MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024
  • MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 603

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +23

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 24 дня назад +19

    Kama na wewe umefurahishwa na Makonda hadi ukakosa cha kuandika basi like tu hapa aone tupo wangapi.

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 Месяц назад +64

    Asante Mungu kuturudishia Maguful kwa kutumia mwili wa Makonda 🙏🙏🤲

  • @zenamshana8140
    @zenamshana8140 Месяц назад +36

    Jamani namuona magufuli Mungu asante namuona mpendwa wetu magufuli ndani ya makonda

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 29 дней назад +24

    Naishiwa maneno mwenzenu Mungu hyu anajua kufarij watu wske,,asante Mungu kutuletea magufur kwa njia nyingne😢😢😢Makonda Mungu aendelee kukutunza baba kwa ajil ya wananchi wanyonge,,nchi hii bila kupata kiongozi mfatiliaji nchi inageuka kuwa shamba la miwa😢😢🙏

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 29 дней назад +27

    Makonda tunakuombea mno💋🇹🇿 Mungu akutunze kila mchawi wa moyo wako naafe kwajina la yesu kristo wa nazaleti

  • @uwezashehemba5367
    @uwezashehemba5367 Месяц назад +52

    Makonda nafuatilia ziara zako mungu akupe maisha marefu aameen

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Месяц назад +36

    Makonda respect to you
    Nchi inakuhitaji sana kuliko kitu kingine nchi zetu za Africa zinataka viongozi wenye msimamo kama wewe na wenye kuthubutu mungu akulinde kiongozi..Viongozi wengi wababaishaji na rushwa tu wabane wote wezi tu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Месяц назад +82

    Makonda respect Sanaa moyo ulikufaa baada yakufa magu sasa unaanza kupumua kupitia ww ningekua nauwezo ningekupa nchi 🙏🙏🙏🙏💯💯💯

    • @asajileraphael1951
      @asajileraphael1951 Месяц назад +2

      Anafaaaa

    • @ShortyShorty-mr3jb
      @ShortyShorty-mr3jb 29 дней назад +3

      Ni kweli kabisa ndg

    • @devidmadoa2865
      @devidmadoa2865 29 дней назад +3

      Kwa sisi wapiga kura Yani watu wa Hali ya chini tunataka viongozi kama hawa naomba ile sheria ya mgombea binafs ikaziwe ili 2025 makonda agombee hata mgombea binafs kama atakosa nafasi kwenye chama kwa sabbu kila anapowekwa anafiti na moto ni ule ule

    • @jacklineminja2022
      @jacklineminja2022 29 дней назад +3

      Anafaa sana Mungu asikilize maombi yetu Makonda anafaa sana

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 29 дней назад +2

      Sana makonda anaofu ya Allah baro mwaka 2030 apewe uraisi

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Месяц назад +49

    Wakuu wa mikoa mingine Tanzania wakula bata,hawajui wajibu wao, viva makonda,

  • @twisilemwabukusi4981
    @twisilemwabukusi4981 28 дней назад +8

    Kwa kweli katika hili Mh Makonda umenyoosha mstari kama kiongozi na Mtenda haki. Hongera sana hakika.

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 27 дней назад +8

    To me, Mr Makonda was not demoted, instead, he was promoted from being Mwenezi Taifa to be the RC. Look at what the glorious job and services he is delivering to the people of Tanzania. Hata kama anakosea au atakosea mahali fulani, lakini tuzingatie lengo lake. Lengo lake ni lengo la Tanzania na Kiongozi Mkuu wa Nchi yetu. Again, VIVA Makonda and VIVA our lovely president!

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya Месяц назад +21

    Mweshimiwa makonda mimi binafsi naupenda sana uongozi wako, japo tunajua unakutana na changamoto nyingi na wengine watakuchukia ila mungu atakupigania sana.

    • @nzumbiesther
      @nzumbiesther 29 дней назад

      Mungu aendelee kukupa kibari na akuzidishie maono Mr Makonda

  • @marywembe8434
    @marywembe8434 Месяц назад +53

    Naona Mh Makonda awe Mkuu wa mkoa wa kuhamahama. Yani kila mwaka ahamie mkoa mwingine. Maana kazi yake ni konkii konkilist.

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u Месяц назад +39

    Bwana Yesu Kristo akutie nguvu mheshimiwa Makonda Arusha kuna wadhulumaji sio mkoa rahisi

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l Месяц назад +3

      Hakika mungu amlinde makonda aaamiiinaaaa

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana7974 Месяц назад +15

    Makonda Mungu akukumbuke alinde uzao wako katika jina la Yesu

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b 26 дней назад +9

    MUNGU akupe ngazi ya mwisho ya maamuzi namanisha urasi.❤❤❤

  • @peresamiradvocate
    @peresamiradvocate 28 дней назад +22

    Makonda ana hekima ya Solomon, young with high wisdom

  • @faithmsafiri6534
    @faithmsafiri6534 8 дней назад +2

    Mungu akulinde wewe una roho ya magufuli ndani yako

  • @dramanishabani93
    @dramanishabani93 29 дней назад +16

    Nakupenda bure Mh makonda maana haujawahi kumkana Yesu, Ilove your tshirts and cap.🎉

  • @gasperkunambi9538
    @gasperkunambi9538 27 дней назад +8

    Mungu azidi kukupa Hekima Rafiki makonda Mungu akubariki sana

  • @kiembathegreattz5633
    @kiembathegreattz5633 Месяц назад +32

    Mungu kamleta maguful kwenye mwili wa makonda mazeee

  • @HusseinAmiri-pp8dy
    @HusseinAmiri-pp8dy Месяц назад +17

    Salute Mh:Paul Makonda, najikuta nkipiga makofi ucku nikiskza Ziara zako

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 27 дней назад +6

    Arusha tuna bahati kumpata kiongozi kama huyu 👏👏👏👏👏🙏🙏🙏

  • @user-nr1vq4dp8v
    @user-nr1vq4dp8v 29 дней назад +15

    Respect my president, respect Makonda nawapenda sanaaaa

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 15 дней назад +1

    Ahsante sana M/mungu Kwa kutupa magufuri wa pili hongera sanaaa makonda mungu akupe maisha marefu 🌹🎁

  • @WilliamDaniel-hm4cr
    @WilliamDaniel-hm4cr 18 дней назад +2

    Makonda mwamba nirikuwacjakuerewa lkn ss nimekuerewa asante sana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Месяц назад +28

    Mzee Uwe Unaulizia Kwanza😂😂😂Makonda We love uuu❤❤😂

  • @user-vt5xx1tw1m
    @user-vt5xx1tw1m 12 дней назад +1

    Yan hapa ukiteleza maelezo kidogo umekwisha😂 hongera Makonda

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 Месяц назад +14

    Watumishi wengi wa serikali hawafanyi kaz, hawaendi field ni watu wa ofisini tu as opposed na private sector. Huyo chalii unaweza Kuta vyet ni vzr ma GPA nn ila hawez hta jieleza na anaonekana hna experience na kaz yake,

  • @SamG-hs9xe
    @SamG-hs9xe Месяц назад +7

    Makonda mi nakukubaki Mzee wangu endelea nakazi ya Mungu ,Mungu atakulipia

  • @francismlembwa2733
    @francismlembwa2733 24 дня назад +1

    Makonda is the best leader in Tanzania especially in solving problems of the people mimi nakuombea sana Mh ,mungu you nawe kwa kweli

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar Месяц назад +7

    UKIKUTANA NA BWANA MAKONDA JUA UMEKUTANA NA KIJANA MWELEVU MNOOOOOOOOOO, zingatia neno mwelevu📌

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 28 дней назад +9

    SHIKAMOO MAKONDA.
    ILOVE❤ MAKONDO
    ACHA WAKUPOPOE KUNA UNACHO WAZIDI.
    MWAMBIE MUNGUU WEEE ASANDE.KUNIPA CHAZIYADA

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f 19 дней назад

      Good focusing,from this guy,big up❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EliothChaula
    @EliothChaula 29 дней назад +4

    Hongera Dana mkuu was mkoa,kweli unatetea wananchi wako

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o Месяц назад +9

    Mhe makonda nakukubali Sana

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 28 дней назад +2

    Makonda mungu akujalie kwa kutenda kazi yko mungu aliokubaliki nayo naimani kila aliedhulumiwa atapata haki yake mungu amsimamie makonda na umbaliki sana hii ni kazi ngumu ya kufichuwa madudu ya viongozi wanaodhulumu mali za watu bila kuwa na woga na wala off ya mungu makonda piga kazi mungu yupo nawe

  • @EmmanuelSige-tc1bn
    @EmmanuelSige-tc1bn 29 дней назад +6

    Uwiiiii Arusha hakuna watendaji,,, nani wanawapa ajira hawa watu jaman

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 27 дней назад +2

    Mama naendelea kusema nakupenda sana mama Mh Ras wangu , sina cha kusema Mungu akulinde akutie nguvu.kila iitwapo leo as, lazma nakuombea . Kaz iiendelee.

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 26 дней назад +3

    Kiukweli makonda naichukia ccm ila kupitia ww naanza kuipenda!! Broo mungu wang wa mbingun naomba ajibu maombi uwe rais wa nchi hii nadhan utaipua meng kama mzee magufuli!! Hakika una ujasiri wa kuendexha nchi hii mungu naomba ujibu maombi yang nkiwa hai amen!

  • @RaymondMuya
    @RaymondMuya Месяц назад +4

    Makonda mungu akulinde sana nchi inakuhitaji sana

  • @basilkibasa-ny3im
    @basilkibasa-ny3im Месяц назад +3

    Akili kubwa sana hii, Mungu endelea kumlinda mh. Makonda

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 5 дней назад

    Makonda juu juu juu ningekua na uwezo kiti cha urais ni chako baba ❤

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 Месяц назад +5

    Umebalikiwa muheshimiwa

  • @elizabethmkude9452
    @elizabethmkude9452 26 дней назад +2

    Mungu akubariki na akuepushe na hatari zote za roho na za mwili Kila ulimi utakao nyanyuka juu yako utaesabiwa kuwa mkosa hakika mungu amewasha mwanga mpya kwa wanyonge

  • @barakalukumay
    @barakalukumay Месяц назад +6

    Amina baba Makonda duu barikiwa Mkuu

  • @JoyceMwakalobo
    @JoyceMwakalobo 14 часов назад

    Baba yangu
    Makonda nakuombea
    Mungu azidi kukupa uzima wanaoonewa wapone

  • @faudhiakihangu
    @faudhiakihangu Месяц назад +17

    Makonda hoyoeeeeeeeeee

  • @DottoDola
    @DottoDola 27 дней назад +2

    Mungu akulinde San makonda na azidi kukupandisha Veo had Veo na mungu asikuache

  • @user-wv6jv7ox9t
    @user-wv6jv7ox9t 24 дня назад +1

    Tupate wapi Tena mtu kama huy u ambae Roho anakaa ndani yake. Damu ya Yesu ikulinde baba kigan.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 дней назад

    Makonda oyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nakupenda sana ❤❤

  • @user-nr1vq4dp8v
    @user-nr1vq4dp8v 29 дней назад +4

    Makonda big-up

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 8 дней назад

    Mungu anayetumika ndani ya Makonda leo hii, ndiye yule aliyeikusudia Tanzania kuwa nchi ya haki.

  • @alexandernyankaira2990
    @alexandernyankaira2990 8 дней назад

    Mungu amlinde makonda ni kiongozi shupavu

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 26 дней назад +5

    JPM ndani ya makonda

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 Месяц назад +5

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
    ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
    ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 Месяц назад +4

    Nakufutilia nikiwa Zanzibar kazi inaonekana. Yajayo yanafurahisha

  • @NdesaPesa
    @NdesaPesa 14 дней назад

    MUNGU mlinde huyu baba Paulo Makonda mtetezi Wa wanyonge hakika ni mtu sahihi kwa Tanzania yetu si mkoa tu,Yani mimi hapa nacheka tuu❤❤❤❤

  • @twahaNasoro
    @twahaNasoro День назад

    Hongera sana mkuu wa mkoa

  • @SalumSeiph-rn6ho
    @SalumSeiph-rn6ho 23 дня назад +1

    Huyu jamaaa ana akili nyingi mno...asante Mungu kwa kutuletea magufuri kupitia makonda"

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 26 дней назад +4

    Huyu Makonda Hatariii...

  • @edwardmollel2972
    @edwardmollel2972 Месяц назад +2

    No one like makonda big up brother

  • @mtz5582
    @mtz5582 29 дней назад +2

    Wajanja:Ole Gunnar Solskjaer..fans ;all is forgiven..Hongera bro Makonda

  • @theopant916
    @theopant916 23 дня назад

    Tunamwona magufuli ndani ya makonda God protect you u are excellency keep going,

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 29 дней назад +2

    Swaga ndani hilo chizi hatari sana Mh Makonda tena anaisalilisha serikali yetu makini du!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Месяц назад +4

    😂😂😂 Duuu MH.Makonda pole sana kwakazi kubwa uliyonayo uyo jamaa kimaelezo kajikomiti bila kujijua siku zamwizi 40 fala wewe

  • @JamesKoreka
    @JamesKoreka Месяц назад +7

    Pigakazi mkuu umebarikiwa sana

  • @user-iv5gw1us4q
    @user-iv5gw1us4q 12 дней назад

    Mungu aendelee kukubariki Mtoto wa Mungu Makonda.

  • @KaizerKilagwa
    @KaizerKilagwa 10 дней назад

    Kuna watu mkuu hawajui namna Jinsi maisha yanavyo tegemeana mungu akusaidie na aiokoe Tanzania yote nchi yetu nzuri ipate uongozi unajua maumivu ya Watanzania hasta wakati wa kuililia Hali.

  • @julianavicent4845
    @julianavicent4845 26 дней назад +1

    Mungu akulinde makonda nakuombea.

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur Месяц назад +4

    Yaaani hawa wa ngazi za chini ni wanajikutaga sana kusumbua wananchi Na kuwainea watu kama sio kuwatesa coz ya vivyeo vyao vya duniani

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 28 дней назад +3

    Tick Jesus damn that's powerful

    • @paulolmabu7161
      @paulolmabu7161 23 дня назад

      Kama kaweza kushupaza shingo kwa makonda he kwa wananchi huyu tutamuweza au kuendelea kunyanyasika tu

  • @JAMESONMBIRO-mz7eb
    @JAMESONMBIRO-mz7eb 28 дней назад +1

    Mungu akulinde makonda

  • @annastaciamihambo8075
    @annastaciamihambo8075 27 дней назад +2

    RESPECT MAKONDA RC WA ARUSHA.

  • @mathewlive1372
    @mathewlive1372 23 дня назад

    Mana kwanza ncheke mana watu wanabwabwaja mbaya mbovu. Nakukubali Makonda , wababaishaji hawana majibu. God bless u all the day Mr RC

  • @isayambaga6551
    @isayambaga6551 22 дня назад

    Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha yetu nakuombea sana Mungu wetu akujaze nguvu na ujasiri kwenye kazi yako,

  • @user-vk8vh9xp5z
    @user-vk8vh9xp5z 24 дня назад

    Makonde hongera Sana baba kwa kazi unazofanya nikubwa Sana mungu akuzidishie umri na uwezo wakuwa saidia wanyonge ww ni baba wawanyonge

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 29 дней назад +1

    God bless you ❤

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 7 дней назад

    Kwa kweli huyu mtu angeulizia kwanza kwasababu Mh.Makonda ana uwezo mkubwa sana na technic za hali ya juu kuwabana hawa watendaji wasio na utu kabisa kazi yao kula tu! Kuna jambo kubwa Mungu atamtendea Makonda zaidi baadae

  • @SaraMathew-xd2vp
    @SaraMathew-xd2vp 29 дней назад +2

    Safi sana mh makonda watu wanazurumiwa haki zao na uwo mchezo unaanziaga ngazi ya kijiji. Wenyeviti ndio watu wanaoanza kushilikiana na viongozi wa juu adi kutaifisha rasilimali za watu kama ardhi. Natamani ungekuwepo Tanga wanamchi wa kata ya maweni kange wangepata haki yao. Maana wamezurumiwa mashamba yao yalioopo kiwanda cha wachina Rhino kilichopo kange. Walipambana wakaambiwa watalipwa na picha wakapgwa tangu mwaka juzi lakn adi leo awajalipwa na hata wakifuatilia wanazungushwa . Hakuna cha maana adi leo sijui watapaza sauti wapi.

  • @user-gx1dm5by6y
    @user-gx1dm5by6y 27 дней назад +1

    Hongeraa kwa kazi nzurii

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 28 дней назад +4

    Jama anahakili kumudanganya hapa kabisa. Piga kazi mkuu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪🫶🫶🫶

  • @mohamedjarwan
    @mohamedjarwan Месяц назад +12

    Makonda oyeee 2030 awe rais wetu inshallah💯👍

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Месяц назад +8

    Huyu jamaa leo sidhani kama amepata usingizi usiku huu😂😂😂😂

    • @user-hd5xz3gy2j
      @user-hd5xz3gy2j Месяц назад

      Yn awezi uona 😂😂😂😂😂

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 29 дней назад +4

      Alikuwa anajiamini akiamini anaweza kumdanganya kwa maneno mengi,hajui wengine Wana akili ya kushika unachokiongea

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z 20 часов назад

    Izo duaa zawazee.ndio zinakulinda.mungu azidi.kukuweka

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f 27 дней назад +1

    Mungu Akubariki sana kiongozi mkuu wa mkoa

  • @user-me3xb7jy6l
    @user-me3xb7jy6l 24 дня назад

    Mhe. Makonda nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana. Ningekuwa mimi huyo Mtu wa Ardhi ningemchukulia hatua kali sana. Jambo liko wazi kwamba watu wa Ardhi ni wababaishaji sana.

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 24 дня назад

    Brother makonda kazi unayo hapo duuuh hawa ndo viongoz nchi nzima walivyo hivyo daaah🙌🙌🙌

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 26 дней назад

    vzr makonda your my best

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Месяц назад +5

    Makonda waziri mkuu mtarajiwa ili aweze kutumbua huu uozo wafanyakazi wezi serikalini👍

  • @BabuuErick
    @BabuuErick Месяц назад +2

    Mungu akubariki sanaa makonda

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 29 дней назад

      Walioupande wetu ni wengi kuliko upande wa maadui. Piga Kazi. Ndo mana mashehe na maaskofu walikuja kukuombea, Kazi hi ni ngumu sana kijanaangu

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Месяц назад +2

    Makonda bhana si mchezo anafanya kazi haswa, safi sana issue za kudhulumu watu ni kwingi sana 😂😂😂😂😂😂😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад +5

    Watendaj wa hovyo Sana hao

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 Месяц назад

    hongera makonda

  • @baltazaltz1654
    @baltazaltz1654 20 дней назад

    Mungu ambariki sana mh

  • @user-gp3cv9pk8u
    @user-gp3cv9pk8u 23 дня назад

    Good job RC! Mungu akubariki mkuu! 👏🏾👏🏾👏🏾🥰🙏🏾🙏🏾✌🏾

  • @LucasNtalima
    @LucasNtalima 16 дней назад

    Jamani Makonda agombee urais Mungu ameshatupa Rais tiari makonda

  • @user-lt1tk8vc4d
    @user-lt1tk8vc4d 24 дня назад

    Mh makonda mungu akutangulie akutangulie akuepushe na kila shari za maadui mama aisha arusha

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Месяц назад

    Makonda Mungu akulinde

  • @Dominant97
    @Dominant97 25 дней назад

    Halooo kaumbuka,
    Ubarikiwe Makonda mheshimiwa