CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2023
  • Macho na masikio ya mataifa ya Magharibi yalikuwa mjini Vladivostok nchini Urusi ambako mwenyeji Rais Vladimir Putin alimkaribisha mgeni wake kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
    Sehemu kubwa ya mazungumzo yao hayajawekwa wazi, hali ambayo imeibua mitazamo mbalimbali na ubashiri wa masuala ambayo pengine ni ya msingi yamezungumzwa na wawili hao.
    Wasiwasi mkubwa ni hisia za mazungumzo ya siri kwenye suala la silaha ambazo pengine zikatumika kwenye vita vya Ukraine, hilo linawezekana? Na je, kukutana kwa wawili hao ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?
  • СпортСпорт

Комментарии • 115

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 9 месяцев назад +7

    Wachambuzi mpo vizuri mkiwa hivo mtawasaidia Watanzania

  • @OmarOmar-vf9dv
    @OmarOmar-vf9dv 9 месяцев назад +5

    Asanten sanaa kikubwa mchambuzi kwa asikimia kubwa amejitahid sanaa kutumia lugha ya taifa pasi na kuweka misamiati mingi yakigeni. Natumai wengi waliofatilia wamepata kuelewa zaid

  • @user-co7jf2zo2m
    @user-co7jf2zo2m 9 месяцев назад +5

    Jama yuko vizuri sana

  • @Mosessssss
    @Mosessssss 9 месяцев назад +4

    Mchambuzi
    Upo vizuri sn

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 9 месяцев назад +4

    Pamoja sana

  • @yassinmashautymashaury2734
    @yassinmashautymashaury2734 9 месяцев назад +4

    Upo vzury mchambuzi BW. Thabiti🎉🎉🎉🤝

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 9 месяцев назад +4

    Uko vzr dhabit huwa napenda kukufatilia

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 9 месяцев назад +8

    Thabith mrangi anachambua vzr sana Maua yake hayo🎉🤝🙌🇫🇮

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 9 месяцев назад +5

    Hakuna tishio maana wao wameongea na kuungana na mataifa zaidi hamsini kupeleke siraha Ukraine na majeshi kwanini mataifa mengine wasimuunge mkono mrusi Marekani ni waoga kuingia vitani direct bali wanatumia njia za mkato kuibua migogoro ili wauze siraha, madawa, n.k kwahiyo wanaona endapo Urusi itakuwa imara sera zao zitakuwa si kitu, maberi hili swala kwao pasua kichwa ila muda utazungumza

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 9 месяцев назад +2

    Bigup mchambuzi uko vizuli sana

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 9 месяцев назад +5

    Thabit mrangi ni zaidi ya mchambuziiiiiiiii.....brilliant 🎉

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 9 месяцев назад +8

    Nitafurai sana marecan akipigwa kwani simpendi sana anaizurumu Africa bado anatuuria watuwetu kama Gaddafi sadamu husein😢😢

    • @user-xg2wb9ye2g
      @user-xg2wb9ye2g 8 месяцев назад +1

      Yesu ndio yupo nyuma ya Marekani atashinda ndio baba wa dunia❤

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 8 месяцев назад

      marecan ndiyo nini???

  • @finiasfidelis1475
    @finiasfidelis1475 9 месяцев назад +3

    Kongore sana kwa Thabiti Mrangi mchambuzi wa mambo ya kimataifa na mikakati

  • @saidymwajeka8612
    @saidymwajeka8612 9 месяцев назад +3

    Exarent very geneus boy🤝🇿🇦

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf 9 месяцев назад +3

    Tumewapata asanteni

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 9 месяцев назад +3

    Nawakubali sana

  • @GeorgeUsele-kr6qk
    @GeorgeUsele-kr6qk 9 месяцев назад +8

    Urusi piga mbwa hao😂😂😂😂

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 9 месяцев назад +9

    Ni hatari mlangi salute kwako

  • @masungadutta3823
    @masungadutta3823 9 месяцев назад +6

    Huyu jamaa yuko vizuri sana kwenye uchambuzi

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 9 месяцев назад +5

    Thabit unajua sana , nmerudia mara 10 umetoa kama summury flani inayoeleweka

  • @ibba8082
    @ibba8082 9 месяцев назад +4

    Pamoja kutoka FIZI D R Congo🎉

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 2 месяца назад

      dugu umemsikia huyo jamaa anavo poromosha madini ....congo mnawatu kama Hawa ao ni wale wasomi wakujisifia bila kusaidia raia kifikra, kielimu ,kistoria na mambo kazalika

  • @akhanntahena2544
    @akhanntahena2544 9 месяцев назад +3

    Safi Sana Thabit huo ndiyo uchambuzi makini

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 9 месяцев назад +9

    Hongera sana AZAM TV kwa kimtambua huyu Mwamba. Good job!

    • @GeorgeUsele-kr6qk
      @GeorgeUsele-kr6qk 9 месяцев назад +4

      Hii sio TBC hii ni Azam Tv mwanzon walikuwa wanaleta unafiki saiv wameanza kuongea ukweli

    • @farusaimon3490
      @farusaimon3490 9 месяцев назад +1

      @@GeorgeUsele-kr6qk Asante sana kwa masahihisho ndugu! Sikuchunguza vizuri.

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 9 месяцев назад

      @@GeorgeUsele-kr6qk kivipi

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 месяца назад

      ​@@GeorgeUsele-kr6qk hujui kitu dogo tulia

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu7149 9 месяцев назад +3

    Huyu jamaa ni mchambuzi kweli kweli. Lugha simple, no mbwembwe. Big up brother

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 9 месяцев назад +1

    Mchambuzi uko vizuri

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 9 месяцев назад +5

    Nilikua nikiusubiri kwa hamu huu mjadala.

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 9 месяцев назад +3

    Mlangi 🎉🎉nimaua yako hayo

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c 8 месяцев назад

    Hongera sana broo sabit upo poa sanaaa

  • @rajabuathumani1586
    @rajabuathumani1586 9 месяцев назад +1

    Mrangi iko vzr mno

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 8 месяцев назад

    Nakukubali sana mdogo wangu

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 9 месяцев назад +3

    Najua America inaprint tu pesa na kuzitumia vibaya

  • @venancembwaga-uw6kb
    @venancembwaga-uw6kb 9 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂 marekani anaumwa ugonjwa wa geopolitics nimekuelewa

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 месяцев назад +1

    Huyu jamaa nimchambuzi mzuri sana alifelri tu kwenye swala bandari alijishushia eshima sana CCM hawabebeki hata Kwa mna yoyote ile

  • @abuubakarhaji2078
    @abuubakarhaji2078 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 9 месяцев назад +3

    Bro mlangi juzi tu nilikuwa namuuliza Bro Gangana juu ya hizi chambuzi,,,

  • @eliasndomba7937
    @eliasndomba7937 9 месяцев назад +2

    Watu 14 awapendani ...wakielewana ni hatali mno
    Nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 9 месяцев назад +6

    Nimekukubali Sana mchambuzi

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 9 месяцев назад +2

    Tunashkuru

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 9 месяцев назад +2

    Viva Putin viva African ❤❤
    🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 9 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DevyMtanza-fc2nn
    @DevyMtanza-fc2nn 9 месяцев назад +2

    Tupo pamoja

  • @shijamohamed369
    @shijamohamed369 8 месяцев назад

    Je N. KOREA HAFIKIRII KUIVSMIA KOREA

  • @hamzahuseni2555
    @hamzahuseni2555 9 месяцев назад +2

    Mchambuzi huyu anaviwango vya hali yajuu honger

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 8 месяцев назад

    Thabit, hakika wewe ni gwiji wa siasa za kikanda, hongera sana.

  • @angelamwewe1948
    @angelamwewe1948 9 месяцев назад +1

    Mchambuzi thabiti..... Namkubali Sana jamaa.. mzee wa mikakati

  • @daudimabumba2887
    @daudimabumba2887 8 месяцев назад

    Wewe nimchambuzi acha hao wengine kusifia2 magharibi

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y 9 месяцев назад +5

    So nice ❤️

  • @yonathanbanyikwa1813
    @yonathanbanyikwa1813 7 месяцев назад

    Mrusi anamfaham vizuri mmarekani, anamheshim Sana ndio maana ataishia Ukraine hawezi kugusa mwingine.

  • @fikirininasoro5272
    @fikirininasoro5272 Месяц назад

    Muwe mnachambua na mgogoro wa Irani na marekani pamoja na Israel

  • @JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv
    @JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv 7 месяцев назад

    Huyu kama ana uelewa mkubwa kuhusu siasa, inasikika wazi.

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 9 месяцев назад +3

    Apo japan Taifa linazeeka sijaelewa kabisaa😂😂😂

    • @sumatraveler1957
      @sumatraveler1957 9 месяцев назад +1

      😂😂😂Japan miaka ya nyuma ilikua taifa lenye nguvu kubwa Duniani but kwasasa amna kitu Ndio maana kasema hivo ni taifa lililozeeka ( Yaani limezeeka kijeshi )

    • @josephmwita6012
      @josephmwita6012 9 месяцев назад +1

      ni taifa ambalo lina wazee wengi kuliko vijana

  • @gstone830
    @gstone830 8 месяцев назад +1

    Putin👍🏻

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 8 месяцев назад

    Chambueni jambo Kwa ufsaha sio mchambue kama ushabiki wa mpira

  • @BernadPeter-zy8tv
    @BernadPeter-zy8tv 9 месяцев назад +1

    Mdanganya uma

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 9 месяцев назад +1

    Hivi vijombo vya vihabari vya 'tenzeniye' vinatoa wapi uthubutu wa kujadili ishi ya Urusi na Korea. Marekani hakuna kijiji hayupo duniani. Mfatilieni Edward Snowden mtaelewa.

    • @Linsha1993-hw9kl
      @Linsha1993-hw9kl 9 месяцев назад +1

      Wamemfanya nn mpaka leo na yupo urusi na amepewa mpaka uraia na haja fanya lolote

    • @eliasndomba7937
      @eliasndomba7937 9 месяцев назад

      Jamaa anajua sana

  • @albertbissaga1425
    @albertbissaga1425 8 месяцев назад

    Madhumuni ya kuiangusha marekani ni nini? Na hatima ya dunia hapo baadae?

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 9 месяцев назад +2

    Africa tunatakiwa kuwa makini sana hawa maghalibi wana nia mbaya na Africa tusilale maanake viongozi wetu wamalizika sanaa wakati wao roho zipo juu wanajua uchumi wao upo hoi mali asiri wanazotegemea zimetiwa mchanga.

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 9 месяцев назад +1

      Akili ndogo ya kufikiri, leo mnashindwa kuigiza mafuta kwa kuwa hamna dola ya Marekani., haya hao warusi, korea kusini, china wapo wapi kuwasaidia? Maisha ya warusi, china, north korea wengi ni ya kawaida tu. Mapato yetu kwenye utalii tunawategea ulaya na Marekani

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 9 месяцев назад

      @@victorsanga2229 kivipi

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga1587 8 месяцев назад

    Mchambuzi yuko zvizur sana tuko pa1

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 8 месяцев назад

    Thabiti Mrangi kwa kweli ni kichwa sana

  • @godfreydavid6267
    @godfreydavid6267 8 месяцев назад

    Drone kutoka Iran ilikuaje? Urusi hahitaji silaha kutoka Korea Kaskazini!!! Sijaelewa

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 9 месяцев назад +3

    Uraaa 😂

  • @mussaminogapegeitapigaasow9165
    @mussaminogapegeitapigaasow9165 8 месяцев назад

    Huyo ndoomchambuz wakwel kuliko yule mwingine

  • @MouriceNdomba-zr5hx
    @MouriceNdomba-zr5hx 8 месяцев назад

    Hata warusi wengi wanaasili ya kiyahudi ndomaana mwizraeli amekaa kimya kwenye huu mzozo

  • @MiriamMwalukisa-oy4xl
    @MiriamMwalukisa-oy4xl 9 месяцев назад +1

    Leo saa mbovu inaongea ukweli

  • @IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
    @IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej 8 месяцев назад

    Hamuelimarekani haishindanishwi nataifaloloteduniani

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 9 месяцев назад +2

    Hahahahaha makofi kwko jembe

  • @charlesmagahi-rr6wl
    @charlesmagahi-rr6wl 9 месяцев назад

    Hiko hiko ni kiswahili gani? Sahihi ni hicho hicho.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 месяцев назад

      Acha kudeal na vitu vidogo angalia mambo ya msingi

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 9 месяцев назад

      ​@@fahadfaraj6474hiyo ndio sifa ya watu wenye wenye ubongo mdogo kutafuta Vitu vidogo

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 месяца назад

      ​@@fahadfaraj6474Hivyo vitu visigo ndivyo vibavyotakiwa Ili mtu aongee kiswahili sahihi.
      Au na wew ndio wale ambao wanaongea kama wanatafuna makande. Sehemu ya kuweka R wanaweka L na sehemu y L mnaweka R

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 месяца назад

      @@miltonjohn9779 soma ulichoandika basi maana naona hata kuandika kwako mtihani "visigo" ndio nini mbona unaandika kama umekula nyanja chungu

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro6543 9 месяцев назад

    Acha uboya ujui kbsa historia ya Korea yaani baada ya bomu la Hiroshima Japan Korea ilikuwa chini ya Japan ukasainiwa mkataba wa kutokuwa nakoloni lolote so ili usssr Soviet na USA wasipigane wakagwana Korea north ikapewa Russia na south ikapewa Marekani na Russia ikaipa marekani Alaska desert marekani kukwepa vita chini y

    • @lucasalbertomseti1578
      @lucasalbertomseti1578 9 месяцев назад

      Hebu kosoa kiungwana basi

    • @josephkostans9128
      @josephkostans9128 9 месяцев назад

      Ukikisoa kiungwana utaeleweka vizuli zaidi wakati mwingine. Huyu mchambuzi yupo vizuli sana ila kumbuka mwanadamu hakosi kasoro ama kupitiwa hiyo ni makosa ya kibinadamu so lazima tujali ktk hilo

    • @annurmohamedi9824
      @annurmohamedi9824 9 месяцев назад

      Russia "aliipa" marekani Alaska?? Historia umejifunzia wap?? Na lini hilo jambo lilitokea ?? Google bas ili ikusaidie ilikuwaje Alaska iwe Marekan jambo gan lilifanyika

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 9 месяцев назад +1

      Wewe mjinga sana huyu, mwamba Masters kachukia Israel na kafundishwa maprofesa bobezi wa mikakati dunia na mfuatilie kuanzia sasa, ndio maana wengi wamekupinga mpuuzu wewe

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 8 месяцев назад

      Sasa wewe unajitamba kujua historia za watu? 🙄Vipi kuhusu historia yako sasa turudi apo

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 9 месяцев назад

    Putin n mwamba

  • @albertbissaga1425
    @albertbissaga1425 8 месяцев назад

    We mshabiki wa upande wa urusi, maana yake unajipa matumaini ya ushindi, kumbuka hata warusi wameuwawa wengi vitani, harafu usidanganye nyukilia za mchina hafuati za USA, pia mrusi hana submarine Kama za USA .

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 9 месяцев назад +1

    Marekani ndio israeli hawezekani

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd 9 месяцев назад

      Atapigwa tu. Israel anapewa kichwa tu. Anapigika. Mbona Hitler aliwatandika

    • @tekashisixtynin9threewithd727
      @tekashisixtynin9threewithd727 9 месяцев назад +1

      Yes american kwanza is the land of honey and milk

    • @eliasndomba7937
      @eliasndomba7937 9 месяцев назад +3

      Ujielewi Bado....Duniani imebadirika mno

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 9 месяцев назад

      ​@@tekashisixtynin9threewithd727American is a land of Murderers and sodomised

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 9 месяцев назад +2

      ​@@tekashisixtynin9threewithd727nani kasema hayo nchi ya mashoga na usagaji