MTANZANIA ALIYEOLEWA OMANI ASIMULIA ILIVYOBAKI KIDOGO APITE na MUME wa MTU - AKAACHA KAZI SIKU ya 19

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • MTANZANIA ALIYEOLEWA OMANI ASIMULIA ILIVYOBAKI KIDOGO APITE na MUME wa MTU - AKAACHA KAZI SIKU ya 19
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 166

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  22 дня назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 22 дня назад +7

    حسبنا الله ونعم الوكيل

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 21 день назад +3

    Nasubir sehemu ya 5 mpenzi wanyoooshe hivyo vijibwa vinavyokuchukia❤❤❤❤ GABRIEL 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 22 дня назад +6

    Iyo ya ubalozi nakuunga mkono

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 21 день назад +7

    Huyu asiletwe nchi yoyote ni mtu mbaya sana

    • @saay4273
      @saay4273 21 день назад

      Kawaida ya mtu mbaya lazima aone watu wote ni wabaya fyuuuuu

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 11 дней назад

      Huyu namjua haja olewa alikuwa akifanya deiwaka bosi wa lisha shindwana na namba zake ninayo nakina silitaji 😂😂

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 21 день назад +6

    Hasbillahu wanemal wakeel wewe muongo sasa wewe malaya tu hukuja kwa kazi😢😢😢

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 21 день назад +5

      Ulivyo Anza hayo maneno nikazani MTU mstarabu kumbe mwehu kabisa inakuaje muambie Malaya je Kalala na Baba yako au mume wako Acha kumtukana anasimulia yalio mkuta ebu kajambe huko

    • @fatmasalim8293
      @fatmasalim8293 21 день назад +1

      @@mamasalhat na mamangu sio mstaarabu uliona hata ukajibu siwezi kubishana na wewe sikuzozea nyie kila kitu mwaamini wangekuwa wapata tabu wangekuja astghfirullah fikirieni matusi ndio mwapenda mungu mkubwa mtaona

    • @fatmasalim8293
      @fatmasalim8293 21 день назад

      @@mamasalhat na usimtaje mamangu au babanhu laanatullah

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 18 дней назад

      @@fatmasalim8293 na ulitumwa umtumane mwezako hapo si umemuambia Malaya nikakuuliza Kalala na mumeo au Baba yako?? Acha kuwazarau wezako kama wewe umekamilika usivamie wezako kuwaita Malaya yeye kasimulia maelezo yake je lazima ww kuja na mada ya kumuita Malaya?? Ukome wewe Kwanza kuvamia watu

  • @hikmatalbusaidy6566
    @hikmatalbusaidy6566 11 дней назад +1

    Mimi nahisi wa Tanzania wasiletwe tena oman wameizalilisha sana inabidi hizi video tuzipeleke kwa balozi na police

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 21 день назад +3

    Wewe dada usione unafurahisha walimwengu umetuchosha usione kuhojiwa ndo kipaji unajiabisha mtandaon tena fanya yako siokusema uaraban kunamateso sio kila bos anaroho mbaya mm kama mm ninaamani zote kwenye nyumba yangu nina miaka mitano sasa ❤❤❤❤

    • @liljammacha7806
      @liljammacha7806 21 день назад

      Na yy hajasema zote hembu muelewe

    • @saay4273
      @saay4273 21 день назад

      Kawaida ya mijitu isiyo elewa ndio maaana mnakommenti ujingaa msikilizage kwanza ndio mkoment

    • @ZulfaZulfa-yr7nd
      @ZulfaZulfa-yr7nd 20 дней назад

      Naomba nitafute nimekopa namba zangu nimekupenda Bure sere Bado yupo ubaroz

  • @salmafrancis6689
    @salmafrancis6689 22 дня назад +2

    Sema sema udugu wangu ❤❤

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 22 дня назад +8

    Nikweli kabisa ubalozi wa Tz Omani wabadiliswe wajewengine woote wazamaniwatolewe waletwe wafanyakaxi wapya hawawalokuwepo wanajikuta sana wanajiona wao wamefika. Wananyodo rohombaya unaweza upigwe makofi mbeleya nawanaonakawaidatu.kiufupi hawatusamini wa Tanzania .tunaofanyakaxihuku Oman.

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 22 дня назад

      Sana Sana kipenz 😘

    • @hanifasilimakona
      @hanifasilimakona 17 дней назад

      Mm nimepata shida nimetuma msg toka tarehe 18 wamenijibu jana 😢km ndioengekuw kufa nishazikwa tena wananambia njoo na nauli yako hatunavyakutusaidia hata sikujuw na sijapata msaada mpk saiv allah anifanyie wepes😢😢

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 17 дней назад

      @@hanifasilimakona Pole sana uposehem gani my. Haowatu wa ubalozi ni mtihani hawasaidiimtu mm nilikuananamba.zao nimezifuta sioni faidayake kabisa.

    • @hanifasilimakona
      @hanifasilimakona 17 дней назад

      @@HanifaOman-oo4pl nipo rutaq

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 17 дней назад

      @@hanifasilimakona Duu kijijini huko. Kama unaendea hizki au nixwa. Sasa ww chukua gali uje mwenyewe Embasi. Gali lakuchangia ukichukua.tax.pekeyako pesanyungi hukombali na embass ya Tz.hipo madinat.kabus halkubra. Ujesikuya.jumaanne aujumaatano ukienda sikuzingine.usikioizwe naufunguliwi geti utakaanje mpakasikuhixombili. Mtihani Pole sana

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 22 дня назад +10

    Lazima ufanye kazi umeletwa kufanya kazi na ujue boss wamelipa pesa nyingi kuwaleta mwenye kuja kufanya kazi anae kuja kufanya siyo kudanga

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 22 дня назад +2

      Kweli kabisa maneno yako

    • @lailahumaid2011
      @lailahumaid2011 22 дня назад +1

      @@rayaalhabsi1725 shukran

    • @SalamaAli-cv6uj
      @SalamaAli-cv6uj 22 дня назад +5

      Thamani ya pesa si thamani ya mtu
      waarabu wengi japo sio wote. hawathamini mashaghala
      Jitambue...

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 21 день назад +3

      ​@@SalamaAli-cv6ujasante umemaliza kila kitu ❤

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 21 день назад +1

      Ww sio Agent kweli maana izo pesa utazani unazitoa ww

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 22 дня назад +2

    لاحول ولا قوة الا بالله

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 21 день назад +1

    Hasbi allah waneema lwakil

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 21 день назад +1

    Kweli dada umeongea pwnt❤❤❤😂😂 tupo oman

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 18 дней назад

    Mtangazaji una sauti ya mvuto ❤❤❤una sauti ya mitego

  • @ZainaFatma
    @ZainaFatma 17 дней назад

    Ndio maana kizanzibar kwambali kumbe ulikaa zanzibar masha Allah

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 22 дня назад +4

    mtangazaji napenda sana saut yako

    • @husna34562
      @husna34562 21 день назад

      Mh😂😂lisaut hata halinog😂😅

  • @RabeaSaleh-np8cg
    @RabeaSaleh-np8cg 19 дней назад

    Umeongea points inshallah serekali italisikizia

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 21 день назад +1

    Wachanipande huku shida raha joto barid nimalize gorofa langu nipate kururi kwetu 🇴🇲

  • @user-ct7vm7bq9w
    @user-ct7vm7bq9w 21 день назад +3

    Wangekua Wa Oman wabaya mbona kaolewa na waoman Hana kheri wala shukrani.

    • @zaituniallyjuma8845
      @zaituniallyjuma8845 17 дней назад +1

      sio wote wabaya wagine niwazuli

    • @suheilabbas4861
      @suheilabbas4861 9 дней назад +1

      kaolewa na mu omani, wengi ambao ni wabaya ni hawa watanzania wa omani, ila mu omani og sio wengi wako hivyo. mumewe ni mzee wa kiarabu

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 22 дня назад +3

    ndio tunakabiziwa namadamu

  • @faoziyaziyaa8443
    @faoziyaziyaa8443 14 дней назад

    Wewe chizi sana

  • @user-iz2od1df4w
    @user-iz2od1df4w 21 день назад +1

    Ulienda kufanya kazi kwa hiyo utandike kitanda cha boss au ufue au chochote kinachoitwa kazi ya nyumba unalipwa mshahara acheni upumbavu na uwongo daima mnashtaki aliniachia nioshe vyombo na kusafisha na nini nae kaa anastarehe eboo na kakuleta kakulipia na anakulipa mshahara na unataka akusaidie kazi pia 😅

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 11 дней назад

    Huyo jamani haja olewa omani na alikuwa akipiga deiwaka😂😂😂 Jina lake nalificha

  • @lailalaila9114
    @lailalaila9114 21 день назад +1

    Mie nikajua Una nyumba kumbe Una mashamba 😂😂😂 tena sio mashamba ni vichochoro 😂😂😂 kujichoresha tu 😅😅😅

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 22 дня назад +3

    Sema mzaramo wangu sema mjumbe hauwawi 😂🙌 Irene from Al Mabela

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 21 день назад +1

    HIZI NDO SABABU ZA SINGLE MOTHER KWENDA MBALI NA WATT ATA WAFANYA WENGI WA OMAN AU NJE YA NCHI WANAENDA KUTAFUTIA WATT ALAFU BABA WATT YUPO TU ANA ZUNGUSHA SURUALI SERIKAL YA TZ WAJIBISHA WA BABA WANAOKIMBIA MAJUKUM

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 18 дней назад

    Mtangazaji tunaye na tunatamba nae,unachomekea hatari nakupa mauwa yako🎉🎉🎉

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 11 дней назад

    Jamani kaolewa lini huyo wakati alikuwa Achana hata bosi siku nyingi akawa anapiga deiwaka jamani kwani aliolewa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 21 день назад +1

    Yaaaaan comments nyingi za hum yaaaan kina mashaghala na makadama maana wana mchamba huyu dada uwii

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 22 дня назад +5

    Endeleeni kupita na mabwana za watu mkiuliwa tutatype R.I.P tukisonga😂😂

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 21 день назад +3

    Tunao muelewa huyu dada ni wachache sana mie nakuelewa na nimefuraha kuja kusema ukwlei mateso ya oman japo wapo wanao watetea ningekujua na soda ungekunywa

    • @mdhafsa-kx2tc
      @mdhafsa-kx2tc 21 день назад +2

      Hakika alichoongea ni kweli kabisa

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 21 день назад +1

      @@mdhafsa-kx2tc wanao ukataa ukweli ndio wale watumwa WA koloni yaani MTU anaeleza ukweli tunayo fanyiwa wao Wana mtukana ama kweli mashaghala hawana hakili baazi ndio maana tuna zauliwa mashaghala WA tz Kwanza sie wenyewe hatupendani

  • @majabiali973
    @majabiali973 21 день назад +1

    Ukitakaa. Msada ubalozini ukubali kuwekwa chupi upande ,kma hutaki ndyi yanatukuta yakukosa misadaa

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn 22 дня назад

    Kumekucha😮

  • @Naw89
    @Naw89 21 день назад +1

    Nakushauri tu usimpigie mumeo pia jitahidi kumficha usimnadi sana mana hasadi nazo hazipo mbali
    Mtegemee Allah usivuke mipaka mpendwa

    • @SalamaAli-cv6uj
      @SalamaAli-cv6uj 21 день назад +1

      Kabisa apo umemshauri kitu, mahasidi upepo wapo umu mitandaoni.. comment zao zinajulikana..

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m 19 дней назад

    Nikweli sadakta

  • @user-gu1lg2zr8s
    @user-gu1lg2zr8s 17 дней назад

    Wanaochukua wanaume za watu, wanakua na hio nia tayari wanapotoka nyumbani... Ovyoooo sana

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 21 день назад +3

    Shika dabuyako wewe yangekushinda usinge kaa miaka4 na mimbajuu mpyuu

  • @user-pw9oy7nb9e
    @user-pw9oy7nb9e 21 день назад

    Ubalozi amna msaaada wowote jaman

  • @ZulfaZulfa-yr7nd
    @ZulfaZulfa-yr7nd 20 дней назад

    Jamani acheni kumkandiya na nyinyi tafuteni baati zinu kama arikua ana danga na wwe kadange upate mume uworew

  • @user-ct7vm7bq9w
    @user-ct7vm7bq9w 21 день назад

    Wewe Dada jaribu kua kweli mbona husemi udhaifu wako shida ngapi huko Tz upo.

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 18 дней назад

    Huyu dada mwehu

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 21 день назад +1

    Hilo la kuiba waume za watu ndili mnaloendea ughaibuni

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 22 дня назад +1

    Waambie ukweli maana atuna msada wwte

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m 19 дней назад

    Wewe Dada kama mimi tunaendana Sanaa mimi nakumpenda nataka urafiki na wewe sio utani mimi sasa nipo omani

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt829 21 день назад

    Ahsant dadazanini Maneno sahihiiiiiii 😅😅😅😅😅

  • @TatuSaid-lq2zh
    @TatuSaid-lq2zh 21 день назад +1

    Wanaosema wewe muongo wanajilas ila umesema kwel tupuu

  • @wastarangayonga8562
    @wastarangayonga8562 21 день назад +1

    Wazaram mauwa yao

  • @Official83640
    @Official83640 22 дня назад +1

    Eeh huyu ana endelea ana lipwa sh ngp kwani kah Global mmeamua kumchokonoa huyu kiumbe😂😂😂😂😂

  • @majabiali973
    @majabiali973 21 день назад

    Pole mwaya yaninikuta na mm ayo heee nilirud kwet chizii ,mke mwenzaa mmakunduchii heeee nilitaka kufaa mama

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 21 день назад

    Kwenyeuchokoz wako vzr😂😂😂😂

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 11 дней назад

    Huyu dada kwanza nauliza akarudi lini pili huyu alikuwa HANA bosi balı alikuwa anapiga deiwaka. Mwenyewe anamdomo tena alikuwa akiniabia hapa nipo piga deiwaka wakinizingua pia naondoka je akarudi lini alikuwa HANA bosi huyo dada ni nakama MWEZİ tuu sijaongea nae

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 22 дня назад +2

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Acha nipambane nimebakiza dirixha mbili ili ni enjoy

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 21 день назад

    Swala sio kuuziwa talaka ukitaka kuachwa kisheria unatakiwa urejeshe mahari ,sio kutaka kuuziwa talaka!

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 22 дня назад

    Mbona kupita nae hahahahahaaa 🤣🙌

  • @nawwalally3640
    @nawwalally3640 22 дня назад +2

    mume tunaye na tuna tamba naye👌💃💃💃💃😂😂😂😂😂

  • @SabiamSuleimanmtwalo
    @SabiamSuleimanmtwalo 21 день назад

    Nimependa hap mwisho kipenz umemalizia utamu san

  • @fatimakabuei179
    @fatimakabuei179 21 день назад

    Mwambie huyo dada mm nataka namba ya ajenti nahitaji mume oman

  • @user-dx6dm6lh1i
    @user-dx6dm6lh1i 22 дня назад

    Mume anae na anatamba nae 😂😂😂nalo neno.

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 21 день назад

    Asiyependa apite kushoto au tuachie sisi tunaopendq stories

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd 21 день назад

    Makubwa

  • @user-lq7kv7sx3t
    @user-lq7kv7sx3t 22 дня назад +6

    Muongo mmoja ww mimi nieoa Morogoro na mke wangu ninae nyumbanu Zanzibar nawala hakubagukiwa weka sawa maneno yako ww

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 22 дня назад

      Kwani kakulia nn chako uyu dada

    • @MwanakomboNassor-bw3by
      @MwanakomboNassor-bw3by 22 дня назад

      ​@@rayahamisi118 Haswaa muulize huyo wazanzibar wabaguzi sana tu

    • @SalamaAli-cv6uj
      @SalamaAli-cv6uj 22 дня назад

      Hii ya ubaguzi zanzibar ni itakua ni kweli nshasikia kesi nyingi sana kuhusu hilo yani mwanaume wa zanzibar Akio mke bara wengi inakua mtiani kwa Familia uko zz
      nishaona mmoja ameoa mke bara wazazi wake wanamwambia amuache haraka,
      na akaoe uko washamchagulia mke..

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 21 день назад

      Usikate bwana weeh WA Zanzibar wabaguzi mashahidi kwa hili tupo wengi toka hapa unakatakaa ukweli wakati unajulikana😏

    • @SabiamSuleimanmtwalo
      @SabiamSuleimanmtwalo 21 день назад

      We Iyo anayoongea Ni kweli kabisa wazanzibar ndio zao yaan sio utani ameongea ukweli kabisa

  • @wastarangayonga8562
    @wastarangayonga8562 21 день назад

    Ukweli umesema ila usisubutu kurudi😂😂😂wanakufanya supu

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 22 дня назад

    Swalii nzur kabsa ulomuulizaaa kuhusuu damu inachemkaaa

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 21 день назад

    Hayo mahujiano yakifika serekali ya omani yatakuponza shoga

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 21 день назад

    Hapokwenye ubaloz swadakta hawanakaz yoyotehuku wanakula mishaharatu

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 16 дней назад

    Mm nitabaki Tanzania uarabuni mateso nasikia kufira wafanyakazi uko watoto wa mabosi watoto zao wakiume wakirudi wanakufira kuna mtu alituadisia he alichofanyiwa huko dubai

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 21 день назад

    Wa oman wagekuwa wabaya vp umeolewa na muoman?ww dd acha kiki za kishetani,

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 20 дней назад

    Shoga nawe simuolewaji mtafutahi tu,mh pambana sasa utaona bahati yako

  • @Naw89
    @Naw89 21 день назад

    Ubalozi wanalipwa na maboss ukienda pale husikilizwi watachukua na chemba na boss wanapewa pesa unalidishwa kwa boss
    Hatari yake unaweza pigwa na wao wakatulia kama maji

  • @bikeymmaka2589
    @bikeymmaka2589 22 дня назад +1

    Mm najua an nyumbn kimbe kiwanja .

  • @OmanOman-fr5hl
    @OmanOman-fr5hl 22 дня назад +2

    Kahaba mkubwa ww nyoo wamikoseya wangikufnga jela hta miyaka ufie oman ndo ungilijua jiji pumbavu mtu mzima ovyo nyooo ajuza ulopevuka

    • @SalamaAli-cv6uj
      @SalamaAli-cv6uj 21 день назад +3

      Kahaba haolewi.. uyu kaolewa..
      Na ilikua afungwe miaka mpaka afie jela kwa kosa lipi tujuze?
      Alafu Ajuza kakuzalia mamaako??

    • @Mariammwanga-xv2gx
      @Mariammwanga-xv2gx 21 день назад

      Chuki itamuuwa kabisa ​@@SalamaAli-cv6uj

    • @Mariammwanga-xv2gx
      @Mariammwanga-xv2gx 21 день назад +2

      Dua ya kuku iyo kahaba mwenyewe una unalo lijua kima wewe

    • @SabiamSuleimanmtwalo
      @SabiamSuleimanmtwalo 21 день назад

      We kweli mkund kuwaka kweli yaan unamuombea mwenzak afie jera fala kweli we Kuna kibuy san dua la kuku ILO alimpat mwew fala

    • @liljammacha7806
      @liljammacha7806 21 день назад

      Mbn unamtukana mtu ht humjui??

  • @saidijuma5424
    @saidijuma5424 21 день назад

    Huyo ndio wale wa rial 2 huku😂😂😂

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 21 день назад

    😂😂😂😂wasichana wa kitanzania mnatia aibu sasa ww si ulikuja fanya kazi mume wa Mtu wamtaka wa nini bora mfungiwe tu mkae kwenu

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 22 дня назад +1

    Dada nimekupenda sana,ukovizuri ,unajibu vizu wa dada mjifunze,dada anaongea pointi,sana kaka fabi tunashukuru kutuletea huyu dada,,mimi binafs nachukua yakwangu, hapo,

    • @saudalilingani9264
      @saudalilingani9264 21 день назад

      Nimempenda sana saaana huyu binti kwani anajiamini mnnnooo.
      Safiiii❤❤❤❤❤

    • @saudalilingani9264
      @saudalilingani9264 21 день назад

      Ufupi umeniongezea muda wa kuishi sbb umenipa furaha sana

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 21 день назад

    Na wewe nenda karoge

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 21 день назад

    Upita nae waarabu watapita na wewe uko si Tanzania

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 22 дня назад +1

    Kabisa ndugu yangu uku akuna wema

  • @songombingo108
    @songombingo108 21 день назад

    Mdangaji huyu katuchosha

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 22 дня назад +2

    wanaume zao watupenda sisi watanzania wamoto niwatamu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 22 дня назад +1

      Jipumbaze akili bs

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 22 дня назад

      Mmmmmmhh mmefata kaz au utam wa maboss

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 21 день назад

      @@petermanala6138 ndio hpo mmeona unajidhihirisha wazi na wala hawatak bs wale wazee ndio waangukia

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 21 день назад

      Manina subiri ukifumaniwa utamu utakatika😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 17 дней назад

      😂😂una ujinga sana 😂😂sisubutuu kifunuliwa na Boss Wang

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 22 дня назад

    WANAWAKE WENGI WA KIOMANI HAWAJITAMBUI KAMA WAPO NDOANI....UNAKUTA SHAGHALA ANAFANYA HATA LINALOMUHUSU MADAM ULIFANYE WEW....WAJIREKEBISHE KWA KWELI... LAAH ....SIVYO ..WAUME ZAO WATABEBWA NA SHAGHALA 📌✔️

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 21 день назад +1

    Wanawake wakiOmani hawajitambui katika ndoa kazi yao kubwa kujirembesha na kwenda shopping katika Malls kila jioni.....Waume zao wanacharuka sana !

    • @KhadijaDija-ir2hq
      @KhadijaDija-ir2hq 21 день назад

      Kuangalia TV 'simu 'na kula😅😅😅lkn ukiingia uko vyumbani kwa wanandoa looh ! Usijesema uingie vyooni pooo na wanavyojifanya wanajua usafi sasa hawana lolote

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 21 день назад

      @@KhadijaDija-ir2hq 🤣🤣🤣🤣....Bora wajirekebishe la sivyo Waume watanyakuliwa na madada wa kazi

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 22 дня назад +1

    We dada ebu tulia bn unatuchosha bn ww ushamaliza manukumu yk uku acha ss tupambane s

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 22 дня назад

    Boss gani atamtaka andunje kibabu kimejiokotea 😂

  • @aby21111
    @aby21111 22 дня назад +1

    Machawi wewe naroga marabu.