MMILIKI WA S. H. AMON AKUMBANA NA WAZIRI SILAA KARIAKOO, MGOGORO WA JENGO LA GHOROFA WATATULIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 22

  • @JrMambo
    @JrMambo Месяц назад +3

    Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Месяц назад +5

    usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi

  • @user-jo1zp7fj7r
    @user-jo1zp7fj7r Месяц назад +4

    police nae anarespect kwa kichwa

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 дней назад

    Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️

  • @furahaseth1215
    @furahaseth1215 Месяц назад

    Nakuelewa sanaa afande

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 дня назад

    Silaa udumu Milele

  • @MrGallaba
    @MrGallaba 28 дней назад

    Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 29 дней назад +2

    Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 8 дней назад

      Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.

  • @ttss7716
    @ttss7716 Месяц назад

    Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Месяц назад +2

    Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba6191 27 дней назад

    Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani

  • @elizageorge2414
    @elizageorge2414 Месяц назад

    Jery unafraid sana

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dx 6 дней назад

    Haki haizami hata iweje

  • @kitwanashem3272
    @kitwanashem3272 Месяц назад

    Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi

  • @ngalutuju399
    @ngalutuju399 Месяц назад

    Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 15 дней назад

    FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI

  • @user-tk4es1uw7e
    @user-tk4es1uw7e Месяц назад

    Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад

    Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 6 дней назад

    S.H.amon wewe???? Shame of youuu