🅻🅸🆅🅴 JOHN HECHE ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA KATA YA MWAYA KILOMBERO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........🅻🅸🆅🅴
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 64

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo Месяц назад +2

    asante sana mhe heche. hakika watanzania tunakukubali mungu akutie nguvu pamoja na wenzako mlikomboe hili taifa kiutumwa.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 5 месяцев назад +7

    Asante mwamba chapa kazi

  • @user-nd2gv3gd2n
    @user-nd2gv3gd2n Месяц назад +1

    Big up sana Kamanda hakika.... Huyo Mwamba ana hoja za Msingi sana.... Mungu azidi kukubariki unatuelimisha mengi...

  • @shijageorge5995
    @shijageorge5995 2 месяца назад +8

    Hakika chadema ina watu wenye maono na uchungu kwa watanzania hata hotuba zao unatamani zisifikie mwisho hakika MUNGU awabariki sana

    • @mwenyejisanga2965
      @mwenyejisanga2965 2 месяца назад

      😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊0😊😊😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @mwenyejisanga2965
      @mwenyejisanga2965 2 месяца назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @mwenyejisanga2965
      @mwenyejisanga2965 2 месяца назад

      😊😊😊

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo Месяц назад +1

    amina chadema wabarikiwe sana.

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 8 месяцев назад +5

    Mungu awatunze kwa kiwango kikubwa

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 7 месяцев назад +2

    uyu hapa uyu mwamba eche mpa mbanaji asiye na tamaa mungu akuweke sana tuya juwe mengi tanzania ii ya usingizi tua mshe mwamba

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 8 месяцев назад +4

    Heche mungu akubariki sana istoria itasma kweli umetimiza wajibu wako

  • @RichardNkhangaa-nv9tf
    @RichardNkhangaa-nv9tf 4 месяца назад +1

    Heche ubarikiwe sana,unaongea fact kweli kweli...hakika chadema tuna watu wakutusaidia shime viongoz wetu twenden tumewaelewa tuko pamoja!!!

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 26 дней назад

    Asante sana kaka @johnheche tuko pamoja kulikomboa Taifa letu ✌️✌️✌️✌️

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU 22 дня назад

    Ongeza John hech wenztu hawtak ukwl liserkari ra Cham kimoja limetuchsha✌️✌️

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 2 месяца назад +1

    Kamanda sijawai kujutia hoja zako ❤❤❤❤❤

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 7 месяцев назад +1

    Yes kikitoka chombo kinatua chombo hilo ndo chama la wananzengo chezea wananzengo wewe✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @edwinmandela5658
    @edwinmandela5658 8 месяцев назад +1

    Heche your my mentor

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU 22 дня назад

    Ongeza bab 👏👏👏

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 3 месяца назад +1

    Nakuelewa sana jon nakutakia afya njema ili baadaye uje kuwa m/kiti wa taifa najua nafasi hii wapo wengi ambao 1 mbowe 2 lisu 3 wewe zaidi,sijaona mimi ni hawa watatu kaza buti

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 8 месяцев назад +1

    *Kongo [DRC] si landlocked; ina sehemu za bandari: Matadi, Boma na Banana! Ila sababu ya njia mbaya za usafiri, sehemu kubwa ya Kongo inatumia bandari za Mombasa au Dar es Salaam.*
    *Lake Victoria si kubwa kushinda maziwa yote. Ziwa kubwa ni Superior.*

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q 23 дня назад

    hongera sana

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 6 месяцев назад +1

    Chuma Hecheeee

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 12 дней назад +1

    Heche na Lisu ktk hotuba zao, pamoja na mapungufu aliyokua kau nayo Magufuli hawakutakiwa kushambuliwa moja kwa moja.
    Magufuli ndiye angekua msingi wao dhidi ya Serikali. Zaidi ya 60% ya Watanzania wa kawaida mpka sasa mpka sasa wanampenda sana.

  • @RugeKelvin
    @RugeKelvin 19 дней назад

    Good

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 7 месяцев назад +2

    Kwa heche kweri ni elim ni mwalimu wa kweri asiye kue lewa ni taira au nimweu

  • @joachimchacha3228
    @joachimchacha3228 8 месяцев назад +1

    Huyo Mzee tunaomba azunguke nchi nzima ahamasishe watu juu ya kuikomboa nchi hii

  • @user-nn8nn6dk8u
    @user-nn8nn6dk8u 2 месяца назад +1

    Wana tarime mmebeba roho za watanzania turejesheeni uyu mtu bungeni tunawapa zamana iyo msifanye makosa nipo lindi fanyeni ivo

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w Месяц назад

    Upo vizuri sana Good sana

  • @sadikiwilibadi4533
    @sadikiwilibadi4533 5 месяцев назад

    Yes verygood

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 4 месяца назад +1

    Pmj mkuu ila wengi mazezeta endelea kutoa elimu

  • @FUMBAMTIMA
    @FUMBAMTIMA 6 месяцев назад

    Point mku❤

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 месяца назад

    Heche Kwa kweli unaesema ukweli baba uko sahihi

  • @lothanathanael2286
    @lothanathanael2286 10 дней назад

    SERIKALI YA CCM NDO IMESHINDWA KUKUSANYA PESA ZETU NAULIZA TUTAFIKA KWELI.

  • @MwajumaRajab-nj3nz
    @MwajumaRajab-nj3nz Месяц назад

    Nakubali.heche.pamoja😂

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 6 месяцев назад +1

    Ccm kunakuchaga jioni kinyume chake ni kwamba wanajipatia kipato cha gizani

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @Uzima-Tv
    @Uzima-Tv 6 месяцев назад

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 6 месяцев назад

    Trein ya makunbusho kongo wana trein ya kuni au magogo iko makumbusho kuna trein ya mafuta yani dizeri iko makumbusho kuna trein ya umeme yadizeli na umeme zipo zinetumika miaka mingi leo tz ni

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 Месяц назад +1

    Mlingoti chuma bendela chuma

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 6 месяцев назад

    Hii nchi imekuwa na viongozi mbulala sana

    • @josehmark
      @josehmark 2 дня назад

      Viongozi mbulula? Au wananchi ndo mbulula

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 8 месяцев назад +3

    CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM 2025.....WAZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga Месяц назад

    Jembe jembe heche ubarikiwe

  • @Stephenmangera
    @Stephenmangera День назад

    Heche tunaomba arundiswe wana tarime tuwe pomoja

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 2 месяца назад

    Hakika nchi hii Haina upinzani

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 2 месяца назад

    Waalimu mnamchangia raisi kuchukuwa from!!!!!!!!!! Vioja

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 8 месяцев назад +1

    CHAMA MAKINI CHAMA AMBACHO TUNAJIVUNIA KWA WIVU MKUBWA TUENDEREE KUERIMISHANA

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 8 месяцев назад

      ASANTE SANA NAFURAHI KUSIKIA MAONI KAMA HAYA CHADEMA NI TUMAINI LA WANAOPENDA TANZANIA. MUNGU IBARIKI CHADEMA.

    • @patsonanyitike9584
      @patsonanyitike9584 7 месяцев назад

      Wameuza nchi hakika?100 hatujijui am htujitambui😂

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 7 месяцев назад

    Kwa hiyo heche mnapango wa kushiriki uchaguzi bila ya tume huru?

  • @rizikiminga3010
    @rizikiminga3010 6 месяцев назад

    Serikali ya mwenda wazimu

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 6 месяцев назад

    Msikubari kupigwa picha nyinyi tu hata wananchi tuwaone mbona wao wanaonekana wote

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 2 месяца назад

    Jwtz wanapaswa kulaumiwa

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q 23 дня назад

    unafaa kuongoza hili guludumu

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q 23 дня назад

    kama hakuna alie kuelewa baas ni vichwa maji

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 месяца назад

    Painful, wameuziana hao wakaenda kupiga bei kubwa

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q 23 дня назад

    ww ni jembe hakika

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi 2 месяца назад

    Mwamba

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 28 дней назад

    Unapoteza mda kuwafundisha wajinga hawajitambui watanzania

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 2 месяца назад

    Muondoeni mbowe, ndio tatizo

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 Месяц назад +1

    Mlingoti chuma bendela chuma

  • @Mbwana-w7q
    @Mbwana-w7q 23 дня назад

    kama hakuna alie kuelewa baas ni vichwa maji

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 месяцев назад

    Na gesi nayo watapewa waarabu