MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwanjelwa aliyejulikana kwa jina la Brayan Mwakalukwa na Ezekiel Mwanje mwakilishi wa mmiliki wa anayedaiwa kuuziwa Nyumba hiyo ambayo ni mali halali ya Li Shi Cai ambaye ni mwekezaji raia wa China. Aidha Waziri Silaa amaeagiza kutafutwa mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nida ili aweze kueleza jinsi alivyozibeba milioni 80 ambazo ni pesa za mauzo ya nyumba ya Li Shi Cai.
Waziri ametoa maagizo hayo mapema leo alipotembelea eneo hilo lililopo katika mtaa wa Mwanjelwa jijini Mbeya ili kusikiliza na kutatua mgogoro huo..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
ok
11@@maweinctv2645
Hapo kwa rode wireless go, punguza db (volume) hadi -6 au -9 Kama uli nje na watu wanazungumza kwa sautibya juu. Ukiwa ndani ndio uweke -3 ama 0. Otherwise, kazi safi sana👏🏾
Nitakuja
Huyu waziri mwenyezi mungu Akipenda Akiwa hai 2030 Atakua Raisi wetu
Mchina hana haki ya kumiliki Ardhi Tanzania sheria zetu za inchi zimeeleza wazi kabisa kuwa ni watanzania tu ndiyo wenye sifa ya kumiliki Ardhi.
watu wa ivi hawatoboagiii ndugu
@emmanuelndotela9412 ishapitishwa mgeni hanamiliki ardhi bila was was ndugu ..na uyo mamaaenu haNvyozunguka nchi za 😂😂lazm wagen wamiliki
Kabisa amekuwa akitenda haki kweli these days
@@emmanuelndotela9412 Mtu yeyote anaekuja kufanya biashara anaweza kumiliki Ardhi kwa ajili ya biashara.
Na kama huyo mchina ameishi Tanzania muda mrefu akaomba uraia Tanzania akakubaliwa ana haki ya kumiliki ardhi kama mtanzania mwingine.
Apewe haki yake tu bila kujali ni mchina au laaa sheria ifate mkondo wake
Mh, Jerry Slaa, popote ulipo Mungu akusaidie na kukulinda ili uendelee kutetea watanzania.
Haki itendekeee hata kama ni mchinaaaaa❤❤❤❤
Mama tunaomba uchunge huyu waziri wasikuretee fitina zao kazi unayo fanya na mungu akusaidie mm adi ni eria wageni ni ndugu zetu
Mungu akulinde Jerry Silaa na hakika tuna muomba Mungu pia asikuhamishe kwenye hiyo wizara. IDARA YA ARDHI IMEJAA DHULUMA SANA NA INATOKANA NA WATENDAJI WENYE DHULUMA KAMA HAO.
Mungu akupe maisha marefu waziri slaa tunakupenda unaijua haki hutaki maskini aonewe
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana tuna serikali yetu ipoo imara alhaamdulilaah naishukuru serikali ya Tanzania ipoo imara alhaamdulilaah mama Samia rais wa watanzani viongozi wapo imara sana na haki ipooo hapo mchina ana pata haki yake alhaamdulilaah serikali ya Tanzania naishukuru sanaaa alhaamdulilaah
Duuuh hii nchi ngumu sana na wananchi wake hongera waziri nyoosha mwenye haki yake apewe wasimuonee mchina wa watu
Docta silaa wewe ni wazili ulie na hofu ya mungu naomba raisi Samia asikuamishe wizala hiyo tia ndani hao wapigaji watendaji wa Haina hiyo wapo wengi sana mungu akupe maisha malefu japo kua wazili awadumu wewe mungu akupe miasha malefu
Wachina wote kufa huko corona😅😅😅😅😅dah haya maisha sio kabisa watu wanajiongeza
Nakubali tanzania kwa lugha moja From M23
Mhs. silaa Mungu akulinde..kwani unawasaidia San wananchi kupata haki zao.
Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi /wizara kwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔
🎉🎉🎉@@joycekisamo4896
Hongera sana Wazira Allah akulinde
Wabongo njaa Kali Sana Na tutazidi kuto aminiwa Na watu weupe
Bw Waziri. Mwenyewezi Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu. Amiin. Endelea kutenda Haki Kaka.
From Mombasa Island 🏝️ Kenya.
VIVA MH. WAZIRI SILAA....WAHUSIKA WOTE HAO NI MATAPELI....WAMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUMDHULUMU HUYO MCHINA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Hapo ume chemka mchina ata baki kua mchina akamiliki aridhi China 🤣🤣🤣🤣
Akili zako ni sawa na za mwenyekiti wa mtaa.
Chezea na mwenye haki wewe. Jackchan mpaka kajieleza kwa kiswahili 😂😂😂
Kweli haki haizami. Jack chang amenga'ngana kuongea kujieleza Kiswahili mpaka kapata haki yake.Pongezi waziri Kwa kutenda haki.
Nakojoaaaaaaaa
Mama samia kwa huyu waziri hukukosea kumuweka,hongera mama yetu samia ,tunakupendaaaa
Ahsantesana kiongozi dhulumasio nzuri Mungu anatuonawote.
Waziri wng silaha nakupendaga Sana ..mungu akulinde Kwa kutetea haki za watu safi Sana kaka ..endelea kuwasimamia wanyonge.. nakupenda Sana baba Kwakusimamia haki zawatu
Dhuruma sio nzuri..waziri silaha washughulikie wote wadhurumishi
Kiukweli wenyeviti wa Mitaa wanajitafutia matatizo wenyewe, hivi ni sheria ipi kwenye mambo ya Ardhi wao wanahusika hata kiasi cha kujifanya madalali au wanajua saaaaaana. safi sana Waziri ukweli binafsi siwapendi wenyeviti wote wanaojihusisha kwenye matatizo na mizozo pamoja na migogoro ya Ardhi
Wanajifanya wao wenyeji wanaujua mtaa navitu vyake
Mkurugenzi Mbeya, Brother John! Nakukubali sana, kuna pahala una feel maumivu ya watu na kusimama kama wakili wao
Hongera sana 😊 muheshimiwa
Grobal tv mnanikosha nimejikuta namfatilia sana mh silaha sasa hivi na mna mtendea vizuri kuonyesha full length video
Yani huyu kiongoz wallah nmetokea kumuelewa sana daaah hongera kiongoz bora
Angalia huyu mwenyekiti anaonyesha mwizi
Hongera sana baba hakika Mchina haki yake atapata kwa kupitia wewe na Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukutunza
Ni kweli Mungu amlinde Mh. Slaa, waziri wa Ardhi
Mungu atakusaidia
Hongera zake Sana Mh Waziri Silaa, endelea kuwapambania wananchi wanaonewa
Jery Slaa you doing good job
Hongera
Hii kumbe wezi naajsmbazi wako kila sehemu..
SubhanaAllah..
Kazi nzuri Waziri nakuombea Mungu akusaidie Na akulinde
Kenyan politician should learn from Tanzanian politicians God bless them🇰🇪
Tuna mjomba mwenyezi. Mungu mtumufu yeyote anae zurumu haki. Za wananchi aridhi nyumba basi mwenyezi mungu amlaani hapahapa duniani nakesho akhera hu
Mungu akulinde na maadui waziri wetu kwa wema uutendao.
Da Dunia ina mambo
Hongera sana waziri namna hii ndo usimamizi mzuri wa sherikali
Maelezo ya mwenyekiti. Sio ya kweli. Nimependa sana maamuzi yalio chukuliwa
Ila mchina anatia huruma! 😢 mpeni haki yake bwana chongwanchai
safi sana
Kazi kweli kweli duuu
Mwenyezi mungu atuzidishie heshima na roho ya huruma hivyo
Jerry Mungu akuweke Sana Kaka kwa hakika Nakuelewa Sana kwauongzi wako uliotukukq
china yote kufaa😂😂 jamani tamaa mbaya sana😢
😂😂😂😂😂dah
Jerry uko vizuri sana
Nikweli kabisa wasituchafulie inchi wanpe mchina haki yake make kuna watanzania wenzetu china na inchi zingine kwa ujumla haki ioatikani by fossil nikiwa Nairobi Kenya
Tanzania ya mama Samia hiyooo.Haki mbele kwa mbelee.Big up Mhe.Slaa.
Safi sana mbunge wangu shikilia hapo hapo. Hao wadhurumaji na majizi papa uwashikishe adabu. Wewe na mama Samia 25 tutavumilia foleni kitaeleweka tuu.
😂😂😂😂❤kabisaa.❤
Haki ya mtu haipotei. Mchina kapata haki yake
Aise waziri slaa kwanza bright hlf second fear enuf aise mungu amuweke huyu waziri siku moja awe rais hii nchi itasogea mbele sana
Haya John nchimbi nakuona .katka ubora wako .asante kanzi nzuri.from 🇴🇲
70 naa kwenye mfuko jamaa is very humble
Aseeee pain kinomaaaa😢😢😢
That's our Jerry the brilliant
Huyu waziri mtu sana
Congratulations jerry Allah akuongoze ktk haq
waziri wetu huyu sasa hawajakosea Allah amsimamie kwa kweli anatufaa ni mkweli na anafanya haki ila tumuombee mungu mafisadi wasimtie majungu ili atolewe maana tunajua wapo tunakuomba mama samia mama huyu tuachie hapa anaweza hapo iyo idara ngumu tunajua sisi wazawa hapa dar kwakweli ubabaishaji upo mama samia mungu akusimamie huyu waziri msimamie anaweza mama huyu tuachie mafisadi mungu awalani mhh mtihani wallah
Dhuruma sio nzuri pia watanzania tujaribu kutenda kwa uwaminifu yani walipo ona roho mbona harudi na tena mzehe wakajua atakua amekufacorona
Safi sana tanzania ayo djoo sheria safi.
Nakukubali sana kiongoz
Safi sana waziri na mkurugenzi mpambanaji
Tumwombeeni Yuko vizuri
Wabongo unasumbua Sana ndugu zetu wageni wa napata shida Sana kwajiri ya watu wasio waaminifu
Waziri Mungu akubariki
Kutoka Kenya, hongera kwa wahudumu wa Idara husika (Mahakama) iliyo fanya uchunguzi ili kutekeleza haki kwa Mchina mwekezaji.
Mungu akulinde waziri wetu slaah
God bless u broo mungu akusimamie nimekuwa nikikufuatilia unafaa sana ,ww nimtenda haki wa kweli
mama samia huyu wazili muache kwenye hii wizara mpaka asitaafu usimguse
Kabisaaaaa, angalau kwa miaka 5; hii nchi itapangika na kueleweka👏🏽 👏🏽 👏🏽
sasa kama samia angekua kama magufuli nahuyu wazili mambo yangekua saf sana
Asantee. Kiongozi.
Safi saaana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Safi sana raisi samia tunataka vyuma kamahivi ila kuna sheria gani mgeni kuuziwa eneo?
Mungu tunaomba tulindie viongozi eazalendo wa kweli maana hii nchi ime chafuka .balikiwa sana kiongozi mzalendo
Kazi nzuri wazuri❤❤❤
Mungu akulinde
Apewe haki yake bila kujali i ni raia wa wapi maana amemiliki kisheria
Mungu mtakatifu Zaidi kukuinua zaidi
Nampenda sana waziri🇰🇪🇰🇪🇰🇪254
Safi sana
Bom trabalho ❤❤❤
Muito mesmo isso mostra nao importa a sua nacionalidade si adiquirir bem material sempre teria o seu direito.
Kwani mchina huyo ana uraia wa Tanzania anamilikeje ardhi
Watu wana tamaa sana aisee sio fresh kabsa
waziri mzuri wa muda wote
Safi sanaaaa
Bongo kwa deal ni Hatari sana
😂😂😂😂🙌🏼
Tena Deal za kishenzi sana.
Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi jwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔
Na sisi wageni tumepata msimamizi ❤
Mungu azidi kumlinda waziri atende haki, machozi ya dhuluma ni Mengi mnooooo😢
Watu wana nyanyaswaaa kisa wenye pesa na ukubwa wa Majina
Waziri Mungu Akutunze
Safi sana waziri 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
UYU WAZILI NAMWELEWAGA SANA PIA MAKONDA ALI API JAMANI MWINDILI YUKO WAPI
Well done good job Tanzania 🇹🇿 we want the same thing in Rwanda 🇷🇼 😢😢
Hakika haki imetendeka hongera Sana mkuu
Wabongo kiboko zurumu hadi mchina
Hongera waziri kwa kazi nzr mchina apewe haki yake
Kiongozi mzuri haki sawa Wenye makosa wote sheria ipite Tanzania ni ichi ya amani