CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2023
- Macho na masikio ya mataifa ya Magharibi yalikuwa mjini Vladivostok nchini Urusi ambako mwenyeji Rais Vladimir Putin alimkaribisha mgeni wake kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
Sehemu kubwa ya mazungumzo yao hayajawekwa wazi, hali ambayo imeibua mitazamo mbalimbali na ubashiri wa masuala ambayo pengine ni ya msingi yamezungumzwa na wawili hao.
Wasiwasi mkubwa ni hisia za mazungumzo ya siri kwenye suala la silaha ambazo pengine zikatumika kwenye vita vya Ukraine, hilo linawezekana? Na je, kukutana kwa wawili hao ni tishio kwa mataifa ya Magharibi? - Спорт
Wachambuzi mpo vizuri mkiwa hivo mtawasaidia Watanzania
Asanten sanaa kikubwa mchambuzi kwa asikimia kubwa amejitahid sanaa kutumia lugha ya taifa pasi na kuweka misamiati mingi yakigeni. Natumai wengi waliofatilia wamepata kuelewa zaid
Jama yuko vizuri sana
Mchambuzi
Upo vizuri sn
Pamoja sana
Upo vzury mchambuzi BW. Thabiti🎉🎉🎉🤝
Uko vzr dhabit huwa napenda kukufatilia
Thabith mrangi anachambua vzr sana Maua yake hayo🎉🤝🙌🇫🇮
🎉🤝🙌
Hakuna tishio maana wao wameongea na kuungana na mataifa zaidi hamsini kupeleke siraha Ukraine na majeshi kwanini mataifa mengine wasimuunge mkono mrusi Marekani ni waoga kuingia vitani direct bali wanatumia njia za mkato kuibua migogoro ili wauze siraha, madawa, n.k kwahiyo wanaona endapo Urusi itakuwa imara sera zao zitakuwa si kitu, maberi hili swala kwao pasua kichwa ila muda utazungumza
Bigup mchambuzi uko vizuli sana
Thabit mrangi ni zaidi ya mchambuziiiiiiiii.....brilliant 🎉
Nitafurai sana marecan akipigwa kwani simpendi sana anaizurumu Africa bado anatuuria watuwetu kama Gaddafi sadamu husein😢😢
Yesu ndio yupo nyuma ya Marekani atashinda ndio baba wa dunia❤
marecan ndiyo nini???
Kongore sana kwa Thabiti Mrangi mchambuzi wa mambo ya kimataifa na mikakati
Exarent very geneus boy🤝🇿🇦
Tumewapata asanteni
Nawakubali sana
Urusi piga mbwa hao😂😂😂😂
Ni hatari mlangi salute kwako
Huyu jamaa yuko vizuri sana kwenye uchambuzi
Sanaa
Thabit unajua sana , nmerudia mara 10 umetoa kama summury flani inayoeleweka
Pamoja kutoka FIZI D R Congo🎉
dugu umemsikia huyo jamaa anavo poromosha madini ....congo mnawatu kama Hawa ao ni wale wasomi wakujisifia bila kusaidia raia kifikra, kielimu ,kistoria na mambo kazalika
Safi Sana Thabit huo ndiyo uchambuzi makini
Hongera sana AZAM TV kwa kimtambua huyu Mwamba. Good job!
Hii sio TBC hii ni Azam Tv mwanzon walikuwa wanaleta unafiki saiv wameanza kuongea ukweli
@@GeorgeUsele-kr6qk Asante sana kwa masahihisho ndugu! Sikuchunguza vizuri.
@@GeorgeUsele-kr6qk kivipi
@@GeorgeUsele-kr6qk hujui kitu dogo tulia
Huyu jamaa ni mchambuzi kweli kweli. Lugha simple, no mbwembwe. Big up brother
🙌🎉🙌
Mchambuzi uko vizuri
Nilikua nikiusubiri kwa hamu huu mjadala.
Mlangi 🎉🎉nimaua yako hayo
Hongera sana broo sabit upo poa sanaaa
Mrangi iko vzr mno
Nakukubali sana mdogo wangu
Najua America inaprint tu pesa na kuzitumia vibaya
😂😂😂😂😂 marekani anaumwa ugonjwa wa geopolitics nimekuelewa
Huyu jamaa nimchambuzi mzuri sana alifelri tu kwenye swala bandari alijishushia eshima sana CCM hawabebeki hata Kwa mna yoyote ile
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bro mlangi juzi tu nilikuwa namuuliza Bro Gangana juu ya hizi chambuzi,,,
Watu 14 awapendani ...wakielewana ni hatali mno
Nimejifunza kitu kikubwa sana
Nimekukubali Sana mchambuzi
Tunashkuru
Viva Putin viva African ❤❤
🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo pamoja
Je N. KOREA HAFIKIRII KUIVSMIA KOREA
Mchambuzi huyu anaviwango vya hali yajuu honger
Thabit, hakika wewe ni gwiji wa siasa za kikanda, hongera sana.
Mchambuzi thabiti..... Namkubali Sana jamaa.. mzee wa mikakati
Wewe nimchambuzi acha hao wengine kusifia2 magharibi
So nice ❤️
Mrusi anamfaham vizuri mmarekani, anamheshim Sana ndio maana ataishia Ukraine hawezi kugusa mwingine.
Muwe mnachambua na mgogoro wa Irani na marekani pamoja na Israel
Huyu kama ana uelewa mkubwa kuhusu siasa, inasikika wazi.
Apo japan Taifa linazeeka sijaelewa kabisaa😂😂😂
😂😂😂Japan miaka ya nyuma ilikua taifa lenye nguvu kubwa Duniani but kwasasa amna kitu Ndio maana kasema hivo ni taifa lililozeeka ( Yaani limezeeka kijeshi )
ni taifa ambalo lina wazee wengi kuliko vijana
Putin👍🏻
Chambueni jambo Kwa ufsaha sio mchambue kama ushabiki wa mpira
Mdanganya uma
Mpuuzi wewe, jamaa masters kachukia Israel
Hivi vijombo vya vihabari vya 'tenzeniye' vinatoa wapi uthubutu wa kujadili ishi ya Urusi na Korea. Marekani hakuna kijiji hayupo duniani. Mfatilieni Edward Snowden mtaelewa.
Wamemfanya nn mpaka leo na yupo urusi na amepewa mpaka uraia na haja fanya lolote
Jamaa anajua sana
Madhumuni ya kuiangusha marekani ni nini? Na hatima ya dunia hapo baadae?
Africa tunatakiwa kuwa makini sana hawa maghalibi wana nia mbaya na Africa tusilale maanake viongozi wetu wamalizika sanaa wakati wao roho zipo juu wanajua uchumi wao upo hoi mali asiri wanazotegemea zimetiwa mchanga.
Akili ndogo ya kufikiri, leo mnashindwa kuigiza mafuta kwa kuwa hamna dola ya Marekani., haya hao warusi, korea kusini, china wapo wapi kuwasaidia? Maisha ya warusi, china, north korea wengi ni ya kawaida tu. Mapato yetu kwenye utalii tunawategea ulaya na Marekani
@@victorsanga2229 kivipi
Mchambuzi yuko zvizur sana tuko pa1
Thabiti Mrangi kwa kweli ni kichwa sana
Drone kutoka Iran ilikuaje? Urusi hahitaji silaha kutoka Korea Kaskazini!!! Sijaelewa
Uraaa 😂
Uraaaaaaaass
Huyo ndoomchambuz wakwel kuliko yule mwingine
Hata warusi wengi wanaasili ya kiyahudi ndomaana mwizraeli amekaa kimya kwenye huu mzozo
Leo saa mbovu inaongea ukweli
Saa mbovu unamaana Gani?
Habib miriam hujambo
Kivipi
Hamuelimarekani haishindanishwi nataifaloloteduniani
Hahahahaha makofi kwko jembe
Hiko hiko ni kiswahili gani? Sahihi ni hicho hicho.
Acha kudeal na vitu vidogo angalia mambo ya msingi
@@fahadfaraj6474hiyo ndio sifa ya watu wenye wenye ubongo mdogo kutafuta Vitu vidogo
@@fahadfaraj6474Hivyo vitu visigo ndivyo vibavyotakiwa Ili mtu aongee kiswahili sahihi.
Au na wew ndio wale ambao wanaongea kama wanatafuna makande. Sehemu ya kuweka R wanaweka L na sehemu y L mnaweka R
@@miltonjohn9779 soma ulichoandika basi maana naona hata kuandika kwako mtihani "visigo" ndio nini mbona unaandika kama umekula nyanja chungu
Acha uboya ujui kbsa historia ya Korea yaani baada ya bomu la Hiroshima Japan Korea ilikuwa chini ya Japan ukasainiwa mkataba wa kutokuwa nakoloni lolote so ili usssr Soviet na USA wasipigane wakagwana Korea north ikapewa Russia na south ikapewa Marekani na Russia ikaipa marekani Alaska desert marekani kukwepa vita chini y
Hebu kosoa kiungwana basi
Ukikisoa kiungwana utaeleweka vizuli zaidi wakati mwingine. Huyu mchambuzi yupo vizuli sana ila kumbuka mwanadamu hakosi kasoro ama kupitiwa hiyo ni makosa ya kibinadamu so lazima tujali ktk hilo
Russia "aliipa" marekani Alaska?? Historia umejifunzia wap?? Na lini hilo jambo lilitokea ?? Google bas ili ikusaidie ilikuwaje Alaska iwe Marekan jambo gan lilifanyika
Wewe mjinga sana huyu, mwamba Masters kachukia Israel na kafundishwa maprofesa bobezi wa mikakati dunia na mfuatilie kuanzia sasa, ndio maana wengi wamekupinga mpuuzu wewe
Sasa wewe unajitamba kujua historia za watu? 🙄Vipi kuhusu historia yako sasa turudi apo
Putin n mwamba
We mshabiki wa upande wa urusi, maana yake unajipa matumaini ya ushindi, kumbuka hata warusi wameuwawa wengi vitani, harafu usidanganye nyukilia za mchina hafuati za USA, pia mrusi hana submarine Kama za USA .
Marekani ndio israeli hawezekani
Atapigwa tu. Israel anapewa kichwa tu. Anapigika. Mbona Hitler aliwatandika
Yes american kwanza is the land of honey and milk
Ujielewi Bado....Duniani imebadirika mno
@@tekashisixtynin9threewithd727American is a land of Murderers and sodomised
@@tekashisixtynin9threewithd727nani kasema hayo nchi ya mashoga na usagaji