MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MCHINA MAARUFU ARUSHA ABANWA na DC HADI AONGEA KISWAHILI - ADAIWA KUMTAPELI ASKOFU wa KANISA....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 203

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 месяца назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @Smart_jarm
      @Smart_jarm 4 месяца назад +2

      Nimejaza sana hizo fomu,mbona zawadi hakuna?

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 месяца назад +6

    Wachina wa mchongo, ndio wawekezaji wa awamu ya sita hawa upuuzi mtupu.Hivi China unaweza ukafanya huu ujinga ukabaki salama?

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 месяца назад +6

    Angekua makonda, hapa aka mambo yangeenda taratibu bana weee Kila mtu angemuelewa, mwenzie

  • @blandinapeter7004
    @blandinapeter7004 4 месяца назад +2

    Maanguko hutanguliwa na kibur!! .Mwenyez Mungu atupe busara na hekima za Midomo yetu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 4 месяца назад +5

    Kiongozi siyo sawa hivyo mwite jina lake yeye halisi kisheria

    • @serengetiduma1090
      @serengetiduma1090 4 месяца назад +1

      Aah wanamwita hivyo, sisi tukiteswa kwao tunalamika!!

    • @mcback4384
      @mcback4384 4 месяца назад

      ​@@serengetiduma1090batili mbili hazigeuzi halali

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 4 месяца назад +14

    DC unataka utembelee upepo wa Makonda,Kwanza huyo mchina unamuonea,huu ni udharirishaji.

    • @jamesnyamila2165
      @jamesnyamila2165 4 месяца назад +1

      Kaa kimya wewe

    • @joramkimario
      @joramkimario 4 месяца назад

      Tulia wew hujui kitu

    • @yousifyousif-p7f
      @yousifyousif-p7f 4 месяца назад

      Tuliza kinyeo

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 4 месяца назад

      Kelele funga mdomo unajua nini wewe au Sababu umeona ngozi nyeupe waitetemekea hapa haki kwa haki

    • @benjaminf361
      @benjaminf361 4 месяца назад

      Kabisa, siangemuita ofisini. Hata anajiaibisha mwenyewe! Mchina ametulia anasema ameshaenda hadi kwa mkuu wa mkoa. Eti uhamiaji muingie kazini najua ninachokimaanisha. Jaman!

  • @barrehotel-q5t
    @barrehotel-q5t 4 месяца назад +1

    Viongozi mko na .madhaifu sana

  • @jsabood
    @jsabood 4 месяца назад +6

    Sijaekewa kila mtu ni polisi. Kwani hakuna sehemu husika ya kesi. Mheshimiwa waziri mkuu, lugha inayotumika si ya urafiki. Uamuzi si wa kidemokrasi. Kila mtu ana haki ya kujiteteya mbele ya sheria. Siyo watu wanavunjiwa heshima kwa lugha ya kutisha na uamuzi bila haki ya kujiteteya. Mgeni lazima apewe heshima au tutawafukuza kama hatokuwa na haki ya kujiteteya.

  • @KenMolloimet-fl6rd
    @KenMolloimet-fl6rd 4 месяца назад

    Bwana DC hiyo kazi siyo yako na maneno yako siyo ya bussra

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 4 месяца назад +1

    Hayo mambo ya ajabu mnawafanyia wageni alaf wew sio mtu wa sawa wa haki unaongea kauli mbaya sana hufai unaanza kumuambia watu wa uhamiaj et ingieni mxigon mnajua ninachokimaanisha iyo sio kauli nzur

  • @faridiathumani3114
    @faridiathumani3114 4 месяца назад

    Mkuu wa wilaya mpenda sifaa tu wala hatoi haki

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 4 месяца назад

    Huyu mchina naomba msikilizeni msimhukumu tu

  • @BeatrriceMuya
    @BeatrriceMuya 4 месяца назад +2

    Kaziiendeleee

  • @kinogekimbeho3781
    @kinogekimbeho3781 4 месяца назад +1

    Mkuu wa Wilaya unakuaje na mic moja??

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 4 месяца назад +2

    Sweka ndaniiii,mbona munazugazuga.I bet you it will be business as usual.

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 3 месяца назад

    Da mpaka nimelia watanzania tuko na upendo sana eti we tapeli,, et ntakuvuruga we baba we china autoenda? Acha kumsimanga mchina mpaka huruma jamani

  • @PillaAgrniwe
    @PillaAgrniwe 4 месяца назад

    Iyo kes huyo haiwez kwa luga gongana pia anadhalilosha watu

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 4 месяца назад

    Huyu mkuu WA wilaya hastahili hicho cheo

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 4 месяца назад

    Mkuu wa wilaya hana nidham

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 4 месяца назад

    Hata kama ana makosa bado hujatumia busara aise ..shame ...

  • @NestoryManoni
    @NestoryManoni 4 месяца назад

    Msimuonee huyo mchina sbb ni mgeni mmeshindwa kurekebisha ya inch yetu mnamebaki ku.kandamiza huyo jamaa mbona kama ni mchongo hata hao wanaonekaw

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697 4 месяца назад

    ila mkuu wa wilaya mnafiki ulikuwa wapi kabla makonda hajaja uoneshe mbwembwe zako saivi unafiki haufai.

  • @felixsolomon6293
    @felixsolomon6293 4 месяца назад

    Uongozi ni kipaji ikiwemo hekima busara na mpangilio wa matukio ila hapa 😅😅😅😅😅😅

  • @NestoryManoni
    @NestoryManoni 4 месяца назад

    Missenden kuwaonea wageni ambapo nyie mnafanya uchafu tu kwani hpo mlipo ni mahakama??? Tumia busara kwani hata ukimuwea remanded siatatoka tu mbona hayo yanaongeleka muache kudhalisha huyo mchina

  • @innocentmushi3036
    @innocentmushi3036 4 месяца назад

    Namna DC hapa, kuna mpayukaji na mjinga.
    🚮🚮

  • @nabiiashermgani7523
    @nabiiashermgani7523 4 месяца назад

    Hakuna kiongozi hapo!

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад

    Iga ufe mkuu

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 4 месяца назад

    Cku zote ulikuwa wapi jmn

  • @mlangotv8465
    @mlangotv8465 4 месяца назад +1

    Viongozi wetu wawe na hekima, wasiendeshwe na hisia, huyo mchina hana jina? Kwanini usimpe mkalimani azungumze lugha anayoijua vizuri ili atoe ufafanuzi mzuri

    • @deniskiwanga85
      @deniskiwanga85 4 месяца назад

      Hanalolote huyu DC , alikuwa wapi sikuzote

  • @Ufalme1
    @Ufalme1 4 месяца назад

    Makonda ana Fact,,,,,hii haina ladha sana.

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 4 месяца назад

    kunadiana nijambo la kawaida sio kumtangaza

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 4 месяца назад

    Usimuige Makonda, hutaweza!! fanya kazi unavyojua wewe.

  • @nurumwashinga3662
    @nurumwashinga3662 4 месяца назад +2

    Tafuteni mc

  • @chng1990
    @chng1990 4 месяца назад

    Diplomatic

  • @binseif2216
    @binseif2216 4 месяца назад +21

    Huyu mkuu wa wilaya hana kauli nzuri anataka kumwiga makonda lkn hawezi kumfikia kwanza Makonda hana lugha za kihuni

    • @emmanueldavid9506
      @emmanueldavid9506 4 месяца назад +3

      Kwanza mkuu DC hana hekima kabisa

    • @fridamossony2821
      @fridamossony2821 4 месяца назад

      Alafua ni, au wacha nikae kimye time will tell

    • @binseif2216
      @binseif2216 4 месяца назад

      @@emmanueldavid9506 Ndio

    • @YusuphKyando-j2e
      @YusuphKyando-j2e 4 месяца назад

      Gar yangu ilikaa kwake miaka 2 bila kutengenezwa na fedha nilimlipa mchn ni mhun kwel huyu

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 4 месяца назад

      Wale wale

  • @Malata_francis
    @Malata_francis 4 месяца назад +5

    Mchina ana busara na hekima, kuliko mkuu wa wilaya. Mchina awe mkuu wa wilaya. Yupo vizuri.

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv 4 месяца назад +9

    Sasa hapo pamekuwa mahakamani au..Viongoz wa bongo bhana miyeyusho sana

    • @PascasMathew
      @PascasMathew 4 месяца назад

      Ubabaishaji unakuwa ni mkbwa bora aamuliwe kwa hivi

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 месяца назад +3

    Eti, wameanza! Acha kuwabana wawekezaji kutaka umaarufu. Hiyo kesI ni ya madai tu. Acha apeleke mahakamani.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 месяца назад +4

    mkuu wa wilaya sifa ni ukada wa chama + kihelehele kingi tu ndio tatzo naloliona hapa

  • @De_Prodigy
    @De_Prodigy 4 месяца назад +1

    Kuna diplomatic relationship kati ya China na Tz. Kuna high commission or consulate pia, kuna vitu vingine huyu mchina akienda ubalozi itamletea shida mkuu wa wilaya km suala la kutoa amri passport izuiwe! Watanzania wengi wapo China pia na wanafanya biashara China, there is something wrong here!

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 4 месяца назад +6

    Lugha chafu huyo mkuu wa wilaya anayotumia nitakuvuruga Na mchina angepewa mkalimani wa kichina ili ajieleze vizuri

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 4 месяца назад

      Unawajua kwenye nchi zao, hapa tu wababe na siyo nchi yao

    • @binseif2216
      @binseif2216 4 месяца назад

      ​@@lucymtui8680Hata kwao wanafanyiana hivohivo kama sisi huku tunavyofanyiana

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 4 месяца назад

      ​@@lucymtui8680hata kama!huwezi fanya ubaya kwa ubaya ktk kutengeneza jambo! waache wao watuige sisi sio sisi kuiga ubaya wao

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 4 месяца назад

      Matumizi mabaya ya lugha ni aibu kwa taifa letu

    • @rogersadrian3581
      @rogersadrian3581 4 месяца назад +2

      Hakuna wakarimu kama wachina ukienda nchini kwao.
      Ukileta uhuni wa kwenu ndo utakipata cha moto. Ubaya ni kufanya kosa ulilotahadharishwa usifanye.

  • @hhurbert
    @hhurbert 4 месяца назад +1

    Shida sio Mchina huyo shida ni sheria za uwekezaji za nchi zinaingiza mpaka wabangaizaji ndo maana Muheshimiwa kapata kisukari maana ana deal na mbangaizaji . Sheria ziseme hata angalau dola milioni 3 kwa wawekezaji wa nje .

  • @JeremiahNyunza-ov9ll
    @JeremiahNyunza-ov9ll 4 месяца назад +4

    Acha sifa ww unamuiga makonda ulikuwa wp siku zote mtafutie mkalimani ndio umuhoji

    • @juliusdominic-uk4bu
      @juliusdominic-uk4bu 4 месяца назад

      Makonda amefanyika kuwa mbegu ivyo ni vyema wengi wakimuiga ili tupate wasimamia haki wengi

    • @ntebionetv3243
      @ntebionetv3243 4 месяца назад

      DC Felician hii ni mara ya pili alianza kabla hata Makonda hajaja Arusha

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 4 месяца назад +10

    Mkimrudisha kwao anaenda kupigwa risasi

  • @ElisanteNjau
    @ElisanteNjau 4 месяца назад +2

    Hiii mambo anaiweza Makonda bhana,,yaani Makonda taratibu mpaka muelewe wote..hapo pangekuwa na mwanasheria tungejua ukweli

  • @adambilali3710
    @adambilali3710 4 месяца назад

    Nilicho gundua apo changamoto za kukatiwa umeme ndo zimesababisha ayo yote nafikili wamsaidie uyo machina kupata maji na umeme Ili Kaz zifanyike kilais mkuu wa wilaya anatakiwa awe na busala ajue jinsi ya kutatua tatizo na sio komandi na ndio mana makonda ata Baki juu siku zote

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 4 месяца назад +5

    Uyo mchina mna muonea kiswahili unachongea mkuu wa wilaya huyo mchina hawezi kuelewa

    • @joramkimario
      @joramkimario 4 месяца назад +1

      Ukienda kule kwao utapakwa mafuta

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 4 месяца назад +15

    Maic moja wanatumia zaid ya watatu

    • @lidyadule9477
      @lidyadule9477 4 месяца назад

      happy sasa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 4 месяца назад

      Tumeshasahau corona na magonjwa​ mengine ya aina ya corona maafisa afya mpo au mko likizo!!!! @@lidyadule9477

  • @StephenMbatia-y4j
    @StephenMbatia-y4j 4 месяца назад

    Why these karangaroo courts in Tanzania?don't you have laws that govern the country?mtu akikosea aperekwe kotini.

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 4 месяца назад

    Huyo mchina inawezekana kabisa kwao china kashindikana Kwa utapeli na alikuwa mfungwa wakamtoa gerezani na kumwambia aenende ulimwemwenguni kote akasambaze utapeli.

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 4 месяца назад

    Hatariiii mchina utakoma kuingia kwenye anga za wabongo wetu wanadai bila nyaraka makonda naomba ulosimamie hili maana kaktiwa maji na umeme hapo pana jambo.????

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 4 месяца назад

    Acha watz tunyooshwe hiyo pesa ukiombwa na ngozi nyeusi unamuita mwizi ila mchina unatowa vzuri

  • @mohamedrajabu524
    @mohamedrajabu524 4 месяца назад

    huyu mkuu wa wilaya mim sijamkubi coz anafanya vitu kwakutafuta sifa unawezaje kuhukumu hapo hapo wakat mahakama zipo kwahiyo hapo ndo mahakama?

  • @talents7934
    @talents7934 4 месяца назад

    Huyu mkuu anatfuta Kiki wala hana Karma ya Uongozi,hujawapa ata muda hao wanaomdai mchina Wakaeleza kwa kina Daah kiki mbaya sana😢

  • @Tribal-ec7uj
    @Tribal-ec7uj 3 месяца назад

    Duu wachawaumbuke tena wanatuchosha na mabonanza watanzania wanafilisika kucheza huwez acha mpaka ufilisike

  • @MtatiroMtatiro
    @MtatiroMtatiro 4 месяца назад

    Huyu mchina nimhuni yani yeye ana chukua hela za watu nakwenda kujifunza kiswahili 😂😂😂sio kufanya kazi

  • @nicospack3893
    @nicospack3893 4 месяца назад +1

    Huyo mkuu wa wilaya haieleweki bado hajanyooka

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 4 месяца назад +1

    Huyu mhemiwaaa Ana iga moto wa makonda hataufikia ataaribuuu zingatia sauti tuuuuu hehehe

  • @PillaAgrniwe
    @PillaAgrniwe 4 месяца назад

    Anatafuta kik kwa mchina unamhoji mtu kiswahil wakati unajua sio luga yake hata mkaliman hamna sheria ya wap inamaana hata kingereza hujui

  • @saidalmarjibi6112
    @saidalmarjibi6112 4 месяца назад +2

    Hii inasaidia wa investor kuja nchini? Kama kuna judicial system,, si bora kuifatishia?? Maana ikiwa kiongozi ana fanya duty ya judges hadharani!!! Na anamtaja mtu kwa asili yake ( wewe mchina nitakuvuruga) hio lugha, na mantiki inapendeza kutumiwa hadharani?
    Jamani?

    • @vannymokoca358
      @vannymokoca358 4 месяца назад

      Point eti nitakuvuruga ?👌niatari sana waah auwezi kuwa jadge mwenye asira

    • @saidalmarjibi6112
      @saidalmarjibi6112 4 месяца назад

      Mahakama barabarani? Sasa wa judge kazi zao zinachukuliwa?

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад

    Mchina umembana mkuu wa wilaya hapo umefeli unatumia nguvu nyingi sana kuliko akili

  • @mariayohane4712
    @mariayohane4712 4 месяца назад +1

    Uyu mkuu wa wilaya anakera bhana anaboa

  • @BON357
    @BON357 4 месяца назад

    Angalia polisi wasije wakamtorosha china naona wanatongozana nyuma yako mkuu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 4 месяца назад +1

    Huyu aswekwe ndani msimchekee.Ukcheka na nyani utavuna mabua .mchina anazarau kabisa anaongea na DC vifungo vya shatii amefungua vyote kama anataka kupigana peleka ndan huyo kabisaaaaa.

  • @mohamedrajabu524
    @mohamedrajabu524 4 месяца назад

    Bongo shida sana kisa anadaiwa ndo anaonekana anamakosa sana hapana kunaupande ambapo hata yeye anahakizake pia licha anadaiwa

  • @SiaCollins
    @SiaCollins 4 месяца назад

    Hawa wachina wanaokuja huku ni wale wezi waliotoka ferezani wameshindikana huko kwao

  • @NestoryManoni
    @NestoryManoni 4 месяца назад

    Ww mkuu wa wilaya Acha kumuonea huyo mchina usifanye mambo ya kiini huo ni unyanyasaji

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 4 месяца назад

    Wamemuonea mchina huyo mkuu wa wilaya hana busara kama Makonda na Jerry silahaa

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 4 месяца назад +3

    Hili ni suala la kimahakama sio la DC sijui Watanzania tumekosea wapi. Apelekwe mahakamani sio kangaroo court.

  • @ManoOsvaldo
    @ManoOsvaldo 2 месяца назад

    Mkuu WA wilaya ni muhuni sana atoke anamuonea muchina kwa sababu ni mgeni

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 4 месяца назад

    Huyo kakutana na mchina angekutana na hichi kichwa kibofu nadhani angetia akili

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 месяца назад +3

    Uyu mchina mjanja sana anatumia madhaifu ya watanzani wasiojua (sheria na mkataba) kuwandamiza

  • @azimioalbertongellangella8970
    @azimioalbertongellangella8970 4 месяца назад

    Kuna kitu hakipo sawa hapo msisahau kuna wa Tanzania tupo nje ya Tanzania🙁

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 4 месяца назад +4

    Mnaingilia kazi za mahakama.

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 4 месяца назад +4

    Kazi mbovu tumia hekima

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 4 месяца назад

    Angalia both sides baba.. Jamaa anaongea kiswahili anajitahidi

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад

    Mchina atakayewezana naye ni makonda tu,makonda anajua kuhoji

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 4 месяца назад +10

    Nadhani hekima na bishara zitumike

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 месяца назад

    Mimi kama mimi nasema siku nyingine msirudie kutumia maik moja

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 4 месяца назад +1

    Wanamuonea tu Mchina wa watu anaonekana ana kitu ila lugha inampa shida,huyo Mkuu naye anatafuta kiki tu.

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 месяца назад +4

    Wanachezea tanzania sana ingekuwa ni kwao mmmh pangechimbika. Hapa tunawapokea tunawaheshimu wanatuona mavi

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 4 месяца назад

    Kama wanamdai waeende mahakamani huo ni uonevu na pesa mbele

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 4 месяца назад

    Mkuu wa wilaya unaonekana una lako jambo,maelezo ya mchina yanaonesha kuwa anahujumiwa ili ashindwe kufanya shughuli zake,then aonekane tapeli jambo ambalo sio.Mkuu wa wilaya muogope Mungu,hicho kiti ulichokalia,kuna waliokaa wakaondoka,acha kuwahuju watu kwa kuwa ni wageni.

    • @tinamahega9848
      @tinamahega9848 4 месяца назад

      Kaa kimya huwajui wachina wewe,hao ni washenzi kamili

    • @jacksoncharles5411
      @jacksoncharles5411 4 месяца назад

      @@tinamahega9848 Labda nikuulize,hivi Waafrica wote wanafanana?

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 4 месяца назад

    DC JIFUNZE KUKNGEA KWA HESHIMA. HICHO KIDOLE KILIMPONZA.MAKONDA. ETI NITAKUVURUGA. CHUNGU SANA HICHO CHEO. HESHIMA. MBELE.

  • @ProjetusRwiza
    @ProjetusRwiza 4 месяца назад

    Nafikiri mkuu WA mkoa ilibidi anyone kwanza machina kabla ya kuja public maana inaonekana na yeye c makosa yake gari kuchelewa. Mkuu Wilaya Hana busara

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 4 месяца назад

    Huyo mchina atafutiwe mkalimani ajieleze vizuri bwana dc..tafuta sulihisho la amani na la msingi.

  • @mcback4384
    @mcback4384 4 месяца назад +1

    Tumia lugha ya kiofisi DC

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 4 месяца назад +2

    IVI NCHI YETU IKOJE!!!
    MGENI ANAKUJA KUSIMAMIA GARAGE kweli??
    watanzania SISI TUPO tunaweza fanya garage

    • @LudovickTibakyenda-gs2wh
      @LudovickTibakyenda-gs2wh 4 месяца назад +1

      Umekatazwa?. Anzisha ya kwako. Gereji sio matako kwamba kila mmoja anayo

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 4 месяца назад

      Mtaji unao au unafikiri gereji ni kuwa na over roll na spana😂

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 месяца назад

    Mumemruhusu nyie viongozi kuishi hapo

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад

    Wachina wanafikiri wataleta ukorofi Tanzania ???? lamda hajui viongozi watz

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 4 месяца назад

    Baadae we tulia ilikua public intention we kausha c tayari vigelegele washapiga😂😂😂😂😂

  • @Igembetukuyu
    @Igembetukuyu 3 месяца назад

    DC anahitaji utulivu katika haya mambo.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад

    Vicent nahisi huna akili sawa unatetea mwizi wa Kichina hii nchi yake nenda wewe kwao ukafanya hivyo anavyofanya wanakuua

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty 4 месяца назад

    Unapokuwa unahukumu wewe mwenyewe msafi

  • @kulewamziray9068
    @kulewamziray9068 2 месяца назад

    DC anafoka Sana, au ajifunze Kwa makonda

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 4 месяца назад

    Haki huinua Taifa, asitahiliye haki apewe haki yake, asitahiliye hukumu apewe hukumu.
    Viongozi pigeni kazi, Mungu atawalipa

  • @justersmatiko3553
    @justersmatiko3553 4 месяца назад

    Kiongozi gani huyu na kauli ya kishenzi

  • @NestoryManoni
    @NestoryManoni 4 месяца назад

    Wanaonekana kama wameandaliwa mtende haki

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz 4 месяца назад +1

    Hii siyo haki kabsa lakini hii ni kazi ya mahakama

  • @familytalks1
    @familytalks1 4 месяца назад +1

    DC naye analiamsha, alikuwa wapi siku zote