Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MIRAJI |APAGAWA NA MAXI NI MAN OF THE MATCH | ABUYA ATATOA MTU KIKOSI CHA KWANZA | GOLI LA BALEKE 🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 166

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 Месяц назад +111

    Wa 5 mimi tunaoikubali yanga ni timu kubwa afrika gonga like apa ata mbili tu

    • @user-ru4fe4cj2k
      @user-ru4fe4cj2k Месяц назад +7

      Wananch wenye nch yetu

    • @MaryJohn-bt5fe
      @MaryJohn-bt5fe Месяц назад

      Oyooooo​@@user-ru4fe4cj2k

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci Месяц назад +1

      Wananchi wenye nchi yetu afu atuna shobo

    • @lyambikujasmin8159
      @lyambikujasmin8159 Месяц назад

      ​@@user-ru4fe4cj2k❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @othumanyahya9168
    @othumanyahya9168 Месяц назад +3

    MIRAJI, you are Good unajua sana kuuanalize mpira, ninashangaa kwa nini usiwe miongoni mwa wachambuzi wa soka wa kituo kikubwa cha AZAM MEDIA.

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад +8

    Kweli Yanga ni kiboko na wako siriasi na priseson hongereni wachezaji wetu KOCHA na viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Месяц назад +2

    Raha ya miraji ni kuujua mpira halafu anachambua bila upendeleo na unafiki. Hongera sana kaka. Endelea hivyohivyo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад +6

    Nakukubali MIRAJI -- MAX ni habari nyingine " weka mbali na watoto "

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Месяц назад +4

    Hii combo ni hatar Sana nawakubali Sana wamba❤❤🦁🦁🤝🤝🤝

  • @AyoubSaid-b5n
    @AyoubSaid-b5n Месяц назад +27

    Namkubali sn huyu mwamba anaongea mpira doh yan nikimsikiliza natulia kama nipo darasani vile😮

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Месяц назад

      HANA USHABIK
      KILA KWENYE DOSARI
      ASEM IWE KWETU SIMBA&YANGA

  • @RashidShidhani
    @RashidShidhani Месяц назад +4

    Nawakubali Sana Miraji na Mchome na Mzee Saidi

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 Месяц назад +14

    Young hii mmm! Ni mashaka yangu tu....timu zijipange vzr.

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Месяц назад +1

    MIRAJI unajua Sana blood Naqubare

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +9

    Macho yako mabovuuuu, ila chama yuko safii sana na atawafunga 08/08, mchungeni sana msije mkaamsha kilio.

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Месяц назад +3

    Safi sana,Nenda kamwambie na MZEE SAID MOTO ULE WA BALEKE

  • @mozahdadichimpele5719
    @mozahdadichimpele5719 Месяц назад +3

    Brother miraji uko fire❤

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Месяц назад +2

    Miraji anajua kuchambua 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AyoubSaid-b5n
    @AyoubSaid-b5n Месяц назад +7

    Miongoni mwa shabiki nawakubali na wanajua mpira miraji ni zaid ya mtu na nusu

  • @jally1865
    @jally1865 Месяц назад

    Chagamba !! That’s soccer. Kudos Bro keep it up. Uko vizuri sana zaidi ya wengi wa wachambuzi uchwara wa TV/ Radio stations.

  • @vedatv-to4hg
    @vedatv-to4hg Месяц назад +10

    Nakubari familia

  • @JumanneMahona
    @JumanneMahona Месяц назад +15

    Kaka ss bundasilig na sio lig tena mwambi mzee saidi asituwaze tena 😅😮😮😮😂😂

  • @RamadhanWaziri-jl6pl
    @RamadhanWaziri-jl6pl Месяц назад

    Miraji anaogeya kimpila na cyo ushabiki yupo vzur

  • @noahmwaitege8663
    @noahmwaitege8663 Месяц назад

    Mwanang miraaaji daaaah bloo we mpiraa unaujua KAKA yaan uko vzr inabd to ukachaaambuage Azam pale

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634 Месяц назад +1

    Miraji umeongea point sana kuh eneo alocheza Yao.

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +3

    Asante miraji kuna michambuzi walisema ety mmoja anaetumikaga top eleven ndo alianza ila wabongo🙌🙌🙌

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Месяц назад

    MIRAJI nakukubali sana kakaaaaaa...!

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 Месяц назад

    Kaka miraji unajua sana hongera

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Месяц назад +4

    Anaestahili kuwa man of the match ni max mpia zengeli aliuwasha sana

  • @addomapunda957
    @addomapunda957 Месяц назад +1

    Nilitamani uwe kocha miraji nakubali mwamba

  • @jamesmsigwa
    @jamesmsigwa Месяц назад +3

    Miraji ipo siku utamvunja bega chagamba 😅😅😅😅maana

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Месяц назад +5

    Chagamba mzee saidi usimsahau leo

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Месяц назад +5

    Edit heating Man Of The Match

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 Месяц назад +2

    Yanga oyeeeee

  • @KhalfanYahaya
    @KhalfanYahaya Месяц назад +4

    ❤❤❤nawakubali😊

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 Месяц назад +2

    Namkubali sana mwamba

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Месяц назад

    Natamani wasafi wamchukue miraji awe mchambuzi kwenye sport arena, anajua mpira vzuri

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Месяц назад +11

    Kolo linalo jitambua hili tu

    • @fatmaally5530
      @fatmaally5530 Месяц назад

      Sanaa utooo sijawahi kuona mtu wa hivyo

  • @ronaldopanja59
    @ronaldopanja59 Месяц назад +6

    Kaka miraji ilaa max ni mtu na nusu

  • @PaulTango-he8qo
    @PaulTango-he8qo Месяц назад +12

    Wa kwanza leo like zangu

  • @HanafiKombo
    @HanafiKombo Месяц назад +3

    Kaka unajua mpira kaka

  • @ZenaMkali
    @ZenaMkali Месяц назад +6

    ❤❤❤

  • @mdalingwahassan8710
    @mdalingwahassan8710 Месяц назад

    Miraji we ni mwamba sana wewe sio shabiki Tu ila ni mwanamichezo pia

  • @faidapaul6275
    @faidapaul6275 Месяц назад

    Miraji anajua moira bwana....😅

  • @maikoatufigwegemwakapoja8709
    @maikoatufigwegemwakapoja8709 Месяц назад +10

    Nakubalii chagamba

  • @fadhilykaduma3026
    @fadhilykaduma3026 Месяц назад +1

    Huyo Diarra wa CRDB nimempenda😅

  • @ayoubsanga315
    @ayoubsanga315 Месяц назад

    Chagamba umekosea Yanga Sio number 6 Africa ni 12

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад

    POKEA 🎉🎉 Yako bro Miraji

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 Месяц назад +1

    Nakubali miraj chagamba

  • @NassonNgossi
    @NassonNgossi Месяц назад +1

    Kaka we ni bora sana

  • @JohnMaginga-v9d
    @JohnMaginga-v9d Месяц назад +1

    Sema maraji siku hizi kabadilika tunajua ni shabiki wa Simba ila akiwa anaongelea michezo aweke usawa la sivyo anaanza kupoteza mvuto mzee said safiii

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Месяц назад +6

    Chagamba hupoi tunamsubiri mzee side

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +5

    Shabiki wa simba ninae mpenda kutokea yanga jmn mm man of the match ni diarra tungekula kono kama mtani😂😂 dube jmn miraji kajatibu ajapata fitness

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Месяц назад +1

    Ukimleta miraji mzee saidi awe karibu tunamtaka😂😂

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад

    Hatareeh sana 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад +4

    Bg sana yanga

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Месяц назад +2

    Tatizo simba na yanga ni watu wanaodhani yani tunauwezo wa kucheza na mtu yoyote jamani timu kama augsburg wachezaji wao ni world class players, hakuna namna tukaona tunaweza kuwaweza ni kama tajiri wakijijini mwenye mashine ya kusaga na kiduka na bodaboda mbili nae aanze jiona yuko level za kina Bill Gates tz tuko kujitafuta tusijiongopee Kua tuwakubwa mnoooo

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Месяц назад +12

    Mim wa 3 chagambaa mapema sana

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Месяц назад

    Nawapongeza wachezaji wa wa yanga pamoja na uongozi mmetisha

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Месяц назад +5

    Yanga wapo Bora sana kiukweli ligi uanze

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul6032 Месяц назад +6

    Augsburg first 11 kaanza mchezaji umoja tu

    • @charlesSomeke
      @charlesSomeke Месяц назад

      Walianza 8

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      😂😂😂😂 nyie mnapenda kujifariji ..... Mkitwa mazezeta ya mangungu mnaona sifa 😂😂😂 ..... Endeleen kujitekenya

    • @RmA-b9q
      @RmA-b9q Месяц назад

      wameanza 6 acha udunduka huo

    • @revocatuscharles934
      @revocatuscharles934 Месяц назад

      Tutajie huyo mchezaji ni nani

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Hata asingeanza hta mmoja bado ile ni ligi ya ujerumani na wote ni wachezaji wa timu hyo hyo na mshahara ni ule ule usijifariji

  • @saidially5892
    @saidially5892 Месяц назад +1

    Chagamba tuletee mzee
    Said chap kwaaaa😂😂😂

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9e Месяц назад +2

    Magoma 900 inapendeza😂😂😂

  • @rizwankiaze9264
    @rizwankiaze9264 Месяц назад +1

    Hiki ni kilio Kwa MANDUNDUKA kila mtu moto

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Месяц назад +1

    Miraji bwana 🎉🎉🎉🌷🌷🌷😂😂😂

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Месяц назад +3

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Месяц назад +3

    Milaji naye mdud😅😅😅😅

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Месяц назад

    miraji yko vzr

  • @viccentbenard3710
    @viccentbenard3710 Месяц назад +4

    mwambie miraji rasta man mtanzania na hati yakusafiria unaichukulia nchini kwak sasa uko kaenda kuchikua hat ipi tena? kibunda simba awajammalizia

  • @charlesmtamala4912
    @charlesmtamala4912 Месяц назад +4

    familia nawakubal kichizi

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 Месяц назад

    Chagamba umerudi hapo 😂😂😂 Uliyamic Makofi ya Miraji eeehhh 😅😅😅

  • @sabasmbunda5018
    @sabasmbunda5018 Месяц назад

    Ninachokijua gamond kwenye preseason haonyeshi mbinu za mojakwa moja ila baada ya preseason ndo utajua gamond ninani

  • @MuhozyaTMwangwa
    @MuhozyaTMwangwa Месяц назад +1

    kiukweli zengeli ni mtu na nusu ila wakumbushe wachezaji wa kibongo wajitume mtakuja anza lalamika hawapangwi kama sure awe makini

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 Месяц назад +15

    Wakwaza leo nikiwa🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Месяц назад

    Salute kwako chagamba

  • @JamalSaidmfaume
    @JamalSaidmfaume Месяц назад

    Miraji anajua mpira

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo Месяц назад +1

    Yanga alisamehewa tu wale walikuwa wanatest tu kikosi wangeamua wangempa 8 za uhakika, tatizo wachezaji wa yanga skills hawana manguvu mengi hasa mabeki skills hamna kabisa ata diara ni shati lipo mlangoni mbwebwe tu hawezi kudaka mipira ya mchezaji mwenye skills hawezi tena anfungwa kirahisi

    • @JamesNation-ji1jy
      @JamesNation-ji1jy Месяц назад

      😂😂😂😂😂 loho mbaya inakusumbua

    • @JamesNation-ji1jy
      @JamesNation-ji1jy Месяц назад

      Wewe umekula sita ujaongea mbona

    • @JamesNation-ji1jy
      @JamesNation-ji1jy Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @petro8010
      @petro8010 Месяц назад

      Hizo alizopangua hukuziona......au hukuangalia mpira.Diarra ni goalkeeper wa kiwango wewe

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Месяц назад

    Ile Yanga, nina uhakka 100% kuna team zitakuja kuchezea kumi kumi.

  • @georgettesaidi6809
    @georgettesaidi6809 Месяц назад

    Tuletee mzee saidi nae chagamba 😂😂😂😂

  • @RashidKashindi
    @RashidKashindi Месяц назад +2

    Chagamba nitumie namba za MJ na Majina kuna zawa…yake hapa nipo zangu us

  • @agnessgodfrey6557
    @agnessgodfrey6557 Месяц назад +4

    Mi niliwaambia kwa chama hamna kitu mkasema ooohhh wivu Kiko wapi😂😂

    • @user-ic9eo3fh1u
      @user-ic9eo3fh1u Месяц назад +4

      Hata hivo Bado una wivu ndo kwanza kacheze mchezo mumoja kwenye timu nyingine mda utaongea

    • @issackshayo7423
      @issackshayo7423 Месяц назад

      😂

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 Месяц назад

    Team zetu zije tu kucheza na kina namungo, coast union zitatamba lakin kw teams za EUROPE bado sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад

    😂😂😂😂 kuongelea mpira, TZ KILA MTU mtaalam! WTF

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Месяц назад

    Miraji we ni mtu wa Ball

  • @user-rf4wt6fj4e
    @user-rf4wt6fj4e Месяц назад

    Kaka nakubali siyonafiki higawa nisimba

  • @erickemmanuel9486
    @erickemmanuel9486 Месяц назад

    Chagamba tunasubiri press na Mzee said😂😂

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Месяц назад

    MIRAJI WEWE NI BONGE LA MCHAMBUZI NA MSEMA UKWELI KIMPIRA.

  • @user-mx4vz3jt2n
    @user-mx4vz3jt2n Месяц назад

    Jana yanga walicheza ila kawa uchezaji ule wachezaji watapata majeraha sana

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Месяц назад

    Saa mbovu mdudu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EvoniSanga
    @EvoniSanga Месяц назад

    acheni roho ngumu mwenzio akifanya vzr mpongeze

  • @nimubonafreddy1077
    @nimubonafreddy1077 Месяц назад

    Chagamba unaweza kunipa number Miraji mtuwaman kbsa Miraj

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Miraji sometimes unachemka
    Tatizo lilianzia kwa kiungo Shua boy alikuwa ndio source ya matatizo yote

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr Месяц назад +1

    ✔️✔️✔️

  • @hammytototundu9292
    @hammytototundu9292 Месяц назад

    Milaji 😅😅😅😅😅😅😅

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Месяц назад

    Nice

  • @MosesKoreka
    @MosesKoreka Месяц назад

    Wewe mchambuzi sana

  • @MartinJohn-eu5qr
    @MartinJohn-eu5qr Месяц назад

    Nambie

  • @jacksonmkuyu4263
    @jacksonmkuyu4263 Месяц назад

    Huyu mwamba namwelewa sana anaongea vizur sana

  • @AbdallahMfilinge
    @AbdallahMfilinge Месяц назад

    Mzeee said mbona simuoniiii

  • @AsifuSule
    @AsifuSule Месяц назад

    Jamanii hamjui mpira kwa iyo kuanza kwa mechi tu unatamani mtu akupe kitu hujui kama kuna leo Niko sawa kesho nitakua vibaya kwa chama makoloo mtakuja kujuta kwa nini hamujamsajili

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y Месяц назад

    Miraji hebu chunguza naskia yanga walicheza na tim namba 2 anayeanza alikuwa (1)

    • @RmA-b9q
      @RmA-b9q Месяц назад

      jitahidi usiwe unaskia uwe unafuatilia mpira dunduka ww

    • @MaryJohn-bt5fe
      @MaryJohn-bt5fe Месяц назад

      Acha usenge na wivu

  • @AllanAthuman
    @AllanAthuman Месяц назад

    Live ni huyutu

  • @saidemuamedeali2678
    @saidemuamedeali2678 Месяц назад

    🇹🇿

  • @MartinJohn-eu5qr
    @MartinJohn-eu5qr Месяц назад

    Milaji namkubali