HECHE ASIMAMISHA MJI WA SIRARI , AMCHAMBUA WAITARA " SIONI ANASHINDIA WAPI HUYU ,APOKELEWA KISHUJAA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 210

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 12 дней назад +16

    Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 11 дней назад +1

      Mpenzi cha wote huyo. Najifunza mengi sana toka CDM

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 11 дней назад +5

    Heche noma nakukubali saaaaana❤

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 13 дней назад +20

    🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,

    • @user-jo9gp5tb9w
      @user-jo9gp5tb9w 5 дней назад

      Sasa hao wananchi kwann wasitoe kura kwa heche

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k 13 дней назад +11

    Heche nimwafirika muzalendo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 13 дней назад +11

    Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika sana.Ee Mungu ibariki nchi yetu iwe na demokrasia safi na tume huru ya uchaguzi itakayotenda haki.

  • @user-us5xl4zu3r
    @user-us5xl4zu3r 12 дней назад +10

    Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 13 дней назад +11

    MashaAllah watu wameitika

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 12 дней назад +5

    Waitara kayakanyaga, must go

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia4758 13 дней назад +15

    Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 8 дней назад +1

    Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 11 дней назад +1

    Chadema imejiandaa kuchukua nchi.ina ahadi za kweli.walimu,mapolisi na wananchi wote watafaidika na matunda ya serikali

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert 8 дней назад +1

    Safi sana Heche chuma

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 13 дней назад +14

    Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 13 дней назад +9

    Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 11 дней назад

      Huyo mbinga wetu wa sàsa Jana turbo!!?? Acha uchawa, kufahamu na jitakafakari.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 13 дней назад +4

    Ukigombea uraisi kurayangu unayo

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo 13 дней назад +9

    Hatari kwa ccm

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 13 дней назад +8

    SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 13 дней назад +12

    Tata nakukubali mura

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 11 дней назад +2

    Heche kichwa cha Sirari nakuelewaga kaka Heche

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 8 часов назад

    big brain mmi heri niweke chadema sio hi kijani inatuchelewesha😊

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 12 дней назад +3

    Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 11 дней назад +1

    Amina Bwana awe upande wako

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 12 дней назад +3

    Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 11 дней назад

      Bila bado la mkono hawatoboi hata siku moja
      Wamezoea kuiba tu

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 10 дней назад +1

    Weitara arienda kusaini barua komarera wanaichi wakabomolewa miji ety anasema nitegesha hatumtaki waitara tarime hatabure aende kurima usukumani mupanga

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx 13 дней назад +6

    Heche hongera pambana sana wananchi wako wanakuelewa

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 12 дней назад +1

    Hongera Heche

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 12 дней назад +2

    Mh, Heche Mungu asimama na wewe baba ili mweza kututowa katika lindi hili kubwa la umasikini uliokidhili

  • @AlphaMagomba
    @AlphaMagomba 6 дней назад

    Ninakuelewa sana kwa hoja zako ,lakini watanzania wachache ni wangumu wa kuelewa, HECHE chapa kazi

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 13 дней назад +5

    Hongera mwamba heche upo vizuri

  • @user-qr9mb6bo5r
    @user-qr9mb6bo5r 3 дня назад

    Nakupata saana mwamba nipo mpanda allakini nguchande teme ikulla mulaa

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 13 дней назад +5

    ❤❤❤❤❤ mkomboz wetu

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 11 дней назад +2

    Heche Huwa nakuelewaga sana hasa kwenye hoja ukiwa bungeni

  • @mc_turuka
    @mc_turuka 9 дней назад

    MH. RAIS AJAYE.
    MUNGU IBARIKI KAULI HII🙏

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 12 дней назад +1

    Heche unastaili kuwa hata raisi wa Tanganyika kwa sababu nawafahamu wewe unasema kilicho moyoni hujifanyi kama Waitara.

  • @furaha7154
    @furaha7154 13 дней назад +3

    Saf sana heche

  • @user-hb3ip9it2j
    @user-hb3ip9it2j 11 дней назад +1

    Tuko pamoja mpaka tone la mwisho baba heche

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 13 дней назад +11

    Sirali hoyee

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 13 дней назад +6

    Kweli Heche ameshinikana Tarime😂😂🙌

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 13 дней назад +12

    Tanzania nzima tujaribu wengine tuone watawezeshaje nchi na Rasilimali zetu kabla hatujachelewa .Tusiwe wajinga wa kuendelea

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 13 дней назад +1

      Rasilimali zinaenda kuisha. Maskini Tanzania mtakuwa mgeni wa nani???

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 13 дней назад

      @@adelinelyaruu3036 Na bado watu wamelala fofofo hata hawaoneshi dalili ya kuamka.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 11 дней назад +1

      Ni huzuni raslimali zinayeyuka

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 13 дней назад +4

    Kelele ya kwanza kwa heche yakeee

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 13 дней назад +9

    Nyomiiiiii hatari

    • @danielkanso
      @danielkanso 11 дней назад

      Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu

  • @TitoChungu
    @TitoChungu 5 дней назад

    ❤❤Kaz juu yakazi

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 10 дней назад

    Heche 2025 ninuru yasirari tarime wana sirari msije mkamuangusha

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 13 дней назад +4

    Heche noma

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 7 дней назад

    Kutoka Arusha hapa... Heche ni akili Kubwa

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 13 дней назад +1

    Safi sana

  • @chaba_boy_tz7287
    @chaba_boy_tz7287 11 дней назад +1

    Heche mungu azidi kukupa nguvu na afya tele

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 13 дней назад +2

    Nikweli mjini umesimama

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 5 дней назад

    Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 11 дней назад +1

    Heche I love you

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 7 часов назад

    wameamuka asante heche

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 13 дней назад +2

    🎉

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 11 дней назад

    Mungu akusaidue heche wewe ndo mtetezi wao

  • @danielkanso
    @danielkanso 11 дней назад

    Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 8 дней назад

    Hapo Mbowe hayupo, lakini jamaa kajaza nyomi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 дней назад +1

    Kweli Mwenye kibali ni Kama jua la asubuhi popote

  • @lgf7297
    @lgf7297 13 дней назад +1

    Mmmmmhhhhh ipo kazi

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 12 дней назад +1

    Pamoja

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 12 дней назад +1

    Mchimbi mpe huyu

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 13 дней назад +8

    Sjawah kujutia uwezo wako mkubwa brooo...nataman hata uwe kiongoz wa taifa hili skumoja ...akili kubwa sna 🎉

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 10 дней назад

    Nimefurahi sana sijawahi furahi kiasi hiki Heche tupo pamoja ccm ni mapumbavu wote mambwa

  • @LucasKagoma
    @LucasKagoma 9 дней назад

    Viongozi wa ccm wamewekeza kwenye hospitali za selikali wanafanya biashara za dawa kuwaumiza watanzania

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw 10 дней назад

    Cvm waibe kura tu kama kawaida yao ila mbunge ni heche

  • @IssackJoseph-w2h
    @IssackJoseph-w2h 12 дней назад

    Mmmmmh, Sasa hiyo tarime ingekuwa ndio nchi ya Tanzania wananchi wangekuwa na maisha gani? Huwezi kufananisha nchi inayolingana na mkoa mmoja

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 13 дней назад +1

    Nakukubali sana mkuu sijawahi pitwa na klip zako

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando 10 дней назад

    nakuombea sana heche urudi mjengoni

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 10 дней назад

    Waitara ni mama wa ccm mpumbavu mmoja hivi anaeloalia hovyo

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 12 дней назад +1

    Waitara ludi ubungo Mama hakusaidiii Magufuli aliwasaidia ludi Dar

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 13 дней назад +4

    Mmmh unaweza kaka

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 13 дней назад +1

    Chuma hicho

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 10 дней назад

    Heche anafaa kuwa hata Rais

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 10 дней назад

    Tutawapiga mawe hao maccm majinga

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 13 дней назад

    huyu ndo heche mnamkubali sana

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 10 дней назад

    Heko kamanda Heche!!

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 13 дней назад +1

    Hecheeeee safiiii waitara mh hana lake ushaur wakat mwngne watu wa saund wajitahd tusikie vzr

  • @user-hb3ip9it2j
    @user-hb3ip9it2j 11 дней назад +1

    ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 7 дней назад

    Heche ni mwamba

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 13 дней назад +9

    WAITARA KAZI ANAYO MMMMMH

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 13 дней назад +3

      Sio ndogo sasaivi plesha inampanda nakushuka kama atapitishwa bila kupingwa sawa lkn hapo atapigwa kura nyingi sanaaaa😂😂

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 11 дней назад

      Atakoma. Barbara ya Nyamongo ni mbovu sana

  • @HassanMshamu
    @HassanMshamu 12 дней назад +1

    Pambana mwamba

  • @JosephMuhenga-x8p
    @JosephMuhenga-x8p 13 дней назад

    😂😂😂public engagement

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 7 дней назад

    naku penda sana eche mwamba

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w 11 дней назад

    JOHN HECHE NI MBUNGE TENA

  • @fulgenceoswald3866
    @fulgenceoswald3866 13 дней назад +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @MussaBundala-yg8nw
    @MussaBundala-yg8nw 12 дней назад

    Heche mmoja anaongea heche mwingine anahamasisha watu kushangilia sasa ni yupo aliye wa uhalisia na tukio hili?

  • @MnicoMnanka
    @MnicoMnanka 11 дней назад

    Binafsi murah ninakukubali sana

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 11 дней назад

    Heche kichwa cha Silali

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 7 часов назад

    huyu mbunge

  • @JosephMuhenga-x8p
    @JosephMuhenga-x8p 13 дней назад

    😂😂😂public engagement 9:

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 12 дней назад

    🔥🔥🔥✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 12 дней назад

    Kamanda John heche hapo hamna wasanii mpo nyie wajinga mnaosema ccm imewalea ni kuwatukana wazazi walio kuzaa kusema ccm imekulea na wazazi walikuwa wanafanya kazi gani sisi ndio tumeilea ccm Toka 1960

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 13 дней назад +3

    Duuuu cdm mmetisha

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 13 дней назад

    Dawa nyingi zimeibiwa kutoka kwetu na hizi za kienyeji na zikaibwa na waeneza dini wakazifanya za kisasa na kuja kutuuzia tena. Na za wasukuma zipo hapo. Tuzijenge za kwetu. Tunaweza.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 13 дней назад

      Kwa utawala upi wa Africa?.sisi hûwa tunaishia kupeana vikombe na kusema fulani ana akili. Hûwa hatujitambui kwa hizo dawa ni uchumi. Vipofu ni wengi mno Africa tumewapa uongozi.

  • @jaccobojaccobo748
    @jaccobojaccobo748 12 дней назад

    Iv waitara Kona hii?

  • @user-bg8zz5vw5v
    @user-bg8zz5vw5v 13 дней назад +2

    Ccm watuambie rasimali za tanzania zote walizo tapanya tumenufaika nann mbona umaskin ndio umezidi wangalie warabu wana mafuta na ges mbona nchi zao zimeendelea sisi nimaskin wakutupa.

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 13 дней назад +1

    Waitara kwisha habari yake

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 13 дней назад

    Ukwel usio pingingika

  • @user-pv2jh5wb1o
    @user-pv2jh5wb1o 11 дней назад

    Mbowe rais

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi 13 дней назад +6

    Uyo ndo heche

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 13 дней назад

    Ccm jana wametangaza idadi ya wanachama yao 10'000'000

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 13 дней назад

      Namba za kasi za vyama.zingekuwa tin za kodi mambo yangekuwa vizuri

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 13 дней назад +2

    Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 13 дней назад

      Ila huu ujumbe wako Kuna mahali umemtaja Heche wakati ulitakiwa umseme Waitara. Hebu cheki!!

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 12 дней назад

      Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 11 дней назад

      Imekula kwake