🅻🅸🆅🅴 JOHN HECHE ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA KATA YA MWAYA KILOMBERO
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #JAMBOTV
...........🅻🅸🆅🅴
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
asante sana mhe heche. hakika watanzania tunakukubali mungu akutie nguvu pamoja na wenzako mlikomboe hili taifa kiutumwa.
Asante mwamba chapa kazi
Big up sana Kamanda hakika.... Huyo Mwamba ana hoja za Msingi sana.... Mungu azidi kukubariki unatuelimisha mengi...
Hakika chadema ina watu wenye maono na uchungu kwa watanzania hata hotuba zao unatamani zisifikie mwisho hakika MUNGU awabariki sana
😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊0😊😊😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊
amina chadema wabarikiwe sana.
Mungu awatunze kwa kiwango kikubwa
uyu hapa uyu mwamba eche mpa mbanaji asiye na tamaa mungu akuweke sana tuya juwe mengi tanzania ii ya usingizi tua mshe mwamba
Heche mungu akubariki sana istoria itasma kweli umetimiza wajibu wako
Heche ubarikiwe sana,unaongea fact kweli kweli...hakika chadema tuna watu wakutusaidia shime viongoz wetu twenden tumewaelewa tuko pamoja!!!
Asante sana kaka @johnheche tuko pamoja kulikomboa Taifa letu ✌️✌️✌️✌️
Ongeza John hech wenztu hawtak ukwl liserkari ra Cham kimoja limetuchsha✌️✌️
Kamanda sijawai kujutia hoja zako ❤❤❤❤❤
Yes kikitoka chombo kinatua chombo hilo ndo chama la wananzengo chezea wananzengo wewe✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Heche your my mentor
Ongeza bab 👏👏👏
Nakuelewa sana jon nakutakia afya njema ili baadaye uje kuwa m/kiti wa taifa najua nafasi hii wapo wengi ambao 1 mbowe 2 lisu 3 wewe zaidi,sijaona mimi ni hawa watatu kaza buti
*Kongo [DRC] si landlocked; ina sehemu za bandari: Matadi, Boma na Banana! Ila sababu ya njia mbaya za usafiri, sehemu kubwa ya Kongo inatumia bandari za Mombasa au Dar es Salaam.*
*Lake Victoria si kubwa kushinda maziwa yote. Ziwa kubwa ni Superior.*
hongera sana
Chuma Hecheeee
Heche na Lisu ktk hotuba zao, pamoja na mapungufu aliyokua kau nayo Magufuli hawakutakiwa kushambuliwa moja kwa moja.
Magufuli ndiye angekua msingi wao dhidi ya Serikali. Zaidi ya 60% ya Watanzania wa kawaida mpka sasa mpka sasa wanampenda sana.
Good
Kwa heche kweri ni elim ni mwalimu wa kweri asiye kue lewa ni taira au nimweu
Huyo Mzee tunaomba azunguke nchi nzima ahamasishe watu juu ya kuikomboa nchi hii
Wana tarime mmebeba roho za watanzania turejesheeni uyu mtu bungeni tunawapa zamana iyo msifanye makosa nipo lindi fanyeni ivo
Upo vizuri sana Good sana
Utakuja kuwa waziri mkuu wa chadema.
Yes verygood
Pmj mkuu ila wengi mazezeta endelea kutoa elimu
Point mku❤
Heche Kwa kweli unaesema ukweli baba uko sahihi
SERIKALI YA CCM NDO IMESHINDWA KUKUSANYA PESA ZETU NAULIZA TUTAFIKA KWELI.
Nakubali.heche.pamoja😂
Ccm kunakuchaga jioni kinyume chake ni kwamba wanajipatia kipato cha gizani
❤❤❤❤
❤
Trein ya makunbusho kongo wana trein ya kuni au magogo iko makumbusho kuna trein ya mafuta yani dizeri iko makumbusho kuna trein ya umeme yadizeli na umeme zipo zinetumika miaka mingi leo tz ni
Mlingoti chuma bendela chuma
Hii nchi imekuwa na viongozi mbulala sana
Viongozi mbulula? Au wananchi ndo mbulula
CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM 2025.....WAZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
Jembe jembe heche ubarikiwe
Heche tunaomba arundiswe wana tarime tuwe pomoja
Hakika nchi hii Haina upinzani
Waalimu mnamchangia raisi kuchukuwa from!!!!!!!!!! Vioja
CHAMA MAKINI CHAMA AMBACHO TUNAJIVUNIA KWA WIVU MKUBWA TUENDEREE KUERIMISHANA
ASANTE SANA NAFURAHI KUSIKIA MAONI KAMA HAYA CHADEMA NI TUMAINI LA WANAOPENDA TANZANIA. MUNGU IBARIKI CHADEMA.
Wameuza nchi hakika?100 hatujijui am htujitambui😂
Kwa hiyo heche mnapango wa kushiriki uchaguzi bila ya tume huru?
Serikali ya mwenda wazimu
Msikubari kupigwa picha nyinyi tu hata wananchi tuwaone mbona wao wanaonekana wote
Jwtz wanapaswa kulaumiwa
unafaa kuongoza hili guludumu
kama hakuna alie kuelewa baas ni vichwa maji
Painful, wameuziana hao wakaenda kupiga bei kubwa
ww ni jembe hakika
Mwamba
Unapoteza mda kuwafundisha wajinga hawajitambui watanzania
Muondoeni mbowe, ndio tatizo
Mlingoti chuma bendela chuma
kama hakuna alie kuelewa baas ni vichwa maji
Na gesi nayo watapewa waarabu