MAKONDA AKASIRIKA na KUVUNJA MKUTANO! INJINIA APATA UGONJWA wa MOYO KISA MADENI na ANAIDAI SERIKALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MAKONDA AKASIRIKA na KUVUNJA MKUTANO! INJINIA APATA UGONJWA wa MOYO KISA MADENI na ANAIDAI SERIKALI
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 345

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 месяца назад +16

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад +113

    Mungu hatokaa kimya kwaajili ya wanao mpinga makonda , tena mipango yenu mibaya juu ya makonda ,haitafanikiwa Mungu atamlinda vyema kwani nikiongozi anae lia na wanao lia , wanao muombea makonda na tuungane tumuombee , weka like zakutosha,

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 4 месяца назад +3

      Ndio aombewe raisi wa Sasa kafeli makonda ndio anatakiwa awe raisi

    • @Mimi.Official
      @Mimi.Official 4 месяца назад +3

      Mimi sio mtanzania ila napenda uongozi wa makonda

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 4 месяца назад

      ​@@Hussein-gx4qukabisaa!nchi Kama haina Rais sijui huyu Mama afikiria nini haijahi UoNgozi mmbovu Kama kipindi hiki miririko dhulunma kila Siku ! Mungu akulinde Sana Makonda

    • @Soudbako
      @Soudbako 4 месяца назад

      That true

    • @martinsimtenda5990
      @martinsimtenda5990 4 месяца назад

      Ni kweli Mungu ni mkuu na hatanyamaza kabisa

  • @josephatraymond4902
    @josephatraymond4902 3 месяца назад +3

    Umeniliza kwa busara zako. Pole mzee na Mungu anakutia nguvu sababu ya kujipa moyo ungeshakufa na pressure

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 4 месяца назад +59

    Vote for president to be makondaa
    Kma waungan NAMI piga like Kwa niaba ya makonda

  • @MoseSolongo-n8d
    @MoseSolongo-n8d 4 месяца назад +43

    Mimi niko Marecan Mungu zidi kumurinda Makonda tena sana kama kunamichango yawanyonge niko tamari kuchanga asant 🎉

  • @ChristinaElias-e8v
    @ChristinaElias-e8v 2 месяца назад +2

    Mungu akupiganie mheshimiwa makonda akunyanyue zaidi unatufaa sana

  • @shamtemandai7221
    @shamtemandai7221 4 месяца назад +19

    Hongera mhe mkuu wa mkoa nakupa pongezi ya kutaka kujua kero za wananchi kwa watumishi wetu yako mengi pambana mungu akutie nguvu usichoke kazi ndio imeanza tusonge mbele

  • @LucasMalima-i9b
    @LucasMalima-i9b 4 месяца назад +22

    Kaka pole hata Mimi lukas nimetokea na machozi dada inauma ila nakuomba usikatwishe moyo na wenye dhuruma mtangulize mungu nimwema utapata majibu amina

  • @ally1702
    @ally1702 4 месяца назад +14

    Yaani jana nilikuwa naifatilia live nikajikuta machozi yananitoka tu leo nimeirejea tena ni vile vile nikaamua kupitia coment dah nazo ndo zimeliza pia mungu saidia wonyenge wasio na sauti na walipie haki zao zitoke kwenye mikono ya hao hao waliowazulumu nao wazilipe kwa maumivu makali kama waliosababishia wenzio amin amin amin

    • @samkoka3
      @samkoka3 4 месяца назад

      Tunalia wote aisee mm mpaka nashindwa kuangalia simu

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад +20

    Alafu ñdiomnasema asizalilishe wanawake.Kwahivi kweli mnataka mtu awafanyajenye hwa watu wenye dharau namakusudi makubwa hivi.Tena kwarohoo katili kbisa hawana huruma,yeye awahurumie kwalipi.Makonda mungu atakuzidishia.

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 4 месяца назад +24

    Kweli hivi serikali inafanya kazi kila kona nivilio na ukivisikia na wewe unaanza Lia Makonda Mungu yupo pamoja nawe

  • @HOOFCLANMEDIA
    @HOOFCLANMEDIA 4 месяца назад +19

    Very painful inauma sana tena sana

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 месяца назад +8

    Masikini baba wawatu anaonekanaa mpoleee na mnyenyekevu, poleeee sanaa Mungu atakurudishia kila ulichopoteza

  • @starmz428
    @starmz428 4 месяца назад +23

    future presidents of Tanzania paul makonda

  • @JacksonZakayo-tt3jg
    @JacksonZakayo-tt3jg 4 месяца назад +2

    Makonda hujawahi kuniangusha brother kazi zako Mungu azidi kukulinda nakuku angazia kilasiku

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 4 месяца назад +18

    Yaan unaweza sema mbona huyu ni engineer mkubwa lakin watoto wake familia wanalia shida kumbe ametenda wema jaman. Imeniuma jasho la mtu kweliii Mungu akufanyie wepes

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 4 месяца назад +5

    Inatisha pole engineer. Mungu atakulipa haki yako

  • @ElisanteNjau
    @ElisanteNjau 4 месяца назад +1

    Makonda asante asante tena,,Mungu akutunze hakika

  • @IreneLaizer-rs9bv
    @IreneLaizer-rs9bv 4 месяца назад +2

    Makonda Sijui niseme Nini Juu yako....ulinzi wa Mungu uwe Juu yako baba🙏

  • @lazarobenjamini8441
    @lazarobenjamini8441 4 месяца назад +7

    Duuu makonda una kazi kubwa ya kufanya ila usiache kumtanguliza Mungu

  • @BaloonMacheni
    @BaloonMacheni 4 месяца назад +15

    Dah!!! Inauma sana jamani nanikweli alilazwa kwaajili ya moyo mara baada ya tukio hilo na mazowezi tulikuwa tunafanya nae mazowezi kwa kurekebisha Afya yake

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 месяца назад +1

      Yni nimejikuta nalia kwakweli hii nchi najuta kwann nimelaxaliwa

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 4 месяца назад +1

      Tanzania inaviongozi wa ovyo sana hii nchi yni waungwana ni wachache waliowengi ni mashetani

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 4 месяца назад

      ​@@ElizabethWamchainauma sana

    • @andreamandari7089
      @andreamandari7089 3 месяца назад

      Daaaaa yaani mamb mengine Dunia ni magumu sana sometimes ndo maana wengine anaona Bora kufa maana ni aibu mkandarasi wa wilaya Leo unakosa hadi nyumba ya watoto wako😭😭😭

    • @geraldadolf4928
      @geraldadolf4928 2 месяца назад

      ​@@ElizabethWamchahiyo ni trela ngoja uone 2030 kwenda mbele vilio vitakua ni vingi yaani unafkiri ni Arusha tu sio Arusha tu ni kila mahali vilio vinarundikana

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 4 месяца назад +1

    Makonda Msalaba mzito Sana unao wa kuwawezesha wananchi walioonewa na kudhulumiwa kupata haki zao, Mungu akusimamie.

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 4 месяца назад +2

    Pole sanaa Eng Shelutete kwa kupitia changamoto yakutokulipwa hakizako tunaamini MUNGU kupitia kiongozi makini MH.Makonda kiongizi makini atahakikisha hakiyako inapatikana.

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 3 месяца назад

      Kumbe huyu ndo Engineer Shelutete, Mungu amfanyie wepesi, kumuongoza na kumlinda.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 4 месяца назад +5

    Asante Samia kumpeleka makonda Arusha

    • @isakhamisi8923
      @isakhamisi8923 4 месяца назад

      Miaka yote hiyo hao wakuu wa mikoa waliopita cjui walikuwa wakifanya nini kuhudumia wananchi maana hayo matatizo anayokabiliana nayo makonda utafikiri huu mkoa ndio Kwanza update uongozi wa juu. Ahsante makonda.

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 4 месяца назад +5

    Eeeh Mungu lisaidie Taifa hili!

  • @selinpareso137
    @selinpareso137 2 месяца назад

    Pole sana.kipezi cha wanaarusha

  • @Olafkaria123
    @Olafkaria123 4 месяца назад +1

    Mama samia kuna roho wa mungu alikutembelea ukampeleka huyu mtumishi wa mungu Mh Makonda Arusha ,hii nchi imeuzwa jamani watu wanaonewa sana

  • @DenaDuu
    @DenaDuu 3 месяца назад

    Kweli ukijiona umepoteza mshukuru mungu mana kuna walopoteza zaidi yako bro makonda isikate tamaa komaa ivo ivo naamini mungu yuko pamoja na ww na sisi tunakuombea

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 4 месяца назад +6

    Kweli mtu anafanya kaz tena kwa mkataba, halafu anapigwa danadana hadi anaenda kudai kwenye mkutano wa hadhara 😢😢😢. Hii nchi dah

  • @AnthonyDavid-ki3zh
    @AnthonyDavid-ki3zh 4 месяца назад +7

    Yani alivyo kaa kimya makonda sekunde kaza nilijua tu makonda kaumia had mm chozi limenitoka ndio kazi yko hiyo makonda msaidi jamaa inauma sna
    by Anthony tax man terminal 3 Airport dar 10:57

  • @miriamalute1540
    @miriamalute1540 4 месяца назад +3

    Hivii kwadizaini hii watoto wetu watafaulu kwelii jamani kwamachozi haya Mungu atutetee jamani

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 4 месяца назад +3

    Chapa kazi jembe, ila kazi hiyo ni ngumu sana,, mungu akusimamie duuu.

  • @marykirigiti203
    @marykirigiti203 4 месяца назад +19

    machozi ya mkuu wa mkoa hayatapita bure mungu akutie nguvu baba haki inaenda kutendeka mama samia hujakosea mama

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 4 месяца назад +12

    Ukisikia mabweni yanaungua tusilalamike Jamani Jamani Jamani.

  • @Emmanuelmakarata
    @Emmanuelmakarata 3 месяца назад

    Pole sana kaka nakufahamu vizuri wewe ni mpanaji sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад +12

    Makonda hiii nchi nimtihani sanaaa ivi viongozi walioko madarakani tuseme 80% niuozo tu kwanini lakini hivi hawamjui mungu au wanaroho za kishetani mungu inusuru Tanzania 🇹🇿 yangu

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 4 месяца назад

      brother hii nnchi mda mwingine nikiwaangalia viongozi hasa rais wa hii nnchi huwa nawashangaa Sana Kaz gani wanafanya

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 4 месяца назад +3

    Kiukweli watu wananyanyaswa sana,inaumiza sana hii watu hawana utu hata kidogo imagine wewe ndiyo unafanyiwa hivyo watoto wanalia hii si sawa watu kuweni na huruma na hofu ya Mungu.

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 4 месяца назад +2

    Nimejaribu kuwaza hadi chozi limenitoka inaonyesha ni jinsi gani watanzania wengi wanapitia magum kwa kukosa uongozi bora Mungu atusaidie na ikimpendeza zaidi kupitia Makonda watanzania wapate kupona majeraha kwa kumpa kibali cha kuliongoza taifa InshaAllah

    • @denismnubi7001
      @denismnubi7001 4 месяца назад

      Ivi Yule mkuu Wa mkoa alie pewa uenez Wa CCM alikuwa anafanya Nini hapo jameni

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 4 месяца назад +2

    Dah nazani makonda akiingia kulala huwa anaota kesi za watu😢😢

  • @SophiaAlly-ih2ss
    @SophiaAlly-ih2ss 4 месяца назад +1

    Pole sana makonda changamoto ni nyingi

  • @iptisamismaill-f6h
    @iptisamismaill-f6h 4 месяца назад

    Mungu ibariki tanzania mungu bariki watu wake

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 3 месяца назад

    Mungu akulinde makonda

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 месяца назад +13

    Mkuu wa Mkoa Kachoka chezea Wapigaji wewe 😂😂😂

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 4 месяца назад

    Pole engineer Mungu atakufuta machozi

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 4 месяца назад +3

    Hapa inaonekana wateule wa Rais hawamsaidii, Arusha ilikuwa na mkuu wa mkoa, miaka 6 hiyo alishindwa kushughulikia, mkuu wa wilaya monduli, mkurugenzi, madiwani, mbunge mtoto wa lowasa, wote walishindwa kusaidia hili mpaka mtu anaenda kwa naibu katibu mkuu tamisemi? Rais ana kazi kubwa kwa wateule wake. Mnyororo wa kufanya kazi umeoza hakuna team work, Sasa Mkuu wa mkoa atafanya kazi ngapi , hao wengine wanachukua mishahara ya nini ? Kama hili alilosema injinia ni kweli shida ni kubwa kwa mikoa mingi.

  • @MarryKirway
    @MarryKirway 2 месяца назад

    Pole san

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 4 месяца назад +2

    Nchi itawezaje kupata baraka kwa hari hii jamaani....
    Inauma sana, Machozi ya Mwanamume huyo na machozi ya wengi wanao dhurumiwa ni ACID mbaya kwa nchi yetu
    Mungu hatakaa kimya

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 месяца назад +5

    Mama UWT na Mama wa haki za binadamu tunawasibiri katika hili mseme neno kwa huyu kaka huu sio udhalilishwaji??

    • @sabinahobe3478
      @sabinahobe3478 4 месяца назад

      Wajinga sana hao mbona sijaona wakimsifia Makonda pale anapowasaidia wanawake? Ni walewale wapigaji tu

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 4 месяца назад +1

    Huyo Mama sijui ni mkurugenzi kazingua hadi Makonda Kakasirika Maana anataka Ajibu siasa ili kulinda Watu tu.. Mpuuzi Kishenzi anataka alete majibu Rahisi Kwenye Hoja Nzito...Pumbavu zake

  • @paustephano
    @paustephano 4 месяца назад +2

    Uuuh nmelia aisee

  • @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz
    @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz 4 месяца назад

    Huyu mkandarasi amefilisika na unauchungu mkali sana😢 Makonda msaidie naye ni baba wa familia asije acha wanae wadogo

  • @AlphonceJumanne-y1y
    @AlphonceJumanne-y1y 4 месяца назад

    Makonda yupo vizuri sana kwenye uongozi 🎉🎉🎉🎉

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 4 месяца назад +7

    Duh!anasema ukweli kutoka moyoni Mungu atakusaidia bro

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 месяца назад

    Huruma sn hawajamtendea.vzr kbsnpole sn mungu atakuponya

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 3 месяца назад

    We mama mungu anakuona dhulma hiyoo

  • @upendombise8113
    @upendombise8113 3 месяца назад

    Mimi nimelia nimelia nimelia Tena 😭😭😭 Eeeeeee mwenyenzi Mungu akubariki mnoooo mnoooo Mh makonda ubarikiwe mpka mshangaeeeeee

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 4 месяца назад

    Pole Mh Makonda

  • @BudaMbuta
    @BudaMbuta 3 месяца назад

    Ila arushaa,mhmhmh,mungu anaawaonaaaaa,

  • @catherinefoster378
    @catherinefoster378 2 месяца назад

    Kwa kweli yaani wanadamu wanatisha haswa utazeeshwa kwa hayo matatizwa yetu .

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779 4 месяца назад +15

    Mungu mkubwa katuletea Makonda… alafu wanatokea watu waseme ety anawajibu vibaya… watukane kabisa 😢

  • @johnrobert48
    @johnrobert48 4 месяца назад

    Pole.mkuu saana

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 4 месяца назад +1

    Daaah nchi hiii😢😢😢

  • @REHEMAMAFALO
    @REHEMAMAFALO 4 месяца назад

    Pole kk haki Yako haipotei Mungu Yuko na wewe utalipwa usiogope Mungu anafuta machizi yako

  • @fredrickkomba7545
    @fredrickkomba7545 3 месяца назад

    Dah 'Wema Wangu Ndio Ulioniponza' Kiukweli Inaumiza Sana

  • @hassanzuber
    @hassanzuber 4 месяца назад +1

    Inatia huruma sana aaaaaaa pole kaka

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 4 месяца назад +2

    Kuna Jamaa alifirisika Kwa sababu Hii ya Kutolipwa hadi aakamua akuachana na Mambo ya Ukandarasi🚶🚶

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 4 месяца назад

    Inauma sana 😭😭

  • @CyprianKunda-ug6ql
    @CyprianKunda-ug6ql 4 месяца назад

    Hata nimelia hapa.dah!Serikali gani hii mbona mnaumiza watu kiasi hiki
    Mama hajui hili Makonda mpema mama haki yake watu wanateseka mno hajakosea kukuleta huku Arusha

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 4 месяца назад

    Inauma sana

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 4 месяца назад +1

    Inaumiza sana

  • @obadiakimaro6375
    @obadiakimaro6375 4 месяца назад +4

    Mh. Mkuu wa mkoa Makonda okoa wanjonge pinga kz tetea wanjonge

  • @Goldenbutterfly-hk1hp
    @Goldenbutterfly-hk1hp 4 месяца назад +3

    Roho inaniuma kwaajili y uyu baba😢

    • @jokhajj
      @jokhajj 4 месяца назад

      Na mimi😢

  • @JoackimuGeorge-t8y
    @JoackimuGeorge-t8y 2 месяца назад

    namkubali Makonda

  • @BetresChambo-uv4qb
    @BetresChambo-uv4qb 4 месяца назад

    Yn mungu akutie nguvu maana km ss tunaokufuatia tunaumia sn je?
    Ww uliopo hapo jmn tunaonewa sn na viongozi wetu kwa stlye hiyo tutateseka sn.pole kuu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 4 месяца назад

    Mambo mengine yanakwaza mpk uvumilivu unashindwa kabisa pole bro makonda inaumiza sn mm nilivyomsikiliza huyu Kaka unatamani kulia kabisa daaah hii Dunia haiko sawa kabisa mkaka wawatu ameanza kuumwa na ugonjwa wa moyo kabisa.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 месяца назад

    Mungu saidia watu wako....
    Makonda...MUNGU AKUTIE NGUVU....

  • @miracleChoir-nc1ym
    @miracleChoir-nc1ym 4 месяца назад

    Pole Sana makonda

  • @mtangag774
    @mtangag774 4 месяца назад +1

    Dah nyie haya maisha jamn dah dhuluma hizi dah mm makonda mpka anakufa Niko naye

  • @stevedossa4966
    @stevedossa4966 4 месяца назад

    Mh MAKONDA naomba MUNGU kila siku,akuinue zaidi ya hapo,kuna kitu zaidi unatakiwa kuwafanyia Watanzania wanyonge

  • @meshackeliau8973
    @meshackeliau8973 3 месяца назад

    Arusha imekua shamba la bibi watu wanateseka sana dah😢

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 4 месяца назад +1

    Hapa ndipo mjue Taifa linatafunwa na mchwa .Tufike hatu sisi viongozi tuliopewa dhamana tusimamie haki kwakuqainua wahandisi wazawa wanaojitoa kwa dhati kabisa kulitumikia Taifa lao mwisho wa matokeo yake wanadhulumiwa. Taifa halita kwenda popote kwa mtindo huu.Wahenga walisema Ukimchekea nyani hakika Utavuna mabua. Mchwa unalitafuna Taifa hili .Taifa hili halistahili hata kuishi kwa utegemezi ,tuna kila kitu cha thamani katika aridhi yetu. Shida Umasikini wa fikira hasi za kiutegemezi zimetudumaza sana ndugu Watanzania. Tuanche kukaa maofisini kwenye ma air condition ,tutoke twende tukawajibike kwa wanyonge kujua changamoto zao.

  • @hasanirajabu3350
    @hasanirajabu3350 3 месяца назад

    Mmmh haya yanapatikana arusha tu je hiyo mikoa mingine watu wanaumia sana jaman daad

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 4 месяца назад +1

    Kufanya kazi na serikali Uwe na moyo wa mwendawazimu

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 месяца назад

    Watu wanaonewa sana na viongozi wabaya ktk hizi halmashauri mkuu.

  • @suleimankapalata7256
    @suleimankapalata7256 3 месяца назад

    kiukweli mkuuwamkoa mimisinauwezo ilakaziyako imetukuka mungu akulinde namitihanikamahiyo

  • @gracekiwelu8869
    @gracekiwelu8869 4 месяца назад

    Nime jikuta nalia tu Maumivu ya huyu baba ni makali sana jamani napenda nikutie moyo mungu Hajawahi mtupa mjawake maisha utafanikiwa tu kaka

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 4 месяца назад +9

    Kwaali iyi anatokea mtu mmoja tena mwanamke waaki sijui zawa wanawake ana mtuumu makonda mnyanyasaj kweli anaona aya madudu sasa yeye ndio aombe msama kwamakonda

  • @MichaelJohn-lb6uu
    @MichaelJohn-lb6uu 4 месяца назад

    Mungu akutie nguvu

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 4 месяца назад +8

    Yule mama mwanasheria wa kutetea haki za wanawake ajitokeze Tena aseme neno hapa

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 4 месяца назад

      Umeonaa

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 4 месяца назад

      Mjinga yule aisee.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 4 месяца назад

      Ndugu Heche atwambia ujinga sasa ni utamaduni wa taifa. Viongozi wengi wanapungukiwa akili ya utambuzi. Nchi hii ina watu wengi. Sisi raia tunatanguliza wajinga mbele yetu. wengine tumbo tu. Asiposema anayemlipa atakasirika. Hakuna cha haki za binadamu. Makonda anatetea haki za utu. Wa haki za binadamu bati mbaya wanasambaratisha Dunia. Wanaua, wanasambaza ushoga, wanasimika mfumo jike dhidi mfumo dume. Wanaume wanapotea, jamii inadhofika.

    • @sabinahobe3478
      @sabinahobe3478 4 месяца назад

      Mjinga yule hana akili

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 3 месяца назад

    Msaidie😭bro uyo mwamba

  • @RoseMrio
    @RoseMrio 4 месяца назад +2

    choz lak hakika bwana alione akutetee maadui zak wakautangaze wema wak

  • @samkoka3
    @samkoka3 4 месяца назад

    Very sad nimeumia sanaa Mzee nimelia sana mungu anawaona kwa kwel jmaaa ni mwanaume mm ningelea kama mwehuuu hapo ila kajikaza sna

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 4 месяца назад

    Makonda ❤

  • @josephmussa0625
    @josephmussa0625 4 месяца назад

    Mama yeye yuko nje kila siku sijui makamu wake anakazi gani hata hasikiki

  • @lylywise9385
    @lylywise9385 4 месяца назад

    Rc. Mh makonda. Mtu wa maana sana wewe!!

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa 3 месяца назад

    Kaka kaka kaka kaka kaka kaka yangu makonda aiseeeee kiukweri mungutu akusaidie akupe mbinu zakuchanganua hiii mitiani

  • @philipokusekwa7395
    @philipokusekwa7395 4 месяца назад

    Daaaah Tanzania Tanzanian kweli tumefikia hatua ya kuzulumiana wazi wazi 😢😢😢

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo 4 месяца назад

    Namkubari Sana makonda

  • @joshuakalinga5925
    @joshuakalinga5925 4 месяца назад

    Roho mbaya haina jinsia. Zamani tulidhani wanawake wakishika nyadhifa muhimu, uhuni-uhuni utapungua.

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 3 месяца назад

    Mwanaume ankuita babangu kijana ka we deep inside hurts