WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
HTML-код
- Опубликовано: 10 мар 2024
- WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza
Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA
@@BilalShingwa😊😊iijj
Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe
Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri
Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde
Sawa lkn n Mungu co mungu
Ww ni mwalimu wa shule gani😂😂@@FranciscoKatakwa
Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi
Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee
Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu
Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..
Congratulations Minister SLAA
Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema
Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊
SLAA IS NEXT PRESIDENT OF TANZANIA, wanafata haki sio maslahi God bless you
Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante
Huyo waziri Ana Akili sana🎉
Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point
Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..
Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu
Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia
Ni Mungu sio mungu
Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri
Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge
Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.
Mr . ministry u deserve to be a president ❤
Mungu ambariki huyo baba huko aliko
Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊
Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni
mashAllah I wish huyo waziri tungekuwa nae inchini Kenya mungu akupe moyo huo mwenye kutenda hakiii
Ukweli mawaziri wetu hawajali wananchi
Asante sana Mh Waziri
Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun
Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya
Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.
Kbsaaa
Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa
Haha sheria mahakamani,tulia shehe haki itendeke mahakama hopeless kwan wako wapi
Safi sana Tena sana tu
Mungu ambariki
Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana
Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au
Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!
KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !
@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa
Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂
@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI
@@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama
Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.
Jery Mungu akubariki sana
Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏
Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi
Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi
Hakika
Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa
Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)
Mungu ninusuru na vituvyamiradhi
Watu wanauwanaga hivihivi
HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE
Amiin
Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri
Safi sana waziri
Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa
Sahihi kabisa !
Zimepigwa sana
😂😂😂😂
Kweli mkuu nimeshangaa pia huyo muite ofisini uumpe elimu
Na yeye anashangaa mambo yanavyoenda
Shukran
Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa
Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu
Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤
Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri
MASHAALLAH
I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.
Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤
Mashaallaah hongera waziri umeongea. Vipi
Waziri very smart mungu akubariki
🙏,lkn n Mungu co mungu
@@FranciscoKatakwa Yaani nachukia mimi kuandika mungu😪😪
Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka
Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍
Ndio waziri safi sana
Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....
Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe
Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up
Maa sha Allah
Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah
Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha
Great
mashallah mashallah mashallah Allah akupe mwisho mwema wazir
Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri
Ipo kazi hapa
Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko
Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job
True
Very smart and intellectual man
Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara
Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah
Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥
Hongera saana kaka
Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv
Mashallah jazakah llahu kheyr Allah akuomgoze uwe kiongoz mwema siku zote
Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!
Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,
Wallahy umenifurahisha sana waziri
MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem
Kazi iendelee
Tamaa ni Mbaya Sanaa,
Very much
Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge
Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake
Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )
.mungu akubariki sanaaa kk
Well done waziri mungu atakulipa
Mungu akupe maisha marefu waziri slaa
Safi sana waziri wetu
Hongera 🎉mh waziri
mashaAllah❤
Mh silaa Allah akupe afya njema
Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.
Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote
MashaAllah
Ameen
Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk
@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa
Mungu akulinde haupindishi maneno🙏🙏
Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa
Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi
Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.
Brother Jerry you are smart
😮mashallah wazir sila mungu akupe pepo yako
Uyu waziri namwelewaga sana
Uko vizuri waziri
Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo
Mashaallah mashallah allah akulipe khery inshaallah
Hongera sana waziri na inaonyesha Jengo lina waqfu ila wanataka kuleta janja janja.