KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2024
  • KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 201

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 месяца назад +7

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @Nagmah-gf4lp
    @Nagmah-gf4lp 3 месяца назад +4

    Makonda hongera kwa bidii na kazi njema

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 20 часов назад

    Mwenyekiti wa CCM uko vizuri

  • @IsayaPaul-qq2li
    @IsayaPaul-qq2li 4 месяца назад +9

    Makonda piga kazi baba mungu akubariki

  • @RobbyMukonjero-rp5gt
    @RobbyMukonjero-rp5gt 3 месяца назад +3

    Magufuli anerudi,that is very good

  • @estellemwai5402
    @estellemwai5402 3 месяца назад +2

    Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 4 месяца назад +4

    Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 4 месяца назад +8

    Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana

    • @jumakubili1512
      @jumakubili1512 4 месяца назад +1

      Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 4 месяца назад +4

    FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 4 месяца назад +8

    Barikiwaa mkuuu

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 4 месяца назад +7

    Nakuona ukifika mbali sana mkuu

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 4 месяца назад +7

    Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 4 месяца назад +7

    Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale 3 месяца назад +3

    Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 4 месяца назад +5

    Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza
    Sema kweli daima fitina kwako mwiko

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 4 месяца назад +6

    Safi sana baba

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 4 месяца назад +7

    Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 4 месяца назад +1

      Analiwa yule mama na mapaka

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 4 месяца назад

      🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿​@@mayaally2512

    • @aminielabraham
      @aminielabraham 4 месяца назад +2

      Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj 4 месяца назад +1

      Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 3 месяца назад +1

      Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee

  • @syliveriuszaverius2347
    @syliveriuszaverius2347 5 дней назад

    MUNGU akutunze mkuu 👏👏

  • @lucaschipanga4466
    @lucaschipanga4466 4 месяца назад +13

    Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo

  • @user-lf7nu6gg9s
    @user-lf7nu6gg9s Месяц назад +1

    Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 4 месяца назад

    Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 4 месяца назад +3

    Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?

  • @fuhuruffelix5682
    @fuhuruffelix5682 3 месяца назад

    Kiongozi bora sana

  • @user-gr7rn7zp8t
    @user-gr7rn7zp8t 4 месяца назад +2

    Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf

  • @user-xk2wc8ro3b
    @user-xk2wc8ro3b 4 месяца назад +2

    Makonda weye noma aisee

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 4 месяца назад +2

    Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San

  • @allymmahmudhassan
    @allymmahmudhassan 18 дней назад

    😊zero

  • @user-vu8jn5zp3u
    @user-vu8jn5zp3u 4 месяца назад

    Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama

  • @user-bf4dk2pk4w
    @user-bf4dk2pk4w 3 месяца назад

    Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.

  • @user-jz6lm5yv4f
    @user-jz6lm5yv4f 3 месяца назад

    Safi sana

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 3 месяца назад

    Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.

  • @EmmanuelGabriel-xq5ym
    @EmmanuelGabriel-xq5ym 24 дня назад

    Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 21 час назад

    Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba

  • @KafugeFrancis-be8qp
    @KafugeFrancis-be8qp 4 месяца назад +3

    Piga kazi mwenezi

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 2 месяца назад

    Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge

  • @user-eu1wq8bn9y
    @user-eu1wq8bn9y 4 месяца назад +1

    🎉🎉

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад +2

    Makonda 🙏🙏

  • @user-tu2il2tu8v
    @user-tu2il2tu8v 3 месяца назад

    Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer

    • @user-lf7nu6gg9s
      @user-lf7nu6gg9s Месяц назад

      Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze

  • @GraceMaro-wz4bu
    @GraceMaro-wz4bu 3 дня назад

    Mtetezi wa wanyonge

  • @petermarco8656
    @petermarco8656 4 месяца назад +4

    Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 месяца назад +2

    Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana

  • @franktibwita228
    @franktibwita228 4 месяца назад +2

    Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 3 месяца назад

    Daaah!

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 месяца назад

    💔😪😪

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 4 месяца назад +1

    Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali

  • @godwimmkolomi8988
    @godwimmkolomi8988 2 месяца назад

    Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi

  • @petermbuma9056
    @petermbuma9056 4 месяца назад +3

    makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 21 день назад

    Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 4 месяца назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 4 месяца назад +2

    Makonda anafaa kuwa Rais kabisa

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 месяца назад +1

    Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 2 месяца назад

    Mwamba sana

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 27 дней назад

    Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu

  • @petermarco8656
    @petermarco8656 4 месяца назад +2

    Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote

  • @user-zw8sx1lk9f
    @user-zw8sx1lk9f 2 месяца назад

    Hello 🤩❤❤❤❤❤❤

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 4 месяца назад

    Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba

    • @JeremiahMwakanyamale
      @JeremiahMwakanyamale 3 месяца назад +1

      Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 месяца назад +1

    Mpaka nyumbani kwake

  • @user-hs5tb5qq8e
    @user-hs5tb5qq8e 4 месяца назад +1

    Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 4 месяца назад

    Mungu mlinde makonda

  • @user-ez3tk5ry5f
    @user-ez3tk5ry5f 3 месяца назад

    Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful

  • @user-kd3ey6ez5s
    @user-kd3ey6ez5s 2 месяца назад

    Baba yangu na mimi nafitaji numéro zako za sim watumishi huko Tanzanie wa natunyanyasa kihasi na hatujuwe kisho kitakao tokeya huko!!!

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 месяца назад

    Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi

  • @lizybabymgaywa8035
    @lizybabymgaywa8035 3 месяца назад

    Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui

    • @JeremiahMwakanyamale
      @JeremiahMwakanyamale 3 месяца назад

      Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.

  • @VeronickaAdam-jn4rn
    @VeronickaAdam-jn4rn 3 месяца назад

    Makonda pambana na hao watu mafisad jaman

  • @user-xx4yc2if8w
    @user-xx4yc2if8w 3 месяца назад

    Uje na mkoa wa DSM tunateseka

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 2 месяца назад

    Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 месяца назад

    Makonda juuuu zaidi

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 4 месяца назад

    Makonda twanga kazi

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 4 месяца назад

    Hii ilirushwa mpk azam

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 4 месяца назад +1

    Sheria za mkoloni hizo usipokuwa na busara mahindi ni chakula

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 28 дней назад

    Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae

  • @user-xg1tt7vt2f
    @user-xg1tt7vt2f 3 месяца назад

    Viongozi wenzangu tunajichanganya kweli unafyeka mahindi kweli halafu we umefikia hapo Kwa kula nn?

  • @DanielSamatembo-ks3vl
    @DanielSamatembo-ks3vl 2 месяца назад +1

    Viongoz hawana akli ao

  • @user-ny3de2qq6r
    @user-ny3de2qq6r Месяц назад

    😂😂😂ila

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 месяца назад

    Awajato hongo awaviongozi bana dah

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 3 месяца назад

    😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM

  • @user-gr7rn7zp8t
    @user-gr7rn7zp8t 4 месяца назад

    Jamn nisaidie namba za makonda

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 месяца назад +1

    Makonda piga kazi

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 4 месяца назад

    Sheria inasema ufyeke chakula ambacho koshalimwa?

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 4 месяца назад

    hapo sasa mfyeke ya wat baazi wengine muache uonevu

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c 4 месяца назад

    Ajali ya korogwe ambulance

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 3 месяца назад

    Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.

  • @athanassimbila2603
    @athanassimbila2603 4 месяца назад

    MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 4 месяца назад

    Tunaomba namba ya Makonda

  • @user-wh4xo9dx1d
    @user-wh4xo9dx1d 4 месяца назад

    Haaah

  • @salomepastory-kn1kh
    @salomepastory-kn1kh 4 месяца назад

    Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 3 месяца назад

    Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 4 месяца назад

    Tatizo hapo ni Mkuu wa Wilaya

  • @gefreymtalo5613
    @gefreymtalo5613 4 месяца назад

    Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi
    Wa huo mji

  • @kgmbara3109
    @kgmbara3109 4 месяца назад +1

    Kama namwona rais makonda

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 месяца назад

    Sasa maeneo ya mashamba mnalazimisha iwe mjini

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 4 месяца назад

    Nsimbo ni tatizo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 месяца назад

    Mpanda ni kijijini msilazimishe iwe mji acheni watu walime mahindi ili waishi wakiwa waganga mnawatuhumu kuwa ni wachawi

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 4 месяца назад

    Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.

  • @davidsibejo4916
    @davidsibejo4916 4 месяца назад

    tabia imejaa sana mkao wakatavi watu wengi wana porwa mashamba wana pigwa kifupi mkoa huo umejaa maovu mengi

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d 4 месяца назад

    Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 3 месяца назад

    Uonevu mkubwa na ubaguzi unaofanywa na viongozi kupandikiza chuki miongoni mwa watanzania.

  • @rehemanziku4962
    @rehemanziku4962 4 месяца назад

    MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 месяца назад

    Wanasahau kwemba uyouyomwananchi ndio wamewawe(a madarakani

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад +1

    YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮