Hivi wakiosema makonda hajasoma ni wachawi au maana anatalent kubwa kuliko kawaida!!!!!!au amechomekwa likomputa ili awe otomatical kama hivi duh Mungu ambarikie sana
Makonda Mungu akubariki baba Yani watu kama hao ukiwakuta kwenye ofici yani wana Jeuri kweli kweli Mzee Makoda wafajiye wote ni uchafu ti wanajiskiya sana
Asante Mungu wetu. Mungu tunakushukuru kwa kutuinulia Uongozi wa Nchi yetu kwa kipindi hiki,Uongozi ambao umejipanga kwa Makusudi yako Mungu,kusimamia na kutenda haki,kuondoa dhuluma na uonevu katika Jamii ya Wa- Tanzania. Siyo kwamba Awamu zilizopita hazikufanya kazi nzuri,ila kwa sasa Awamu hii Imejikita zaidi kufuta dhuluma na uonevu uliopitiliza nchini kwetu. Mungu Muongoze Rais Wetu Mama Samia Suluhu Hassan, muinulie Timu nzuri yenye kibali chako Mungu Wetu,kuirudishia heshima yake Nchi yetu,kwa Kumpatia Wasaidizi wake kama hawa wachache ambao jamii inawashuhudia utendaji wao. Kunao wengine pia wanaofanya mazuri kwenye maeneo yao kimyakimya. Matumaini ni makubwa sana kwa WaTanzania kuona Nchi yetu inayo Serikali inayotenda haki, na Mungu Ibariki Tanzania Milele na Milele. Amen.
Umeongea point kubwa sana.Sawa hana nyaraka lakini je aliyejenga shule hiyo ni nani? Je huyo aliyejenga alishalipwa? Maswali haya hayajajibiwa hiyo inaonyesha kuna ujanja ujanja.
Siku moja ningekuwa siko makini ningefanya duble payment. Ninaimani mkurugenzi huyo hakuwepo kipindi anajenga.Ukikurupuka kujibu maswali haraka unaweza kulia. Nashauri mkuu najua unajua mambo mengi lkn mpe muda mkurugenzi.
Makonda Nakuomba Uje Uchukue Fomu Huku kwetu Jimbo La Ukonga Hakuna Wakukushinda Huku Kwetu Barabara Mbovu Banana kwwnda Kitunda, Kwenda Magore Kwenda Kibebru And Mwanagati Mbunge Yupo Karibu Kiongozi Mchapa Kazi Kura Zako Zipo Zinakusubili Hakuna Mtanzania Asie Ona Kazi Yako Kiongozi Wamasikini
Kweli shule za kata zilikua zinajengwa kwa utaratibu anaosema mkurugenzi. Sasa mkurugenzi atazipata wapi,wakati pesa zinaletwa kwa utaratibu na maelekezo maalumu.
Makonda ondoa watu wazembe km hawa wanaotesa haki za wanyonge, mungu ibariki Tanzania yetu ya amani tunakupenda makonda
Well done Makonda Mwenyezi Mungu akuongoze, na akulinde uweze kusimamia majukumu yako.kwa weledi na haki!!!
Mh Makonda,Mungu akusimamie asee.kuna watu wa ovyo sana hii nchi.imagine mtu amejenga shule harafu anazungushwa zungushwa tu ndo mambo gani sasa.
Hivi wakiosema makonda hajasoma ni wachawi au maana anatalent kubwa kuliko kawaida!!!!!!au amechomekwa likomputa ili awe otomatical kama hivi duh Mungu ambarikie sana
We kamada kwelii tembea kwa hakii baba we n jembe kama magufulii hayatii baba
HONGERA SANA MKUU WA MKOA KWA KAZI KUBWA UNAYOIFANYA HAKIKA MAOMBI YA WANYONGE MUNGU ANAYASIKIA
Makonda Hongera sana! Big up!😊
Makonda Mungu akubariki baba Yani watu kama hao ukiwakuta kwenye ofici yani wana Jeuri kweli kweli Mzee Makoda wafajiye wote ni uchafu ti wanajiskiya sana
Asante Mungu wetu. Mungu tunakushukuru kwa kutuinulia Uongozi wa Nchi yetu kwa kipindi hiki,Uongozi ambao umejipanga kwa Makusudi yako Mungu,kusimamia na kutenda haki,kuondoa dhuluma na uonevu katika Jamii ya Wa- Tanzania. Siyo kwamba Awamu zilizopita hazikufanya kazi nzuri,ila kwa sasa Awamu hii Imejikita zaidi kufuta dhuluma na uonevu uliopitiliza nchini kwetu. Mungu Muongoze Rais Wetu Mama Samia Suluhu Hassan, muinulie Timu nzuri yenye kibali chako Mungu Wetu,kuirudishia heshima yake Nchi yetu,kwa Kumpatia Wasaidizi wake kama hawa wachache ambao jamii inawashuhudia utendaji wao. Kunao wengine pia wanaofanya mazuri kwenye maeneo yao kimyakimya. Matumaini ni makubwa sana kwa WaTanzania kuona Nchi yetu inayo Serikali inayotenda haki, na Mungu Ibariki Tanzania Milele na Milele. Amen.
Rc Makonda piga kazi mtetezi wa wanyonge ninakiombea sana
Kwakweli MH. Mungu awe nawe ktk shughuli hii ngumu unayo ifanya Bwana Yesu atakuripa, wewe na family yako
Makonda wewe ni kamanda kweli, Mungu aendelee kukulinda uendelee kupigania haki za wanyonge
Miaka kadhaa ijayo huyu ni Rais makonda
Mwenyezi Mungu akulinde na akuongoze
Mungu mbaliki makonda
Makonda wewe ni JPM hajae mungu akulinde
God bless you wise man
Unatoa ufafanuzi hata mweye elimu
Ndogo anakuelewa
Makonda akubariki sana
Umeongea point kubwa sana.Sawa hana nyaraka lakini je aliyejenga shule hiyo ni nani? Je huyo aliyejenga alishalipwa? Maswali haya hayajajibiwa hiyo inaonyesha kuna ujanja ujanja.
boss i like your IQ. Mungu akubariki sana.
Acheni kuleta old news kupitia media nyingine! Be professional!
Wampe CAG naye nafasi ya kuwabana wabadhirifu wote
Siku moja ningekuwa siko makini ningefanya duble payment. Ninaimani mkurugenzi huyo hakuwepo kipindi anajenga.Ukikurupuka kujibu maswali haraka unaweza kulia. Nashauri mkuu najua unajua mambo mengi lkn mpe muda mkurugenzi.
Huyu mama mkurugenzi kabanwa anaona mambo yamemfika shingoni
Hivi hayo mapato makubwa hivyo yanaendaga wapi? Kwani mnavyopata Hela kwanini msilipe? Yaani Wala rushwa wakubwa ni wa maofisini.😮😮😮
Hizo ni swaga wamlipe hela zake kwani hawajaona shule walifikiria nani kajenga kwani kuna mwingine amekuja kudai ?
Mama samia huyu umpe uwaziri anastahiki
Mze ungekuwa ungeishi Burundi na si tumeteseka
Mkulugenzi funguka basi
Kiongozi makini ujarii shida zawatuwake
Sasa unapost Leo
Mkuu wa mkoa fika na huku nako
Hazarani ndio nini
Makonda Nakuomba Uje Uchukue Fomu Huku kwetu Jimbo La Ukonga Hakuna Wakukushinda Huku Kwetu Barabara Mbovu Banana kwwnda Kitunda, Kwenda Magore Kwenda Kibebru And Mwanagati Mbunge Yupo Karibu Kiongozi Mchapa Kazi Kura Zako Zipo Zinakusubili Hakuna Mtanzania Asie Ona Kazi Yako Kiongozi Wamasikini
Kweli shule za kata zilikua zinajengwa kwa utaratibu anaosema mkurugenzi. Sasa mkurugenzi atazipata wapi,wakati pesa zinaletwa kwa utaratibu na maelekezo maalumu.
Je maelekezo ya RAS ni feki?
Mimi nisingeweza kujibu lolote hapo nadhani ingekuwa mwisho wa ukurugenzi wangu.
,😂😂😂😂
Mlipeni pesa zake
Kwa vile umekutana na mtetezi wa wanyonge umesaidika nani kama Makonda Mungu akubariki
Mimi nasimama na mkurugenzi amesema ukweli mtupu nimempenda sana huwezi kulazimisha kulipa wakati huna hela
Huyo mama mkurugenzi natami kumla yuko vizuri kweli
Achabkitamani kula wanawake majangili wewe, huyo mwanamke ni dhulumati hata wewe akakidhulumu tu ukimtamani ukaingia ndani ya 18
MPE nafasi mkurugenzi.Tumsikie.usimtolee majibu
Sasa barua ya RAS ya mwaka 2020 ilishawaelekeza kumlipa lkn mpaka leo bado huyo Mkurugenzi unafikiri atakuwa na majibu gani?
@@charlesjohnjohn7953 Hapo.hamna majibu.Ila angempa nafasi.naye.azungumze.iwe kweli.au uongo.