KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 513

  • @Daudifm5800
    @Daudifm5800 Месяц назад +188

    UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤

    • @GilbertObed
      @GilbertObed Месяц назад

      Yupo vzr sana Hyu kaka

    • @juniorkamafa3391
      @juniorkamafa3391 Месяц назад +1

      Huyu ndo Diamond

    • @gts5007
      @gts5007 Месяц назад

      Hatuitwi wabongo burebure...kweli BONGO ipo...akili.

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti 16 дней назад

      ​@@juniorkamafa3391hapana uyo ndo zuchu

    • @neamusic2601
      @neamusic2601 15 дней назад

      Kabisaa

  • @msafirihaule9921
    @msafirihaule9921 Месяц назад +124

    Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Месяц назад +4

      Siyo jeuri ni muelewa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Месяц назад +1

      Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho

    • @user-fx1er4rq3f
      @user-fx1er4rq3f Месяц назад +1

      Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe

    • @AgnesEphraim-jw6dv
      @AgnesEphraim-jw6dv Месяц назад +3

      ​Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 Месяц назад

      Waliharibu ule utaratibu JPM

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 Месяц назад +76

    Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Месяц назад +1

      Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er Месяц назад +2

      Si ndio zao Kenge hao
      Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo
      This GenZ

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Месяц назад +100

    Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Месяц назад +28

    One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako
    Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад +20

    Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa.
    Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Месяц назад +20

    BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Месяц назад +57

    Jamaa ni smart sana

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Месяц назад +10

    nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 Месяц назад +16

    Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 Месяц назад +43

    Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 Месяц назад +13

    Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад +62

    Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi

  • @AmanNdalu-m7q
    @AmanNdalu-m7q Месяц назад +8

    Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Месяц назад +84

    Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.

    • @geofreychitamu366
      @geofreychitamu366 Месяц назад +10

      Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.

    • @gasperymisungwi960
      @gasperymisungwi960 Месяц назад +5

      Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true

    • @KarumeKindamba-lk1px
      @KarumeKindamba-lk1px Месяц назад +2

      Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +3

      Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +3

      ​@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli

  • @user-ph8ln3vd6n
    @user-ph8ln3vd6n Месяц назад +19

    Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +23

    Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.

  • @SarapiaMfoi
    @SarapiaMfoi Месяц назад +29

    Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond

  • @johnmaganga44
    @johnmaganga44 Месяц назад +5

    Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana
    Big up sana Bro👊👊👊👊👊

  • @boazikibuyu7457
    @boazikibuyu7457 Месяц назад +14

    Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Месяц назад +13

    Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +46

    Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Месяц назад

      Mkuu was mkoa no comedy😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад

      Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂

    • @DennisFandi
      @DennisFandi Месяц назад

      Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 Месяц назад

      ​@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад

      @@eliathomas8446 khaa 😂😂

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Месяц назад +28

    Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Месяц назад +23

    Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu Месяц назад +19

    Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Месяц назад +2

      Hawa ndo staili ya Madiwani tuanaowataka wenye maono na ushauri yakinifu na adili

    • @celinapeter9474
      @celinapeter9474 Месяц назад

      Sanaaaaa mama angemuona tuuuu

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Месяц назад

      Kweli

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 Месяц назад +7

    Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani

  • @user-xb6mb1by5l
    @user-xb6mb1by5l Месяц назад +24

    Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa

  • @liutapro
    @liutapro Месяц назад +6

    Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Месяц назад +30

    Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.

    • @KattKangu
      @KattKangu Месяц назад +1

      Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 Месяц назад +3

      Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 13 дней назад

    ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 Месяц назад +9

    Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Месяц назад +20

    Kijana kaongea busara mno.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Месяц назад +3

    Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂

  • @user-my5nb9jn2d
    @user-my5nb9jn2d Месяц назад +4

    Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Месяц назад +5

    Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA

  • @user-yq1qy5mx4y
    @user-yq1qy5mx4y Месяц назад +1

    Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Месяц назад +3

    kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake

  • @josephatmushi1140
    @josephatmushi1140 21 день назад

    Excellent 👍👍👍👍

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio 21 час назад

    Chalamila amepata ukuu wa mkowa kwa nganga wa kienyeji ndo maana anajiamini kuliko kumwamini Mungufrom Mozambique 🇲🇿

  • @mcgabby
    @mcgabby Месяц назад +5

    He sound like Fred Vunja bei😅

  • @leinaamos
    @leinaamos Месяц назад +3

    Jamani Kuna vijana wanaudhubutu sana kijana Yuko vzr Hadi mwenye mtoto anajivunia

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Месяц назад

      vijana wengine ni wasomi ila wamekusoma fulsa tu ya kuajiliwa wameamua kuwa wajasiriamali wadogo ,,,ukiangalia kwa makini hata anavyojieleza unaona kabisa huyu kijana ni msomi

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 15 дней назад

    Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze Месяц назад +1

    hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 9 дней назад

    Yaan kaka ameongea pont sana maashallah kuliko huyo mkuu wa mkoa anafoka tu hafai hata kifuga kuku

  • @KihozaAthuman
    @KihozaAthuman Месяц назад +1

    Umetisha kijana

  • @Gamba177
    @Gamba177 Месяц назад +8

    Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.

  • @JumaRamadhani-q6e
    @JumaRamadhani-q6e Месяц назад +1

    Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉

  • @mustaphajuma2292
    @mustaphajuma2292 Месяц назад +5

    Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 Месяц назад +7

    Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Месяц назад

      Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.

    • @othmanjumaa2480
      @othmanjumaa2480 Месяц назад

      Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Месяц назад

      Mkinga unaona mbali sana

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Месяц назад +2

    very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up

  • @catherinemoses8775
    @catherinemoses8775 29 дней назад

    Kudos!!!

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 Месяц назад +3

    Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢

  • @bashiruabdallah8666
    @bashiruabdallah8666 Месяц назад

    Kijana anajihamini na hana hofu. Ana stadi za uongozi kabisa.Safi sana

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv Месяц назад

    Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 Месяц назад +1

    Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Месяц назад

    Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Месяц назад

    Hongera kijana ,Mungu akulinde.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад +1

    Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye 18 дней назад

    Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 27 дней назад

    Safi sna kijana

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Месяц назад +2

    😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi

  • @waltergodwin2529
    @waltergodwin2529 Месяц назад

    Smart dude.✊️

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Месяц назад +3

    Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Месяц назад +2

    huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu5326 Месяц назад

    Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---

  • @gililwise
    @gililwise Месяц назад +1

    UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Месяц назад +2

    Dogo hongera sana

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +3

    Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine

    • @abumuhammad9615
      @abumuhammad9615 Месяц назад

      Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Месяц назад

      Umesema kweli

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Месяц назад

    Hongera msomi

  • @JacksonNgilu
    @JacksonNgilu Месяц назад

    Vizur

  • @johnhery-wh4lq
    @johnhery-wh4lq Месяц назад +1

    Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo

  • @hajimsisi3095
    @hajimsisi3095 Месяц назад

    Smart mind

  • @FeisalDoctor-wr8ws
    @FeisalDoctor-wr8ws Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉Big up

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 20 дней назад

    Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌

  • @hassanKaku-to7kd
    @hassanKaku-to7kd Месяц назад

    Brilliant

  • @user-ch8it5jr8m
    @user-ch8it5jr8m Месяц назад

    Safi upo vizuri kaka sana

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 Месяц назад

    Duuuu niatali sana

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Месяц назад +1

    Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 Месяц назад

    He is humble and yet smarter than the Haracee!😅

  • @hansmedia9767
    @hansmedia9767 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂Et Miaka 2 unaondoka Khaaaa....!!! Badili ya kuwaza Watu walipe Kodi Unaweza kutoa Na kuingiza wapya

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 Месяц назад

    Hongera kaka umeongea vizuri sana

  • @AmiriIssa-np4hn
    @AmiriIssa-np4hn Месяц назад

    Nice

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Месяц назад

    Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....

  • @KulwaMkomba
    @KulwaMkomba 18 дней назад

    Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi

  • @user-ek6on1rh9x
    @user-ek6on1rh9x Месяц назад

    Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Месяц назад

    Viongozi wetu jamani
    Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Месяц назад

    Very smart

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 Месяц назад +5

    Huyu ni Kiongozi kweli bure kabisa

  • @officialgrace1844
    @officialgrace1844 Месяц назад

    Ndo mana Paul makonda alimchukua Yuko vizuri kijanaaa

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. Месяц назад

    😂😂 maisha ni bahat anae faakua mkuu wa mkoa ni machinga na machinga ndo mkuu wa mkoa kama huna D mbili hunielew

  • @nwntz
    @nwntz Месяц назад

    X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад

    Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +2

    Samahani mkuu wewe mbona ukuu wa mkoa hujaacha na wengine wakae wale

  • @dalaliipilinga4246
    @dalaliipilinga4246 Месяц назад

    vunja bei jnr🎉🎉

  • @yusuphalfani998
    @yusuphalfani998 Месяц назад

    Nchi ngumu sana tusubili utukufu wa mungu

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 Месяц назад +4

    Huy jamaa hastaili kuwa hata mjumbe wa nyumba 10

  • @josephngassa7073
    @josephngassa7073 Месяц назад

    Uko vizuri kijana kusimamia hoja ya msingi Kwa maslahi mapana ya wafanyabiashara sio kubabaishwa na viongozi waliovimbewa mamlaka yao

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Месяц назад

    Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад

    Majibu ya chalamila kwa kijana nimazuri sana sana kunawatu nimatajiri ukufukuzia biasharazao unakuta nimachinga sehemu tofauti tofauti. Wanahaki michongo yavijana wanao anza kujitafuta