"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024
  • "SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 322

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  22 дня назад +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @TIGOZANTEL-qp7jg
      @TIGOZANTEL-qp7jg 12 дней назад +1

      Dah yan wewe Makonda unahitaji urais kabisaaa mungu akulinde mkuu

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 22 дня назад +19

    Mh.makonda akifika sehemu kama vile hakujawahi kuwa na viongozi kabisa Sasa mheshimiwa tukubalie sisi hii nchi tunakupa kiroho safi kabisa

    • @ThomasfrancisMvella
      @ThomasfrancisMvella 21 день назад +2

      Hakika tukumsapoti huyu comrade,,,,on the future lazma awe very great leader...ingawa ndani ya chamade iaonyesha kuna changamoto za viongozi kama hawa kutoboa,,,,,poul makonda kwa mahitaji ya wa tz wengi utatoboa tu uko mbeleni...

    • @themanofGod127
      @themanofGod127 15 дней назад +1

      Kabisa

  • @selestinimbezi7345
    @selestinimbezi7345 22 дня назад +22

    Mkonda MUNGU BABA akulinde na akuongezee myaka mingi na maisha malefu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 22 дня назад +19

    Makonda Allah akuhifadhi na maadui Akundumishe kwenye serikali mtenda Haki Kwa wanyonge Allah Akupe umri mrefu akulinde ww na watoto wako na mkeo Allah awadumishe kwenye serikali ww na mama yetu Samia hakika unatenda Haki Mungu akulipe .mazuri dunian na akhera tunakupenda Sana mdogo wetu

  • @afrikasihami
    @afrikasihami 16 дней назад +5

    Huyo Afisa Ustawi wa Jamii kilaza sana.

  • @MIKAELADEDA
    @MIKAELADEDA 5 дней назад +2

    Upo vizuri sana hutaki ubabaishaji kaka angu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 22 дня назад +21

    KITI CHA URAISI UMEKISHIKILIA MAKONDA NDIO MANA MAMA SAMIA ANAONA ANAUMBUKA KWA KAZI MZURI UNAYOFANYA MLUDISHE MSEMAJI WA CHAMA HUYO MAKONDA PLEASE SAMIA 🙏

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 20 дней назад

      Sasa, uwezo wa kutatua kero na matatizo kama haya anapewa na nani kama sio huyo Rais?!

    • @khamisomar889
      @khamisomar889 20 дней назад

      Kinachokusumbua ni elimu, ungesoma usingeandika ujinga

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 15 дней назад

      Makonda ni msanii kama wabunge wa lioteuliwa mwaka 2020 uchaguzi mkuu sasa anakaribisha kiki wananchi waendelee kukiamini chama chake kupitia hizi movie zake​@@khamisomar889

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 День назад +1

    Tuliosikia huko mwamba akisema ajira kupeana naombeni likes zangu

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 22 дня назад +17

    Mh Makonda umeongea vizuri sana Leo. Good work brother. Keep it mdomo wangu ❤

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 18 дней назад +8

    Ustawi wa jamii mmefikiwa yani aiseee ukiwa mtendaji wa kitengo fulani alafu ukasikia makonda ndo mkuu wako wa mkoa kama ulitupa madaftari ya notes anza kuyatafuta na kama ulikua unakunya supu na kukaa ofisini anza kwenda saiti

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 22 дня назад +18

    Ustawi wa jamii Hana hata elimu ya kazi anayoifanyia kenge huyu 😢

    • @saidimkongos324
      @saidimkongos324 14 дней назад +2

      Ustawi wa mchongo😂😂😂😂😂

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 14 дней назад +1

      Form 4 failure hana hata d mbili,kapata Kaz kimchongo

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 2 дня назад +1

    Mzee nimemwelewa Sana yani anaona akirnderea kuishi nahuu mwana mkee Yule mtoto wake wakiume atakuja kulisi mali za JAMA

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja2007 20 дней назад +3

    ❤❤mtu mzima najikuta natoa machozi kweri ila makonda ni jembe han amakuu Mungu ampe maisha marefu tu

  • @masatusalum5291
    @masatusalum5291 17 дней назад +4

    Watu wa Meru Kuolewa hadi Wazazi wanywe soda?

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq 18 дней назад +1

    Mungu akulinde huko ulipo na Shar z walimwengu waovu ambao hawapendelei mafanikio yako makonda wetu 🤲🤲🤲

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s 10 дней назад +2

    Brother ana USO wa mbuzi 😂😂

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 12 часов назад

    Big up Mh Makonda.

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 18 дней назад +2

    Mungu akulinde pia Raisi Mtalajiwa

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 День назад

    Ubarikiwe sana baba kegani 👏👏👏

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 22 дня назад +5

    Makonda Mungu akubariki 🙏❣️

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 22 дня назад +5

    Mh makonda upo na Kazi Baba Wetu Lakini Fanya mema nae Allah ☝️ atukulipa mema Yako Inshallah

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 22 дня назад +3

    Mungu Mungu Mlinde sn Paul Makonda wetu.

  • @MwebeRwezahula
    @MwebeRwezahula 22 дня назад +7

    Makonda mshauli mama asiteue vilaza kama hivi .

  • @tumainiwafula9609
    @tumainiwafula9609 14 дней назад

    wow very nice, namwona Rais Magufuli ndani ya mkuu wa mkoowa Makonda,very nice work chapa kazi Baba...

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 5 дней назад +1

    Ki ukweli huyo jamaa yupo sawa maana sheria inagalia moja maisha ya baba na kipato pia anapotowa matumizi agalie yeye atakula nini na pia mtoto wake atapata nini sheria haimbani mtu mmoja tu

  • @nadiahussein-mn2fb
    @nadiahussein-mn2fb 22 дня назад +6

    Ongera sana makonda

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 22 дня назад +3

    Huyo mtu hajui chochote kwa hiyo mtu hana kazi unamwambia atoe laki mbili kwa mwezi hanachochote anachojua mkuu wa mkoa achana naye.

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 22 дня назад +10

    Safi sana makonda wa baba ni changamoto

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 18 дней назад

      Wamama nao ni shida

    • @azammaganga9101
      @azammaganga9101 17 дней назад

      Kama wababa ni changamoto basi wamama ni tatizo kabsa

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 18 дней назад

    ❤❤❤❤ MUNGU AKUUNZEE MHESHIMIWA WEWE NA FAMILY YAKO DAH UMELETWA KWAJILI ETUU WE LOVEE YOU FATHER

  • @user-dd8lp3jn7v
    @user-dd8lp3jn7v День назад

    Hongera sana mungu akubariki

  • @josephhaule9123
    @josephhaule9123 21 день назад +1

    Makonda wewe unahekima ya ajabu sanaaa asante sana kazi nzuri

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i 22 дня назад +4

    Kuna shida ya ustaw ya jamii huko.yan mtu mzima hajui kuweka mambo sawa

  • @user-er9no3ie2k
    @user-er9no3ie2k 2 дня назад

    Nakubali sana makonda 💪💪

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 22 дня назад +2

    Sante sana makonda na MUNGU akulinde ndugu yangu

  • @user-pt5rn5nj2f
    @user-pt5rn5nj2f 18 дней назад +2

    Haya ndio madhara ya kuajiriana kama ndugu huyu mwamba tatizo kapewa connection na ndugu zake alafu wenye elimu wako mtaani daah😂 Tanzania yetu

  • @JanethMathayo-ys3km
    @JanethMathayo-ys3km 22 дня назад +2

    Mungu akupe maishamarefu

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur 22 дня назад +6

    Kwa maelezo huyu anayejiita kaimu watanzania tutaendelea kuteseka

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 День назад

    mwisho umemaliza vizuri

  • @carolinemae2531
    @carolinemae2531 17 дней назад +1

    Jamani mimi ntampata vipi huyu makonda kuna fundi kanidhulumu Dirisha zangu million 3 za kitanzania 😭😭😭😭😭

  • @KaburaBerchimas
    @KaburaBerchimas 2 дня назад +1

    Ivi huyu mtu wa ustawi wa jamii darasani alikuwa anapresent kwel?

  • @grammsonbakaza9092
    @grammsonbakaza9092 20 дней назад +1

    Makonda makonda makonda Mungu akuongeze bro

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 21 день назад +3

    Mbona jamaaa kajibu vizuri tu, yaani mzazi anatoa gharama kulingana na kipato chake, sasa ww Makonda hutaki kumsikiliza hadi mwisho

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x 21 день назад +1

      Hapo huyo jamaa ameonewa sana, huyo mwanamke anatumia uanamke wake kumtesa huyo jamaa....wanaume tunapitia mengi na hatuna wa kutusikiliza

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 22 дня назад +2

    Makonda juu🎉🎉🎉🎉

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 20 дней назад +2

    Hahhhh, nimechek Sana huu jamaa mwana sheria

  • @user-jj1jp4be2k
    @user-jj1jp4be2k 22 дня назад

    Mungu akulinde Makonda

  • @jamilanasir6833
    @jamilanasir6833 19 дней назад +1

    Yalinikuta hayo jamani mume wangu tulipo achana alisema kiwanja cha kk ake wakati tulinunua wote

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 19 дней назад

    Mungu akulinde

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 22 дня назад +5

    Mbona kjana unajidhalilisha

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 17 дней назад +1

    Mtihani kwenda mbele Makonda unakazi nzito

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw 17 дней назад

    Huyo afisa ustawi wa jamii hiyo kazi alipewa kwa kujuana
    Hana anachokijua.
    All in all My. Makonda ni Magufuli ajaye Mwenyezi Mungu amlinde kwa kazi nzuri na kubwa anayoifanya kwa Watanzania wanyonge

  • @user-rw9cw8nj4t
    @user-rw9cw8nj4t 4 дня назад

    Mkuu wa mkoa hongera sana

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 22 дня назад +2

    Jamani Mungu asaidie wtu kesi ni nyingi

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 13 дней назад

    Mungu akulinde makonda

  • @assayusuph3295
    @assayusuph3295 13 дней назад

    Mweshimiwa mungu akutunze

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 17 дней назад

    Viva kwako mh.wetu Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 21 день назад

    Nakuelewa sana kaka makonda

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 22 дня назад +1

    Keep it mdogo wangu ❤

  • @user-eu8ur4kt4v
    @user-eu8ur4kt4v 4 дня назад

    🔥🔥🔥🔥🔥makonda ubarikiwe

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 22 дня назад +1

    Hongera makonda

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 18 дней назад

    Huyu ni rais ajae,,mungu akubark sana 🙏

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 22 дня назад +6

    Ustawi wa jamii huyo jamaa aangiliwe vyeti vyake hajui kitu 😂😂😂😂

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q 21 день назад +2

      Halijui kitu hilo

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 20 дней назад +1

      Hahhhhh

    • @balisangwayomhoza4702
      @balisangwayomhoza4702 16 дней назад +1

      Mbona jamaa yupo sahihi tu, sheria haijaweka wazi gharama za matunzo

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 15 дней назад

      @@balisangwayomhoza4702 tatizo lake anachanganya sana maneno hata kwa mfano huna kosa lakini umepewa kesi ya kusingiziwa kama una wasi wasi watu watajua umetenda kosa..kwa huyu jamaa anajichanganya kwenye ufafanuzi wake ndio maana wana mashaka nae

  • @fraviansweetbert2703
    @fraviansweetbert2703 19 дней назад

    Mungu azidi kukutia nguvu Makonda

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz День назад

    hapa najua watu wapo maofisini jawajui wajibu wao. ona jamaa kashindwa kujielezea kuhusiana na ustawi wa jamii

  • @DianaJoseph-mr2tk
    @DianaJoseph-mr2tk 15 дней назад

    Mungu akutunze milele makonda

  • @kenedymwangosi8259
    @kenedymwangosi8259 18 дней назад

    Makonda....❤❤

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 14 дней назад +1

    Yan apo ndo tunatakiwa kuacha tabia ya kuwekan kweny vti kisa mtoto wa mjombo mnaacha kuweka watu wanaojua nini wanatakiwa kufanya

  • @vedastocharles
    @vedastocharles 21 день назад

    Kazi sana😂 kaka ! Pole San kaka

  • @noelwilliam344
    @noelwilliam344 22 дня назад +3

    Sheria inasemaje?

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j 12 дней назад

    Sorry I missed spelled his name. 🙏what your give to your people is written in the book of life, you children’s 👦 well be blessed 😇 to all generations to come . You 🙏

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 День назад

    suku zote usimhurumie mwanamke kwa mchozi yake. n wanafiki sana hawa.

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 21 день назад

    Uko sawa makonda

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 21 день назад

    Kazi kweli kweli

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 22 дня назад +1

    Mbona jamaa anajibu vizuri tu.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 18 дней назад +1

    Ustawi wa Jamie wanafanya kaz kimazoea, hata wakifika maofisini hamna wanachokifanya zaidi ya kupokea mshahara.

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 22 дня назад +1

    Jamaa kutoka ustawi wa jamii hamna kits hapo , achunguzwe

  • @easkKisite
    @easkKisite 2 дня назад

    Huyu Jamaa ni kichwa ngumu

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl 22 дня назад +1

    Makonda uko vzr

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 22 дня назад +1

    Mwenyezi Mungu akuepushe na kila lililo baya kiongoz wetu 🤲🤲

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 22 дня назад +13

    Dunia ni uwanja wa fujo vijana tusikimbie majukumu

    • @user-zm2pe6il9h
      @user-zm2pe6il9h 11 дней назад

      Mwana sheliya wamchongo Kuna watu wamekaliya viti ambayo haviwahusu kukaliya

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 22 дня назад +2

    Mama Samia anatakiwa akuweke karbu mno. Ww ni mwamba

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 22 дня назад +5

    Mimi mwenyewe Acha nije huko huko arusha kwani mzazi mwenzangu yupo huko na kaingia mitini.Makonda oyeeeeeeee!!!!

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 22 дня назад +1

      🤣🤣🤣🤣 nenda utatupa mrejesho

    • @RoseJohn-js7kb
      @RoseJohn-js7kb 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 18 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 17 дней назад

      😂😂😂😂ukiachwa achika

    • @Johnmagambo
      @Johnmagambo 16 дней назад

      😂😂😂😂

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j 12 дней назад

    God bless Makonde 🙏❤️👍

  • @dandynyota2838
    @dandynyota2838 21 день назад +5

    Anandaliwa kuwa rais save hii coment yang mtaja ni kumbuka

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home 18 дней назад

      Unamatatizo ww 😂

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 15 дней назад

      Rais wa familia yako m pishe kaya yako atawale sisi wale tunaojitambua yaani kwenye uchaguzi atafeli hata aliyemteua kwa nafasi hii hamchagui haponi 0% hapo anajipendekeza kwa wananchi kugawa fedha ya serikali bajeti IPI Wanaarusha wanamwangalia tu hasa wadudu wanachora😮

    • @VictorFranael
      @VictorFranael 3 дня назад

      Makonda anaandaliwa kuwa Raisi 2030 Ili kidumu chama cha mapinduzi.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 дня назад

      @@Do-it-yourself_at_home ana matatizo ya kufuata upepo kama bendera

  • @MwebeRwezahula
    @MwebeRwezahula 22 дня назад +4

    Makonda ww nimagufuli mtupu ubarikiwe

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 20 дней назад +1

    😂😂😂Ustawi wa jamii hana elimu hata moja si aibu hii?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 20 дней назад +1

    Duhh hatari sana hayo mawazo yake sio Sheria

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 18 дней назад +1

    Makonda magufuli spirit 🔥

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 22 дня назад +1

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
    ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 22 дня назад

      Umeongea kitu ambocho kimenifikirisha.

  • @kiembathegreattz5633
    @kiembathegreattz5633 22 дня назад +1

    Makonda mungu akuweke mzee baba unaupiga mwingi sana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 22 дня назад

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 18 дней назад

    Kwel Mungu awalinde watt wetu😢😢😢😢😢😢

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 22 дня назад

    Kweli kabisa

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 21 день назад +1

    Kama hatakua na kiwangohcho afanyeje yy

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 5 дней назад

    Makonda ❤️❤️❤️❤️

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 22 дня назад +1

    Hii Arusha jamani duu Mungu aisaidie

  • @user-sb7lz9xp4v
    @user-sb7lz9xp4v 22 дня назад +1

    Huyo ni kilaza mnyang'anyeni microphone

  • @user-zi7ds2bv2s
    @user-zi7ds2bv2s 20 дней назад +2

    Harijui hiro

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 17 дней назад +1

    Huyo mama anaonekana ndio kazngua

  • @user-fk1fd8on6e
    @user-fk1fd8on6e 22 дня назад +1

    ❤❤❤

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 18 дней назад

    Dada usijali utarea mtoto wako,huyu baba sio kusudi la Mungu achana naye kunakitu Mungu akuapusha , barikiwa sana makonda msaidie huyo dada huyo baba,atoe hera ya matumizi.

    • @boaziamos1224
      @boaziamos1224 17 дней назад

      Wanawake wengi sasa hv wanadharau bora huyo jamaa kawa mkweli kulia sio kwamba hyo mwanamke ndio mwenye haki

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 22 дня назад +1

    Huyu afisa hana akili kabisa halijui kuongea choko kweli umeniuzi sana sijui ichocheo sijui ulikipataje MH,Makonda pole sana kwakazi kubwa ulionayo aisee tunao tawaliwa tunakazi kweli yani