JULIO: "SIMBA BADO TUPO MAZOEZINI" TUNAHITAJI MECHI RAHISI KUJIWEKA SAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 42

  • @PapyNgosha-hk2vq
    @PapyNgosha-hk2vq 10 дней назад +18

    Kama kweli we ni mwana family wa Crown media gonga like yako

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 10 дней назад

      AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE WA KUMZAA😭😭
      ruclips.net/video/TfoMGMw13zU/видео.html
      BAGAMOYO.
      Afande Mstaafu atuma kundi la wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake.
      Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa.
      Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST.
      Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili.
      Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.

    • @zakayomgaya2758
      @zakayomgaya2758 10 дней назад

      Wachonganishi sana Hawa

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 9 дней назад +3

    Kwan ww lazima uww kocha wa simba? kama unajua timu ziko nyingi huko nje nikiona umepata timu nje hata kama ni ya kawaida ntakupigia salute

  • @JuniorMk-y4u
    @JuniorMk-y4u 5 дней назад

    Well

  • @JuniorMk-y4u
    @JuniorMk-y4u 5 дней назад

    Crown fm

  • @mckwayu5699
    @mckwayu5699 6 дней назад

    Tunza maneno yako Julio hamchelewi kubadilisha maneno.

  • @stationerykinondoni7241
    @stationerykinondoni7241 9 дней назад +1

    Sasa nimegundua kuwa makocha wasaidizi wa kibongo ndio wanafanyaga makocha wageni wqnafukuza kwa kung'ang'ania kulazimisha kuwapangia kikosi, ndio maana nashangaa pale Simba kwanini Kapombe na Mzamilu wao wanaanza kila mechi japo kiwango chao kimeshuka

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 9 дней назад +3

    Kumbe wewe hujielewi.Kaangalie Ile timu ya Tabora au Fountain gate iliyocheza na Namungo kama inatofauti yoyote ..Kumbe wewe roporopo tu

    • @user-xg9ix9ex9h
      @user-xg9ix9ex9h 9 дней назад

      Hapana fountain gate ilikuwa na under 20 sita mkiludiana kwa sasa simba itakula chuma hicho

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 9 дней назад +1

    MKWALA NI BORA SANA MASHABIKI TUWE WAVUMILIVU. TUKIWASEMA VIBAYA TUNAWAKATISHA TAMAA NA WANAONDOKA NA WANACHUKULIWA NA TIMU NYINGINE. TUWE WAVUMILIVU TUSIWE MASHABIKI WAKUWAFUATA HAO WANAO LALAMIKIA WACHEZAJI WA SIMBA.

  • @SamsonSimba-k4l
    @SamsonSimba-k4l 9 дней назад +1

    Simba bingwa 🏆🏆🦁💪💪💪💪💪

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 9 дней назад +2

    Julio ni mtu na nusu

  • @gilbertngemela6752
    @gilbertngemela6752 10 дней назад +1

    Kwani kila scout amecheza mpira?kufanya scouting sio mpaka umecheza mpira

  • @mckwayu5699
    @mckwayu5699 6 дней назад

    Kama nyie ni makocha wazuri si mngefanya vizuri kwenye timu mnazofubdisha?
    Wewe ulikua Namungo juzi tu ulifanya nini?
    Kama mpira una njia zake mbona haufundishi hizo mbinu huko kwenye timu zenu?
    Nyie mnaongelea Simba tu

  • @mbwanarajabu3930
    @mbwanarajabu3930 9 дней назад +1

    🔥🔥🔥💪

  • @nadulabudodi1816
    @nadulabudodi1816 10 дней назад +2

    Tulia wewe ndo maana hujawahi fanikiwa kwenye kukoch,kwenye maneno aaah

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 7 дней назад

    Julio ni mtu wa kupenda kujisifu, lakini kivitendo ni 0...
    Anabebwa na Media, huwa anajipendekeza kwenye media, hata enzi ya uchezaji wake hakuwa mzuri kihivyo alikuwa butuabutua nilimuona kwa macho sio kuambiwa.
    Kifupi ni Chawa tu !

  • @Ramsomoviereview
    @Ramsomoviereview 7 дней назад

    KWAHIYO APR NAO HAWAKUKAMILIKA?

  • @Leonardherman-ng1qt
    @Leonardherman-ng1qt 9 дней назад +1

    Unajua Mpira unatimu ndomaana taifa tunafngwa

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 дня назад

    Julio Alberto pereira 😂😂

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 8 дней назад

    Kweli ishi kwingi uone mengi. Watu wanaompinga Julio nimegundua hata wakijisikiliza wanayoyasema watagundua hata kwenye masikio yao hayaingii kwa kukosa mantiki .

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 9 дней назад

    Julio una mawazo ya zaman sana..sema wabongo mnapenda sifa na mnataka ajira

  • @jdanny497
    @jdanny497 10 дней назад +1

    Tabia nyingine unaficha tulia Acha mdomo

  • @AllenKilewella
    @AllenKilewella 9 дней назад

    Julio kaongea point Sana Sasa mnaomshutumu mnatumia kigezo gani?

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 9 дней назад

    Hili jinga , kwan walio cheza tabora na foteni sio Bora na walisajiliwa kuwa sub au,

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 9 дней назад

    Hamna usidanganye simba hiyo imeifunga apr azam wakafungwa na apr mbona husemi unashusha moyo wachezaji

  • @mujunvicta6379
    @mujunvicta6379 9 дней назад

    Nilichogundua humu utopolo wanamshambulia julio

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 9 дней назад

    Kumbe wewe ndiye unagomeshaga wachezaji? Dah..Tutaona mengi

  • @EdwinAdAstra
    @EdwinAdAstra 10 дней назад

    Anaongea kama bin Kazumari

  • @danielykasebele4402
    @danielykasebele4402 9 дней назад +1

    Julio hana jipya, siku zote hajawahi kusema maneno yenye tija, ila mnampenda kumtumia sana kwenye midia, na kujiona yeye ni bora kuliko wengine,lakini hajawai fundisha timu ikawa bora, mimi binafsi simkubali hata kidogo

  • @frbm1729
    @frbm1729 9 дней назад

    Kumbe nyie makocha wazawa ndo mnachoma makocha wa kigeni Kwa kuku batia wachezaji wenu wabovu

  • @user-ym4yx9op6v
    @user-ym4yx9op6v 10 дней назад +1

    TFF Fanyeni mpango Taifa Stars makocha Watanzania kina Julio mgunda na wengine wote wazalendo sio hao wa kulipwa wanakula hela za bule tu

  • @edsonruhasha2003
    @edsonruhasha2003 9 дней назад +1

    Hata APR hawakusajili vizuri ndiyo maana aligungwa na Simba 2 bila akaenda kusajiri akamfunga Azam. Julio punguza maneno mpira una maswala mengi ya kuzingatia ndiyo maana unatakiwa ukubali matokeo maana mpira haudanganyi.

    • @user-bs9mx8pl1g
      @user-bs9mx8pl1g 9 дней назад

      Mjinga kweli waliocheza pale ndo walewale waliocheza na azam walisajili siku nyingi sana embu peleka ushabiki uko

    • @Sanjey-vp1fm
      @Sanjey-vp1fm 9 дней назад

      Acha ushabiki wa kijinga Apr walimaliza usajili na wachezaji waliocheza cku ya simba ndio waliocheza cku ya azam. Kwenda zako uko.

    • @edsonruhasha2003
      @edsonruhasha2003 9 дней назад

      Mbona Yanga ilimfunga Simba 5 lakini ikafungwa na Iyefu, unamaanisha Yanga haikuwa timamu ilipofungwa..... Mpira huwa uko hivyo

    • @Sanjey-vp1fm
      @Sanjey-vp1fm 9 дней назад

      @@edsonruhasha2003 kumbe unajijibu mwenyewe

  • @JoshuaFrank-u9v
    @JoshuaFrank-u9v 9 дней назад

    julio ninyi kinawasumbua ni wivu tu dhidi ya makocha wa kigeni mkubali wao ni bora kuliko ninyi.wazawa sababu ni kuwa ninyi hamna akili ya kujiendeleza kimbinu.Halafu leo umekuwa muwazi kumbe ninyi ndo huwa mnawapa kiburi wachezaji wazawa kuonesha dharau kwa makocha wao.hata hizo coment zako zimejaa chuki na hila tuuuuu.