MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 471

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  21 день назад +24

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 21 день назад +32

    Willy huna tabia ya wizi. Nakufahamu tangu kibo huna baya na mtu na huna konakona kwrnye kazi zako.
    Big Up Willy!! Just keep on going

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 21 день назад +59

    Bravo brother.
    Hii nchi itakombolewa na wenye uthubutu kama wako.
    Wametumaliza hawa.

    • @daviddsouza735
      @daviddsouza735 12 дней назад +1

      Uthubutu changanya na uwezo wa kifedha na uzoefu wa miaka mingi

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g 21 день назад +88

    Nimempenda huyu Baba anajua kujielezea,ni kichwa Masha Allah

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 21 день назад +38

    The demeanour of his speaking is an evidence of his integrity, wits and intelligence.

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 21 день назад +40

    Dah
    Mzee anakwenda na Facts kali I see👌👍

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 21 день назад +54

    Huyu mtu kama sio ubize wake,angeweza hata kuwa waziri wa maliasili na utalii, anaujua utalii nje ndani.
    Mungu azidi kumlinda.

  • @Tango696
    @Tango696 21 день назад +52

    Dah mzee uko vizuri umesaidia upelelezi kwa kweli.

    • @WinfridaFabian
      @WinfridaFabian 21 день назад +3

      Kwa wanvyobebana ushahid ipo waz hakitakua na hatua yoyote

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 21 день назад +28

    Daaah alivosema "Tunapigika usiku na mchana" n kweli hayo ndo maisha ya mfanyabiashara.

  • @jumamohammed2748
    @jumamohammed2748 21 день назад +14

    Huyu nafanyabiashara yuko vizuri sana mashaallah

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 21 день назад +21

    Makonda mungu akulinde na majitu yenye Roho mbaya na wewe,

  • @rappachugz
    @rappachugz 21 день назад +32

    One of the Best Administrator ever..!!!

  • @blandinapeter7004
    @blandinapeter7004 21 день назад +52

    Jamaa Ana mzigo na documents zimenyooka mtamwambia nn😂😂

  • @jamesakhabuhaya4747
    @jamesakhabuhaya4747 8 дней назад +2

    Huyu mwamba inaonyesha hata wafanyakazi wake wanainjoy sana.nikipata chance kwake aiseee nitajifunza mengi.willy big up bro

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc 21 день назад +42

    Mungu akusimamie mh Makonda kuna madudu mengi sana kwenye hizi almashahuri nchi imeharibiwa na watu wasio kua na hutu majizi yaliyo ajiriwa ndani ya serekali

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 21 день назад +60

    Jamani naomba muhifadhi maneno yangu, kunasiku mtaamini huyu makonda atakuja kuwa kiongoz wa hii nchi Tena ataongoza vzur na Tanzania tutazungumziwa Sana na Dunia nzima nasio kwa mabaya ni mambo ambayo yakuushangaza ulimwengu Tena mazuri mno... One day yes❤️‍🔥

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 21 день назад +23

    Private Sector Iko Smart Sana Mf Ni Huyu Ndugu Chambulo.

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 20 дней назад

      Maafisa wawajibikaji, Inatakiwa hawa uwaendee polepole, private sectors wapo vizuri ktk itifaki, sheria, kanuni na taratibu za mawasiliano serikalini.

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 20 дней назад

      @@davidlyamboko7477 Locally Government Kuna Mambo Ya Ajabu Sana Watendaji Hawapogi Serious Kabisa Yale Mavilaza Kabisa Ndiyo Huudumu.

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 21 день назад +27

    Hiki ndio kinacho fanya watu wanakwepa Kodi

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 21 день назад +19

    Kitendo cha mh Makonda kumpa muda huyu bwana mkubwa kuongea mwanzo mpk mwisho ni utume tosha na kesho mbinguni MUNGU ATAMLIPA KWA WEMA HUU WA LEO❤🙏

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 19 дней назад

      Sasa ulitaka ampige makofi bilionea? Kenge kweli ww

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 21 день назад +27

    Jamaa anaongea very smart lakini inauma sana watanzania wenzangu daaah Kwann lakini ...? Tunakosa vya kusema ila mh Paul apewe ukuu wa mkoa Kila mkoa mwaka mmoja mmoja tu afu awe anazunguka kama circle Yan

    • @JosephMargareth
      @JosephMargareth 20 дней назад +1

      Kweli kabisa, azunguke Kila mkoa. Hata Kama itakuwa miezi 2. Atatusaidia saana.

  • @charlessimba1184
    @charlessimba1184 21 день назад +30

    Nlitaman makonda atoe kauli ya kusema..."RPC huyu jamaa apewe ulinzi"

    • @jivitafoundation450
      @jivitafoundation450 21 день назад +4

      Huyu Mr.chambulo awe ulizi ?unamjua vinzuri huyu siyo wale wafanyabiasha wakarikao

    • @samwelngao3201
      @samwelngao3201 21 день назад +5

      Ana ulinzi mkali sana huyo mzungu chambulo wala hakuna Fala wa kumgusaa

    • @bayekefarijala5042
      @bayekefarijala5042 21 день назад

      Haya ni maujanja ya kimahesabu ya kihasibu, makonda hapo anatakiwa asaidiwe na wataalam

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 21 день назад +15

    Kwa baba si msanii ni msema kweli nikija kunulia bia kwa kweli mkweli Mungu hakulinde wewe na family

  • @user-xx4wb9yo9p
    @user-xx4wb9yo9p 10 дней назад +2

    Makonda nikimsikia namkumbuka magufuli wangu mungu namuomba akupe maisha marefu ili uje uwe rais natamani sana roho yamagufuli iko pamoja na ww

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 21 день назад +12

    Wale watumishi wa Serikali wanaodhani vyeo vinaongeza akili wajifunze kwa Mr. Chambulo kuwa wanapaswa kujua wanaongoza watu wenye uelewa mkubwa pengine kuliko wao!

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 21 день назад +25

    AKILI KUBWA CHAMBULO❤

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 17 дней назад +1

    Chambulo is something else, So transparent, direct and to the point, (Akili kubwa hii)👏👏👏👏🏋️🏋️

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 21 день назад +18

    Hongera sana mzee

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 21 день назад +5

    He is so serious and smart guy..

  • @edwardrigha6782
    @edwardrigha6782 20 дней назад +6

    Mimi kama Mkenya nimeguswa na naionea wivu Tanzania kwa mwelekeo wanaochukua kupiga vita ufisadi. heko kwenu mtafika mbali na kuwa vigogo kiuchumi katika Afrika mashariki

  • @danielmbaga4596
    @danielmbaga4596 21 день назад +11

    Komaa ukweli ukidhihiri uongo utajitenga ndugu ❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 21 день назад +12

    Ahsante sana ndugu yangu❤

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p 21 день назад +13

    Tanzania nzima na haswa Arusha😢 RUSHWA imekithiri inanuka SANA

  • @mr.ability4578
    @mr.ability4578 20 дней назад +3

    huyu mzee very bright aisee🔥

  • @JosephMwangiluke
    @JosephMwangiluke 21 день назад +37

    Makonda uko vizuri. The feature president

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 21 день назад +1

      Apitishwe na chama kipi?

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 21 день назад

      @@danielmarwa5122 MCC

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 21 день назад

      ​@@danielmarwa5122yaaani 😢😢

    • @bushbabytz
      @bushbabytz 21 день назад

      matako yako wewe eti president 😂😂😂

    • @eramatareTv
      @eramatareTv 21 день назад

      ​@@danielmarwa5122ya mama yako

  • @ListonElly
    @ListonElly 9 дней назад +1

    Umenyoooka. Sana mzee

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 21 день назад +26

    Huyu mfanyabiashara Ana akili sana

  • @flavianapeter494
    @flavianapeter494 День назад

    Ñimeanza kumwelewa Makonda na kumpenda bure Hongeraa sana na heri ya tumbo lilokuzaaaaa🙏

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos 21 день назад +8

    4.2 bilion na mtu ametulia yan dah,Mama Samia njooo umteue huyu ana kipaji super

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 21 день назад +8

    i like huyu jamaa yupo very transparent, Mkurugenzi hana pa kutokea hapo

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 21 день назад +22

    Mnatubana wananchi kumbe majizi mnayafunga wenyewe

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 21 день назад +2

      Inaumiza Sana Roho Serekali Inakusanya Kodi Halafu Inaziiba Tena So Sad.

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 21 день назад +7

    For sure, he is speaking on behalf kila siku penalty zisizojulikana

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 21 день назад +18

    Na huu ndio umuhimu wa good records keeping

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 21 день назад +13

    Duh hapa kazi ipo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 21 день назад +7

    Makonda Mungu azidi kukutangulia....

  • @glorianassary5684
    @glorianassary5684 5 дней назад

    Proud of you mkuu wa Mkoa Mh.Makonda

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 21 день назад +6

    Huyu jamaa yukogo smart sana.

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 21 день назад +3

    Kiboko yao Makonda!
    Unavyo wakatiliza watu kutumbua majipu, kumbe kuna mda wakusikiliza dakika hizi zote???!❤ Nakuoenda bure mzee wangu Makonda. 🇨🇩 🇨🇩

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 20 дней назад +3

    Mwanaume akitoa sumu namna hii anaongeza siku za kuishi safi sana mimi nimemuelewa.Chambulo. asitoke kwenye hicho kiti

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 21 день назад +7

    Kiongozi Bora huonekana akiwasikiliza watu wake 🎉🎉🎉makonda Mungu akupe umri mrefu uje uikomboe tanzania❤

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 21 день назад +10

    Jamani makonda Ao wezi wa Arimashauri muwafunge wametuchosha

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 21 день назад +10

    Haya Kumekucha.

  • @annahmakabara3049
    @annahmakabara3049 2 дня назад

    Mashalah mungu akulinde

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 21 день назад +11

    Awa jamaa wa Almashauri awakujua kama mama SSH kumtuma Mh Makonda Arusha ana maana gani sasa wameingia chakike baba mzee baba

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 21 день назад +8

    Wezi kama hawa kule China hupigwa risasi. Ilipofikia Tanzania inabidi kuiga sheria hiyo. Watendaji wamefikia kiwango kikubwa sana cha kudharau serikali na sheria.

  • @annazacharianmko4657
    @annazacharianmko4657 16 дней назад +1

    Hakika makonda mungu akutetee na akupiganie kwa kazi ngumu unayoifanya huwezi pendwa kweli

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 21 день назад +2

    Hongereni Global kwa taarifa kama hizi

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 21 день назад +8

    This is Tanzania bhna dah!!ninamonea sana huruma mama SSH wangu Mzalendo wangu dah maumivu

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 21 день назад +1

      Usimuonee huruma huyo mamako yeye ndo aliowaruhusu hao majizi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 21 день назад +1

      ​@@George-jz3jgMWEHU WEWE WACHA KUROPOKA ROPOKA

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 17 часов назад

    Hapana kula pesa ya Mtu. Good job. Tusaidieni Nchi yetu isonge mbele. Lila na Fila havitangamabi! Wafanyabiashara wakilipa kodi zao zifike sehemu husika. Wapigaji enough is enough.

  • @user-qi8pk4xg9z
    @user-qi8pk4xg9z 8 дней назад

    Big up Mr chambulo umesema ukweli nchi hii inawapigaji wengine ahsante director wangu ulinipa Kaz kule Mara Mara na kubukubu uko vizuri Mungu akubariki

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 21 день назад +9

    Alafu tunaskitika hatuna waekezaji unafikiri watu kwa wizi huo nani atakuja kufanya biashara nasi

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464 9 дней назад +1

    Kuna majitu yako na akili mingi na hayana muda wa kukodolea macho kazi za serikali😂😂😂...CHAMBULO MY HERO...MQKONDA TULIIIIII😅😅

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 21 день назад +4

    Mhh Mungu atusaie sana.

  • @PeterStephen-on4zz
    @PeterStephen-on4zz 21 день назад +7

    Respect Mkuu. Makonda ...do something 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo 21 день назад +2

    Nimeipenda sana hii

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 21 день назад +10

    Mmmm!! Inauma sana lakini hawo Ccm wengine hawajitambuwi zaidi ni kusema hatujinyongi hatunyi sumu inauma sana

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 21 день назад +1

      Acha kuleta habari za CCM, mtu ukikosa hoja nyamaza ukiongelea mambo ya kula pesa sio CCM ni mambo ya mtu binafsi, Makonda ni CCM Mbona anafanya kazi nzuri ana machungu je huyo sio CCM, ndo shida ya vyama vya upinzani mtu akiamka yeye ni CCM CCM, badala aongelee mhusika, kuna watu CCM wako smart sana, mbona huko upinzani kwenye ufisadi upo

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 19 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂huo wimbo unanikelaga Sanaa aiseee!!!

  • @kungugeni
    @kungugeni 21 день назад +6

    Mnawapa wezi uongozi Atari sana

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 20 дней назад +2

    Nimependa RC Makonda alivyo mtulivu. Big up Willy. Ukweli utaponya Taifa.

  • @OmaryAlly-ku5le
    @OmaryAlly-ku5le 21 день назад

    Asante

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 15 дней назад +1

    Dis man nataman mumpe nafasi nzuri nadhan akisimamia kwa uangalizi kila kitu kitaenda vzr

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 20 дней назад +2

    Watu wanaumizwa na uongozi wa namna hii haswa Arusha 🙌🏼🙌🏼 ,Mh. Makonda anakazi kubwa kubwa kubwa

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 21 день назад +3

    Ukweli uwekwe wazi ☄️🔥

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 21 день назад +1

    Very nice

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 21 день назад +8

    The most dangerous thing is the world is the human brain so usicheze na mtu mwenye brain kubwa

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 21 день назад +1

    Bravo Sana Mr Chambulo🙏🙏🙏

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 21 день назад +14

    Duh mtu analipa analipa Millioni 20 alafu mnamuandikia risiti ya milioni 3??kweli kweli kabisa aisee hiiiiiiiiiiiiiiii yani yani sijui aisee

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 21 день назад +10

    Nchi inaliwa kumbe kuna chura anameza

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 19 дней назад

    Mungu akulinde mh. Paul Makonda👏👏

  • @AdamMaglas-ye1bi
    @AdamMaglas-ye1bi 19 дней назад +1

    🙏🙏🙏🙏 hata kuwa rais babaang Kwan unatenda mema ukikuta mtanzania anakuchukia jua ni mpgaji na pia hajitambui. Nakukubali sana tangia ukiw dar. Mm naitwa Adam ramadhan shemzigwa nipo arusha yetu endelea kujenga na mung atakuw pamoja nawe babaang.dah? Wakat mwingine mpakaachoz ananitoka kwa upendo unaowafanyia waliozulumiwa Hali zao. Sijui ata nikupe zawad gan baba Kwan siez ata kukulipa ela mm ni mtu wa chin sana. Bali malipo yangu ni Dua kwa mung nakuombea sana baba Yan ungejua ninavoomba kwaajili yako babaang. Ni mm na mung wangu tu ndo anajua ninachokuombea kwa Kaz ngum na kubwa unayoifanya mung atakulipa kwa mema.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 21 день назад +6

    Kuna Madudu Mengi Sana Serikalini

  • @elizabethnicodemus5192
    @elizabethnicodemus5192 16 дней назад

    Mungu akulinde mr. Chambulo akupe miaka mengii ya furaha na amani bwana akutunze🙏🙏

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 7 дней назад

    Big brains

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 21 день назад +5

    Ahsante sana Mweshimiwa chambulo

  • @mauricebaraka9119
    @mauricebaraka9119 7 дней назад

    Chambulo ni genius

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 20 дней назад

    Mueshimiwa uliebalikiwa na muumba mbingu na alizi endelea kuchapa kazi yako ili chama kiendelee kua imala nami nakuombea dua kila kukicha ili uwe na maisha malefu ili utende haki kwa wanyonge ❤❤❤❤❤

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 20 дней назад

    Very humble man

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 19 дней назад

    Asante mzee kwa kumlaisishia kazi makonda

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 21 день назад +6

    Kumbe pia ni vizuri mfanyabiashara akawa msomi? Pamoja na uzoefu elimu pia inatakiwa.

    • @mcback4384
      @mcback4384 20 дней назад +1

      Kama sio msomi wewe ni mjasiriamali sio businessman huyu wala sio mfanyabiashara ni investor

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 21 день назад +3

    Jamaa uko vizurii mnooo mambo yatakaa sawaaa kwenye ishu ya biashara umeshika namba

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 20 дней назад

      Mpaka mama kamrudishia bilioni 4.2 tangu 2022 inaonyesha amenyooka hana mbambamba kwenye kulipa kodi

  • @user-bz7kg2lr3f
    @user-bz7kg2lr3f 20 дней назад +3

    Mzungu haibiwagi mnafikir wazungu nikama waafrikaee mmezoea kutuibia hapo mmeingia chakike

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 20 дней назад

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 19 дней назад

    hii nchi ni balaa,mzee kaongea very smart and clear

  • @tumainimosha03
    @tumainimosha03 11 дней назад

    Mzee wangu Upo Sawasawa

  • @user-fq2gp1ek5y
    @user-fq2gp1ek5y 21 день назад +1

    Walah m nimemkubal huyu mzae bigUp manzee

  • @Emmanuel-ze1vz
    @Emmanuel-ze1vz 18 дней назад

    Kumbe kuna watu wataingia mbinguni bila maswali mbele za mungu godbless you mr chambulo your faith man totaly

  • @magdalenapeter6416
    @magdalenapeter6416 18 дней назад

    Makonda mungu akulinde nauwe rais siku moja

  • @AnnaNoah-jr6ow
    @AnnaNoah-jr6ow 11 дней назад

    Huyu mfanyabiashara yuko makini sana tena zaidi ya sana ❤

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 20 дней назад

    That man is 🔥🔥🔥

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 21 день назад +6

    God bless Mrs Chambulo ameonyesha Matatisu

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 Час назад

    😂😂😂 heti mwanaume mwenzangu unakulàje hela yangu

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 21 день назад +2

    Duhh