INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024
  • INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 604

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  29 дней назад +48

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @justinog3105
    @justinog3105 29 дней назад +195

    Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 29 дней назад +7

      Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 29 дней назад +3

      Makonda apige kazi

    • @Bandura386
      @Bandura386 28 дней назад

      Makonda njoo kibondoo

    • @jokhajj
      @jokhajj 28 дней назад

      Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 27 дней назад

      Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 28 дней назад +97

    Vote for president to be makondaa
    Piga like kwa niaba ya makonda

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj 27 дней назад +37

    Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 29 дней назад +69

    Hakika huyu ni Mungu aliye hai anayetenda kazi kupitia mheshimiwa Makonda ..Mungu amjaliea maisha marefu ya baraka awapinge na kuwaangamiza wanaoinuka kinyume na anachofanya na ikimpendeza amjalie kua kiongozi wa nchi kwa wakati Mungu alioukusudia.Amen

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 29 дней назад +2

      Aaaamiiiinaaaaa

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 29 дней назад +2

      Hakika tuzidi kumuombea kwa mungu huyu jamaa ili aweze kumaliza matatizo ya wanainchi

    • @waltermachange7300
      @waltermachange7300 29 дней назад

      Mheshimiwa Rais Samia Arusha ,unazo kura kama zote, mikoa yote weka mashine kama hizi,Mh Makonda.kina Lengai sabaya uone mambo.

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 29 дней назад

      ​@waltermachange73huyo lingai SI kibaka TU kama vibaka wengine

    • @stevenmabungi3245
      @stevenmabungi3245 28 дней назад

      Amina

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 29 дней назад +75

    Mungu azidi kukutunza Makonda, Unapiga kazi unatukumbusha Hayati Magufuli.

    • @oscarcharles9624
      @oscarcharles9624 28 дней назад +1

      kweli kabisa huyu ni rais wetu makufuli

    • @user-ej5ir5pu7r
      @user-ej5ir5pu7r 21 день назад

      Huna akili hiyo ndo kazi yake rais ajesimamie vitu kama hivyo alio wateua wafanye kazigani

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 29 дней назад +37

    Damu ya YESU ikufunike Makonda🙏❣️

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 29 дней назад +31

    Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 29 дней назад +79

    CCM simamisheni makonda agombee hata urais huyu anaweza kuwa tunu ya Taifa

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 28 дней назад +5

      We hawawezi 😂😂😂
      coz kunawatu hawataki hata kumuona ila Kwa nguvu ya Mungu inawezekana

    • @mnyongeiddi2454
      @mnyongeiddi2454 28 дней назад

      @@georgekimasaofficial1629 bro Mimi kura yangu siwezi kupigia CCM ila kwa hili jembe kama inatokea anagombea kura yangu inaenda CCM

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 27 дней назад +1

      Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kunywa mchuzi nyama zipo chini... Time will tell

  • @Mgema001
    @Mgema001 29 дней назад +57

    Kila siku nasema wanaoturudisha nyuma hii nchi ni viongozi wa chini hawa wadogowadogo...big up makonda

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 29 дней назад +1

      Yaan viomgoz ndo shida wananchi siyo tatizo kabisa

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 28 дней назад

      Hakika, na tukipata watu watano tu katika hii nchi kama makonda nchi ingepona

    • @ChausikuMadale
      @ChausikuMadale 7 дней назад

      Go to taa cc t ​@@nuruurio8319

  • @Mgema001
    @Mgema001 29 дней назад +58

    Nimekuja kugundua mama samia tunamtupiaga tu lawama...kuna hawa watendaji wa chini ni ugonjwa kwa kweli....Mama samia tunakupenda mama etu

  • @user-zw6lg3px6d
    @user-zw6lg3px6d 29 дней назад +37

    Makonda Mungu atakufikisha tu kwenye uraisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakati ukifika bila upinzani na watesi wako hawatoamini

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 29 дней назад +24

    Ewe Mungu mjaalie maisha marefu mja wako huyu na umlinde na Shari za wana Adam ameen

  • @elizaberthpius4511
    @elizaberthpius4511 29 дней назад +18

    Mungu tutunzie tena huyu Baba,,,❤We see you in him for de sake of wanyonge wote,God bless Tanzania

  • @GodfreyMwambwalo-ev9nh
    @GodfreyMwambwalo-ev9nh 29 дней назад +36

    Kwa kweli mheshimiwa Makonda Mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema uendelee na kazi unayoifanya kuna maonezi makubwa sana katika nchi yetu

    • @oscarcharles9624
      @oscarcharles9624 28 дней назад

      makonda mungu aendelee kukupa uzima na Afiya mtetezi Wa wanyonge yani wewe unaweza sana

  • @gilbertdamas5297
    @gilbertdamas5297 29 дней назад +29

    Inauma sana huyo mkurugenzi afukunzwe kazi babisa

  • @AlfaEnock-st9md
    @AlfaEnock-st9md 28 дней назад +15

    Hawa ndio mnasema makonda anawadhalilisha.. Ila amini nawaambia ipo siku mungu atawajibu😥😥

  • @nelsonngowi3950
    @nelsonngowi3950 29 дней назад +28

    Hata km mkuu watakuchukia, wakuchukie tu ila Mungu atalipa sikio lako lakusikiliza wananchi wako

  • @user-wo4rc5gb3w
    @user-wo4rc5gb3w 24 дня назад +5

    Ama kweli Umzaniae ndiye kumbe siye hivi kwili watu wa Arusha haya mliyategemea kwa Mh Makonda?sidhani sasa angalieni jinsi anavyo fanya kazi nzuri hongera zako Mh Makonda 👏👏👏👏👏

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 28 дней назад +6

    T M U...
    Kila atakaewalaani laana zikamrudie, kwa jina la Yesu!@.., hivi jamani ni kweli watu hawaoni vile hata wanaume wanatoa machozi? Yule aliyepata ugonjwa wa moyo wamemuona? yale machozi ya yule bibi je? Hivi Leo anajitokeza mtoto wa mwanamke mwenzio, anayariski maisha yake kwa kututetea halafu eti mnaleta siasa!!
    Mama Samia anamuamini na ndiyo maana amemleta Arusha,alijenge jiji ki mataifa na atutetee walala hoi na fedha za Serikali zitumike ki Serikali nk.
    Huyu ana hofu ya Mungu na Mungu hatamuacha .
    Big up Team Makonda Ukombozi❤❤❤

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 29 дней назад +11

    Wanyooshe baba hwa watu jmn niwatu wajabu kbisa.Sijui mungu wao niyupi.

  • @yunistinatemba9466
    @yunistinatemba9466 25 дней назад +4

    Your more than bright Mhe Mkuu wa mkoa, " mlipokosa nyaraka zake zpo nyaraka za nani? Au alitoa msaada? Mungu akupe maisha marefu Mhe wetu

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 29 дней назад +17

    Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa
    Mungu yuko pamoja nawe

  • @user-hn9hd3og8u
    @user-hn9hd3og8u 28 дней назад +12

    Allah akulinde ww ni kiongozi mzuri sana mtenda haki

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 29 дней назад +25

    Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke

    • @josephignas3988
      @josephignas3988 29 дней назад +1

      Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 28 дней назад

      Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida

    • @user-zi1gp6dc2q
      @user-zi1gp6dc2q 27 дней назад

      Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao

    • @user-zi1gp6dc2q
      @user-zi1gp6dc2q 27 дней назад

      Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn

    • @user-zi1gp6dc2q
      @user-zi1gp6dc2q 27 дней назад

      acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 29 дней назад +27

    Mh. Makonda your integrity is unparalleled.

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 29 дней назад +17

    Level ya Mkoa kwa Makonda bado hatujatendea haki watanzania walio wengi

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 29 дней назад +9

    Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....

    • @zawaeli3357
      @zawaeli3357 28 дней назад +1

      Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 29 дней назад +9

    Eeee Yesu mlinde Makonda azidi kutetea Wanyonge Mama Bikira Maria mpine kwa nguvu zote Makonda

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 29 дней назад +13

    Baadaye mseme anawakosea.
    MAKONDA anafanya kazi.
    Mama anaangushwa na watendaji wa chini

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 29 дней назад +11

    Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 29 дней назад +11

    Kwa sasa Mimi nimemkubali sana Makonda. Mzee wa ufufuo kwisha habari yake.

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 29 дней назад +6

    Makonda Mungu akulinde maana utakuwa namaadui wengi sana🙏🙏

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 29 дней назад +13

    Mheshimiwa makonda unafanya kazi nzuri ila hii nchi inahitaji mabadiliko ya seheria maana wanyonge Wana pata shida sana

  • @kichalimaulid4904
    @kichalimaulid4904 26 дней назад +3

    Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana

  • @nesalerorian9161
    @nesalerorian9161 22 дня назад +1

    Bwana Yesu akulinde na uendelee kuwa kujitetea sisi wanyonge.
    Tunakupenda sana.

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 28 дней назад +4

    MAKONDA KIJANA MWENZANGU NAFURAHISHWA SANA NA UTENDAJI WAKO WA KAZI, HICHI UNACHOKIFANYA NI VERY UNIQUE,THATS WHY WENGI SANA WANAKUCHUKIA,...ILA MUNGU AKUTUNZE SANA; BINAFSI NAAMINI TUNGEKUWA NA WAKUU WA MIKOA KAMA WEWE WA5 TU, NA MAWAZIRI KAMA WEWE WA5, NA WAKUU WA WILAYA WA5, NA WAKUU WA POLISI WA MIKAO WA5, NA MAAFISA WA TAKUKURU WA MIKOA WA5 TU, NA WAKUU WA MAHAKAMA ZA MIKOA WA5 TU; NCHI HII NDANI YA MIAKA 10; TRULY NAWAMBIENI UKWELI KABISA,KIPATO CHA KILA MTANZANIA MTAFUTAJI KINGEFIKA LAKI 5 PER MONTH,HATA UMRI WA KUISHI UNGEFIKA MIAKA 80. TUENDELEE KUMUABUDU MUNGU WETU ALIYEZIUMBA MBINGU NA DUNIA.

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 29 дней назад +7

    Makonda tuko pamoja kamanda Mungu akusimamie katika kutenda haki

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w 29 дней назад +14

    Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅

  • @leodgarchilala721
    @leodgarchilala721 29 дней назад +10

    Binafsi namkubali sana huyu jamaa pamoja na mapungufu yake machache ila ni bonge moja la kiongozi tena mwenye maono lkn hii nchi watu wanasimama kupinga eti kisa anaemuhoji ni mwanamke dah

  • @rhodamgimwa356
    @rhodamgimwa356 28 дней назад +4

    Makonda uko vizuri brother!! Nnapenda unavyotuhudumia wananchi wako.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 29 дней назад +21

    Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 29 дней назад +10

    Makonda ana reasoning nzuri sana, sikuwaza kabisa kama yeye.

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 29 дней назад +27

    Wabunge mnasikia hayoooo sio mpo makini na posho zenu na kuomba mpewe Magali.....mnaona mnavyo taabisha Watu

  • @Punda284
    @Punda284 28 дней назад +2

    Makonda mkuu wetu wa mkoa nakuelewa sana,unasaidia watumishi kujua majukumu yao,haya maswali tunajiuliza daima,Mungu akulinde.

  • @avinrwegasira3448
    @avinrwegasira3448 29 дней назад +14

    Magufuli living ❤❤❤

  • @raymondlyamuya6900
    @raymondlyamuya6900 29 дней назад +13

    Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 29 дней назад +17

    Hilo tatizo la uzulumu mafundi kwenye miladi ya serikali imezoekeka

    • @HemedMnyambwa
      @HemedMnyambwa 29 дней назад +2

      Wanao dhumu sio serikali ni walioko serekalin ndio wanaodhumu n Hawa wanaoidhinisha hela ndo changamoto

    • @emmanuelsunday8325
      @emmanuelsunday8325 28 дней назад

      Kwani watumishi wa serkari ndo serkari hiyo hiyo na ndo inazulumu watu wake

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 29 дней назад +5

    Mwamba kwelikweli. Alafu aje mtu katoka alikotoka aseme fyuu fyuu fyuuu. Yani kaambali na huyu Mwamba ujue wahuni nchii wapo wengi ndio maana makonda akiwabana kidogo unaona wanaanza kurusha Midomo mtandaoni. Acheni Makonda afanye kazi yake aliyetumwa hapa duniani.

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 28 дней назад +2

    Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea

  • @thomsanga7956
    @thomsanga7956 29 дней назад +10

    Niwazi kabisa mkurugenzi hakua na mpango wa kulipa deni, miyeyusho tu

  • @nicksonmallya11
    @nicksonmallya11 28 дней назад +4

    Makonda Mungu akubariki sana akusamehe dhambi zako zote.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 29 дней назад +16

    Mungu akulinde makonda,

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v 29 дней назад +8

    Mungu akubariki mtetea wanyonge

  • @romanshirima5883
    @romanshirima5883 28 дней назад +5

    Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 29 дней назад +11

    Mungu kufanya mwanaume ndio awe kiongozi hajakosea sasa huyo mkulungezi si mwanamke wanawake wana tabu sana tena wakiwa viongozi ndio hawafai kabisa kuwa viongozi mungu aliwakataa wasiwe viongozi kwasababu anayajua walionayo

    • @gregory6165
      @gregory6165 28 дней назад +1

      Kutokana na imani yako na Mungu wako

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 28 дней назад

      @@gregory6165 sio Imani Yako basi we nitajie mtume au nabii hata Moja ambae alikuwa mwanamke ? kwani mungu Hana akili kwanini hakufanya hivyo hapa tunaongea kwa fact and logic usilete mihemko hapa. Mwanamke akubali akatae akili yake ni ndogo haiwezi kuongoza wanaume hakuna kitu kama hicho. Nyie mnalazimisha ndio yanawakuta kama hayo tunayoyaona

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 28 дней назад

      ​@@Hussein-gx4qu kwaiyo wewe unadhani kila mtu ni mwislam au mkristo, nikikwambia dini yangu haitambui mitume na manabii? Au nikikwambia mi ni atheist? Kwenye biblia kitabu cha waamuzi wapo viongozi wa dini waamuzi walikuwa wanawake... Wapo wengi wakina ester n.k usifikiri dunia inazungukia kwako chochote usichokiamini unadhani hakipo au ni batili, mjudge mtu kwa kuangalia uwezo wake sio kujumlisha kundi lote wewe mama yako ni baba? Af kama inakuuma wanawake kuwa kwenye uongozi mbona mnashindwa kumwambia mwenzenu samia?si mwislam pia? kila siku anaenda miskitini anakuta na mufti..mnamfanyia hadi dua maalum, Mbona hamwambii ajiuzulu dini yenu na mungu si haruhusu wanawake kuwa viongozi, unafki umewajaa

  • @margarethashayo5308
    @margarethashayo5308 27 дней назад +4

    Ningeomba tu Kila baada ya mwaka mmja makonda awe aanamishwa Kila mkoa jmn Kila mtu apate haki 🙏@paul makonda

  • @UpendoLangeni
    @UpendoLangeni 13 дней назад

    Makonda is the most talented leader unexplainable. May God protect you . Heaven is on you❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 29 дней назад +8

    Makonda Mungu akulinde akupe nguvu ulindwe na Mafisadi ambao hawakupendi maana hata Magufuli aliuwawa kwa kutetea Wanyonge

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 29 дней назад +8

    Loko fundi tunapitia changamoto haza tunapota denda kwenye taasisi ni kama hizii ,alafuu ajitikeza jitu huko anasema makonda anazalilisha watumishi, embu avaee viatu vya huyuu inginia wetu.
    Mafundi njooni tufahamiane hapaaa

  • @olemenye-jb8yw
    @olemenye-jb8yw 29 дней назад +9

    makonda for president

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4t 28 дней назад +5

    Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 29 дней назад +8

    Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 23 дня назад +1

    Mungu aendelee kukulinda baba kwajili ya wanyonge ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sanduulemo
    @sanduulemo 29 дней назад +6

    Haya yakisemwa mtu anasema anadharilisha watumishi!!

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 29 дней назад +6

    Makonda mngu akuweke..wambiwe ukweli hakuna kudhalilisha ni ukweli saidia wanyonge

  • @ceciliamallya
    @ceciliamallya 14 дней назад

    Mh Paul Makonda Mungu wa mbinguni akutunze baba,...Arusha watu wameteseka muda mrefu sana mpaka wengine wamekufa kwa pressure na sukari kwaajili ya kudhulumiwa....Wana Arusha muombeeni sana Mh Makonda na familia yake ameletwa kwa kusudi kabisa la Mungu

  • @nellychamba1507
    @nellychamba1507 12 дней назад

    Mkuu nakupenda sana brother kwa sababu ya haki unayoipigania, Embu fikilia sisi wenyewe ni watanzania lakini tunafanyiana rohoo mbaya, aisee MUNGU arudi tu hata kesho

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 29 дней назад +10

    Makonda safii❤

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 29 дней назад +9

    Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂

    • @emmanuelbenedicto589
      @emmanuelbenedicto589 29 дней назад +4

      Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s 28 дней назад +2

    Mueshimiwa makonda nakupenda sana Alha akulinde na maasidi inshallah

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 28 дней назад +3

    Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 29 дней назад +7

    Hawa wakurugennzi wanapatikanaje vilaza hata wajinu wake ajui jamani nchi itaenda kweli kama wao ni kukaa ofisini tu awashughuliki na kutatua kero za wananchi

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 28 дней назад +3

    Alafu wanakuja watu wanasema makonda anawadhalilisha watumishi! Phuuuu piga kazi makonda

  • @omaraliy8207
    @omaraliy8207 28 дней назад +5

    usivunjike moyo jitahd inshallah utafka

  • @barakajohn8005
    @barakajohn8005 29 дней назад +5

    Nimeelewa ndio maana Bro unawaletea moto mpaka wanalia kama honi😂😂😂

  • @bennshirima9918
    @bennshirima9918 29 дней назад +4

    Mh.makonda, nakupongeza kwa hili jambo...ongera sn.

  • @salehemanjoti3086
    @salehemanjoti3086 20 дней назад

    Nimefatilia sana mikutano ya mkuu wa mkoa mheshimiwa Paul makonda, kiukweli wewe ni kiongozi mwenye uthubutu,natamani viongozi wengine waige kutoka kwako,hakika mungu atakulipa Kwa wema wako"

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 28 дней назад +1

    Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 29 дней назад +4

    Hapo mkurugenzi mbovu sana kwenye wizi haelewi hapa haelewi

  • @mosescharles3565
    @mosescharles3565 25 дней назад

    Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa 29 дней назад +10

    Hela zishariwa izooo

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 28 дней назад +1

    Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 28 дней назад +5

    Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise2256 27 дней назад +1

    I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.

  • @loishiyemollel5393
    @loishiyemollel5393 25 дней назад

    Mungu wa mbinguni Abariki mweshimiwa makonda,na Mungu atuinulie wakinamakonda wengine ambayo ni wazalendo,na wanauchungu na watu waoonewa na kusulumia

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 29 дней назад +3

    Nilichogundua kupitia ziara za makonda watendaji wengi wamewekwa kindugu na kirafiki ndo tatizo la mambo mengi kwenda hovyo

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 29 дней назад +8

    Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 5 дней назад

    Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 28 дней назад +1

    Makondaaaaaaaaa, Mungu akulinde.

  • @kensonyjulius5691
    @kensonyjulius5691 28 дней назад +1

    Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 28 дней назад +1

    Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏

  • @dinakyoma5977
    @dinakyoma5977 28 дней назад +2

    "Kila mtendaji avae viatu vya mwananchi" NENO hili pekee tu lingetosha kukaa as a main KPI kwenye kila mkataba wa kazi wa watendaji , lingefanya mabadiliko mskubwa!

  • @Ramatozzy-zv7ix
    @Ramatozzy-zv7ix 26 дней назад +2

    Mhuuuuu kipindi ichoo ndoo naanza chekechea kbxa

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 29 дней назад +4

    Ila Makonda bana umetisha Mzee kwa hiyo mlalamikaji afanyeje? Akabomoe shule

  • @moseslaizer7349
    @moseslaizer7349 25 дней назад +1

    Hakika huyu jamaa Mungu amtunze aiseee ananyooka kweli kweli

  • @luganouswege628
    @luganouswege628 27 дней назад +1

    Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 29 дней назад +6

    Mh Makonda Ni jembe ,anatutetea na sisi makontractor

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 28 дней назад +2

    Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda

    • @gregory6165
      @gregory6165 28 дней назад

      Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 28 дней назад

      @@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.

  • @gideonstanley2155
    @gideonstanley2155 25 дней назад +1

    Wasomi wengi walioajiliwa na selikari kwenye utendaji hakuna kitu sijui darasani walikuwa wanakalili😢