Huyu kaka aliechaguliw kuwa mshaur mpya wa cheaf ana macho so amazing n mbongo kweli huyu m NAOMBA kumuona akiwa mjin real life yake kwa kweli tutumien picha zake akiwa kala pamba kali😂😂😂
@oystellaoscar5151 nampenda sana huyo Kajora. Ana macho mazuri. Alafu mm kivyangu huwa namuita kijana nyoka manake yuko kwa himaya ya nyoka na ana uwezo wa kujibadilisha nyoka japo nyoka mdogo. Nakupenda Kajora.
Kama kuna siku Snake Boy imenifurahisha na kunipunga basi ni leo. Sijawai kumpenda Zinga tangu mwanzo wa hii Tamdhilia. Yaani Zinga na roho yake mbaya amemezwa na Fahume😂😂 Congratulations Faume kwa kummeza Zinga, nililengwalengwa na machozi pale zinga alipokupiga kombora nkajuwa bas ww kwisha. Hongera Tanu kwa kumtia nguvu chief, ila nawe uwache usaliti. Kajora. Punguza presha ndio mwanzo umepewa cheo cha Kapera. Sauda nawe usitoe mimba. Aisee hongereni kikosi kizima cha Snake Boy. Wakenya tunawapenda zaidi ya maelezo. Once again congratulations Faume kwa kujitahidi kumuua Zinga. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪.
Jaman mmekuja huku kuomba like ama kumsaport clam na series zake, mana naona Kila mtu anaomba like na kumtanguliza mungu ...jamn kah! Kwan ni lazm ..clam ndo anatakiwa akupe wewe like ili uendelee kumsaport. Waone mimacho🙄🙄🙄☝️, clam ...Kaz nzuri juhud zako tunaziona ... Mungu akuzidishie ujuzi ktk Kaz zako.
Sometimes inabidi tukubaliane na ukweli kwenye kitu kali...hizi video za Vevo zimekomaa sana...kama unakubaliana na mmi nipee like tukisonga... Kenya,Ug na Tz let's gather here 🎉🎉Kudos Vevo 😊
Kuna kitu kidogo mumezingua, uyo mshauli mpyaa wa chief ndie amevaa kicheif alafu chief wa imaya ya nyoka hayo mavazi aliovaa n angepatiwa askari mkuu wa imaya........ dondosha like kama umenielwa
Hii Movie bila Mwakatobe hainogi Wakuu.. hakika kwenye hili Director umezingua kiukweli.. Mwakatobe ndiye nyota anaewavuta watu wengi kufatilia hii Movie..
Hii ni kwa watu wa kenya asante sana kwa kutu saport ndugu zetu ila na sisi tuna tamani kuwa saport kwenye movie zenu tutajieni chanel kali ya kwenda kucheck movie zenu ili tuzidi kusaport ana asanteni
Tunasikitika hii serious kuelekea ukingoni😢😢 hakika inafurahisha na kuelimisha pia. Mwisho kitu kizuri ni mwanzo mwanzo wa kitu kizuri zaidi. we hope big boss season two ipo njiani
clcr.me/CLAM5
Jisajili na pocket broker kwa kubonyeza hiyo link ikitumia promo code CLAM2024 ili uweze kupata bonus hadi asilimia Mia moja
Inakuwaje kwani
Unazinguwa saaana Lingala ni nyingi saana ingekuwa ata subtitles chini nasi tukaelewa bhana
@@clamvevo6472 t2faidika vip
Sehemu ya kikongo mtuwekee subtitles za kiswahili, maana ikifika hapo nabaki sielewi
Mnazingua sana mnachlew kuzitoa😢😢
YOYOTE AKISOMA HII SMS NA KULIKE IN SHAA ALLAH MUNGU AMJALIE UMRI MREFU N SIKU YA LEO IJUMAA AMFUNGULIE MILANGO YA KHERI 🤲🤲🤲🤲
Ameen
Inshallah
Amin
Inshaallah na iwe heri kwako piaa
Amen
SHAHIDI + FAUME + TANU + YULE DADA ALIYEKUWA KIPOFU wanavaa uhusika vizur sana ❤❤😊
Sana yan🎉🎉
Lakini sizoni2 shahid c Alijinyonga mbn sieleW
Hio ni kwel
Tabu na chief ndio wameua kabisa
Tanu fundi kuliko wote , huyu jamaa level zingine kabisa
Kama tuna mpenda mungu na yeye ndo alotufanya tuwe tuna angalia snake boy bas like comment hiii
Huyu kaka aliechaguliw kuwa mshaur mpya wa cheaf ana macho so amazing n mbongo kweli huyu m NAOMBA kumuona akiwa mjin real life yake kwa kweli tutumien picha zake akiwa kala pamba kali😂😂😂
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@oystellaoscar5151 nampenda sana huyo Kajora. Ana macho mazuri. Alafu mm kivyangu huwa namuita kijana nyoka manake yuko kwa himaya ya nyoka na ana uwezo wa kujibadilisha nyoka japo nyoka mdogo. Nakupenda Kajora.
Kama kuna siku Snake Boy imenifurahisha na kunipunga basi ni leo. Sijawai kumpenda Zinga tangu mwanzo wa hii Tamdhilia. Yaani Zinga na roho yake mbaya amemezwa na Fahume😂😂 Congratulations Faume kwa kummeza Zinga, nililengwalengwa na machozi pale zinga alipokupiga kombora nkajuwa bas ww kwisha. Hongera Tanu kwa kumtia nguvu chief, ila nawe uwache usaliti. Kajora. Punguza presha ndio mwanzo umepewa cheo cha Kapera. Sauda nawe usitoe mimba. Aisee hongereni kikosi kizima cha Snake Boy. Wakenya tunawapenda zaidi ya maelezo. Once again congratulations Faume kwa kujitahidi kumuua Zinga. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪.
😂😂😂
Watu wangu kutoka kenya kama unapenda hii kazi ya clam piga like tukisonga,,, msisahau kunipitia tu grow pamoja naomba ila sijalazimisha tafadhali🙏
Jaman mmekuja huku kuomba like ama kumsaport clam na series zake, mana naona Kila mtu anaomba like na kumtanguliza mungu ...jamn kah! Kwan ni lazm ..clam ndo anatakiwa akupe wewe like ili uendelee kumsaport. Waone mimacho🙄🙄🙄☝️, clam ...Kaz nzuri juhud zako tunaziona ... Mungu akuzidishie ujuzi ktk Kaz zako.
Sometimes inabidi tukubaliane na ukweli kwenye kitu kali...hizi video za Vevo zimekomaa sana...kama unakubaliana na mmi nipee like tukisonga... Kenya,Ug na Tz let's gather here 🎉🎉Kudos Vevo 😊
siku njema ya leo nakuombea wewe unaesoma hii comment baraka tele .Amen kaz nzuri clam kaka🎉🎉🎉🎉🎉❤👍
Amen
@@AsmaEdgar 👍💯
Kula hatua dua tujuliane afya. Kunasiku tutapunguwa Moja baada ya mwingine pindi manan akituitaji inshallah ijumaa khalim fans wote wa sneak boy
Fact...
Nyakati ngumu hazidumu, kama na wewe ni mmoja ya wavumilivu wa kusubiri SnakeBoy gonga like.🇲🇿❤️🇹🇿
Kuna kitu kidogo mumezingua, uyo mshauli mpyaa wa chief ndie amevaa kicheif alafu chief wa imaya ya nyoka hayo mavazi aliovaa n angepatiwa askari mkuu wa imaya........ dondosha like kama umenielwa
Haswaaa hujakosea ni sahihii kabisa
Kwelikabisa yule mshauri ndo kavaa ki chef
Kabisa umejuaje
Sasa wewe unashauri au unapakazia kama unashauri ondoa neno munazingua
Umeongea ukweli
Habari za Muda huu, Leo nimekuwa wa 232, naomba likes zenu hapa tuendelee kuwapa nguvu snake boy❤❤❤❤ hii ni ya motoooo
youtube.com/@kibzafricana7823?si=mNPPo9NDrliYT9bO
Anae mjua sungrutekin wa ertugru yule waziri naona kaja ku ecti ~SNAKEBOY~ Tz official TANU 😂😂 like zake jamani anae muelewa TANU
Ngoma leo nimekuwa wa tatu nikiisubir kazi mzuri kutoka kwa Clam🎉🎉🎉🎉🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ati kipara analia sababu zinga ameuliwa 😂 kazi Yako ni umbea baba madaraka haikufai😂😅
Hhhhhh
Wakwanza from kenya naombeni like zenu😢
…
Wakenya na upwiru….
@@clewis520 ndo mambo yenyewe we mwenyewe ni mmja wa upwiru
Wanyakyusa mpoo 😂😂😂 Leo Nimefurahi kumsikia TANU akisema Mbombongafu walio sikia kama mimi liki moja hapaa😂😂
Wa kwanza leo from Congo 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 nipe like kama unakubali kazi ya #clam Vevo
Hebu tuambie ichi kicongo wanachoongea ni sahihi au wanadanganya??
Snake 🐍 boy cram mwakatobe faume kipala mshangazi kasoko kazi wanaweza
Medick kupewa madaraka kidogo tu ndio umeamua kuvaa kupendeza kuliko chifu jamani 😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 kumbe na wewe umeona
Hahah😂😂😂
Muna ongea sana ki kongo sisi wengine atu sikii 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 kutoka Moçambique
Ww taaluma yako umbea baba ww mbea baba 😅😅😅 yan kipara mjinga sana 😂😂😂😂
Umeshindikana, dogo we ni noma naona mwakatobe ajuwi tena Swahili 🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👑
Team vevo wako creative sanaa
mimi nimecheka kidogo nimwage pombe yangu
❤😂 leo tanu kinyago anamchonga mwenyewe leo anamtisha😅😅
ila clam anajua kutusubirisha Mimi kwasiku nilikua nachungulia mara kumi kumi imetoka au haijatoka hatimae dah🙌🙌❤️
Kwan huwa unakosa kazi?
Ivi mnajua ifikapo 2099 wote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏 KIFO KINAKUJA 😭
Daah umeongea point.. Sawa tumekuelewa ,Asante kwakutukumbusha
Utakufa wewe😁kwani unamiaka mingapii hapo ulipo ebu usituleteee sisii
@@martinsimiyu3378😂😂
😂😂 aloooo
@@martinsimiyu3378 wew usijib wt Ivo alicho kiongea nipoint kbs
Huo wimbo na upenda kinoma baba dakile huuu baba baba kama na wewe unapenda gonga like
Na ule agweee mama
Nimecheka sana wallah kwamba baba dakile huu Baba Baba baba😂😂😂
@@SalmaKisandu wimbo mzuri nimejikutaa naukalili
YALE YALE YA NGOSWE PENZ KITOVU CHA UZEMBE USICHANGANYE KAZ NA MAPENZ YANAMKUTA FAUME APA😂😂😂😂😂
Nimeumiya saaana kipara kutokuwa mshauri maskini ya mungu inauma
Sisi wambeya tunakilio kweli kweli,
WA MWISHO LEO JAMANI.🇹🇿🇹🇿🇹🇿. ILA WEWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO AMEEN🙏🙏🙏🙏
asante na kwako pia
Ameen
Amen 🤲🤲🤲
Amina, ubarikiwe pia🙏
Amen 🙏 pia ubarikiwe
Kaka kweli mnatupenda sisi wa congomani sana big up
Hii Movie bila Mwakatobe hainogi Wakuu.. hakika kwenye hili Director umezingua kiukweli.. Mwakatobe ndiye nyota anaewavuta watu wengi kufatilia hii Movie..
Mfaume🖐🖐🖐
Saivi tupo na faume😅
Mwakatobe lazima arudi tena kumbuka kaacha mimba
Kweli kabisa mwanangu yaani bila mwakatobe hainogi yule jamaa anachangamsha sana
Sijui Kama watanziana wanajua kama huku kenya tunawapenda sana 💯✅ kama ndugu zetu 👈 ila clam na crew yako mko vizuri sana 💯☝️
Tunawapenda pia jirani zetu❤
Tunawapenda sana pia jirani
Tunawapenda pia❤
Snake boy 🐍 inazidi kua yamoto sana umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
daaaaaaaaaaaah kutoka @mwakatobe kwa kumezwa nakosa uhondooo ☺☺🤣😅🤣😂🤣
Alafu Uyu mke wa chifu wasasa ivi nimrembo ❤️❤️
Mwenyewe nmemuelewa
Snake boy 🐍 inazidi kua yamoto sana umetisha sana Clam cris vevo 👏🔥🔥
Natamani ifike mpk season ten 😂 maan Kila siku utam unazid TU 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Kaz nzuri clam mungu azid kukupa ubunifu🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mfaume angewapelekaa kina kiparaaa kwenye ufalme wa nyoka..hawa wasalitii anngelikuwaa kashapataa taarifa zao kitambo😂
😂😂hajajua taaruma za ufukunyuku unawenyewe na wenyew hao ni kipara bhn😂
Kweli kabisa
😂😂😂
Msiwe wachoyo leo nmewai naomben likes 😂
Siji kuangalia hii movie tena zinga hayupo, oyaaa team zinga tunashukuru sana kila lakheri
😂😂😂
Kama unatazama hii kutoka kenya ponyeza lile ua la ❤❤tutambuane mwenzangu🎉
Kwenye mchezo wa kuigiza ukiona mtu amekufa ujue hana muhimu tena ndo maana zinga kafa ili kupisha vita kati ya ntanzi na faume
Kweli kabisa ni vita ya faume na ntanzi
Kabisa
Leo niko wakwanza kutokeya congo 🇨🇩 naombeni liké zenu jamani kama munamukubali Clam vevo
Huyu mshauri mpya kifo kinamuuw maana tanu anawatu balaa 😂😂
Nakwambia hata mie namuona ahera madukani 😂😂
Sema ii filamu Mwakatobe ameibeba ngongoni, kama umeligundua ilo gonga like twende mbeli
Kweli kabisa
Kipara Ana Bahati mbaya😂😂
Gafla kibarua kimeota Nyasi 😂
sijachelewa sana mm Leo naomba like from kenya
Wanao jiuliza kama mimi kwamba huyu mwakatobe ni mkongo kweli au anatuongopea. Like zenu
Mwakatobe fundi hatakama hapatii ila yuko vizuri😂😂
Kali lakini shida ni Huwa sikuizi hamumuusishi snake boy na yeye ndio mkuu kwenye kipindi
Hii ni kwa watu wa kenya asante sana kwa kutu saport ndugu zetu ila na sisi tuna tamani kuwa saport kwenye movie zenu tutajieni chanel kali ya kwenda kucheck movie zenu ili tuzidi kusaport ana asanteni
KAZI KUBWA TANZANIA TUNASHUKULU SANA MASHABIKI ZETU MUNGU AWABALIKI KWA KUTUFATILIA KWENYE KAZI YETU YA SNAKE BOY 🐍 TUNAWAPENDA SANA ( TANU)
🎉🎉unaupiga mwingi aisee
Mwanafunzi umemfundisha mwenywe Leo anakutishia
Bro kwenye gemu tanu umuezi alafu mfaume ana mkubali sana mr tanu
WA KWANZA FROM BURUNDI 💥💥💥💥
Olakomeye
Yani uyu zinga alijifanya ana ongea ki Congo kumbe ana lolote😂😂😂😂😂🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Tunasikitika hii serious kuelekea ukingoni😢😢 hakika inafurahisha na kuelimisha pia.
Mwisho kitu kizuri ni mwanzo mwanzo wa kitu kizuri zaidi.
we hope big boss season two ipo njiani
Ndugu yangu hii tunayoifuatilia sasaivi ndio season two, labda useme ikiisha hii tusubirie season three na episode zake
@@hamisimsingwaathumani1564ye kasema big boss
@@hamisimsingwaathumani1564 hii ni snake boy ndugu, kuna nyingine walishacheza inaitwa big boss ndo tunangoja season two
Zinga noma sn kila shuti goli aloo agongi besela 😂
😂😂😂kam ngurue eeee
@@AsmaMpojo aloo atari sn ndg yngu
Wakwanza leo like kwa mwakatobeeee
hii kitu bila Mwakatobe❤ ni sawa na kuondoa chumvi kwenye parachichi😂😂
My favorite Tanzanian movie....am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
sipendi mijitu mimbea mimbeaaa😂😂 wakti yy mmbeaa
Kipara katumbuliwa hata kazi hajaanza😅😅😅
Tatizo nyota😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kwenye hii movie nampenda yule Albino
Wakwaza jameni 🇨🇩
Kazi nzuri from Dodoma bungeni ushindi sana
Wa kwanza leo naomba like zango🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wa moçambique tufagiryane jaman
@@antoniojanuariodaily9159 certo
Ila Abinimbi mzuri #Aisee
Sanaa
🎉🎉🎉wqkwanza leo mm ❤❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo
Wasalimie lusaka
Nitageia like Kila Mmoja wenu Kwa wale mnayeziomba❤❤❤❤❤ from Burundi 🇧🇮🇹🇿 just one Love 💖💖
Burundii one love❤❤❤ 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ok omani 🇴🇲
Tangu snake ianze hakuna alopendeza kama huyu mshaur wa chief mpya
Yup man
😂😂😂😂😂😂zing je
Sema tu ni handsome
Wakwanza nipeni maua yangu
🎉🎉🎉🎉🎉
Like! Wangapi tumezaliwa Tanzania na tunaishi Tanzania but Tuna ASILI ya Kenya. 🎉
Karibu Kenya basi🥰
@@NuruNdegwa-yg2bm thanks 😊
Ntiba félicitation osololi mwa kitoko na langue nationale na biso, Big up wana
Huyo ni zinga ntiba aliekuwa season 1
@@HASHIMMAKUNGUHAMDANI oui c'est vrai zinga, moto wa mangala
Sisi wa kongomani tu meshukuru sana kwa lugha tukufu ya lingala zinga ni fundi kubwa
Hivi mwakatobe hatuingizi Chaka kweli ni chenyewe iko??
Kazi ya chaupele ni kama itazaa matunda uko mbeleni😅😅
Ahuu wachaa kurugutanta manteteree nakupenda Sana mzee uishi kabisa Hadi mwisho wa movie
Hivi hiko ni kikongo kweli au swaga
Uyo mshauri wa chief mpya nampenda jamani ❤❤❤❤❤
Unampenda kama ninavyompenda mm jamani
@@SophiaAkapota 😂😂
😂😂😂kumbe unajua kiswahili zinga 😂😂😂
Kipara utaja niuwa siku moja mteuzi wa zinga😂
Wakwanza
Ss hv kila mtu wa kwanza so kuomba likes tena 😂😂 daah ila watazamaji wa snake boy mnanipa furaha sanaa 😅😅 enewei Big up sanaaa team ClamVevo ❤❤
Kajolo 😂😂😂😂nilijua tu utakua hv 😂😂😂😂mtu akipewa madaraka hujikweza 😂
Mwakatobe kafa kizembe kulipo mwanagu #BUTUA .... Yaani AKWATAAAA! 😂😂😂
😂😂😂😂
Leo Bila Kuchelewa nime Kuwa Wa kwanza Kwa wale Tulio Subiri tamthilia Yetu? Pendwa SNAKE BOYS EP 35 Basi Leo tujuane kwa like pamoja na comments🎉🎉
Kumbe faume atakuja kufa kifo cha shamiuna au Samsoni daaa!😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂iiii ni kali sana,,,,,clam vevoooooo 🔥 🔥 🔥
Estou eu mesmo aqui em Nampula MSUMBIJI 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba laiki zenu jamani
Sema hizi nywele za Tanu kama kibanga kampiga mkoroni😂
😂😂😂😂
😂😂🤣😂😂
Mim naona zinga ajafa 😅😅😅
Wakwanza hapa ChimKhan nipeni like zangu
Muachen sauda amzae zinga mtoto aje kulpa kisasi kwa babake mm bibaus zinga ndo aliekua ananogesha Sana ila najua ameacha kitu tumboni kwa sauda 😂
Nanyimwa like zangu 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦 naombeni like jamani
@tanuplus nakuita unajua bwanaa 🎉🎉Yani mtu kukusaliti na mbadala kapatikn chap chap❤ hongereni wote mlioshiriki🎉🎉
kazi nzuri sana ila hapo kwenye nyoka bado sana.....
Naupenda sana huo Wimbo baba jagire huu baba bawe ❤❤❤❤. Naombeni like zangu hata 10 jamani mimi ni mtoto wa miaka kumi tu wallahi naombeni 😢😢❤❤😊😊
, toka nianze fatiliya snake boy sijawahi kupata like leo naomba kwa watu 10 tu nipate like zenu
Wa kumi mm apa 😂
@@kelvinHerry-v7n thanks
Hii picha ninzulisana tatizo waandaaji wanakawia sana mjitahidi kutokawia inakuja tumeshasahau