EXCLUSIVE: MJUE ALBERT CHALAMILA TOKA ENZI ANASOMA,Akiwa MWALIMU MPAKA kuwa MKUU wa MKOA WA DAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2024
  • #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #efm #millardayo #exclusive #santzmedia #dullysantz #ccm
    FUATILIA HISTORIA INAYOSISIMUA KUHUSU MAPITO MAGUMU YA MHS; ALBET CHALAMILA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWASASA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 29

  • @-vu2cs
    @-vu2cs 20 дней назад +3

    Nilitaraji utamwelezea kiundani lakn hujafanya Ivo... Wakati mwingine twambie Hadi shule walizosoma , pia vujiji walivyokilia lakini kazi tunaenjoy keep on doing Broo.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  20 дней назад +1

      Ahsante. Kwa maoni yako Rafiki 🙏

    • @-vu2cs
      @-vu2cs 20 дней назад

      @@Santzmedia 🙏🙏

  • @mohamedrashidi8197
    @mohamedrashidi8197 9 дней назад +2

    Umemjua juzi 2021 ndipo unakuja kutudanganya yani tarehe za matukio zmeanza kuonekana 2021,huko nyuma unasema alikua mwalimu tuambie ni mwaka gan had mwaka gan na ktk shule zipi?chalamila ni mtunzi na mwimbaji hata you tube yupo mbona hujaonesha kwenye historia?umekurupuka jipange

  • @damasiasimba-lk5os
    @damasiasimba-lk5os День назад +1

    Msimuliaji ni mvivu wa kutafuta historia ya mtu, amesoma while gani

  • @SurprisedCricket-gh4hj
    @SurprisedCricket-gh4hj 2 часа назад

    Huu ni uongo wa wazi kateuliwa kua mkuu wa mkoa wa mbeya 2018 iweje mpk 2021 atumikie miezi mi4 tu akiwa mbeya? Usikurupuke kijana

  • @izackkitomo6825
    @izackkitomo6825 19 дней назад +2

    Usitoe historia ya mtu bila kuonyesha details indeed..... Unasema kasoma shule ya msing,sekondar,chuo,kazaliwa Kijiji Cha iringa.... IRINGA inakijiji kimoja brother?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  19 дней назад +2

      Ahsante kwa maoni yako!!!?

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 20 дней назад +3

    Kazaliwa mwaka gani?

  • @emmanuelmahenge-z7u
    @emmanuelmahenge-z7u 10 дней назад +2

    Fatilia history yake vizuri ndo useme unaferi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 дней назад +1

      Ok. Ahsante kwa maoni yako

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 18 дней назад +2

    Mhehe tu.

  • @JapharyMawanza-mj1fv
    @JapharyMawanza-mj1fv 14 дней назад +1

    Suruhu

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 15 дней назад +2

    Tujue habari zake kwa manufaa gani?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  15 дней назад +1

      Amekukosea nini Kwan?

    • @epimackjohn461
      @epimackjohn461 14 дней назад

      Hajanikosea lakini kuna faida gani watu kujua habari zake ?

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 19 часов назад +1

    Hizo taarfa zako sio sahihi huyu chalamila ambaye namjua mmi mbna huyu jamaa akili zake zina mutosha ye mwenyewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  17 часов назад +1

      😆😆😂 Embu Tuambie Zinamtoshaje!!?

  • @josephatkajange8714
    @josephatkajange8714 15 дней назад +3

    Nimjue wa nini?

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 4 дня назад +1

    😢😢😢 the worst history in my history of history telling....haujafanyia research umechukua tu videos na fikra zako ukatusimulia tu. Jipange unaharibu future yako ....una sauti mzuri ila hauna material kichwani ...

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 17 дней назад +1

    KUFAULU MTANGAZAJI BHANA NA SIO KUFAURU

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 17 дней назад +1

    wewe ni hujafanyia reaserch habari yako ndo maana fupi ka mavi ya mwishoni

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  17 дней назад

      Fupi kivipi rafiki

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 10 дней назад

      @@Santzmedia huoni ilivyo..uchambuzi haujajitoshereza

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o 8 дней назад +3

    Baba huyu angekuwa komed angefaa sana tena timu yao ingekuwa timu Hananja na chalamila wangeuza sana