LISSU AKIWASHA MANG'OLI MKOANI ARUSHA, APOKELEWA NA MBOWE NA LEMA, WANANCHI WAJITOKEZA KWA KISHINDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 42

  • @amanikhamisi334
    @amanikhamisi334 6 дней назад +7

    Lisu njoo kunduchi mji mpya Kuna madudu mengi

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 15 часов назад

    Cshikamooni wazazi wangu name
    Safiiii sana

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 5 дней назад +1

    MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yenu ielewe haki zao zilizofichwa na haramu CCM, uwezo wao umefika mwisho wa utawala haramu,

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 5 дней назад +2

    Mh Lissu kapiga Jeans ya kishikaji sana😂

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 5 дней назад +2

    ✌️✌️✌️✌️forever

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 6 дней назад +1

    Lissu njoo jamani orkesumet please

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 15 часов назад

    Hats kama ni wa humid inahusu chadema mipango mzima ccm hatuitaki inanuka imeoza imechakaa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 5 дней назад +1

    Piga Spana Mheshimiwa Lissu Mpaka Vijana Tuamke Kulikomboa Taifa Letu Dhidi Ya Maharamia,, Mafisadi na Wanyonyaji CCM "

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 4 дня назад

    NA KUSIMAMIA MAWAKALA PIA POLISI WASIWATOE VITUONI POLISI WANAISADIA CCM KUPOLA UCHAGUZI LISSU WAMBIE POLISI NAO WAKISHILIKI KUWASAIDIA CCM WAWAUE

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 4 дня назад

    Mkondiya Ww Fala Uchochezi Ukowapi Hapo Nenda Shule Ccm Siowatu Wazur

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 дней назад

    Kuna.mgoli.ya.mkono
    Yatakigww.kivipi.uangalifu
    Utakiwa.tumieni
    Mbinu.kama.mwalim
    Nyerere

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 дня назад

    Lisu ni mkimbizi anamtukana Rais wetu ili akamatwe asingizie usalama Mwenyezi hatampa baraka ya kuchaguliwa
    Mbowe tafuta mgombea mzalendo huyo ni mkimbizi anachafua Jina na sifa za nchi yetu tuko macho naye
    Anacho kibeba nyuma ya pazia tunakijua. Tukana Mheshimiwa rais wetu ambaye kwenu si mheshimiwa mtakavyoweza matusi yatawagharimu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 6 дней назад +2

    Lissu umekosea,enzi za Herman Sarwat jimbo la Mbulu
    lilijumuisha majimbo ya (Mbulu Mji,Mbulu Vijijini, Babati mjini,Babati vijijini,Karatu na Hanangw).

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 6 дней назад

      Kakosea nini kama yote hayo majimbo uliyotaja lilikuwa jimbo moja , kwahiyo lilipogawanywa ndo unataka wasiwe wajukuu wa Sarwatt

    • @YaeLondon-xy7sh
      @YaeLondon-xy7sh 4 дня назад

      Hajakose ndo maana anasema mbulu

    • @user-cj2iq1qv6n
      @user-cj2iq1qv6n 4 дня назад

      Alichokosea. Lissu Nn? Iv Unajua Sababu Ya Kugawa Majimbo? CCM wamlianza Kugawa Majimbo Baada Kuona Chadrma Wameshika Alimashauli Zote Kama Ujui Mm Ndio Nakuchana Kaka Ccm Ndio Tatizo Kwenye NCHI Hii

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 5 дней назад

    Chama imara kabisa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 дня назад

    Lema na Tundulisu niviongozi wahuni .tu .Hawana hoja zozote zaidi ya uchochezi na mstusi

    • @chidybizz8684
      @chidybizz8684 4 дня назад

      Wamechochea nini?mtu mzima hauna akili hata kidogo

  • @amanikhamisi334
    @amanikhamisi334 6 дней назад +1

    Sarut

  • @user-eg1mz6vo1d
    @user-eg1mz6vo1d 3 дня назад

    Usitukumbushe Diwan wetu pendwa

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka День назад

      Si anamsifia jamani hayati mh Moshi Darabe sijaona baya hapo.marehemu Thomas M Darabe tulikuwa naye udiwani chapakazi na mstaarabu aliyejawa na moyo wa upendo .Mungu ampe pumziko la milele🙏🙏

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 дней назад

    P GB

  • @kibuzosengamshairi4214
    @kibuzosengamshairi4214 6 дней назад

    Watishie nyumbu wenzako

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 дня назад

    We ni Haini mchochezi Haiti hupati kura we mkimbizi usijinasibishe na utanzania baking na Hao baba zako wabeljiji unataka kuuza Tanzania kwa wabelji tube kama Congo laana zinakukuta Sema uongo utakugharimu

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 3 дня назад

    Wajinga Fulani Tu hawa ambao hawajitambui ukawapa nchi wajinga kama hawa ccm imefanya mambo mengi sana mabarabara mashule maospitari wao chadema wamefanya walimpa kura hizo kwa sababu ya ukabila

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 дня назад

    Mwenyezi Mungu hatampa Nusura ya kuchaguliwa
    Na Safari hata anaropoka mapinduzi
    Malaika wanamhesabu inshallah
    Hesabu za maovu yake wanayo
    Hii haisubiri kiyama atalipwa kwenye uchaguzi
    Siku ya malipo atahukumiwa matusi alomtukana Rais Samia

  • @kibuzosengamshairi4214
    @kibuzosengamshairi4214 6 дней назад

    Hao wabunge wasomi waliwasaidia nini wana karatu

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 6 дней назад +2

      Ukiambiwa utaje kazi za Bunge (au wabunge ) huzijui . Ndio maana unasema hivyo ,kazi moja ya Bunge ni kutunga sheria na wewe taja zilizosalia kama unazijua ,naona huenda kazi za Bunge huzijui.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 6 дней назад

    Hamtapata kura kamwe

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 6 дней назад

      Wewe unajuaje ?Acha ujinga

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 6 дней назад

      @@dionismutayoba3542 Siasa siyo kutukanana nakuhakikishia hilo tusi itamkost Lisu hivi kozi ya matusi mlipatia wapi

    • @user-os6mt1pm9q
      @user-os6mt1pm9q 6 дней назад +1

      Mimi nitawapa kura

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 5 дней назад +1

      Wanatutetea nchi yetu inapigwa bei kwa wakoloni katika karne hii ya 21 inaumiza 😮

    • @ShinjeMackenzie
      @ShinjeMackenzie 5 дней назад

      Tutawapa kura ww na wajinga wezio baki huko pumbavu