INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2024
- INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu
Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi
Makonda apige kazi
Makonda njoo kibondoo
Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢
Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge
Vote for president to be makondaa
Piga like kwa niaba ya makonda
Napiga kura yake mapema sana
Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde
Yaani wacha kabisa
Hakika huyu ni Mungu aliye hai anayetenda kazi kupitia mheshimiwa Makonda ..Mungu amjaliea maisha marefu ya baraka awapinge na kuwaangamiza wanaoinuka kinyume na anachofanya na ikimpendeza amjalie kua kiongozi wa nchi kwa wakati Mungu alioukusudia.Amen
Aaaamiiiinaaaaa
Hakika tuzidi kumuombea kwa mungu huyu jamaa ili aweze kumaliza matatizo ya wanainchi
Mheshimiwa Rais Samia Arusha ,unazo kura kama zote, mikoa yote weka mashine kama hizi,Mh Makonda.kina Lengai sabaya uone mambo.
@waltermachange73huyo lingai SI kibaka TU kama vibaka wengine
Amina
Mungu azidi kukutunza Makonda, Unapiga kazi unatukumbusha Hayati Magufuli.
kweli kabisa huyu ni rais wetu makufuli
Huna akili hiyo ndo kazi yake rais ajesimamie vitu kama hivyo alio wateua wafanye kazigani
Damu ya YESU ikufunike Makonda🙏❣️
Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana
CCM simamisheni makonda agombee hata urais huyu anaweza kuwa tunu ya Taifa
We hawawezi 😂😂😂
coz kunawatu hawataki hata kumuona ila Kwa nguvu ya Mungu inawezekana
@@georgekimasaofficial1629 bro Mimi kura yangu siwezi kupigia CCM ila kwa hili jembe kama inatokea anagombea kura yangu inaenda CCM
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kunywa mchuzi nyama zipo chini... Time will tell
Kila siku nasema wanaoturudisha nyuma hii nchi ni viongozi wa chini hawa wadogowadogo...big up makonda
Yaan viomgoz ndo shida wananchi siyo tatizo kabisa
Hakika, na tukipata watu watano tu katika hii nchi kama makonda nchi ingepona
Go to taa cc t @@nuruurio8319
Nimekuja kugundua mama samia tunamtupiaga tu lawama...kuna hawa watendaji wa chini ni ugonjwa kwa kweli....Mama samia tunakupenda mama etu
Kbsaaa
Chini kumeoza
Mama Hana shida kabisa yupo vizuri mwenyezi munguu amsimamie pamoja na makonda
Umenena vema
Umeonaaeeeee hawa watu WA halmashauri NI jipu
Makonda Mungu atakufikisha tu kwenye uraisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakati ukifika bila upinzani na watesi wako hawatoamini
Haswa
Tuendelee kumuombea afike kwenye kusudi
Ewe Mungu mjaalie maisha marefu mja wako huyu na umlinde na Shari za wana Adam ameen
Ameen
Ameen 🙏🙏
Mungu tutunzie tena huyu Baba,,,❤We see you in him for de sake of wanyonge wote,God bless Tanzania
Kwa kweli mheshimiwa Makonda Mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema uendelee na kazi unayoifanya kuna maonezi makubwa sana katika nchi yetu
makonda mungu aendelee kukupa uzima na Afiya mtetezi Wa wanyonge yani wewe unaweza sana
Inauma sana huyo mkurugenzi afukunzwe kazi babisa
Hawa ndio mnasema makonda anawadhalilisha.. Ila amini nawaambia ipo siku mungu atawajibu😥😥
Hata km mkuu watakuchukia, wakuchukie tu ila Mungu atalipa sikio lako lakusikiliza wananchi wako
Ama kweli Umzaniae ndiye kumbe siye hivi kwili watu wa Arusha haya mliyategemea kwa Mh Makonda?sidhani sasa angalieni jinsi anavyo fanya kazi nzuri hongera zako Mh Makonda 👏👏👏👏👏
T M U...
Kila atakaewalaani laana zikamrudie, kwa jina la Yesu!@.., hivi jamani ni kweli watu hawaoni vile hata wanaume wanatoa machozi? Yule aliyepata ugonjwa wa moyo wamemuona? yale machozi ya yule bibi je? Hivi Leo anajitokeza mtoto wa mwanamke mwenzio, anayariski maisha yake kwa kututetea halafu eti mnaleta siasa!!
Mama Samia anamuamini na ndiyo maana amemleta Arusha,alijenge jiji ki mataifa na atutetee walala hoi na fedha za Serikali zitumike ki Serikali nk.
Huyu ana hofu ya Mungu na Mungu hatamuacha .
Big up Team Makonda Ukombozi❤❤❤
Wanyooshe baba hwa watu jmn niwatu wajabu kbisa.Sijui mungu wao niyupi.
Your more than bright Mhe Mkuu wa mkoa, " mlipokosa nyaraka zake zpo nyaraka za nani? Au alitoa msaada? Mungu akupe maisha marefu Mhe wetu
Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa
Mungu yuko pamoja nawe
Allah akulinde ww ni kiongozi mzuri sana mtenda haki
Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke
Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma
Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida
Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao
Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn
acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo
Mh. Makonda your integrity is unparalleled.
Level ya Mkoa kwa Makonda bado hatujatendea haki watanzania walio wengi
Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....
Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.
Eeee Yesu mlinde Makonda azidi kutetea Wanyonge Mama Bikira Maria mpine kwa nguvu zote Makonda
Baadaye mseme anawakosea.
MAKONDA anafanya kazi.
Mama anaangushwa na watendaji wa chini
Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!
Kwa sasa Mimi nimemkubali sana Makonda. Mzee wa ufufuo kwisha habari yake.
Kwakweli
Makonda Mungu akulinde maana utakuwa namaadui wengi sana🙏🙏
Mheshimiwa makonda unafanya kazi nzuri ila hii nchi inahitaji mabadiliko ya seheria maana wanyonge Wana pata shida sana
Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana
Bwana Yesu akulinde na uendelee kuwa kujitetea sisi wanyonge.
Tunakupenda sana.
MAKONDA KIJANA MWENZANGU NAFURAHISHWA SANA NA UTENDAJI WAKO WA KAZI, HICHI UNACHOKIFANYA NI VERY UNIQUE,THATS WHY WENGI SANA WANAKUCHUKIA,...ILA MUNGU AKUTUNZE SANA; BINAFSI NAAMINI TUNGEKUWA NA WAKUU WA MIKOA KAMA WEWE WA5 TU, NA MAWAZIRI KAMA WEWE WA5, NA WAKUU WA WILAYA WA5, NA WAKUU WA POLISI WA MIKAO WA5, NA MAAFISA WA TAKUKURU WA MIKOA WA5 TU, NA WAKUU WA MAHAKAMA ZA MIKOA WA5 TU; NCHI HII NDANI YA MIAKA 10; TRULY NAWAMBIENI UKWELI KABISA,KIPATO CHA KILA MTANZANIA MTAFUTAJI KINGEFIKA LAKI 5 PER MONTH,HATA UMRI WA KUISHI UNGEFIKA MIAKA 80. TUENDELEE KUMUABUDU MUNGU WETU ALIYEZIUMBA MBINGU NA DUNIA.
Makonda tuko pamoja kamanda Mungu akusimamie katika kutenda haki
Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅
Kweli ila kukaa uchi awaoni kua wanazarurisha
Binafsi namkubali sana huyu jamaa pamoja na mapungufu yake machache ila ni bonge moja la kiongozi tena mwenye maono lkn hii nchi watu wanasimama kupinga eti kisa anaemuhoji ni mwanamke dah
Makonda uko vizuri brother!! Nnapenda unavyotuhudumia wananchi wako.
Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha
Makonda ana reasoning nzuri sana, sikuwaza kabisa kama yeye.
Makonda ni Mtu na Nusu
Wabunge mnasikia hayoooo sio mpo makini na posho zenu na kuomba mpewe Magali.....mnaona mnavyo taabisha Watu
Makonda mkuu wetu wa mkoa nakuelewa sana,unasaidia watumishi kujua majukumu yao,haya maswali tunajiuliza daima,Mungu akulinde.
Magufuli living ❤❤❤
Kweli kbs
Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo
Hilo tatizo la uzulumu mafundi kwenye miladi ya serikali imezoekeka
Wanao dhumu sio serikali ni walioko serekalin ndio wanaodhumu n Hawa wanaoidhinisha hela ndo changamoto
Kwani watumishi wa serkari ndo serkari hiyo hiyo na ndo inazulumu watu wake
Mwamba kwelikweli. Alafu aje mtu katoka alikotoka aseme fyuu fyuu fyuuu. Yani kaambali na huyu Mwamba ujue wahuni nchii wapo wengi ndio maana makonda akiwabana kidogo unaona wanaanza kurusha Midomo mtandaoni. Acheni Makonda afanye kazi yake aliyetumwa hapa duniani.
Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea
Niwazi kabisa mkurugenzi hakua na mpango wa kulipa deni, miyeyusho tu
Makonda Mungu akubariki sana akusamehe dhambi zako zote.
Mungu akulinde makonda,
Mungu akubariki mtetea wanyonge
Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤
Mungu kufanya mwanaume ndio awe kiongozi hajakosea sasa huyo mkulungezi si mwanamke wanawake wana tabu sana tena wakiwa viongozi ndio hawafai kabisa kuwa viongozi mungu aliwakataa wasiwe viongozi kwasababu anayajua walionayo
Kutokana na imani yako na Mungu wako
@@gregory6165 sio Imani Yako basi we nitajie mtume au nabii hata Moja ambae alikuwa mwanamke ? kwani mungu Hana akili kwanini hakufanya hivyo hapa tunaongea kwa fact and logic usilete mihemko hapa. Mwanamke akubali akatae akili yake ni ndogo haiwezi kuongoza wanaume hakuna kitu kama hicho. Nyie mnalazimisha ndio yanawakuta kama hayo tunayoyaona
@@Hussein-gx4qu kwaiyo wewe unadhani kila mtu ni mwislam au mkristo, nikikwambia dini yangu haitambui mitume na manabii? Au nikikwambia mi ni atheist? Kwenye biblia kitabu cha waamuzi wapo viongozi wa dini waamuzi walikuwa wanawake... Wapo wengi wakina ester n.k usifikiri dunia inazungukia kwako chochote usichokiamini unadhani hakipo au ni batili, mjudge mtu kwa kuangalia uwezo wake sio kujumlisha kundi lote wewe mama yako ni baba? Af kama inakuuma wanawake kuwa kwenye uongozi mbona mnashindwa kumwambia mwenzenu samia?si mwislam pia? kila siku anaenda miskitini anakuta na mufti..mnamfanyia hadi dua maalum, Mbona hamwambii ajiuzulu dini yenu na mungu si haruhusu wanawake kuwa viongozi, unafki umewajaa
Ningeomba tu Kila baada ya mwaka mmja makonda awe aanamishwa Kila mkoa jmn Kila mtu apate haki 🙏@paul makonda
Makonda is the most talented leader unexplainable. May God protect you . Heaven is on you❤
Makonda Mungu akulinde akupe nguvu ulindwe na Mafisadi ambao hawakupendi maana hata Magufuli aliuwawa kwa kutetea Wanyonge
Loko fundi tunapitia changamoto haza tunapota denda kwenye taasisi ni kama hizii ,alafuu ajitikeza jitu huko anasema makonda anazalilisha watumishi, embu avaee viatu vya huyuu inginia wetu.
Mafundi njooni tufahamiane hapaaa
makonda for president
Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.
Unaweza kumtembelea
Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!
Mungu aendelee kukulinda baba kwajili ya wanyonge ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Haya yakisemwa mtu anasema anadharilisha watumishi!!
Makonda mngu akuweke..wambiwe ukweli hakuna kudhalilisha ni ukweli saidia wanyonge
Andika MUNGU sio mngu
Mh Paul Makonda Mungu wa mbinguni akutunze baba,...Arusha watu wameteseka muda mrefu sana mpaka wengine wamekufa kwa pressure na sukari kwaajili ya kudhulumiwa....Wana Arusha muombeeni sana Mh Makonda na familia yake ameletwa kwa kusudi kabisa la Mungu
Mkuu nakupenda sana brother kwa sababu ya haki unayoipigania, Embu fikilia sisi wenyewe ni watanzania lakini tunafanyiana rohoo mbaya, aisee MUNGU arudi tu hata kesho
Makonda safii❤
Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂
Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji
Mueshimiwa makonda nakupenda sana Alha akulinde na maasidi inshallah
Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu
Hawa wakurugennzi wanapatikanaje vilaza hata wajinu wake ajui jamani nchi itaenda kweli kama wao ni kukaa ofisini tu awashughuliki na kutatua kero za wananchi
Alafu wanakuja watu wanasema makonda anawadhalilisha watumishi! Phuuuu piga kazi makonda
usivunjike moyo jitahd inshallah utafka
Nimeelewa ndio maana Bro unawaletea moto mpaka wanalia kama honi😂😂😂
Mh.makonda, nakupongeza kwa hili jambo...ongera sn.
Nimefatilia sana mikutano ya mkuu wa mkoa mheshimiwa Paul makonda, kiukweli wewe ni kiongozi mwenye uthubutu,natamani viongozi wengine waige kutoka kwako,hakika mungu atakulipa Kwa wema wako"
Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.
Hapo mkurugenzi mbovu sana kwenye wizi haelewi hapa haelewi
Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hela zishariwa izooo
Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako
Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda
I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.
Mungu wa mbinguni Abariki mweshimiwa makonda,na Mungu atuinulie wakinamakonda wengine ambayo ni wazalendo,na wanauchungu na watu waoonewa na kusulumia
Nilichogundua kupitia ziara za makonda watendaji wengi wamewekwa kindugu na kirafiki ndo tatizo la mambo mengi kwenda hovyo
Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆
Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?
Makondaaaaaaaaa, Mungu akulinde.
Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏
Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏
"Kila mtendaji avae viatu vya mwananchi" NENO hili pekee tu lingetosha kukaa as a main KPI kwenye kila mkataba wa kazi wa watendaji , lingefanya mabadiliko mskubwa!
Mhuuuuu kipindi ichoo ndoo naanza chekechea kbxa
Ila Makonda bana umetisha Mzee kwa hiyo mlalamikaji afanyeje? Akabomoe shule
Hakika huyu jamaa Mungu amtunze aiseee ananyooka kweli kweli
Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma
Mh Makonda Ni jembe ,anatutetea na sisi makontractor
Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda
Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani
@@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.
Wasomi wengi walioajiliwa na selikari kwenye utendaji hakuna kitu sijui darasani walikuwa wanakalili😢