A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #ijuesheria #TLSAGM2024
    Video kwa hisani ya Jambo TV

Комментарии • 110

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 3 месяца назад +11

    Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone

  • @alfredsotoka2852
    @alfredsotoka2852 2 месяца назад +2

    Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 3 месяца назад +11

    Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 3 месяца назад +7

    Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 2 месяца назад +1

    Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.

  • @NjekuthKoika-kp4sz
    @NjekuthKoika-kp4sz 2 месяца назад

    Mungu siku sote anasimama penye haki hongera Sana mwabukusi leo.
    Ni Mwabukusi Day
    Simba Day ❤❤❤❤❤

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 3 месяца назад +5

    Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.

  • @nestor384
    @nestor384 3 месяца назад +3

    Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
    Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 2 месяца назад +1

    Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +2

    Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.

  • @JammalMuhammad
    @JammalMuhammad 2 месяца назад

    Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 месяца назад +2

    Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉

  • @thagondale9041
    @thagondale9041 2 месяца назад

    I stand with you learned counsel

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +3

    Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 2 месяца назад +2

    Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu

  • @jovinbikongoro3469
    @jovinbikongoro3469 3 месяца назад +3

    Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 2 месяца назад

    unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 3 месяца назад +1

    Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 3 месяца назад +2

    Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 3 месяца назад +1

    We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 3 месяца назад +3

    Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 3 месяца назад +1

    Mwabukusi🔥

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 месяца назад +1

    Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!

  • @NSAMBELAGEORGE
    @NSAMBELAGEORGE 3 месяца назад +3

    Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +2

    Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 2 месяца назад

    Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 2 месяца назад

    Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 2 месяца назад

    Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 месяца назад +1

    Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 3 месяца назад +3

    wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono

  • @BritonNdishi-j7g
    @BritonNdishi-j7g 3 месяца назад +1

    Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 2 месяца назад

    Hongera sana wakili ❤

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад +2

    Hawa ndo watetea haki?

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 2 месяца назад +1

    Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 3 месяца назад +3

    Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia

  • @BoayHotay
    @BoayHotay 3 месяца назад +2

    Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 месяца назад +1

    Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 3 месяца назад +1

    Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 месяца назад +2

    This is double standard we won't vote

  • @NSAMBELAGEORGE
    @NSAMBELAGEORGE 3 месяца назад +3

    Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 3 месяца назад +1

    Yap💪💪💪💪💪

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 месяца назад +1

    Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!

  • @MethodkasyupaMwifyusi
    @MethodkasyupaMwifyusi 2 месяца назад +1

    Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 2 месяца назад

      Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢

  • @HenryShaury
    @HenryShaury 2 месяца назад +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 месяца назад +2

    Hili hatukubaliani nalo

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 2 месяца назад +1

    Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu

  • @D.P.O
    @D.P.O 2 месяца назад

    Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.

  • @Winfridankalupia-t8d
    @Winfridankalupia-t8d 3 месяца назад +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад

    Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +2

    Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.

  • @OscarKasalile-u4k
    @OscarKasalile-u4k 3 месяца назад +1

    Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад

    Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya

  • @freddymdassa
    @freddymdassa 2 месяца назад

    Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura.
    Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.

  • @SabatoMazani
    @SabatoMazani 3 месяца назад +2

    Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala

  • @stevensteven4513
    @stevensteven4513 2 месяца назад

    Lile Jiwe Walilo likataa waashi Ndo Limekuwa Jiwe Bora ❤❤❤❤

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 3 месяца назад +1

    Naomben mamba yake aise

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 2 месяца назад

    Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana

  • @BritonNdishi-j7g
    @BritonNdishi-j7g 3 месяца назад

    Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza

  • @manethmwiyanja7654
    @manethmwiyanja7654 2 месяца назад

    Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.

  • @AkidaDaudi
    @AkidaDaudi 2 месяца назад

    Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?

  • @EphraimMwasonya-s1w
    @EphraimMwasonya-s1w 2 месяца назад

    Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 месяца назад +1

    Mwamba tunakuhitaji mno

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 месяца назад

    👊👍✌️

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 3 месяца назад +1

    machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 2 месяца назад

    Corruption to our country only God will prevail

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 2 месяца назад

    Mwabukusi nijembe sana

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 месяца назад

    Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад

    Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 месяца назад +1

    TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !

  • @D.P.O
    @D.P.O 2 месяца назад

    Akinyea pilau😂😂😂

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 2 месяца назад

    TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 месяца назад

    Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 2 месяца назад

    Hatutapiga kura wakati ukifika

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p 2 месяца назад

    Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika

  • @FedrickNgonyani
    @FedrickNgonyani 2 месяца назад

    Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 2 месяца назад

    Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa

    • @menyemusic
      @menyemusic 2 месяца назад

      Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 месяца назад

    Siasa ni m b aya

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 2 месяца назад

    Myaki tulipamopene

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 2 месяца назад +1

    Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p 2 месяца назад

    Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 2 месяца назад

    Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?

  • @iddyahmad-v6w
    @iddyahmad-v6w 3 месяца назад +2

    Mbona unajikamua sanaaaa?
    Angalia usijetokwa na haja kubwa

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 2 месяца назад

    Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 месяца назад

    Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 3 месяца назад

    Niko nyuma yako mkuu

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 месяца назад

    Ww unacheza na serikali. Wala bado.

  • @iddyahmad-v6w
    @iddyahmad-v6w 3 месяца назад +1

    Palipobaki tafuta ngurue ufuge .

  • @iddyahmad-v6w
    @iddyahmad-v6w 3 месяца назад

    Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS.
    Huna sifa zakuongoza ndugu

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад +1

      Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja

    • @cyprianonesmo1832
      @cyprianonesmo1832 3 месяца назад +1

      Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! ​@@Kwelihukuwekahuru

    • @OscarKasalile-u4k
      @OscarKasalile-u4k 3 месяца назад +1

      wewe jizi kubwa katika Taifa letu.

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад +2

      Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla

    • @Lundege_Hips
      @Lundege_Hips 3 месяца назад +1

      Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana