WAKILI AIBUA MAPYA SAKATA LA MPINA KUFUNGIWA, AJA NA UCHAMBUZI HUU WA KUTISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 152

  • @jacobd.kasofu2204
    @jacobd.kasofu2204 3 месяца назад +26

    Wananchi Tunapaswa Kumuunga Mkono Mh.LUHAGA MPINA kwa Kuishinikiza Serikali na BUNGE kuwajibishwa. Ni Aibu kubwa SPIKA Kutetea UFISADI huo....WAJIUZULU tuuuuu.....Wasisubiri ya Kenya yaje hapa, Wawajibike na Kuchukuliwa Hatua Kali...Wizi upo Wazi kabisa

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 2 месяца назад

    Wakili kama wakili HONGERA sana advocate Basila mosses
    I always admire your work
    Naamin utafika mbali sana kwenye proffesion ya uwakili
    Uchambuz wako upo makin. Straight to the point with factual facts
    Soon you will be among the best advocate in this nation
    Keep it up adv

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 месяца назад +4

    Bunge limewakosea sana wananchi kwa kumwonea aliesema ikweli mbunge mpina yuko sahihi juu ya alolisema mwenye kosa ni mwigulu na bashe ndo walitakiwa kuadhibiwa spika nae haeleweki ccm kwa ujumla hakuna cha maana mnachokijadili hapo ndani uonevu mtupu mungu awalaani nyinyi wote mliomwonea msema kweli

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 месяца назад +1

    Inabidi wananchi tujitambue ktk haya madudu ya baadhi ya viongoz wadhirifu tuwakatae natuwanyanyapae kbsaa tuwatenge kabisaa rip john joseph magufur

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 3 месяца назад +2

    Kwa uonevu huu kwa Mpina ipo siku tutaingia barabarani kudai haki zetu kama wakenya

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 3 месяца назад +3

    Sasa hawa wabunge wa CCM wao wamepitia sheria zipi kiasi cha kuwaona Hussein Bashe (waziri wa kilimo), Mwigulu Nchemba (waziri wa fedha), Bodi ya Sukari na kampuni zisizostahili kisheria kuingiza sukari kuwa ni wasafi, si mafisadi na si wahujumu uchumi? Hili Bunge limewapa "go ahead" wahujumu uchumi badala ya kuchukua hatua. Bunge limemwadhibu asiye na hatia (Luhaga Mpina) na kuwaacha wenye hatia (Waziri Bashe, Mwigulu Nchemba, Bodi ya Sukari na zile kampuni hewa zilizopewa deal hili). Bunge limewakosea wananchi na halistahili kuwepo!!

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 3 месяца назад +1

    wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 месяца назад

    Kwa lile bunge MPINA ndo mbunge mtetezi wa wanyonge kwa 99%

  • @CharlesMaghembe
    @CharlesMaghembe 3 месяца назад

    Kina umuhimu wa kulipeleka mbali suala hili . WANASHERIA
    UNGANENI, Fungua kesi , aibu kubwa kwa bunge hili.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад

    Wanasheria. Wakuu wa dini, teteeni ukweli wa sheria, kabla mambo hayajafika mbali.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад

    Serikali ya awamu ya 5 ilitunga sheria nzuri ya kuthibiti uagizaji holela wa sukari, Sasa tunaona mawaziri wa awamu hii ya 6 wakikusudia kufuta sheria hiyo ili kurejesha ule uholela wa awali,na bunge kushadadia kwa kumsulubu mbunge mpina kwa kutumia kanuni,na kuwalinda wahusika bila kuwaita bodi ya sukari kujieleza bungeni! Utaona jinsi gani serikali ya ccm inavyotofautiana kila awamu, huku mkuu wa nchi akiwa kimya mbali na wateule wake wanaochukua hatua ya kufuta sheria iliyotungwa bungeni na kuidhinishwa na mtangulizi.

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 3 месяца назад

    Kwatanzania kumkosoa mteule Wa raisi atakama amekosea nikosa

  • @AmriManengelo-yz5pp
    @AmriManengelo-yz5pp 3 месяца назад

    Kwanini m mnawatetea haya makapumi ya ndani na Kila mwaka tatizo linajirudia sana hapa mnatetea watanzania au wenyeviwanda 🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi ninamashaka Kuna watu wamekosa percent tu hapa🤣🤣🤣🤣👆

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 3 месяца назад

    Mpina si uanzishe chama.

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 3 месяца назад

    Shéría walítúñga wao leó wanamrúkía mpiña ñí wabúmge awawa walítúñga shería ya kíkokótoóoo leo wanaisema serikali iwaonee uruma wafanyakazi ivi nani alipitisha iyo sheria asa awa wabumge wa ccm

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад

    Ipo siku tumechoka hilo bunge nilakupiga moto

  • @ibrahimfassa1075
    @ibrahimfassa1075 3 месяца назад

    Mh rais hawa mawaziri wanakuhujumu , kuna umuhimu apo kuangalia na kuanza kuchukua mamuzi juu ya kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna watu wapo kwenye mamuzi makubwa na sio wa tanzania chukua hatua haraka mh rais apo watu wameona n upigaji tu hat mpina wamgalagaze wee lakin watanzania tunajua ndo mtetezi wetu , wawajibishe hao wapiga dili hilo halifichiki mna ona sheria hizo kwanini bunge linalotunga sheria tena linasahau sheria zake lenyewe apo dili tu mh timua ote ao wanakuhujum tu

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 3 месяца назад

      wanamkusanyia pesa ndio maana yuko kimya

  • @NescharlesMalando-xm6lg
    @NescharlesMalando-xm6lg 3 месяца назад

    Muda utaongea tu!!sisi so wajinga kwa sasa!!

  • @melkiorykweka438
    @melkiorykweka438 3 месяца назад +23

    Kaka hapo hakuna kamati hicho nikikundi cha wezi wamekaa kumlinda mwizi mwenzao

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka 3 месяца назад +8

    Mpina Luhaga ni shujaa wa Tanganyika iko siku anayoijua Mungu historia itajirudia katika hili.bravo Mh.Mpina aluta continua viva Tanganyika

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 3 месяца назад +11

    Mpina sasa namshauri asimame nje ya mifumo ya ccm ili aweze kufuguka vizuri na wananchi waweze kumwelewa zaidi.

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois752 3 месяца назад +8

    Nchi hii watu wamesoma sasa ,hii hoja ya Mpina ngojeni muone kama waziri na spika watabaki salama.

  • @MAGIDACHIMIJA
    @MAGIDACHIMIJA 3 месяца назад +10

    Waongo wameungana kumuadhibu mkweli

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад +10

    Hatuna bunge

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 месяца назад +13

    Kuna wabunge wengine kama msukuma walishajisahau sana na Spika anadhani ana akili kuliko wanawake wote, huyo spika bora Ndugai

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 3 месяца назад

      Kana dharau na kiburi ata mbowe aliwai kusema hivyo

    • @collincarlos7433
      @collincarlos7433 3 месяца назад

      Ktk hilo sakat la mpina msukuma alkuwa analipa kisasi...

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 3 месяца назад +11

    Mheshimiwa sugu uchaguzi ujao tuondoleehuyomama hapo mbeya

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 месяца назад

      Hana ubavu huo hata kidogo

    • @bonnymakuke3153
      @bonnymakuke3153 3 месяца назад

      ​@@walidmgonja3644vuta subra labda aambe jimbo

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga 3 месяца назад +14

    AMINI MSIAMINI BASHE KATUPIGA

    • @jacobd.kasofu2204
      @jacobd.kasofu2204 3 месяца назад +1

      Tena Katupiga Sana Bilion 538 Ni Pesa Ndefu Kuliko EPA au Tegeta Escrow Account

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 месяца назад

      Mpeleke mahakamani

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 2 месяца назад

      ​@@walidmgonja3644 Wewe Kuma umetumwa nn Kuma la mama yako unamtomba nn au ndo baba zako

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 2 месяца назад

      ​@@walidmgonja3644mbona ndiyo mpango mzima

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 3 месяца назад +6

    Mpina aliyajua yatakayotokea ndio maana akaitoa pabric so swali langu kwako mwanasheria kama ivi ndivo unaonaje tufungue kesi ktk maakama ya mafisad

  • @ostenmwakasita6960
    @ostenmwakasita6960 3 месяца назад +4

    Safi sana wakili wewe na Mpina ni wazalendo wa Tanganyika ongeleni kwa kulipambania Taifa letu

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 3 месяца назад +4

    wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 3 месяца назад +2

    Ndg Msomi Wakili, hata Mimi binafsi ambaye sijui vizuri Sheri, ninakuomba kwa pamoja na WATAALAMU WA SHERIA kutoka TLS, fikeni mahala mkatetea mali za Umma zisichewe kizembe namna hiyo. Inakuwaje Waziri anakubali kuwapa (vibali/ ruhusa) watu au makampuni YASIYO kidhi vigezo kufanya kazi wasiyo na uwezo/ utaalamu nayo. ( Kwa mfano, kampuni ya kuuza simu, kampuni inayoshughulika na stationery, na bila kuwa nautaalsmu wa bidhaa ya Sukari. Sawa tukubali Mpina amezuiwa bungeni, lakini raia anaowatetea hatujaridhika. WANASHERIA TUSIDIENI UPUUZI HUU UFIKE MWISHO.

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 3 месяца назад +6

    Bashe angekua muungwana ange jiuzuru tu, asilichafue bunge na Serikali. Sasa hivi tumeona madhaifu ya spika kwa sababu ya Bashe. Bashe ana wasemea wananchi.

    • @devangandhl2255
      @devangandhl2255 3 месяца назад

      Anko sisi tuko nje haya mambo ya ndani vina mbwembwe zake

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 месяца назад

      Ajiuzuru sasa na achukuliwe hatua kali na mwisho wa uhujumu uchumi na kulindana.
      Wananchi si vilaza kama mnavyowadarau. Na mmesahau ndo wao wanaowalipa mishahara yenu. Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi. Mmefanya ubinafsi.

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 3 месяца назад +13

    Yani hili bunge nimelichukia sana hata kulisikia wala kulitazama wasilirushe laivu iwe kama Magufuli alisema

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 3 месяца назад +2

    MwenyeEnziMunguMlezi AtuSimamie katika mambo mbalimbali ikiwemo Bima ya Afya.

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA 2 месяца назад

    SISI TUKO TAYALI KUENDESHA HARAMBEE ILI KUMWEZESHA MPINA GHALAMA ZA MAHAKAMA. Wazarendo tusiige yaKENYA BALI TZ TUNA UTAMADUNI WA VIKAO AU SHERIA SIO MAANDAMANO

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 3 месяца назад +2

    UBaarikiwe sana Wakili Mzalendo.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +2

    Tunataka katiba mpya ili watanzania waweze kusimama bila ya kute gemem chama. CCM kimekuwa ni chama cha kiditeta.

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 3 месяца назад

    Badala ya kumfukuza Mpina bungeni wabunge walitakiwa wamshauri Rais awafukuze kazi mawaziri Bashe na Mwigulu na waziri wa viwanda na biashara na yule wa uwekezaji kisha washitakiwe kwa kutumia mamlaka na ofisi vibaya.

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 3 месяца назад

    Inaonyesha kuwa Kuna rushwa kubwa,iliotumika kusajili hizo kampuni zisizokuwa na vigezo na sema watu waliohusika na Hilo ni watu maarufu hivyo kuishia kumtoa kafara mpina ili kuzima hilo

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 2 месяца назад

    Ange kuwa mskini wauku mtaani angesha kamtwa aliye choma picha tuu kakamatwa lakini majambazi awa mbona mnawaacha 😢tunateseka wengine wanafurahi ila Mungu yupo ipo siku

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 3 месяца назад +4

    Wabunge wa mchongo wamtimua mnoko wao msema kweli hii ndo bongo ya shamba la bibi

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 месяца назад +3

    Thank you brother, Lunga mpina was correct so to speak.

  • @ibrahimwarsame9309
    @ibrahimwarsame9309 3 месяца назад

    Duuu wabonge noma hamna kazi nyie huyu Wakili ni mzigo anatafuta kik hakuna jipya tafuteni kazi

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q 2 месяца назад

    Kinachoniskitisha mbona hamkuingilia kabla ajapewa adhabu?

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 3 месяца назад +1

    Ee mungu uko wapi juu ya watu hawa bwana shughulika na watbuge hawa wa mchongo wa mwendazake baba mungu muumba wa nchi utawalae dunia na mbinguni tusaidie juu ya watu hawa sisi wananchi hatuna bunduki Wala mabomu ila tunakutegemea wewe ulie tuumba na tuanaee kuabudu tusaidie juu ya watu hawa na chama Cha ccm na serekali yake baba tuokoee na watu hawa hatuna nguvu ya kumbambana na watu hawa imungu wetu tusaidie kama ulivyowakomboa Wana wa isiraeli mungu kama ulivyo mpiga opofu ffarao na watu wake juu ya waisiraeli nakuomba mungu ipige ccm na serekali na mfalme wao yaani raisi na mwenyekiti wao mungu awaondolee utawala wao ktk nchi na arizo ya Tanganyika ee mungu tusaidie mungu umwema na siku zote umwema amina

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 2 месяца назад

    Ukweli unajenga nchi tuache janjsjanja wabunge vilaza machawa

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 3 месяца назад

    Mpina aende mahakamani awashitaki wahusika kwa majina yao akiwemo Spika.

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q 2 месяца назад

    Wanasheria waamshen watanzania, tunaangamia kwa kosa maarifa

  • @membeomkaya6767
    @membeomkaya6767 2 месяца назад

    Kampun inatoka Zanzibar tena ya mchongo Duuh

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 месяца назад

    Kumbe na wewe uko kutetea ufisadi, RIP JPM

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 3 месяца назад +1

    ZIMA HIZO KELELE KATIKA BACKGROUND

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 3 месяца назад +1

    wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 3 месяца назад +2

    Heeee kumbe duuu kazi kweli kweli Tz.

  • @MussaBundala-yg8nw
    @MussaBundala-yg8nw 3 месяца назад +1

    Kumbukeni maneno ya kinabii ya mh Lema, lakini pia kikundi Cha bunge na spika wao kujiamlia maamzi yasiyo na macho laana itawafuata

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 3 месяца назад +1

    Sheria ya mtu kuwa mbunge iwe hivi, iwe ni lazima kila mbunge awe na diploma au phd

  • @DicksonNolelwa
    @DicksonNolelwa 2 месяца назад

    hio ndio maana halisi ya kazi iendelee .

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 месяца назад +8

    Viva mh.Mpina, wewe ni mzalendo sana.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад +1

    Amina Mdee waliamua kuwaachia wenye ngoma yao waicheze wenyewe

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 3 месяца назад +2

    Mungu anawaona.

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 3 месяца назад

    Spika anastahili kujiuzulu na Msukuma pamoja na Kibajaji walitakiwa wasikanyage bungeni vikao 20.

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 3 месяца назад

    Mwana sharia nduguyang mtanga mwezagu watu watakucheka mimi pia na mwana sheria umesoma vizuri. Sharia au ni mganga wa kieyeji unataka kutia aibu taluma ya. Wanadheria

  • @amanijoseph6764
    @amanijoseph6764 3 месяца назад

    Kwa maelezo haya..waziri wa Kilimo anapaswa kujiuzulu mara moja kulinda hadhi ya bunge..lakini pia achukuliwe hatua

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад

    Nyuma yaBashe kuna maafisadi wengiwakieemo wafanyabiashara nahataserikali nawanasiasa wanakisingizio chaetikumudharau spika huku nje wananchi tunaishangaa serikali kushambulianakudhalilisha viongoziwawananchi kwakuwa wabunge niwawakilishi wawananchi.

  • @RamadhanKitama
    @RamadhanKitama 3 месяца назад

    Huyu spika wa genge baladhuli huyu hamjamjua rangi yake sawasawa, lait kama upinzani ungekuemo bungeni kama mwanzo ndo mngemjua mapemaaa! Yaan Anne Makinda alifaa sana. Huyu mama ana ndimi mbili kama nyoka. "Ndo imenyesha mmejua wapi panavuja, kabla hata ya msimu mwingine wa mvua" mmmmmh

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 месяца назад

    Nawewe imelipwa ngapi?

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 3 месяца назад

    Bunge / bashe/ mwigulu,, wapelekwe mahakama ya ICC,, Nchi inachezewa kama Haina wenyewe,,

  • @saburikilonzo2593
    @saburikilonzo2593 3 месяца назад

    Kama Kwa maelezo hayo ya mwanasheria ni kweli
    1. Bashe Hana uhalali wa kuwa waziri, kiti hakimtoshi.
    2. Bunge linauonevu mkubwa Sana Kwa wabunge wake
    3, Kumbe ukweli ukiwekwa wazi wahusika wanaingia matatani
    4. Hakuna haki kwa wangonge.
    5. Inaondoa bunge kutoaminiwa na wananchi n
    Adhabu ya kutooa mbunge bungeni Kwa muda mrefu kinanyima haki ya wananchi Kwa mwakilishi wao

  • @sittatungu5340
    @sittatungu5340 3 месяца назад

    Wanasheria wafungue kesi mahakamani dhidi ya Bashe, Mwigulu, na wengineo watakaoona wanastahili kushtakiwa kwenye jambo hili la wizi na uhujumu uchumi ili liwe fundisho watu wasiwe wanatengeneza matatizo na baadae kuyatatua kwa kujilimbikizia mali wao wenyewe na pia ilinde heshima ya MTU anayetetea taifa ambaye kwa suala hili ni Luhaga Mpina.

  • @VcentPaul
    @VcentPaul 3 месяца назад

    Ukombozi wetu wananchi ni kugoma kujiandisha kupiga kura , na mda wao wa kututawala ukiisha wananchi wataamua

  • @ligwamikoba6336
    @ligwamikoba6336 3 месяца назад

    Mpina yupo sahihi,ila inaonekana hilodili lilikua na viongozi wakubwa hapa nchini ndiomaana alie na khaki kajikuta anatuhuma ya kujibu

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 3 месяца назад

    Kwani wanashelia wa ccm na selikali ni wazoefu wa kushinwa kesi za wazungu mbona kila kesi wao ni kushindwa awajawai kupata atadroo au suruu unawasemaje

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 3 месяца назад

    Mimi huwa sielewi wabunge maana mara wanasema nchi kama Malawi,kenya,Rwanda bei Ya sukari ni ndogo hafu hapo hapo wanasifu sukari ya bashe ya sh. Elfu nne yaani hapo ni uzwazwa wa wabunge

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Lema, futa kauli yako CCM mkitumaliza bungeni mtatafunana wenyewe.bila kufuta kauli yako Lema bunge la CCM linaenda kuzama.

  • @cornelnshubile6819
    @cornelnshubile6819 3 месяца назад

    Halima Mdee, Ester Matiko na Bulaya, wabobezi mbona hawakuchangia katika sakata hili?

  • @ligwamikoba6336
    @ligwamikoba6336 3 месяца назад

    WANASHERIA WA NCHI HII NAWAOMBA MCHUKUE HATUA YA DHARULA KUMLINDA MH;LUHAGA MPINA

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Lkn kubwa zaidi ni kwamba watu wa Sukari walificha bidhaa hiyo na hapo tayari kulikuwa na haja ya kuhangaika kuagiza Sukari.
    Na hata walipopewa vibali hawakuingiza, hivyo ilikuwa ni halali kuagiza Sukari.

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 3 месяца назад

    Ukiwa mkweli unatengwa hata nakwenye Vikundi mbalimbali utaitwa Majina ya ajabu

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 3 месяца назад

    Wanasheria wote njooni na uchambuzi , wa kisheria. Tukuimwacha Mpina agandamizwe sio sawa. Wekeni mambo hadharani. Mwanasheria hapa nchini sio spiker peke yake

  • @reonandmpangalushu3434
    @reonandmpangalushu3434 3 месяца назад

    Tangu jana nikasema wabunge wengi wapowapotuu bashe amefanya haya kwa ajili ya manufaa ya wachache akiwemo yy mwenyewe bei ya sukari kufika ilipo ni mpango wake bashe, mpina awawashia wabunge wenzake waone mbele lakin hawana macho ya kuona wanabaki kumlaumu

  • @LaureanKajugusi
    @LaureanKajugusi 3 месяца назад

    Umeitendea haki taaluma yako lakini pia wananchi kwa ujumla wetu!!

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 месяца назад

    Ccm chama changu wanajilinda ila ss wtz ndio wajinga wanajifanya chadema wanalindana ila mpina na ndugai ,tumewaelelewa mungu awalinde,

  • @amossafari4838
    @amossafari4838 3 месяца назад

    Nimekusikiliza vizuri wakili, ombi langu ikiwa maamuzi yameonuesha double standard kipi kifanyike kwa nyie wanasheria kumsaidia Mpina na jaamii kwa ujumla?

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Japo kukawa na kosa la kutokuwachukulia hatua yoyote hata kuandika tu japo maelezo Polisi na kujikomiti kuwa hawataridia kuadimisha Sukari tena

  • @abrahmanabdallah8479
    @abrahmanabdallah8479 3 месяца назад

    😂😂😂 sasa sukari kilo elfu 10 kuvunja Sheri ikauzwa eflu 3 acheni kutete majambazi Bashee oyoo

  • @JaphetJairos-n4l
    @JaphetJairos-n4l 3 месяца назад

    Mpina yupo sahihi sana sema serikar ya tz hawapend kuambiwa ukwel

  • @MaabeshFungurume
    @MaabeshFungurume 3 месяца назад

    Sukari kupand bei 5000 mpaka elf 6000 hakuna alitutetea

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 3 месяца назад

    Hatamsemaje wenye mamlaka ya nchi hii wameshaamua kumpiga pini ya vikao 15 asikanyage bungeni wala kujihusisha na shugri yoyote yakibunge baada ya kumaliza kifungo cha vikao 15 ataruhusiwa kurudi bungeni

    • @sophiaamnaay9726
      @sophiaamnaay9726 2 месяца назад

      Kuna haja gani kuwepo bungeni kama huna la kutetea watu bali kuingiza siku kwa ajili ya tumbo lako tu. Wacha waendelee kwenye vikao vyao visivyo na faida kwetu. Lkn siku yaja watawala wale matanishi yao

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 месяца назад

    Spika na waziri wa kilimo wajihuzuru wamepeleka kuongoza wizara hizo

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 3 месяца назад +1

    Asa mbona huyo spika ni mwanasheria, mbona asisimamie Sheria inavyotaka, kwa maoni yangu hafai kuwa spika

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      Yupo kushiba

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад

      Haku soma hata ushahidi wa Mpina. Hii imewauma sana watanzania

    • @josephmchila6467
      @josephmchila6467 3 месяца назад

      Aliyosoma​@@Mima-cl2im

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 3 месяца назад

      Unacho takiwa ujue ukiwa ccm ata kama umesoma namnagan unatakiwa ujifanye amnazo penye nyeusi unatakiwa useme nyeupe ili kuwafuraisha wakubwa zako na hapo ndo tatzo letu watanzania katiba mpya ni sasa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад

    Wabunge waliokotezwa unategemea nini. Ambacho wangezungumza.

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe768 3 месяца назад

    Mpina ndio mbunge za mzalendo pekee waliyopo bungeni

  • @georgemajalu8823
    @georgemajalu8823 3 месяца назад

    Kwel bongo hupaswi kuwa mtetez wa wanyonge 😢

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 3 месяца назад

    wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki

  • @sashawambura
    @sashawambura 3 месяца назад

    Wakili kanjanja...kweendraa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 месяца назад

    kuna uozo mkubwa, ilitakiwa hao mawaziri wajiuzuru

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 3 месяца назад

    Kweli wabunge wetu hawajielewi haya msukuma mzee tabasamu mliyajua hayo?

  • @AmriManengelo-yz5pp
    @AmriManengelo-yz5pp 3 месяца назад

    Unajua kwenye riporti zote sijasikia sukari ya export au hakuna

  • @ahmedmakame1687
    @ahmedmakame1687 3 месяца назад

    Watu mishipa inawatoka kwa kutetea wala rushwa

  • @ibrahimfassa1075
    @ibrahimfassa1075 3 месяца назад

    Jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa jiwe kuu la pembeni

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 месяца назад

    Wanasheria wa chadema ndo utawajua hapo wanatafuta kazi ili mkono uende kinywani

    • @sophiaamnaay9726
      @sophiaamnaay9726 2 месяца назад

      CHADEMA imetoka wapi hapo!!?.Ni wazi wewe ni mmufaika. Unakera sana huoni wala husikii mateso ya wazi kama hivi kwa Watanganyika. Mtapeleka wapi adhabu hiyo juu yenu? Mungu yunayemtumainia yupo na atatutrtea tu