GRAND KREMLIN: Ikulu ya KIFAHARI ya URUSI yenye ulinzi HATARI duniani VLADIMIR PUTIN aliapishwa hapa

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 105

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f 14 дней назад +72

    Nilifikir ntakua wa kwanza kweny hii makala ila daaah Kuna watu wapo macho zaid yangu naomba hata like bas😂😂❤ ndugu zangu.

  • @VeronicaMhapa
    @VeronicaMhapa 13 дней назад +12

    Taifa kam hili ndio linasifa zote za kuitwa taifa la mungu

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n 14 дней назад +22

    Sky unatupatia habari safi na makini🎉🎉🎉

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 14 дней назад +17

    Asante hili jengo hakuna lakulifananisha duniani

  • @NicasMuiruri
    @NicasMuiruri 4 дня назад +1

    Sns the best simulizi platform in Africa

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 13 дней назад +4

    Huyo ndio kiongozi Bora duniani

  • @MSHUTIMEDIA
    @MSHUTIMEDIA 14 дней назад +15

    Brother sky you're my rolmodel 🔥

  • @BMFURAHAKWANZA
    @BMFURAHAKWANZA 13 дней назад +6

    Naomba like 10 kwa watakao kuja nyuma yangu

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 13 дней назад +6

    ona hao wanajeshi wanavyomuangalia PUTIN

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 13 дней назад +4

    Kwa nje ikulu ya marekani ina muonekano mzuri ila kw ndani ya marekani itasubiri sana.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 13 дней назад +3

    Ni nzuri sana hii ikulu ya Russia, Moscow Kremlin. Ni pazuri kushinda ikulu zote duniani. Ni dhahabu tupu kule ndani. Ni fahari ya Russia. Ahsante sana!!

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 13 дней назад +8

    Kujenga Dodoma ila kuishi Dar

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 13 дней назад +3

      Ndo hapo, ndomaana viongozi wa urusi walihamua wapendezeshe mji uho na ikulu iyo ili wakae hapo hapo

  • @isayambaga6551
    @isayambaga6551 11 дней назад +2

    Daaa ikululu ya urusi ni hatar

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 10 дней назад +2

    Jamaa ukovzr saana kaka p1 saana

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 13 дней назад +6

    Huyu mzee ana miaka 71 lakini bado yoko strong

    • @ugreatinternationaltz
      @ugreatinternationaltz 8 дней назад +1

      Ni kwasababu ni mhitimu wa sanaa za mapigano Karate mwenye kumiliki mkanda wa (black belt)

  • @FestoSteven
    @FestoSteven 14 дней назад +8

    Nomah sana Sky

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 13 дней назад +4

    huu mjengo ni hatari sana

  • @user-sf8wt4sr4t
    @user-sf8wt4sr4t 9 дней назад +2

    Mimi najiuliza inawezekana hawa hawaendi hata chooni

  • @philej
    @philej 13 дней назад +4

    Siku utuonyeshe uyo Frank Ranchman

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 14 дней назад +4

  • @JohnCage-we6tp
    @JohnCage-we6tp 13 дней назад +6

    Sky story umeifanya ndogo kwel😢😢😢😢 mm hua natamn mda wote niwe nasikiliza hbr za urusi kwa kiswahili

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 2 дня назад

      Na mm pia naikubali Russia si mchezo

  • @ShaibuMkullu-ck6sl
    @ShaibuMkullu-ck6sl 13 дней назад +3

    Yani sky ukisimulia ishu fulani unakomesha kinoma, eti " cheza hovyo ukione chamtema kuni, ukiwa ndani ya ukumbi huu", 😂😂😂, yote kwa yote unajua sana sky big up.

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 13 дней назад +2

    This is best take👊 sky

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 14 дней назад +6

    Hii nzuri sana @ sky

  • @yvesgrace_z7152
    @yvesgrace_z7152 14 дней назад +7

    Wakwanza

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757 13 дней назад +2

    71 Yuko fiti hivo

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n 14 дней назад +10

    Mimi leo nimekua mtazamaji wa 850😂😂😂watu hamlali

  • @SalmaKhamis-io4ei
    @SalmaKhamis-io4ei 8 дней назад

    Unaelezea vizuri kwakweli

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 13 дней назад +2

    Ikuru ya urusi ni nzuri tangu mwaka 1022

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 13 дней назад +3

    Mwambaaa putin

  • @dominickchristopher1669
    @dominickchristopher1669 13 дней назад +3

    Sky tunamba utembelee mosko ili uje utusimulie mna sasa umewachoka wamarikani

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 13 дней назад +3

    Nimekubali

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 14 дней назад +5

    Uraaaaaaaaaaaa

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 13 дней назад +3

    Kifahari inje na ndani.

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 13 дней назад +2

    Huyu Frank Rachman ni nan aisee..?? na anausika na nn kngne hapa SNS?

  • @AlexmayaniMayani
    @AlexmayaniMayani 14 дней назад +4

    ❤❤

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 13 дней назад +3

    Hatar sana

  • @isayambaga6551
    @isayambaga6551 11 дней назад +1

    Namuomba Mungu amlinde sana Puti amjaze nguvu nyingi sana natamani aya mahgaribi yafe yote, mafiraji,aya

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 14 дней назад +5

    🇹🇿🤝🇷🇺

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 14 дней назад +5

    🇷🇺💪👍

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138 13 дней назад +1

    back to back mzee wangu, hongera kwa kutokulaza damu.

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 14 дней назад +4

    SnS🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 13 дней назад +1

    Noma sana 💪💪💰💰💰👊👊💪

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 12 дней назад +1

    Iyo sauti tu ndo unifanya niwe makini kukusikiliza kaka #SKY

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 14 дней назад +4

    Hakika IPO vizur

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 13 дней назад +2

    Habari za urusi huwa hazichoshi, unataman kusikia muda wote!! Nachaoipenda Russia si watu wa sifa au kuanika vitu vyao...

  • @leeyjr1446
    @leeyjr1446 14 дней назад +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 13 дней назад +2

    Neti imerudu mubashara

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 13 дней назад +2

    Sasa ngoja tuendelee kushangaa😮😮😮

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 13 дней назад +3

    Putin 🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤

  • @mariam-pu4kg
    @mariam-pu4kg 13 дней назад +1

    Wow,thanx alot bro kwa news 📰

  • @user-ix4fv2nj2v
    @user-ix4fv2nj2v 13 дней назад +2

    Asante ❤

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 14 дней назад +4

    Nipazuri kabisa

  • @Dottomagarii
    @Dottomagarii 13 дней назад +3

    From Nairobi . Sky tunatamani Sana Uwe mtangazaji Wa crown media

    • @allymatilda7519
      @allymatilda7519 8 дней назад

      Yani atoke kwenye media yake akaajiriwe ha mtu kweli jmn 😱

    • @Dottomagarii
      @Dottomagarii 8 дней назад

      @@allymatilda7519 millad ayo ana media . Mbona kaajiriwa clouds media . Jiongese

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 10 дней назад +1

    Wewe razima uikosoe marekani nina wasiwasi unaupendeleo wote wana nguvu marekani urusi na china na nguvu zao zinashamili zinafanana

  • @ayoubmwamwaja
    @ayoubmwamwaja 13 дней назад +2

    Inapendeza kama anaenda kanisani kusari🙏🙏 Mimi siyo muhumini wa proud to nyokonyoko😂😂 mwamba Yuko siruas sana na uhakika kunadini moja2 urusi ndo maana Amna ugaidi kabsa💪

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 13 дней назад +1

      Hakuna sehem hakuna waislam kwass dunian urusi mbona waislam wapo na hakuna sehem dunian kwass hakuna msikit fatilia vzr broo ila wanakuwa waislam kidogo tu

    • @ayoubmwamwaja
      @ayoubmwamwaja 13 дней назад

      @@mussaabobakar7537 Sasa wakishakuwa kidogo wana kuwa hawazingatiwi kabsa🤔🤔 kiufupi wana kuwa hawana sauti, serikali Ina wachukulia kama taasisi ndogondogo🦴💀 wazungu 90% duniani kote huwa hawa hawaikubali dini ya uislam coz wanajua wakisha kuwa weng hawachelewi kuibadirisha nch kuwa kama dini🥱🥱baada ya hapo mnakuwa under contro chini ya waarabu k2 ambacho putini Kim jong UN,Xl jinping Biden nawababe wengine duniani kote huona ni upuuzi kabsa 🖤🔥ni amini Mimi nch za wazungu hiyo dini haiji kuota mizizi kabsa itaendelea kuendeshwa kama taasisi changa🙏🙏labda huku afrika kwenyewe watachipua wawezavyo coz m Africa yeye yeyote atakaye mpa chakula huyo atamtii🧷💀

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 12 дней назад +1

    Makala ziwe kila week. Umekua unapotea Kaka.

  • @user-gu9jq5rq4v
    @user-gu9jq5rq4v 12 дней назад +1

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 8 дней назад +1

    Viva Putin

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 13 дней назад +2

    Awesome information!

  • @samuelurio1519
    @samuelurio1519 10 дней назад +1

    Tulimis makala 360😊

  • @BMFURAHAKWANZA
    @BMFURAHAKWANZA 13 дней назад +1

    Mimi ni wa 12784

  • @morama3935
    @morama3935 35 минут назад

    nikimuonaga uyu mzee najiskia uraaa yani najua magu yupo ikubwa zaid 👊uchumi 💪 ss uku bongo paka wanafki wafe nasio leo miaka miamia 😢adui wa africa nimufrica mweyenyeww

  • @user-cb7jq9ti7p
    @user-cb7jq9ti7p 13 дней назад +1

    Laki na sisi tungeijenga dodoma kama nia ya mkuu ilivyo kuwag

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 13 дней назад +1

    Hapo kwenye vloloskai.. 😂 sky ngoja tukuchunguze

  • @samuelurio1519
    @samuelurio1519 10 дней назад +1

    Tulimis makala 360

  • @VeronicaMhapa
    @VeronicaMhapa 13 дней назад +2

    Viva Russia 🙏🙏

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 14 дней назад +4

    Angalau wao wamefanya huo Uchaguzi lkn Ukrain-Zelensky muda wke wa Urais unaishia 21/05/024 na tyr wameghairisha uchaguz huo

  • @ramadhanidaudihaji2174
    @ramadhanidaudihaji2174 14 дней назад +4

    🤌🤌🤌

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy 13 дней назад +1

    White House looks amazing,, I love it

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 13 дней назад +1

    👊👍✌️。

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 13 дней назад +1

    Hapo nadhani hakuna hata inzi😅

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 13 дней назад +6

    Ukraine watashindwaje kumtambua Putin, kua ndiye rais wa Russia na kwa sasa ni miaka miwili anae wakosesha amani?

  • @Gody360
    @Gody360 13 дней назад +1

    Russia 🇷🇺 🔥🔥

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 13 дней назад +1

    Mbona ilishambuliwa na drone

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 дня назад

    Joe biden could not walk for that long distance by himself like putin

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 13 дней назад +3

    Sasa ilikuwaje kale kadrone ka Ukraine kakaipiga Kremlin

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 13 дней назад +1

      Fata dunia inapoelekea ujifunze kitu kupitia urkain wenye akili kama zako leo wanajutia nafsizao wamekua wakimbizi wanaenyanyasika kwasasa akili zakuambiwa changanya nazako 😂😂😂😂

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 13 дней назад

      Iliachiwa makusudi ili waone je kale ka drone kama itafikia jengo la Kremlin. Haikugonga jengo, ilisambaratishwa na ulinzi wa jengo hilo. Upo.

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 13 дней назад

      Nipo nyonyo

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 12 дней назад

      @@lameckraphael3743 hahahahaha acha dharau bana

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 12 дней назад

      @@user-cw8zn2dn6m 🤣🤣 nisameh

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 13 дней назад +4

    Sisi Binaadamu.wa Afrika tumechoka na Ubabe wa Taifa La Marekani tunaitaji Mbabe Mwingine nae tuangalie atatupeleka wapi Maana Marekani imetupeleka kwenye Ushoga na Usagaji tu

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 13 дней назад

    MTIGA ABDALLAH YUKO WAPI?? NA ANAFANYA NINI??

  • @ramamtangi7776
    @ramamtangi7776 13 дней назад

    Hakuna drone ilishapigaga clemlin ilipanguliwa umbali mrefu hapo hata sindano haipenyi

    • @Soon815
      @Soon815 13 дней назад

      Hicho kijengo ni cha kawaida acha story mtu akitaka kupiga anapiga

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 13 дней назад

    Wasiomtambua wote watakuwa mashoga

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 13 дней назад +3

    Sky ikulu ya Dodoma ndio ina balaa n ya kifahari kweli kweli 😂😂😂ina kumbi sita za kifahar...Magufuli hall, Jk hall,Mwinyi hall, Nyerere hall, Kizimkazi hall

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 13 дней назад +1

    Lakin mbona mashoga walipeleka dron

    • @user-pg2tw8yt4l
      @user-pg2tw8yt4l 13 дней назад +1

      ila zilidunguliwa kabla ya kufanya madhara

  • @bekamicky1071
    @bekamicky1071 14 дней назад +3