SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • clcr.me/CLAM5
    Jisajili na pocket broker kwa kubonyeza hiyo link ikitumia promo code CLAM2024 ili uweze kupata bonus hadi asilimia Mia moja

Комментарии • 1,9 тыс.

  • @clamvevo6472
    @clamvevo6472  10 дней назад +533

    clcr.me/CLAM5
    Jisajili na pocket broker kwa kubonyeza hiyo link ikitumia promo code CLAM2024 ili uweze kupata bonus hadi asilimia Mia moja

    • @vallesndayishimiye2396
      @vallesndayishimiye2396 10 дней назад +20

      Inakuwaje kwani

    • @iradukundachriskagawa
      @iradukundachriskagawa 10 дней назад +26

      Unazinguwa saaana Lingala ni nyingi saana ingekuwa ata subtitles chini nasi tukaelewa bhana

    • @dastopadady2402
      @dastopadady2402 10 дней назад +1

      @@clamvevo6472 t2faidika vip

    • @ibraPJ
      @ibraPJ 10 дней назад +23

      Sehemu ya kikongo mtuwekee subtitles za kiswahili, maana ikifika hapo nabaki sielewi

    • @bushili
      @bushili 10 дней назад +5

      Mnazingua sana mnachlew kuzitoa😢😢

  • @modex_0376
    @modex_0376 10 дней назад +1010

    YOYOTE AKISOMA HII SMS NA KULIKE IN SHAA ALLAH MUNGU AMJALIE UMRI MREFU N SIKU YA LEO IJUMAA AMFUNGULIE MILANGO YA KHERI 🤲🤲🤲🤲

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 9 дней назад +69

    SHAHIDI + FAUME + TANU + YULE DADA ALIYEKUWA KIPOFU wanavaa uhusika vizur sana ❤❤😊

  • @AbuuMkabugo
    @AbuuMkabugo 9 дней назад +263

    Kama tuna mpenda mungu na yeye ndo alotufanya tuwe tuna angalia snake boy bas like comment hiii

    • @oystellaoscar5151
      @oystellaoscar5151 8 дней назад

      Huyu kaka aliechaguliw kuwa mshaur mpya wa cheaf ana macho so amazing n mbongo kweli huyu m NAOMBA kumuona akiwa mjin real life yake kwa kweli tutumien picha zake akiwa kala pamba kali😂😂😂

    • @SiviriSuisse-yz2sp
      @SiviriSuisse-yz2sp 6 дней назад +1

      🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

    • @sweetbabymwangi8373
      @sweetbabymwangi8373 5 дней назад

      @oystellaoscar5151 nampenda sana huyo Kajora. Ana macho mazuri. Alafu mm kivyangu huwa namuita kijana nyoka manake yuko kwa himaya ya nyoka na ana uwezo wa kujibadilisha nyoka japo nyoka mdogo. Nakupenda Kajora.

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 9 дней назад +37

    Kama kuna siku Snake Boy imenifurahisha na kunipunga basi ni leo. Sijawai kumpenda Zinga tangu mwanzo wa hii Tamdhilia. Yaani Zinga na roho yake mbaya amemezwa na Fahume😂😂 Congratulations Faume kwa kummeza Zinga, nililengwalengwa na machozi pale zinga alipokupiga kombora nkajuwa bas ww kwisha. Hongera Tanu kwa kumtia nguvu chief, ila nawe uwache usaliti. Kajora. Punguza presha ndio mwanzo umepewa cheo cha Kapera. Sauda nawe usitoe mimba. Aisee hongereni kikosi kizima cha Snake Boy. Wakenya tunawapenda zaidi ya maelezo. Once again congratulations Faume kwa kujitahidi kumuua Zinga. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪.

  • @Qboymazuri
    @Qboymazuri 10 дней назад +171

    Watu wangu kutoka kenya kama unapenda hii kazi ya clam piga like tukisonga,,, msisahau kunipitia tu grow pamoja naomba ila sijalazimisha tafadhali🙏

  • @janethstephano8485
    @janethstephano8485 9 дней назад +28

    Jaman mmekuja huku kuomba like ama kumsaport clam na series zake, mana naona Kila mtu anaomba like na kumtanguliza mungu ...jamn kah! Kwan ni lazm ..clam ndo anatakiwa akupe wewe like ili uendelee kumsaport. Waone mimacho🙄🙄🙄☝️, clam ...Kaz nzuri juhud zako tunaziona ... Mungu akuzidishie ujuzi ktk Kaz zako.

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 10 дней назад +182

    Sometimes inabidi tukubaliane na ukweli kwenye kitu kali...hizi video za Vevo zimekomaa sana...kama unakubaliana na mmi nipee like tukisonga... Kenya,Ug na Tz let's gather here 🎉🎉Kudos Vevo 😊

  • @Carlos_furaha
    @Carlos_furaha 9 дней назад +68

    siku njema ya leo nakuombea wewe unaesoma hii comment baraka tele .Amen kaz nzuri clam kaka🎉🎉🎉🎉🎉❤👍

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta 9 дней назад +20

    Kula hatua dua tujuliane afya. Kunasiku tutapunguwa Moja baada ya mwingine pindi manan akituitaji inshallah ijumaa khalim fans wote wa sneak boy

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 10 дней назад +163

    Nyakati ngumu hazidumu, kama na wewe ni mmoja ya wavumilivu wa kusubiri SnakeBoy gonga like.🇲🇿❤️🇹🇿

  • @AllyRamadhani-y7b
    @AllyRamadhani-y7b 9 дней назад +121

    Kuna kitu kidogo mumezingua, uyo mshauli mpyaa wa chief ndie amevaa kicheif alafu chief wa imaya ya nyoka hayo mavazi aliovaa n angepatiwa askari mkuu wa imaya........ dondosha like kama umenielwa

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 10 дней назад +127

    Habari za Muda huu, Leo nimekuwa wa 232, naomba likes zenu hapa tuendelee kuwapa nguvu snake boy❤❤❤❤ hii ni ya motoooo

    • @kibzafricana7823
      @kibzafricana7823 9 дней назад

      youtube.com/@kibzafricana7823?si=mNPPo9NDrliYT9bO

  • @abubakarimwalimu572
    @abubakarimwalimu572 9 дней назад +55

    Anae mjua sungrutekin wa ertugru yule waziri naona kaja ku ecti ~SNAKEBOY~ Tz official TANU 😂😂 like zake jamani anae muelewa TANU

  • @omarmazoka5063
    @omarmazoka5063 10 дней назад +49

    Ngoma leo nimekuwa wa tatu nikiisubir kazi mzuri kutoka kwa Clam🎉🎉🎉🎉🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @OsmanSharif-n3o
    @OsmanSharif-n3o 9 дней назад +28

    Ati kipara analia sababu zinga ameuliwa 😂 kazi Yako ni umbea baba madaraka haikufai😂😅

  • @nastynasam8888
    @nastynasam8888 10 дней назад +89

    Wakwanza from kenya naombeni like zenu😢

    • @clewis520
      @clewis520 10 дней назад


      Wakenya na upwiru….

    • @nastynasam8888
      @nastynasam8888 10 дней назад

      @@clewis520 ndo mambo yenyewe we mwenyewe ni mmja wa upwiru

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 9 дней назад +9

    Wanyakyusa mpoo 😂😂😂 Leo Nimefurahi kumsikia TANU akisema Mbombongafu walio sikia kama mimi liki moja hapaa😂😂

  • @DababaNalindwa-dz6nu
    @DababaNalindwa-dz6nu 10 дней назад +48

    Wa kwanza leo from Congo 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 nipe like kama unakubali kazi ya #clam Vevo

    • @RojaMwinyi
      @RojaMwinyi 8 дней назад

      Hebu tuambie ichi kicongo wanachoongea ni sahihi au wanadanganya??

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz7676 9 дней назад +18

    Snake 🐍 boy cram mwakatobe faume kipala mshangazi kasoko kazi wanaweza

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 10 дней назад +65

    Medick kupewa madaraka kidogo tu ndio umeamua kuvaa kupendeza kuliko chifu jamani 😂😂

  • @NAIJAMUSI
    @NAIJAMUSI 9 дней назад +20

    Muna ongea sana ki kongo sisi wengine atu sikii 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 kutoka Moçambique

  • @sabbyzumo6814
    @sabbyzumo6814 10 дней назад +37

    Ww taaluma yako umbea baba ww mbea baba 😅😅😅 yan kipara mjinga sana 😂😂😂😂

  • @AsaniAnsufati-jc3yv
    @AsaniAnsufati-jc3yv 9 дней назад +36

    Umeshindikana, dogo we ni noma naona mwakatobe ajuwi tena Swahili 🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👑

  • @JumaMzongi
    @JumaMzongi 9 дней назад +28

    ❤😂 leo tanu kinyago anamchonga mwenyewe leo anamtisha😅😅

  • @MariamHarunah
    @MariamHarunah 9 дней назад +10

    ila clam anajua kutusubirisha Mimi kwasiku nilikua nachungulia mara kumi kumi imetoka au haijatoka hatimae dah🙌🙌❤️

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 10 дней назад +175

    Ivi mnajua ifikapo 2099 wote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏 KIFO KINAKUJA 😭

    • @Mumlion2624
      @Mumlion2624 10 дней назад +2

      Daah umeongea point.. Sawa tumekuelewa ,Asante kwakutukumbusha

    • @martinsimiyu3378
      @martinsimiyu3378 10 дней назад

      Utakufa wewe😁kwani unamiaka mingapii hapo ulipo ebu usituleteee sisii

    • @ryankoech
      @ryankoech 10 дней назад

      ​@@martinsimiyu3378😂😂

    • @3malis
      @3malis 9 дней назад

      😂😂 aloooo

    • @AnnaJohn-o6l
      @AnnaJohn-o6l 9 дней назад

      @@martinsimiyu3378 wew usijib wt Ivo alicho kiongea nipoint kbs

  • @MohamedJuma-hs6ry
    @MohamedJuma-hs6ry 9 дней назад +20

    Huo wimbo na upenda kinoma baba dakile huuu baba baba kama na wewe unapenda gonga like

    • @esterpaul6314
      @esterpaul6314 5 дней назад

      Na ule agweee mama

    • @SalmaKisandu
      @SalmaKisandu 5 дней назад

      Nimecheka sana wallah kwamba baba dakile huu Baba Baba baba😂😂😂

    • @MohamedJuma-hs6ry
      @MohamedJuma-hs6ry 5 дней назад

      @@SalmaKisandu wimbo mzuri nimejikutaa naukalili

  • @user-ok7fx2fr8d
    @user-ok7fx2fr8d 10 дней назад +32

    YALE YALE YA NGOSWE PENZ KITOVU CHA UZEMBE USICHANGANYE KAZ NA MAPENZ YANAMKUTA FAUME APA😂😂😂😂😂

  • @NabiiYakobo
    @NabiiYakobo 9 дней назад +14

    Nimeumiya saaana kipara kutokuwa mshauri maskini ya mungu inauma
    Sisi wambeya tunakilio kweli kweli,

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 10 дней назад +86

    WA MWISHO LEO JAMANI.🇹🇿🇹🇿🇹🇿. ILA WEWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO AMEEN🙏🙏🙏🙏

  • @GilbertRotty
    @GilbertRotty 9 дней назад +12

    Kaka kweli mnatupenda sisi wa congomani sana big up

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 10 дней назад +29

    Hii Movie bila Mwakatobe hainogi Wakuu.. hakika kwenye hili Director umezingua kiukweli.. Mwakatobe ndiye nyota anaewavuta watu wengi kufatilia hii Movie..

  • @kevintuchi8027
    @kevintuchi8027 9 дней назад +9

    Sijui Kama watanziana wanajua kama huku kenya tunawapenda sana 💯✅ kama ndugu zetu 👈 ila clam na crew yako mko vizuri sana 💯☝️

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 9 дней назад +13

    Snake boy 🐍 inazidi kua yamoto sana umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @EmmanuelKunzugala
    @EmmanuelKunzugala 9 дней назад +14

    daaaaaaaaaaaah kutoka @mwakatobe kwa kumezwa nakosa uhondooo ☺☺🤣😅🤣😂🤣

  • @Meloddie-sx2mw
    @Meloddie-sx2mw 10 дней назад +21

    Alafu Uyu mke wa chifu wasasa ivi nimrembo ❤️❤️

  • @collokipz2506
    @collokipz2506 9 дней назад +19

    Snake boy 🐍 inazidi kua yamoto sana umetisha sana Clam cris vevo 👏🔥🔥

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 10 дней назад +11

    Natamani ifike mpk season ten 😂 maan Kila siku utam unazid TU 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Kaz nzuri clam mungu azid kukupa ubunifu🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-pe6pm1jn7z
    @user-pe6pm1jn7z 9 дней назад +9

    Mfaume angewapelekaa kina kiparaaa kwenye ufalme wa nyoka..hawa wasalitii anngelikuwaa kashapataa taarifa zao kitambo😂

  • @KimKibopa
    @KimKibopa 10 дней назад +34

    Msiwe wachoyo leo nmewai naomben likes 😂

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w 9 дней назад +5

    Siji kuangalia hii movie tena zinga hayupo, oyaaa team zinga tunashukuru sana kila lakheri

  • @hillarywekesa7936
    @hillarywekesa7936 9 дней назад +13

    Kama unatazama hii kutoka kenya ponyeza lile ua la ❤❤tutambuane mwenzangu🎉

  • @dullasultan5263
    @dullasultan5263 9 дней назад +8

    Kwenye mchezo wa kuigiza ukiona mtu amekufa ujue hana muhimu tena ndo maana zinga kafa ili kupisha vita kati ya ntanzi na faume

  • @PrinceAmuri-hp3kb
    @PrinceAmuri-hp3kb 10 дней назад +30

    Leo niko wakwanza kutokeya congo 🇨🇩 naombeni liké zenu jamani kama munamukubali Clam vevo

  • @ChristopherKayombo-jy3qk
    @ChristopherKayombo-jy3qk 9 дней назад +7

    Huyu mshauri mpya kifo kinamuuw maana tanu anawatu balaa 😂😂

    • @hamisuuhamadi1663
      @hamisuuhamadi1663 7 дней назад

      Nakwambia hata mie namuona ahera madukani 😂😂

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 10 дней назад +19

    Sema ii filamu Mwakatobe ameibeba ngongoni, kama umeligundua ilo gonga like twende mbeli

  • @user-ru9zj4ib9f
    @user-ru9zj4ib9f 9 дней назад +7

    Kipara Ana Bahati mbaya😂😂
    Gafla kibarua kimeota Nyasi 😂

  • @MWARABUMSHEE-vu6mw
    @MWARABUMSHEE-vu6mw 10 дней назад +18

    sijachelewa sana mm Leo naomba like from kenya

  • @HERIETHTHOMAS
    @HERIETHTHOMAS 9 дней назад +6

    Wanao jiuliza kama mimi kwamba huyu mwakatobe ni mkongo kweli au anatuongopea. Like zenu

    • @mkondefrancy8662
      @mkondefrancy8662 9 дней назад

      Mwakatobe fundi hatakama hapatii ila yuko vizuri😂😂

  • @bravobworo8796
    @bravobworo8796 10 дней назад +16

    Kali lakini shida ni Huwa sikuizi hamumuusishi snake boy na yeye ndio mkuu kwenye kipindi

  • @rashimikasim2171
    @rashimikasim2171 9 дней назад +7

    Hii ni kwa watu wa kenya asante sana kwa kutu saport ndugu zetu ila na sisi tuna tamani kuwa saport kwenye movie zenu tutajieni chanel kali ya kwenda kucheck movie zenu ili tuzidi kusaport ana asanteni

  • @tanuplus
    @tanuplus 9 дней назад +13

    KAZI KUBWA TANZANIA TUNASHUKULU SANA MASHABIKI ZETU MUNGU AWABALIKI KWA KUTUFATILIA KWENYE KAZI YETU YA SNAKE BOY 🐍 TUNAWAPENDA SANA ( TANU)

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 9 дней назад +6

    Bro kwenye gemu tanu umuezi alafu mfaume ana mkubali sana mr tanu

  • @SuleimanNsengiyumva
    @SuleimanNsengiyumva 10 дней назад +54

    WA KWANZA FROM BURUNDI 💥💥💥💥

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 9 дней назад +6

    Yani uyu zinga alijifanya ana ongea ki Congo kumbe ana lolote😂😂😂😂😂🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @johannesnyabara2527
    @johannesnyabara2527 10 дней назад +14

    Tunasikitika hii serious kuelekea ukingoni😢😢 hakika inafurahisha na kuelimisha pia.
    Mwisho kitu kizuri ni mwanzo mwanzo wa kitu kizuri zaidi.
    we hope big boss season two ipo njiani

    • @hamisimsingwaathumani1564
      @hamisimsingwaathumani1564 9 дней назад +1

      Ndugu yangu hii tunayoifuatilia sasaivi ndio season two, labda useme ikiisha hii tusubirie season three na episode zake

    • @Pauljulius7120
      @Pauljulius7120 9 дней назад

      ​@@hamisimsingwaathumani1564ye kasema big boss

    • @johannesnyabara2527
      @johannesnyabara2527 9 дней назад +1

      @@hamisimsingwaathumani1564 hii ni snake boy ndugu, kuna nyingine walishacheza inaitwa big boss ndo tunangoja season two

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 9 дней назад +11

    Zinga noma sn kila shuti goli aloo agongi besela 😂

    • @AsmaMpojo
      @AsmaMpojo 9 дней назад

      😂😂😂kam ngurue eeee

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 8 дней назад

      @@AsmaMpojo aloo atari sn ndg yngu

  • @shabaniahamadi3798
    @shabaniahamadi3798 10 дней назад +44

    Wakwanza leo like kwa mwakatobeeee

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 9 дней назад +8

    hii kitu bila Mwakatobe❤ ni sawa na kuondoa chumvi kwenye parachichi😂😂

  • @AnnahBoaz
    @AnnahBoaz 10 дней назад +12

    My favorite Tanzanian movie....am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hancadam82
    @hancadam82 9 дней назад +5

    sipendi mijitu mimbea mimbeaaa😂😂 wakti yy mmbeaa

  • @juma6253
    @juma6253 9 дней назад +21

    Kipara katumbuliwa hata kazi hajaanza😅😅😅

  • @Walden-tb6ic
    @Walden-tb6ic 9 дней назад +6

    Kwenye hii movie nampenda yule Albino

  • @OfficielBig27
    @OfficielBig27 10 дней назад +67

    Wakwaza jameni 🇨🇩

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 дней назад +7

    Kazi nzuri from Dodoma bungeni ushindi sana

  • @QuibibiVictor
    @QuibibiVictor 10 дней назад +20

    Wa kwanza leo naomba like zango🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @lonnyboy5248
    @lonnyboy5248 9 дней назад +7

    Ila Abinimbi mzuri #Aisee

  • @TerenaStevelii-1995
    @TerenaStevelii-1995 10 дней назад +33

    🎉🎉🎉wqkwanza leo mm ❤❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 7 дней назад +2

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 10 дней назад +35

    Nitageia like Kila Mmoja wenu Kwa wale mnayeziomba❤❤❤❤❤ from Burundi 🇧🇮🇹🇿 just one Love 💖💖

  • @JolinoPeter
    @JolinoPeter 9 дней назад +7

    Tangu snake ianze hakuna alopendeza kama huyu mshaur wa chief mpya

  • @user-wn6dy6uf8m
    @user-wn6dy6uf8m 10 дней назад +31

    Wakwanza nipeni maua yangu

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl 9 дней назад +6

    Like! Wangapi tumezaliwa Tanzania na tunaishi Tanzania but Tuna ASILI ya Kenya. 🎉

  • @stynoebondomwepu3582
    @stynoebondomwepu3582 10 дней назад +11

    Ntiba félicitation osololi mwa kitoko na langue nationale na biso, Big up wana

  • @PapaesaïMafuta
    @PapaesaïMafuta 9 дней назад +10

    Sisi wa kongomani tu meshukuru sana kwa lugha tukufu ya lingala zinga ni fundi kubwa

    • @JanethSwai-i3d
      @JanethSwai-i3d 9 дней назад +1

      Hivi mwakatobe hatuingizi Chaka kweli ni chenyewe iko??

  • @jamesjoseph2421
    @jamesjoseph2421 9 дней назад +10

    Kazi ya chaupele ni kama itazaa matunda uko mbeleni😅😅

  • @SarahCharls
    @SarahCharls 9 дней назад +2

    Ahuu wachaa kurugutanta manteteree nakupenda Sana mzee uishi kabisa Hadi mwisho wa movie

  • @aloycegodfrey
    @aloycegodfrey 10 дней назад +13

    Hivi hiko ni kikongo kweli au swaga

  • @user-pl1fk6yz4u
    @user-pl1fk6yz4u 9 дней назад +3

    Uyo mshauri wa chief mpya nampenda jamani ❤❤❤❤❤

  • @nasrajuma-x1q
    @nasrajuma-x1q 10 дней назад +10

    😂😂😂kumbe unajua kiswahili zinga 😂😂😂

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 9 дней назад +4

    Kipara utaja niuwa siku moja mteuzi wa zinga😂

  • @UyumbaTonny
    @UyumbaTonny 10 дней назад +44

    Wakwanza

  • @YusratSalum
    @YusratSalum 9 дней назад +1

    Ss hv kila mtu wa kwanza so kuomba likes tena 😂😂 daah ila watazamaji wa snake boy mnanipa furaha sanaa 😅😅 enewei Big up sanaaa team ClamVevo ❤❤

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 10 дней назад +18

    Kajolo 😂😂😂😂nilijua tu utakua hv 😂😂😂😂mtu akipewa madaraka hujikweza 😂

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 8 дней назад +1

    Mwakatobe kafa kizembe kulipo mwanagu #BUTUA .... Yaani AKWATAAAA! 😂😂😂

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 10 дней назад +66

    Leo Bila Kuchelewa nime Kuwa Wa kwanza Kwa wale Tulio Subiri tamthilia Yetu? Pendwa SNAKE BOYS EP 35 Basi Leo tujuane kwa like pamoja na comments🎉🎉

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 9 дней назад +3

    Kumbe faume atakuja kufa kifo cha shamiuna au Samsoni daaa!😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢

  • @CHYULLUKENYA
    @CHYULLUKENYA 10 дней назад +11

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂iiii ni kali sana,,,,,clam vevoooooo 🔥 🔥 🔥

  • @AmaneBacar-z6q
    @AmaneBacar-z6q 8 дней назад +2

    Estou eu mesmo aqui em Nampula MSUMBIJI 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba laiki zenu jamani

  • @mrmajengotz.
    @mrmajengotz. 10 дней назад +12

    Sema hizi nywele za Tanu kama kibanga kampiga mkoroni😂

  • @user-ih5ig5gs3x
    @user-ih5ig5gs3x 9 дней назад +1

    Mim naona zinga ajafa 😅😅😅

  • @ChimKhan-Mc
    @ChimKhan-Mc 10 дней назад +23

    Wakwanza hapa ChimKhan nipeni like zangu

  • @ميريم-ط1س
    @ميريم-ط1س 9 дней назад +1

    Muachen sauda amzae zinga mtoto aje kulpa kisasi kwa babake mm bibaus zinga ndo aliekua ananogesha Sana ila najua ameacha kitu tumboni kwa sauda 😂

  • @BrayanRobson-m4v
    @BrayanRobson-m4v 10 дней назад +13

    Nanyimwa like zangu 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦 naombeni like jamani

  • @mariethajoseph6538
    @mariethajoseph6538 9 дней назад +1

    @tanuplus nakuita unajua bwanaa 🎉🎉Yani mtu kukusaliti na mbadala kapatikn chap chap❤ hongereni wote mlioshiriki🎉🎉

  • @moisugar_tz
    @moisugar_tz 10 дней назад +14

    kazi nzuri sana ila hapo kwenye nyoka bado sana.....

  • @user-fw4zy7ph2p
    @user-fw4zy7ph2p 5 дней назад +2

    Naupenda sana huo Wimbo baba jagire huu baba bawe ❤❤❤❤. Naombeni like zangu hata 10 jamani mimi ni mtoto wa miaka kumi tu wallahi naombeni 😢😢❤❤😊😊

  • @Harmontwo255
    @Harmontwo255 10 дней назад +11

    , toka nianze fatiliya snake boy sijawahi kupata like leo naomba kwa watu 10 tu nipate like zenu

  • @RoseErnest-s8i
    @RoseErnest-s8i 9 дней назад +2

    Hii picha ninzulisana tatizo waandaaji wanakawia sana mjitahidi kutokawia inakuja tumeshasahau