PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 апр 2022
  • PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...
    Hii ni sehemu ya tatu ya Dereva Catherine Sanga, ambaye ni Dereva wa wizara Ya Elimu kwa sasa, ametusimulia mambo Magumu aliyoyapitia hadi ndoto yake kutimia ya kuwa Dereva mahiri nchini.....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 240

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 2 года назад +8

    Sio kila mwanamke ana pepo la uzinzi

  • @tumainmazengo952
    @tumainmazengo952 2 года назад +12

    Huna baya na mtu mwalimu wangu hapa nilipo ni kwajuhudi zako natembea na mafunzo yako mungu akupe ukalimu huo huo uje uwasaidie na wenzangu wanaoanza nyuma yangu nakupenda na nakukumbuka sana♥️

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад +4

    Dada nimeipenda Sana iyo stori

  • @johnmlay4364
    @johnmlay4364 4 дня назад

    Mnatumalizia mb banaaa story za uongo

  • @titomwalongo9810
    @titomwalongo9810 2 года назад +3

    Hongela Sana kwa kuyashinda majalibu Sana dada angu. Ujasili ulionao nimeupenda.

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 2 года назад +4

    Leta habari .namba 4 pls

  • @omaryzumo6199
    @omaryzumo6199 7 дней назад

    Sio kweli hiyo story tu

  • @gediucgedius8657
    @gediucgedius8657 2 года назад +5

    Duuh..!! Ukiona maharage yameiva basi Ujue mkaa umeteketea 🙌🙌🙌🙌

  • @ibrahimkalume5235
    @ibrahimkalume5235 Год назад +1

    Napenda sana it's an interesting story na inainua sana, Naomba kama inawezekana kuwasiliana na Catherine sanga

  • @omarymwimba5362
    @omarymwimba5362 2 года назад +4

    Daaaah pambana Dada katika Maisha changamoto zipo

  • @lamayanaroimen3885
    @lamayanaroimen3885 2 года назад +3

    Hongera sana dada yangu

  • @alfredkivuyo2739
    @alfredkivuyo2739 2 года назад +3

    Amaizing story broo

  • @jacksonmillengo1913
    @jacksonmillengo1913 Год назад +1

    Tatizo la watangazaji wa aina hii ni tatizo hawana communication skills hawasikilizi wanaingilia mazungumzo

  • @abubakar_aj
    @abubakar_aj 2 года назад +1

    Mpe terial dereva wako akufundishe vizuri mdogomdogo mpk ujue

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 2 года назад +5

    Mmm hapo dada yangu hiyo shemeji bwana

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Год назад

    Mungu akulinde dada

  • @chochotekitu-hf6of
    @chochotekitu-hf6of 7 дней назад

    Pole sana dadaangu

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 2 года назад +7

    Haiwezekani mwanaume na mwanamke mlalekitandakimoja usiku ukuche,ulipoambiwa uchague ungechagua kulala vyumba tofauti.

  • @khadijakadunda6233
    @khadijakadunda6233 2 года назад +7

    Hongera Sana dada cat umeongea ukwel kabisa kwa sisi madereva wakike tumepitia magumu Sana ila tunawaomba wadogo zetu muwe Makin hivyo vitu vipo

  • @nuruumturutz5783
    @nuruumturutz5783 Год назад

    Pole sana Sister

  • @catherinecharlz2814
    @catherinecharlz2814 22 дня назад

    Am Catherine naomba kuwasiliana na wajina Wangu 😢natama dada unishauri napitia magumu pia honestly namanisha plz naomba mawaslisno yako da Cathy 😢

  • @ytgg4006
    @ytgg4006 2 года назад

    Pole Sana dada

  • @benjaminmuga2576
    @benjaminmuga2576 2 года назад +1

    Hongela dada

  • @amisikisoma715
    @amisikisoma715 Год назад

    Iwezekane isiweze Kane ndiyo kashakua dereva :hongera sana women drive

  • @wanejohnmsukwa6590
    @wanejohnmsukwa6590 Год назад

    Safiii sana dada

  • @amoswekesa1476
    @amoswekesa1476 2 года назад +2

    Mpaka amemea ndevu jamani😭😭😭

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 2 года назад +14

    Wanaume wengne Mungu anawaona😭😭

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 2 года назад +1

    Hongera dada Ang japo umetukimbia kwenye maroli

  • @abdulyjuma8083
    @abdulyjuma8083 2 года назад

    Nimekubali

  • @khatibuKishoka
    @khatibuKishoka 2 дня назад

    Namfahamu nilikuwa nae congo kwao morogoro

  • @gsurasa6366
    @gsurasa6366 Год назад

    Pole sana

  • @user-sk6kf7mz6o
    @user-sk6kf7mz6o 11 дней назад

    Hii ni stori masikio kazi yake kusikia .hakuna kielelezo chochote kinachoonyesha kama hawa watu hawafahamini. Kinachonishangaza kulala kitanda kimoja je vyumba vilikuwa vimejaa vyote

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +6

    Baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana, dah! Unastahili tuzo kwakweli Dadaangu 😘

    • @majaliwakamala8216
      @majaliwakamala8216 2 года назад +1

      Tuzo ya nn wewe?huyo kaliwa vzr sema ndo wanatafuta story na views wawe wengi ili wao wapige pesa haaaa haaaaaaaaaa

    • @mmasymerry1233
      @mmasymerry1233 2 года назад

      @@majaliwakamala8216 mh ukweli utabaki kuwaukweli unafkir niwote wanawaza kuliwa mh pole kaka wengine hatahisia hatuna

    • @geofreymatei8345
      @geofreymatei8345 Год назад

      Kiukweli hongera kwaujasili Wachache wanaweza ku

    • @boashamah3642
      @boashamah3642 9 месяцев назад

      ​@@mmasymerry1233kabisa umeswma ukweli
      Mimi naendesha roli za trailers 4 huku Australia 🇦🇺 mbona nafanya na mwanamke sijalala naye kati ya miaka 6
      Wanaume wazuri tupo kabisa

  • @thomsanga7956
    @thomsanga7956 2 года назад +9

    Mimi siamini kama ameweza kukwepa vizingiti vyote hivyo, kuna dreva lazma Kala tu 😁

  • @user-gx1me7ce3m
    @user-gx1me7ce3m 12 дней назад

    Mamangu kipenz

  • @hamzabora9390
    @hamzabora9390 2 года назад +1

    Usikate tamaa dadangu.

  • @rebekamwambatata9512
    @rebekamwambatata9512 Год назад

    Ongela.sana ssta.kwa.msimamo.wako

  • @allymasuke1543
    @allymasuke1543 2 года назад +3

    Broo kwa hii stori big up saaaan mwananguu

  • @lamaifanuel9221
    @lamaifanuel9221 2 года назад +2

    Naingojea part 4 bhana

  • @zakariamsilu2333
    @zakariamsilu2333 Год назад

    Pole Sana dada mitihani hiyo

  • @allymzee6589
    @allymzee6589 9 месяцев назад

    Kweli penenia Pana njia pole dd kwa kutokata Tamaa na mungu amekulipia

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 2 года назад +1

    Mm nishawai lala kitanda kimoja na Binti usiku kucha na ckuthubutu hata kumgusa mguu

  • @michaelhaule3158
    @michaelhaule3158 2 года назад +1

    sawa lakini siri yako

  • @bonnycostacosta7339
    @bonnycostacosta7339 2 года назад +4

    Umeliwaaaa

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 2 года назад +1

    Jamaniii 😭

  • @jacintagitau4105
    @jacintagitau4105 2 года назад +1

    Waaa majaribu haya

  • @Mosses8
    @Mosses8 11 дней назад

    Naomba namba ya huyu dada

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 19 дней назад

    Sio kila mwanaume ana pepo la uzinzi.nililala na mwanamke bila ya kufanya chochote mpaka asubuhi

  • @imeldaseki8681
    @imeldaseki8681 Год назад

    Sehemu ya 4

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 2 года назад +3

    Ukweli wake ajua mungu,mi siujui🤗

  • @richardkigelesi3158
    @richardkigelesi3158 Год назад

    Safi san mdad

  • @user-ib6jp7ds9h
    @user-ib6jp7ds9h 4 месяца назад

    Pole my dear ndio changamoto tunazokutana nazo izo

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 года назад +2

    Ukwl upogo moyoni

  • @ramadhanichuka3583
    @ramadhanichuka3583 2 года назад +1

    Ataungeliwa usingesema bn

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 10 дней назад

    Ndiyo ukubali kulala chumba kimoja? Ilikuwa hujui nini kitatokea?

  • @leahmoses2625
    @leahmoses2625 2 года назад +6

    Kweli nimeamini kuna wadada majasili ndio mfano bola nimesikiliza kwa makini yaani Mungu aendelee kukuwezesha ktk yote uliyopitia hakika haukuwa wewe peke yako Mungu alikuwa nawe barikiwa kwa kututia moyo

    • @izeremupenzi4183
      @izeremupenzi4183 2 года назад

      Awo madada madereva wanafunzwa magari na wanaume wanatombwaaaaa awooo wanacoka mapenzi

    • @annndinda5724
      @annndinda5724 2 года назад

      The KKK o

  • @user-ex7wt5xr7h
    @user-ex7wt5xr7h 8 месяцев назад

    Dah Kuna mtu umemtaja ni dada yangu anaitwa Anastasia daudi nilipotezana nae muda mlefu sana naomba mawasiliano yake please

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 2 года назад +3

    Baba mzazi ndie mwanaume pekee ambae anamsaidia mtoto wake wa kike bila malipo

  • @user-we3or9ol4o
    @user-we3or9ol4o 22 дня назад

    HUYO DEREVA NDIYO AMEKUWEKA ALAMA KWENYE SHINGO YAKO AU NI NDEVU,???, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @DeograsiasMdendem-lj5lo
    @DeograsiasMdendem-lj5lo 22 дня назад

    Huyo inaweza kweli ukawah ulifaulu je mbelen

  • @advelaalex9389
    @advelaalex9389 2 года назад +4

    Dah bonge la story big up dada japo nahisi kuna sehem unadanganya inamaana wote hakuna aliyefanikiwa

    • @kikorembajo2078
      @kikorembajo2078 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @raissakwizera6788
      @raissakwizera6788 2 года назад

      😄😄😄 acha tusubiri part 4, tuskiye kama amekubali kusota mikumi ao amekubali kutowa mzigo

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 2 года назад +2

      Hapo tumepigwa na kitu kizito haiwezekani kwani yeye hakuwa na hamu.

    • @advelaalex9389
      @advelaalex9389 2 года назад

      @@barakakusa7606 umeona eeh🤪

    • @user-bn3yn8uj7p
      @user-bn3yn8uj7p 10 дней назад

      Utam

  • @djremyakatheboss1365
    @djremyakatheboss1365 Год назад

    Namfahamu uyo mama

  • @amanipeace6007
    @amanipeace6007 2 года назад +2

    7:55 mwanaume anakasirika anachukua begi kwa hasira anaondoka then ww unaombewa kwenda kulala kwa wahudumu Ina maana chumba mkakiacha wazi hakina mtu au???

  • @athumanndalami1472
    @athumanndalami1472 Год назад +1

    Congratulation to you.Endelea hivyo hivyo mwanangu. Kila la heri.UBARIKIWE!

  • @jumasalehe7320
    @jumasalehe7320 Год назад +1

    Global tv

  • @naomymose1866
    @naomymose1866 Год назад

    Mungu wasaidie waume kwani hakuna wa roho Safi kusaidiana Masada zetu, wafrica tupendane tutumikiane bila kuletea mwezako shida. Aliye juu binguni wabariki alioyo na roho Safi.

    • @iddititus3414
      @iddititus3414 Год назад

      Huyonimnafiki ufundishwe galibure mshindewote kwemyegali Bure ulemichemsho unaulizwa tunalalaje unamwambia achague yeye ulifikili hanith yule uliyataka nahuenda mlimalizana unajifagiliatu

  • @zaujiajuma8260
    @zaujiajuma8260 2 года назад +3

    Pole wazazi walikuwa wa nakupa maneno machafu Sana yaan umeniliza mm😭😭😭

  • @goldengordian6835
    @goldengordian6835 2 года назад +2

    Mtangazaji hujui kum-interview mtu coz unadakia Simulizi ya Mdada badala kuacha asimulie anavyotaka yeye mwenyewe na sio kumsemea Maneno!

  • @edmundmmuniedmund1623
    @edmundmmuniedmund1623 Год назад

    iseee sio nzuri hata kidogo kwa wanaume

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +5

    Akili za Wanaume kupenda Papuchii ni shiida sanaaa

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Год назад

    😭😭 jamani hayo maneno walokwambia wazazi siyo pow

  • @miritonbikura5487
    @miritonbikura5487 2 года назад +5

    Dah wanaume wengine bana hakiri zetu tunazijua sisi wenyewe

  • @user-kd5xr4ii4q
    @user-kd5xr4ii4q 13 дней назад

    Hapana urafiki WA mshumaa na moto,mwanamke na mwanaume rijali kulala kitanda kimoja NO!

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 2 года назад +1

    Hatukuwepo kwahyo hatuwezi kujua,,,me naamini hakuna mwanaume mnyonge hapo.

  • @babalad983
    @babalad983 Год назад

    Mh anatupanga story inoge siri anaijua mwenyewe

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Utu ni kazi kuupata sk hz

  • @jaabirisaacrumanyika2953
    @jaabirisaacrumanyika2953 Год назад +1

    Kat ya Binti na bwana bila ndowa kati yao shetani ni watatu Kwa kuendesha umoja miongoni mwenu kutenda Kwa kutenda dhambi ,Kwa hivo watu tujitahadhari sana.

  • @haridiabdallah7575
    @haridiabdallah7575 Год назад

    Mmmh sema TU we ni mbaya ndyo maana ungekuwa mrembo asingekuacha

  • @bonifacemwaura8570
    @bonifacemwaura8570 2 года назад

    Ulikwa umekaa tew love

  • @user-sk6kf7mz6o
    @user-sk6kf7mz6o 11 дней назад

    Sisi ni wanadamu aliewaona mmelala kitanda kimoja ni mungu .na maelezo haya tumeyasikia ila hakimu wa yote haya ni mungu.ila mbona maeelezo yako yote hayaonyeshi ukakamavu kwa mwanaume?

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 2 года назад +4

    Napenda maongezi ya Dada

  • @deus8629
    @deus8629 2 года назад +8

    Dada amekuwa mkweli sana... ila kutaja jina la rafiki yake wakike na mumewe jinsi alivyofanya nadhani sio sahihi, angemtaja mume wa rafik tu.

    • @yrwa313
      @yrwa313 2 года назад +2

      Nahisi hapo ni kujisahau tuu

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 2 года назад +1

      Kosa siyo yeye kosa ni mhariri alitakiwa kumute jina

    • @songweairport7602
      @songweairport7602 2 года назад

      YAP, ILIBIDI WA EDIT HAPO....HAIJAKAA VIZURI KABISA

  • @nellyckoros6042
    @nellyckoros6042 2 года назад

    Pongezi kwa huyu mama umepitia kweli mungu nimwema shukuru🙏🙏

  • @burhanaweiss8789
    @burhanaweiss8789 Год назад

    Yani mimi tuu ndo naeza lala na mwanamke chumba kimoja bila hisiya

  • @sanjaeverist976
    @sanjaeverist976 2 года назад +5

    Wadada wenye ndevu na bahati za maisha

  • @alhajimaziku9399
    @alhajimaziku9399 2 года назад +1

    Nisafiri na huyu dada kutoka Dar had arusha Yuko poa saan

  • @user-wg5so4sd1e
    @user-wg5so4sd1e Месяц назад

    Mmmmmmh

  • @user-wg5so4sd1e
    @user-wg5so4sd1e Месяц назад

    Uongooo huo umeenda kwa hiari yako nisiri yk hiyo

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 Год назад

    Mtangazaji acha kiherehere fanya mahojiano kitaaluma unaharibu ladha ya interview

  • @abdullahyunus9235
    @abdullahyunus9235 2 года назад

    Hahahahaha cc wanaume bhan hakuna jambo latushinda aixe

  • @user-hz9tx1mi1h
    @user-hz9tx1mi1h 18 дней назад

    Da Catherine kafanana na mpoto jamani

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz 2 года назад +2

    Mi siamini😂😂....Mungu anajua 😂

    • @bakarihamdouny1956
      @bakarihamdouny1956 2 года назад

      kweli kabisaaa
      maandalizi yotee yanafanyiakaa alafu mpira hauchezezwi...!!!
      lakini sawa wanaume tusio penda kulazimisha sanaa kama mimi
      {ukininyima wewe mwenzio atanipaa}

  • @ochutz9959
    @ochutz9959 2 года назад +2

    Bora ulivyoenda uko maana dah! Sasa umependeza asee piga kazi...

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 года назад +2

    Mwandishi msomi Columbus Le Baba's nakubali xana

  • @bakarikikwaruto6248
    @bakarikikwaruto6248 2 года назад

    Inavutia sana pia inatisha

  • @glorymbwambo2888
    @glorymbwambo2888 Год назад

    Ulivyo mrembo hivyo angekuachaje ??? Na wewe bhana 😊

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 2 года назад +1

    WANAWAKE HUWA N WAONGO MNO..WE UNATAKA KAZI KWA MTU BURE BURE TUU JMN

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr 21 день назад

    Mbona dereva wa simera ujamtaja

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 года назад

    Weka full story unatukata stim.

  • @qassim1465
    @qassim1465 Год назад

    Hakufanikiwa kweli? 😄😄😄