TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 271

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 6 месяцев назад +11

    Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja

    • @robbymzee3423
      @robbymzee3423 4 месяца назад

      Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili 6 месяцев назад +18

    hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 6 месяцев назад +8

    Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 6 месяцев назад +13

    Asate mkuu
    Nakuelewa sana pamoja sana

  • @justice607
    @justice607 6 месяцев назад +26

    Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 6 месяцев назад

      ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja

    • @SilivanusMahinja
      @SilivanusMahinja 3 месяца назад

      😅 no.😂😢😮😅😊​@@kaaakwakutuliaa5179?

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l 6 месяцев назад +6

    Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko759 6 месяцев назад +5

    Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.

  • @dominiclyamchai9561
    @dominiclyamchai9561 6 месяцев назад +13

    Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.

  • @user-rr1ds9jm1q
    @user-rr1ds9jm1q 6 месяцев назад +11

    Safi sana ongea ukweli

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 12 дней назад

    mhe mwabukusi semaaaa. na mungu akutie nguvu kwani sisi wananchi tunakusikia vizuri na kuwafutilieni kwa karibu watu wa mungu. mnarikiwe sana kwakulipigania taifa.

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 6 месяцев назад +5

    Asante Sana mwabukusi mungu akubariki

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 6 месяцев назад +8

    Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 6 месяцев назад +13

    Uyo ndo mwambukusi msomi makini

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 6 месяцев назад +2

    Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 6 месяцев назад +4

    Amen and this is true. We need seriously Reform

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 6 месяцев назад +3

    Mungu akupe maisha marefu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 6 месяцев назад +3

    Asante MUNGU akubariki mwabukusi

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 6 месяцев назад +5

    Akili kubwa sana

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 10 дней назад

    Mungu akulinde hazina ya taifa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 19 дней назад

    Nyerere alikuwa na nia nzuri sanaa kuhusu Muungano.Lakini kwa ss Tunaitaka Tanganyika.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 6 месяцев назад +3

    Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 12 дней назад

    anmina mhe mwabukusi hakika mungu anakutumia na azidi kukutumia.

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q 5 месяцев назад +1

    Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 6 месяцев назад +9

    Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao

  • @user-sj9ob8vb3s
    @user-sj9ob8vb3s 10 дней назад

    hongera mkuu

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 6 месяцев назад +9

    MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI

  • @giztony2009
    @giztony2009 6 месяцев назад +3

    Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 6 месяцев назад +7

    Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂

  • @StephenLetta
    @StephenLetta 5 месяцев назад +2

    Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka

  • @samhadas788
    @samhadas788 6 месяцев назад +2

    Asante Kaka ❤❤

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 6 месяцев назад +5

    Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 5 месяцев назад +1

    uko sawa bro yaani sawaa kabisa

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 5 месяцев назад +1

    Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo 12 дней назад

    tozo zinatuua wananchi wakitanzania. nauli na na vitu vingine vingi ikiwemo hali ya maisha kufanywa ngumu kuliko uwezo wetu walala hoi hakika tanzania inasikitisha sana. imekua niyawatu fulani tu. sio ya watanzania wote. ni ajabu sana.

  • @user-ky3eu3zt8o
    @user-ky3eu3zt8o 5 месяцев назад +1

    Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 19 часов назад

    God 🙏🙏

  • @athuman7480
    @athuman7480 6 месяцев назад +4

    Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 19 дней назад

    Siyo Chadema tu.Hata AcT wapo vizuri

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 Месяц назад

    Hakika kila magumu yana mlango wa kutokea, Kaka mwabukusi tunakuombea Afya njema utuongoze ktk kulikomboa Taifa hili. UKWELI ni kwamba tusipotambua Siasa ni maisha tukaachia watu wachache viongoz mithili ya NAPE watatuchezea sana na nchi hii haitakaa iweke mifumo Bora ya utawala wa sheria sambamba na kuinua uchumi wetu kama nchi.

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 6 месяцев назад +3

    MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 5 месяцев назад

    Mungu akulinde bila mungu huwezi

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 5 месяцев назад +1

    Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 5 месяцев назад

    Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu

  • @amanicarloschissanga4811
    @amanicarloschissanga4811 6 месяцев назад +3

    Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 6 месяцев назад +1

    Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote

  • @StelaKeya
    @StelaKeya 26 дней назад

    Ubarikiwe sana baba wanainchi wote tukiwa ivi kwakujitambua ivi itakuwa kama Kenya na Haki itapatikan

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 6 месяцев назад +8

    UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 6 месяцев назад +1

    Uko sawa kaka

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 Месяц назад

    President

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 5 месяцев назад

    Iam from kenya i like on how u express ur self

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 2 месяца назад +1

    CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa
    Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 2 месяца назад

    Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i 6 месяцев назад +1

    Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 19 часов назад

    Real

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 5 месяцев назад

    Uko sawa mkuu.❤

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 10 дней назад

    ❤❤

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula8424 6 месяцев назад +2

    Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.

  • @herielimushi
    @herielimushi 6 месяцев назад +1

    Kweli kaka yangu

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 5 месяцев назад +1

    Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 5 месяцев назад +2

    Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 5 месяцев назад +1

    Mwamba nakukubali sana

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 6 месяцев назад +2

    Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 23 дня назад

    This is the cry for justice, ukweli hupanda mlima

  • @erickmbilinyi2802
    @erickmbilinyi2802 9 дней назад

    Jamani watanzania ushauri wangu huyu mwambukusi ndo WATU wanaohutajika TZ ili Kila mtanzani afaidi raslimali za TZ wasomi mpo? Huu Sasa ndo wakati wenu, ombi langu tupunguze lugha ngumu kwenye mikutano yetu ili busara Kila mtu aipate chadema,Pamoja sana mwanawane

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 19 часов назад

    Do something my father

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 месяцев назад +2

    👊✌️✊

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 5 месяцев назад

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q 3 месяца назад

    Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 6 месяцев назад +3

    Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm

  • @user-kp4zp1lr4u
    @user-kp4zp1lr4u 5 месяцев назад

    Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 6 месяцев назад +5

    WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI

  • @jaziyujumarajabu8097
    @jaziyujumarajabu8097 12 дней назад

    Hayo mnayasema kabla hamjavurugana...!

  • @user-rc2np6sk8q
    @user-rc2np6sk8q 3 часа назад

    Uyu jamaa daaah mpka uchungu

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 6 месяцев назад +5

    Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui

  • @augustinojob939
    @augustinojob939 13 дней назад

    Watanzania tumpe huyu jamaa kwenye aweee,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 🤔au basi maanake niishi kijijini

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i 6 месяцев назад +1

    Kakanakukubari sana

  • @PaullKapagala
    @PaullKapagala 5 месяцев назад +1

    Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole

  • @peterkasanga-fw7th
    @peterkasanga-fw7th 6 месяцев назад +1

    Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 5 месяцев назад +1

    Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 месяцев назад +3

    Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki

    • @denismnubi7001
      @denismnubi7001 5 месяцев назад

      Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 6 месяцев назад +2

    Sema hii nchi inaliwa na watu wachache

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 6 месяцев назад

    😮asate kaka erim nzali sana

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 5 месяцев назад

    Wewe jasiri endelea kuwa jasiri SIMBA

  • @KINASAITALABASH-pc8ld
    @KINASAITALABASH-pc8ld 25 дней назад

    Mimi nakuombea ikiwezekana hata mzim wa Tanzania ukulinde ili uivushe Tanzania.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 5 месяцев назад +1

    Kweli wamasai wanaonewa

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 5 месяцев назад

    mwambukusi anatakiwa sana CDM

  • @user-ow3km3xy8k
    @user-ow3km3xy8k 5 месяцев назад

    unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 6 месяцев назад +2

    Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee

  • @ShandaDaudi
    @ShandaDaudi 6 дней назад

    Mwabukusiiiiiiiiii semaaaaaa babbababbabaaaaaaa

  • @majutoomari7445
    @majutoomari7445 25 дней назад

    Huyu jamaa ifike hatua agombee hata urais wa nchi

  • @user-jf7rg1ux9l
    @user-jf7rg1ux9l 5 месяцев назад +1

    Safar ya matumain inaonekana.

  • @skylevelmedia7581
    @skylevelmedia7581 5 месяцев назад

    Speek speek 💪

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z 5 месяцев назад

    Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie

  • @user-qg3kf1ue7z
    @user-qg3kf1ue7z 4 месяца назад

    ateuliwe mgombea 🎉 Cdm

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 месяцев назад +2

    Machozi yananitoka meneno mazito!!

  • @SaidOmary-s7t
    @SaidOmary-s7t 24 дня назад

    Wewe ni mbadala wa risu ila Fanya yote pitia magumu yote ila ifike mwaka ugombee uraisi kaka Mimi nakufatilia sana na natumain nitafata nyanja zako

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 19 дней назад

    CHADEMA NO

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 6 месяцев назад +1

    Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa

  • @fikirially7875
    @fikirially7875 5 месяцев назад +1

    Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.

    • @MussaSelemani-wz5np
      @MussaSelemani-wz5np 5 месяцев назад

      ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa