VUNJA BEI AMWAGA MACHOZI MBELE YA WAZIRI MKUU, WANACHO KIFANYA TRA SIO SAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 48

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 3 месяца назад +10

    Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana

  • @ibrahimpilla2731
    @ibrahimpilla2731 Год назад +12

    Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana

    • @CHRISTINAMAGASI
      @CHRISTINAMAGASI 7 месяцев назад

      😂ww ulipata nn jmn

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 3 месяца назад

      Yeye alipata zero

    • @adamnguvu1020
      @adamnguvu1020 3 месяца назад +2

      Kupiga one sio tatzo unaweza kupga one naukashindwa concept

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 9 месяцев назад +5

    Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 3 месяца назад +3

    Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.

  • @JumaMarwa-hc9te
    @JumaMarwa-hc9te 2 месяца назад +2

    𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑔𝑒𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 ℎ𝑎𝑢𝑘𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎 😂😂😂

  • @annabadru2352
    @annabadru2352 Год назад +7

    Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey

  • @kianda973
    @kianda973 Год назад +8

    Huyu jamaa ni mwamba

  • @Voxmediatz
    @Voxmediatz 2 месяца назад +2

    Aliyesoma kasoma

  • @willisonTheonest
    @willisonTheonest 3 месяца назад +3

    Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka

  • @nasibukajenga8443
    @nasibukajenga8443 2 месяца назад +1

    Namjua huuuu mwambaa kapigaga one pale chuo

  • @IssaPagali
    @IssaPagali Год назад +2

    Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 9 месяцев назад +2

    Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @happymasha4318
    @happymasha4318 Месяц назад

    elimu ya kodi iwekwe kwenye silabasi za shule ili kila mtoto aweze kusoma na kuelewa kuliko kusoma mambo ya watu yakikoloni

  • @brianlaroya8185
    @brianlaroya8185 Год назад +2

    Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu

  • @roberttarimo3957
    @roberttarimo3957 3 месяца назад +4

    Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana

  • @yohanasimoni
    @yohanasimoni Месяц назад

    Waziri anapata madini toka kwa vunja bei

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Год назад +3

    Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana

  • @Fefetubes
    @Fefetubes Год назад +3

    Jamaa anaakili hadi anaakili tena

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 3 месяца назад +1

    Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko

  • @SebastianJohnkontable
    @SebastianJohnkontable 2 месяца назад +1

    Wasomi wamechili kinoma

  • @sabrinayahaya952
    @sabrinayahaya952 Год назад +2

    Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 3 месяца назад +1

    Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад +1

    mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa

  • @yohanasimoni
    @yohanasimoni Месяц назад

    Vunja bei awe mbunge

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Год назад +1

    C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад +2

    Vunja beiukosawa nduguyetuu

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 Год назад +8

    Safi sana vunja bei,.
    Concepts nzuri sana

  • @BetresChambo-uv4qb
    @BetresChambo-uv4qb 2 месяца назад

    TRA MCHUKUENI VUNJA BEI AWAPE MAARIFA YA ULIPAJI WA KODI NA KUTOFAUTISHA WAFANYABISHARA WAKUBWA NA WADOGO NA MACHINGA WENYE MTAJI WA CHINI YA M.3

  • @JosephHewan-qb1uq
    @JosephHewan-qb1uq 3 месяца назад +1

    binamu humeongea vizurisana 🎉❤

  • @JacksonMwinga
    @JacksonMwinga 3 месяца назад +1

    Saf sana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Год назад +1

    Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Год назад +2

    Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria

  • @akberyuda5950
    @akberyuda5950 Год назад +2

    VUNJA BEI KICHWA SANA

  • @joisejimmy750
    @joisejimmy750 Год назад +1

    Mwiguru aende burundi

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Год назад +1

    Alama ya Kengerre

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Год назад +1

    Mwanzo wa ngoma ni --- - -

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukas 3 месяца назад +2

    Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake

    • @RoseKaiza-g2j
      @RoseKaiza-g2j 3 месяца назад

      Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Linashangaa shanhaa tu. Sup umemshuka kutokea maneno take.

  • @ramsonmpulule6264
    @ramsonmpulule6264 8 месяцев назад

    Kichwa xana

  • @SamwelMsovela-nn8ci
    @SamwelMsovela-nn8ci 2 месяца назад

    🙏🙏🙏

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 3 месяца назад

    Mh

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Год назад

    Ccm nnchi imewashinda waondoke

  • @Fefetubes
    @Fefetubes Год назад

    Genius