🅻🅸🆅🅴 LISSU, HECHE, MSIGWA NA LEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU NA WAKAZI WA ITIGI - MANYONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июн 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 15

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 8 дней назад +2

    Combination nzuri sana.

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 8 дней назад +2

    Mimi naipenda chadema sana

  • @MawazoJosso
    @MawazoJosso 8 дней назад

    Asante lisu mungu akujalie

  • @user-kl1ei8cu4j
    @user-kl1ei8cu4j 8 дней назад

    Asanteni sana wageni wote karibuni

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 8 дней назад

    ❤❤❤❤❤ makanda watetezi

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 7 дней назад

    Simon pole hujui uongeacha.bora unyamaze.😅😅😅

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 8 дней назад

    Mwandishi hauko sahihi kumtaja Lema ambaye hayupo mkutanoni !!

  • @simonmagembe7416
    @simonmagembe7416 8 дней назад +1

    Ilitakiwa jana awe amepisha kiti sasa sisi wananachi tunasubiri maamuzi ya serikali

  • @FLukwaro
    @FLukwaro 8 дней назад +1

    Mhe. Heche, pamoja na mazuri mengi uliyozungumza, umekosea kumtaja Mhe. Lissu kama rais ajaye. Unajua wazi kwa Katiba ya Chadema, mgombea urais anaomba na kuidhinishwa na chama kupeperusha bendera ya chama. Kwa ufahamu wangu, bado chama haijateua mgombea 2025. Usiwachanganye wananchi, tafadhal

  • @JumasalumGambaz
    @JumasalumGambaz 8 дней назад

    Msigwa. Wewe. Mwenyewe. Hutakiwi. Usijipendekeze

  • @YaeLondon-xy7sh
    @YaeLondon-xy7sh 8 дней назад

    Hata Mbegu ya mahindi tumenunua gali Sana kwa waziri huyu na bei hamna

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 8 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂ngoja nicheke tu haya maigizo na comed zinazofanywa na hawa People kuna mtu ana tumbo kubwaaa wao wanamwita mgombea wao wa urais nani akupe huo urais labda urais wa mfuta ya alizeti