HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
HTML-код
- Опубликовано: 20 июн 2018
- HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:
/ globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
uko vizuri Heche nakuelewa sana watanzania wanahitaji watu kama wewe
well done,Mr heche u'll never never be forgotten
yaani nataka kukunyanyua zaidi mungu akulinde
Hon.Heche big up!..Tel'em da truth
Mbunge wangu nakukubali sanaaa, piga kazi jembeeee
Watu kama hawa wachache sana duniani
Hii Mashine huwa naielewa mbaya,BigUp Heche,
Nchi yetu bado tupo gizani wanaitajika wabunge kama hawa wanaoweza kutoa mwanga iweze kuwanganza hongera sana Mkuu tuko pamoja
mungu akubaliki heche
Mh. Heche upo vizuri endeleza mapambano zidi ya ufisadii
Daaaaaah mbunge mpinzani 1 sawa na wabunge wa ccm 100, safi sanaaa Heche🙏
Upo sawa Kamanda
Safi sana mh heche
Waambie hao wa ndio mzee
Daaaaah wat kama hawa
mb zikikata najaza tena mzee wangu endelea kuunguruma
big brain heche
Safi sana kiongozi wangu unaongeo point sana
safi sana kamanda heche hawa maccm tumewachoka na hadithi zao
Tarime hatuchagui mabwege!!!! Heche 2020 hakuna mpinzani kwako tata!!!!!!
Wabunge wa upinzani wana akili sana na ndio maana mwaka huu wamewafanyia figisu ili asiwepo wa kusema maovu yao ccm kuna ubabaifu sana
Duuu, Yeke Muraaa Tisha sanaaaa...
Bravo hon. Heche it was on ur best ....Madini Tupu
Heche uko vizuri sana na upinzani kwa ujumla mungu awasaidie sana
Mmm
Saf safi mh heche upo vizur mbunge
Bigup heche! Uko makin
Safi sana umeeleweka
Kama mti basi mhe,john Heche ww ni mizizi iliyoshika mti big up kaka mkubwa
Powerful points
Safi sana heche
Thanks Mr Heche
point bin point
Heche yuko sawaa dahhhhhh
Saluti heche
Wewe ni master bro
Waambie ukweli wanafik hao Mwenyezi Mungu atawaonesha na awapeo maradhi yasiokuwa na dawa ameen.
Best work of opposition ....I like ur spirit Mr Heche. May u leave long in sha Allah
Maalim Ali Amiin
you are Absolutely right Mr Heche
na sio deni la bunge peke yao kodi za wavuja jasho hizo
Thankx
Hon.Heche nimekupata vizuri lakn tatizo la wabunge wetu wanaongea kisha wanasema naunga mkono hoja,wabunge inusulini nchi hii
Fact
Sijawahi jutia Mb zangu kwako kaka, I wish maneno yako yangewekwa km kumbukumbu ili kizazi kijacho kijue kuwa uliyasema hayo!
Muungwana huongea yaliio moyon tumewamiss
Sana kaka imepenye
Honourable !! Heche
Heche umetisha kwa kweli
Hasante sana mheshimiwa
Asanteeeee
Kuna wabunge mna akili kuptiliza, saf sana
Mungu akulinde baba
Naipenda iyo
anaongea jamaaa noma sana
safi sana,keep a good work alive
chadema 1 =ccm 25
Big up
Uwiiiiii evaeee HECHEE.
Namkubali sana uyu jamaa
Ila kweli kuna kitu cha kujiuliza hapa mapato ukitoa matumizi unaanza kujiuliza hela ya kujenga Standard gauge Railway zipo wapi?
2021 bunge limepooza sana. Wapinzani warudi vitini
du hongera sana kamanda apana chezea chadema www
Nice
Wapinzani ndio Kila kitu. Hongereni sana wapinzani
Utashangaa hata hawasikilizi na kufanyia kazi point kuntuntu kama hizi
Kazi nzuri
Safi Murah tabhaghambera mbane Enokwe akotangate
Point's tupu
kweli wew jembe
your Highness Sir...!
Heche upo vizuri sanaa
Najivunia chadema
Huyu jamaa hatareee sanaa
huko juu
Tamimu Vairres 🤔
Mtapata tabu sanaa ccm
😭😭😭😭😭😭
Rais wazikilize hawa hata kidogo tu. Itakusaidia
Points, Heche
ahsante
hatariii cjui
Heche umeshashinda ubunge trh 29'10'2020
Global tv mm nna ushauri icho kitu kinacholia iyo sound mwanzo kabsa toeni inaumiza maskio kwa ss tunaotumia earphone
Kuna raha sana kuwa upinzani
Simon Fundi
Kwa akili yangu wanataka halmashauri zote waziongoze tu kwa remote ccm waweze kuwanyima wapinzani kwenye halmashauri zao.....WATALIPIGANIA SANA HILO WAZO CCM WATZ TUKIKAA KIMYA.LITAPITA KISHA MTAONA JINSI UBAGUZI UNAVYOZIDI KUKUA KWA HARAKA
penda sana chama langu ✌🏼✌🏼✌🏼forever 😍😍😍
japo niko mbeya namkubali sana uyu jamaa john heche
saf saaana
John Heche ni mmojawapo wa watu makini na vichwa sana, bahati mbaya sijui kwa nini watu bora wapo nje ya system.. walio kwenye system ukisikiliza wakiwa wanahojiwa unaweza kushika kichwa aibu tupu
Heche ni mwanaume na kiongozi wa kipekee anayeweza kusimamia maslahi ya wananchi wote Tanzania nzima
Nampenda sana heche jamani Mungu amuweke miaka 100 anaongea point ni mkweli anajiamin yuko gadoooooo
Haya wakina bashite mpoo
Nakuunga mkono Mheshimiwa Heche..umeongea la maana leo.
Barlows sana kamanda
mungu akubarki sana ndugu
mbona hawaombi taarifa ,saf
anaongea point tupu
Heche noma aiseeeeeee
Conrad junior huu ndiyo ukweli
Huyu ndio mra msimi
Mh.Waziri wa fedha chukua hili...tuokoe watz...
ubarikiwe kk
Saafi sana
Hizo ndiyo hoja
Darius Limbu safi sana Mura tabhatyebha ubhohene
Nikweli nimeenda Tanesiko kuwekewa umeme kwenye nyumba ambayo inaumeme tahari ninatakakutumia pekeyangu make mwenyenyumba aliniruhusu nikaambiwa nilipe sh350000
Wewe mh heche ni msema ukweli kuliko jiwe
Silinde ht km kipofu mnafiki mkubwa
Saf San
Shikamoo heche ,nipo singida nakuja msoma kukuona tu na nijue ivi wew ni MTU kweli ama malaika?
Heche ww ni mbunge wa aina yake tangu tarime tuchague sijaona kiboko kama ww, kura yangu 2020 lazima iangukie kwako .
Saw kabisa
Namkubali
Jembeeeee hilooo
Wabunge wa ccm hawawezi kuongea kama heche.akiongea hvyo tu.anapugwa.
heche noma
Taarifa za leo
Majibu
Mbn ccm wanawachukua wapinzani...
yani selikari hii nishida
Mbunge mmoja wa upnzan sawsaw na ccm 20
Kazikazi mkuuuu.
Pitta msigwa nakupendaga ukichekaga
✌
Heche we ni jiwe kwerikweri nakupongeza kwa dhati kabisa,
wabunge ni kama hawa sio wale nyinyiem wanao ogopa kusema ukweli