Karatu Yatetemeka: Mkasa Mzito wa Mama Huyu Mbele ya RC Makonda Wasababisha Tukio Hili La..
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Karatu Yatetemeka: Mkasa Mzito wa Mama Huyu Mbele ya RC Makonda Wasababisha Tukio Hili La..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
Hakika MUNGU akulinde tuna jua utakua na maadui wengi kwakua mungu ni mwema atakufunika na malaika wake na maadui watashindwa kwa jina la YESU aliye hai na tuseme AMEN
Kama umemuona mdudu gongalike hapa makonda oyeeee
😅😅😅😅😂
😂😂😂😂
Wanyonge wanaonewa sana Tanzania,makonda Mungu akulinde
Huyu makonda anatakiwa awe mkuu wa mikoa yote kwa kusikiliza wanyonge,anatakiwa apewe kazi ya kutatua migogoro❤❤❤❤❤❤
Haswaaaa👌
Duh hii nmeelewa sana viva makonda viva njo mang'ola baba
Hongera kamanda wetuu makondaa jenbeee
Tunakupenda sana Mh. MAKONDA. Unatufuta machoz ya kumkumbuka Rais wetu Magufuri. Wewe ni riho ya Magufuri. Mungu akulinde
Angetufuta arakini................., MUNGU amurinde
0:19 😊 0:20 0:21 😊😊😊😊😊😊😊
Mungu akubariki sana muheshimiwa makonda.kwakuwatumikia wanyonge.
Wewe makonda mungu akulinde sana
Arusha mpata bahati kumpata Mwamba huyu! Mungu amtunze & kumlinda Mwamba huyu❤🙏
Na kweli... Mbegu aliyoachaa baba Sasa imechipuaa
Makonda mungu akulinde uje uwe rais nikiwa hai🙏
Kaka yangu uko makini na kazi Yako hongela mama ame sikilizwa kihakili sana.
Mungu akulinde Makonda kazi yako ni njema mbele za Mungu
Makonda kaka yangu mungu aendelee kukusimamia.piga kazi kaka.damu ya yesu kristo ikuzingire na ikufunike na Hila za shetani
Mungu akulinde MAKONDA wetu🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Dah Mungu akutunze kwakusaidia wanyonge hakika watu wanaonewa sana
Mungu akutunze sana MKUU
Mungu akutinze Makonda .
Jamani wakuu wa mkoa, Igeni hatua ya Makonda mfanye mikutano kutatua kero za wananchi.
Rais wangu 💪🙏💎mpendwa niww moyo wangu Hua unatakasika napo muona kiongozi anae tetea wanyonge mungu akusimamie akurinde na wabaya
Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki kwa kutetea wanyonge
Muheshimiwa Makonda kazi iendelee karatu
Muheshimiwa Makonda anafanya kazi vzr sanaaa Mama Samia mlinde huyu mtu maana kuna viongozi si wabunifu , kaziyao nikukaa maofisini tu na si kutatua changamoto za watu hasa wa hali ya chini. Kunawakati anaweza kosea kwa bahati mbaya kama mwanaadamu tumsamehe maana ni mwanaadamu na hao wengine hawakosei maana hawatendi kazi zao. Viongozi wengine wamuige Mr Makonda. Mama Samia nakuomba mlinde mtumishi wako .
Asante mama Samiaaa, asante kuteua watu kama Makonda.
Makonda hoyeeeeeeee mungu akutunze inshaallaah
Mheshimiwa Makonda tunakuomba utupe namba zako kwetu sisi watanzania tulioko nje ya nchi maana tunakuombea dua kwa Mungu akubariki
Mko NJE NCHI GANI MKUU
Afu Kuna mama Leo tena Kiongoz anamkemea Mr poul kwamba anatumia kauli mbaya ivi nikweli ktatua mattizo ya wananchi inageuka kuwa nataswila yanamn hiyo ,emu tumuogope mungu viongozi muwajali wapiga kula wenu
Mkuu wa mkoa wa nchi unapambana baba rais ajae wa nchi yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
The feature prisdent ❤❤
❤❤
Angekuja na Tanga huyu Kaka wallah
Mama Mama mheshimu Rais wangu mie sikai Arusha ,lakini nakushukuru sana sana .kwa kumpeleka RC makonda Arusha . maana kila mtu Arusha ana maumivu jamani had huruma
Mungu na Aendelee kukulinda na kukufunya kuwa mtetezi wa wanyote. Uonevu umetapakaa ulimwenguni kabisa. Wasio jiweza wananyanyaswa sana na watumishi wa serekali na wenye mali nyingi. Nafuata nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩
Asante kwa kuona hivyo
Ndugu yetu kutoka Goma.
Good PEOPLE' STILL EXCITING IN TANZANIA.
Halmashauri nyingi zipo hivyo tz nchi nzima pole mama
MAKONDA,MAHAKAMA PIA WANACHANGIA KUDHULUMU HAKI ZA WANYONGE
Yaan mimi nataman huyu awe raisi mweh
Makonda mungu akulinde sisi wanna muheza pia tumelizwa nahao watu wahalimashauri ya muheza
Hakuna wakukologa maana hakuna nguvu inayoishinda nguvu ya mungu baba piga kazi upo safi makonda inapasa
Hesabu 23:23
Mungu akufunike na Damu yake uendelee kuitenda kazi kwa ukamilifu
Mungu akulinde Makonda
Aisee Mh unasaidia sna watu,kuna wtu wanaumizwa sna
Kama Umeona wadudu gonga like
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mh nimekuelewa sana jinsi unavyokwenda vizur kama Kijana mtanzania umetuheshimisha Mungu akulinde uendele kukaza
Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukujalia Arya njema na nguvu pia akintinze Makonda a. K .a baba Caigane
Makonda niwembe unaokata vibaya sana
Yani weWe ndio raisi 🎉🎉🎉❤
Yaani Mweshimiwa Makonda hiyo babat wanawatesa wananchi sana wanauza aridhi hata ndio kesi kubwa babat
Nampenda Makonda ni mwepesi wa kuelewa
Makonda Allah akupe umri mrefu mrithi wa makufuli
Hiyo safi Sana ✍️
Mbona kama viongozi wa mikoa yetu hawafanyi mikutano na utatuzi wa migogoro ya wananchi kama hivi jamani ,kuiga sio dhambi igeni mazuri na mabaya muyaache
Hakikaa kuiga mazur sio dhambi kweli jmn
Mazuri kwako,kwa mwingine mani ndugu,kumbuka hilo😂
Kuna vitu ni vipawa kutoka kwa Mungu sio kila mtu anacho
Hkika makonda unajua uchungu wamtu kulingana nashida alizonazo.Ww nimtu wamungu nimtu sahihi kwawanyonge.Unakipawa kikubwa sana mbele zamungu.Siraisi viongozi wengine kufanya unachofanya,wto ulionao ww nitofauti nawito waviongozi wengine.Hkika unapaswa kupewa kazi yenye wto wako.Mungu akupe umri kaka.
Makonda ana Mungu ndani yake msiongee uongo anaona ndani huyo jamaaa
Wajomba zangu wairaqw❤
Mungu huyu Jana nahata Leo mlindee mh makonda anafaaa kuwa Rais wa Tanzania ,,, huyu ndie mtetez Wawa nyonge nakuombea kwa Mungu akupehekima hiohiyo
Mimi nakuomba samia amuwekee makonda kila mkoan akakae ht miez SITA akitoka Arusha mete mbeya
Huyu niwetu Arusha tuu
❤❤❤
Aliyemwona mdudu
Mi nimwona kizazi og
Namuona kenyonyo
Mhshmw Makonda ...Mungu azidi kumlinda, jamani huyu kiongozi, anajitoa muhanga...anajitoaa, tumuombee sana kina mama😢 ww ujionae salama leo, kesho yako huijui, tuombe.
Wafanyakazi wote wa serikali wote wameoza pia WATAWALA. Maana ukiingia ofisi utadhani umeingia prison.
Eeee, mbona namuona mdudu hapo ?
😭😭😭😭😭😭 mstuulize kwa nini tunalia ,kama hujawahi kukutana na hizi vitu huezielewa...
Jmn mungu tunaomba utusaidiy huyu awe rais wetu jmn daaa
Mdudu bwana kaonekana😂😂
Hivi inch hii tungepata watu kumi waaina hii kwenye inch hii tusingefika tuliko kwani hari ni mbaya
Kanyunyu na mdudu mkuu😅😅
Mweshimiwa uje na kwetu kishapu
Allahu akufanye kua raisi ajae inshallah
Naona Wadudu Wa Mungu
Wambulu hawana dogo,hajawahi kuwa wakweli
Huwa wanashindwa kujieleza tu,kiswahili fasaha huwa kinawapa shida sana
Makonda bana unanipaga raha 😂😅
Tuokoe wanyone muheshimiwa makonda
Mh. Makonda huyo mama yuko sahihi hata sisi tuna kesi mahakamani halmashauri wamechukua eneo letu kinyemela wame muhuzia mtu mwingine. Na sisi wanatuhambia wavamizi
Makonda unanimalizia mb, zangu kwa kufaidi sana
Volume plz
Huo ni sawa tu na uhuni wa kawaida tu wa Halmashauri nyingi Mhe RC.
Nimecheka kumuona mdudu😂😂😂 mdudu katulio tuli
Dahhh yaani Tz Mungu atupatie viongozi sahihi maana kwa mtu mmoja ni ngumu sanaa kutetea yote bora makonda mpatieni tena uenezi azunguke walau 😂
Yupo waziri wa ardhi nae yupo vzr km makonda.
Namuona kenyonyo kwa mbali
MAKONDA, SISI MASIKINI TUNAONEWA SANA YAONE HAYO MAMA NAE AYAONE SERIKALI YAKE WANAMUNGUSHA SANA
Hebu mtendee HAKI mama, hayo yanayozungumzwa yalitokea kabla ya mama yeye sasa ndio anang'ang'anua.
Mama Samia oyeeeeew
Our feature prisdent 🎉❤
Unakuta masikini kjilimia kishamba anatolewa anapewa tajir eemungu tusaidie sisi masikini hatuna wakututetea
Makonda hajawaacha WADUDU wake nyuma😂😂
Makonda Rais wa Tanzania 🇹🇿 2030
Itakuwa mdudu kapewa kitengo ofisi ya Rc Arusha
Good
Ndiyo hivyo muheshimiwa makonda piga pingu hao
Tunakuomba ujekua raisi watanzania unanifanya nimkumbuke hayatijpm
Tatizo wakishaajiriwa wanakuwa wavivu nanafanya kazi Bora liende
Wakuu wa mikoa wangekuwa wanafanya ivi mikoa mingi watu wangesaidiwa Kuna madudu mengi mikoani huku
Makonda hoyeeeeeeee
Kamataaa
Makonda ateuliwe awembinge Kisha apewe uwaziri wanishati au mambo yandani
Kwa kweli usibebe dhambi
❤
Asee Tanzania ye2😢😢
Wewe pekeyako ndio unajali wanyoge we gone wanajali mayumboyao
Yani tuseme Mhe RC Makonda kwa kifupi Halmashauri ni waporaji wa Ardhi za watu, na kama bahati nzuri hapajajengwa ni kiasi tu cha kumrudishia mwenyewe.
Wairaq wanatamaa sana
Tunanyongwa mno Kaka yetu yani tunapachikwa makesi sio ya kwetu kabisa
Wadudu wapo wanamlinda mh makonda
Hahaha