MFANYABIASHARA ATAPELIWA MAMILIONI DUKANI KWAKE,JAMAA KAJA NA SLIP YA BENKI FEKI "SIKUJUA NIMEPIGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 апр 2024

Комментарии • 555

  • @frankkashner
    @frankkashner Месяц назад +10

    Mimi nimeameibiwa mzigo wangu ofisi ya kilimanjaro tarehe 25/04 Nilihangaika hivi hivi mzigo nikaja kuukamata Arusha mtuhumiwa anangania ni wake mpaka imefikia tumeenda mahakama ya mwanzo moshi,
    Lakini hana risiti hata moja wala hajui mzigo ulipopstikana leo ni siku ya 20 bhado ninahangaikia mzigo wangu naamini Mungu atasimama kwenye haki maana mtuhumiwa anajua sheria sana na anauziefu na Mahakama lakini mimi ndio hatua yangu ya kwanza kufika Mahakamani

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 2 месяца назад +24

    Hongera sana Mama unastahili tuzo ya heshima

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 2 месяца назад +34

    Hawa ndiyo polisi wa Tanzania.Mama Pole sana.

    • @PriscaMallya-eo9lw
      @PriscaMallya-eo9lw Месяц назад

      Asante inaumiza mnoo,, Mungu wa mbinguni atanitetea😭

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 месяца назад +37

    Polisi babati serikali itazamwe hilo.
    Mwizi amekamatwa na kithibiti askari hawaangaiki.
    Mbaya sana tena sana

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 2 месяца назад +15

    Pole sana mama hata mishawahi kutapeliwa hivi Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumkamata mhusika na Hela ikarudi

    • @nehemiahbudi5753
      @nehemiahbudi5753 Месяц назад +1

      Hao walionunua babati walinunua kihalari kutoka kwenye duka so kesi lazima iwe na mwisho wa mipaka. Watuhumiwa wamekwisha kamatwa kwa kosa la utapeli, kugushi lisiti na wengine kununua bidhaa bila ya kufuata utaratibu, kukwepa kulipa kodi ya manunuzi ila wa mwisho yupo kiharali hatakiwi kubugudhiwa kwani amenunua kiharali kutokea duka lenye usajiri na kupatiwa lisiti halali.

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 2 месяца назад +77

    Wewe mama ni mwamba kwelikweli. Hongera kwa kuwakamata hao matapeli.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад +14

    Pole mama wa nguvu.. mimi walitaka kunitapeli mazao.. gunia 105 za mahindi (mkenya na m-tz)..tena walikuja shambani wakati wa mavuno.. niliuliza salio kwa mtandao,sikuona pesa..walitaka kufanya fujo..lakini nilishawaita askari wa kituo baada ya kutoona pesa kwa a/c.. Nilikataa wasipakie hadi salio isome..

    • @mohamedzungufya5151
      @mohamedzungufya5151 Месяц назад +1

      Na ndio inavotakiwa, ni mpaka pesa au muamala ureflect kwenye account yako ndo utoe Mzigo

    • @Deedah4
      @Deedah4 Месяц назад

      Sio wewe tu kuna rafiki yangu yupo njombe anakitengo alikuwa anadhulumiwa mil24 Mungu alisaidia na alikamatwa huyo tapeli na hela akatoa

  • @latifahassan123
    @latifahassan123 2 месяца назад +11

    Pole sana dadaangu na hongera pia kwa kupambania haki yako mpaka hapo ulipofikia.. mwenyezi mungu atawapa stahiki yao

  • @bobdutchbobdutch8443
    @bobdutchbobdutch8443 Месяц назад +7

    Pole sana sister, next time usitoe mzigo mpaka umepata massage kwenye simu Yako

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 месяца назад +21

    Huyu mama apewe tuzo ni shujaa kapambana na uovu na kujulisha umma,alipwe gharama alizotumia.

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 2 месяца назад

      KWELI KABISA hayo maneno.amefatilia mwenyewe safari zote.na bado Wanamzungusha sio wakumpa nguvu.kila kitu kiko wazi..

    • @JenniferJacob-hh3ij
      @JenniferJacob-hh3ij Месяц назад +1

      Pia anakuwa Hana zuluma ndo maan

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219 Месяц назад +2

    Hongereni sana polisi wa Singida kwa kazi nzuri

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 2 месяца назад +26

    Jamani mtendeeni haki huyo mama. Ameteseka sana. Hapa jeshi la pilisi limeonyesha udhaifu mkubwa. Sijui Kuna kitu gani kinachoendelea.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 месяца назад +1

    Pole sn Mom! Mungu ni mwema.Hayo mambwa yachomwe moto bhana.

  • @apostle_AngazaGN
    @apostle_AngazaGN 2 месяца назад +8

    Pole sana mama, Mungu atakuwa hakimu wako na haki yako itapatikana

  • @user-bg6vr8ip7j
    @user-bg6vr8ip7j 2 месяца назад +1

    Pole sana. Umoja pia umeleta mafanikio mazuri. Hongereni

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 2 месяца назад +3

    Pole sana

  • @user-zs2dc3kq8g
    @user-zs2dc3kq8g 2 месяца назад +2

    Hongera mwwaya kwa upambanaji

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 2 месяца назад +16

    Kwanza na dereva kanusurka wangemuua

  • @nicholausmramu
    @nicholausmramu 2 месяца назад +1

    Dada pole sana Umepambana sana ila ndohivo tena Mungu Hatokuacha kamwe

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 2 месяца назад +6

    Daaah jaman utapel umekuwa mwingi sana

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 2 месяца назад +7

    Pole Sana Dada na Mungu wangu atakurudishia na mm pia lilishanikuta

  • @hanifasupplies2109
    @hanifasupplies2109 2 месяца назад +1

    Pole dada,umepana na mungu akutangulie.
    Je police babati mna maanisha nini hasa,kubakia na kielelezo cha kesi ya singida.
    Swala hili haliitaji maelezo.Watanzania tuwe wazalendo,
    Je vipi kitendo hiki ungefanyiwa wewe ,
    Tafakarii.

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 2 месяца назад +21

    Siku waongo na wezi wakiisha na waaminifu waka jaa kila mahali tangu siku hiyo kila mtu ataona dunia ni sehem nzuri ya kuishi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 месяца назад

      Hiyo siku haipo... kuzidiana ujanja ndo raha ya maisha... huko wanakofundisha uaminifu wezi nao wamejaa

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 2 месяца назад

      Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake😂😂😂😂😂

    • @Heal.your.soul92
      @Heal.your.soul92 Месяц назад

      @@stevenmdoga8414acha roho mbaya ipo siku utakuja pata shida na wewe

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 25 дней назад

      Haitatokea mpaka mwisho wa dunia

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 25 дней назад

      ​@@stevenmdoga8414kumbe

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 2 месяца назад +5

    Hongera kwa polisi wachache wanaojuawa wajibu wao waendelee kumsaidia

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c 2 месяца назад +1

    Pole sana dada mungu atakusaidia

  • @benjaminwerema8758
    @benjaminwerema8758 2 месяца назад +8

    Hiyo michezo tumeizoea sana Huku Dar. Tunawakamata sana hao

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 2 месяца назад +8

    Dah mtihani kwakweli bongo kweli njoosooo

  • @tumsifumunuo2602
    @tumsifumunuo2602 2 месяца назад +2

    Mama ww ni mpambanaji. Hongera sanaa

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 2 месяца назад +17

    Naongea kwa uchungu hata mimi yalinikuta Arusha gari langu limeibiwa nimelipata police twende tukalikamate tu lije kituoni sehemu salama nimezungushwa mpaka unasema police mnaintrest gani na hilo gari kulikamata kulileta police shida na upowafuatilia police twende kwenye tukio unazungumshwa yaani yakiwakuta watu yaliyonikuta na kama huyo ndo mtajua ninachokisema na huyo mama anachokisema

    • @bennylove6021
      @bennylove6021 Месяц назад

      Hukuwapa ushirikiano😂

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Месяц назад

      Kweli inasikitisha sana na hizi dhulma wanazokula hawajui wanawalisha familia zao dhulma baraka zipi za mungu wanazozitegemea wanakula vyakula wanajiona wajanja kabisa kwa fedha za dhulma inasikitisha sana wazazi wao waliwasomesha kwa shida ili waje wafanye dhulma kwa wengine aibu sana

  • @user-gf8db3rj9p
    @user-gf8db3rj9p 2 месяца назад +2

    Pole sana ndugu yangu

  • @isayahlesurwa307
    @isayahlesurwa307 2 месяца назад +1

    Pole sana mama usijali mungu atakupa nyingi.

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 Месяц назад +1

    Dada umepambana vizuri sana. Nakuombea kwa Mola ufanikiwe ktk kesi yako. Karibu Zanzibar

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 2 месяца назад +2

    Sub'hana Allah yaraaby mwenyezi mungu binadamu anawezwa na mungu tu

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 месяца назад

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 2 месяца назад +3

    Pole sana dada ki2 ambacho nimejifunza tanzania tuwe makini tusipate matatizo coz ukiwa na tatizo tu .ujuwe wewe ndo unakwenda kupoteza pesa .kufatilia case mpk kumaliza qe ndo utaingia garama mpk uwache

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 2 месяца назад +2

    Mama poleee Sana, POLISI POLISI POLISI ni laaaana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 месяца назад +1

    Hongera sana Dada..wanakana au kuwa wataratibu hawamslizi kazi kuwa wamewajua hao😅 HAKI YAKO ITATOKA KWA JINA LA ALLAH.na wao wanafanya hayo na wanaodjiriki Mungu atawahukumu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +4

    Hiyo michezo Polisi wa Babati wanaijua Ndo mana hawakutoa ushirikiano, Ni hatari kuwa Watumishi wanao sahau Viapo hasa likija suala la kulinda raia na Mali zao, hii inatisha Sasa piga picha kusingekuwa CCTV Camera?? Au RUclips? Kwa Miaka Mingi Kuna kundi la Majambazi ndani ya Jeshi la POLISI Sasa hizi technology Ndo zinawaumbua

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 2 месяца назад +1

    Congratulations cna Momy Kwa ujasiri inuliwa na Bwana

  • @agathabaraka6077
    @agathabaraka6077 Месяц назад

    Pole mama kwa mfanyabiashara kuibiwa na dhuluma ni jambo la kuumiza moyo na biashara. Pole Mungu asimamie haki yako.

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 2 месяца назад +1

    Pole sana mama Kibona

  • @julianasongolo5710
    @julianasongolo5710 Месяц назад

    Pole sana dada utapata haki yako umepigana sana Mwenyezi Mungu akusimamie.

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 2 месяца назад +3

    Mungu yupo dada

  • @user-bu3jc2dr5n
    @user-bu3jc2dr5n Месяц назад

    Pole sna Boss,,mungu atakusaidia

  • @victordavidmmbaga8491
    @victordavidmmbaga8491 2 месяца назад +1

    Pole sana mtani

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 Месяц назад

    Pole sana Mama, Mungu hatakuacha. Jipe moyo

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 2 месяца назад +1

    Pole mama,,mungu atakulipa

  • @user-yy6gf4my9f
    @user-yy6gf4my9f 2 месяца назад +21

    Babati apo si ndio kesi ya mbunge imefutwa vile?

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Месяц назад

      Babati msumari wa bati 😂😂😂😂 Mungu ndio anaijua babati na mwenye kuikomboa ni Yeye Mungu tu. Wasameheni askari sio wamejitakia ila wameogopa msumari wa bati🤣🤣🤣🤣

    • @user-tf2wp9ix6e
      @user-tf2wp9ix6e Месяц назад

      Pole Sana dada angu

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 2 месяца назад +1

    Pole sana mama na hongera kwa kufuatilia mali yako bila kukata tamaa

  • @dorotheachami4044
    @dorotheachami4044 Месяц назад

    Pole priska mdogo wangu

  • @StanleyLungwa
    @StanleyLungwa 2 месяца назад

    Daah pole sana mama

  • @agneselia9000
    @agneselia9000 2 месяца назад +8

    Mama unamungu kweli na inaonyesha hujawahi kudhulumu mtu.

  • @mithlaabdulrahim8566
    @mithlaabdulrahim8566 2 месяца назад +1

    Super woman...❤

  • @user-bp1py7dk5n
    @user-bp1py7dk5n Месяц назад

    Pole sana Prisca kweli jasho la mtu alipotei hongera kwa kupambana makibona.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Месяц назад

    Pole sana mama mungu akufanyie wepesi katika hili

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 2 месяца назад +6

    Dah pole sana mpenzi ck nyingine biashara za kuweka fedha bank angalia salio kwanza kabla ya kutoa mzigo ndivyo wanavyo fanya kariakoo.

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 месяца назад

      Kabisa yaani

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi Месяц назад

      Safi ni ushauri ht mm nimesema mbona simu utujulisha km mtu kaweka pesa au la!Nmb crdb nk zimesetiwa kisahii sana .

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 Месяц назад

      ​@@annabyekwaso-wt7oikama ameunganisha na sim banking. Lakn pia muda mwngne mtu unachanganyikiwa. Mteja kaja anachukua mzigo mkubwa kwa mara moja yaan unawaza jinsi ya kumuhudumia haraka arizike aje tena, na hujauza mzigo kama huo mda mref kwa mkupuo, yaan unachanganyikiwa unaona kama zali. Kumbe ww ndo wamepata zali kwako. 😂

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 месяца назад +2

    Jamaniiii pole sana, wewe ni Super woman

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 2 месяца назад +1

    Kweli haki yamtu aipotei buree ongera mama shujaaaa❤❤❤

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 2 месяца назад +5

    MCHAGA SIO MTU WAKUCHEZEA , HELA ANAIJUA HASA, SUPERWOMAN

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 2 месяца назад +19

    Huyo mwenye duka iribidi achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kakutwa na mali zawizi inamaana duka lake lote nilawizi tuuu

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 2 месяца назад

    Ooi pole cna Momy

  • @dannylema3125
    @dannylema3125 Месяц назад

    Daaaah pole sana mama

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 2 месяца назад +2

    Pole😢

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 Месяц назад

    Mama Mkwe hongera sana Mungu atunusuru na Watu wabaya

  • @Deedah4
    @Deedah4 Месяц назад

    The struggle was real mama hongera sanaaa na pole sanaaa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 2 месяца назад +3

    Pole dada japo umehangaika ila mwenyezi Mungu atazidi kusimama nawe ni haki yako na Mungu atatenda 🙏🏼🙏🏼

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 2 месяца назад +1

    Mzembe sana Mama

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад

    Pole sana mmangu

  • @johnmsaki7920
    @johnmsaki7920 Месяц назад +1

    Hongera sana shujaa wa kupambania haki yako

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 месяца назад +8

    Dunia hii imejaa kila hatari. Pole sana mama. Pokeni hela taslimu. Dunia majaribu.

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 2 месяца назад +1

      Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake huyu mama

  • @smakmkasiwa723
    @smakmkasiwa723 Месяц назад

    Pole sana mamaa, kwa yaliyo kukuta.

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 2 месяца назад +1

    Duhuu pole sana mama ww ni mwamba kwl kwl mama pole sn

  • @evancetilya167
    @evancetilya167 2 месяца назад +1

    😢Pole sana Mama, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi kigumu unachopitia na ninakuombea upate haki yako

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 2 месяца назад +14

    Pole dada mungu awe pamoja nawe upate haki yako

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 месяца назад

      Mungu/MUNGU sio mungu

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 2 месяца назад

      Nawewe umepata wababe wenzako unajibugi kuwa nenda popote pale usinibabaishe sasa nayeye aende popote

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Месяц назад

      ​@@stevenmdoga8414mungu sio mtu lazima akupitishe kwenye moto lakin hana hana hasira na mwadamu mungu ni mwema

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 2 месяца назад +4

    Yaani jamani mbona wanazidi kimuumiza dada wa watu mpambanaji? Yaani wanagushi hadi risiti za Bank na za TRA! HATARI!!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 месяца назад

    Pole sana mama

  • @kagenzikanala109
    @kagenzikanala109 Месяц назад

    Duhhh aisee hii nchi yetu.... pole sanaa mama

  • @officialjclever9879
    @officialjclever9879 2 месяца назад +2

    hahahahaha huyo jamaa kaenda kujenga 😂😂😂😂bila hata kutumia nguvu na hawa ni wasomi waliokosa ajila😂😂

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 месяца назад +2

    Hili si haki kabisa mama anajitahidi kufanya kazi sio usumbufu usio maana pole sana sana Jasho la mtu alipotehi bure wafungwe miaka 30 bila uhuruma kabisa

  • @djbaddest1220
    @djbaddest1220 Месяц назад +2

    Bonge moja la wakili 🎉

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 2 месяца назад +2

    Ni Hatariiii Kwa kweli, hawa matapeli ni wengi Kwa kweli, hata kwenye Lipa namba hizi siyo.

  • @mauajuma3762
    @mauajuma3762 Месяц назад +1

    Pole Sana dada prisca
    MUNGU yupo pamoja nawe endelea kupambana haki opatikane
    Sadaka yako unatoa kanisani haitakuacha mali ipotee

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Месяц назад

    Pole mama yangu mungu atakusimamia

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 2 месяца назад +12

    He bila kuangalia salio kwenye akaunti!!!! Mbona ulitapeliwa kijinga!!! Ila umefight mama kumpata mtuhumia wako!!! Ila huyo aliyekataa gari na mzigo kuchukuliwa Mungu anamuona!!!! Mama Mungu atakulipia!!!!

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 Месяц назад +1

      Hawa jamaa huwaga kama wana Kidawa hivi...usiombe ya kukute

    • @monicagerald6676
      @monicagerald6676 Месяц назад

      Yaani benki wameturahisishia sana maisha, simbanking,internet banking,app za benki,ukiweka hela Tu ndani ya dakika kadhaa zinaonekana. Watanzania hatupendi technologia,hii inatucost sana.

    • @RBSMABATI
      @RBSMABATI Месяц назад

      Ni hivi, Hawa jamaa wanakuomba account namba wanaenda kuandaa malipo kwa njia ya cheque. Wanaenda kudeposit amount ya iliyopo kwenye cheque ikinaonekana kama imewekwa kwenye akaunti. Kumbuka cheque ni promise/ahadi kwamba utalipwa pesa flani. Kwahiyo kwa Mara ya kwanza Ile pesa utaiona benk lakin utaambiwa fulan ataweka pesa kwenye akaunt yako kiasi flan kama cheq. Hii nimeishuhudia Mara 2. Na Mara nyingi wanakuja jumamosi na wanakuwa na haraka wakati huo ww unataka kufunga duka ndo wanaingia. Hii hata ww inaweza kukukuta.😢

    • @fredricksabick-hi1fl
      @fredricksabick-hi1fl Месяц назад

      @@RBSMABATIkumbe kuna uwezekano wa hela kuonekana na baadae kutoweka😢

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 Месяц назад

      Malipo ya cheque yalitaka kunicost ila nilistuka mapema

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 месяца назад +4

    Polis wamepewa ala wasenge sana ila M/MUNGU kasaidia mpaka apo ulipofikia utapata hakiyako

  • @masoudmakoe561
    @masoudmakoe561 2 месяца назад +1

    Daha mpaka hapo mama amshukuru mungu kwa hatua hii nampa ploe gharama kubwa sana atakua ametumia na hao polisi wa babati wanashirikiana na huo mfanyabiashara anae nunua vitu vya wizi.

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 2 месяца назад +7

    Kila mwalimu alishawahi kuwa mwanafunzi Kila. Mganga alishawahi kuwa mgonjwa.na Kila polisi alishawahi kuwa mwizi Au

    • @mcback4384
      @mcback4384 Месяц назад

      Mapolisi wengi ni majambazi japo na wema pia wapo lakini wachache sana ndio maana maisha ya police wengi baada ya kustaafu yamejaa laana na watoto wao huwa hawafanikiwi

    • @neemaneychricious6493
      @neemaneychricious6493 Месяц назад

      hahaha

  • @user-lf6xo6sj7s
    @user-lf6xo6sj7s 2 месяца назад +1

    Mama nakupenda

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 месяца назад +2

    Dah mtu unapambana weee anakuja mtu kukutapeli mwee 😢😢😢 pole sana

  • @user-sf8wt4sr4t
    @user-sf8wt4sr4t Месяц назад

    Mama mungu akupe nguvu

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 2 месяца назад

    Pole

  • @CandyVois
    @CandyVois Месяц назад

    Pole mum

  • @millenerasto7595
    @millenerasto7595 Месяц назад

    Pole mawi

  • @JumaMukide
    @JumaMukide 2 месяца назад +1

    Pole sana mama makibona haki Yako itapatikana tu 15:10

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 2 месяца назад +1

    Hongera sana dada. Mimi nilitapeliwa police Arusha hakuna kitu walinisaidia lkn nahisi naenda kufufua RB sasa.

  • @bahariawalk
    @bahariawalk Месяц назад

    Pole Sana Mama, alakini ukifikia lengo fulani ya kibiashara lazma ku ajiri accountant ambae anahusika na hesabu maana mfanya biashara mkubwa ukiwa busy kutapeliwa nivirahisi Sana. Isitoshe kufanya biashara na bank ambayo ina technologia ya mobile banking mambo yanakuwa rahisi Sana maana wakati ulitumiwa receipt kama wamesha weka hela Kabla ya kupakiza mzigo wewe mwenyewe ungetumia simu yako ama computer kwa ku cheki.

  • @yusuphchristopher3014
    @yusuphchristopher3014 Месяц назад +1

    Pole sana mama polisi wetu wana udhaifu mkubwa kwenye ufuagiliaji wa kesi za raia hasa pale wanapoona kama hawana maslai watakayopata, mimi hadi leo nina RB ya polisi ya wizi wa shilling milioni moja na laki nane kwenye biashara yangu tangu 2023 mwezi December ila mpaka tunavoongea kila nikimtafuta askari wa upelelezi niliyekabidhiwa kufuatilia kesi yangu hana msaada wowote zaidi ya kutaka hela, nimeamua kuachana nayo maana niliona napoteza hela zaidi wakati tayari nilishapata hasara

    • @dominicklabu5728
      @dominicklabu5728 Месяц назад

      Wewe umeonyesha ushirikiano wowote au umemwachia tu mpelelezi

  • @FahiyeFarah6878
    @FahiyeFarah6878 Месяц назад

    Pole sana kwa Mama itakuwa Alikuwa amechoka sana siku hiyo lakini ndugu zangu risiti pekee ambayo inaweza ikawa halali ni risiti ya machine ya wakala tuu because pesa ikishawekwa unatumiwa message directly kwenye simu na bank Husika Example UTAONA KWENYE TEXT IMEINGIA MESSAGE MTUMAJI CRDB BANK
    ALLAH AWAJALIE WAFANYABIASHARA WASITAPELIWE AAMIN

  • @JacklineMnganya
    @JacklineMnganya Месяц назад

    Watu watafute pesa kwa njia halali tuepuke njia za mkato Kwan hujui Mungu alikomtoa mja wake na kuamua kumbariki. Hongera sana mama shujaa

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd Месяц назад

    Hiii nchii ni ngumu sana yan kielelezo kimekamatwa lakn bado tyu 😢😢😢khaa dua ya mdhulumiwa hairud mama mungu atakusaidia na haki yako itapatikan tyu usiwe na shaka upo na mungu alie hai mam

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r 2 месяца назад

    Dah pole san