BIBI AMLILIA MAKONDA - AMEAMBIWA AKAMFUFUE MAGUFULI AMSAIDIE - MWAKA wa 3 KANYANGANYWA NYUMBA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2024
  • BIBI AMLILIA MAKONDA - AMEAMBIWA AKAMFUFUE MAGUFULI AMSAIDIE - MWAKA wa 3 KANYANGANYWA NYUMBA...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 378

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +25

    NAKUKUBALI SANA MWAMBA MAKONDA KWA MOYO HUYO ATA URAIS MIAKA YA MBELE GOMBANIA KIONGOZI 🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 3 месяца назад +9

    Asante Mungu kumpatia huyu Bibi nyumba yake. Be blessed Mh.Makonda kwa kutetea wanyonge

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 месяца назад +36

    Sasa nimeanza kufatili palikua pamepoa toka magu aondoka makonda ananiparaha🙏🙏🙏🙏💪💪

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 3 месяца назад +19

    Watu wanakejeli anayoyafanya makonda, lkn kiukweli anafanya mambo makubwa ambayo ndo wananchi masikini wanayoyataka

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 3 месяца назад +38

    Eeh Baba Mungu tutunzie huyu kijana makonda kwa uwezo wake baba🤲

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t 3 месяца назад +4

    Hongera mwanangu Makonda Mungu akutie nguvu fumua madudu wanaosema wanawadhadhrilisha viongozi hvo ni vzuri wanyonge waoneewe kuliko viongozi hao viongoz ni wengi kuliko wananchi Makonda hoyeeeeeeeee

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 3 месяца назад +19

    Makonda amyatowa maisha yake kwaajili ya wanyonge watamtafuta sana ili wamuuwe lakini Mungu ni mwema jilinde na wanyonge wahimarishe Ulinzi juuyake yupo hatarini sana Jpm walimuuwa kwa kutetea wanyonge 🇹🇿

    • @user-wr7sz7ny9j
      @user-wr7sz7ny9j 3 месяца назад

      Mungu amlinde jamani wakiwaua wote tutasaidiwa na nani sasa mungu

    • @linda99822
      @linda99822 3 месяца назад

      Wamesha Anza kumuroga wamemtumia ata ajali jaman😢😢😢😢😢😢

    • @amanmyolo5359
      @amanmyolo5359 3 месяца назад

      Mungu ni mwema kama musa kwa wana lslaeli. Maisha ya Dunia ya kupita. Na maisha ya mbingu ni ya milele.. Mungu akulinde makonde na hakika watu wema hujitoa kwa ajili ya mungu.

    • @amanmyolo5359
      @amanmyolo5359 3 месяца назад

      Asante mungu hakika umetoa na umeleta magufuri namba 2

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq Месяц назад

      Tuzidi kumuombea mola amuhifadh

  • @obedlwinga9194
    @obedlwinga9194 3 месяца назад +11

    Makonda katika hili saluti kwako ila natamani sana kero zote zishughulikiwe maana wanaopata nafasi ya kueleza ni wachache sana weka utaratibu endelevu asante

  • @augustinob.toke1012
    @augustinob.toke1012 3 месяца назад +2

    Maisha marefu Mhe: PAUL MAKONDA kwa kazi nzuri iliyotukuka Mungu akubariki Sana na akuzidishie miaka mingi na kheri duniani pia binafsi natamani niwe mlinzi wako.

  • @rehmastyle4446
    @rehmastyle4446 3 месяца назад +10

    Na Sabaya arudushww kwenye kazi Itapendeza sana

  • @sifuabdallahmkamba6102
    @sifuabdallahmkamba6102 3 месяца назад +10

    Njia hii unayotumia hon makonda uko sahihi kabisa ila kama kuna wanao kubeza basi nawao wapande jukwaani watatue shida za wananchi kwa njia wanazo zijua.

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 3 месяца назад +4

    Ninaona mbegu za Hayati J.P.M Zikimea nakustawi ndani ya mh. Makonda😊💪💪 Mungu akutunze sana baba Kegani💯🔥🔥🔥

    • @sofiasofia7557
      @sofiasofia7557 Месяц назад +1

      Huyu hakuwa mnafki kwenye nyayo za magufuli wengi tumewaona wamegeuka

    • @deboramuhoja1777
      @deboramuhoja1777 Месяц назад

      @@sofiasofia7557 kabisa,

  • @user-fu3xt6dc4h
    @user-fu3xt6dc4h 3 месяца назад +9

    Anafaha kuwa lahisi waTanzania,🇹🇿🇹🇿 kabisa uyu kiongozi wetu. Makonda

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 3 месяца назад +3

    MashaAllaah uwemaaa wako naimani yakoo umebakiyaaa kusilimuhhhh tuu ….Allaah Akuhefadhiiii muheshimiwaaa makonda. Baba wawanyongeee…..

  • @TedyEmanuel
    @TedyEmanuel 3 месяца назад +7

    Kaka makonda mungu akubariki kwa kuwatetea wanyonge

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 3 месяца назад +1

    Jamani hii nchi munaipeleka wapi kwann watu hawana hofu ya Mungu jamani Asante mama Samia kwa kumteua Mheshimiwa makonda awe mwenezi wa Taifa NEC naomba Mungu azidi kumuongoza katika kutenda kazi yake Muenezi Makondo na Mungu awaguze viongozi wengine wa nchi hi kua Kama huyu jamaa

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Месяц назад +2

    Mungu akulinde akuepushe na mabaya yote

  • @danifani7899
    @danifani7899 3 месяца назад +3

    Watching live from Jordan makonde mungu akubariki kwa kutetea haki ya wananch

  • @Moses-yw5mb
    @Moses-yw5mb 2 месяца назад +1

    Hakika waliosema magufuli amekufa xaxa amerudi japo c kwa sura yake ila kwa moyo wa makonda yeye mwenye nguvu akulinde na akutete, hakika hukuwa mnafiki bali unaishi kwa kile alichokiamini. Amina

  • @AbasiMadege-ot2of
    @AbasiMadege-ot2of 3 месяца назад +5

    Ivi kwann viongozi hawamuingi huyu jamaa Makonda anafanya nipende Tanzania yangu 😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mungu akupe maisha marefu Makonda watakuchukia sana ila omba Mungu atakusaidia kila mtu huenda kwa ahadi

  • @malupex6299
    @malupex6299 3 месяца назад +3

    Mungu ni mwema kila wakati na kila saa@ hongera Rais Samia@ asante Makonda..

  • @user-qr3zl5km3v
    @user-qr3zl5km3v 3 месяца назад +1

    Makonda katbu mwenezi mimi ni mtanzania nmependa xnaa unavyoshughulika na wanyonge jpokuwa niko nje ya tanzanianaomba sna Mungu anilinde na aendelee kukulinda nikirud tz naomba kukuona pls katibu wangu.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 3 месяца назад +5

    Sitaki, kuamini kwamba Chama cha Mapinduzi' (katika ngazi yeyote), kinaweza kufanya thu'ruma kiasi hiki!
    Kama haya ni kweli, basi.....

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 месяца назад +6

    Baada ya kufariki mwamba JPM, watu walianza kuleta dharau na kumzungumzia vibaya tena bayana kabisa bila ya woga wwt

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 месяца назад +1

      Kwel kabisaa haya mafisadi ni nguruwee kabisaa Allah aya komeshe yote yaliyo tuzulumu sisi wanyongee

  • @AminaGervas
    @AminaGervas 16 дней назад

    Yaani mwenda zake namuona huyu hapa, Sina cha kuzungumza juu yako bb Kegan Mungu tu akutetee. Aaamin

  • @urasaanold2851
    @urasaanold2851 3 месяца назад +10

    😂😂😂 hakuna cha tunduma hoyee soma barua😂😂😂

  • @IssaMraja-kr3qi
    @IssaMraja-kr3qi Месяц назад

    Mh makonda mungu akumwilike kwa kuhusu yako n ujue uiongoze tanzania

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 3 месяца назад +4

    Makonda Mungu akutunze

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 3 месяца назад +2

    Mungu akufanyie wepesi mh makonda

  • @user-zm5pn5wg4y
    @user-zm5pn5wg4y 2 месяца назад +1

    Safi sana muhushimiwa wahtee wenye hakizao

  • @adamjosephkatigizu19
    @adamjosephkatigizu19 3 месяца назад +3

    Eee Mungu Baba mlinde makonda

  • @jafaribori5428
    @jafaribori5428 3 месяца назад +5

    Hongera kaka Makonda Nina kufatilia sana nikiwa hapa UK nahisi majonzi yanapunguwa kwa kukupata kijana wa magufuli

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 месяца назад +4

    Kwa style hii utapata urais miaka ya mbele ila usome sasa❤

    • @user-ym5ko9ov2o
      @user-ym5ko9ov2o 3 месяца назад

      Ila wewee😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmyurio7735
    @emmyurio7735 3 месяца назад +4

    Mungu akutunze akuagizie malaika Kila unakokwenda

  • @user-ve5yv8kg8z
    @user-ve5yv8kg8z 3 месяца назад +1

    Respect the moment Kiongozi Mungu atakusudia

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 3 месяца назад +2

    Usife, Usioze Mh. Mwenezi Makonda Mungu akutunze kwa Kazi nzuri.

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 3 месяца назад

      Umesifia kupitiliza neno la Mungu ni lazima aoze.. hivyo ataoza

  • @user-uf5qw2dl9l
    @user-uf5qw2dl9l 2 месяца назад

    Makonda Mungu akulinde kazi ambayo Mungu angeshuka kuifanya umeifanya Mungu akubariki sana

  • @rahmashapani5926
    @rahmashapani5926 2 месяца назад

    Ubarikiwe kiongozi wetu Baba yangu pia kazurumiwa mashamba.yake yote na ndugu zake Mungu anawaona ukosefu wa pesa mtihani Wallah

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 3 месяца назад +7

    Well done brother keep it up 💪 fata nyayo za magufuli ,, from 🇰🇪

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 3 месяца назад +1

      Safari ya Haki na Utu ni jambo la kila mmoja ili kila mmoja anufaike pia aongeze tija katika Taifa lake🙏🇰🇪🎶🇹🇿

    • @RichardMkumbo
      @RichardMkumbo 3 месяца назад

      😮​@@tonyi6807

    • @RichardMkumbo
      @RichardMkumbo 3 месяца назад

      ​@@tonyi6807😅

  • @nyamaithyaka
    @nyamaithyaka Месяц назад +1

    Keep up good leader , like the late pombe maghufuli tetea watazania

  • @anthonyndema2739
    @anthonyndema2739 3 месяца назад +3

    Braza makonda wanaokubeza hawitakii mema nchi hii,na hawajui wanyonge wanavonyanyaswa.

  • @Wiope430
    @Wiope430 3 месяца назад +8

    Ziara ya Mh. Makonda kwenye mikoa nchini ni tasmini tosha ya jinsi kazi zinazofanywa na viongozi kwa wananchi;
    Pili imeonyesha jinsi ufisadi unavyoendelea kufanywa na baadhi ya viongozi kwa wananchi nchini kwenye hawamo ya 6.
    Kazi kwa MH.Raisi Samia.
    Ubarikiwe MH. Makonda

  • @user-bb2xi3vi7y
    @user-bb2xi3vi7y Месяц назад +1

    Makonda baba heshima yako 🙏🙏🙏🙏🎉

  • @constantsimiyu7484
    @constantsimiyu7484 3 месяца назад +1

    This man was sent by God to bring justice in Tanzania, Mungu tuletee na sisi Wakenya mtu kama huyo

  • @norahfrank
    @norahfrank 3 месяца назад +2

    Kweli watu wamwogope Mungu.kwa haya???? Mhh!!!

  • @hannan4508
    @hannan4508 3 месяца назад +3

    Aibu Sana Kwa chama cha mapinduzi

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 3 месяца назад +1

    Makonda nakupenda sana, tetea wanyonge mungu akulinde

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena 22 дня назад

    Tumalizane hapa hapa Tanzania tunataka mambo kuisha Kwa wakati. wanyonge wapate haki za msingi

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 3 месяца назад +3

    Anuani hiyo apo😂😂 no ya simu hiyo hapo😂😂😂😂tumbo kubwa utafikiri hujambi

  • @happymboya7697
    @happymboya7697 3 месяца назад +1

    Mungu akulinde sn baba entu wa badae unafaa kua lais jamani

  • @samwelcharles1349
    @samwelcharles1349 Месяц назад

    Nchi hii natamani nipate mamlaka yakuiongoza baada ya mama kumaliza muda wake wababaishaji wa haki wanatakiwa kupigwa risas hadharani😢😢😢😢

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 месяца назад +3

    Hyu msomaji ni mlevi

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 3 месяца назад

    Mungu akulinde kila iitwapo leo atakama wabaya wapo Mungu awaangamize pale watakapo kuwazia mabaya yeyote yakawakute wao.

  • @fikiriisaya5803
    @fikiriisaya5803 3 месяца назад +1

    Mungu wawatanzania akulinde makonda

  • @mayco-channel__1
    @mayco-channel__1 3 месяца назад

    Ukwel mzuri jaman toka magu aondoke ndio siku pekee nilioacha kuvutiwa na hivi vipindi.. Lakin makonda kanirudisha kwa kasi kufuatilia

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 3 месяца назад +3

    Haya ndo yale yalitumbuliwa na magu na sasa yamerudishwa.

  • @NiselaNyakato-wl3kq
    @NiselaNyakato-wl3kq 3 месяца назад +1

    Mungu aendelee kumulinda mh. Makonda

  • @MgendelwaDorice
    @MgendelwaDorice 22 дня назад

    Piga kazi mwanangu❤

  • @Hassansharif-nc4hk
    @Hassansharif-nc4hk 2 месяца назад

    Allah akulide makonda heri wewe unajali watu wako Kenya tunalia na mungu wetu viongozi kama wewe hawapatikani kiraisi

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 3 месяца назад +1

    Hakika nchi hii ingekuwa na makonda wengine kumi tu maisha yangenyooka.

  • @user-kr3jg6iy7w
    @user-kr3jg6iy7w 3 месяца назад +1

    Huyo baba msoma nyaraka ni tapeli wa wazi.mlevi,hafanini Na kiongozi wa watu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 месяца назад

    Safi Makonda mahakama hapo hapo na hukumu hapo hapo

  • @shafii9497
    @shafii9497 3 месяца назад +2

    Hii nchi hii imeisha kabisa

  • @user-eb3ld4cb4g
    @user-eb3ld4cb4g 2 месяца назад

    Jamani mh/makonda mama angu amezurumiwa nyumba maeneo ya kigamboni mama anateseka sana

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 Месяц назад

    Mungu akutunzemakonda wetu weee unanipa raha sana

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 3 месяца назад +1

    Siasa ni mchezo mkubwa saana Mungu tupiganie

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Месяц назад

    Kama Mungu aishivyo iko siku makonda atakua raisi

  • @godrivernicholous3536
    @godrivernicholous3536 2 месяца назад

    Umenigusa sana Makonda MUNGU AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAO YESU KRISTO

  • @ZachariaMajora-bh9gr
    @ZachariaMajora-bh9gr Месяц назад

    uko vizuri comredi makonda

  • @adamuadamumussa7289
    @adamuadamumussa7289 3 месяца назад

    Naumiaga sana nikiona mama analia machozi dah!😢😢😭😭 E MUNGU BABA TUSAIDIE SISI WANYONGE

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 3 месяца назад +2

    Huyo anayesoma hiyo barua ndo Hana akili

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s Месяц назад

    Huyu mzee anaesoma hiyo barua naisi kama alikuja kwenye mkutano amelewa 😂😂

  • @user-nr4nv6uo9s
    @user-nr4nv6uo9s 2 месяца назад

    Jeshi la mtu moja hilo japo hana sapot

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад

    Hongera rais Samia,Asante kijana makonda 🎉🎉🎉🎉

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s Месяц назад

    Mungu akulinde baba

  • @johnnysafaris
    @johnnysafaris 3 месяца назад

    Napenda utendaji kazi ya wakuu wa Tanzania

  • @janethcharles6943
    @janethcharles6943 2 месяца назад

    Mungu awatangulie na akulinde baba

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena 22 дня назад

    Nakubali makonda viatu mzee vinakufaa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад +1

    CCM NI WEZII NA NIWAHUNI SANAAA.

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Месяц назад

    Chukua nyumba ya mtu bila fidia yoyote

  • @236g
    @236g 3 месяца назад

    Mungu atupee viongozi kama huyu in Kenya

  • @user-qx4rc6so3u
    @user-qx4rc6so3u 2 месяца назад

    Hatupendi watu kama hao wasiotenda haki kwa wananchi wao kwani wajuwi chama inaangalia usawa na kuondoa uzalimu ndio tunachokemea chama yetu 😢

  • @halimayusuph4931
    @halimayusuph4931 3 месяца назад

    Alafu anakuja mangekimavi anataka kutugombanisha na makonda wetu magufuli is back Mungu anatupenda yarabi

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk 2 месяца назад

    mbona msoma barua km katupia vyombo jmn!!!!!

  • @jullymwaikenda564
    @jullymwaikenda564 3 месяца назад

    Makondaaaaa nisemenini kwa Mungu uyaone, nasemaje ubalikiwe sanaaaaaa

  • @user-pe5je2qi9n
    @user-pe5je2qi9n 2 месяца назад

    Baba hongera sana umevaa viatu vya baba magufuli mungu akulinde sana

  • @araphamohamedi2781
    @araphamohamedi2781 3 месяца назад

    Inasikitisha sana watu wanatumia vyeo vyao kunyanyasa wanyonge mungu ana waona

  • @user-fv1qo5lh8z
    @user-fv1qo5lh8z 3 месяца назад +3

    Mmerudisha dhurumazote alizoziondoa mwamba jpm.sasa kazikwenu

  • @user-tl2tw9rg7r
    @user-tl2tw9rg7r 21 день назад

    Kusoma barua na Tunduma oye vina mahusiano gani this guy funny 😂😂😂😂😂

  • @hancekarma1623
    @hancekarma1623 Месяц назад

    Hao ni washenzi laazima waadabishwe

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 месяца назад

    NCHI HII INASHIDA VIONGOZI WANAOTAFUNA KODI ZA WANANCHI WAPO HADI AJE KIONGOZI CCM IMESHINDWA

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад

    Mungu tusaidie huu uonevu ukome viongozi wetu mnatuangusha pia mnaangusha nguvu ya chama

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 3 месяца назад

    Hiv huyu jamaa naona kama anatushawishi awe rahisi,huyu atawanyoosha

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 месяца назад

    Ewe mungu mlinde kijana makonda kwa shari zote

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 3 месяца назад

    Baba Makonda Damu ya Yesu ikufunike uishi miaka mingi

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 3 месяца назад +1

    Anasoma yy, aibu naona mimi huku jaman😅😅😅

    • @annaevaristo7736
      @annaevaristo7736 3 месяца назад

      😂😂😂 jamani;
      Mzee ;Tunduma hoyeee
      Makonda ;soma baruaa😂😂😂🙌

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 3 месяца назад

    Dah! Hii nchi watu wanadhulumiwa sana Aisee

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 3 месяца назад

    Kweli wananchi Wana mambo magumu Sana. Mungu akulinde kijana wangu

  • @omaryluhanga9387
    @omaryluhanga9387 3 месяца назад

    Duh ni kama naiona CCM mpya vile sijui ni kweli, au maigizo