назад +3

    Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani

    • @user-up1pp5is3z
      @user-up1pp5is3z Год назад

      Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba

  • @rahimadam662
    @rahimadam662 Год назад +6

    MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Год назад +1

    Sema ukweli

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Год назад +4

    Nchi Ishakuwaa Shamba La Bibi Saiv
    R.I.P NGOSHA MAGUFURI

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Год назад

      Watumwa wa magufuli mnakera kwa mini hammfuati huko aliko mkashitaki?

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 Год назад

      ​@@marcokaroje8980 wivu mpka kwa marehemu duh😅😅😅 ndo washamsifia ka hupendi Kanye boga Fala wewe

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Год назад +6

    Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Год назад +5

    Daahhh mbungi kama hiz saizi za magufuri kabsa yaan

  • @nairathamad2584
    @nairathamad2584 Год назад +9

    Roho Imeniuma kwakwel 😙

  • @yusufwazili5359
    @yusufwazili5359 Год назад

    Mmhh!!! Ya kaisali,,,ya mungu mpe mungu,,hii nchi ngumu,,watawala wanapitiliza kutawala,,hadi wanajiona wao ndiyo watu wengine siyo watu,,,

  • @ramadhanisalum7547
    @ramadhanisalum7547 Год назад +1

    Tatizo ata tukimwambia wazili mkuu ana meno sikuizi sijui nini tatizo aya maneno ndo yameishia hapo hapo