KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...
HTML-код
- Опубликовано: 3 фев 2024
- KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
Magufuli anerudi,that is very good
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
Barikiwaa mkuuu
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
Yupó poa xana
Kabisaa
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
Kweli😢
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza
Sema kweli daima fitina kwako mwiko
O 5:11o 6:32ko
Pm
Ol
P
Okk😅 op
L😅
Safi sana baba
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
Analiwa yule mama na mapaka
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿@@mayaally2512
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
Kiongozi bora sana
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
Makonda weye noma aisee
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
😊zero
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
Safi sana
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
Piga kazi mwenezi
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
🎉🎉
Makonda 🙏🙏
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
Mtetezi wa wanyonge
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
Njaa izo
Daaah!
💔😪😪
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
Mkuu viinimachooo!!2
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
Mwamba sana
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
Ukiona huwez kutoa coment acha
Hello 🤩❤❤❤❤❤❤
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
Mpaka nyumbani kwake
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
Mungu mlinde makonda
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
Baba yangu na mimi nafitaji numéro zako za sim watumishi huko Tanzanie wa natunyanyasa kihasi na hatujuwe kisho kitakao tokeya huko!!!
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
Makonda juuuu zaidi
Makonda twanga kazi
Hii ilirushwa mpk azam
Sheria za mkoloni hizo usipokuwa na busara mahindi ni chakula
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
Viongozi wenzangu tunajichanganya kweli unafyeka mahindi kweli halafu we umefikia hapo Kwa kula nn?
Viongoz hawana akli ao
😂😂😂ila
Awajato hongo awaviongozi bana dah
😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM
Jamn nisaidie namba za makonda
Makonda piga kazi
Sheria inasema ufyeke chakula ambacho koshalimwa?
hapo sasa mfyeke ya wat baazi wengine muache uonevu
Ajali ya korogwe ambulance
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....
Tunaomba namba ya Makonda
Haaah
Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
Tatizo hapo ni Mkuu wa Wilaya
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi
Wa huo mji
Kama namwona rais makonda
Sasa maeneo ya mashamba mnalazimisha iwe mjini
Nsimbo ni tatizo
Mpanda ni kijijini msilazimishe iwe mji acheni watu walime mahindi ili waishi wakiwa waganga mnawatuhumu kuwa ni wachawi
Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.
tabia imejaa sana mkao wakatavi watu wengi wana porwa mashamba wana pigwa kifupi mkoa huo umejaa maovu mengi
Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir
Uonevu mkubwa na ubaguzi unaofanywa na viongozi kupandikiza chuki miongoni mwa watanzania.
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
Wanasahau kwemba uyouyomwananchi ndio wamewawe(a madarakani
YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮