Mimi nimeameibiwa mzigo wangu ofisi ya kilimanjaro tarehe 25/04 Nilihangaika hivi hivi mzigo nikaja kuukamata Arusha mtuhumiwa anangania ni wake mpaka imefikia tumeenda mahakama ya mwanzo moshi, Lakini hana risiti hata moja wala hajui mzigo ulipopstikana leo ni siku ya 20 bhado ninahangaikia mzigo wangu naamini Mungu atasimama kwenye haki maana mtuhumiwa anajua sheria sana na anauziefu na Mahakama lakini mimi ndio hatua yangu ya kwanza kufika Mahakamani
Hao walionunua babati walinunua kihalari kutoka kwenye duka so kesi lazima iwe na mwisho wa mipaka. Watuhumiwa wamekwisha kamatwa kwa kosa la utapeli, kugushi lisiti na wengine kununua bidhaa bila ya kufuata utaratibu, kukwepa kulipa kodi ya manunuzi ila wa mwisho yupo kiharali hatakiwi kubugudhiwa kwani amenunua kiharali kutokea duka lenye usajiri na kupatiwa lisiti halali.
Pole mama wa nguvu.. mimi walitaka kunitapeli mazao.. gunia 105 za mahindi (mkenya na m-tz)..tena walikuja shambani wakati wa mavuno.. niliuliza salio kwa mtandao,sikuona pesa..walitaka kufanya fujo..lakini nilishawaita askari wa kituo baada ya kutoona pesa kwa a/c.. Nilikataa wasipakie hadi salio isome..
Pole dada,umepana na mungu akutangulie. Je police babati mna maanisha nini hasa,kubakia na kielelezo cha kesi ya singida. Swala hili haliitaji maelezo.Watanzania tuwe wazalendo, Je vipi kitendo hiki ungefanyiwa wewe , Tafakarii.
Naongea kwa uchungu hata mimi yalinikuta Arusha gari langu limeibiwa nimelipata police twende tukalikamate tu lije kituoni sehemu salama nimezungushwa mpaka unasema police mnaintrest gani na hilo gari kulikamata kulileta police shida na upowafuatilia police twende kwenye tukio unazungumshwa yaani yakiwakuta watu yaliyonikuta na kama huyo ndo mtajua ninachokisema na huyo mama anachokisema
Kweli inasikitisha sana na hizi dhulma wanazokula hawajui wanawalisha familia zao dhulma baraka zipi za mungu wanazozitegemea wanakula vyakula wanajiona wajanja kabisa kwa fedha za dhulma inasikitisha sana wazazi wao waliwasomesha kwa shida ili waje wafanye dhulma kwa wengine aibu sana
Pole sana dada ki2 ambacho nimejifunza tanzania tuwe makini tusipate matatizo coz ukiwa na tatizo tu .ujuwe wewe ndo unakwenda kupoteza pesa .kufatilia case mpk kumaliza qe ndo utaingia garama mpk uwache
Hongera sana Dada..wanakana au kuwa wataratibu hawamslizi kazi kuwa wamewajua hao😅 HAKI YAKO ITATOKA KWA JINA LA ALLAH.na wao wanafanya hayo na wanaodjiriki Mungu atawahukumu
Hiyo michezo Polisi wa Babati wanaijua Ndo mana hawakutoa ushirikiano, Ni hatari kuwa Watumishi wanao sahau Viapo hasa likija suala la kulinda raia na Mali zao, hii inatisha Sasa piga picha kusingekuwa CCTV Camera?? Au RUclips? Kwa Miaka Mingi Kuna kundi la Majambazi ndani ya Jeshi la POLISI Sasa hizi technology Ndo zinawaumbua
Babati msumari wa bati 😂😂😂😂 Mungu ndio anaijua babati na mwenye kuikomboa ni Yeye Mungu tu. Wasameheni askari sio wamejitakia ila wameogopa msumari wa bati🤣🤣🤣🤣
@@annabyekwaso-wt7oikama ameunganisha na sim banking. Lakn pia muda mwngne mtu unachanganyikiwa. Mteja kaja anachukua mzigo mkubwa kwa mara moja yaan unawaza jinsi ya kumuhudumia haraka arizike aje tena, na hujauza mzigo kama huo mda mref kwa mkupuo, yaan unachanganyikiwa unaona kama zali. Kumbe ww ndo wamepata zali kwako. 😂
Hili si haki kabisa mama anajitahidi kufanya kazi sio usumbufu usio maana pole sana sana Jasho la mtu alipotehi bure wafungwe miaka 30 bila uhuruma kabisa
He bila kuangalia salio kwenye akaunti!!!! Mbona ulitapeliwa kijinga!!! Ila umefight mama kumpata mtuhumia wako!!! Ila huyo aliyekataa gari na mzigo kuchukuliwa Mungu anamuona!!!! Mama Mungu atakulipia!!!!
Yaani benki wameturahisishia sana maisha, simbanking,internet banking,app za benki,ukiweka hela Tu ndani ya dakika kadhaa zinaonekana. Watanzania hatupendi technologia,hii inatucost sana.
Ni hivi, Hawa jamaa wanakuomba account namba wanaenda kuandaa malipo kwa njia ya cheque. Wanaenda kudeposit amount ya iliyopo kwenye cheque ikinaonekana kama imewekwa kwenye akaunti. Kumbuka cheque ni promise/ahadi kwamba utalipwa pesa flani. Kwahiyo kwa Mara ya kwanza Ile pesa utaiona benk lakin utaambiwa fulan ataweka pesa kwenye akaunt yako kiasi flan kama cheq. Hii nimeishuhudia Mara 2. Na Mara nyingi wanakuja jumamosi na wanakuwa na haraka wakati huo ww unataka kufunga duka ndo wanaingia. Hii hata ww inaweza kukukuta.😢
Daha mpaka hapo mama amshukuru mungu kwa hatua hii nampa ploe gharama kubwa sana atakua ametumia na hao polisi wa babati wanashirikiana na huo mfanyabiashara anae nunua vitu vya wizi.
Mapolisi wengi ni majambazi japo na wema pia wapo lakini wachache sana ndio maana maisha ya police wengi baada ya kustaafu yamejaa laana na watoto wao huwa hawafanikiwi
Pole Sana Mama, alakini ukifikia lengo fulani ya kibiashara lazma ku ajiri accountant ambae anahusika na hesabu maana mfanya biashara mkubwa ukiwa busy kutapeliwa nivirahisi Sana. Isitoshe kufanya biashara na bank ambayo ina technologia ya mobile banking mambo yanakuwa rahisi Sana maana wakati ulitumiwa receipt kama wamesha weka hela Kabla ya kupakiza mzigo wewe mwenyewe ungetumia simu yako ama computer kwa ku cheki.
Pole sana mama polisi wetu wana udhaifu mkubwa kwenye ufuagiliaji wa kesi za raia hasa pale wanapoona kama hawana maslai watakayopata, mimi hadi leo nina RB ya polisi ya wizi wa shilling milioni moja na laki nane kwenye biashara yangu tangu 2023 mwezi December ila mpaka tunavoongea kila nikimtafuta askari wa upelelezi niliyekabidhiwa kufuatilia kesi yangu hana msaada wowote zaidi ya kutaka hela, nimeamua kuachana nayo maana niliona napoteza hela zaidi wakati tayari nilishapata hasara
Pole sana kwa Mama itakuwa Alikuwa amechoka sana siku hiyo lakini ndugu zangu risiti pekee ambayo inaweza ikawa halali ni risiti ya machine ya wakala tuu because pesa ikishawekwa unatumiwa message directly kwenye simu na bank Husika Example UTAONA KWENYE TEXT IMEINGIA MESSAGE MTUMAJI CRDB BANK ALLAH AWAJALIE WAFANYABIASHARA WASITAPELIWE AAMIN
Hiii nchii ni ngumu sana yan kielelezo kimekamatwa lakn bado tyu 😢😢😢khaa dua ya mdhulumiwa hairud mama mungu atakusaidia na haki yako itapatikan tyu usiwe na shaka upo na mungu alie hai mam
Mimi nimeameibiwa mzigo wangu ofisi ya kilimanjaro tarehe 25/04 Nilihangaika hivi hivi mzigo nikaja kuukamata Arusha mtuhumiwa anangania ni wake mpaka imefikia tumeenda mahakama ya mwanzo moshi,
Lakini hana risiti hata moja wala hajui mzigo ulipopstikana leo ni siku ya 20 bhado ninahangaikia mzigo wangu naamini Mungu atasimama kwenye haki maana mtuhumiwa anajua sheria sana na anauziefu na Mahakama lakini mimi ndio hatua yangu ya kwanza kufika Mahakamani
Hongera sana Mama unastahili tuzo ya heshima
Hawa ndiyo polisi wa Tanzania.Mama Pole sana.
Asante inaumiza mnoo,, Mungu wa mbinguni atanitetea😭
Polisi babati serikali itazamwe hilo.
Mwizi amekamatwa na kithibiti askari hawaangaiki.
Mbaya sana tena sana
polisi wetu changamoto sana
Kiukweli polis babat sio salama
Pole sana mama hata mishawahi kutapeliwa hivi Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumkamata mhusika na Hela ikarudi
Hao walionunua babati walinunua kihalari kutoka kwenye duka so kesi lazima iwe na mwisho wa mipaka. Watuhumiwa wamekwisha kamatwa kwa kosa la utapeli, kugushi lisiti na wengine kununua bidhaa bila ya kufuata utaratibu, kukwepa kulipa kodi ya manunuzi ila wa mwisho yupo kiharali hatakiwi kubugudhiwa kwani amenunua kiharali kutokea duka lenye usajiri na kupatiwa lisiti halali.
Wewe mama ni mwamba kwelikweli. Hongera kwa kuwakamata hao matapeli.
Asante ndugu 🙏
@@PriscaMallya-eo9lw😊😊😊😊😊
Anatapelije mchaga aisee lazima akamatwe
😂😂😂😂😂😂😂😂@@user-cv7vm1mx9d
Pole mama wa nguvu.. mimi walitaka kunitapeli mazao.. gunia 105 za mahindi (mkenya na m-tz)..tena walikuja shambani wakati wa mavuno.. niliuliza salio kwa mtandao,sikuona pesa..walitaka kufanya fujo..lakini nilishawaita askari wa kituo baada ya kutoona pesa kwa a/c.. Nilikataa wasipakie hadi salio isome..
Na ndio inavotakiwa, ni mpaka pesa au muamala ureflect kwenye account yako ndo utoe Mzigo
Sio wewe tu kuna rafiki yangu yupo njombe anakitengo alikuwa anadhulumiwa mil24 Mungu alisaidia na alikamatwa huyo tapeli na hela akatoa
Pole sana dadaangu na hongera pia kwa kupambania haki yako mpaka hapo ulipofikia.. mwenyezi mungu atawapa stahiki yao
Amina inaumiza sana 😭😭
Pole sana sister, next time usitoe mzigo mpaka umepata massage kwenye simu Yako
Huyu mama apewe tuzo ni shujaa kapambana na uovu na kujulisha umma,alipwe gharama alizotumia.
KWELI KABISA hayo maneno.amefatilia mwenyewe safari zote.na bado Wanamzungusha sio wakumpa nguvu.kila kitu kiko wazi..
Pia anakuwa Hana zuluma ndo maan
Hongereni sana polisi wa Singida kwa kazi nzuri
Jamani mtendeeni haki huyo mama. Ameteseka sana. Hapa jeshi la pilisi limeonyesha udhaifu mkubwa. Sijui Kuna kitu gani kinachoendelea.
Pole sn Mom! Mungu ni mwema.Hayo mambwa yachomwe moto bhana.
Pole sana mama, Mungu atakuwa hakimu wako na haki yako itapatikana
Kabisa naiman Mungu atanitendea muujiza🙏
Pole sana. Umoja pia umeleta mafanikio mazuri. Hongereni
Pole sana
Hongera mwwaya kwa upambanaji
Kwanza na dereva kanusurka wangemuua
Kweli kabisa
Dada pole sana Umepambana sana ila ndohivo tena Mungu Hatokuacha kamwe
Daaah jaman utapel umekuwa mwingi sana
Pole Sana Dada na Mungu wangu atakurudishia na mm pia lilishanikuta
Ila huyu mama huwa anadharau Sana dukani kwake basi tu 😂😂😂😂
vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/
vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/
Pole dada,umepana na mungu akutangulie.
Je police babati mna maanisha nini hasa,kubakia na kielelezo cha kesi ya singida.
Swala hili haliitaji maelezo.Watanzania tuwe wazalendo,
Je vipi kitendo hiki ungefanyiwa wewe ,
Tafakarii.
Siku waongo na wezi wakiisha na waaminifu waka jaa kila mahali tangu siku hiyo kila mtu ataona dunia ni sehem nzuri ya kuishi
Hiyo siku haipo... kuzidiana ujanja ndo raha ya maisha... huko wanakofundisha uaminifu wezi nao wamejaa
Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake😂😂😂😂😂
@@stevenmdoga8414acha roho mbaya ipo siku utakuja pata shida na wewe
Haitatokea mpaka mwisho wa dunia
@@stevenmdoga8414kumbe
Hongera kwa polisi wachache wanaojuawa wajibu wao waendelee kumsaidia
Pole sana dada mungu atakusaidia
Hiyo michezo tumeizoea sana Huku Dar. Tunawakamata sana hao
Dah mtihani kwakweli bongo kweli njoosooo
Mama ww ni mpambanaji. Hongera sanaa
Naongea kwa uchungu hata mimi yalinikuta Arusha gari langu limeibiwa nimelipata police twende tukalikamate tu lije kituoni sehemu salama nimezungushwa mpaka unasema police mnaintrest gani na hilo gari kulikamata kulileta police shida na upowafuatilia police twende kwenye tukio unazungumshwa yaani yakiwakuta watu yaliyonikuta na kama huyo ndo mtajua ninachokisema na huyo mama anachokisema
Hukuwapa ushirikiano😂
Kweli inasikitisha sana na hizi dhulma wanazokula hawajui wanawalisha familia zao dhulma baraka zipi za mungu wanazozitegemea wanakula vyakula wanajiona wajanja kabisa kwa fedha za dhulma inasikitisha sana wazazi wao waliwasomesha kwa shida ili waje wafanye dhulma kwa wengine aibu sana
Pole sana ndugu yangu
Pole sana mama usijali mungu atakupa nyingi.
Dada umepambana vizuri sana. Nakuombea kwa Mola ufanikiwe ktk kesi yako. Karibu Zanzibar
Sub'hana Allah yaraaby mwenyezi mungu binadamu anawezwa na mungu tu
Mungu/MUNGU sio mungu
Pole sana dada ki2 ambacho nimejifunza tanzania tuwe makini tusipate matatizo coz ukiwa na tatizo tu .ujuwe wewe ndo unakwenda kupoteza pesa .kufatilia case mpk kumaliza qe ndo utaingia garama mpk uwache
Mama poleee Sana, POLISI POLISI POLISI ni laaaana
Hongera sana Dada..wanakana au kuwa wataratibu hawamslizi kazi kuwa wamewajua hao😅 HAKI YAKO ITATOKA KWA JINA LA ALLAH.na wao wanafanya hayo na wanaodjiriki Mungu atawahukumu
Hiyo michezo Polisi wa Babati wanaijua Ndo mana hawakutoa ushirikiano, Ni hatari kuwa Watumishi wanao sahau Viapo hasa likija suala la kulinda raia na Mali zao, hii inatisha Sasa piga picha kusingekuwa CCTV Camera?? Au RUclips? Kwa Miaka Mingi Kuna kundi la Majambazi ndani ya Jeshi la POLISI Sasa hizi technology Ndo zinawaumbua
Congratulations cna Momy Kwa ujasiri inuliwa na Bwana
Pole mama kwa mfanyabiashara kuibiwa na dhuluma ni jambo la kuumiza moyo na biashara. Pole Mungu asimamie haki yako.
Pole sana mama Kibona
Pole sana dada utapata haki yako umepigana sana Mwenyezi Mungu akusimamie.
Mungu yupo dada
Pole sna Boss,,mungu atakusaidia
Pole sana mtani
Pole sana Mama, Mungu hatakuacha. Jipe moyo
Pole mama,,mungu atakulipa
Babati apo si ndio kesi ya mbunge imefutwa vile?
Babati msumari wa bati 😂😂😂😂 Mungu ndio anaijua babati na mwenye kuikomboa ni Yeye Mungu tu. Wasameheni askari sio wamejitakia ila wameogopa msumari wa bati🤣🤣🤣🤣
Pole Sana dada angu
Pole sana mama na hongera kwa kufuatilia mali yako bila kukata tamaa
Pole priska mdogo wangu
Daah pole sana mama
Mama unamungu kweli na inaonyesha hujawahi kudhulumu mtu.
Kabisa Yan kabisa
Super woman...❤
Pole sana Prisca kweli jasho la mtu alipotei hongera kwa kupambana makibona.
Pole sana mama mungu akufanyie wepesi katika hili
Dah pole sana mpenzi ck nyingine biashara za kuweka fedha bank angalia salio kwanza kabla ya kutoa mzigo ndivyo wanavyo fanya kariakoo.
Kabisa yaani
Safi ni ushauri ht mm nimesema mbona simu utujulisha km mtu kaweka pesa au la!Nmb crdb nk zimesetiwa kisahii sana .
@@annabyekwaso-wt7oikama ameunganisha na sim banking. Lakn pia muda mwngne mtu unachanganyikiwa. Mteja kaja anachukua mzigo mkubwa kwa mara moja yaan unawaza jinsi ya kumuhudumia haraka arizike aje tena, na hujauza mzigo kama huo mda mref kwa mkupuo, yaan unachanganyikiwa unaona kama zali. Kumbe ww ndo wamepata zali kwako. 😂
Jamaniiii pole sana, wewe ni Super woman
Kweli haki yamtu aipotei buree ongera mama shujaaaa❤❤❤
MCHAGA SIO MTU WAKUCHEZEA , HELA ANAIJUA HASA, SUPERWOMAN
Huyo mwenye duka iribidi achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kakutwa na mali zawizi inamaana duka lake lote nilawizi tuuu
Kwel kabisaaa
Kabisa
Sijaelewa
@@lodrickmwambene133alienunua mzigo kutoka kwa wale wezi achukuliwe hatua
Ooi pole cna Momy
Daaaah pole sana mama
Pole😢
Mama Mkwe hongera sana Mungu atunusuru na Watu wabaya
The struggle was real mama hongera sanaaa na pole sanaaa
Pole dada japo umehangaika ila mwenyezi Mungu atazidi kusimama nawe ni haki yako na Mungu atatenda 🙏🏼🙏🏼
Mzembe sana Mama
Pole sana mmangu
Hongera sana shujaa wa kupambania haki yako
Dunia hii imejaa kila hatari. Pole sana mama. Pokeni hela taslimu. Dunia majaribu.
Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake huyu mama
Pole sana mamaa, kwa yaliyo kukuta.
Duhuu pole sana mama ww ni mwamba kwl kwl mama pole sn
😢Pole sana Mama, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi kigumu unachopitia na ninakuombea upate haki yako
Pole dada mungu awe pamoja nawe upate haki yako
Mungu/MUNGU sio mungu
Nawewe umepata wababe wenzako unajibugi kuwa nenda popote pale usinibabaishe sasa nayeye aende popote
@@stevenmdoga8414mungu sio mtu lazima akupitishe kwenye moto lakin hana hana hasira na mwadamu mungu ni mwema
Yaani jamani mbona wanazidi kimuumiza dada wa watu mpambanaji? Yaani wanagushi hadi risiti za Bank na za TRA! HATARI!!
Pole sana mama
Duhhh aisee hii nchi yetu.... pole sanaa mama
hahahahaha huyo jamaa kaenda kujenga 😂😂😂😂bila hata kutumia nguvu na hawa ni wasomi waliokosa ajila😂😂
Hili si haki kabisa mama anajitahidi kufanya kazi sio usumbufu usio maana pole sana sana Jasho la mtu alipotehi bure wafungwe miaka 30 bila uhuruma kabisa
Bonge moja la wakili 🎉
Ni Hatariiii Kwa kweli, hawa matapeli ni wengi Kwa kweli, hata kwenye Lipa namba hizi siyo.
Pole Sana dada prisca
MUNGU yupo pamoja nawe endelea kupambana haki opatikane
Sadaka yako unatoa kanisani haitakuacha mali ipotee
ASANTE DADA MAUA NI MUNGU TUU ALINISIMAMIA MUMMY
Pole mama yangu mungu atakusimamia
He bila kuangalia salio kwenye akaunti!!!! Mbona ulitapeliwa kijinga!!! Ila umefight mama kumpata mtuhumia wako!!! Ila huyo aliyekataa gari na mzigo kuchukuliwa Mungu anamuona!!!! Mama Mungu atakulipia!!!!
Hawa jamaa huwaga kama wana Kidawa hivi...usiombe ya kukute
Yaani benki wameturahisishia sana maisha, simbanking,internet banking,app za benki,ukiweka hela Tu ndani ya dakika kadhaa zinaonekana. Watanzania hatupendi technologia,hii inatucost sana.
Ni hivi, Hawa jamaa wanakuomba account namba wanaenda kuandaa malipo kwa njia ya cheque. Wanaenda kudeposit amount ya iliyopo kwenye cheque ikinaonekana kama imewekwa kwenye akaunti. Kumbuka cheque ni promise/ahadi kwamba utalipwa pesa flani. Kwahiyo kwa Mara ya kwanza Ile pesa utaiona benk lakin utaambiwa fulan ataweka pesa kwenye akaunt yako kiasi flan kama cheq. Hii nimeishuhudia Mara 2. Na Mara nyingi wanakuja jumamosi na wanakuwa na haraka wakati huo ww unataka kufunga duka ndo wanaingia. Hii hata ww inaweza kukukuta.😢
@@RBSMABATIkumbe kuna uwezekano wa hela kuonekana na baadae kutoweka😢
Malipo ya cheque yalitaka kunicost ila nilistuka mapema
Polis wamepewa ala wasenge sana ila M/MUNGU kasaidia mpaka apo ulipofikia utapata hakiyako
Daha mpaka hapo mama amshukuru mungu kwa hatua hii nampa ploe gharama kubwa sana atakua ametumia na hao polisi wa babati wanashirikiana na huo mfanyabiashara anae nunua vitu vya wizi.
Kila mwalimu alishawahi kuwa mwanafunzi Kila. Mganga alishawahi kuwa mgonjwa.na Kila polisi alishawahi kuwa mwizi Au
Mapolisi wengi ni majambazi japo na wema pia wapo lakini wachache sana ndio maana maisha ya police wengi baada ya kustaafu yamejaa laana na watoto wao huwa hawafanikiwi
hahaha
Mama nakupenda
Dah mtu unapambana weee anakuja mtu kukutapeli mwee 😢😢😢 pole sana
Mama mungu akupe nguvu
Pole
Pole mum
Pole mawi
Pole sana mama makibona haki Yako itapatikana tu 15:10
Hongera sana dada. Mimi nilitapeliwa police Arusha hakuna kitu walinisaidia lkn nahisi naenda kufufua RB sasa.
Pole Sana Mama, alakini ukifikia lengo fulani ya kibiashara lazma ku ajiri accountant ambae anahusika na hesabu maana mfanya biashara mkubwa ukiwa busy kutapeliwa nivirahisi Sana. Isitoshe kufanya biashara na bank ambayo ina technologia ya mobile banking mambo yanakuwa rahisi Sana maana wakati ulitumiwa receipt kama wamesha weka hela Kabla ya kupakiza mzigo wewe mwenyewe ungetumia simu yako ama computer kwa ku cheki.
Pole sana mama polisi wetu wana udhaifu mkubwa kwenye ufuagiliaji wa kesi za raia hasa pale wanapoona kama hawana maslai watakayopata, mimi hadi leo nina RB ya polisi ya wizi wa shilling milioni moja na laki nane kwenye biashara yangu tangu 2023 mwezi December ila mpaka tunavoongea kila nikimtafuta askari wa upelelezi niliyekabidhiwa kufuatilia kesi yangu hana msaada wowote zaidi ya kutaka hela, nimeamua kuachana nayo maana niliona napoteza hela zaidi wakati tayari nilishapata hasara
Wewe umeonyesha ushirikiano wowote au umemwachia tu mpelelezi
Pole sana kwa Mama itakuwa Alikuwa amechoka sana siku hiyo lakini ndugu zangu risiti pekee ambayo inaweza ikawa halali ni risiti ya machine ya wakala tuu because pesa ikishawekwa unatumiwa message directly kwenye simu na bank Husika Example UTAONA KWENYE TEXT IMEINGIA MESSAGE MTUMAJI CRDB BANK
ALLAH AWAJALIE WAFANYABIASHARA WASITAPELIWE AAMIN
Watu watafute pesa kwa njia halali tuepuke njia za mkato Kwan hujui Mungu alikomtoa mja wake na kuamua kumbariki. Hongera sana mama shujaa
Hiii nchii ni ngumu sana yan kielelezo kimekamatwa lakn bado tyu 😢😢😢khaa dua ya mdhulumiwa hairud mama mungu atakusaidia na haki yako itapatikan tyu usiwe na shaka upo na mungu alie hai mam
Dah pole san