Wananchi Tunapaswa Kumuunga Mkono Mh.LUHAGA MPINA kwa Kuishinikiza Serikali na BUNGE kuwajibishwa. Ni Aibu kubwa SPIKA Kutetea UFISADI huo....WAJIUZULU tuuuuu.....Wasisubiri ya Kenya yaje hapa, Wawajibike na Kuchukuliwa Hatua Kali...Wizi upo Wazi kabisa
Wakili kama wakili HONGERA sana advocate Basila mosses I always admire your work Naamin utafika mbali sana kwenye proffesion ya uwakili Uchambuz wako upo makin. Straight to the point with factual facts Soon you will be among the best advocate in this nation Keep it up adv
Bunge limewakosea sana wananchi kwa kumwonea aliesema ikweli mbunge mpina yuko sahihi juu ya alolisema mwenye kosa ni mwigulu na bashe ndo walitakiwa kuadhibiwa spika nae haeleweki ccm kwa ujumla hakuna cha maana mnachokijadili hapo ndani uonevu mtupu mungu awalaani nyinyi wote mliomwonea msema kweli
Sasa hawa wabunge wa CCM wao wamepitia sheria zipi kiasi cha kuwaona Hussein Bashe (waziri wa kilimo), Mwigulu Nchemba (waziri wa fedha), Bodi ya Sukari na kampuni zisizostahili kisheria kuingiza sukari kuwa ni wasafi, si mafisadi na si wahujumu uchumi? Hili Bunge limewapa "go ahead" wahujumu uchumi badala ya kuchukua hatua. Bunge limemwadhibu asiye na hatia (Luhaga Mpina) na kuwaacha wenye hatia (Waziri Bashe, Mwigulu Nchemba, Bodi ya Sukari na zile kampuni hewa zilizopewa deal hili). Bunge limewakosea wananchi na halistahili kuwepo!!
Serikali ya awamu ya 5 ilitunga sheria nzuri ya kuthibiti uagizaji holela wa sukari, Sasa tunaona mawaziri wa awamu hii ya 6 wakikusudia kufuta sheria hiyo ili kurejesha ule uholela wa awali,na bunge kushadadia kwa kumsulubu mbunge mpina kwa kutumia kanuni,na kuwalinda wahusika bila kuwaita bodi ya sukari kujieleza bungeni! Utaona jinsi gani serikali ya ccm inavyotofautiana kila awamu, huku mkuu wa nchi akiwa kimya mbali na wateule wake wanaochukua hatua ya kufuta sheria iliyotungwa bungeni na kuidhinishwa na mtangulizi.
Kwanini m mnawatetea haya makapumi ya ndani na Kila mwaka tatizo linajirudia sana hapa mnatetea watanzania au wenyeviwanda 🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi ninamashaka Kuna watu wamekosa percent tu hapa🤣🤣🤣🤣👆
Shéría walítúñga wao leó wanamrúkía mpiña ñí wabúmge awawa walítúñga shería ya kíkokótoóoo leo wanaisema serikali iwaonee uruma wafanyakazi ivi nani alipitisha iyo sheria asa awa wabumge wa ccm
Mh rais hawa mawaziri wanakuhujumu , kuna umuhimu apo kuangalia na kuanza kuchukua mamuzi juu ya kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna watu wapo kwenye mamuzi makubwa na sio wa tanzania chukua hatua haraka mh rais apo watu wameona n upigaji tu hat mpina wamgalagaze wee lakin watanzania tunajua ndo mtetezi wetu , wawajibishe hao wapiga dili hilo halifichiki mna ona sheria hizo kwanini bunge linalotunga sheria tena linasahau sheria zake lenyewe apo dili tu mh timua ote ao wanakuhujum tu
Ndg Msomi Wakili, hata Mimi binafsi ambaye sijui vizuri Sheri, ninakuomba kwa pamoja na WATAALAMU WA SHERIA kutoka TLS, fikeni mahala mkatetea mali za Umma zisichewe kizembe namna hiyo. Inakuwaje Waziri anakubali kuwapa (vibali/ ruhusa) watu au makampuni YASIYO kidhi vigezo kufanya kazi wasiyo na uwezo/ utaalamu nayo. ( Kwa mfano, kampuni ya kuuza simu, kampuni inayoshughulika na stationery, na bila kuwa nautaalsmu wa bidhaa ya Sukari. Sawa tukubali Mpina amezuiwa bungeni, lakini raia anaowatetea hatujaridhika. WANASHERIA TUSIDIENI UPUUZI HUU UFIKE MWISHO.
Bashe angekua muungwana ange jiuzuru tu, asilichafue bunge na Serikali. Sasa hivi tumeona madhaifu ya spika kwa sababu ya Bashe. Bashe ana wasemea wananchi.
Ajiuzuru sasa na achukuliwe hatua kali na mwisho wa uhujumu uchumi na kulindana. Wananchi si vilaza kama mnavyowadarau. Na mmesahau ndo wao wanaowalipa mishahara yenu. Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi. Mmefanya ubinafsi.
SISI TUKO TAYALI KUENDESHA HARAMBEE ILI KUMWEZESHA MPINA GHALAMA ZA MAHAKAMA. Wazarendo tusiige yaKENYA BALI TZ TUNA UTAMADUNI WA VIKAO AU SHERIA SIO MAANDAMANO
Badala ya kumfukuza Mpina bungeni wabunge walitakiwa wamshauri Rais awafukuze kazi mawaziri Bashe na Mwigulu na waziri wa viwanda na biashara na yule wa uwekezaji kisha washitakiwe kwa kutumia mamlaka na ofisi vibaya.
Inaonyesha kuwa Kuna rushwa kubwa,iliotumika kusajili hizo kampuni zisizokuwa na vigezo na sema watu waliohusika na Hilo ni watu maarufu hivyo kuishia kumtoa kafara mpina ili kuzima hilo
Ange kuwa mskini wauku mtaani angesha kamtwa aliye choma picha tuu kakamatwa lakini majambazi awa mbona mnawaacha 😢tunateseka wengine wanafurahi ila Mungu yupo ipo siku
Ee mungu uko wapi juu ya watu hawa bwana shughulika na watbuge hawa wa mchongo wa mwendazake baba mungu muumba wa nchi utawalae dunia na mbinguni tusaidie juu ya watu hawa sisi wananchi hatuna bunduki Wala mabomu ila tunakutegemea wewe ulie tuumba na tuanaee kuabudu tusaidie juu ya watu hawa na chama Cha ccm na serekali yake baba tuokoee na watu hawa hatuna nguvu ya kumbambana na watu hawa imungu wetu tusaidie kama ulivyowakomboa Wana wa isiraeli mungu kama ulivyo mpiga opofu ffarao na watu wake juu ya waisiraeli nakuomba mungu ipige ccm na serekali na mfalme wao yaani raisi na mwenyekiti wao mungu awaondolee utawala wao ktk nchi na arizo ya Tanganyika ee mungu tusaidie mungu umwema na siku zote umwema amina
Mwana sharia nduguyang mtanga mwezagu watu watakucheka mimi pia na mwana sheria umesoma vizuri. Sharia au ni mganga wa kieyeji unataka kutia aibu taluma ya. Wanadheria
Huyu spika wa genge baladhuli huyu hamjamjua rangi yake sawasawa, lait kama upinzani ungekuemo bungeni kama mwanzo ndo mngemjua mapemaaa! Yaan Anne Makinda alifaa sana. Huyu mama ana ndimi mbili kama nyoka. "Ndo imenyesha mmejua wapi panavuja, kabla hata ya msimu mwingine wa mvua" mmmmmh
Kama Kwa maelezo hayo ya mwanasheria ni kweli 1. Bashe Hana uhalali wa kuwa waziri, kiti hakimtoshi. 2. Bunge linauonevu mkubwa Sana Kwa wabunge wake 3, Kumbe ukweli ukiwekwa wazi wahusika wanaingia matatani 4. Hakuna haki kwa wangonge. 5. Inaondoa bunge kutoaminiwa na wananchi n Adhabu ya kutooa mbunge bungeni Kwa muda mrefu kinanyima haki ya wananchi Kwa mwakilishi wao
Wanasheria wafungue kesi mahakamani dhidi ya Bashe, Mwigulu, na wengineo watakaoona wanastahili kushtakiwa kwenye jambo hili la wizi na uhujumu uchumi ili liwe fundisho watu wasiwe wanatengeneza matatizo na baadae kuyatatua kwa kujilimbikizia mali wao wenyewe na pia ilinde heshima ya MTU anayetetea taifa ambaye kwa suala hili ni Luhaga Mpina.
Kwani wanashelia wa ccm na selikali ni wazoefu wa kushinwa kesi za wazungu mbona kila kesi wao ni kushindwa awajawai kupata atadroo au suruu unawasemaje
Mimi huwa sielewi wabunge maana mara wanasema nchi kama Malawi,kenya,Rwanda bei Ya sukari ni ndogo hafu hapo hapo wanasifu sukari ya bashe ya sh. Elfu nne yaani hapo ni uzwazwa wa wabunge
Lkn kubwa zaidi ni kwamba watu wa Sukari walificha bidhaa hiyo na hapo tayari kulikuwa na haja ya kuhangaika kuagiza Sukari. Na hata walipopewa vibali hawakuingiza, hivyo ilikuwa ni halali kuagiza Sukari.
Wanasheria wote njooni na uchambuzi , wa kisheria. Tukuimwacha Mpina agandamizwe sio sawa. Wekeni mambo hadharani. Mwanasheria hapa nchini sio spiker peke yake
Tangu jana nikasema wabunge wengi wapowapotuu bashe amefanya haya kwa ajili ya manufaa ya wachache akiwemo yy mwenyewe bei ya sukari kufika ilipo ni mpango wake bashe, mpina awawashia wabunge wenzake waone mbele lakin hawana macho ya kuona wanabaki kumlaumu
Nimekusikiliza vizuri wakili, ombi langu ikiwa maamuzi yameonuesha double standard kipi kifanyike kwa nyie wanasheria kumsaidia Mpina na jaamii kwa ujumla?
Hatamsemaje wenye mamlaka ya nchi hii wameshaamua kumpiga pini ya vikao 15 asikanyage bungeni wala kujihusisha na shugri yoyote yakibunge baada ya kumaliza kifungo cha vikao 15 ataruhusiwa kurudi bungeni
Kuna haja gani kuwepo bungeni kama huna la kutetea watu bali kuingiza siku kwa ajili ya tumbo lako tu. Wacha waendelee kwenye vikao vyao visivyo na faida kwetu. Lkn siku yaja watawala wale matanishi yao
Unacho takiwa ujue ukiwa ccm ata kama umesoma namnagan unatakiwa ujifanye amnazo penye nyeusi unatakiwa useme nyeupe ili kuwafuraisha wakubwa zako na hapo ndo tatzo letu watanzania katiba mpya ni sasa
CHADEMA imetoka wapi hapo!!?.Ni wazi wewe ni mmufaika. Unakera sana huoni wala husikii mateso ya wazi kama hivi kwa Watanganyika. Mtapeleka wapi adhabu hiyo juu yenu? Mungu yunayemtumainia yupo na atatutrtea tu
Wananchi Tunapaswa Kumuunga Mkono Mh.LUHAGA MPINA kwa Kuishinikiza Serikali na BUNGE kuwajibishwa. Ni Aibu kubwa SPIKA Kutetea UFISADI huo....WAJIUZULU tuuuuu.....Wasisubiri ya Kenya yaje hapa, Wawajibike na Kuchukuliwa Hatua Kali...Wizi upo Wazi kabisa
Nenda mahakamani huku kwenye mitandao huwezipata ufumbuzi
Kabisa
Wakili kama wakili HONGERA sana advocate Basila mosses
I always admire your work
Naamin utafika mbali sana kwenye proffesion ya uwakili
Uchambuz wako upo makin. Straight to the point with factual facts
Soon you will be among the best advocate in this nation
Keep it up adv
Bunge limewakosea sana wananchi kwa kumwonea aliesema ikweli mbunge mpina yuko sahihi juu ya alolisema mwenye kosa ni mwigulu na bashe ndo walitakiwa kuadhibiwa spika nae haeleweki ccm kwa ujumla hakuna cha maana mnachokijadili hapo ndani uonevu mtupu mungu awalaani nyinyi wote mliomwonea msema kweli
Inabidi wananchi tujitambue ktk haya madudu ya baadhi ya viongoz wadhirifu tuwakatae natuwanyanyapae kbsaa tuwatenge kabisaa rip john joseph magufur
Kwa uonevu huu kwa Mpina ipo siku tutaingia barabarani kudai haki zetu kama wakenya
Sasa hawa wabunge wa CCM wao wamepitia sheria zipi kiasi cha kuwaona Hussein Bashe (waziri wa kilimo), Mwigulu Nchemba (waziri wa fedha), Bodi ya Sukari na kampuni zisizostahili kisheria kuingiza sukari kuwa ni wasafi, si mafisadi na si wahujumu uchumi? Hili Bunge limewapa "go ahead" wahujumu uchumi badala ya kuchukua hatua. Bunge limemwadhibu asiye na hatia (Luhaga Mpina) na kuwaacha wenye hatia (Waziri Bashe, Mwigulu Nchemba, Bodi ya Sukari na zile kampuni hewa zilizopewa deal hili). Bunge limewakosea wananchi na halistahili kuwepo!!
wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki
Kwa lile bunge MPINA ndo mbunge mtetezi wa wanyonge kwa 99%
Kina umuhimu wa kulipeleka mbali suala hili . WANASHERIA
UNGANENI, Fungua kesi , aibu kubwa kwa bunge hili.
Wanasheria. Wakuu wa dini, teteeni ukweli wa sheria, kabla mambo hayajafika mbali.
Serikali ya awamu ya 5 ilitunga sheria nzuri ya kuthibiti uagizaji holela wa sukari, Sasa tunaona mawaziri wa awamu hii ya 6 wakikusudia kufuta sheria hiyo ili kurejesha ule uholela wa awali,na bunge kushadadia kwa kumsulubu mbunge mpina kwa kutumia kanuni,na kuwalinda wahusika bila kuwaita bodi ya sukari kujieleza bungeni! Utaona jinsi gani serikali ya ccm inavyotofautiana kila awamu, huku mkuu wa nchi akiwa kimya mbali na wateule wake wanaochukua hatua ya kufuta sheria iliyotungwa bungeni na kuidhinishwa na mtangulizi.
Kwatanzania kumkosoa mteule Wa raisi atakama amekosea nikosa
Kwanini m mnawatetea haya makapumi ya ndani na Kila mwaka tatizo linajirudia sana hapa mnatetea watanzania au wenyeviwanda 🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi ninamashaka Kuna watu wamekosa percent tu hapa🤣🤣🤣🤣👆
Mpina si uanzishe chama.
Shéría walítúñga wao leó wanamrúkía mpiña ñí wabúmge awawa walítúñga shería ya kíkokótoóoo leo wanaisema serikali iwaonee uruma wafanyakazi ivi nani alipitisha iyo sheria asa awa wabumge wa ccm
Ipo siku tumechoka hilo bunge nilakupiga moto
Mh rais hawa mawaziri wanakuhujumu , kuna umuhimu apo kuangalia na kuanza kuchukua mamuzi juu ya kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna watu wapo kwenye mamuzi makubwa na sio wa tanzania chukua hatua haraka mh rais apo watu wameona n upigaji tu hat mpina wamgalagaze wee lakin watanzania tunajua ndo mtetezi wetu , wawajibishe hao wapiga dili hilo halifichiki mna ona sheria hizo kwanini bunge linalotunga sheria tena linasahau sheria zake lenyewe apo dili tu mh timua ote ao wanakuhujum tu
wanamkusanyia pesa ndio maana yuko kimya
Muda utaongea tu!!sisi so wajinga kwa sasa!!
Kaka hapo hakuna kamati hicho nikikundi cha wezi wamekaa kumlinda mwizi mwenzao
Mpina Luhaga ni shujaa wa Tanganyika iko siku anayoijua Mungu historia itajirudia katika hili.bravo Mh.Mpina aluta continua viva Tanganyika
Mpina sasa namshauri asimame nje ya mifumo ya ccm ili aweze kufuguka vizuri na wananchi waweze kumwelewa zaidi.
Nchi hii watu wamesoma sasa ,hii hoja ya Mpina ngojeni muone kama waziri na spika watabaki salama.
Waongo wameungana kumuadhibu mkweli
Hatuna bunge
Kuna wabunge wengine kama msukuma walishajisahau sana na Spika anadhani ana akili kuliko wanawake wote, huyo spika bora Ndugai
Kana dharau na kiburi ata mbowe aliwai kusema hivyo
Ktk hilo sakat la mpina msukuma alkuwa analipa kisasi...
Mheshimiwa sugu uchaguzi ujao tuondoleehuyomama hapo mbeya
Hana ubavu huo hata kidogo
@@walidmgonja3644vuta subra labda aambe jimbo
AMINI MSIAMINI BASHE KATUPIGA
Tena Katupiga Sana Bilion 538 Ni Pesa Ndefu Kuliko EPA au Tegeta Escrow Account
Mpeleke mahakamani
@@walidmgonja3644 Wewe Kuma umetumwa nn Kuma la mama yako unamtomba nn au ndo baba zako
@@walidmgonja3644mbona ndiyo mpango mzima
Mpina aliyajua yatakayotokea ndio maana akaitoa pabric so swali langu kwako mwanasheria kama ivi ndivo unaonaje tufungue kesi ktk maakama ya mafisad
Safi sana wakili wewe na Mpina ni wazalendo wa Tanganyika ongeleni kwa kulipambania Taifa letu
wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki
Ndg Msomi Wakili, hata Mimi binafsi ambaye sijui vizuri Sheri, ninakuomba kwa pamoja na WATAALAMU WA SHERIA kutoka TLS, fikeni mahala mkatetea mali za Umma zisichewe kizembe namna hiyo. Inakuwaje Waziri anakubali kuwapa (vibali/ ruhusa) watu au makampuni YASIYO kidhi vigezo kufanya kazi wasiyo na uwezo/ utaalamu nayo. ( Kwa mfano, kampuni ya kuuza simu, kampuni inayoshughulika na stationery, na bila kuwa nautaalsmu wa bidhaa ya Sukari. Sawa tukubali Mpina amezuiwa bungeni, lakini raia anaowatetea hatujaridhika. WANASHERIA TUSIDIENI UPUUZI HUU UFIKE MWISHO.
Bashe angekua muungwana ange jiuzuru tu, asilichafue bunge na Serikali. Sasa hivi tumeona madhaifu ya spika kwa sababu ya Bashe. Bashe ana wasemea wananchi.
Anko sisi tuko nje haya mambo ya ndani vina mbwembwe zake
Ajiuzuru sasa na achukuliwe hatua kali na mwisho wa uhujumu uchumi na kulindana.
Wananchi si vilaza kama mnavyowadarau. Na mmesahau ndo wao wanaowalipa mishahara yenu. Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu kwa manufaa binafsi. Mmefanya ubinafsi.
Yani hili bunge nimelichukia sana hata kulisikia wala kulitazama wasilirushe laivu iwe kama Magufuli alisema
MwenyeEnziMunguMlezi AtuSimamie katika mambo mbalimbali ikiwemo Bima ya Afya.
SISI TUKO TAYALI KUENDESHA HARAMBEE ILI KUMWEZESHA MPINA GHALAMA ZA MAHAKAMA. Wazarendo tusiige yaKENYA BALI TZ TUNA UTAMADUNI WA VIKAO AU SHERIA SIO MAANDAMANO
UBaarikiwe sana Wakili Mzalendo.
Tunataka katiba mpya ili watanzania waweze kusimama bila ya kute gemem chama. CCM kimekuwa ni chama cha kiditeta.
Badala ya kumfukuza Mpina bungeni wabunge walitakiwa wamshauri Rais awafukuze kazi mawaziri Bashe na Mwigulu na waziri wa viwanda na biashara na yule wa uwekezaji kisha washitakiwe kwa kutumia mamlaka na ofisi vibaya.
Inaonyesha kuwa Kuna rushwa kubwa,iliotumika kusajili hizo kampuni zisizokuwa na vigezo na sema watu waliohusika na Hilo ni watu maarufu hivyo kuishia kumtoa kafara mpina ili kuzima hilo
Ange kuwa mskini wauku mtaani angesha kamtwa aliye choma picha tuu kakamatwa lakini majambazi awa mbona mnawaacha 😢tunateseka wengine wanafurahi ila Mungu yupo ipo siku
Wabunge wa mchongo wamtimua mnoko wao msema kweli hii ndo bongo ya shamba la bibi
Thank you brother, Lunga mpina was correct so to speak.
Duuu wabonge noma hamna kazi nyie huyu Wakili ni mzigo anatafuta kik hakuna jipya tafuteni kazi
Kinachoniskitisha mbona hamkuingilia kabla ajapewa adhabu?
Ee mungu uko wapi juu ya watu hawa bwana shughulika na watbuge hawa wa mchongo wa mwendazake baba mungu muumba wa nchi utawalae dunia na mbinguni tusaidie juu ya watu hawa sisi wananchi hatuna bunduki Wala mabomu ila tunakutegemea wewe ulie tuumba na tuanaee kuabudu tusaidie juu ya watu hawa na chama Cha ccm na serekali yake baba tuokoee na watu hawa hatuna nguvu ya kumbambana na watu hawa imungu wetu tusaidie kama ulivyowakomboa Wana wa isiraeli mungu kama ulivyo mpiga opofu ffarao na watu wake juu ya waisiraeli nakuomba mungu ipige ccm na serekali na mfalme wao yaani raisi na mwenyekiti wao mungu awaondolee utawala wao ktk nchi na arizo ya Tanganyika ee mungu tusaidie mungu umwema na siku zote umwema amina
Ukweli unajenga nchi tuache janjsjanja wabunge vilaza machawa
Mpina aende mahakamani awashitaki wahusika kwa majina yao akiwemo Spika.
Wanasheria waamshen watanzania, tunaangamia kwa kosa maarifa
Kampun inatoka Zanzibar tena ya mchongo Duuh
Kumbe na wewe uko kutetea ufisadi, RIP JPM
ZIMA HIZO KELELE KATIKA BACKGROUND
wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki
Heeee kumbe duuu kazi kweli kweli Tz.
Kumbukeni maneno ya kinabii ya mh Lema, lakini pia kikundi Cha bunge na spika wao kujiamlia maamzi yasiyo na macho laana itawafuata
Nabii Lema😅😅😅
Sheria ya mtu kuwa mbunge iwe hivi, iwe ni lazima kila mbunge awe na diploma au phd
hio ndio maana halisi ya kazi iendelee .
Viva mh.Mpina, wewe ni mzalendo sana.
Amina Mdee waliamua kuwaachia wenye ngoma yao waicheze wenyewe
Mungu anawaona.
Spika anastahili kujiuzulu na Msukuma pamoja na Kibajaji walitakiwa wasikanyage bungeni vikao 20.
Mwana sharia nduguyang mtanga mwezagu watu watakucheka mimi pia na mwana sheria umesoma vizuri. Sharia au ni mganga wa kieyeji unataka kutia aibu taluma ya. Wanadheria
Kwa maelezo haya..waziri wa Kilimo anapaswa kujiuzulu mara moja kulinda hadhi ya bunge..lakini pia achukuliwe hatua
Nyuma yaBashe kuna maafisadi wengiwakieemo wafanyabiashara nahataserikali nawanasiasa wanakisingizio chaetikumudharau spika huku nje wananchi tunaishangaa serikali kushambulianakudhalilisha viongoziwawananchi kwakuwa wabunge niwawakilishi wawananchi.
Huyu spika wa genge baladhuli huyu hamjamjua rangi yake sawasawa, lait kama upinzani ungekuemo bungeni kama mwanzo ndo mngemjua mapemaaa! Yaan Anne Makinda alifaa sana. Huyu mama ana ndimi mbili kama nyoka. "Ndo imenyesha mmejua wapi panavuja, kabla hata ya msimu mwingine wa mvua" mmmmmh
Nawewe imelipwa ngapi?
Bunge / bashe/ mwigulu,, wapelekwe mahakama ya ICC,, Nchi inachezewa kama Haina wenyewe,,
Kama Kwa maelezo hayo ya mwanasheria ni kweli
1. Bashe Hana uhalali wa kuwa waziri, kiti hakimtoshi.
2. Bunge linauonevu mkubwa Sana Kwa wabunge wake
3, Kumbe ukweli ukiwekwa wazi wahusika wanaingia matatani
4. Hakuna haki kwa wangonge.
5. Inaondoa bunge kutoaminiwa na wananchi n
Adhabu ya kutooa mbunge bungeni Kwa muda mrefu kinanyima haki ya wananchi Kwa mwakilishi wao
Wanasheria wafungue kesi mahakamani dhidi ya Bashe, Mwigulu, na wengineo watakaoona wanastahili kushtakiwa kwenye jambo hili la wizi na uhujumu uchumi ili liwe fundisho watu wasiwe wanatengeneza matatizo na baadae kuyatatua kwa kujilimbikizia mali wao wenyewe na pia ilinde heshima ya MTU anayetetea taifa ambaye kwa suala hili ni Luhaga Mpina.
Ukombozi wetu wananchi ni kugoma kujiandisha kupiga kura , na mda wao wa kututawala ukiisha wananchi wataamua
Mpina yupo sahihi,ila inaonekana hilodili lilikua na viongozi wakubwa hapa nchini ndiomaana alie na khaki kajikuta anatuhuma ya kujibu
Kwani wanashelia wa ccm na selikali ni wazoefu wa kushinwa kesi za wazungu mbona kila kesi wao ni kushindwa awajawai kupata atadroo au suruu unawasemaje
Mimi huwa sielewi wabunge maana mara wanasema nchi kama Malawi,kenya,Rwanda bei Ya sukari ni ndogo hafu hapo hapo wanasifu sukari ya bashe ya sh. Elfu nne yaani hapo ni uzwazwa wa wabunge
Lema, futa kauli yako CCM mkitumaliza bungeni mtatafunana wenyewe.bila kufuta kauli yako Lema bunge la CCM linaenda kuzama.
Lizame mara mbili?
Halima Mdee, Ester Matiko na Bulaya, wabobezi mbona hawakuchangia katika sakata hili?
WANASHERIA WA NCHI HII NAWAOMBA MCHUKUE HATUA YA DHARULA KUMLINDA MH;LUHAGA MPINA
Lkn kubwa zaidi ni kwamba watu wa Sukari walificha bidhaa hiyo na hapo tayari kulikuwa na haja ya kuhangaika kuagiza Sukari.
Na hata walipopewa vibali hawakuingiza, hivyo ilikuwa ni halali kuagiza Sukari.
Ukiwa mkweli unatengwa hata nakwenye Vikundi mbalimbali utaitwa Majina ya ajabu
Wanasheria wote njooni na uchambuzi , wa kisheria. Tukuimwacha Mpina agandamizwe sio sawa. Wekeni mambo hadharani. Mwanasheria hapa nchini sio spiker peke yake
Tangu jana nikasema wabunge wengi wapowapotuu bashe amefanya haya kwa ajili ya manufaa ya wachache akiwemo yy mwenyewe bei ya sukari kufika ilipo ni mpango wake bashe, mpina awawashia wabunge wenzake waone mbele lakin hawana macho ya kuona wanabaki kumlaumu
Umeitendea haki taaluma yako lakini pia wananchi kwa ujumla wetu!!
Ccm chama changu wanajilinda ila ss wtz ndio wajinga wanajifanya chadema wanalindana ila mpina na ndugai ,tumewaelelewa mungu awalinde,
Nimekusikiliza vizuri wakili, ombi langu ikiwa maamuzi yameonuesha double standard kipi kifanyike kwa nyie wanasheria kumsaidia Mpina na jaamii kwa ujumla?
Japo kukawa na kosa la kutokuwachukulia hatua yoyote hata kuandika tu japo maelezo Polisi na kujikomiti kuwa hawataridia kuadimisha Sukari tena
😂😂😂 sasa sukari kilo elfu 10 kuvunja Sheri ikauzwa eflu 3 acheni kutete majambazi Bashee oyoo
Mpina yupo sahihi sana sema serikar ya tz hawapend kuambiwa ukwel
Sukari kupand bei 5000 mpaka elf 6000 hakuna alitutetea
Hatamsemaje wenye mamlaka ya nchi hii wameshaamua kumpiga pini ya vikao 15 asikanyage bungeni wala kujihusisha na shugri yoyote yakibunge baada ya kumaliza kifungo cha vikao 15 ataruhusiwa kurudi bungeni
Kuna haja gani kuwepo bungeni kama huna la kutetea watu bali kuingiza siku kwa ajili ya tumbo lako tu. Wacha waendelee kwenye vikao vyao visivyo na faida kwetu. Lkn siku yaja watawala wale matanishi yao
Spika na waziri wa kilimo wajihuzuru wamepeleka kuongoza wizara hizo
Asa mbona huyo spika ni mwanasheria, mbona asisimamie Sheria inavyotaka, kwa maoni yangu hafai kuwa spika
Yupo kushiba
Haku soma hata ushahidi wa Mpina. Hii imewauma sana watanzania
Aliyosoma@@Mima-cl2im
Unacho takiwa ujue ukiwa ccm ata kama umesoma namnagan unatakiwa ujifanye amnazo penye nyeusi unatakiwa useme nyeupe ili kuwafuraisha wakubwa zako na hapo ndo tatzo letu watanzania katiba mpya ni sasa
Wabunge waliokotezwa unategemea nini. Ambacho wangezungumza.
Mpina ndio mbunge za mzalendo pekee waliyopo bungeni
Kwel bongo hupaswi kuwa mtetez wa wanyonge 😢
wanasheria wachukue hatua kuchambua sakata hil mwenye kuwajibika awajibike kwa haki
Wakili kanjanja...kweendraa
Ww nawe mgonjwa waakili
kuna uozo mkubwa, ilitakiwa hao mawaziri wajiuzuru
Kweli wabunge wetu hawajielewi haya msukuma mzee tabasamu mliyajua hayo?
Unajua kwenye riporti zote sijasikia sukari ya export au hakuna
Watu mishipa inawatoka kwa kutetea wala rushwa
Jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa jiwe kuu la pembeni
Wanasheria wa chadema ndo utawajua hapo wanatafuta kazi ili mkono uende kinywani
CHADEMA imetoka wapi hapo!!?.Ni wazi wewe ni mmufaika. Unakera sana huoni wala husikii mateso ya wazi kama hivi kwa Watanganyika. Mtapeleka wapi adhabu hiyo juu yenu? Mungu yunayemtumainia yupo na atatutrtea tu