BIBI AMLILIA MAKONDA - AMEAMBIWA AKAMFUFUE MAGUFULI AMSAIDIE - MWAKA wa 3 KANYANGANYWA NYUMBA...
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2024
- BIBI AMLILIA MAKONDA - AMEAMBIWA AKAMFUFUE MAGUFULI AMSAIDIE - MWAKA wa 3 KANYANGANYWA NYUMBA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
❤love
NAKUKUBALI SANA MWAMBA MAKONDA KWA MOYO HUYO ATA URAIS MIAKA YA MBELE GOMBANIA KIONGOZI 🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Asante Mungu kumpatia huyu Bibi nyumba yake. Be blessed Mh.Makonda kwa kutetea wanyonge
Sasa nimeanza kufatili palikua pamepoa toka magu aondoka makonda ananiparaha🙏🙏🙏🙏💪💪
Sn huyu ni makufuri wa pili
Tupo wengi
Nimerud pia naunga bando kwa ajiri ya makonda na jua kali
@@pyelesyamwakatika540 umeona eeh
Watu wanakejeli anayoyafanya makonda, lkn kiukweli anafanya mambo makubwa ambayo ndo wananchi masikini wanayoyataka
Eeh Baba Mungu tutunzie huyu kijana makonda kwa uwezo wake baba🤲
Amen❤🎉
Huyu ni Magufuli type..tumuombea yesu atangulie
Amen ❤
Amiin Amiin Amiin 🇰🇪
Amen damu ya Yesukristo imfunike.
Hongera mwanangu Makonda Mungu akutie nguvu fumua madudu wanaosema wanawadhadhrilisha viongozi hvo ni vzuri wanyonge waoneewe kuliko viongozi hao viongoz ni wengi kuliko wananchi Makonda hoyeeeeeeeee
Makonda amyatowa maisha yake kwaajili ya wanyonge watamtafuta sana ili wamuuwe lakini Mungu ni mwema jilinde na wanyonge wahimarishe Ulinzi juuyake yupo hatarini sana Jpm walimuuwa kwa kutetea wanyonge 🇹🇿
Mungu amlinde jamani wakiwaua wote tutasaidiwa na nani sasa mungu
Wamesha Anza kumuroga wamemtumia ata ajali jaman😢😢😢😢😢😢
Mungu ni mwema kama musa kwa wana lslaeli. Maisha ya Dunia ya kupita. Na maisha ya mbingu ni ya milele.. Mungu akulinde makonde na hakika watu wema hujitoa kwa ajili ya mungu.
Asante mungu hakika umetoa na umeleta magufuri namba 2
Tuzidi kumuombea mola amuhifadh
Makonda katika hili saluti kwako ila natamani sana kero zote zishughulikiwe maana wanaopata nafasi ya kueleza ni wachache sana weka utaratibu endelevu asante
Maisha marefu Mhe: PAUL MAKONDA kwa kazi nzuri iliyotukuka Mungu akubariki Sana na akuzidishie miaka mingi na kheri duniani pia binafsi natamani niwe mlinzi wako.
Na Sabaya arudushww kwenye kazi Itapendeza sana
Kweli arud sabaya
Njia hii unayotumia hon makonda uko sahihi kabisa ila kama kuna wanao kubeza basi nawao wapande jukwaani watatue shida za wananchi kwa njia wanazo zijua.
Ninaona mbegu za Hayati J.P.M Zikimea nakustawi ndani ya mh. Makonda😊💪💪 Mungu akutunze sana baba Kegani💯🔥🔥🔥
Huyu hakuwa mnafki kwenye nyayo za magufuli wengi tumewaona wamegeuka
@@sofiasofia7557 kabisa,
Anafaha kuwa lahisi waTanzania,🇹🇿🇹🇿 kabisa uyu kiongozi wetu. Makonda
MashaAllaah uwemaaa wako naimani yakoo umebakiyaaa kusilimuhhhh tuu ….Allaah Akuhefadhiiii muheshimiwaaa makonda. Baba wawanyongeee…..
Kaka makonda mungu akubariki kwa kuwatetea wanyonge
Jamani hii nchi munaipeleka wapi kwann watu hawana hofu ya Mungu jamani Asante mama Samia kwa kumteua Mheshimiwa makonda awe mwenezi wa Taifa NEC naomba Mungu azidi kumuongoza katika kutenda kazi yake Muenezi Makondo na Mungu awaguze viongozi wengine wa nchi hi kua Kama huyu jamaa
Mungu akulinde akuepushe na mabaya yote
Watching live from Jordan makonde mungu akubariki kwa kutetea haki ya wananch
Hakika waliosema magufuli amekufa xaxa amerudi japo c kwa sura yake ila kwa moyo wa makonda yeye mwenye nguvu akulinde na akutete, hakika hukuwa mnafiki bali unaishi kwa kile alichokiamini. Amina
Ivi kwann viongozi hawamuingi huyu jamaa Makonda anafanya nipende Tanzania yangu 😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mungu akupe maisha marefu Makonda watakuchukia sana ila omba Mungu atakusaidia kila mtu huenda kwa ahadi
Kwel
Mungu ni mwema kila wakati na kila saa@ hongera Rais Samia@ asante Makonda..
Makonda katbu mwenezi mimi ni mtanzania nmependa xnaa unavyoshughulika na wanyonge jpokuwa niko nje ya tanzanianaomba sna Mungu anilinde na aendelee kukulinda nikirud tz naomba kukuona pls katibu wangu.
Sitaki, kuamini kwamba Chama cha Mapinduzi' (katika ngazi yeyote), kinaweza kufanya thu'ruma kiasi hiki!
Kama haya ni kweli, basi.....
Baada ya kufariki mwamba JPM, watu walianza kuleta dharau na kumzungumzia vibaya tena bayana kabisa bila ya woga wwt
Kwel kabisaa haya mafisadi ni nguruwee kabisaa Allah aya komeshe yote yaliyo tuzulumu sisi wanyongee
Yaani mwenda zake namuona huyu hapa, Sina cha kuzungumza juu yako bb Kegan Mungu tu akutetee. Aaamin
😂😂😂 hakuna cha tunduma hoyee soma barua😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😀😀😀😀😀😀
@@zuhrazuhra637naona unacheka 😅
😂😂😂
Mh makonda mungu akumwilike kwa kuhusu yako n ujue uiongoze tanzania
Makonda Mungu akutunze
Mungu akufanyie wepesi mh makonda
Safi sana muhushimiwa wahtee wenye hakizao
Eee Mungu Baba mlinde makonda
Hongera kaka Makonda Nina kufatilia sana nikiwa hapa UK nahisi majonzi yanapunguwa kwa kukupata kijana wa magufuli
Kwel kabisa
labda MIAKA 14😂😂😂😂
Kwa style hii utapata urais miaka ya mbele ila usome sasa❤
Ila wewee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu akutunze akuagizie malaika Kila unakokwenda
Respect the moment Kiongozi Mungu atakusudia
Usife, Usioze Mh. Mwenezi Makonda Mungu akutunze kwa Kazi nzuri.
Umesifia kupitiliza neno la Mungu ni lazima aoze.. hivyo ataoza
Makonda Mungu akulinde kazi ambayo Mungu angeshuka kuifanya umeifanya Mungu akubariki sana
Ubarikiwe kiongozi wetu Baba yangu pia kazurumiwa mashamba.yake yote na ndugu zake Mungu anawaona ukosefu wa pesa mtihani Wallah
Well done brother keep it up 💪 fata nyayo za magufuli ,, from 🇰🇪
Safari ya Haki na Utu ni jambo la kila mmoja ili kila mmoja anufaike pia aongeze tija katika Taifa lake🙏🇰🇪🎶🇹🇿
😮@@tonyi6807
@@tonyi6807😅
Keep up good leader , like the late pombe maghufuli tetea watazania
Braza makonda wanaokubeza hawitakii mema nchi hii,na hawajui wanyonge wanavonyanyaswa.
Ziara ya Mh. Makonda kwenye mikoa nchini ni tasmini tosha ya jinsi kazi zinazofanywa na viongozi kwa wananchi;
Pili imeonyesha jinsi ufisadi unavyoendelea kufanywa na baadhi ya viongozi kwa wananchi nchini kwenye hawamo ya 6.
Kazi kwa MH.Raisi Samia.
Ubarikiwe MH. Makonda
Makonda baba heshima yako 🙏🙏🙏🙏🎉
This man was sent by God to bring justice in Tanzania, Mungu tuletee na sisi Wakenya mtu kama huyo
Kweli watu wamwogope Mungu.kwa haya???? Mhh!!!
Aibu Sana Kwa chama cha mapinduzi
Makonda nakupenda sana, tetea wanyonge mungu akulinde
Tumalizane hapa hapa Tanzania tunataka mambo kuisha Kwa wakati. wanyonge wapate haki za msingi
Anuani hiyo apo😂😂 no ya simu hiyo hapo😂😂😂😂tumbo kubwa utafikiri hujambi
😂😂😂😂😂
Mungu akulinde sn baba entu wa badae unafaa kua lais jamani
Nchi hii natamani nipate mamlaka yakuiongoza baada ya mama kumaliza muda wake wababaishaji wa haki wanatakiwa kupigwa risas hadharani😢😢😢😢
Hyu msomaji ni mlevi
Haaaaahaaaaa
Mungu akulinde kila iitwapo leo atakama wabaya wapo Mungu awaangamize pale watakapo kuwazia mabaya yeyote yakawakute wao.
Mungu wawatanzania akulinde makonda
Ukwel mzuri jaman toka magu aondoke ndio siku pekee nilioacha kuvutiwa na hivi vipindi.. Lakin makonda kanirudisha kwa kasi kufuatilia
Haya ndo yale yalitumbuliwa na magu na sasa yamerudishwa.
Kwel kabisaaa
Mungu aendelee kumulinda mh. Makonda
Piga kazi mwanangu❤
Allah akulide makonda heri wewe unajali watu wako Kenya tunalia na mungu wetu viongozi kama wewe hawapatikani kiraisi
Hakika nchi hii ingekuwa na makonda wengine kumi tu maisha yangenyooka.
Kwel kabisaa
Huyo baba msoma nyaraka ni tapeli wa wazi.mlevi,hafanini Na kiongozi wa watu
Safi Makonda mahakama hapo hapo na hukumu hapo hapo
Hii nchi hii imeisha kabisa
Jamani mh/makonda mama angu amezurumiwa nyumba maeneo ya kigamboni mama anateseka sana
Mungu akutunzemakonda wetu weee unanipa raha sana
Siasa ni mchezo mkubwa saana Mungu tupiganie
Kama Mungu aishivyo iko siku makonda atakua raisi
Umenigusa sana Makonda MUNGU AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAO YESU KRISTO
uko vizuri comredi makonda
Naumiaga sana nikiona mama analia machozi dah!😢😢😭😭 E MUNGU BABA TUSAIDIE SISI WANYONGE
Huyo anayesoma hiyo barua ndo Hana akili
Haaaaahaaaaa
Huyu mzee anaesoma hiyo barua naisi kama alikuja kwenye mkutano amelewa 😂😂
Jeshi la mtu moja hilo japo hana sapot
Hongera rais Samia,Asante kijana makonda 🎉🎉🎉🎉
Mungu akulinde baba
Napenda utendaji kazi ya wakuu wa Tanzania
Mungu awatangulie na akulinde baba
Nakubali makonda viatu mzee vinakufaa
CCM NI WEZII NA NIWAHUNI SANAAA.
Chukua nyumba ya mtu bila fidia yoyote
Mungu atupee viongozi kama huyu in Kenya
Hatupendi watu kama hao wasiotenda haki kwa wananchi wao kwani wajuwi chama inaangalia usawa na kuondoa uzalimu ndio tunachokemea chama yetu 😢
Alafu anakuja mangekimavi anataka kutugombanisha na makonda wetu magufuli is back Mungu anatupenda yarabi
mbona msoma barua km katupia vyombo jmn!!!!!
Makondaaaaa nisemenini kwa Mungu uyaone, nasemaje ubalikiwe sanaaaaaa
Baba hongera sana umevaa viatu vya baba magufuli mungu akulinde sana
Inasikitisha sana watu wanatumia vyeo vyao kunyanyasa wanyonge mungu ana waona
Mmerudisha dhurumazote alizoziondoa mwamba jpm.sasa kazikwenu
Kusoma barua na Tunduma oye vina mahusiano gani this guy funny 😂😂😂😂😂
Hao ni washenzi laazima waadabishwe
NCHI HII INASHIDA VIONGOZI WANAOTAFUNA KODI ZA WANANCHI WAPO HADI AJE KIONGOZI CCM IMESHINDWA
Mungu tusaidie huu uonevu ukome viongozi wetu mnatuangusha pia mnaangusha nguvu ya chama
Hiv huyu jamaa naona kama anatushawishi awe rahisi,huyu atawanyoosha
Ewe mungu mlinde kijana makonda kwa shari zote
Baba Makonda Damu ya Yesu ikufunike uishi miaka mingi
Anasoma yy, aibu naona mimi huku jaman😅😅😅
😂😂😂 jamani;
Mzee ;Tunduma hoyeee
Makonda ;soma baruaa😂😂😂🙌
Dah! Hii nchi watu wanadhulumiwa sana Aisee
Kweli wananchi Wana mambo magumu Sana. Mungu akulinde kijana wangu
Duh ni kama naiona CCM mpya vile sijui ni kweli, au maigizo