PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2022
- PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...
Hii ni sehemu ya tatu ya Dereva Catherine Sanga, ambaye ni Dereva wa wizara Ya Elimu kwa sasa, ametusimulia mambo Magumu aliyoyapitia hadi ndoto yake kutimia ya kuwa Dereva mahiri nchini.....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Sio kila mwanamke ana pepo la uzinzi
Huna baya na mtu mwalimu wangu hapa nilipo ni kwajuhudi zako natembea na mafunzo yako mungu akupe ukalimu huo huo uje uwasaidie na wenzangu wanaoanza nyuma yangu nakupenda na nakukumbuka sana♥️
Shahidi
Dada nimeipenda Sana iyo stori
Mnatumalizia mb banaaa story za uongo
Hongela Sana kwa kuyashinda majalibu Sana dada angu. Ujasili ulionao nimeupenda.
Leta habari .namba 4 pls
Sio kweli hiyo story tu
Duuh..!! Ukiona maharage yameiva basi Ujue mkaa umeteketea 🙌🙌🙌🙌
Waswahili bana if u know u know my friend
Napenda sana it's an interesting story na inainua sana, Naomba kama inawezekana kuwasiliana na Catherine sanga
Daaaah pambana Dada katika Maisha changamoto zipo
Hongera sana dada yangu
Amaizing story broo
Tatizo la watangazaji wa aina hii ni tatizo hawana communication skills hawasikilizi wanaingilia mazungumzo
Mpe terial dereva wako akufundishe vizuri mdogomdogo mpk ujue
Mmm hapo dada yangu hiyo shemeji bwana
Mungu akulinde dada
Pole sana dadaangu
Haiwezekani mwanaume na mwanamke mlalekitandakimoja usiku ukuche,ulipoambiwa uchague ungechagua kulala vyumba tofauti.
Juuu kila mtu ako na damuu 😂😂😂
Hongera Sana dada cat umeongea ukwel kabisa kwa sisi madereva wakike tumepitia magumu Sana ila tunawaomba wadogo zetu muwe Makin hivyo vitu vipo
Nakuomba in box
Pole sana Sister
Am Catherine naomba kuwasiliana na wajina Wangu 😢natama dada unishauri napitia magumu pia honestly namanisha plz naomba mawaslisno yako da Cathy 😢
Pole Sana dada
Hongela dada
Iwezekane isiweze Kane ndiyo kashakua dereva :hongera sana women drive
Safiii sana dada
Mpaka amemea ndevu jamani😭😭😭
Wanaume wengne Mungu anawaona😭😭
Hongera dada Ang japo umetukimbia kwenye maroli
Nimekubali
Namfahamu nilikuwa nae congo kwao morogoro
Pole sana
Hii ni stori masikio kazi yake kusikia .hakuna kielelezo chochote kinachoonyesha kama hawa watu hawafahamini. Kinachonishangaza kulala kitanda kimoja je vyumba vilikuwa vimejaa vyote
Baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana, dah! Unastahili tuzo kwakweli Dadaangu 😘
Tuzo ya nn wewe?huyo kaliwa vzr sema ndo wanatafuta story na views wawe wengi ili wao wapige pesa haaaa haaaaaaaaaa
@@majaliwakamala8216 mh ukweli utabaki kuwaukweli unafkir niwote wanawaza kuliwa mh pole kaka wengine hatahisia hatuna
Kiukweli hongera kwaujasili Wachache wanaweza ku
@@mmasymerry1233kabisa umeswma ukweli
Mimi naendesha roli za trailers 4 huku Australia 🇦🇺 mbona nafanya na mwanamke sijalala naye kati ya miaka 6
Wanaume wazuri tupo kabisa
Mimi siamini kama ameweza kukwepa vizingiti vyote hivyo, kuna dreva lazma Kala tu 😁
😂😂ndo hivyo
Sio wote
Wanaume mlio wengi mnawazaga pumba tu.
Mimi kama dereva mpaka tule 2
Kweli kabisa
Mamangu kipenz
Usikate tamaa dadangu.
Ongela.sana ssta.kwa.msimamo.wako
Broo kwa hii stori big up saaaan mwananguu
Naingojea part 4 bhana
Pole Sana dada mitihani hiyo
Kweli penenia Pana njia pole dd kwa kutokata Tamaa na mungu amekulipia
Mm nishawai lala kitanda kimoja na Binti usiku kucha na ckuthubutu hata kumgusa mguu
sawa lakini siri yako
Umeliwaaaa
Jamaniii 😭
Waaa majaribu haya
Naomba namba ya huyu dada
Sio kila mwanaume ana pepo la uzinzi.nililala na mwanamke bila ya kufanya chochote mpaka asubuhi
Sehemu ya 4
Ukweli wake ajua mungu,mi siujui🤗
Safi san mdad
Pole my dear ndio changamoto tunazokutana nazo izo
Ukwl upogo moyoni
Ataungeliwa usingesema bn
Ndiyo ukubali kulala chumba kimoja? Ilikuwa hujui nini kitatokea?
Kweli nimeamini kuna wadada majasili ndio mfano bola nimesikiliza kwa makini yaani Mungu aendelee kukuwezesha ktk yote uliyopitia hakika haukuwa wewe peke yako Mungu alikuwa nawe barikiwa kwa kututia moyo
Awo madada madereva wanafunzwa magari na wanaume wanatombwaaaaa awooo wanacoka mapenzi
The KKK o
Dah Kuna mtu umemtaja ni dada yangu anaitwa Anastasia daudi nilipotezana nae muda mlefu sana naomba mawasiliano yake please
Baba mzazi ndie mwanaume pekee ambae anamsaidia mtoto wake wa kike bila malipo
Baadhi tu
HUYO DEREVA NDIYO AMEKUWEKA ALAMA KWENYE SHINGO YAKO AU NI NDEVU,???, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Huyo inaweza kweli ukawah ulifaulu je mbelen
Dah bonge la story big up dada japo nahisi kuna sehem unadanganya inamaana wote hakuna aliyefanikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄 acha tusubiri part 4, tuskiye kama amekubali kusota mikumi ao amekubali kutowa mzigo
Hapo tumepigwa na kitu kizito haiwezekani kwani yeye hakuwa na hamu.
@@barakakusa7606 umeona eeh🤪
Utam
Namfahamu uyo mama
7:55 mwanaume anakasirika anachukua begi kwa hasira anaondoka then ww unaombewa kwenda kulala kwa wahudumu Ina maana chumba mkakiacha wazi hakina mtu au???
Congratulation to you.Endelea hivyo hivyo mwanangu. Kila la heri.UBARIKIWE!
Global tv
Mungu wasaidie waume kwani hakuna wa roho Safi kusaidiana Masada zetu, wafrica tupendane tutumikiane bila kuletea mwezako shida. Aliye juu binguni wabariki alioyo na roho Safi.
Huyonimnafiki ufundishwe galibure mshindewote kwemyegali Bure ulemichemsho unaulizwa tunalalaje unamwambia achague yeye ulifikili hanith yule uliyataka nahuenda mlimalizana unajifagiliatu
Pole wazazi walikuwa wa nakupa maneno machafu Sana yaan umeniliza mm😭😭😭
Umelia nini sasa?
Mtangazaji hujui kum-interview mtu coz unadakia Simulizi ya Mdada badala kuacha asimulie anavyotaka yeye mwenyewe na sio kumsemea Maneno!
iseee sio nzuri hata kidogo kwa wanaume
Akili za Wanaume kupenda Papuchii ni shiida sanaaa
Papuchi in jamiiforum voice
Acha ww Kuna tumeumbwa tofauti
😭😭 jamani hayo maneno walokwambia wazazi siyo pow
Dah wanaume wengine bana hakiri zetu tunazijua sisi wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana urafiki WA mshumaa na moto,mwanamke na mwanaume rijali kulala kitanda kimoja NO!
Hatukuwepo kwahyo hatuwezi kujua,,,me naamini hakuna mwanaume mnyonge hapo.
Mh anatupanga story inoge siri anaijua mwenyewe
Utu ni kazi kuupata sk hz
Kat ya Binti na bwana bila ndowa kati yao shetani ni watatu Kwa kuendesha umoja miongoni mwenu kutenda Kwa kutenda dhambi ,Kwa hivo watu tujitahadhari sana.
Mmmh sema TU we ni mbaya ndyo maana ungekuwa mrembo asingekuacha
Ulikwa umekaa tew love
Sisi ni wanadamu aliewaona mmelala kitanda kimoja ni mungu .na maelezo haya tumeyasikia ila hakimu wa yote haya ni mungu.ila mbona maeelezo yako yote hayaonyeshi ukakamavu kwa mwanaume?
Napenda maongezi ya Dada
Dada amekuwa mkweli sana... ila kutaja jina la rafiki yake wakike na mumewe jinsi alivyofanya nadhani sio sahihi, angemtaja mume wa rafik tu.
Nahisi hapo ni kujisahau tuu
Kosa siyo yeye kosa ni mhariri alitakiwa kumute jina
YAP, ILIBIDI WA EDIT HAPO....HAIJAKAA VIZURI KABISA
Pongezi kwa huyu mama umepitia kweli mungu nimwema shukuru🙏🙏
Yani mimi tuu ndo naeza lala na mwanamke chumba kimoja bila hisiya
Wadada wenye ndevu na bahati za maisha
Tuko hapaaaa 😂😂😂
Nisafiri na huyu dada kutoka Dar had arusha Yuko poa saan
Mmmmmmh
Uongooo huo umeenda kwa hiari yako nisiri yk hiyo
Mtangazaji acha kiherehere fanya mahojiano kitaaluma unaharibu ladha ya interview
Hahahahaha cc wanaume bhan hakuna jambo latushinda aixe
Da Catherine kafanana na mpoto jamani
Mi siamini😂😂....Mungu anajua 😂
kweli kabisaaa
maandalizi yotee yanafanyiakaa alafu mpira hauchezezwi...!!!
lakini sawa wanaume tusio penda kulazimisha sanaa kama mimi
{ukininyima wewe mwenzio atanipaa}
Bora ulivyoenda uko maana dah! Sasa umependeza asee piga kazi...
Mwandishi msomi Columbus Le Baba's nakubali xana
Inavutia sana pia inatisha
Ulivyo mrembo hivyo angekuachaje ??? Na wewe bhana 😊
WANAWAKE HUWA N WAONGO MNO..WE UNATAKA KAZI KWA MTU BURE BURE TUU JMN
Mbona dereva wa simera ujamtaja
Weka full story unatukata stim.
Hakufanikiwa kweli? 😄😄😄