MWANAFUNZI AKODISHA GHOROFA KARIAKOO, ANAINGIZA MILIONI 30 KWA MWEZI, "NILIANZA UDALALI CHUONI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024

Комментарии • 517

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 10 дней назад +9

    Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Mungu akupe maisha uibadilishe nchi yetu ukiwa minister of investment naiona nchi ikiwa mbali mwanangu

  • @user-sw6uo6rv6j
    @user-sw6uo6rv6j Месяц назад +132

    Wanao tudharau ma last born dogo katuwakilisha vyema hongera mashallah Allah atupe hekma ya kutafuta rizki ya halali

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Месяц назад +37

    Dah! Smart Boy 🤝💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌Hongera sana Mungu Azidi kuleta Baraka nyingi kwako Ubarikiwe kakaangu🕊️🤝

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 27 дней назад

      Millardayo weka website yake au namba ya dogo

  • @joyceKingu
    @joyceKingu Месяц назад +15

    Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад +27

    Hongera kijana mwema. Una bidii sana. Mungu azidi kukubariki na kukuinua katika maono yako.

  • @nasiwasumari3830
    @nasiwasumari3830 Месяц назад +20

    Hongera sana Basil! Mwenyezi Mungu aendelee kukuwezesha. Amina!

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Месяц назад +8

    MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe..
    Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo.
    Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,

  • @annachales9623
    @annachales9623 Месяц назад +17

    Hongera sana dogo yaani wewe ni hatari na nusu...Mungu azidi kukusimamia

  • @annndunda3953
    @annndunda3953 Месяц назад +30

    Kwa hio my daughter ako sawa she's in grade eight, lakini musimu wa maembe na machungwa hua anazibeba shule anauza ajibuyia vitu ndogo ndogo

    • @rerisamba
      @rerisamba 28 дней назад

      Heri wewe watoto wengine hata uwawekee barafu wauze hapo nje angalao ajipatie pocket mani hataki

    • @Jjm172
      @Jjm172 27 дней назад

      Smart

  • @stevenjohn7905
    @stevenjohn7905 Месяц назад +38

    Very Smart jamaa ana akiri nyingi Sana, serikali inabidi iwekeze kwa huyu kijana

  • @beatricerobert8985
    @beatricerobert8985 13 дней назад +1

    Huyu angesoma bsness admin au interprnurshp

  • @axelmalekia2558
    @axelmalekia2558 Месяц назад

    Hongera sana. Very inspiring. Hukuna kukata tamaa. Mungu akubariki sana.

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Месяц назад +5

    Huyu alikuwa na pesa kwa hiyo ukiwa na pesa kila unachofanya unagusa tu ww kukodi ghorofa unafikili kz ndogo?

  • @Kibeche
    @Kibeche Месяц назад +6

    Big up sana kijana

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Месяц назад +9

    Daaaah!!
    Hongera sana mdogo wangu...., mwenyewe na utu uzima wangu kina kitu nimepata.
    Mwenyenzi Mungu Azidi Kukuinua!!!!

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians Месяц назад +5

    Congratulations 🎉🎉🎉 Basil💪

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Месяц назад +21

    DUH SMART BOY🎉🎉🎉

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 Месяц назад +45

    Elon musk, billgate, jeff bezos wooote walianza mdogo mdogo kama huyu kijana wetu🇹🇿❤🥂🥂

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 Месяц назад +2

      Wewe unawajua hao majamaa lakn wao hawakufaham😅

    • @pilotmadata5791
      @pilotmadata5791 Месяц назад +5

      @@PrinceBonnyTz8 hamna umuhim kwa wao kukujua ila cha muhimu ni kujifunza kutoka kwao🙏🏼❤

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 Месяц назад

      @@pilotmadata5791 Acha nikutumie namba za Musk uongee nae 😅

    • @AminaIssa-ee6kl
      @AminaIssa-ee6kl Месяц назад

      ​@@PrinceBonnyTz8😂😂😂

    • @Thynkmypodcast
      @Thynkmypodcast Месяц назад

      😂😂😂

  • @user-du5wk9ns9m
    @user-du5wk9ns9m Месяц назад +2

    Ametukuka Allah kwa kujalia akil ubunif kwa kijana huyu, namuona mbali saana kijana, mungu akuzidishie

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller Месяц назад +6

    Uko vizuri sana mdogo wangu, nina Imani utapiga hatua kubwa sana, na nafahamu utajenga magorofa yako mwenyewe.

  • @moahmed7588
    @moahmed7588 Месяц назад +18

    Apo na Rais Mwinyi pakoje apo? Big up dogo

  • @jaynetasha4190
    @jaynetasha4190 16 дней назад

    Eeh Mwenyezi Mungu mjalie mwanangu uwezo huu mkubwa wa kufikiri na umfikishe juu kileleni. Amen.
    Hongera sana Basil

  • @shebbymazua8216
    @shebbymazua8216 Месяц назад +4

    Mungu akutangulie bro umetuwakilisha vzk ziba sec

  • @ramadhankipati7740
    @ramadhankipati7740 Месяц назад

    Very cool young Man...Maua yake mjasiliamali🎉👏

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Месяц назад +4

    Safi sana sana ubarikiwe

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 Месяц назад +1

    Keep it up kijana be blessed 🙌

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 Месяц назад +1

    Big brain bravooo

  • @Yohana-cz2ek
    @Yohana-cz2ek Месяц назад +4

    Respect bro

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 26 дней назад +1

    Congrats I am from kenya my mum is from Tabora kudos our Taborian

  • @riddi676
    @riddi676 27 дней назад +10

    Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉

    • @lailatmondwe9829
      @lailatmondwe9829 25 дней назад +1

      Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 дня назад

      Una akiri Sana👍 nimekuerewa

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 Месяц назад +7

    Nikijicheki nategemea boom alafu sielewi hata linaishaje nabaki nachoka

  • @user-jx9xc6vo9x
    @user-jx9xc6vo9x Месяц назад +3

    Mungu akutangulie mwanangu

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 Месяц назад +4

    Basil ❤unaakili sana 😇

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 Месяц назад +10

    Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 27 дней назад

    Hongera sana Basil keep up the good work

  • @FrancissamwelfrancisSamwelfran
    @FrancissamwelfrancisSamwelfran 13 дней назад +1

    Sio kweli kwa sis ambao tunahaso huwez kupata gorofa kariakoo kwa million 2 asituzuge huyu jamaa , lamda atuambie Kuna mwamba nyuma yake

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 Месяц назад

    Mungu akubariki akupe fursa zaidi kwenye maisha yako

  • @carolinepeter961
    @carolinepeter961 20 дней назад

    Kijana Yuko vizuri ..very smart

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 25 дней назад +1

    safi sana, afaa kuwa kiongozi mkubwa saana, big up saaa hata anvyojibu maswali najibu kwa akili sananaa. MUNGU akufunikieee

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 Месяц назад +5

    Hili tangazo zuri sana kwa wanaohitaji vyumba

  • @erastojr1195
    @erastojr1195 Месяц назад +6

    Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮

    • @Africaner21
      @Africaner21 26 дней назад +1

      Kuna watu wanamshika mkono maana hawezi Kukodi Ghorofa bila maokoto

    • @erastojr1195
      @erastojr1195 26 дней назад

      @@Africaner21 kabisaaa kaka

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 Месяц назад +1

    Hongera sana bro

  • @JoyceAlfred-dv6cw
    @JoyceAlfred-dv6cw 2 дня назад

    Big up kijana

  • @mwanajaajuma9042
    @mwanajaajuma9042 29 дней назад

    Masha Allah Mungu akuzidishie na sisi wengine pia tuige mfano mzuri kama huo

  • @tenajtenaj4284
    @tenajtenaj4284 27 дней назад

    Very smart guy🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha3898 Месяц назад

    Very creative

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u Месяц назад +2

    Du jamani huyo mtoto ni brilliant Mungu amtunze na Ulinzi wa kiMungu uwe juu yake

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 6 дней назад +1

    Mahesabu ya mm la saba yanagoma hayo ni mastory ya ayo

  • @user-bn8wj2lz1z
    @user-bn8wj2lz1z 11 дней назад

    Wewe noma mungu akuongezee njia

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y Месяц назад

    Upo vizuri sana hongera

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Месяц назад +1

    Hongera sana

  • @MM-pb7fw
    @MM-pb7fw Месяц назад +15

    tofauti ya huyu kijana na watu wengine wanaolalamika maisha magumu na kwamba ajira hamna ni UTHUBUTU, UTHUBUTU, UTHUBUTU

    • @nurumligo4862
      @nurumligo4862 Месяц назад +2

      Hujiulizi alipata wapi hela ya kukodi ghorofa, ukarabati, furniture. Hakuna mtu hapendi fursa, think beyond the box

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 28 дней назад

      @@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 28 дней назад

      @@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 24 дня назад

      Mtaji Alipata wapi hilo ndilo swali

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 17 дней назад

      @@edwardmkwelele muwe mnasikiliza interview nzima kabla hamjakurupuka kuuliza maswali...mbona ameeleza hapo vizuri tu..au madishi yameyumba kuelewa ndio shida

  • @user-qv9ii6qz7q
    @user-qv9ii6qz7q Месяц назад +1

    Mungu akusimamaie kaka

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Месяц назад

    Hongera sana, Mungu azidi kukupigania 🤝🙏

  • @eldawilliam3541
    @eldawilliam3541 18 дней назад

    Hongera sana mwangu Mungu akubariki sana

  • @user-xd4rj2iu5q
    @user-xd4rj2iu5q 29 дней назад

    Aiseee basil that is sure kweli wakati wa mungu ni sahihi Sana Hongera kaka

  • @Jammie626
    @Jammie626 Месяц назад

    Hongera sana Basil

  • @Abbysalaam
    @Abbysalaam Месяц назад +2

    Jamaa anajua kujibu maswali 🎉

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Месяц назад +3

    Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Месяц назад

    Mashaaallah ❤❤

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Месяц назад

    😮mashaallah❤❤❤❤❤🤲🤲

  • @hajudocompanylimited7996
    @hajudocompanylimited7996 Месяц назад +1

    Safi sana mdogo wangu

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 26 дней назад

    Hongera sanaa Boy

  • @ezekielmbise9766
    @ezekielmbise9766 Месяц назад +1

    hongera basil

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Месяц назад +11

    Shirika la nyumba lijitathmini..ila nampa Big up saana tu huyu dogo..

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 Месяц назад

      Sijui hata kama lipo

    • @moudys
      @moudys Месяц назад

      Wewe bado akili imefunga, madhaifu ya sector hizi ndio fursa kwa vijana wenye akili.

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Месяц назад +12

    Akili kubwa.🎉

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 29 дней назад +2

    Genius ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @cyrustimothy2714
    @cyrustimothy2714 Месяц назад +1

    Umetisha mwana, umenipatia fursa ghafla ninapoishi

  • @medystarter
    @medystarter Месяц назад +3

    Hii inaweza kuwa nzuri pia inaweza kumfanya mmiliki akatamani kuchukua iyo fursa

  • @owlbig
    @owlbig Месяц назад

    Congratulations brother

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t Месяц назад

    Mashaallah allah akuzidishie kipaji chako

  • @sein.208
    @sein.208 Месяц назад

    Masha Allah

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 Месяц назад

    Hongera sana Kijana

  • @patriciovicente2891
    @patriciovicente2891 24 дня назад

    Hongera kijana kwa kuzitumia ipaswavyo akili yako

  • @merinaemmanuel3593
    @merinaemmanuel3593 4 дня назад

    Congratulations

  • @EstherMinja-jv1qf
    @EstherMinja-jv1qf Месяц назад

    Hongera sana mwanangu

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634 26 дней назад

    Your testosterone level is high, u know what I mean Basil.big up bro!

  • @adolfkirway5715
    @adolfkirway5715 Месяц назад +3

    Akili sn hongera mwamba tunahitaji vijana mbali nakusoma tu tuwe wangunduzi na kutatua changamoto za kimaisha kwetu na wenzetu unafaa kuwa kiongozi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Месяц назад

    Great boy

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 Месяц назад

    Vizuri sana Basil Kwa kuona fursa na kuitumia, umetoa funzo kwa vijana na hata hamasa

  • @ConsolathangairoConsolathamart
    @ConsolathangairoConsolathamart Месяц назад

    Hongera🙏🏻

  • @trillionthamani5736
    @trillionthamani5736 29 дней назад +1

    Ni mdogo wangu,lakini ngoja nimpe shikamoo

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 Месяц назад

    Nimeipenda hii

  • @PozzTonny-in8vy
    @PozzTonny-in8vy Месяц назад

    Akili kubwa big up brother

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 Месяц назад

    Kwenye Nia pana Njia, vizuri sana dogo

  • @wakanaiautogaragecarpaints7753
    @wakanaiautogaragecarpaints7753 Месяц назад +2

    I see kijana nampatia mauwa yake kabisa mwenyezi mungu adhidi kukupa afya njema na adhidi kua saidie na watu wengine ambao hata sio wanafunzi wa chuo

  • @medinhokash5488
    @medinhokash5488 29 дней назад +1

    Respect

  • @ibrahimmhapa4856
    @ibrahimmhapa4856 17 дней назад

    Big up big fighter 💪💪💪💪💪💪

  • @user-ef6ts8ro7r
    @user-ef6ts8ro7r 25 дней назад

    Ongera brother

  • @elishaishmaelkivuyo4150
    @elishaishmaelkivuyo4150 Месяц назад

    SMART

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w Месяц назад

    Mashallah,,

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 29 дней назад

    Dogo ana akili kuzidi watawala,Mungu akulinde uzidi kutimiza ndoto zako👍🏻👏🏽🙏

  • @user-jz9bb6lw1c
    @user-jz9bb6lw1c Месяц назад

    Yes..my University mate .. muhimbili...nimeshawahi kufika hapo

  • @sosteneselias7764
    @sosteneselias7764 Месяц назад

    Big up brother 💪😁

  • @sirajmmbugi8162
    @sirajmmbugi8162 Месяц назад +1

  • @djbenkim2272
    @djbenkim2272 25 дней назад

    Smart boy uyu serikari imusaidiye

  • @omeraJR
    @omeraJR Месяц назад +6

    Genius for REAL👊👊

  • @ZuleikhaSalim
    @ZuleikhaSalim Месяц назад +8

    Hongera kijan umeupig mwing

  • @elieshistephen1534
    @elieshistephen1534 28 дней назад

    Basili muinue sana Mungu kila wakati ili azidi kukuongoza na kukuepusha na kila ubaya.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Месяц назад +10

    Tusiishi kwa mazoeya lazima tutafute Mbadala