WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 мар 2024
  • WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
    Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
    Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
    Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 658

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +14

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @BilalShingwa
      @BilalShingwa 2 месяца назад

      Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza

    • @josephmakrina8851
      @josephmakrina8851 2 месяца назад +1

      Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA

    • @saningolenoi8961
      @saningolenoi8961 2 месяца назад

      ​@@BilalShingwa😊😊iijj

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 3 месяца назад +51

    Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe

  • @user-pf2mb2ri2d
    @user-pf2mb2ri2d 3 месяца назад +29

    Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri

  • @Mozline1
    @Mozline1 3 месяца назад +50

    Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa Месяц назад +1

      Sawa lkn n Mungu co mungu

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 24 дня назад

      Ww ni mwalimu wa shule gani😂😂​@@FranciscoKatakwa

  • @justinemcharo1727
    @justinemcharo1727 2 месяца назад +21

    Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi

  • @IsihakaAmbar
    @IsihakaAmbar Месяц назад +12

    Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 3 месяца назад +18

    Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu

  • @husseinidd5751
    @husseinidd5751 3 месяца назад +13

    Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 3 месяца назад +23

    Congratulations Minister SLAA

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Месяц назад +8

    Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 2 месяца назад +21

    Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 6 дней назад +4

    SLAA IS NEXT PRESIDENT OF TANZANIA, wanafata haki sio maslahi God bless you

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 месяца назад +26

    Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 3 месяца назад +25

    Huyo waziri Ana Akili sana🎉

    • @husseinmeena4175
      @husseinmeena4175 Месяц назад +2

      Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point

  • @NicoNey5
    @NicoNey5 2 месяца назад +20

    Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 2 месяца назад +1

      Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 2 месяца назад +1

      Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa Месяц назад +1

      Ni Mungu sio mungu

  • @UpendopeterPeter-cq8ds
    @UpendopeterPeter-cq8ds 2 месяца назад +6

    Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z 3 месяца назад +18

    Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr 2 месяца назад

      Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.

  • @user-hz3jx7wu4p
    @user-hz3jx7wu4p Месяц назад +7

    Mr . ministry u deserve to be a president ❤

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 3 месяца назад +14

    Mungu ambariki huyo baba huko aliko

  • @jamalibaruti7126
    @jamalibaruti7126 2 месяца назад +5

    Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l 3 месяца назад +11

    Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni

  • @arafatahmed6049
    @arafatahmed6049 6 дней назад +3

    mashAllah I wish huyo waziri tungekuwa nae inchini Kenya mungu akupe moyo huo mwenye kutenda hakiii

    • @QweAsd-ry7tb
      @QweAsd-ry7tb 2 дня назад

      Ukweli mawaziri wetu hawajali wananchi

  • @hassanamtunzitv2368
    @hassanamtunzitv2368 3 месяца назад +3

    Asante sana Mh Waziri

  • @chembejohn9605
    @chembejohn9605 3 месяца назад +34

    Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 месяца назад

      Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 месяца назад

      Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.

    • @abdulsataribashiri8300
      @abdulsataribashiri8300 Месяц назад

      Kbsaaa

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Месяц назад +12

    Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa

    • @nikundiweamosi5087
      @nikundiweamosi5087 6 дней назад

      Haha sheria mahakamani,tulia shehe haki itendeke mahakama hopeless kwan wako wapi

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 3 месяца назад +9

    Safi sana Tena sana tu

  • @AmbroseSven
    @AmbroseSven 3 месяца назад +1

    Mungu ambariki

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 2 месяца назад +7

    Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana

    • @user-zn9zl4kh1w
      @user-zn9zl4kh1w Месяц назад

      Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 месяца назад +26

    Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Месяц назад

      KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад

      ​@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 Месяц назад

      Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Месяц назад

      ​​@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 Месяц назад

      @@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 месяца назад +13

    Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.

  • @linamosha2453
    @linamosha2453 2 месяца назад +4

    Jery Mungu akubariki sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 месяца назад +1

    Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 3 месяца назад +10

    Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi
    Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa

  • @user-rw5jl9qp6y
    @user-rw5jl9qp6y Месяц назад +1

    Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 3 месяца назад +9

    Mungu ninusuru na vituvyamiradhi

  • @mohamedmtahiyatu9113
    @mohamedmtahiyatu9113 2 месяца назад +11

    HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE

  • @ibrahimmatola1529
    @ibrahimmatola1529 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 3 месяца назад +5

    Safi sana waziri

  • @user-qz7xl1xj7v
    @user-qz7xl1xj7v 3 месяца назад +25

    Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b 2 месяца назад

    Shukran

  • @user-cq4bw6xt9j
    @user-cq4bw6xt9j 2 месяца назад +4

    Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5l 2 месяца назад +1

    Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu

  • @richbird.123
    @richbird.123 Месяц назад +3

    Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 3 месяца назад +3

    Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 3 месяца назад +3

    MASHAALLAH

  • @Hbk206
    @Hbk206 3 месяца назад +4

    I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z 2 месяца назад +5

    Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z Месяц назад +1

    Mashaallaah hongera waziri umeongea. Vipi

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 3 месяца назад +23

    Waziri very smart mungu akubariki

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa Месяц назад

      🙏,lkn n Mungu co mungu

    • @careen26mrope76
      @careen26mrope76 9 дней назад

      @@FranciscoKatakwa Yaani nachukia mimi kuandika mungu😪😪

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 3 месяца назад +2

    Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +8

    Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n 2 месяца назад +1

    Ndio waziri safi sana

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Месяц назад +2

    Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 2 месяца назад +1

    Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe

  • @lindermuro8113
    @lindermuro8113 2 месяца назад +1

    Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up

  • @suleimankb0210
    @suleimankb0210 2 месяца назад +2

    Maa sha Allah

  • @khadijaseif3897
    @khadijaseif3897 2 месяца назад +2

    Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 месяца назад +1

    Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 3 месяца назад +2

    Great

  • @zawadmohammad2682
    @zawadmohammad2682 2 месяца назад

    mashallah mashallah mashallah Allah akupe mwisho mwema wazir

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 2 месяца назад

    Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax 3 месяца назад +2

    Ipo kazi hapa

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 2 месяца назад +1

    Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 2 месяца назад +5

    Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 3 месяца назад

    Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9y 2 месяца назад +2

    Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah

  • @Amry-xx4ps
    @Amry-xx4ps 2 месяца назад +3

    Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥

  • @richardchawenda5938
    @richardchawenda5938 3 месяца назад +4

    Hongera saana kaka

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 3 месяца назад +11

    Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv

  • @IsmailElmazroui
    @IsmailElmazroui Месяц назад

    Mashallah jazakah llahu kheyr Allah akuomgoze uwe kiongoz mwema siku zote

  • @ullymwaipopo398
    @ullymwaipopo398 Месяц назад +19

    Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op Месяц назад +2

    Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,

  • @hassanjuamchipua9384
    @hassanjuamchipua9384 Месяц назад +1

    Wallahy umenifurahisha sana waziri

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 28 дней назад +1

    MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem

  • @windrinimpogolo
    @windrinimpogolo 2 месяца назад +1

    Kazi iendelee

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 2 месяца назад +1

    Tamaa ni Mbaya Sanaa,

  • @user-po3fg1ue4i
    @user-po3fg1ue4i 2 месяца назад

    Very much

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 Месяц назад +1

    Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 месяца назад

    Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake

  • @bagaileshabani3179
    @bagaileshabani3179 3 месяца назад +2

    Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )

  • @benedictobujiku842
    @benedictobujiku842 Месяц назад

    .mungu akubariki sanaaa kk

  • @faizadiriye1384
    @faizadiriye1384 Месяц назад

    Well done waziri mungu atakulipa

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy 3 месяца назад +1

    Mungu akupe maisha marefu waziri slaa

  • @user-bm5zm8ls2d
    @user-bm5zm8ls2d Месяц назад

    Safi sana waziri wetu

  • @mudyhmedia
    @mudyhmedia 2 месяца назад +1

    Hongera 🎉mh waziri

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 Месяц назад

    mashaAllah❤

  • @user-pz9mj2rm2q
    @user-pz9mj2rm2q 3 месяца назад +2

    Mh silaa Allah akupe afya njema

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 3 месяца назад +8

    Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.

    • @chuchufplatnumz4888
      @chuchufplatnumz4888 3 месяца назад +5

      Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote

    • @faridanurdin9635
      @faridanurdin9635 3 месяца назад

      MashaAllah

    • @OmaryLiku
      @OmaryLiku 2 месяца назад

      Ameen

    • @Ins3ctsworld
      @Ins3ctsworld 2 месяца назад +1

      Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk

    • @user-lk3pz6uq6q
      @user-lk3pz6uq6q Месяц назад

      ​@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q Месяц назад

    Mungu akulinde haupindishi maneno🙏🙏

  • @mako331
    @mako331 Месяц назад +1

    Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 3 месяца назад +9

    Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 3 месяца назад

    Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.

  • @mchomvuelias64
    @mchomvuelias64 3 месяца назад +1

    Brother Jerry you are smart

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Месяц назад

    😮mashallah wazir sila mungu akupe pepo yako

  • @Saliviussalivius
    @Saliviussalivius Месяц назад

    Uyu waziri namwelewaga sana

  • @wanatangawaja6397
    @wanatangawaja6397 Месяц назад

    Uko vizuri waziri

  • @MsanyaMrisho
    @MsanyaMrisho Месяц назад +1

    Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo

  • @KisileAbdallah
    @KisileAbdallah Месяц назад

    Mashaallah mashallah allah akulipe khery inshaallah

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 месяца назад +1

    Hongera sana waziri na inaonyesha Jengo lina waqfu ila wanataka kuleta janja janja.