🅻🅸🆅🅴 LISSU, HECHE, MSIGWA NA LEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU NA WAKAZI WA ITIGI - MANYONI
HTML-код
- Опубликовано: 16 июн 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Combination nzuri sana.
Mimi naipenda chadema sana
Asante lisu mungu akujalie
Asanteni sana wageni wote karibuni
❤❤❤❤❤ makanda watetezi
Simon pole hujui uongeacha.bora unyamaze.😅😅😅
Mwandishi hauko sahihi kumtaja Lema ambaye hayupo mkutanoni !!
Ilitakiwa jana awe amepisha kiti sasa sisi wananachi tunasubiri maamuzi ya serikali
Tulia mjomba...jambo lolote huhitaji Muda!
Mhe. Heche, pamoja na mazuri mengi uliyozungumza, umekosea kumtaja Mhe. Lissu kama rais ajaye. Unajua wazi kwa Katiba ya Chadema, mgombea urais anaomba na kuidhinishwa na chama kupeperusha bendera ya chama. Kwa ufahamu wangu, bado chama haijateua mgombea 2025. Usiwachanganye wananchi, tafadhal
Ujumbe umefika. Huu nao ni uchawa wa aina yake.
Msigwa. Wewe. Mwenyewe. Hutakiwi. Usijipendekeze
Hata Mbegu ya mahindi tumenunua gali Sana kwa waziri huyu na bei hamna
🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂ngoja nicheke tu haya maigizo na comed zinazofanywa na hawa People kuna mtu ana tumbo kubwaaa wao wanamwita mgombea wao wa urais nani akupe huo urais labda urais wa mfuta ya alizeti