Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu
Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje
Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje
Kamanda John heche hapo hamna wasanii mpo nyie wajinga mnaosema ccm imewalea ni kuwatukana wazazi walio kuzaa kusema ccm imekulea na wazazi walikuwa wanafanya kazi gani sisi ndio tumeilea ccm Toka 1960
Dawa nyingi zimeibiwa kutoka kwetu na hizi za kienyeji na zikaibwa na waeneza dini wakazifanya za kisasa na kuja kutuuzia tena. Na za wasukuma zipo hapo. Tuzijenge za kwetu. Tunaweza.
Kwa utawala upi wa Africa?.sisi hûwa tunaishia kupeana vikombe na kusema fulani ana akili. Hûwa hatujitambui kwa hizo dawa ni uchumi. Vipofu ni wengi mno Africa tumewapa uongozi.
Ccm watuambie rasimali za tanzania zote walizo tapanya tumenufaika nann mbona umaskin ndio umezidi wangalie warabu wana mafuta na ges mbona nchi zao zimeendelea sisi nimaskin wakutupa.
Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!
Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.
Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba
Mpenzi cha wote huyo. Najifunza mengi sana toka CDM
Heche noma nakukubali saaaaana❤
🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,
Sasa hao wananchi kwann wasitoe kura kwa heche
Heche nimwafirika muzalendo
Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika sana.Ee Mungu ibariki nchi yetu iwe na demokrasia safi na tume huru ya uchaguzi itakayotenda haki.
Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.
MashaAllah watu wameitika
Waitara kayakanyaga, must go
Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake
Chadema imejiandaa kuchukua nchi.ina ahadi za kweli.walimu,mapolisi na wananchi wote watafaidika na matunda ya serikali
Safi sana Heche chuma
Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Huyo mbinga wetu wa sàsa Jana turbo!!?? Acha uchawa, kufahamu na jitakafakari.
Ukigombea uraisi kurayangu unayo
Hatari kwa ccm
SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA
Tata nakukubali mura
Heche kichwa cha Sirari nakuelewaga kaka Heche
big brain mmi heri niweke chadema sio hi kijani inatuchelewesha😊
Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.
Amina Bwana awe upande wako
Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew
Bila bado la mkono hawatoboi hata siku moja
Wamezoea kuiba tu
Weitara arienda kusaini barua komarera wanaichi wakabomolewa miji ety anasema nitegesha hatumtaki waitara tarime hatabure aende kurima usukumani mupanga
Heche hongera pambana sana wananchi wako wanakuelewa
Hongera Heche
Mh, Heche Mungu asimama na wewe baba ili mweza kututowa katika lindi hili kubwa la umasikini uliokidhili
Ninakuelewa sana kwa hoja zako ,lakini watanzania wachache ni wangumu wa kuelewa, HECHE chapa kazi
Hongera mwamba heche upo vizuri
Nakupata saana mwamba nipo mpanda allakini nguchande teme ikulla mulaa
❤❤❤❤❤ mkomboz wetu
Heche Huwa nakuelewaga sana hasa kwenye hoja ukiwa bungeni
MH. RAIS AJAYE.
MUNGU IBARIKI KAULI HII🙏
Heche unastaili kuwa hata raisi wa Tanganyika kwa sababu nawafahamu wewe unasema kilicho moyoni hujifanyi kama Waitara.
Saf sana heche
Tuko pamoja mpaka tone la mwisho baba heche
Sirali hoyee
Kweli Heche ameshinikana Tarime😂😂🙌
Tanzania nzima tujaribu wengine tuone watawezeshaje nchi na Rasilimali zetu kabla hatujachelewa .Tusiwe wajinga wa kuendelea
Rasilimali zinaenda kuisha. Maskini Tanzania mtakuwa mgeni wa nani???
@@adelinelyaruu3036 Na bado watu wamelala fofofo hata hawaoneshi dalili ya kuamka.
Ni huzuni raslimali zinayeyuka
Kelele ya kwanza kwa heche yakeee
Nyomiiiiii hatari
Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu
❤❤Kaz juu yakazi
Heche 2025 ninuru yasirari tarime wana sirari msije mkamuangusha
Heche noma
Kutoka Arusha hapa... Heche ni akili Kubwa
Safi sana
Heche mungu azidi kukupa nguvu na afya tele
Nikweli mjini umesimama
Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje
Heche I love you
wameamuka asante heche
🎉
Mungu akusaidue heche wewe ndo mtetezi wao
Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje
Hapo Mbowe hayupo, lakini jamaa kajaza nyomi
Kweli Mwenye kibali ni Kama jua la asubuhi popote
Mmmmmhhhhh ipo kazi
Pamoja
Mchimbi mpe huyu
Sjawah kujutia uwezo wako mkubwa brooo...nataman hata uwe kiongoz wa taifa hili skumoja ...akili kubwa sna 🎉
Nimefurahi sana sijawahi furahi kiasi hiki Heche tupo pamoja ccm ni mapumbavu wote mambwa
Viongozi wa ccm wamewekeza kwenye hospitali za selikali wanafanya biashara za dawa kuwaumiza watanzania
Cvm waibe kura tu kama kawaida yao ila mbunge ni heche
Mmmmmh, Sasa hiyo tarime ingekuwa ndio nchi ya Tanzania wananchi wangekuwa na maisha gani? Huwezi kufananisha nchi inayolingana na mkoa mmoja
Nakukubali sana mkuu sijawahi pitwa na klip zako
nakuombea sana heche urudi mjengoni
Waitara ni mama wa ccm mpumbavu mmoja hivi anaeloalia hovyo
Waitara ludi ubungo Mama hakusaidiii Magufuli aliwasaidia ludi Dar
Mmmh unaweza kaka
Chuma hicho
Heche anafaa kuwa hata Rais
Tutawapiga mawe hao maccm majinga
huyu ndo heche mnamkubali sana
Heko kamanda Heche!!
Hecheeeee safiiii waitara mh hana lake ushaur wakat mwngne watu wa saund wajitahd tusikie vzr
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Heche ni mwamba
WAITARA KAZI ANAYO MMMMMH
Sio ndogo sasaivi plesha inampanda nakushuka kama atapitishwa bila kupingwa sawa lkn hapo atapigwa kura nyingi sanaaaa😂😂
Atakoma. Barbara ya Nyamongo ni mbovu sana
Pambana mwamba
😂😂😂public engagement
naku penda sana eche mwamba
JOHN HECHE NI MBUNGE TENA
🔥🔥🔥🔥
Heche mmoja anaongea heche mwingine anahamasisha watu kushangilia sasa ni yupo aliye wa uhalisia na tukio hili?
Binafsi murah ninakukubali sana
Heche kichwa cha Silali
huyu mbunge
😂😂😂public engagement 9:
🔥🔥🔥✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Kamanda John heche hapo hamna wasanii mpo nyie wajinga mnaosema ccm imewalea ni kuwatukana wazazi walio kuzaa kusema ccm imekulea na wazazi walikuwa wanafanya kazi gani sisi ndio tumeilea ccm Toka 1960
Duuuu cdm mmetisha
Dawa nyingi zimeibiwa kutoka kwetu na hizi za kienyeji na zikaibwa na waeneza dini wakazifanya za kisasa na kuja kutuuzia tena. Na za wasukuma zipo hapo. Tuzijenge za kwetu. Tunaweza.
Kwa utawala upi wa Africa?.sisi hûwa tunaishia kupeana vikombe na kusema fulani ana akili. Hûwa hatujitambui kwa hizo dawa ni uchumi. Vipofu ni wengi mno Africa tumewapa uongozi.
Iv waitara Kona hii?
Ccm watuambie rasimali za tanzania zote walizo tapanya tumenufaika nann mbona umaskin ndio umezidi wangalie warabu wana mafuta na ges mbona nchi zao zimeendelea sisi nimaskin wakutupa.
It's purely a matter of leadership
Waitara kwisha habari yake
Ukwel usio pingingika
Mbowe rais
Uyo ndo heche
Ccm jana wametangaza idadi ya wanachama yao 10'000'000
Namba za kasi za vyama.zingekuwa tin za kodi mambo yangekuwa vizuri
Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!
Ila huu ujumbe wako Kuna mahali umemtaja Heche wakati ulitakiwa umseme Waitara. Hebu cheki!!
Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.
Imekula kwake