EXCLUSIVE: MJUE ALBERT CHALAMILA TOKA ENZI ANASOMA,Akiwa MWALIMU MPAKA kuwa MKUU wa MKOA WA DAR
HTML-код
- Опубликовано: 30 июн 2024
- #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #efm #millardayo #exclusive #santzmedia #dullysantz #ccm
FUATILIA HISTORIA INAYOSISIMUA KUHUSU MAPITO MAGUMU YA MHS; ALBET CHALAMILA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWASASA Развлечения
Nilitaraji utamwelezea kiundani lakn hujafanya Ivo... Wakati mwingine twambie Hadi shule walizosoma , pia vujiji walivyokilia lakini kazi tunaenjoy keep on doing Broo.
Ahsante. Kwa maoni yako Rafiki 🙏
@@Santzmedia 🙏🙏
Umemjua juzi 2021 ndipo unakuja kutudanganya yani tarehe za matukio zmeanza kuonekana 2021,huko nyuma unasema alikua mwalimu tuambie ni mwaka gan had mwaka gan na ktk shule zipi?chalamila ni mtunzi na mwimbaji hata you tube yupo mbona hujaonesha kwenye historia?umekurupuka jipange
Msimuliaji ni mvivu wa kutafuta historia ya mtu, amesoma while gani
Huu ni uongo wa wazi kateuliwa kua mkuu wa mkoa wa mbeya 2018 iweje mpk 2021 atumikie miezi mi4 tu akiwa mbeya? Usikurupuke kijana
Usitoe historia ya mtu bila kuonyesha details indeed..... Unasema kasoma shule ya msing,sekondar,chuo,kazaliwa Kijiji Cha iringa.... IRINGA inakijiji kimoja brother?
Ahsante kwa maoni yako!!!?
Kazaliwa mwaka gani?
😥
Fatilia history yake vizuri ndo useme unaferi
Ok. Ahsante kwa maoni yako
Mhehe tu.
🤩🤩🤩
Suruhu
Tujue habari zake kwa manufaa gani?
Amekukosea nini Kwan?
Hajanikosea lakini kuna faida gani watu kujua habari zake ?
Hizo taarfa zako sio sahihi huyu chalamila ambaye namjua mmi mbna huyu jamaa akili zake zina mutosha ye mwenyewe
😆😆😂 Embu Tuambie Zinamtoshaje!!?
Nimjue wa nini?
😢😢😢 the worst history in my history of history telling....haujafanyia research umechukua tu videos na fikra zako ukatusimulia tu. Jipange unaharibu future yako ....una sauti mzuri ila hauna material kichwani ...
KUFAULU MTANGAZAJI BHANA NA SIO KUFAURU
🙏🙏💔
wewe ni hujafanyia reaserch habari yako ndo maana fupi ka mavi ya mwishoni
Fupi kivipi rafiki
@@Santzmedia huoni ilivyo..uchambuzi haujajitoshereza
Baba huyu angekuwa komed angefaa sana tena timu yao ingekuwa timu Hananja na chalamila wangeuza sana
😂😂😂