Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu. Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.
@@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .
@@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana
Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .
Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.
Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢
Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢
Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.
Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?
Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister
Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.
Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini
Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka
Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart
Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina
Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??
Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???
Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo
Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?. Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.
Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako
Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze
Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda
Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida
Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga
Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology
Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule
Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.
Jamaa Amekosa Mke.. Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .
Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara
Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda
Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂
Pole sana sabi but ni kujifunza kutozidgarau alama hatarishi inaonesha huyo baba ali move on kitambo but ulimpenda zaidi mwenzio ktk Safari yake hakukujumuisha na pili hukushtuka ktk structure ya kampuni na hisa alikuzunguka just move on mtangulize mungu mapenz yalikupofua mungu yu hai usipojihurumia wanao watakukosa cuz ur still grieving the guy wanted u out mungu kakupenda utazeekea court unaonekana mpambanaji kaanze upya Tu my dear
Dah! Wanaume wanaume wanaume jamaniiiiiiiii. Pole dear tena sana na Mungu akuteteee huko kupooza kusiongezeke kwa ajili ya mawazo. Km ni kweli usemayo, tunamwamini huyu Mungu aliye hai, anayeona hata tusiyoyaona sisi alotuumba. Atajibu kwa wakati.
Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh
Wanawake hatupendani kabisa,utakuta huyo Neema anaenjoy mwenyewe sahivi hajui wawili hao walitafuta,jasho la mtu hilo halafu akumbuke kuna kesho,you loose them how you get them😅
Pole san hakika ila mwanamke mwanamke usiruhus mwanamke mwenzio aliye kwa sababu yako my dear tafuta chako kunuwa maji ya kisima chako mwenyewe tuache maisha ya kulaaniwa na watu
Mwanamk awez kukuacha bila sbb Kuna kitu kizto hapo unaweza ukawa mpole wa muonekano lkn moyon wee acha tu sema maisha au ndoa Zina Siri kubwa....Sasa ulivyo mpole Mzur hivi jamaa anashndwa kurudiana nww Kuna kitu hapo chin ya kapet
Nasema mali fedha vyote ni vya kupiata duniani thamani ya utu ni muhimu. kama umetafuta na mke wako kwajili yake na watoto wako. Kwanini wengine wakale bila jasho. Mimi nilisha sema. Mungu anipe azidi kunipa hekima sana. Sipendi kuona mwenzangu anapitia maumivu wakati tumetafuta wote. Vyote ni kwajili ya familia sio watu wakuja wapya maishani mwetu. Tena ukiwa umepewa mwanamke mcha Mungu unataka nini kingine zaidi.
Dada pole sana kama unajasho lako ktk Mari hizo ila jamani sis wanaume tuelewe kitu wanawake wanaoijiua Mari wako active sana ila wanakujaga kupoteza ramani baada yakujikuta wao ndo kila kitu kwani wao huwa wanahesabia Faida tu ivo ukizembea kuwasikiliza mambo huwa yanakua kizungumkuti sana lakini kuna haja yakuaminiana kama mmefikia kuzaa watoto wa3 ninyi ni ndugu wa damu, pia kaka hawa wanawake wanaotupenda tukiwa tayari tunamafanikio lengo Lao ni mafanikiona sio maisha ivo tujiadhari kuwatio machozi tuliofanikiwa nao ktk nyakati ngumu.
Shetani yupo kazini kwenye eneo la ndoa.Watu hawapo makini ila hili eneo limevamiwa sana na source ya yote ni sisi wanawake wenyewe kuingilia mahusiano au ndoa za watu wengine .Hapo ukute mwanamme anafanya maamuzi kwa shinikizo la neema kwa sababu ninachoamini kwa mtu mwenye akili timamu ambaye kweli ulimuoa mke wako na mkazaa na watoto hata kama mnaachana ni mnaachana kwa amani na kwa kuangalia ustawi wa watoto wenu.Niaminivyo mimi kama mwanamme amemchoka mwanamke huwa anaondoka kutafta amani kama ndio ilikua haiwezekani tena na hutaona anadhulumu chochote kwani anajua vyote hivyo ni vya watoto wake.Na kuna ambao mapenzi yanakua yameshakufa lakini for the sake ya watoto unakuta wanatafta namna nzuri ya kuachana pasipo kuwaathiri watoto.Nina kesi nyingi za namna hii nimekutana nazo za ndoa kuharibika lakini ukimuangalia mwanamme anachofanya unajua kabisa sio akili zake. Wanalogwa bagamoyo kila kukicha wanawake wanakesha huko kuwaloga maskini akimuangalia mkewe anaomuona kama Paka mwizi.Na wanaume wanatakiwa kutumia akili ya kawaida tu kuwa kwa mwanamke aliyekupenda kwa dhoti hawezi kuikubali nyumba ambayo hakuijenga au Mali ambayo hakuitafuta ,kama anakupenda kweli atakushauri mkaanze upya na alivyokukuta navyo uwaachie watoto wako na mke wako ,hapo ndio kinakua kipimo pekee cha mwanamke huyo mpya kumjua moyo wake na mawazo yake.Lakini ukiona anang'ang'ania hata visivyo vyake na wala hajali ustawi wa watoto wako ujue hata wewe hakupendi ana kitu kafuata kwako.Wanamme stukeni jamani mnalishwa vitu vya ajabu fahamu na akili zinaharibiwa.
Sabrina mm mwenyewe alinitapeli Viatu hapa orsini wangu jamani kiatu cha elfu 50 kweli kanisa alipita hapa dukani akaniambia nimpe kiatu mpaka leo simuoni jamani
Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu.
Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.
Aiseee
Hakika wewe nimuungwana🙌
Mahakama ni mtihani tuu fedha inaongea,ndio maana nchi nzima kesi tupu watu wanalia haki hakuna
Pole.sana
Kwani makonda aloshindwa tena? Tunalishwa matango pori na wanasiasa? 🤔
@@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .
Pole sana Sabina Mungu akutetee....nafahamu mlivyopendana mlipokuwa na maisha ya chini....acha Mungu atashughulika naye
Pole sana dada angu......hayo ni mapito tu, malipo ni hapa hapa duniani.
Ni swala la Muda tuu.
Yeah true👂
Mp
O.ko@@bakari-si1pw
Pole Sabina nakujua sana wewe ni mpambanaji mungu akuongoze upate haki yako
Pole sana dadangu. Ngojea tu na angalia ukiomba. Mungu atakuonyesha kitakachotokea.
Dada anaonekana ana hofu ya Mungu mwanaume Hana hata chembe kakamatwa na malaya😭🙌 hiv mwanamke kama huyu namwachaje jaman anavoongea kwa huruma iv🤔🤷
Daah jaman wanaume angalie sana
Unawajua wanawake vizuri wewe
Jichanganye😂
Jambo usilolijua ni usiku wa giza
Daaah kama anayosema huyu mama ni kweli,basi kuna viumbe ni mashetani
Siku zote watu wanavyosimulia Kuna mambo huwa wanaficha kwaiyo utakiwi kuamini Kila kitu
Umemsikiliza na mlalamikiwa?
@@bockerNyarusahi kwenye kusoma kuna hivi vitu
1.Kusoma
2.kuelewa
Ukisoma kitu unatakiwa na kuelewa,sio unasoma kama unasoma token za Luku
@@AwardHakimuKuna kitu kina itwa saikolojia😂 kwa hio tumia hio pia na kama hujui utabaki kusema utumbo
@@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana
Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .
]Pole sana dad,omba kwa nguvu zote maan hakna kigumu mbele za mwrnyez Mung
Uyo mwanamke kamuloga mme wako dada angu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Mungu atakusimamia mamaa
Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.
Huyu anatumia nguvu ya hela hawezi kukamatwa.
Ila wanaume naishiwa maneno aiseee😢😢😢😢😢yaan ni viumbe hatar sana kwenye maisha yetu,,,,,,ndo chanzo ya kutukosesha aman
Daah huyu mwanamke ana hekima mno
Huwezi jua,anaweza akawa anaonekana anahekima kwa kumtazama lkn deep inside yuko tofauti kabisa
Hapana mtu mwenye hekima anaonekana tu kwa mahojiano yote hayo changanya na maumivu Kuna ki jitabia angekionesha tu
@@innocentpaulchillu1512uko sahihi wanao shabikia kwa kuangalia tu hawana familia na hawajawahi pitia haya matatizo....Ngoja wakue
Wanawake ni waongo hakuna kitu kama hicho@@mwanaidimrindoko4117
@@innocentpaulchillu1512kweli kabisa
Anaonekana amepata maumivu kweli , pole Dada
Makubwa kweli
Pole sana mama, pengine Mungu amekuepusha na mengi. Kwa sasa hivi wewe Sali sana mtegee Mungu
Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢
Usihukumu kama haijasikilizwa upande wa pili
Kama ingekuwa ni mimi hatokuja kupatana na watoto.
Wanawake lazima tujikubali, na kujipenda . Kupewa talaka ndio mwanzo wa maisha mapya, simama na mungu atakupigania
Dada weeee hujielewi wewe inaoneka una shida
Pole Sana Dada! Nakuombea umwachilie na kumtoa moyoni huyo jamaa na kumove on itakuletea shida mno na hata umauti pengine!! Move On!!
Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢
Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.
Wewe nimimi kabisa ninavyoipenda amani kuliko chochote
Akisoma hii comment naomba aitilie maanani
@@ruqaiamohammed345 tena azingatie
@@OmanOman-ns3iw sana yan
Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?
Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister
Kabisa ukimsikiliza tu unapata jibu shida ipo kwa mume na kimada kimeshikilia makali.
Don't trust a girl in a first impression pls
@@amosstimamaroba1054 uko sawa kabisa
Wewe ndio utakua uyo mumewe maana umekazana kumsema dada wa wawatu@@amosstimamaroba1054
Dada Pole Muombe Mungu wanawake tunapitia mengi ya kuumiza. Mungu akufanyie wepesi
Duh mwanamke ukiwa na mali au akili ya pesa kuwa makini sana ,
Sisemi zaidi
Sanaa kuwa makini sana
Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.
Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini
Dada yupo Mungu mtegemee tu UTASHINDA VITA SI VYAKO NI VYA BWANA
Pole sana dadangu wachana na yeye kubali talaka mgawane Mali.
Wewe ni mpambanaji and l believe you can do it.
Mwanamke mwenzake kapindua meza daaah
Atakufa kama inzi huyo
Neema huyo, si mke ni kimada tu inaonekana
Pole mbona Mungu ni mwema sana anakuepusha na jambo fulani❤ shukuru sana
Mtulie mimi mjane namshukuru mungu mume miaka 24 yandoa katwaliwa kaend kwa amani .maisha yaha
Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka
Snake snake then you snake cut left, sheria mpya inahitajika huwezi kuwa billionaire kwa kuosha vyombo wazee wa Cuba gonga like hapa
Mikopo jamani..Haujasikia hapo amesema walikopa milioni 250 sijui
Utashinda dada mungu atapigana hv vita huyo malaya anayekula n huy mwanaume omba mungu atawaua wote huyo mwanaume hana mda mrefu lazma ataanguka chini
Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart
Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina
Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??
Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???
Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo
Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?.
Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.
101%
MUNGU nisamehe matatizo ya ndoa hayapelekwi kwenye mitandao turudi kwenye Mila na desturi zetu Kuna suluhu huko
nyie ndo walewale
Inaumiza sana, sana,, daaaa... Aiseeee.. Wanaume, wanaume, wanaume.. tatizo. Nini???
Dada anaongea Kwa hekima Sana ingawa anadai Haki yake lakini Bado anaonyesha unyenyekevu. Mungu amsaidie apate haki zake. Aamen .
Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako
Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze
Kabusa
Dada Mlilie mungu wako wewe muachie mungu afanye kazi yake piga goti kwa mungu atakusikia
Ongeza maombi Dada Mungu ni mwema
Pole sana dada.mungu atakulipia hapahapa duniani.usisikitike sana.mungu akupe afya na wanao na akufanyie wepesi kwa kila jambo.
Utapata mume namtapendana namaisha yatasoga I'm formo Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼
Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda
Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida
Wanaumeee tunapigwa juuu chinii😢😢😢 uyo mama anaonyesha ni mjeuri sana 😢😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa kama mjeur si ampe Mali zake😊
@@aishajuma18 unauhakika ni zake
@@golebenson4597 Kumbe za kwako
Anavyosema dada mrembo neema ,kwa upole jamani😢
Balance story sio kusikiliza upande mmoja tu, pia pata wanasheria watafsri. Please grow
Tena unaweza kuta jamaa anapitia magumu sana hawa waone tu wanaongea kwa utulivu ni nyoka akili kisoda
Na angekuwa na hekima asingeenda kwenye vyombo vya habari, Wala kwa mkuu wa mkoa wanaume tunapitia mengi zaidi
Nikweli
Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga
Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology
Kweli kabsa ndugu
Usema Lina ukweli na huku anajidanganya hakuna haki bali ni kujidhalilisha na kuongeaz chuku
Kweli ana majuto, anajua alifanyalo
Kunamtu anakoment Sana namuhisi ndio mchepuko wa julias😅mwacheni apiganie haki yake
Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule
Mbona humshauri Mwanamme
Dah!! Pole sana Wanawake wenye hekika kama hawa kwa sasa Hawapo.. nimependa busara yako
One strong thing is ,ukiacha mali yako ipotee bila kupambana ni dhambi…pambana ikishindikana let it go ,karma is gonna hit him so baaad 📌
Pole sana mwanamke mwenzang umepita kwenye mapito mungu pia atakusimamia kwa hili kazana sala na maombi
Daaah pole sana dada, wanaume muda mwingine sijui tunafeli wapi 🤔.
yaan ata mm suali kama hilo najiuliza
Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.
Ooooh!pole sana dada mshkuru Mungu Allah atakulipia malipo ni hp hp Dunian
Hakimu wa pekee ni Mungu tu. Jipe moyo aliyekubariki atawajibu wote waliokudhulumu.
mama pole sana jasho lako haritapita bure ,kunasiku ataripia .usione mungu abacherewa kujibu maombi enderea kuomba kwa imani .
Ni kusikia upande mmoja inawezekana aliekuwa mumewe akikueleza unaweza shangaa
Ukweli,ukiangalia uso wa hyu mwanamke unajua TU kuwa anampanda kichwani jamaa,et aliuza bila idhaa yangu😢😅
Kwakweli
Sasa si ndoazungumze tumsikie
Hakika mambo hayo ni Siri , mwenyezi mungu ndio anajua
@@user-wk1ix1gm1phuyu mwanaume hapendi mambo ya mitandaoni ndio maana Yuko kimnya,
Mali ni shida wanaume wakipata basiii mnatafuta kwa shida kubwaa sana baadae anakimbia anakula na kimada baadae anarudii uwiii😢
Jamaa Amekosa Mke..
Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .
Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara
Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda
Mungu akulinde mama , mmmhhhh siku hizi mali zinaua, mtangulize MUNGU kila upitapo .
Polesana mlembo ila uyojamaa iposiku atakujutia sana maana wewe nimwanamke aseee amepoteza
Pole Sana Dada Mungu atakusimamia kwani unaonekana mcha mungu komaa kwani bado unaishi utafanikiwa
Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂
Pole Sabina Mungu akutetee aisee
Pole sana sabi but ni kujifunza kutozidgarau alama hatarishi inaonesha huyo baba ali move on kitambo but ulimpenda zaidi mwenzio ktk Safari yake hakukujumuisha na pili hukushtuka ktk structure ya kampuni na hisa alikuzunguka just move on mtangulize mungu mapenz yalikupofua mungu yu hai usipojihurumia wanao watakukosa cuz ur still grieving the guy wanted u out mungu kakupenda utazeekea court unaonekana mpambanaji kaanze upya
Tu my dear
Dah! Wanaume wanaume wanaume jamaniiiiiiiii.
Pole dear tena sana na Mungu akuteteee huko kupooza kusiongezeke kwa ajili ya mawazo.
Km ni kweli usemayo, tunamwamini huyu Mungu aliye hai, anayeona hata tusiyoyaona sisi alotuumba. Atajibu kwa wakati.
Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh
Huyu mwanamke ana nyota akiachilia mambo aanze upya atafika mbali na huyo mume atalose kila kitu
Umeona kama nilivyoona mimi.
Mkuu wa mkoa amsaidie huyu Dada inaumaa sana mali kichuma wote alafu mwanamke mwingine atawale hata mungu hapendi
Huyu mwanaume nmemuelewa sanaa kawahi mapema kuchukua chake mapema ila huko alipoenda aangalie atapigwa na kitu heavy atajuta maishani
😂😂😂😂😂Kweli umesema
Wanaume huwa hatuachi kiurahisi ukiona hivi mwamba alishaona mbali
Kweli kabisa wanawake hawaeleweki anaweza kuongea ukahisi yupo sahihi
Mungu wa mbinguni akusimamie haki yako itasimama daima kwa jina la Yesu
kata rufaa kwani sioni kutendewa haki hapo kwenye mgawayo, pili mgungie novena ya soku tisa Mungu atayakibu maombi yako, pole mno mama
Novena ya siku tisa kama ana kosa nae kidogo tuu nae itamdhuru kuwa Malini na kitu novena
Mungu akufanyie wepesi upate haki yako dada angu
Dada yangu pole sana, mwachie Mungu , usipiganie Mali mwenyewe, Mungu atakupigania
Weee meaning this man was there for wealth not marriage
Mwenye haki haachwi...pole dada...Mungu atakupigania
Pole sana
Pole mpnz Mungu akusimamie
Nisa hihi hakuna kudhulumu au kudhulumiwa allahu amesema
Pole sana dada mungu atafanya jambo juu yako
Wanawake hatupendani kabisa,utakuta huyo Neema anaenjoy mwenyewe sahivi hajui wawili hao walitafuta,jasho la mtu hilo halafu akumbuke kuna kesho,you loose them how you get them😅
Mim jamani narudiaaaa...staki maskin mim kabsa...shindwaaaa pepo la maskin, shindwaaa, kweli Mwenyenz Mungu niepushe na mwanaume/ rafki maskin
si vyema sana kuamin kila kitu hasa kusikiliza upande mmoja,wanaume wanapitia meng,wanaume wanacheat sana lakn mke ukijielewa hawez acha familia
Dada Jamani Mungu akukutetee Mungu akufanyie njia hajawahi shindwa kabisa jipe Moyo najua unapambania hatima ya watoto wako. Mnganganie Mungu haswa
Pole sana najiona kabisa mimi hapa
Pole san hakika ila mwanamke mwanamke usiruhus mwanamke mwenzio aliye kwa sababu yako my dear tafuta chako kunuwa maji ya kisima chako mwenyewe tuache maisha ya kulaaniwa na watu
Pole sana mama lakn natamani nimsikie baba amepitia nn pia
Mwanamk awez kukuacha bila sbb Kuna kitu kizto hapo unaweza ukawa mpole wa muonekano lkn moyon wee acha tu sema maisha au ndoa Zina Siri kubwa....Sasa ulivyo mpole Mzur hivi jamaa anashndwa kurudiana nww Kuna kitu hapo chin ya kapet
Chin ya kapet yupo malaya mbona jibu simple
SHERIA Haitaji SIASA....Makonda anaendesha mambo kwa mihemko na Sifa...Sasa Dada kaambulia nini zaidi ya Talaka?
James hakuna amani ya ndoa kwenye mitandao, Kuna jambo haliko poa tunakimbilia kwenye kwenye issue ya ndoa kweli?
Daaaah i can feel your pain 😢😢
Chanzo cha Julius kuondoka home ni kikubwa muno. Mambo hayawekwi wazi
100%
Point ☝️
umalaya ndo umemuondoa nyumbani
Kwahiyo hapo watoto hajapata chochote mungu atie nguvu utapata zaidi nae atafilisika tu
Nasema mali fedha vyote ni vya kupiata duniani thamani ya utu ni muhimu. kama umetafuta na mke wako kwajili yake na watoto wako. Kwanini wengine wakale bila jasho. Mimi nilisha sema. Mungu anipe azidi kunipa hekima sana. Sipendi kuona mwenzangu anapitia maumivu wakati tumetafuta wote. Vyote ni kwajili ya familia sio watu wakuja wapya maishani mwetu. Tena ukiwa umepewa mwanamke mcha Mungu unataka nini kingine zaidi.
Dada kesho nenda viwanja vya Mageleza Kisongo..Kamuone Pastor Ezekiel
Magereza sio mageleza
😂😂😂
Dada pole sana kama unajasho lako ktk Mari hizo ila jamani sis wanaume tuelewe kitu wanawake wanaoijiua Mari wako active sana ila wanakujaga kupoteza ramani baada yakujikuta wao ndo kila kitu kwani wao huwa wanahesabia Faida tu ivo ukizembea kuwasikiliza mambo huwa yanakua kizungumkuti sana lakini kuna haja yakuaminiana kama mmefikia kuzaa watoto wa3 ninyi ni ndugu wa damu, pia kaka hawa wanawake wanaotupenda tukiwa tayari tunamafanikio lengo Lao ni mafanikiona sio maisha ivo tujiadhari kuwatio machozi tuliofanikiwa nao ktk nyakati ngumu.
Shetani yupo kazini kwenye eneo la ndoa.Watu hawapo makini ila hili eneo limevamiwa sana na source ya yote ni sisi wanawake wenyewe kuingilia mahusiano au ndoa za watu wengine .Hapo ukute mwanamme anafanya maamuzi kwa shinikizo la neema kwa sababu ninachoamini kwa mtu mwenye akili timamu ambaye kweli ulimuoa mke wako na mkazaa na watoto hata kama mnaachana ni mnaachana kwa amani na kwa kuangalia ustawi wa watoto wenu.Niaminivyo mimi kama mwanamme amemchoka mwanamke huwa anaondoka kutafta amani kama ndio ilikua haiwezekani tena na hutaona anadhulumu chochote kwani anajua vyote hivyo ni vya watoto wake.Na kuna ambao mapenzi yanakua yameshakufa lakini for the sake ya watoto unakuta wanatafta namna nzuri ya kuachana pasipo kuwaathiri watoto.Nina kesi nyingi za namna hii nimekutana nazo za ndoa kuharibika lakini ukimuangalia mwanamme anachofanya unajua kabisa sio akili zake. Wanalogwa bagamoyo kila kukicha wanawake wanakesha huko kuwaloga maskini akimuangalia mkewe anaomuona kama Paka mwizi.Na wanaume wanatakiwa kutumia akili ya kawaida tu kuwa kwa mwanamke aliyekupenda kwa dhoti hawezi kuikubali nyumba ambayo hakuijenga au Mali ambayo hakuitafuta ,kama anakupenda kweli atakushauri mkaanze upya na alivyokukuta navyo uwaachie watoto wako na mke wako ,hapo ndio kinakua kipimo pekee cha mwanamke huyo mpya kumjua moyo wake na mawazo yake.Lakini ukiona anang'ang'ania hata visivyo vyake na wala hajali ustawi wa watoto wako ujue hata wewe hakupendi ana kitu kafuata kwako.Wanamme stukeni jamani mnalishwa vitu vya ajabu fahamu na akili zinaharibiwa.
Dada pole sana achia moyo wako yote ni mapita nakuonea huruma asije kukutoa roho huyo xmume😢
Sabrina mm mwenyewe alinitapeli Viatu hapa orsini wangu jamani kiatu cha elfu 50 kweli kanisa alipita hapa dukani akaniambia nimpe kiatu mpaka leo simuoni jamani
Pole dear 😢😢😢 utasimama tena
pole sana mume mwenyewe aliekuoa mbona alikuwa mzee