MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwanjelwa aliyejulikana kwa jina la Brayan Mwakalukwa na Ezekiel Mwanje mwakilishi wa mmiliki wa anayedaiwa kuuziwa Nyumba hiyo ambayo ni mali halali ya Li Shi Cai ambaye ni mwekezaji raia wa China. Aidha Waziri Silaa amaeagiza kutafutwa mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nida ili aweze kueleza jinsi alivyozibeba milioni 80 ambazo ni pesa za mauzo ya nyumba ya Li Shi Cai.
    Waziri ametoa maagizo hayo mapema leo alipotembelea eneo hilo lililopo katika mtaa wa Mwanjelwa jijini Mbeya ili kusikiliza na kutatua mgogoro huo..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 418

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 месяцев назад +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @maweinctv2645
      @maweinctv2645 5 месяцев назад +1

      ok

    • @ExcitedJapaneseMaples
      @ExcitedJapaneseMaples 5 месяцев назад

      11​@@maweinctv2645

    • @stevesafarishow
      @stevesafarishow 4 месяца назад

      Hapo kwa rode wireless go, punguza db (volume) hadi -6 au -9 Kama uli nje na watu wanazungumza kwa sautibya juu. Ukiwa ndani ndio uweke -3 ama 0. Otherwise, kazi safi sana👏🏾

    • @michaelmahaja
      @michaelmahaja 4 месяца назад

      Nitakuja

  • @MasoudSalum-rb3ts
    @MasoudSalum-rb3ts 5 месяцев назад +37

    Huyu waziri mwenyezi mungu Akipenda Akiwa hai 2030 Atakua Raisi wetu

    • @emmanuelndotela9412
      @emmanuelndotela9412 4 месяца назад

      Mchina hana haki ya kumiliki Ardhi Tanzania sheria zetu za inchi zimeeleza wazi kabisa kuwa ni watanzania tu ndiyo wenye sifa ya kumiliki Ardhi.

    • @alfredymalata269
      @alfredymalata269 4 месяца назад

      watu wa ivi hawatoboagiii ndugu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 месяца назад +1

      ​@emmanuelndotela9412 ishapitishwa mgeni hanamiliki ardhi bila was was ndugu ..na uyo mamaaenu haNvyozunguka nchi za 😂😂lazm wagen wamiliki

    • @VeronicaPaul-l8m
      @VeronicaPaul-l8m 4 месяца назад +1

      Kabisa amekuwa akitenda haki kweli these days

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 месяца назад

      ​@@emmanuelndotela9412 Mtu yeyote anaekuja kufanya biashara anaweza kumiliki Ardhi kwa ajili ya biashara.
      Na kama huyo mchina ameishi Tanzania muda mrefu akaomba uraia Tanzania akakubaliwa ana haki ya kumiliki ardhi kama mtanzania mwingine.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 5 месяцев назад +53

    Apewe haki yake tu bila kujali ni mchina au laaa sheria ifate mkondo wake

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 5 месяцев назад +22

    Mh, Jerry Slaa, popote ulipo Mungu akusaidie na kukulinda ili uendelee kutetea watanzania.

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 5 месяцев назад +11

    Haki itendekeee hata kama ni mchinaaaaa❤❤❤❤

  • @MadimbwalaMafhtaa
    @MadimbwalaMafhtaa 5 месяцев назад +29

    Mama tunaomba uchunge huyu waziri wasikuretee fitina zao kazi unayo fanya na mungu akusaidie mm adi ni eria wageni ni ndugu zetu

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 5 месяцев назад +12

    Mungu akulinde Jerry Silaa na hakika tuna muomba Mungu pia asikuhamishe kwenye hiyo wizara. IDARA YA ARDHI IMEJAA DHULUMA SANA NA INATOKANA NA WATENDAJI WENYE DHULUMA KAMA HAO.

  • @AyubuMmari
    @AyubuMmari 5 месяцев назад +23

    Mungu akupe maisha marefu waziri slaa tunakupenda unaijua haki hutaki maskini aonewe

  • @margaridaagostinhoacaciona3656
    @margaridaagostinhoacaciona3656 5 месяцев назад +6

    Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana tuna serikali yetu ipoo imara alhaamdulilaah naishukuru serikali ya Tanzania ipoo imara alhaamdulilaah mama Samia rais wa watanzani viongozi wapo imara sana na haki ipooo hapo mchina ana pata haki yake alhaamdulilaah serikali ya Tanzania naishukuru sanaaa alhaamdulilaah

  • @mpetafrank7195
    @mpetafrank7195 5 месяцев назад +23

    Duuuh hii nchi ngumu sana na wananchi wake hongera waziri nyoosha mwenye haki yake apewe wasimuonee mchina wa watu

  • @RashidMilanzi-ht1wb
    @RashidMilanzi-ht1wb 5 месяцев назад +31

    Docta silaa wewe ni wazili ulie na hofu ya mungu naomba raisi Samia asikuamishe wizala hiyo tia ndani hao wapigaji watendaji wa Haina hiyo wapo wengi sana mungu akupe maisha malefu japo kua wazili awadumu wewe mungu akupe miasha malefu

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 4 месяца назад +3

    Wachina wote kufa huko corona😅😅😅😅😅dah haya maisha sio kabisa watu wanajiongeza

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 2 месяца назад +1

    Nakubali tanzania kwa lugha moja From M23

  • @RoseMallya-dd6uu
    @RoseMallya-dd6uu 5 месяцев назад +23

    Mhs. silaa Mungu akulinde..kwani unawasaidia San wananchi kupata haki zao.

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 5 месяцев назад

      Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi /wizara kwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 5 месяцев назад

      🎉🎉🎉​@@joycekisamo4896

  • @bakarially253
    @bakarially253 5 месяцев назад +9

    Hongera sana Wazira Allah akulinde

  • @dannylema3125
    @dannylema3125 5 месяцев назад +3

    Wabongo njaa Kali Sana Na tutazidi kuto aminiwa Na watu weupe

  • @ramadhanomar6757
    @ramadhanomar6757 4 месяца назад +1

    Bw Waziri. Mwenyewezi Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu. Amiin. Endelea kutenda Haki Kaka.
    From Mombasa Island 🏝️ Kenya.

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 5 месяцев назад

    VIVA MH. WAZIRI SILAA....WAHUSIKA WOTE HAO NI MATAPELI....WAMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUMDHULUMU HUYO MCHINA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

  • @WilliamJohn-c4y
    @WilliamJohn-c4y 5 месяцев назад +1

    Hapo ume chemka mchina ata baki kua mchina akamiliki aridhi China 🤣🤣🤣🤣

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 4 месяца назад +1

    Chezea na mwenye haki wewe. Jackchan mpaka kajieleza kwa kiswahili 😂😂😂

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 5 месяцев назад +6

    Kweli haki haizami. Jack chang amenga'ngana kuongea kujieleza Kiswahili mpaka kapata haki yake.Pongezi waziri Kwa kutenda haki.

  • @florentinigawday1094
    @florentinigawday1094 5 месяцев назад +1

    Mama samia kwa huyu waziri hukukosea kumuweka,hongera mama yetu samia ,tunakupendaaaa

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 4 месяца назад

    Ahsantesana kiongozi dhulumasio nzuri Mungu anatuonawote.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 месяцев назад +1

    Waziri wng silaha nakupendaga Sana ..mungu akulinde Kwa kutetea haki za watu safi Sana kaka ..endelea kuwasimamia wanyonge.. nakupenda Sana baba Kwakusimamia haki zawatu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 месяцев назад +1

    Dhuruma sio nzuri..waziri silaha washughulikie wote wadhurumishi

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 5 месяцев назад +4

    Kiukweli wenyeviti wa Mitaa wanajitafutia matatizo wenyewe, hivi ni sheria ipi kwenye mambo ya Ardhi wao wanahusika hata kiasi cha kujifanya madalali au wanajua saaaaaana. safi sana Waziri ukweli binafsi siwapendi wenyeviti wote wanaojihusisha kwenye matatizo na mizozo pamoja na migogoro ya Ardhi

    • @SharifuJuma-zj6ww
      @SharifuJuma-zj6ww 5 месяцев назад

      Wanajifanya wao wenyeji wanaujua mtaa navitu vyake

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 5 месяцев назад

    Mkurugenzi Mbeya, Brother John! Nakukubali sana, kuna pahala una feel maumivu ya watu na kusimama kama wakili wao

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 5 месяцев назад +1

    Hongera sana 😊 muheshimiwa

  • @louisisd1090
    @louisisd1090 5 месяцев назад +2

    Grobal tv mnanikosha nimejikuta namfatilia sana mh silaha sasa hivi na mna mtendea vizuri kuonyesha full length video

  • @allyadam7355
    @allyadam7355 5 месяцев назад

    Yani huyu kiongoz wallah nmetokea kumuelewa sana daaah hongera kiongoz bora

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 месяцев назад +1

    Angalia huyu mwenyekiti anaonyesha mwizi

  • @paulinef.millanzinana8279
    @paulinef.millanzinana8279 5 месяцев назад

    Hongera sana baba hakika Mchina haki yake atapata kwa kupitia wewe na Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukutunza

  • @WilliamNkondokaya
    @WilliamNkondokaya 5 месяцев назад

    Ni kweli Mungu amlinde Mh. Slaa, waziri wa Ardhi

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 месяца назад

    Mungu atakusaidia

  • @OmesmoNaikoyo
    @OmesmoNaikoyo 5 месяцев назад

    Hongera zake Sana Mh Waziri Silaa, endelea kuwapambania wananchi wanaonewa

  • @pedwin6187
    @pedwin6187 5 месяцев назад +2

    Jery Slaa you doing good job
    Hongera

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 5 месяцев назад

    Hii kumbe wezi naajsmbazi wako kila sehemu..
    SubhanaAllah..

  • @MariamMbarak-i6e
    @MariamMbarak-i6e 5 месяцев назад

    Kazi nzuri Waziri nakuombea Mungu akusaidie Na akulinde

  • @saidaahmedshapi7783
    @saidaahmedshapi7783 5 месяцев назад +1

    Kenyan politician should learn from Tanzanian politicians God bless them🇰🇪

  • @abibumussa8808
    @abibumussa8808 4 месяца назад

    Tuna mjomba mwenyezi. Mungu mtumufu yeyote anae zurumu haki. Za wananchi aridhi nyumba basi mwenyezi mungu amlaani hapahapa duniani nakesho akhera hu

  • @saumsheshe4585
    @saumsheshe4585 5 месяцев назад

    Mungu akulinde na maadui waziri wetu kwa wema uutendao.

  • @graceamos7337
    @graceamos7337 5 месяцев назад +2

    Da Dunia ina mambo

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 5 месяцев назад

    Hongera sana waziri namna hii ndo usimamizi mzuri wa sherikali

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 5 месяцев назад +1

    Maelezo ya mwenyekiti. Sio ya kweli. Nimependa sana maamuzi yalio chukuliwa

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 5 месяцев назад +1

    Ila mchina anatia huruma! 😢 mpeni haki yake bwana chongwanchai

  • @AmaniAbel
    @AmaniAbel 5 месяцев назад +1

    safi sana

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 5 месяцев назад +1

    Kazi kweli kweli duuu

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 4 месяца назад

    Mwenyezi mungu atuzidishie heshima na roho ya huruma hivyo

  • @hamisiamani962
    @hamisiamani962 4 месяца назад

    Jerry Mungu akuweke Sana Kaka kwa hakika Nakuelewa Sana kwauongzi wako uliotukukq

  • @wamburaneema-w7r
    @wamburaneema-w7r 5 месяцев назад +3

    china yote kufaa😂😂 jamani tamaa mbaya sana😢

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 5 месяцев назад +1

    Jerry uko vizuri sana

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 5 месяцев назад +1

    Nikweli kabisa wasituchafulie inchi wanpe mchina haki yake make kuna watanzania wenzetu china na inchi zingine kwa ujumla haki ioatikani by fossil nikiwa Nairobi Kenya

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 5 месяцев назад +5

    Tanzania ya mama Samia hiyooo.Haki mbele kwa mbelee.Big up Mhe.Slaa.

  • @annadavid1445
    @annadavid1445 5 месяцев назад +6

    Safi sana mbunge wangu shikilia hapo hapo. Hao wadhurumaji na majizi papa uwashikishe adabu. Wewe na mama Samia 25 tutavumilia foleni kitaeleweka tuu.

    • @Neema935
      @Neema935 5 месяцев назад

      😂😂😂😂❤kabisaa.❤

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 5 месяцев назад +2

    Haki ya mtu haipotei. Mchina kapata haki yake

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 4 месяца назад

    Aise waziri slaa kwanza bright hlf second fear enuf aise mungu amuweke huyu waziri siku moja awe rais hii nchi itasogea mbele sana

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 4 месяца назад

    Haya John nchimbi nakuona .katka ubora wako .asante kanzi nzuri.from 🇴🇲

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 4 месяца назад +1

    70 naa kwenye mfuko jamaa is very humble

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 месяца назад

    Aseeee pain kinomaaaa😢😢😢

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 5 месяцев назад +1

    That's our Jerry the brilliant

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 5 месяцев назад

    Congratulations jerry Allah akuongoze ktk haq

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 5 месяцев назад

    waziri wetu huyu sasa hawajakosea Allah amsimamie kwa kweli anatufaa ni mkweli na anafanya haki ila tumuombee mungu mafisadi wasimtie majungu ili atolewe maana tunajua wapo tunakuomba mama samia mama huyu tuachie hapa anaweza hapo iyo idara ngumu tunajua sisi wazawa hapa dar kwakweli ubabaishaji upo mama samia mungu akusimamie huyu waziri msimamie anaweza mama huyu tuachie mafisadi mungu awalani mhh mtihani wallah

  • @barakajotam
    @barakajotam 4 месяца назад

    Dhuruma sio nzuri pia watanzania tujaribu kutenda kwa uwaminifu yani walipo ona roho mbona harudi na tena mzehe wakajua atakua amekufacorona

  • @lolymkongo4721
    @lolymkongo4721 4 месяца назад

    Safi sana tanzania ayo djoo sheria safi.

  • @DicksonNdalutv
    @DicksonNdalutv 4 месяца назад

    Nakukubali sana kiongoz

  • @shikuhata
    @shikuhata 4 месяца назад

    Safi sana waziri na mkurugenzi mpambanaji

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 5 месяцев назад +1

    Tumwombeeni Yuko vizuri

  • @MadimbwalaMafhtaa
    @MadimbwalaMafhtaa 5 месяцев назад +4

    Wabongo unasumbua Sana ndugu zetu wageni wa napata shida Sana kwajiri ya watu wasio waaminifu

  • @KaziTutu
    @KaziTutu 5 месяцев назад

    Waziri Mungu akubariki

  • @alphonceo3571
    @alphonceo3571 5 месяцев назад

    Kutoka Kenya, hongera kwa wahudumu wa Idara husika (Mahakama) iliyo fanya uchunguzi ili kutekeleza haki kwa Mchina mwekezaji.

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 5 месяцев назад +3

    Mungu akulinde waziri wetu slaah

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 5 месяцев назад

    God bless u broo mungu akusimamie nimekuwa nikikufuatilia unafaa sana ,ww nimtenda haki wa kweli

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад +5

    mama samia huyu wazili muache kwenye hii wizara mpaka asitaafu usimguse

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 5 месяцев назад +2

      Kabisaaaaa, angalau kwa miaka 5; hii nchi itapangika na kueleweka👏🏽 👏🏽 👏🏽

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад +4

      sasa kama samia angekua kama magufuli nahuyu wazili mambo yangekua saf sana

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin 5 месяцев назад +1

    Asantee. Kiongozi.

  • @JeanBaptisteBasumingera
    @JeanBaptisteBasumingera 5 месяцев назад

    Safi saaana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AmourAmour-f4c
    @AmourAmour-f4c 5 месяцев назад

    Safi sana raisi samia tunataka vyuma kamahivi ila kuna sheria gani mgeni kuuziwa eneo?

  • @MpajiAlisoni
    @MpajiAlisoni 5 месяцев назад

    Mungu tunaomba tulindie viongozi eazalendo wa kweli maana hii nchi ime chafuka .balikiwa sana kiongozi mzalendo

  • @Surebet705
    @Surebet705 5 месяцев назад

    Kazi nzuri wazuri❤❤❤

  • @MbaroukKhamis-h5s
    @MbaroukKhamis-h5s 5 месяцев назад

    Mungu akulinde

  • @TheresiaNgaa
    @TheresiaNgaa 5 месяцев назад +1

    Apewe haki yake bila kujali i ni raia wa wapi maana amemiliki kisheria

  • @OmesmoNaikoyo
    @OmesmoNaikoyo 5 месяцев назад

    Mungu mtakatifu Zaidi kukuinua zaidi

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 5 месяцев назад

    Nampenda sana waziri🇰🇪🇰🇪🇰🇪254

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 5 месяцев назад

    Safi sana

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 4 месяца назад

    Bom trabalho ❤❤❤

    • @baloz8974
      @baloz8974 4 месяца назад

      Muito mesmo isso mostra nao importa a sua nacionalidade si adiquirir bem material sempre teria o seu direito.

  • @FrankNdawla
    @FrankNdawla 2 месяца назад

    Kwani mchina huyo ana uraia wa Tanzania anamilikeje ardhi

  • @erichemily4890
    @erichemily4890 4 месяца назад

    Watu wana tamaa sana aisee sio fresh kabsa

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 5 месяцев назад +1

    waziri mzuri wa muda wote

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 5 месяцев назад

    Safi sanaaaa

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 5 месяцев назад +2

    Bongo kwa deal ni Hatari sana

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 5 месяцев назад +3

    Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi jwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo908 5 месяцев назад

    Na sisi wageni tumepata msimamizi ❤

  • @rayshaula1140
    @rayshaula1140 5 месяцев назад

    Mungu azidi kumlinda waziri atende haki, machozi ya dhuluma ni Mengi mnooooo😢
    Watu wana nyanyaswaaa kisa wenye pesa na ukubwa wa Majina

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 5 месяцев назад

    Waziri Mungu Akutunze

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 месяцев назад

    Safi sana waziri 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb 4 месяца назад

    UYU WAZILI NAMWELEWAGA SANA PIA MAKONDA ALI API JAMANI MWINDILI YUKO WAPI

  • @bijou5038
    @bijou5038 5 месяцев назад

    Well done good job Tanzania 🇹🇿 we want the same thing in Rwanda 🇷🇼 😢😢

  • @sure2odds484
    @sure2odds484 5 месяцев назад

    Hakika haki imetendeka hongera Sana mkuu

  • @jacquelinesangu1521
    @jacquelinesangu1521 5 месяцев назад +1

    Wabongo kiboko zurumu hadi mchina

  • @Hadia-h4s
    @Hadia-h4s 5 месяцев назад

    Hongera waziri kwa kazi nzr mchina apewe haki yake

  • @MussaPonda-l4e
    @MussaPonda-l4e 4 месяца назад

    Kiongozi mzuri haki sawa Wenye makosa wote sheria ipite Tanzania ni ichi ya amani