RC MAKONDA AMLIZA MKURUGENZI HAZARANI "TUNATAKA MILIONI MIYAMBILI ISHINI NA NANE LEO LEO PIGA SIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2024
  • #AdilTV

Комментарии • 47

  • @user-sn2bg9mq7d
    @user-sn2bg9mq7d 2 дня назад +8

    Makonda ondoa watu wazembe km hawa wanaotesa haki za wanyonge, mungu ibariki Tanzania yetu ya amani tunakupenda makonda

  • @SaidaGadaf
    @SaidaGadaf День назад

    Well done Makonda Mwenyezi Mungu akuongoze, na akulinde uweze kusimamia majukumu yako.kwa weledi na haki!!!

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 2 дня назад +3

    Mh Makonda,Mungu akusimamie asee.kuna watu wa ovyo sana hii nchi.imagine mtu amejenga shule harafu anazungushwa zungushwa tu ndo mambo gani sasa.

  • @mohamedkimbwembwe-oi1rm
    @mohamedkimbwembwe-oi1rm День назад +4

    Hivi wakiosema makonda hajasoma ni wachawi au maana anatalent kubwa kuliko kawaida!!!!!!au amechomekwa likomputa ili awe otomatical kama hivi duh Mungu ambarikie sana

  • @user-lucas47
    @user-lucas47 2 дня назад +7

    We kamada kwelii tembea kwa hakii baba we n jembe kama magufulii hayatii baba

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi 21 час назад +1

    HONGERA SANA MKUU WA MKOA KWA KAZI KUBWA UNAYOIFANYA HAKIKA MAOMBI YA WANYONGE MUNGU ANAYASIKIA

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 12 часов назад

    Makonda Hongera sana! Big up!😊

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 День назад

    Makonda Mungu akubariki baba Yani watu kama hao ukiwakuta kwenye ofici yani wana Jeuri kweli kweli Mzee Makoda wafajiye wote ni uchafu ti wanajiskiya sana

  • @afraeliazaelayo
    @afraeliazaelayo День назад

    Asante Mungu wetu. Mungu tunakushukuru kwa kutuinulia Uongozi wa Nchi yetu kwa kipindi hiki,Uongozi ambao umejipanga kwa Makusudi yako Mungu,kusimamia na kutenda haki,kuondoa dhuluma na uonevu katika Jamii ya Wa- Tanzania. Siyo kwamba Awamu zilizopita hazikufanya kazi nzuri,ila kwa sasa Awamu hii Imejikita zaidi kufuta dhuluma na uonevu uliopitiliza nchini kwetu. Mungu Muongoze Rais Wetu Mama Samia Suluhu Hassan, muinulie Timu nzuri yenye kibali chako Mungu Wetu,kuirudishia heshima yake Nchi yetu,kwa Kumpatia Wasaidizi wake kama hawa wachache ambao jamii inawashuhudia utendaji wao. Kunao wengine pia wanaofanya mazuri kwenye maeneo yao kimyakimya. Matumaini ni makubwa sana kwa WaTanzania kuona Nchi yetu inayo Serikali inayotenda haki, na Mungu Ibariki Tanzania Milele na Milele. Amen.

  • @danielmwaikoono8928
    @danielmwaikoono8928 6 часов назад

    Rc Makonda piga kazi mtetezi wa wanyonge ninakiombea sana

  • @adonismuganyizi226
    @adonismuganyizi226 12 часов назад

    Kwakweli MH. Mungu awe nawe ktk shughuli hii ngumu unayo ifanya Bwana Yesu atakuripa, wewe na family yako

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 2 дня назад +9

    Makonda wewe ni kamanda kweli, Mungu aendelee kukulinda uendelee kupigania haki za wanyonge

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa День назад

      Miaka kadhaa ijayo huyu ni Rais makonda

  • @SaidaGadaf
    @SaidaGadaf День назад

    Mwenyezi Mungu akulinde na akuongoze

  • @khamishussein3502
    @khamishussein3502 2 дня назад +3

    Mungu mbaliki makonda

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa День назад +1

    Makonda wewe ni JPM hajae mungu akulinde

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 2 дня назад

    God bless you wise man
    Unatoa ufafanuzi hata mweye elimu
    Ndogo anakuelewa

  • @user-jd8fn3nh2k
    @user-jd8fn3nh2k 2 дня назад +1

    Makonda akubariki sana

  • @RobertGwelela-zq2fr
    @RobertGwelela-zq2fr День назад

    Umeongea point kubwa sana.Sawa hana nyaraka lakini je aliyejenga shule hiyo ni nani? Je huyo aliyejenga alishalipwa? Maswali haya hayajajibiwa hiyo inaonyesha kuna ujanja ujanja.

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 День назад

    boss i like your IQ. Mungu akubariki sana.

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 День назад +1

    Acheni kuleta old news kupitia media nyingine! Be professional!

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 14 часов назад

    Wampe CAG naye nafasi ya kuwabana wabadhirifu wote

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 12 часов назад

    Siku moja ningekuwa siko makini ningefanya duble payment. Ninaimani mkurugenzi huyo hakuwepo kipindi anajenga.Ukikurupuka kujibu maswali haraka unaweza kulia. Nashauri mkuu najua unajua mambo mengi lkn mpe muda mkurugenzi.

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 2 дня назад +1

    Huyu mama mkurugenzi kabanwa anaona mambo yamemfika shingoni

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui День назад

    Hivi hayo mapato makubwa hivyo yanaendaga wapi? Kwani mnavyopata Hela kwanini msilipe? Yaani Wala rushwa wakubwa ni wa maofisini.😮😮😮

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 12 часов назад

    Hizo ni swaga wamlipe hela zake kwani hawajaona shule walifikiria nani kajenga kwani kuna mwingine amekuja kudai ?

  • @mohamedkimbwembwe-oi1rm
    @mohamedkimbwembwe-oi1rm День назад

    Mama samia huyu umpe uwaziri anastahiki

  • @user-zu3yr4if3z
    @user-zu3yr4if3z День назад

    Mze ungekuwa ungeishi Burundi na si tumeteseka

  • @khamishussein3502
    @khamishussein3502 2 дня назад +1

    Mkulugenzi funguka basi

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt День назад

    Kiongozi makini ujarii shida zawatuwake

  • @kissjoe9530
    @kissjoe9530 21 час назад

    Sasa unapost Leo

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d 5 часов назад

    Mkuu wa mkoa fika na huku nako

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 14 часов назад

    Hazarani ndio nini

  • @DicksonMwandala
    @DicksonMwandala 15 часов назад

    Makonda Nakuomba Uje Uchukue Fomu Huku kwetu Jimbo La Ukonga Hakuna Wakukushinda Huku Kwetu Barabara Mbovu Banana kwwnda Kitunda, Kwenda Magore Kwenda Kibebru And Mwanagati Mbunge Yupo Karibu Kiongozi Mchapa Kazi Kura Zako Zipo Zinakusubili Hakuna Mtanzania Asie Ona Kazi Yako Kiongozi Wamasikini

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 12 часов назад

    Kweli shule za kata zilikua zinajengwa kwa utaratibu anaosema mkurugenzi. Sasa mkurugenzi atazipata wapi,wakati pesa zinaletwa kwa utaratibu na maelekezo maalumu.

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 12 часов назад

    Mimi nisingeweza kujibu lolote hapo nadhani ingekuwa mwisho wa ukurugenzi wangu.

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 12 часов назад

    Mlipeni pesa zake

    • @AmaniLukumay-wk6zm
      @AmaniLukumay-wk6zm 12 часов назад +1

      Kwa vile umekutana na mtetezi wa wanyonge umesaidika nani kama Makonda Mungu akubariki

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y День назад

    Mimi nasimama na mkurugenzi amesema ukweli mtupu nimempenda sana huwezi kulazimisha kulipa wakati huna hela

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 2 дня назад

    Huyo mama mkurugenzi natami kumla yuko vizuri kweli

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 День назад

      Achabkitamani kula wanawake majangili wewe, huyo mwanamke ni dhulumati hata wewe akakidhulumu tu ukimtamani ukaingia ndani ya 18

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 дня назад

    MPE nafasi mkurugenzi.Tumsikie.usimtolee majibu

    • @charlesjohnjohn7953
      @charlesjohnjohn7953 День назад

      Sasa barua ya RAS ya mwaka 2020 ilishawaelekeza kumlipa lkn mpaka leo bado huyo Mkurugenzi unafikiri atakuwa na majibu gani?

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 День назад

      @@charlesjohnjohn7953 Hapo.hamna majibu.Ila angempa nafasi.naye.azungumze.iwe kweli.au uongo.