OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"......
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2024
- OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"......
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Baba katika jina la Yesu Kristo anayeishi na kutawala peke yetu watanzania hatuwezi chochote bila wewe, mambo ni mengi, matatizo ni mengi, kuoneana ni kwingi, kukoseshana amani yaani ni tafrani Bwana Yesu tusaidie na kutusimamie, hakuna mwingine ila wewe, ameeeen😴
Amen Amen and Amen
Tanzania noma sana.. Hila makonda unakazi ngumu sana.. Kupambana na kutatua shida za watanzania
Mama Samia Kuna madudu Tanzania hii 😥😥😥😥😥
Mungu tuhurumie kuna dhambi kuna maudhi mengi Yesu tusaidie
Makonda natamani dunia nzima tukuombee ubaki salama yaraby🤲❤🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂dunia nzima😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
MUNGU KESHASIKIA MAOMBI YA DUNIA NZIMA NDIOMAANA KAMRUDISHA MADARAKANI, MAKONDA AISHI MIAKA 800 AKIWA TIMAMU NA MZIMA WA AFYA NA APEWE NA URAIS ILI AKIPIGANIA WANYOMGE NA KUIJENGA ZAIDI TANZANIA. AMEN.
Kwel kabisa
Mama angu mpe nguvu makonda aweze kutoa maamuzi anafaa sana please
Yaani nchi imeharibika Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
Kwakweli Mama Samia ana mtihani mkubwa sana
Dah inaumiza sana roho za watu😢😢
Hongela mh mungu akupiganie juhudi zako zinaonekana
Kweli kabisa nipo Tunduma watu wengine ni Makada wa ccm wanavyeo vikubwa xana ndo wasafirishaji wakubwa wa wakimbizi wametajirika kupitia mambo kama hayo,kazi Yao ni kusafirisha wasomali😭😭😭😭😭
Huyo mudi anawatesa sana wacongo nawaburundi
MMA ngalele mwalukosya kyala ansaje fijoo makonda 🙏🙏🙏🙏
@@user-nb6yh2bn9y gwee abhandu aba balosi fijho bobasetano
@@JeremiahMwalukosya-eh5nf kabisa kaka 🙏🙏🙏🙏
Mfukuzeni jamani huyoo mudi hafai atawajibika siku yahukum huyo
KUNA WATU WANATETEA KULIKO WABUNGE WETU. HAYA KWELI HAYAJULIKANI ? NCHI IMEKUWAJE . KWA NINI HUYU MZEE MWENYE TAALIDA NZURI HIZI ASIPEWE CHEO NA KUMPA KAZI KULIKO WATU WAPUMBAVU WALOSOMA .
Makonda mungu akubariki sana nakuombea uje kuwa rais awamu ya 7 maana ww ni mtetez wa wanyonge
Huo ni uonevu, dhulma na unyanyasaji mkubwa kwa raia, Mnyeezi Mungu awaalaani na awaangamize watu wote wanaofanya dhulma hiyo InshaAllah 🙏
Nchi imechafuka hii yani sijui tu
Sasa eabunge wanakazi mbona madudu kila kona ya nchi
Namshukuru Mungu kwa kufichuka madudu aya
Haya mambo mbona mazito jamani
Hatari sana
Mungu akulinde Baba. Yangu.umesema.kweri......Omba.Mungu.wasikuzuru. tuhao wabaya
Kwakweli ni mtihan mkubwa
Bro vp hili la huyu Mzee mbona unakigugumizi,
Nikweli mm ni mkongo Nipo Canada niliwai kuhogea na police kigoma na nikatuma milioni 5 ili ndungu yangu atoke
Kumbe mambo yako hivi viongozi wanafanya haya hii ni laana
Mtihani Sana wajuwe Kuna mungu hasahau
Viongoz wako pale,mambo mengine ni nyeti sana kwa usalama wa inchi ,lakini hadi afike Makonda
System failure
Inauma Sana
😭😭😭😭😭😭maneno yameniuma sana yahuyu mzee ustadhi
MUNGU AKUINUE KUTUTUMIKIA WATANZANIA.
AMEN
Ee Magufuli kumbe uliacha roho nyuma zinafanya kazi Asante
😂😂😂😂aliacha roho nyuma😂😂😂😂😂
Makonda fanya kazi yako mungu atakusaidia
Daaaa!!! Hii nchi Atamarehemu jhoni pombe magufuri Alisema mimi na jua megi miaka mitano5 Niyamaumivu makubwa leo hii binadamu Awana-uruma juu ya binadamu wenzeo hii ni zuruma isiyo kisiri kwanini Awa-watu wanakuaivo tena sasa kibaya viongozi Akika zuruma Nimbaya sana Eeeee mwenyenzi mungu tia faraja juu ya ilitaifa
Mungu tulindie Makonda jamn mpe afya njema mpe uzima
Hongela mzee semaaaa
Mungu akupe nguvu muheshimiwa utatue matatizo ya watu nakupendaga sana vuchapa kaz wako
Yanasitisha sana kusikia mambo mengi sana yanayo fanyika Tanzania lakini tunarudi papale wakulaumiwa nani uwongozi mbaya huwezi kuongoza nchi chama kimoja muda wa miaka 70 lazima utafuja wapisheni wezenu mushachoka musinganganie looooh 😢
WALIZANI HAWATAJULIKANA.
SASA WANAUMBUKA. WANAMPIGA VITA RAIS WAKINA WAKIMZULIA MABAYA KUMBE MAJAMBAZI NI WENYEWE. TULIO NA AKILI TULISHA LIJUA ZAMAN HIO NDIO MAANA MAMA HAWAJIBU.
Ina Maana mama ni muhusika
@@rosetreffert4179ndo maana majibu tupewa
@@rosetreffert4179 mama Rais kipenzi ni muislam na ni mzanzibar,,,,sasa chuki binafsi watu zinawasumbua lkn mama n mtu mzuri sana. Wananjama aonekane mbaya. Mungu akisha kupandisha hakuna wa kujushusha. Mama mpk 2045. Mama la kizanzibar wacha wenye wivu wajinyone. Wanapo tawala vingozi waislam mara zote mambo huwa mazuri. Wasioutaka ukweli wajinyongeeee. Alipo tawala mwinyi kwa kushindwa mzee nyerere mambo yakawa supa. Kikwete mambo yalikuwa supa.
Io changamoto ya uhamiaji ipo pote tz
Bira ww uwe rahis akitoka mama
😂😂😂😂😂raisi 😂😂😂😂😂😂
WAKIMBIZI SIYO WAHARIFI KABISA HAWAPASHWI KUFUNGUNGWA KABISA. AU WARUDISHENI MAKWAO , AU WAPELEKENI KWENYE AZILI.
Baba umeongea ukwelii ila hiyo biashara hata serikali inajua umeona makonda amemwita huyo afisa amuulize ukatili huo unafanyika katika tanzania duuuh mungu mwenyewe
OOOH MAMA TANZANIA....SERIKALI IMEJAA MAFISADI WA KUTISHA....VIKO WAPI VYOMBO VYETU VYA USALAMA WA TAIFA...NI WAZI KABISA NCHI IMEOZA!
Madudu matupu
😭😭😭😭makonda Barikiwa na Mungu
Immigration Jitafakarini Kwa nn Mnanyanyasa watu Kiasi Hicho ?
Aisee
Tatizo hata Makonda anatupa nguvu zake maana mikoani kuanzia chini mpaka juu baadhi ya maofisi watendaji ndio wanafanya hayo kwa hiyo Makonda atasema lakini akiondoka hawafanyi lolote wote maharamia ni sawa na kumpigia mbuzi gita
Makonda wanyoooshe kuna baadhi ya watu wanaharibu chama
Duhhh hatari
Tz jamani... Wakimbizi maanake nini kwani. mkimbozi ni mtu aliye kimbia kwao kwa sababu za kukosa amani nakwenda mahali pa salama zaidi. sasa wa Tz wanafikiri wakimbizi ni wahalifu.
mtu anakimbizwa na muuaji anaingia kwenye nyumba yako nawe unageuka kua adui yake tena.
wakimbizi wakikamatwa wanapelekwa ofisi inahusiana na wakimbizi huko wanawasaidia sio kuwafunga.
mkimbizi maranyingi hawawagi na vibali.
wapokeeni wakimbizi muwasaidie lama hamtaki kuwasaidia muwarudishe kwao.
Iih nch inatangazwa nch ya aman ilamambo yanayo endelea mungu anajuwa kwakwel naiz minaona nikampen tu
Bwana Yesu asimame peke yake
😭😭😭
Mungu wetu tusaidie, inatishaaa Kaka angu utafanya mangap??
CCM inachelewa Maendeleo ya wananchi watanzania fungukeni
😊
Yani weunaoja mbovuuonio Nokosema utakuwa ulinyimwa ela
Unakuta Katibu mkuu wa Chama hajawah hata kuita press ya maana kutatua changamoto.
Mawatu mazito kama mawe wanayapa mamlaka
Inchi inamadudu sn wt wnaumia nanchi yao ukiona mtu anaongea adi analia juwa kuna maubwa mno
Kiukweli hii serikali viongozi wa nchi hii si waadilifu wanajali masrah yao kuliko ya wana nch
Hiyo hiyo ccm ndio chanzo kikubwa chahayo yote
Hii inchi imeoza kilasehem nirushwabdhuruma
Pole makonda upo kujaribiwa.mambo mazito .unahitaji sala Sana
Kabisaa
Tutaona mengi
Kweli mmasema ukweli vip usalama wenu jamani makonda kuwa makini umejitoa muanga baba yuko wap wakubwa watakumaliza watanzania tufunge wote tumwombee makonda ata awe rais tutatobo
Ccm imeshindwa kiongoza nchi hiiii
Huna mungu makonda acha uongo
Uwepo wa Mungu ni nguvu ya imani.. huwezi kumiliki imani ya mtu, wewe nani kuwajua wenye Mungu na wasio naye..
Huyu zio mtanzaniaaa
Huyu mzeek siyule ana Restaurant mpakani?!? Au nime mufananisha?
Yes
@@giftmusa6543 jamani 😭 nimepita pale mpakani 2012 naelekeya Malawi 🇲🇼 mimi na familia yangu, toka congo 🇨🇩, tumekula kwenye mgahawa wake baadaye akatuongeza chakula chabule😭, Yallahbin Mupe umri mlefu mzee wangu, na uzidi mubariki, , ameteteya nduguzetu wananyanyaswa sana mpakani😭, siwez msahau sura yake in my mind,
Katiba ni muhimu chandema wamesema makakala na genero wa uhamiaji siyo mtanzania inchi ya manyani
Makonda peke yake hawez, angekuw jpm yupo, ingekuw saf
Ni shida tumekua na midomo kumlaumu rais kumbe shida ipo kwa baadhi ya wasaidizi hakuna uadilifu
Babu unaongea sana mpaka unapoteza kazi
Hata makonda anaitajika kwenda gerezani guys
Alie pewa kapew na mtu hujiufunza kutokana na makosa ya Leo sijana Kaa Kwa kutilia jirani
Shida ni CCM,hao uhamiaji ni mali ya CCM, acheni drama
Mama muache makonda afanye kaz yake tunaomb
Tanzania kweli kumejaaa wakimbizi
KWANI HAO WAFANYAKAZI WA UHAMIAJI WALISOMEA WAPI HAO. KWANI HAWAJUI INTERNATIONAL LAW?. MBOBA WENZETU NNCHI ZA NNJE WANEJIPANGA VIZURI. NYINYI HIZO ELIMU ZENU NA SHERIA ZENU ZA WAPI?. MIMI NASHINDWA KUZIJUWA.
Duuu
Nchi ovyo sana hii hatuna kiongozi kabisaa
Duh ukstaajabu ya musa utayaona ya firaun
Wanainchi ni majasiri lla CCM wanazarau
CCM ni majini yaani ni lusifa
Makonda hajaongea
Mkoa wa shinyanga Hiyo ipo
👁️👁️
Hiii nchiii jaman duuuu😅😅😅
🇹🇿🙏🏻🎶
Haaaa???
Ata wewe nimkimbizi mbona
U po vyema muhishimiwa makomda
Ila wewe pia na wewe ni kakimbizi bnh
kwenye nyumba akicha kufa baba baazi ya vitu lazima mama atavishindwa2 kazi ipo
Kweli na kababa ka kambo Kako hapo nyuma😭😭😭😭😭😭😭
Alinamashiko wewe kamakunashida kwenyeichiyako utabaki
Nakuaminania makonda mung yupo nawe
V
Huyu baba anajitetea tu hata sura msomali japo kaonewa
Wewe ni mbwa kwani hakuna wasomali ambao ni watanzania Mr nonsese
Hata kama ni msomali itakuwa kazaliwa tz mutamuhisabu msomali
@silvesterrichardhelenya1k319 kabisaa watu wengine Nonsens
@@rosetreffert4179ubaguzi wa kijinga wasomali wamezaliana huku kibao
Pumbavu kabisa wewe wasomali ndo hawawezi kuzaliwa TZ??? Nyau we..!
Raisi mama samia inua makamanda mikoni mipakan kote wawashugulikie hao wajinga
Hivi Raisi huyaoni haya tufanyeje ili ujuwe watu tunaumia, tunaumizwa kiasi hicho kweli!!!!
Nchi kama hakuna rais
@@rosetreffert4179rose hamna kitu
Hatuna rais hii nch
Rais alikuwa angani kama mwewe wenzake wanatumia pesa za mikopo nchi inapewa wao kazi kufanya uhalifu tu viongozi kuanzia ngazi ya kata mpaka mkoa ufisadi tu yaani wabunge Havana wanachotetea wananchi mwaka kesho wote kuwatoa bungeni
Aaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nchi kama haina rais aibu kubwa,na anajidai eti nchi iko salama
Hivi Kuna raisi kweli nikumbushe
Kabisa , ni maigizo