Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe.. Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo. Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Mungu akupe maisha uibadilishe nchi yetu ukiwa minister of investment naiona nchi ikiwa mbali mwanangu
Wanao tudharau ma last born dogo katuwakilisha vyema hongera mashallah Allah atupe hekma ya kutafuta rizki ya halali
Amin kka
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂kwakweli
Kabisa ✊
Mtaji mkubwa sana. Je kaupataje??
Dah! Smart Boy 🤝💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌Hongera sana Mungu Azidi kuleta Baraka nyingi kwako Ubarikiwe kakaangu🕊️🤝
Millardayo weka website yake au namba ya dogo
Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
Hongera kijana mwema. Una bidii sana. Mungu azidi kukubariki na kukuinua katika maono yako.
Hongera sana Basil! Mwenyezi Mungu aendelee kukuwezesha. Amina!
Amen🙏
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe..
Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo.
Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
Hongera sana dogo yaani wewe ni hatari na nusu...Mungu azidi kukusimamia
Kwa hio my daughter ako sawa she's in grade eight, lakini musimu wa maembe na machungwa hua anazibeba shule anauza ajibuyia vitu ndogo ndogo
Heri wewe watoto wengine hata uwawekee barafu wauze hapo nje angalao ajipatie pocket mani hataki
Smart
Very Smart jamaa ana akiri nyingi Sana, serikali inabidi iwekeze kwa huyu kijana
Wapo wengi sana 😂
Kilamtu apambane
AKILI
Na wewe inabidi uwe na AKILI Sio AKIRI
@@febiolam5904😂😂😂😂😂😂 bora umeelewa
Huyu angesoma bsness admin au interprnurshp
Hongera sana. Very inspiring. Hukuna kukata tamaa. Mungu akubariki sana.
Huyu alikuwa na pesa kwa hiyo ukiwa na pesa kila unachofanya unagusa tu ww kukodi ghorofa unafikili kz ndogo?
Big up sana kijana
Daaaah!!
Hongera sana mdogo wangu...., mwenyewe na utu uzima wangu kina kitu nimepata.
Mwenyenzi Mungu Azidi Kukuinua!!!!
Tatizo mitaji tz sasa yeye alikuwa na mtaji wa kukodi ghorofa kariakoo alikuwa vzr xana
Kira kitu umepata
Congratulations 🎉🎉🎉 Basil💪
DUH SMART BOY🎉🎉🎉
Elon musk, billgate, jeff bezos wooote walianza mdogo mdogo kama huyu kijana wetu🇹🇿❤🥂🥂
Wewe unawajua hao majamaa lakn wao hawakufaham😅
@@PrinceBonnyTz8 hamna umuhim kwa wao kukujua ila cha muhimu ni kujifunza kutoka kwao🙏🏼❤
@@pilotmadata5791 Acha nikutumie namba za Musk uongee nae 😅
@@PrinceBonnyTz8😂😂😂
😂😂😂
Ametukuka Allah kwa kujalia akil ubunif kwa kijana huyu, namuona mbali saana kijana, mungu akuzidishie
Uko vizuri sana mdogo wangu, nina Imani utapiga hatua kubwa sana, na nafahamu utajenga magorofa yako mwenyewe.
Amina sana😀🙏
@@basilmswahili3685 MUNGU NI MWEMA 🙏🇹🇿
Amin Thumma Yarabby...🤲🤲🤲
@@AminaIssa-ee6kl Amina 🙏
@@basilmswahili3685hongera kijana
Apo na Rais Mwinyi pakoje apo? Big up dogo
Eeh Mwenyezi Mungu mjalie mwanangu uwezo huu mkubwa wa kufikiri na umfikishe juu kileleni. Amen.
Hongera sana Basil
🙏🙏
Mungu akutangulie bro umetuwakilisha vzk ziba sec
Very cool young Man...Maua yake mjasiliamali🎉👏
Safi sana sana ubarikiwe
Keep it up kijana be blessed 🙌
Big brain bravooo
Respect bro
Congrats I am from kenya my mum is from Tabora kudos our Taborian
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
Una akiri Sana👍 nimekuerewa
Nikijicheki nategemea boom alafu sielewi hata linaishaje nabaki nachoka
Mungu akutangulie mwanangu
Basil ❤unaakili sana 😇
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂
😂😂😂
💨
😂😂😅
Naam Sheikh
Hongera sana Basil keep up the good work
Sio kweli kwa sis ambao tunahaso huwez kupata gorofa kariakoo kwa million 2 asituzuge huyu jamaa , lamda atuambie Kuna mwamba nyuma yake
Mwamba Tena??🙄🙄
Mungu akubariki akupe fursa zaidi kwenye maisha yako
Kijana Yuko vizuri ..very smart
safi sana, afaa kuwa kiongozi mkubwa saana, big up saaa hata anvyojibu maswali najibu kwa akili sananaa. MUNGU akufunikieee
Hili tangazo zuri sana kwa wanaohitaji vyumba
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
Kuna watu wanamshika mkono maana hawezi Kukodi Ghorofa bila maokoto
@@Africaner21 kabisaaa kaka
Hongera sana bro
Big up kijana
Masha Allah Mungu akuzidishie na sisi wengine pia tuige mfano mzuri kama huo
Very smart guy🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Very creative
Du jamani huyo mtoto ni brilliant Mungu amtunze na Ulinzi wa kiMungu uwe juu yake
Amen
Mahesabu ya mm la saba yanagoma hayo ni mastory ya ayo
Wewe noma mungu akuongezee njia
Upo vizuri sana hongera
Hongera sana
tofauti ya huyu kijana na watu wengine wanaolalamika maisha magumu na kwamba ajira hamna ni UTHUBUTU, UTHUBUTU, UTHUBUTU
Hujiulizi alipata wapi hela ya kukodi ghorofa, ukarabati, furniture. Hakuna mtu hapendi fursa, think beyond the box
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
Mtaji Alipata wapi hilo ndilo swali
@@edwardmkwelele muwe mnasikiliza interview nzima kabla hamjakurupuka kuuliza maswali...mbona ameeleza hapo vizuri tu..au madishi yameyumba kuelewa ndio shida
Mungu akusimamaie kaka
Hongera sana, Mungu azidi kukupigania 🤝🙏
Hongera sana mwangu Mungu akubariki sana
Aiseee basil that is sure kweli wakati wa mungu ni sahihi Sana Hongera kaka
Hongera sana Basil
Jamaa anajua kujibu maswali 🎉
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....
laivu bila chenga mzee
😂😂😂😂😂 hatari 😂
Mashaaallah ❤❤
😮mashaallah❤❤❤❤❤🤲🤲
Safi sana mdogo wangu
Hongera sanaa Boy
hongera basil
Shirika la nyumba lijitathmini..ila nampa Big up saana tu huyu dogo..
Sijui hata kama lipo
Wewe bado akili imefunga, madhaifu ya sector hizi ndio fursa kwa vijana wenye akili.
Akili kubwa.🎉
Kwel
Genius ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umetisha mwana, umenipatia fursa ghafla ninapoishi
Hii inaweza kuwa nzuri pia inaweza kumfanya mmiliki akatamani kuchukua iyo fursa
Nalo neno!
Congratulations brother
Mashaallah allah akuzidishie kipaji chako
Masha Allah
Hongera sana Kijana
Hongera kijana kwa kuzitumia ipaswavyo akili yako
Congratulations
Hongera sana mwanangu
Your testosterone level is high, u know what I mean Basil.big up bro!
Akili sn hongera mwamba tunahitaji vijana mbali nakusoma tu tuwe wangunduzi na kutatua changamoto za kimaisha kwetu na wenzetu unafaa kuwa kiongozi
Great boy
Vizuri sana Basil Kwa kuona fursa na kuitumia, umetoa funzo kwa vijana na hata hamasa
Hongera🙏🏻
Ni mdogo wangu,lakini ngoja nimpe shikamoo
Nimeipenda hii
Akili kubwa big up brother
Kwenye Nia pana Njia, vizuri sana dogo
I see kijana nampatia mauwa yake kabisa mwenyezi mungu adhidi kukupa afya njema na adhidi kua saidie na watu wengine ambao hata sio wanafunzi wa chuo
Respect
Big up big fighter 💪💪💪💪💪💪
Ongera brother
SMART
Mashallah,,
Dogo ana akili kuzidi watawala,Mungu akulinde uzidi kutimiza ndoto zako👍🏻👏🏽🙏
Yes..my University mate .. muhimbili...nimeshawahi kufika hapo
Big up brother 💪😁
❤
Smart boy uyu serikari imusaidiye
Genius for REAL👊👊
Hongera kijan umeupig mwing
Mzma Zuleikha?
Hey Zu"+44
@@khadijaalimohd1320 hamdellah nan
Basili muinue sana Mungu kila wakati ili azidi kukuongoza na kukuepusha na kila ubaya.
Tusiishi kwa mazoeya lazima tutafute Mbadala