Silaa afunguka Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, na Waziri kupigwa ardhi Dodoma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024
  • Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, Waziri mmoja na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ni miongoni mwa waathirika wa migogoro ya ardhi iliyosababishwa na baadhi ya watumishi wa ardhi kwenye jiji la Dodoma.
    Silaa ameyasema hayo wakati akihitimisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Jumatatu, Mei 27, 2024 jijini Dodoma.

Комментарии • 97

  • @ministeribramore3694
    @ministeribramore3694 28 дней назад +10

    Huyu brother amenyooka. Sana🙏

  • @bonaventuremwambaja6278
    @bonaventuremwambaja6278 26 дней назад +5

    Hongera sana kazi nzuri Mhe. Waziri.

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q 29 дней назад +8

    Wewe ni nguzo kuu ya Tanzania umetenda miujiza sana na bado unatenda . Nakukubali sana kaka. Mungu akulinde sana

  • @user-qx5tf8xn2d
    @user-qx5tf8xn2d 19 дней назад +2

    Hongera sana waziri Jerry Slaa. Shida bado iko huku chini (Mawilayani) yale maneno ya kitabu cha kutoka 28:3 hayamo mioyoni mwao. Bado unayo kazi ngumu huku chini. Nakuombea neema tele toka kwa baba wa Mbinguni.

  • @micahallen5612
    @micahallen5612 28 дней назад +4

    Waziri namkubali sana,,,,Toka atoke Lukuvi naona huyu ndiye aliyevaa viatu vyake vizuri

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 17 дней назад +2

    Amina. Mungu atukuzwe.

  • @josephmatiko4805
    @josephmatiko4805 22 дня назад +2

    Nafuraha saana,nikiona vijana kama hawa wanaotaka kubadilisha nchi hii kutoka mikononi,mwa majizi,hongereni sana wavijana wa Magufuli wetu

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 16 дней назад +2

    Mungu akutunze mh waziri wa ardhi. Haki huinua taifa.

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 29 дней назад +4

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉

  • @kingarushamsi-gi6yr
    @kingarushamsi-gi6yr 17 дней назад +1

    Mhe. Bwana mdogo tuko nyuma yako tunakuombea munyezi mungu akulinde na akutangulie ktk kazi yako

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 26 дней назад +3

    Hakika mutu huyu kashushwa na Mwenyezi Mungu, nakuombea uishi siku nyingi watu waweze kupata unafuu

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 28 дней назад +5

    Kulingana na uelewa wangu, kuna watu au viongozi wa nchii ni waadirifu sana, to mention few among many, kuna Huyu Jerry Silaa, Kuna Makonda na Kuna Bashungwa. Hawa watu wanapiga kazi sanaa kuliko maelezo sanaa. MUNGU AWATANGULIE KATIKA KILA JAMBO

    • @sirajkiondo50
      @sirajkiondo50 26 дней назад

      Unamuonaje waziri wa maji (Aweso)

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 28 дней назад +2

    Kazi nzuri mheshimiwa Silaa. Tatizo la utapeli wa Ardhi linahusishwa na watumishi wa ardhi wasio waaminifu. Bila kujenga mfumo imara, itakuwa ngumu kumfikia kila aliyedhurumiwa.

  • @AhmedAli-by4qr
    @AhmedAli-by4qr 16 дней назад +2

    Hadi raha Mola azidi kumpa afya njema amkinge na maadui

  • @EmanueliMichael-sf3ur
    @EmanueliMichael-sf3ur 22 дня назад +3

    Vijana wa magu
    Makonda&Silaa

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 5 дней назад

    Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge shikamoo mpina

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 27 дней назад +1

    Kweli kabisa mwenyezi mungu amhifadhi Samia na wewe waziri wetu kazi ngumu sana .mwenyezi awahidhi Ameen Ameen Ameen you 🙏

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 29 дней назад +2

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo

  • @elizabethtenge152
    @elizabethtenge152 28 дней назад +1

    Hongera kaka jer kwa kazi nzuri Mungu akulinde na kukutunza

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 15 дней назад

    Wabunge na viongozi wafuate mfano wa viongozi wetu wanamapinduzi Slaa na Makonda❤❤🎉Tutaendelea.🎉

  • @UwesuMatimbwa
    @UwesuMatimbwa 19 дней назад

    ❤mimi nina kuombea dua kubwa sana kwa mwenyezi mungu akupe uhai mrefu mjomba silaa kwa kutetea haki za wanainchi tanzania naitwa ally uwesu Matimbwa may god be with you all the time uncle silaa

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 18 дней назад +4

    Ningeulizwa kuwa Tanganyika kuna mawaziri wangapi ningesema mmoja tu naye ni Jelly Silaa, na iko na mkuu wa mkoa mmoja tu ngugu Albert Bashite maarufu MAKONDA,big up yenu.

  • @HusnaSakala
    @HusnaSakala 7 дней назад

    Kwakweli waziri huyu mungu amtumze nakupongeza sana

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya 21 день назад +1

    Yesu asante nenolako latajwa katikati yamatifa pokea utukufu mungu ulie hai

  • @josephmatiko4805
    @josephmatiko4805 22 дня назад

    Vijana wa Magufuli kazi nzuri,hatutaki,katika nchi hii

  • @user-zq7gw4ik7g
    @user-zq7gw4ik7g 28 дней назад +1

    Sawa kabisa mh waziri jery uko juu si tunakuombea tulio kwisha tapeliwa ardhi .

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 29 дней назад +5

    Bora mmejua hilo hao majaji ni wala rushwa pia

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r 28 дней назад +2

    Wewe ndiyo Feature ya rais wangu wa 2030

  • @tumainisangaonline6536
    @tumainisangaonline6536 28 дней назад +2

    Mungu akubariki sana na akutunze na uendelee kuwa msaada mkubwa kwa Watanzania wote na hasa wanyonge

  • @ZeldaMariki-jd1gy
    @ZeldaMariki-jd1gy 12 дней назад

    Unaeleweka vizuri asna mkuu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 18 дней назад

    Silaa uko vizuri sana Mungu akuinue zaidi zaidi, wewe ni waziri wa serikali ya tanganyika siyo wa jamhuri ya muungano maana huna mamlaka Zanzibar na kuna waziri mwingine,lkn mawaziri tumwogope na Mungu kuwa Zanzibar inaye Rais na Muungano wa tanzania lkn serikali ya Tanganyika iko wapi?

  • @sokastreet
    @sokastreet 14 дней назад

    Upo sahihi kiongozi, watu wananyanyaswa sana na kudhulumiwa mali zao

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 17 дней назад

    Hiki ni kifaa cha kazi, Hii wizara imesimama imara. Jerry Slaa talipwa na Mungu

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 25 дней назад +1

    Hotuba yako iliyotukuka inanitoa machozi safi sana mkuu

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 28 дней назад +2

    WANYOSHE AO WALIKUA WEWE NA TAMAAA KUMBE MESHUSHWA NA MUNGU

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад +1

    Na mungu atakupigania yupo na wananchi wa gongolamboto ukonga tuko pamoja usile lushwa ni laana kua kama magufuli na Mzee mpinda kibuli ni laana wakubwa na wadogo

  • @user-kt4on5xu6y
    @user-kt4on5xu6y 26 дней назад +2

    Kesi ya arithi kilosa wafugaji na wakulima,hili haliwezekani kwani mkulima ni masikini.

  • @annakapolondo7771
    @annakapolondo7771 28 дней назад +1

    Definition of a true leader🎉

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q 22 дня назад

    Hotoba nzuri yenyemipango sahii na yakuiponya miyoyo ya wananchi. Kweli jerry Mungu akulinde sana

  • @CharlesMasanja
    @CharlesMasanja 29 дней назад +4

    Tunahitaji utumishi wa namna hiyo. Mh. Waziri wa Ardhi hafanyi siasa bali anafanya kazi ya utumishi wa umma. Hakuna sababu ya kuwa na maneno laini wakati wananchi wengi wanaumia.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 29 дней назад +1

    AMIINA SANAA. MUNGU AKUBARIKI.

  • @BernadoMwalongo
    @BernadoMwalongo 29 дней назад +3

    Waziri upo vizuri wote wangekuwa hivyo nchi ingepaa

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 29 дней назад +1

    Nakukubali sana muheshimiwa

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 23 дня назад

    Ahsante MUNGU

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 18 дней назад

    Hila Hawa dumu majizi usaidiana na majasusi kutoka roho za wachapakazi ongera Sana Dr Jery

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc 14 дней назад

    Jerry Slaa
    Hapa watanzania tumelamba dume

  • @abdulsaidnaumanga2692
    @abdulsaidnaumanga2692 29 дней назад +2

    Huyu brother ni Raisi ajae, mark my words ✍️

  • @mishiabdu7478
    @mishiabdu7478 18 дней назад

    Mungu azidi kukupa nguvu

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 23 дня назад

    Dada yangu 2005 Amina chifupa kusema ukweli2 mkampoteza mungu awBariki yanga bingwa

  • @RamadhanKatala
    @RamadhanKatala 15 дней назад

    Ukongo oyeee

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 28 дней назад

    Huyu Jaji kwa kuchunga haki za watanzania, inatakiwa ajiuzuru na ikiwezekana achukuliwe hatua. Kumuacha kwenye position yake ni kukubaliana na maovu aliyoyafanya.

  • @basleymrema8675
    @basleymrema8675 29 дней назад +2

    Bado wale wamiliki wa ardhi wanaoziba barabara

  • @TopTour-rp5jd
    @TopTour-rp5jd 22 дня назад

    Double allocation ni janga na inafanywa na maafisa ardhi kwa makusudi kwa nia ya kujipatia fedha na kukidhi njaa zao

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 27 дней назад

    Ameen Ameen Ameen 🙏

  • @KenMolloimet-fl6rd
    @KenMolloimet-fl6rd 12 дней назад

    Maigizo

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 23 дня назад

    Tunashukuru kwa nafasi uliyopo

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 23 дня назад

    Hapo umekosea...kuhusu Mbeya kwamba mtafanya kwa ajili ya Speaker???
    How about wasio na speaker?
    You are doing well..lakini hapo umeteleza.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 28 дней назад +1

    Ardhi ya biashara ya carbon credit,Loliondo,na Kilimanjaro International Airport inafuata utaratibu,kanuni na sheria au Katiba ipi?

  • @TopTour-rp5jd
    @TopTour-rp5jd 22 дня назад

    Double allocation ni janga kwa dodoma jiji mi mwenyewe nimepigwa kiwanja kwa namna hii

  • @goshenieagleWOG
    @goshenieagleWOG 12 дней назад

    UBAKI HAPO HAPO WASIKUTOE WEWE HII WIZARA UNAWEZA KABISA

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад

    Hiyo Kisi myaka yote kesi Iko japani au Tanzania au

  • @user-qg5yd9ki4v
    @user-qg5yd9ki4v 17 дней назад

    Mambo ya mkeo ss ya nn ufala amfanyi jaz yyte mnauza nchi2

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 23 дня назад

    Nileteheni awa

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 19 дней назад

    Tunataka wanaume kama ww Mhe Waziri wa Ardhi.
    Na tunasikia kuwa hata kesi ya bilionea Msuya ikisemekana shahidi muhimu kama yule Dada wa kazi hakutoa ushahidi, pengine kwa kusahau kwa makusudi au kwa bahati mbaya lkn nani wa kusubutu kuwagusa?

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 29 дней назад

    Mh tunakuomba wilaya ya Kilosa kunamadudu mengisana karibu

  • @EdenAChoir
    @EdenAChoir 19 дней назад

    tunaomba uwasaidie watu wa tondoloni kujua hatima yao ili kumaliza mgogoro wa eneo hilo la kisarawe

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 23 дня назад

    Majembe ya marehemu j p m mungu awenanyi

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 23 дня назад

      Huyu hakuwahi kuwa waziri wa magufuli ili ni jembe la mama samia

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 15 дней назад

      ​@@saidbakar-qo6ri huyu ni mwanafunzi wa Magufuli aliyefuzu masomo kweli kweli Magufuli alifuzu masomo ya nyerere akiwa mtoto wa miaka 6 sembuse jerr sraa makonda humuoni wengine ni vibaraka tu

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g 17 дней назад +1

    Dah!,lulu iliyokuwa imefichika,tunamshukuru Rais wetu kumuamini ili awatumikie wa TZ

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 29 дней назад

    MIE HALMASHAURI WAMEPITISHA BARABARA KWENYE ENEO LANGU.HAWAJANIPA FIDIA YA ENEO LINGINE

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 29 дней назад

    Akitoka Bashe...alafu Jerry Slaa..na kuna Mavunde nimependa na nawapokeza kwa kunyookaa...Mama 2025 tunaenda naye.

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 19 дней назад

    Kichwa hicho cheza nacho ufungwe

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 29 дней назад

    KAMA KINA MAMA CHATANDA . KAZI KUKOSOWA TUU.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад

    Hapana tulipe wote hata Mzee Kwa maendeleo yetu wote

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 23 дня назад

    Mheshimiwa unaongea maneno mazito sana,hivi tamaa itatufikisha wapi?

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 29 дней назад

    FIDDA HUSSEIN NI TAPELI PAPA NAMBA MOJA NCHI HII NI MNYAMA ASIE NA HURUMA WALA UTU HATA KIDOGO

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад

    Nikama kaka yake mpinda pambana na sela za aridhi ziwe za kisa

  • @AhmedSheiban
    @AhmedSheiban 21 день назад

    Mh slaa kibaha pwani tunamatatizo makubwa na utatuzi hakuna Kila siku tunaambiwa njoo kesho njoo kesho Sasa ni miaka inaenda tunakuomba uje kibaha pwani utusaidie wanainchi

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 20 дней назад

    Hapo mh umeteleza ama umesahau Diamond huyu sio mtu mkubwa huyu ni mtu mashuhuri.

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 23 дня назад

    MUNGU wetu wa mbinguni akukinge na kila baya hakika haki ya wanyonge isipokwe na wajuni

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад

    Tudai huduma nasi tulipe Kodi halali

  • @KingKong-gu5qn
    @KingKong-gu5qn 28 дней назад

    😂😂😂😂😂sasa muda wote anaumaliza kushukuru na kusifia bunge la ajabu dunia

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 25 дней назад

    Duh!!mwamba salotte sana

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 29 дней назад +1

    Huyu ni kiongozi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 29 дней назад

    Una stahili kabisa salimiya 98

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 27 дней назад

    KWA KUUPEPETA TU TZ HATUJAMBO

  • @husseinsalumsoud122
    @husseinsalumsoud122 27 дней назад

    Tunakutakia Kila la kheri na tunaamini wewe ndio mkombozi wa walio onewa

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 29 дней назад +1

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 29 дней назад +2

    Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo