OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"......

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2024
  • OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"......
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 144

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 3 месяца назад +17

    Baba katika jina la Yesu Kristo anayeishi na kutawala peke yetu watanzania hatuwezi chochote bila wewe, mambo ni mengi, matatizo ni mengi, kuoneana ni kwingi, kukoseshana amani yaani ni tafrani Bwana Yesu tusaidie na kutusimamie, hakuna mwingine ila wewe, ameeeen😴

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 3 месяца назад +16

    Tanzania noma sana.. Hila makonda unakazi ngumu sana.. Kupambana na kutatua shida za watanzania

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 месяца назад +10

    Mama Samia Kuna madudu Tanzania hii 😥😥😥😥😥

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 месяца назад +7

    Mungu tuhurumie kuna dhambi kuna maudhi mengi Yesu tusaidie

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 3 месяца назад +21

    Makonda natamani dunia nzima tukuombee ubaki salama yaraby🤲❤🎉

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂dunia nzima😂😂😂😂😂😂😂

    • @JuliusMhina
      @JuliusMhina 3 месяца назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @fbr5113
      @fbr5113 3 месяца назад

      MUNGU KESHASIKIA MAOMBI YA DUNIA NZIMA NDIOMAANA KAMRUDISHA MADARAKANI, MAKONDA AISHI MIAKA 800 AKIWA TIMAMU NA MZIMA WA AFYA NA APEWE NA URAIS ILI AKIPIGANIA WANYOMGE NA KUIJENGA ZAIDI TANZANIA. AMEN.

    • @PamelaJonas-dh6lg
      @PamelaJonas-dh6lg 3 месяца назад

      Kwel kabisa

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 3 месяца назад +6

    Mama angu mpe nguvu makonda aweze kutoa maamuzi anafaa sana please

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +4

    Yaani nchi imeharibika Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 3 месяца назад +6

    Kwakweli Mama Samia ana mtihani mkubwa sana

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 3 месяца назад +4

    Dah inaumiza sana roho za watu😢😢

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv День назад

    Hongela mh mungu akupiganie juhudi zako zinaonekana

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 3 месяца назад +2

    Kweli kabisa nipo Tunduma watu wengine ni Makada wa ccm wanavyeo vikubwa xana ndo wasafirishaji wakubwa wa wakimbizi wametajirika kupitia mambo kama hayo,kazi Yao ni kusafirisha wasomali😭😭😭😭😭

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 3 месяца назад +9

    Huyo mudi anawatesa sana wacongo nawaburundi

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад

      MMA ngalele mwalukosya kyala ansaje fijoo makonda 🙏🙏🙏🙏

    • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
      @JeremiahMwalukosya-eh5nf 3 месяца назад

      @@user-nb6yh2bn9y gwee abhandu aba balosi fijho bobasetano

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад +1

      @@JeremiahMwalukosya-eh5nf kabisa kaka 🙏🙏🙏🙏

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 3 месяца назад +2

      Mfukuzeni jamani huyoo mudi hafai atawajibika siku yahukum huyo

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 3 месяца назад +5

    KUNA WATU WANATETEA KULIKO WABUNGE WETU. HAYA KWELI HAYAJULIKANI ? NCHI IMEKUWAJE . KWA NINI HUYU MZEE MWENYE TAALIDA NZURI HIZI ASIPEWE CHEO NA KUMPA KAZI KULIKO WATU WAPUMBAVU WALOSOMA .

  • @user-ph7jn4co4t
    @user-ph7jn4co4t 3 месяца назад +1

    Makonda mungu akubariki sana nakuombea uje kuwa rais awamu ya 7 maana ww ni mtetez wa wanyonge

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 месяца назад +1

    Huo ni uonevu, dhulma na unyanyasaji mkubwa kwa raia, Mnyeezi Mungu awaalaani na awaangamize watu wote wanaofanya dhulma hiyo InshaAllah 🙏

  • @AhmadAhmad-vb2tz
    @AhmadAhmad-vb2tz 3 месяца назад +6

    Nchi imechafuka hii yani sijui tu

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 3 месяца назад +4

    Sasa eabunge wanakazi mbona madudu kila kona ya nchi

  • @user-ic4cg5fx2f
    @user-ic4cg5fx2f 3 месяца назад +1

    Namshukuru Mungu kwa kufichuka madudu aya

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t 3 месяца назад +2

    Haya mambo mbona mazito jamani

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 месяца назад +3

    Hatari sana

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад

    Mungu akulinde Baba. Yangu.umesema.kweri......Omba.Mungu.wasikuzuru. tuhao wabaya

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 3 месяца назад +6

    Kwakweli ni mtihan mkubwa

  • @alizanzibar1586
    @alizanzibar1586 3 месяца назад +2

    Bro vp hili la huyu Mzee mbona unakigugumizi,

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi1059 2 месяца назад

    Nikweli mm ni mkongo Nipo Canada niliwai kuhogea na police kigoma na nikatuma milioni 5 ili ndungu yangu atoke

  • @danielkanso
    @danielkanso 3 месяца назад +7

    Kumbe mambo yako hivi viongozi wanafanya haya hii ni laana

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 3 месяца назад

      Mtihani Sana wajuwe Kuna mungu hasahau

  • @user13375
    @user13375 3 месяца назад +4

    Viongoz wako pale,mambo mengine ni nyeti sana kwa usalama wa inchi ,lakini hadi afike Makonda

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 3 месяца назад +1

    Inauma Sana

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 3 месяца назад

    😭😭😭😭😭😭maneno yameniuma sana yahuyu mzee ustadhi

  • @JilbertDanifordMathayo-sn2gy
    @JilbertDanifordMathayo-sn2gy 3 месяца назад

    MUNGU AKUINUE KUTUTUMIKIA WATANZANIA.
    AMEN

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 3 месяца назад +1

    Ee Magufuli kumbe uliacha roho nyuma zinafanya kazi Asante

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      😂😂😂😂aliacha roho nyuma😂😂😂😂😂

  • @chalespamagila4783
    @chalespamagila4783 3 месяца назад

    Makonda fanya kazi yako mungu atakusaidia

  • @user-ft4tq4ug4c
    @user-ft4tq4ug4c Месяц назад

    Daaaa!!! Hii nchi Atamarehemu jhoni pombe magufuri Alisema mimi na jua megi miaka mitano5 Niyamaumivu makubwa leo hii binadamu Awana-uruma juu ya binadamu wenzeo hii ni zuruma isiyo kisiri kwanini Awa-watu wanakuaivo tena sasa kibaya viongozi Akika zuruma Nimbaya sana Eeeee mwenyenzi mungu tia faraja juu ya ilitaifa

  • @mariakajigili4280
    @mariakajigili4280 3 месяца назад

    Mungu tulindie Makonda jamn mpe afya njema mpe uzima

  • @user-uo2ld3hl5g
    @user-uo2ld3hl5g 3 месяца назад

    Hongela mzee semaaaa

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 3 месяца назад

    Mungu akupe nguvu muheshimiwa utatue matatizo ya watu nakupendaga sana vuchapa kaz wako

  • @CKMO
    @CKMO 3 месяца назад

    Yanasitisha sana kusikia mambo mengi sana yanayo fanyika Tanzania lakini tunarudi papale wakulaumiwa nani uwongozi mbaya huwezi kuongoza nchi chama kimoja muda wa miaka 70 lazima utafuja wapisheni wezenu mushachoka musinganganie looooh 😢

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 месяца назад +2

    WALIZANI HAWATAJULIKANA.
    SASA WANAUMBUKA. WANAMPIGA VITA RAIS WAKINA WAKIMZULIA MABAYA KUMBE MAJAMBAZI NI WENYEWE. TULIO NA AKILI TULISHA LIJUA ZAMAN HIO NDIO MAANA MAMA HAWAJIBU.

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 3 месяца назад

      Ina Maana mama ni muhusika

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      ​@@rosetreffert4179ndo maana majibu tupewa

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 3 месяца назад

      @@rosetreffert4179 mama Rais kipenzi ni muislam na ni mzanzibar,,,,sasa chuki binafsi watu zinawasumbua lkn mama n mtu mzuri sana. Wananjama aonekane mbaya. Mungu akisha kupandisha hakuna wa kujushusha. Mama mpk 2045. Mama la kizanzibar wacha wenye wivu wajinyone. Wanapo tawala vingozi waislam mara zote mambo huwa mazuri. Wasioutaka ukweli wajinyongeeee. Alipo tawala mwinyi kwa kushindwa mzee nyerere mambo yakawa supa. Kikwete mambo yalikuwa supa.

  • @innocentmtondo9656
    @innocentmtondo9656 3 месяца назад +1

    Io changamoto ya uhamiaji ipo pote tz

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 3 месяца назад +4

    Bira ww uwe rahis akitoka mama

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂raisi 😂😂😂😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад +1

    WAKIMBIZI SIYO WAHARIFI KABISA HAWAPASHWI KUFUNGUNGWA KABISA. AU WARUDISHENI MAKWAO , AU WAPELEKENI KWENYE AZILI.

  • @user-bo7zr6ej8g
    @user-bo7zr6ej8g 3 месяца назад

    Baba umeongea ukwelii ila hiyo biashara hata serikali inajua umeona makonda amemwita huyo afisa amuulize ukatili huo unafanyika katika tanzania duuuh mungu mwenyewe

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 3 месяца назад +1

    OOOH MAMA TANZANIA....SERIKALI IMEJAA MAFISADI WA KUTISHA....VIKO WAPI VYOMBO VYETU VYA USALAMA WA TAIFA...NI WAZI KABISA NCHI IMEOZA!

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 2 месяца назад

    😭😭😭😭makonda Barikiwa na Mungu

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 3 месяца назад

    Immigration Jitafakarini Kwa nn Mnanyanyasa watu Kiasi Hicho ?

  • @bushirially2077
    @bushirially2077 3 месяца назад

    Aisee

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 3 месяца назад

    Tatizo hata Makonda anatupa nguvu zake maana mikoani kuanzia chini mpaka juu baadhi ya maofisi watendaji ndio wanafanya hayo kwa hiyo Makonda atasema lakini akiondoka hawafanyi lolote wote maharamia ni sawa na kumpigia mbuzi gita

  • @chalespamagila4783
    @chalespamagila4783 3 месяца назад

    Makonda wanyoooshe kuna baadhi ya watu wanaharibu chama

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 3 месяца назад +1

    Duhhh hatari

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 3 месяца назад

    Tz jamani... Wakimbizi maanake nini kwani. mkimbozi ni mtu aliye kimbia kwao kwa sababu za kukosa amani nakwenda mahali pa salama zaidi. sasa wa Tz wanafikiri wakimbizi ni wahalifu.
    mtu anakimbizwa na muuaji anaingia kwenye nyumba yako nawe unageuka kua adui yake tena.
    wakimbizi wakikamatwa wanapelekwa ofisi inahusiana na wakimbizi huko wanawasaidia sio kuwafunga.
    mkimbizi maranyingi hawawagi na vibali.
    wapokeeni wakimbizi muwasaidie lama hamtaki kuwasaidia muwarudishe kwao.

  • @user-oo5sj8hb5m
    @user-oo5sj8hb5m 3 месяца назад

    Iih nch inatangazwa nch ya aman ilamambo yanayo endelea mungu anajuwa kwakwel naiz minaona nikampen tu

  • @esuphatalfred1838
    @esuphatalfred1838 3 месяца назад

    Bwana Yesu asimame peke yake

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z 3 месяца назад +3

    😭😭😭

  • @user-qx4bb5is6f
    @user-qx4bb5is6f 3 месяца назад

    Mungu wetu tusaidie, inatishaaa Kaka angu utafanya mangap??

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 месяца назад

    CCM inachelewa Maendeleo ya wananchi watanzania fungukeni

  • @user-wk6ik9hk5x
    @user-wk6ik9hk5x 3 месяца назад

    😊

  • @user-hq7fe8ko9w
    @user-hq7fe8ko9w 3 месяца назад

    Yani weunaoja mbovuuonio Nokosema utakuwa ulinyimwa ela

  • @stanimpangala3633
    @stanimpangala3633 3 месяца назад

    Unakuta Katibu mkuu wa Chama hajawah hata kuita press ya maana kutatua changamoto.
    Mawatu mazito kama mawe wanayapa mamlaka

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 месяца назад

    Inchi inamadudu sn wt wnaumia nanchi yao ukiona mtu anaongea adi analia juwa kuna maubwa mno

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 месяца назад

    Kiukweli hii serikali viongozi wa nchi hii si waadilifu wanajali masrah yao kuliko ya wana nch

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 3 месяца назад

    Hiyo hiyo ccm ndio chanzo kikubwa chahayo yote

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 3 месяца назад

    Hii inchi imeoza kilasehem nirushwabdhuruma

  • @salomekense525
    @salomekense525 3 месяца назад +2

    Pole makonda upo kujaribiwa.mambo mazito .unahitaji sala Sana

  • @Monica-vq2iy
    @Monica-vq2iy 3 месяца назад

    Kweli mmasema ukweli vip usalama wenu jamani makonda kuwa makini umejitoa muanga baba yuko wap wakubwa watakumaliza watanzania tufunge wote tumwombee makonda ata awe rais tutatobo

  • @jesus_agency_pro.
    @jesus_agency_pro. 3 месяца назад

    Ccm imeshindwa kiongoza nchi hiiii

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 3 месяца назад

    Huna mungu makonda acha uongo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 месяца назад

      Uwepo wa Mungu ni nguvu ya imani.. huwezi kumiliki imani ya mtu, wewe nani kuwajua wenye Mungu na wasio naye..

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 3 месяца назад

    Huyu zio mtanzaniaaa

  • @frankub8107
    @frankub8107 3 месяца назад

    Huyu mzeek siyule ana Restaurant mpakani?!? Au nime mufananisha?

    • @giftmusa6543
      @giftmusa6543 3 месяца назад

      Yes

    • @frankub8107
      @frankub8107 3 месяца назад

      @@giftmusa6543 jamani 😭 nimepita pale mpakani 2012 naelekeya Malawi 🇲🇼 mimi na familia yangu, toka congo 🇨🇩, tumekula kwenye mgahawa wake baadaye akatuongeza chakula chabule😭, Yallahbin Mupe umri mlefu mzee wangu, na uzidi mubariki, , ameteteya nduguzetu wananyanyaswa sana mpakani😭, siwez msahau sura yake in my mind,

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni1302 3 месяца назад

    Katiba ni muhimu chandema wamesema makakala na genero wa uhamiaji siyo mtanzania inchi ya manyani

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 3 месяца назад

    Makonda peke yake hawez, angekuw jpm yupo, ingekuw saf

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 3 месяца назад

    Ni shida tumekua na midomo kumlaumu rais kumbe shida ipo kwa baadhi ya wasaidizi hakuna uadilifu

  • @user-nx1pq6ic8w
    @user-nx1pq6ic8w 2 месяца назад

    Babu unaongea sana mpaka unapoteza kazi

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 3 месяца назад

    Hata makonda anaitajika kwenda gerezani guys

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 3 месяца назад +2

      Alie pewa kapew na mtu hujiufunza kutokana na makosa ya Leo sijana Kaa Kwa kutilia jirani

  • @saimonjohnsumley9198
    @saimonjohnsumley9198 3 месяца назад

    Shida ni CCM,hao uhamiaji ni mali ya CCM, acheni drama

  • @GoodDerick
    @GoodDerick 2 месяца назад

    Mama muache makonda afanye kaz yake tunaomb

  • @user-ht9hp9br2e
    @user-ht9hp9br2e 3 месяца назад

    Tanzania kweli kumejaaa wakimbizi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад

    KWANI HAO WAFANYAKAZI WA UHAMIAJI WALISOMEA WAPI HAO. KWANI HAWAJUI INTERNATIONAL LAW?. MBOBA WENZETU NNCHI ZA NNJE WANEJIPANGA VIZURI. NYINYI HIZO ELIMU ZENU NA SHERIA ZENU ZA WAPI?. MIMI NASHINDWA KUZIJUWA.

  • @jamesakhabuhaya4747
    @jamesakhabuhaya4747 3 месяца назад

    Duuu

  • @nero7941
    @nero7941 3 месяца назад

    Nchi ovyo sana hii hatuna kiongozi kabisaa

  • @user-zu8kt4yn4n
    @user-zu8kt4yn4n 3 месяца назад

    Duh ukstaajabu ya musa utayaona ya firaun

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 месяца назад

    Wanainchi ni majasiri lla CCM wanazarau

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 15 дней назад

    Makonda hajaongea

  • @kamikazineema1957
    @kamikazineema1957 3 месяца назад

    Mkoa wa shinyanga Hiyo ipo

  • @kakazkanda
    @kakazkanda 3 месяца назад +1

    👁️👁️

  • @barakakazumba7971
    @barakakazumba7971 3 месяца назад

    Hiii nchiii jaman duuuu😅😅😅

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 3 месяца назад

    🇹🇿🙏🏻🎶

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 3 месяца назад

    Haaaa???

  • @user-ds2qr6fx6c
    @user-ds2qr6fx6c 3 месяца назад

    Ata wewe nimkimbizi mbona

  • @AffectionateCabin-xq2vg
    @AffectionateCabin-xq2vg 3 месяца назад

    U po vyema muhishimiwa makomda

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 3 месяца назад

    Ila wewe pia na wewe ni kakimbizi bnh

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад

    kwenye nyumba akicha kufa baba baazi ya vitu lazima mama atavishindwa2 kazi ipo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Kweli na kababa ka kambo Kako hapo nyuma😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-hq7fe8ko9w
    @user-hq7fe8ko9w 3 месяца назад

    Alinamashiko wewe kamakunashida kwenyeichiyako utabaki

  • @TitoMwenda-jw2ig
    @TitoMwenda-jw2ig 3 месяца назад

    Nakuaminania makonda mung yupo nawe

  • @MathayoSeleman
    @MathayoSeleman 3 месяца назад

    V

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 месяца назад +2

    Huyu baba anajitetea tu hata sura msomali japo kaonewa

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 3 месяца назад +2

      Wewe ni mbwa kwani hakuna wasomali ambao ni watanzania Mr nonsese

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад +3

      Hata kama ni msomali itakuwa kazaliwa tz mutamuhisabu msomali

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 3 месяца назад +2

      ​@silvesterrichardhelenya1k319 kabisaa watu wengine Nonsens

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад +3

      ​@@rosetreffert4179ubaguzi wa kijinga wasomali wamezaliana huku kibao

    • @zaramunir8238
      @zaramunir8238 3 месяца назад +2

      Pumbavu kabisa wewe wasomali ndo hawawezi kuzaliwa TZ??? Nyau we..!

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 3 месяца назад

    Raisi mama samia inua makamanda mikoni mipakan kote wawashugulikie hao wajinga

  • @aphonceedward6784
    @aphonceedward6784 3 месяца назад

    Hivi Raisi huyaoni haya tufanyeje ili ujuwe watu tunaumia, tunaumizwa kiasi hicho kweli!!!!

  • @KhadijaSongoro
    @KhadijaSongoro 3 месяца назад

    Rais alikuwa angani kama mwewe wenzake wanatumia pesa za mikopo nchi inapewa wao kazi kufanya uhalifu tu viongozi kuanzia ngazi ya kata mpaka mkoa ufisadi tu yaani wabunge Havana wanachotetea wananchi mwaka kesho wote kuwatoa bungeni

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 3 месяца назад

    Aaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад

    Nchi kama haina rais aibu kubwa,na anajidai eti nchi iko salama