Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli. Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu. Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie. Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
@@mohammedkhimji7505 helping people ni ishu? Hata kujaribu tu kusaidia ni hatua unajua atleast Kuna watu kwa hilo unaloliita drama Kuna waume zao walirespond baada ya miaka mingi , unadhani wale wote ni wajinga huko arusha kwenda pale hata akisaidiwa mtu mmoja hiyo ni hatua kubwa sana Jana kapewa mdada hela alioomba kama mtaji nayo ni drama ,
Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.
Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,
Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke
Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii
Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu
RIP JPM
Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.
Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
Tuendelee kumtumainia Mungu😢
Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa
Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania
Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa
Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda
Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Ananikumbusha hayati John pombe Magufuri
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema
uwiii makando tunzwa na mungu
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Waige wakati wanajali matumbo yao
Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika
Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.
Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏
Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee
Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah
Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali
Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏
Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita
Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
She's still pretty though ❤
Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha
Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri
Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi
Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,
Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma
nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana
Kurejea sio kulejea,akubariki sio akubariki
Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.
Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.
Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Duh.
Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya
SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA
Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.
Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu
Mungu ambariki muheshimiwa Makonda
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉
Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Kabisaa
Hafai
@@abdulrahmanmohammed4449 kwanini unasema hafai toa sababu
Wewe ndo hufai@@abdulrahmanmohammed4449
Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa
Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!
Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli
Hata wanawake hamuaminiki wengi ni matapeli na njaa tupu.
Pole sana Dada, Mungu yupo
Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa
Huyu dada anaongozwa na hekima ya Mungu
Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie
Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.
Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.
Pole sana
Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.
My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda
Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Makonda Mungu akubariki sana❤❤
Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo
Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua
Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢
Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana
Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu
Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA
Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Unataka kitonga au
Hahaha kwahiyo hamniamini
😅😅😅😅kama nakuona unavyosubiria mke
Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake
Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka
Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.
Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.
Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo
Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili
Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi
Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu
Pole sana mamaa😢haki haipotei
Pole sana Dada..
Kama unakumbuka yale madawati za wanasheria zilizopangwa Dar kuwasaidia 'Single Mothers' ambazo zilizaa kiki na si matunda bas piga like 🤣🤣🤣
Mmmmh umekumbuka parefu
Kihindi Koko umeanza fitna
@@FahadAbubakari fitna au somo... mda utaonyesha.. nakutakia afya njema!
@@mohammedkhimji7505 helping people ni ishu? Hata kujaribu tu kusaidia ni hatua unajua atleast Kuna watu kwa hilo unaloliita drama Kuna waume zao walirespond baada ya miaka mingi , unadhani wale wote ni wajinga huko arusha kwenda pale hata akisaidiwa mtu mmoja hiyo ni hatua kubwa sana Jana kapewa mdada hela alioomba kama mtaji nayo ni drama ,
Pole dada yangu
Pole dada mungu yupo
Never make decisions based on your emotions,Let the law takes its course, it’s her word against his at the moment. Let both have their day in court, all the best to all involved!
Amen
Inasikitisha sana kweli eeh
Pole sana dasa
Ogopa sana mwanamke,
😅😅😅
Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume
Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu
Mungu akutunze makonda
Pole sana Dada
Duh kweli alikua mzuri asee
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Hakika Mungu nimwema
Wewe neema mungu anakuona
Wanawake wabaya sana unaenda kuingilia familia ya mtu na kuiharibu
Na wanaume ni matapeli
@@nancyg8664 au ndo wewe nini?
Ndio, asa kwann na wewe ulimtapeli mwenzako trucks zake
@@nancyg8664 wanawake wamefelisha wanaume wengi duniani kisa tamaa ivyo sikushangai upo sahihi
Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.
Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata
Polee Sanaa mwangu. Haliya ya mtu haipotei yataisha hayo alokuzulumu atavinaalichopanda mungu yupo
Pole sana jamaniii wanaume
Hiyo kazi hata mtu mwengine hawezi hii inamkono wa MUNGU MUNGU amekuweka MAKONDA
Mwizi uyooo ana hela ya kununua ata cmu
😅😅😅😂
Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,
Pole sana dada
Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke