MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nimejaza sana hizo fomu,mbona zawadi hakuna?
Wachina wa mchongo, ndio wawekezaji wa awamu ya sita hawa upuuzi mtupu.Hivi China unaweza ukafanya huu ujinga ukabaki salama?
Angekua makonda, hapa aka mambo yangeenda taratibu bana weee Kila mtu angemuelewa, mwenzie
Maanguko hutanguliwa na kibur!! .Mwenyez Mungu atupe busara na hekima za Midomo yetu
Kiongozi siyo sawa hivyo mwite jina lake yeye halisi kisheria
Aah wanamwita hivyo, sisi tukiteswa kwao tunalamika!!
@@serengetiduma1090batili mbili hazigeuzi halali
DC unataka utembelee upepo wa Makonda,Kwanza huyo mchina unamuonea,huu ni udharirishaji.
Kaa kimya wewe
Tulia wew hujui kitu
Tuliza kinyeo
Kelele funga mdomo unajua nini wewe au Sababu umeona ngozi nyeupe waitetemekea hapa haki kwa haki
Kabisa, siangemuita ofisini. Hata anajiaibisha mwenyewe! Mchina ametulia anasema ameshaenda hadi kwa mkuu wa mkoa. Eti uhamiaji muingie kazini najua ninachokimaanisha. Jaman!
Viongozi mko na .madhaifu sana
Sijaekewa kila mtu ni polisi. Kwani hakuna sehemu husika ya kesi. Mheshimiwa waziri mkuu, lugha inayotumika si ya urafiki. Uamuzi si wa kidemokrasi. Kila mtu ana haki ya kujiteteya mbele ya sheria. Siyo watu wanavunjiwa heshima kwa lugha ya kutisha na uamuzi bila haki ya kujiteteya. Mgeni lazima apewe heshima au tutawafukuza kama hatokuwa na haki ya kujiteteya.
Bwana DC hiyo kazi siyo yako na maneno yako siyo ya bussra
Hayo mambo ya ajabu mnawafanyia wageni alaf wew sio mtu wa sawa wa haki unaongea kauli mbaya sana hufai unaanza kumuambia watu wa uhamiaj et ingieni mxigon mnajua ninachokimaanisha iyo sio kauli nzur
Mkuu wa wilaya mpenda sifaa tu wala hatoi haki
Huyu mchina naomba msikilizeni msimhukumu tu
Kaziiendeleee
Mkuu wa Wilaya unakuaje na mic moja??
Sweka ndaniiii,mbona munazugazuga.I bet you it will be business as usual.
Da mpaka nimelia watanzania tuko na upendo sana eti we tapeli,, et ntakuvuruga we baba we china autoenda? Acha kumsimanga mchina mpaka huruma jamani
Iyo kes huyo haiwez kwa luga gongana pia anadhalilosha watu
Huyu mkuu WA wilaya hastahili hicho cheo
Mkuu wa wilaya hana nidham
Hata kama ana makosa bado hujatumia busara aise ..shame ...
Msimuonee huyo mchina sbb ni mgeni mmeshindwa kurekebisha ya inch yetu mnamebaki ku.kandamiza huyo jamaa mbona kama ni mchongo hata hao wanaonekaw
ila mkuu wa wilaya mnafiki ulikuwa wapi kabla makonda hajaja uoneshe mbwembwe zako saivi unafiki haufai.
Uongozi ni kipaji ikiwemo hekima busara na mpangilio wa matukio ila hapa 😅😅😅😅😅😅
Missenden kuwaonea wageni ambapo nyie mnafanya uchafu tu kwani hpo mlipo ni mahakama??? Tumia busara kwani hata ukimuwea remanded siatatoka tu mbona hayo yanaongeleka muache kudhalisha huyo mchina
Namna DC hapa, kuna mpayukaji na mjinga.
🚮🚮
Hakuna kiongozi hapo!
Iga ufe mkuu
Cku zote ulikuwa wapi jmn
Viongozi wetu wawe na hekima, wasiendeshwe na hisia, huyo mchina hana jina? Kwanini usimpe mkalimani azungumze lugha anayoijua vizuri ili atoe ufafanuzi mzuri
Hanalolote huyu DC , alikuwa wapi sikuzote
Makonda ana Fact,,,,,hii haina ladha sana.
kunadiana nijambo la kawaida sio kumtangaza
Usimuige Makonda, hutaweza!! fanya kazi unavyojua wewe.
Tafuteni mc
Diplomatic
Huyu mkuu wa wilaya hana kauli nzuri anataka kumwiga makonda lkn hawezi kumfikia kwanza Makonda hana lugha za kihuni
Kwanza mkuu DC hana hekima kabisa
Alafua ni, au wacha nikae kimye time will tell
@@emmanueldavid9506 Ndio
Gar yangu ilikaa kwake miaka 2 bila kutengenezwa na fedha nilimlipa mchn ni mhun kwel huyu
Wale wale
Mchina ana busara na hekima, kuliko mkuu wa wilaya. Mchina awe mkuu wa wilaya. Yupo vizuri.
😂😂😂😂😂😂
Sasa hapo pamekuwa mahakamani au..Viongoz wa bongo bhana miyeyusho sana
Ubabaishaji unakuwa ni mkbwa bora aamuliwe kwa hivi
Eti, wameanza! Acha kuwabana wawekezaji kutaka umaarufu. Hiyo kesI ni ya madai tu. Acha apeleke mahakamani.
mkuu wa wilaya sifa ni ukada wa chama + kihelehele kingi tu ndio tatzo naloliona hapa
Kuna diplomatic relationship kati ya China na Tz. Kuna high commission or consulate pia, kuna vitu vingine huyu mchina akienda ubalozi itamletea shida mkuu wa wilaya km suala la kutoa amri passport izuiwe! Watanzania wengi wapo China pia na wanafanya biashara China, there is something wrong here!
Lugha chafu huyo mkuu wa wilaya anayotumia nitakuvuruga Na mchina angepewa mkalimani wa kichina ili ajieleze vizuri
Unawajua kwenye nchi zao, hapa tu wababe na siyo nchi yao
@@lucymtui8680Hata kwao wanafanyiana hivohivo kama sisi huku tunavyofanyiana
@@lucymtui8680hata kama!huwezi fanya ubaya kwa ubaya ktk kutengeneza jambo! waache wao watuige sisi sio sisi kuiga ubaya wao
Matumizi mabaya ya lugha ni aibu kwa taifa letu
Hakuna wakarimu kama wachina ukienda nchini kwao.
Ukileta uhuni wa kwenu ndo utakipata cha moto. Ubaya ni kufanya kosa ulilotahadharishwa usifanye.
Shida sio Mchina huyo shida ni sheria za uwekezaji za nchi zinaingiza mpaka wabangaizaji ndo maana Muheshimiwa kapata kisukari maana ana deal na mbangaizaji . Sheria ziseme hata angalau dola milioni 3 kwa wawekezaji wa nje .
Acha sifa ww unamuiga makonda ulikuwa wp siku zote mtafutie mkalimani ndio umuhoji
Makonda amefanyika kuwa mbegu ivyo ni vyema wengi wakimuiga ili tupate wasimamia haki wengi
DC Felician hii ni mara ya pili alianza kabla hata Makonda hajaja Arusha
Mkimrudisha kwao anaenda kupigwa risasi
Hiii mambo anaiweza Makonda bhana,,yaani Makonda taratibu mpaka muelewe wote..hapo pangekuwa na mwanasheria tungejua ukweli
Nilicho gundua apo changamoto za kukatiwa umeme ndo zimesababisha ayo yote nafikili wamsaidie uyo machina kupata maji na umeme Ili Kaz zifanyike kilais mkuu wa wilaya anatakiwa awe na busala ajue jinsi ya kutatua tatizo na sio komandi na ndio mana makonda ata Baki juu siku zote
Uyo mchina mna muonea kiswahili unachongea mkuu wa wilaya huyo mchina hawezi kuelewa
Ukienda kule kwao utapakwa mafuta
Maic moja wanatumia zaid ya watatu
happy sasa
Tumeshasahau corona na magonjwa mengine ya aina ya corona maafisa afya mpo au mko likizo!!!! @@lidyadule9477
Why these karangaroo courts in Tanzania?don't you have laws that govern the country?mtu akikosea aperekwe kotini.
Huyo mchina inawezekana kabisa kwao china kashindikana Kwa utapeli na alikuwa mfungwa wakamtoa gerezani na kumwambia aenende ulimwemwenguni kote akasambaze utapeli.
Hatariiii mchina utakoma kuingia kwenye anga za wabongo wetu wanadai bila nyaraka makonda naomba ulosimamie hili maana kaktiwa maji na umeme hapo pana jambo.????
Acha watz tunyooshwe hiyo pesa ukiombwa na ngozi nyeusi unamuita mwizi ila mchina unatowa vzuri
huyu mkuu wa wilaya mim sijamkubi coz anafanya vitu kwakutafuta sifa unawezaje kuhukumu hapo hapo wakat mahakama zipo kwahiyo hapo ndo mahakama?
Huyu mkuu anatfuta Kiki wala hana Karma ya Uongozi,hujawapa ata muda hao wanaomdai mchina Wakaeleza kwa kina Daah kiki mbaya sana😢
Duu wachawaumbuke tena wanatuchosha na mabonanza watanzania wanafilisika kucheza huwez acha mpaka ufilisike
Huyu mchina nimhuni yani yeye ana chukua hela za watu nakwenda kujifunza kiswahili 😂😂😂sio kufanya kazi
Huyo mkuu wa wilaya haieleweki bado hajanyooka
Huyu mhemiwaaa Ana iga moto wa makonda hataufikia ataaribuuu zingatia sauti tuuuuu hehehe
Anatafuta kik kwa mchina unamhoji mtu kiswahil wakati unajua sio luga yake hata mkaliman hamna sheria ya wap inamaana hata kingereza hujui
Hii inasaidia wa investor kuja nchini? Kama kuna judicial system,, si bora kuifatishia?? Maana ikiwa kiongozi ana fanya duty ya judges hadharani!!! Na anamtaja mtu kwa asili yake ( wewe mchina nitakuvuruga) hio lugha, na mantiki inapendeza kutumiwa hadharani?
Jamani?
Point eti nitakuvuruga ?👌niatari sana waah auwezi kuwa jadge mwenye asira
Mahakama barabarani? Sasa wa judge kazi zao zinachukuliwa?
Mchina umembana mkuu wa wilaya hapo umefeli unatumia nguvu nyingi sana kuliko akili
Uyu mkuu wa wilaya anakera bhana anaboa
Angalia polisi wasije wakamtorosha china naona wanatongozana nyuma yako mkuu
Huyu aswekwe ndani msimchekee.Ukcheka na nyani utavuna mabua .mchina anazarau kabisa anaongea na DC vifungo vya shatii amefungua vyote kama anataka kupigana peleka ndan huyo kabisaaaaa.
Bongo shida sana kisa anadaiwa ndo anaonekana anamakosa sana hapana kunaupande ambapo hata yeye anahakizake pia licha anadaiwa
Hawa wachina wanaokuja huku ni wale wezi waliotoka ferezani wameshindikana huko kwao
Ww mkuu wa wilaya Acha kumuonea huyo mchina usifanye mambo ya kiini huo ni unyanyasaji
Wamemuonea mchina huyo mkuu wa wilaya hana busara kama Makonda na Jerry silahaa
Hili ni suala la kimahakama sio la DC sijui Watanzania tumekosea wapi. Apelekwe mahakamani sio kangaroo court.
Mkuu WA wilaya ni muhuni sana atoke anamuonea muchina kwa sababu ni mgeni
Huyo kakutana na mchina angekutana na hichi kichwa kibofu nadhani angetia akili
Uyu mchina mjanja sana anatumia madhaifu ya watanzani wasiojua (sheria na mkataba) kuwandamiza
Kuna kitu hakipo sawa hapo msisahau kuna wa Tanzania tupo nje ya Tanzania🙁
Mnaingilia kazi za mahakama.
Kazi mbovu tumia hekima
Angalia both sides baba.. Jamaa anaongea kiswahili anajitahidi
Mchina atakayewezana naye ni makonda tu,makonda anajua kuhoji
Nadhani hekima na bishara zitumike
Mimi kama mimi nasema siku nyingine msirudie kutumia maik moja
Wanamuonea tu Mchina wa watu anaonekana ana kitu ila lugha inampa shida,huyo Mkuu naye anatafuta kiki tu.
Huwajui wewe wachina ,haonewi kitu huyu mwizi tu
Wanachezea tanzania sana ingekuwa ni kwao mmmh pangechimbika. Hapa tunawapokea tunawaheshimu wanatuona mavi
Kama wanamdai waeende mahakamani huo ni uonevu na pesa mbele
Mkuu wa wilaya unaonekana una lako jambo,maelezo ya mchina yanaonesha kuwa anahujumiwa ili ashindwe kufanya shughuli zake,then aonekane tapeli jambo ambalo sio.Mkuu wa wilaya muogope Mungu,hicho kiti ulichokalia,kuna waliokaa wakaondoka,acha kuwahuju watu kwa kuwa ni wageni.
Kaa kimya huwajui wachina wewe,hao ni washenzi kamili
@@tinamahega9848 Labda nikuulize,hivi Waafrica wote wanafanana?
DC JIFUNZE KUKNGEA KWA HESHIMA. HICHO KIDOLE KILIMPONZA.MAKONDA. ETI NITAKUVURUGA. CHUNGU SANA HICHO CHEO. HESHIMA. MBELE.
Nafikiri mkuu WA mkoa ilibidi anyone kwanza machina kabla ya kuja public maana inaonekana na yeye c makosa yake gari kuchelewa. Mkuu Wilaya Hana busara
Huyo mchina atafutiwe mkalimani ajieleze vizuri bwana dc..tafuta sulihisho la amani na la msingi.
Tumia lugha ya kiofisi DC
IVI NCHI YETU IKOJE!!!
MGENI ANAKUJA KUSIMAMIA GARAGE kweli??
watanzania SISI TUPO tunaweza fanya garage
Umekatazwa?. Anzisha ya kwako. Gereji sio matako kwamba kila mmoja anayo
Mtaji unao au unafikiri gereji ni kuwa na over roll na spana😂
Mumemruhusu nyie viongozi kuishi hapo
Wachina wanafikiri wataleta ukorofi Tanzania ???? lamda hajui viongozi watz
Baadae we tulia ilikua public intention we kausha c tayari vigelegele washapiga😂😂😂😂😂
DC anahitaji utulivu katika haya mambo.
Vicent nahisi huna akili sawa unatetea mwizi wa Kichina hii nchi yake nenda wewe kwao ukafanya hivyo anavyofanya wanakuua
Unapokuwa unahukumu wewe mwenyewe msafi
DC anafoka Sana, au ajifunze Kwa makonda
Haki huinua Taifa, asitahiliye haki apewe haki yake, asitahiliye hukumu apewe hukumu.
Viongozi pigeni kazi, Mungu atawalipa
Kiongozi gani huyu na kauli ya kishenzi
Wanaonekana kama wameandaliwa mtende haki
Hii siyo haki kabsa lakini hii ni kazi ya mahakama
DC naye analiamsha, alikuwa wapi siku zote