Karatu Yatetemeka: Mkasa Mzito wa Mama Huyu Mbele ya RC Makonda Wasababisha Tukio Hili La..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Karatu Yatetemeka: Mkasa Mzito wa Mama Huyu Mbele ya RC Makonda Wasababisha Tukio Hili La..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu

Комментарии • 193

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 4 месяца назад +28

    Hakika MUNGU akulinde tuna jua utakua na maadui wengi kwakua mungu ni mwema atakufunika na malaika wake na maadui watashindwa kwa jina la YESU aliye hai na tuseme AMEN

  • @isolatedman-ou7ok
    @isolatedman-ou7ok 4 месяца назад +18

    Kama umemuona mdudu gongalike hapa makonda oyeeee

  • @AngliberthMathias
    @AngliberthMathias 4 месяца назад +6

    Wanyonge wanaonewa sana Tanzania,makonda Mungu akulinde

  • @felisterandrew8418
    @felisterandrew8418 4 месяца назад +1

    Huyu makonda anatakiwa awe mkuu wa mikoa yote kwa kusikiliza wanyonge,anatakiwa apewe kazi ya kutatua migogoro❤❤❤❤❤❤

  • @monydavid8020
    @monydavid8020 4 месяца назад +2

    Duh hii nmeelewa sana viva makonda viva njo mang'ola baba

  • @JumbePusindawa
    @JumbePusindawa 4 месяца назад +5

    Hongera kamanda wetuu makondaa jenbeee

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 4 месяца назад +9

    Tunakupenda sana Mh. MAKONDA. Unatufuta machoz ya kumkumbuka Rais wetu Magufuri. Wewe ni riho ya Magufuri. Mungu akulinde

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 месяца назад +1

      Angetufuta arakini................., MUNGU amurinde

    • @BuhatwaMatage-g1j
      @BuhatwaMatage-g1j 4 месяца назад

      0:19 😊 0:20 0:21 😊😊😊😊😊😊😊

  • @mustafaomari8165
    @mustafaomari8165 4 месяца назад +2

    Mungu akubariki sana muheshimiwa makonda.kwakuwatumikia wanyonge.

  • @ZaitunidismasiZaitunidismasi
    @ZaitunidismasiZaitunidismasi 4 месяца назад +3

    Wewe makonda mungu akulinde sana

  • @elizabertgille6020
    @elizabertgille6020 4 месяца назад +20

    Arusha mpata bahati kumpata Mwamba huyu! Mungu amtunze & kumlinda Mwamba huyu❤🙏

    • @OmaryLupange-yd3cw
      @OmaryLupange-yd3cw 4 месяца назад +2

      Na kweli... Mbegu aliyoachaa baba Sasa imechipuaa

  • @hellenenock7458
    @hellenenock7458 3 месяца назад +1

    Makonda mungu akulinde uje uwe rais nikiwa hai🙏

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 4 месяца назад +2

    Kaka yangu uko makini na kazi Yako hongela mama ame sikilizwa kihakili sana.

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 4 месяца назад

    Mungu akulinde Makonda kazi yako ni njema mbele za Mungu

  • @asiamwanukuzi5085
    @asiamwanukuzi5085 4 месяца назад

    Makonda kaka yangu mungu aendelee kukusimamia.piga kazi kaka.damu ya yesu kristo ikuzingire na ikufunike na Hila za shetani

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 4 месяца назад

    Mungu akulinde MAKONDA wetu🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @Sarah-o5u9t
    @Sarah-o5u9t 4 месяца назад +2

    Dah Mungu akutunze kwakusaidia wanyonge hakika watu wanaonewa sana

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 4 месяца назад +4

    Mungu akutunze sana MKUU

  • @thomasmakweta3860
    @thomasmakweta3860 4 месяца назад +3

    Mungu akutinze Makonda .

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 месяца назад +9

    Jamani wakuu wa mkoa, Igeni hatua ya Makonda mfanye mikutano kutatua kero za wananchi.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад +4

    Rais wangu 💪🙏💎mpendwa niww moyo wangu Hua unatakasika napo muona kiongozi anae tetea wanyonge mungu akusimamie akurinde na wabaya

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago 4 месяца назад +1

    Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki kwa kutetea wanyonge

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta 4 месяца назад

    Muheshimiwa Makonda kazi iendelee karatu

  • @MoteswaLekwasa
    @MoteswaLekwasa 4 месяца назад +1

    Muheshimiwa Makonda anafanya kazi vzr sanaaa Mama Samia mlinde huyu mtu maana kuna viongozi si wabunifu , kaziyao nikukaa maofisini tu na si kutatua changamoto za watu hasa wa hali ya chini. Kunawakati anaweza kosea kwa bahati mbaya kama mwanaadamu tumsamehe maana ni mwanaadamu na hao wengine hawakosei maana hawatendi kazi zao. Viongozi wengine wamuige Mr Makonda. Mama Samia nakuomba mlinde mtumishi wako .

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    Asante mama Samiaaa, asante kuteua watu kama Makonda.

  • @AishaMbega-mg9fo
    @AishaMbega-mg9fo 4 месяца назад

    Makonda hoyeeeeeeee mungu akutunze inshaallaah

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago 4 месяца назад +3

    Mheshimiwa Makonda tunakuomba utupe namba zako kwetu sisi watanzania tulioko nje ya nchi maana tunakuombea dua kwa Mungu akubariki

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 4 месяца назад +2

    Afu Kuna mama Leo tena Kiongoz anamkemea Mr poul kwamba anatumia kauli mbaya ivi nikweli ktatua mattizo ya wananchi inageuka kuwa nataswila yanamn hiyo ,emu tumuogope mungu viongozi muwajali wapiga kula wenu

  • @FadhilNtoga
    @FadhilNtoga 4 месяца назад +16

    Mkuu wa mkoa wa nchi unapambana baba rais ajae wa nchi yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @EverMassawe
      @EverMassawe 4 месяца назад +1

      The feature prisdent ❤❤

    • @Blacksamitz
      @Blacksamitz 4 месяца назад +1

      ❤❤

    • @mimasaady5638
      @mimasaady5638 4 месяца назад

      Angekuja na Tanga huyu Kaka wallah

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 месяца назад +4

    Mama Mama mheshimu Rais wangu mie sikai Arusha ,lakini nakushukuru sana sana .kwa kumpeleka RC makonda Arusha . maana kila mtu Arusha ana maumivu jamani had huruma

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 4 месяца назад +4

    Mungu na Aendelee kukulinda na kukufunya kuwa mtetezi wa wanyote. Uonevu umetapakaa ulimwenguni kabisa. Wasio jiweza wananyanyaswa sana na watumishi wa serekali na wenye mali nyingi. Nafuata nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩

    • @sylvestrengwelu2012
      @sylvestrengwelu2012 4 месяца назад

      Asante kwa kuona hivyo
      Ndugu yetu kutoka Goma.
      Good PEOPLE' STILL EXCITING IN TANZANIA.

  • @JohnMahu-f1g
    @JohnMahu-f1g 4 месяца назад +3

    Halmashauri nyingi zipo hivyo tz nchi nzima pole mama

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 4 месяца назад +6

    MAKONDA,MAHAKAMA PIA WANACHANGIA KUDHULUMU HAKI ZA WANYONGE

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 4 месяца назад +10

    Yaan mimi nataman huyu awe raisi mweh

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 4 месяца назад

    Makonda mungu akulinde sisi wanna muheza pia tumelizwa nahao watu wahalimashauri ya muheza

  • @backtoschool8142
    @backtoschool8142 4 месяца назад +3

    Hakuna wakukologa maana hakuna nguvu inayoishinda nguvu ya mungu baba piga kazi upo safi makonda inapasa

  • @RahabuSimba
    @RahabuSimba 4 месяца назад

    Mungu akufunike na Damu yake uendelee kuitenda kazi kwa ukamilifu

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 4 месяца назад

    Mungu akulinde Makonda

  • @arthurkailembo6300
    @arthurkailembo6300 4 месяца назад +3

    Aisee Mh unasaidia sna watu,kuna wtu wanaumizwa sna

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 месяца назад +23

    Kama Umeona wadudu gonga like

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 4 месяца назад

    Mh nimekuelewa sana jinsi unavyokwenda vizur kama Kijana mtanzania umetuheshimisha Mungu akulinde uendele kukaza

  • @paulinef.millanzinana8279
    @paulinef.millanzinana8279 4 месяца назад +1

    Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukujalia Arya njema na nguvu pia akintinze Makonda a. K .a baba Caigane

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад +4

    Makonda niwembe unaokata vibaya sana

  • @gspofficial7977
    @gspofficial7977 3 месяца назад

    Yani weWe ndio raisi 🎉🎉🎉❤

  • @JanethLimo-je1qk
    @JanethLimo-je1qk 4 месяца назад +1

    Yaani Mweshimiwa Makonda hiyo babat wanawatesa wananchi sana wanauza aridhi hata ndio kesi kubwa babat

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 месяца назад +1

    Nampenda Makonda ni mwepesi wa kuelewa

  • @MohamedOmari-wb4oy
    @MohamedOmari-wb4oy 4 месяца назад

    Makonda Allah akupe umri mrefu mrithi wa makufuli

  • @YaeliJoseph
    @YaeliJoseph 4 месяца назад

    Hiyo safi Sana ✍️

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 4 месяца назад +5

    Mbona kama viongozi wa mikoa yetu hawafanyi mikutano na utatuzi wa migogoro ya wananchi kama hivi jamani ,kuiga sio dhambi igeni mazuri na mabaya muyaache

    • @mimasaady5638
      @mimasaady5638 4 месяца назад +2

      Hakikaa kuiga mazur sio dhambi kweli jmn

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 4 месяца назад

      Mazuri kwako,kwa mwingine mani ndugu,kumbuka hilo😂

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 месяца назад +1

      Kuna vitu ni vipawa kutoka kwa Mungu sio kila mtu anacho

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад

    Hkika makonda unajua uchungu wamtu kulingana nashida alizonazo.Ww nimtu wamungu nimtu sahihi kwawanyonge.Unakipawa kikubwa sana mbele zamungu.Siraisi viongozi wengine kufanya unachofanya,wto ulionao ww nitofauti nawito waviongozi wengine.Hkika unapaswa kupewa kazi yenye wto wako.Mungu akupe umri kaka.

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 4 месяца назад +1

    Makonda ana Mungu ndani yake msiongee uongo anaona ndani huyo jamaaa

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 4 месяца назад +2

    Wajomba zangu wairaqw❤

  • @FatinaSuddy
    @FatinaSuddy 3 месяца назад

    Mungu huyu Jana nahata Leo mlindee mh makonda anafaaa kuwa Rais wa Tanzania ,,, huyu ndie mtetez Wawa nyonge nakuombea kwa Mungu akupehekima hiohiyo

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 4 месяца назад +2

    Mimi nakuomba samia amuwekee makonda kila mkoan akakae ht miez SITA akitoka Arusha mete mbeya

  • @MohamedOmari-wb4oy
    @MohamedOmari-wb4oy 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 4 месяца назад +4

    Aliyemwona mdudu

  • @AbdulkareemHamidu-hb5rb
    @AbdulkareemHamidu-hb5rb 4 месяца назад +3

    Namuona kenyonyo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    Mhshmw Makonda ...Mungu azidi kumlinda, jamani huyu kiongozi, anajitoa muhanga...anajitoaa, tumuombee sana kina mama😢 ww ujionae salama leo, kesho yako huijui, tuombe.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад +2

    Wafanyakazi wote wa serikali wote wameoza pia WATAWALA. Maana ukiingia ofisi utadhani umeingia prison.

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 3 месяца назад

    Eeee, mbona namuona mdudu hapo ?

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад

    😭😭😭😭😭😭 mstuulize kwa nini tunalia ,kama hujawahi kukutana na hizi vitu huezielewa...

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 месяца назад

    Jmn mungu tunaomba utusaidiy huyu awe rais wetu jmn daaa

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 4 месяца назад +2

    Mdudu bwana kaonekana😂😂

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 4 месяца назад

    Hivi inch hii tungepata watu kumi waaina hii kwenye inch hii tusingefika tuliko kwani hari ni mbaya

  • @henrypeter1361
    @henrypeter1361 4 месяца назад +2

    Kanyunyu na mdudu mkuu😅😅

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 4 месяца назад

    Mweshimiwa uje na kwetu kishapu

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv 4 месяца назад

    Allahu akufanye kua raisi ajae inshallah

  • @melvinkanje
    @melvinkanje 4 месяца назад

    Naona Wadudu Wa Mungu

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 4 месяца назад +4

    Wambulu hawana dogo,hajawahi kuwa wakweli

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 4 месяца назад +1

      Huwa wanashindwa kujieleza tu,kiswahili fasaha huwa kinawapa shida sana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 4 месяца назад

    Makonda bana unanipaga raha 😂😅

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 4 месяца назад +2

    Tuokoe wanyone muheshimiwa makonda

  • @JonasKatundu
    @JonasKatundu 3 месяца назад

    Mh. Makonda huyo mama yuko sahihi hata sisi tuna kesi mahakamani halmashauri wamechukua eneo letu kinyemela wame muhuzia mtu mwingine. Na sisi wanatuhambia wavamizi

  • @CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh
    @CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh 3 месяца назад

    Makonda unanimalizia mb, zangu kwa kufaidi sana

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 месяца назад +1

    Volume plz

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 месяца назад

    Huo ni sawa tu na uhuni wa kawaida tu wa Halmashauri nyingi Mhe RC.

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 4 месяца назад

    Nimecheka kumuona mdudu😂😂😂 mdudu katulio tuli

  • @ymusic1299
    @ymusic1299 4 месяца назад

    Dahhh yaani Tz Mungu atupatie viongozi sahihi maana kwa mtu mmoja ni ngumu sanaa kutetea yote bora makonda mpatieni tena uenezi azunguke walau 😂

    • @faridaibrahim1965
      @faridaibrahim1965 4 месяца назад

      Yupo waziri wa ardhi nae yupo vzr km makonda.

  • @JohnsonWazaza
    @JohnsonWazaza 4 месяца назад +4

    Namuona kenyonyo kwa mbali

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 4 месяца назад +1

    MAKONDA, SISI MASIKINI TUNAONEWA SANA YAONE HAYO MAMA NAE AYAONE SERIKALI YAKE WANAMUNGUSHA SANA

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 месяца назад

      Hebu mtendee HAKI mama, hayo yanayozungumzwa yalitokea kabla ya mama yeye sasa ndio anang'ang'anua.

  • @jastinlaizer7556
    @jastinlaizer7556 4 месяца назад

    Mama Samia oyeeeeew

  • @EverMassawe
    @EverMassawe 4 месяца назад +1

    Our feature prisdent 🎉❤

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 4 месяца назад

    Unakuta masikini kjilimia kishamba anatolewa anapewa tajir eemungu tusaidie sisi masikini hatuna wakututetea

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 месяца назад

    Makonda hajawaacha WADUDU wake nyuma😂😂

  • @Dottosumun
    @Dottosumun 4 месяца назад

    Makonda Rais wa Tanzania 🇹🇿 2030

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 4 месяца назад

    Itakuwa mdudu kapewa kitengo ofisi ya Rc Arusha

  • @RidhiwaniMrisho
    @RidhiwaniMrisho 4 месяца назад

    Good

  • @georgepeter9665
    @georgepeter9665 4 месяца назад +1

    Ndiyo hivyo muheshimiwa makonda piga pingu hao

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 4 месяца назад

    Tunakuomba ujekua raisi watanzania unanifanya nimkumbuke hayatijpm

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 4 месяца назад

    Tatizo wakishaajiriwa wanakuwa wavivu nanafanya kazi Bora liende

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn7122 3 месяца назад

    Wakuu wa mikoa wangekuwa wanafanya ivi mikoa mingi watu wangesaidiwa Kuna madudu mengi mikoani huku

  • @florafilbert3288
    @florafilbert3288 4 месяца назад

    Makonda hoyeeeeeeee

  • @ReganRingo
    @ReganRingo 3 месяца назад

    Kamataaa

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 4 месяца назад +1

    Makonda ateuliwe awembinge Kisha apewe uwaziri wanishati au mambo yandani

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 месяца назад

    Kwa kweli usibebe dhambi

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 4 месяца назад

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 месяца назад

    Asee Tanzania ye2😢😢

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 4 месяца назад

    Wewe pekeyako ndio unajali wanyoge we gone wanajali mayumboyao

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 месяца назад

    Yani tuseme Mhe RC Makonda kwa kifupi Halmashauri ni waporaji wa Ardhi za watu, na kama bahati nzuri hapajajengwa ni kiasi tu cha kumrudishia mwenyewe.

  • @rukiasalim2512
    @rukiasalim2512 4 месяца назад

    Wairaq wanatamaa sana

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 4 месяца назад

    Tunanyongwa mno Kaka yetu yani tunapachikwa makesi sio ya kwetu kabisa

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 4 месяца назад

    Wadudu wapo wanamlinda mh makonda