MAKONDA AINGILIA KATI, DADA ATAPELIWA GARI ZAKE 4 ZA MILL ZAIDI YA 500 ARUSHA "NILIKUWA MZURI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024

Комментарии • 289

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Месяц назад +36

    Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii

  • @mcback4384
    @mcback4384 Месяц назад +73

    Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад +7

      RIP JPM

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад +4

      Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
      Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
      Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Месяц назад +1

      ​@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Месяц назад +38

    Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
    Tuendelee kumtumainia Mungu😢

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад +37

    Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa

  • @user-fz2qn5to1v
    @user-fz2qn5to1v Месяц назад +28

    Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania

    • @hassanihamisi6239
      @hassanihamisi6239 27 дней назад

      Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Месяц назад +9

    Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 Месяц назад +5

    Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Месяц назад +35

    Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman

  • @danielmadale7710
    @danielmadale7710 Месяц назад +14

    Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f Месяц назад +1

      yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f Месяц назад +2

      uwiii makando tunzwa na mungu

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 Месяц назад +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 Месяц назад +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 Месяц назад

      Waige wakati wanajali matumbo yao

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Месяц назад +16

    Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 Месяц назад +12

    Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Месяц назад +8

    Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Месяц назад +8

    Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Месяц назад +22

    Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah

  • @user-kk3fp2yq2d
    @user-kk3fp2yq2d Месяц назад +6

    Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Месяц назад +19

    Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Месяц назад +5

    Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita

  • @kessykessy563
    @kessykessy563 Месяц назад +8

    Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @azizimyavilwa8199
    @azizimyavilwa8199 Месяц назад +9

    She's still pretty though ❤

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Месяц назад +19

    Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 Месяц назад +3

    Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Месяц назад +12

    Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi

  • @stellarogath1876
    @stellarogath1876 Месяц назад +2

    Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Месяц назад +11

    Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад +8

    nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana

    • @selector728
      @selector728 23 дня назад

      Kurejea sio kulejea,akubariki sio akubariki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Месяц назад +24

    Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.

  • @Samwelmagita-jb1so
    @Samwelmagita-jb1so Месяц назад +1

    Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏

  • @hazard7157
    @hazard7157 Месяц назад +2

    Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Месяц назад +2

    Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Месяц назад +2

    Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.

  • @user-vn5mv6gn2b
    @user-vn5mv6gn2b Месяц назад +2

    Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Месяц назад +6

    Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️

  • @jackayub1494
    @jackayub1494 Месяц назад +2

    Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya

  • @PacohMedia
    @PacohMedia Месяц назад +5

    SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule8817 17 дней назад

    Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.

  • @user-td4kg7sw7l
    @user-td4kg7sw7l Месяц назад +1

    Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Месяц назад +3

    Mungu ambariki muheshimiwa Makonda

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 Месяц назад +2

    Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
    Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel Месяц назад +2

    Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉

  • @ednasomi7422
    @ednasomi7422 Месяц назад +10

    Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m Месяц назад +9

    Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 Месяц назад +3

    Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Месяц назад +2

    Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Месяц назад +4

    Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Месяц назад +8

    Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Месяц назад +3

      Hata wanawake hamuaminiki wengi ni matapeli na njaa tupu.

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 Месяц назад +2

    Pole sana Dada, Mungu yupo

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 20 дней назад

    Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Месяц назад +2

    Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal2757 Месяц назад

    Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa

  • @joyceshayo7949
    @joyceshayo7949 6 дней назад

    Huyu dada anaongozwa na hekima ya Mungu

  • @erickimambo4544
    @erickimambo4544 Месяц назад +2

    Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie

  • @elizabethmziray5811
    @elizabethmziray5811 Месяц назад

    Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Месяц назад +2

    Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 Месяц назад +3

    Pole sana

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Месяц назад +2

    Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Месяц назад +1

    My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад +1

    Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.

  • @tijakimonga1889
    @tijakimonga1889 15 дней назад

    Makonda Mungu akubariki sana❤❤

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack Месяц назад +4

    Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo

  • @josephmwalwanje4430
    @josephmwalwanje4430 Месяц назад +1

    Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 21 день назад

    Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢

  • @azariamarembo3653
    @azariamarembo3653 24 дня назад

    Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 19 дней назад

    Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 Месяц назад +1

    Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 Месяц назад +3

    Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 Месяц назад

    Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Месяц назад +5

    Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Месяц назад +1

    Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 Месяц назад

      uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd Месяц назад +1

    Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Месяц назад

    Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Месяц назад +4

    Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.

    • @theodorythobius3965
      @theodorythobius3965 Месяц назад

      Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Месяц назад

      Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA Месяц назад

      Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili

    • @habibakaponda
      @habibakaponda Месяц назад

      Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine

  • @racmyco6501
    @racmyco6501 23 дня назад

    Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.

  • @changanikinabo7835
    @changanikinabo7835 Месяц назад +1

    Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s Месяц назад

    Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Месяц назад

    Pole sana mamaa😢haki haipotei

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Месяц назад

    Pole sana Dada..

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Месяц назад +2

    Kama unakumbuka yale madawati za wanasheria zilizopangwa Dar kuwasaidia 'Single Mothers' ambazo zilizaa kiki na si matunda bas piga like 🤣🤣🤣

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Месяц назад

      Mmmmh umekumbuka parefu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      Kihindi Koko umeanza fitna

    • @mohammedkhimji7505
      @mohammedkhimji7505 Месяц назад

      @@FahadAbubakari fitna au somo... mda utaonyesha.. nakutakia afya njema!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      @@mohammedkhimji7505 helping people ni ishu? Hata kujaribu tu kusaidia ni hatua unajua atleast Kuna watu kwa hilo unaloliita drama Kuna waume zao walirespond baada ya miaka mingi , unadhani wale wote ni wajinga huko arusha kwenda pale hata akisaidiwa mtu mmoja hiyo ni hatua kubwa sana Jana kapewa mdada hela alioomba kama mtaji nayo ni drama ,

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Месяц назад

    Pole dada yangu

  • @AmadeMbenze-nh9ly
    @AmadeMbenze-nh9ly Месяц назад

    Pole dada mungu yupo

  • @section8ight174
    @section8ight174 Месяц назад +1

    Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Месяц назад +2

    Inasikitisha sana kweli eeh

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Месяц назад

    Pole sana dasa

  • @kelvinkimario4408
    @kelvinkimario4408 Месяц назад +2

    Ogopa sana mwanamke,

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Месяц назад

    Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume

  • @user-xc5ie8cp7o
    @user-xc5ie8cp7o 26 дней назад

    Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Месяц назад

    Mungu akutunze makonda

  • @user-dx4gj6sd5n
    @user-dx4gj6sd5n Месяц назад

    Pole sana Dada

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +2

    Duh kweli alikua mzuri asee

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 Месяц назад +2

      alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Месяц назад +1

    Hakika Mungu nimwema

  • @ElizabethJoseph-yy8li
    @ElizabethJoseph-yy8li Месяц назад

    Wewe neema mungu anakuona

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 Месяц назад +3

    Wanawake wabaya sana unaenda kuingilia familia ya mtu na kuiharibu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад

      Na wanaume ni matapeli

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 Месяц назад

      @@nancyg8664 au ndo wewe nini?

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад

      Ndio, asa kwann na wewe ulimtapeli mwenzako trucks zake

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 Месяц назад

      @@nancyg8664 wanawake wamefelisha wanaume wengi duniani kisa tamaa ivyo sikushangai upo sahihi

  • @pascalmsechu6874
    @pascalmsechu6874 Месяц назад

    Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.

  • @hawa6052
    @hawa6052 24 дня назад

    Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Месяц назад

    Polee Sanaa mwangu. Haliya ya mtu haipotei yataisha hayo alokuzulumu atavinaalichopanda mungu yupo

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Месяц назад

    Pole sana jamaniii wanaume

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Месяц назад

    Hiyo kazi hata mtu mwengine hawezi hii inamkono wa MUNGU MUNGU amekuweka MAKONDA

  • @CondradMwasse
    @CondradMwasse Месяц назад +1

    Mwizi uyooo ana hela ya kununua ata cmu

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Месяц назад

    Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 Месяц назад

    Pole sana dada

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Месяц назад

    Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke