- Видео 143
- Просмотров 254 004
MARA DIGITAL
Добавлен 18 фев 2021
Karibu kwenye Channel yetu ya NEWS MARA DIGITAL TV (Online) Subscribe. Like Comment karibu sana
CHADEMA YAMVAA WAZIRI MCHENGERWA, YATANGAZA MSIMAMO MKALI KUHUSU MWENENDO WA UCHAGUZI
CHADEMA YAMVAA WAZIRI MCHENGERWA, YATANGAZA MSIMAMO MKALI KUHUSU MWENENDO WA UCHAGUZI
Просмотров: 3 778
Видео
KEMBAKI ASHANGAZA WENGI ACHANGIA MIL.5 UNUNUZI WA GARI LA MCHUNGAJI KANISA LA PCT MSATI TARIME MJINI
Просмотров 17822 часа назад
TARIME MJINI
PIGO ZITO KWA CCM KATA YA PEMBA, MWENYEKITI WA SERIKALI ATIMUKIA CHADEMA AANIKA UWAZI HADHARANI
Просмотров 9 тыс.2 часа назад
PIGO ZITO KWA CCM KATA YA PEMBA, MWENYEKITI WA SERIKALI ATIMUKIA CHADEMA AANIKA UWAZI HADHARANI
DIWANI KEGOYE AHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA WAKAZI ,ATINGA KITUONI KUJIANDIKISHA
Просмотров 834 часа назад
DIWANI KEGOYE AHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA WAKAZI ,ATINGA KITUONI KUJIANDIKISHA
MGODI BARRICK NYAMONGO TARIME WAJIVUNIA MIRADI MIKUBWA , WANANCHI WAFUNGUKA UJENZI WA SHULE MPYA
Просмотров 954 часа назад
MGODI BARRICK NYAMONGO TARIME WAJIVUNIA MIRADI MIKUBWA , WANANCHI WAFUNGUKA UJENZI WA SHULE MPYA
MBUNGE KEMBAKI AREJESHA TABASAMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU S/M MAGUFULI TARIME AKABIDHI VITI MWENDO
Просмотров 1777 часов назад
MBUNGE KEMBAKI AREJESHA TABASAMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU S/M MAGUFULI TARIME AKABIDHI VITI MWENDO
KISHINDO CHA MATEMBEZI YA VIJANA BUTIAMA - MWANZA NI NOMA , CDE. SOMBI & KATIBU JOKATE WAKIWASHA
Просмотров 2769 часов назад
KISHINDO CHA MATEMBEZI YA VIJANA BUTIAMA - MWANZA NI NOMA , CDE. SOMBI & KATIBU JOKATE WAKIWASHA
UVCCM MARA YAJIPANGA MATEMBEZI KILELE CHA MWENGE WA UHURU , WAFUNGA KAMBI BUTIAMA MARA
Просмотров 22712 часов назад
UVCCM MARA YAJIPANGA MATEMBEZI KILELE CHA MWENGE WA UHURU , WAFUNGA KAMBI BUTIAMA MARA
CHADEMA YAWASHTUKIA WASIMAMIZI UCHAGUZI, YATINGA NA MAWAKALA 81 KUAPISHWA KUELEKEA UCHAGUZI
Просмотров 13 тыс.12 часов назад
CHADEMA YAWASHTUKIA WASIMAMIZI UCHAGUZI, YATINGA NA MAWAKALA 81 KUAPISHWA KUELEKEA UCHAGUZI
CHONCHORIO APIGA JEKI MIL.2 HARAMBEE UZINDUZI DVD YA KWAYA YA MTAKATIFU YOSEFU MFANYAKAZI TARIME
Просмотров 29216 часов назад
CHONCHORIO APIGA JEKI MIL.2 HARAMBEE UZINDUZI DVD YA KWAYA YA MTAKATIFU YOSEFU MFANYAKAZI TARIME
MAHAFALI UKWATA KENYAMANYORI YATISHA ,MGENI RASMI STEVEN EZEKIEL AFUNGUKA MAZITO,ATATUA CHANGAMOTO
Просмотров 18919 часов назад
MAHAFALI UKWATA KENYAMANYORI YATISHA ,MGENI RASMI STEVEN EZEKIEL AFUNGUKA MAZITO,ATATUA CHANGAMOTO
NAMBA TATU MGENI RASMI MAHAFALI JOPE BOYS SEC. RORYA,AKASIRISHWA NA WANAOMSEMA VIBAYA RAIS DKT.SAMIA
Просмотров 144День назад
RORYA MARA
TAASISI YA PST YAWANOA WATUMISHI MAFUNZO YA ITIFAKI, DR. GONDE AWAASA WALIOPATA MAFUNZO YA ITIFAKI
Просмотров 18414 дней назад
TARIME - MARA
KISHINDO CHA TK MOVEMENT TARIME , YAZINDULIWA RASMI, DC MEJA GOWELE ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIJANA
Просмотров 20514 дней назад
KISHINDO CHA TK MOVEMENT TARIME , YAZINDULIWA RASMI, DC MEJA GOWELE ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIJANA
CCM YAAWAKUMBUKA WASTAAFU ,CHANDI AKUTANA NA MWITA CHAMBIRI MKITI MSTAAFU CCM MKOA MARA KWA MIAKA 10
Просмотров 48314 дней назад
CCM YAAWAKUMBUKA WASTAAFU ,CHANDI AKUTANA NA MWITA CHAMBIRI MKITI MSTAAFU CCM MKOA MARA KWA MIAKA 10
" MAPANGA TUACHIE CCM" CHADEMA MARA YAWAONYA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025, CHACHA HECHE AWAKA
Просмотров 3,4 тыс.14 дней назад
" MAPANGA TUACHIE CCM" CHADEMA MARA YAWAONYA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025, CHACHA HECHE AWAKA
"NITAMSEMEA RAIS NA MWAKA 2025 NITASTAAFU SIASA" NAMBA TATU ANENA UZINDUZI WA MATIKO FOUNDATION
Просмотров 85914 дней назад
"NITAMSEMEA RAIS NA MWAKA 2025 NITASTAAFU SIASA" NAMBA TATU ANENA UZINDUZI WA MATIKO FOUNDATION
ESTHER MATIKO AKIWASHA ,AZINDUA TAASISI YA MATIKO FOUNDATION RC MARA KANALI MTAMBI ATEMA NYONGO
Просмотров 1,1 тыс.14 дней назад
ESTHER MATIKO AKIWASHA ,AZINDUA TAASISI YA MATIKO FOUNDATION RC MARA KANALI MTAMBI ATEMA NYONGO
MBUNGE KEMBAKI AKABIDHI BAJAJI ( GUTA) KWA KIKUNDI CHA KIJAMII WAMPONGEZA KWA KUWA MBUNGE WA VITENDO
Просмотров 12321 день назад
MBUNGE KEMBAKI AKABIDHI BAJAJI ( GUTA) KWA KIKUNDI CHA KIJAMII WAMPONGEZA KWA KUWA MBUNGE WA VITENDO
MBUNGE KEMBAKI AGAWA GESI 300 KWA WAJASIRIAMALI" BEI YA GESI ISHUKE NITASHAWISHI WABUNGE WENZANGU"
Просмотров 9821 день назад
MBUNGE KEMBAKI AGAWA GESI 300 KWA WAJASIRIAMALI" BEI YA GESI ISHUKE NITASHAWISHI WABUNGE WENZANGU"
NAMBA TATU AFUNGUKA SHEREHE ZA VIJANA ,WATAFUTA NJIA SDA KEMANGE ,ASISITIZA MAADILI KWA WATOTO
Просмотров 9821 день назад
NAMBA TATU AFUNGUKA SHEREHE ZA VIJANA ,WATAFUTA NJIA SDA KEMANGE ,ASISITIZA MAADILI KWA WATOTO
MAGUMU YANAYOWAKUMBA BODA BODA TARIME ,WAFUNGUKA WATUMA UJUMBE MZITO KWA JESHI LA POLISI
Просмотров 27221 день назад
MAGUMU YANAYOWAKUMBA BODA BODA TARIME ,WAFUNGUKA WATUMA UJUMBE MZITO KWA JESHI LA POLISI
CCM YAVUNJA NGOME YA CHADEMA KENYAMANYORI, DIWANI FARIDA ATEMA CHECHE
Просмотров 40921 день назад
CCM YAVUNJA NGOME YA CHADEMA KENYAMANYORI, DIWANI FARIDA ATEMA CHECHE
M/KITI KILESI AMPIGA ZA USO DIWANI NYAHIRI WA CHADEMA KATA YA MBOGI, ACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI
Просмотров 234Месяц назад
M/KITI KILESI AMPIGA ZA USO DIWANI NYAHIRI WA CHADEMA KATA YA MBOGI, ACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI
CHADEMA YAKIWASHA SAKATA LA UTEKAJI " TUTAANDAMANA DAR ES SALAAM KUISHINIKIZA SERIKALI
Просмотров 553Месяц назад
CHADEMA YAKIWASHA SAKATA LA UTEKAJI " TUTAANDAMANA DAR ES SALAAM KUISHINIKIZA SERIKALI
CHADEMA KANDA YA SERENGETI YAMVAA WAZIRI BASHE ,NI KUHUSU TAMKO LAKE LA WAKULIMA KISESA ,NGOTO AWAKA
Просмотров 4,8 тыс.Месяц назад
CHADEMA KANDA YA SERENGETI YAMVAA WAZIRI BASHE ,NI KUHUSU TAMKO LAKE LA WAKULIMA KISESA ,NGOTO AWAKA
SOYA ONE LIMITED YAFANYA MAKUBWA, YAFANIKIWA UHAMASISHAJI VIJANA WA TIMU YA KENYAMANYORI FC
Просмотров 122Месяц назад
SOYA ONE LIMITED YAFANYA MAKUBWA, YAFANIKIWA UHAMASISHAJI VIJANA WA TIMU YA KENYAMANYORI FC
KEMBAKI AHITIMISHA LIGI YA POLISI JAMII CUP, AKABIDHI ZAWADI WASHINDI WATATU , ATANGAZA LIGI YAKE
Просмотров 97Месяц назад
KEMBAKI AHITIMISHA LIGI YA POLISI JAMII CUP, AKABIDHI ZAWADI WASHINDI WATATU , ATANGAZA LIGI YAKE
KATIBU HAMASA NA CHIPUKIZI CDE.OTUOMA ASISITIZA VIJANA KUJIANDIKISHA, APOKELEWA KWA KISHINDO RORYA
Просмотров 36Месяц назад
KATIBU HAMASA NA CHIPUKIZI CDE.OTUOMA ASISITIZA VIJANA KUJIANDIKISHA, APOKELEWA KWA KISHINDO RORYA
KEMBAKI MGENI RASMI POLISI JAMII CUP, APIGA JEKI MILIONI 4 KWA MWANDAAJI , SHAMBA LA BIBI TARIME
Просмотров 102Месяц назад
KEMBAKI MGENI RASMI POLISI JAMII CUP, APIGA JEKI MILIONI 4 KWA MWANDAAJI , SHAMBA LA BIBI TARIME
Mbona tunalalamika, sana, niwakati wa kuchukua atua, wamezoea kuiba kama 2019 , tuchukue hatua
Mawakala Wenyewe Hamna Ataapishwa nani
Mafisiemu ni korona la taifa
Viongozi wa cdm unavyolalamika mnawafanyq wananchi wakate tamaa kwenda kujiandikisha kuwa wanapoteza muda chukuweni hatua kali kulingana na tukio
Mnatwambia sisi tufanyeje peleka malalamiko yenu mahakamani
Chawa ilo halitaki kusikia ukweli
Kila Kona live bila chenga
Ndugu zetu msikubali kuchezewa na ccm na magenge yao ya wahuni, nchi ni ya WATANGANYIKA sio ya ccm , na Uchaguzi ni wa Wananchi.
WATANGANYIKA msikubali ccm ikakufanyieni kama walivyofanya 2020, inaonesha wamekusudia KUIBA Kura nchi nzima.Kataeni kuwa na Uchaguzi 2025 mbinu ndio zile zile walizozifanya 2020 Tamisemi inaandaa hujuma hizo kuwakatalia Wananchi kuchaguwa viongozi wanaowataka.
HAKI HUINUA TAIFA.
WATANGANYIKA msikubali ccm ikakufanyieni kama walivyofanya 2020, inaonesha wamekusudia KUIBA Kura nchi nzima.
Hili jama ni zuri kuwa rais ubunge siyo size yake
Hakuna lolote porojo tu
We sauti acha uongo wewe
Sasa mbona unatuchanganya kama hakupewa idadi anahakiki namba ya mwisho ya siku iliyopita kutoka wapi
Peleka ushahidi mahakamani acha porojo kaka sio sawa kwani kila kituo kinatoa idadi kwa mawakala sasa kama wakala hayupo kituoni unataka apewe akiwa gesti au kwake!???.hiyo taarifa si sahihi
Hizo ni propaganda tatizo mnawaza tu kuibiwa kila siku poleni sana
Ok sawa
Mikoa yote tungepata watu wajasili kama Hawa, ccm ni walaini sana
Wewe kama uko na uhakika nenda mahakama basi
Sasa makosa yako wapi hapo ,wewe huna hoja hata moja
Acha ushabiki wa kijinga sikiliza hoja vizuri utaelewa
Mamtu mengine ni majinga kupitiliza Kama wewe
Acha ujinga wewe huna hata haya
Wanataka kuwaua kwenye vituo maana wao. Wako wengi
Hivi mtalalamika hadi lini itafika wakati wananch tutawadharau yani kitumnakijuwa wenzenu hawajali utu wakitaka lao
Umma ni lazima uhabarishwe kuhusu kinachoendelea ktk nchi yao
Hahahaa tatzo kubwa sana kwa taifa
Namkubar sana heche
Sasa hivi ccm watajifanya kondoo kwa sababu ya uchaguzi! Ngoja uchaguzi uishe mshuhudie watakavyovaa ngozi yao halisi ya mwitu! Wananchi mtajutia! Msirubunike na zawadi na michango ya kampeni za uchaguzi ili muwapigie kura ccm! Uchaguzi ikiisha mtajutia maisha yajayo na ccm! Ikatae ccm hizo ni hadaa tu za uchaguzi!
Nashangaa yanayoendelea katika Taifa hili kwa sasa!
Najiuliza tu maswali na sipati majibu kwamba JE: Kwa hali tunayoiona inaendelea Nchi nzima kuhusu malalamiko mbalimbali kuhusu zoezi la uandikishaji je kutakuwa na uchaguzi huru na haki??? Ccm inaonekana wazi kabisa kwamba kuna mbinu chafu zinapangwa na ccm kuvuruga uchaguzi ili mwsho wa yote ccm. wajitangazie ushindi haramu! Je itakuwaje!? Mungu ingilia kati Taifa letu libakoelekea siko! Mungu ibariki chadema na viongozi wote wapenda haki,Ameni.
Yule DC wa longido alisema hata Sasa ccm huu uchaguzi wa mitaa wameshajua mbinu ya kutumia
Huo muda wote ulikua wapi..?
Ndio mana walitaka wawe wenyewe ili wafichiane siri
Haki haki ccm awapendi haki unakuta ata wao viongozi wanapenda watende haki ila ccm awapendi haki wao wako radhi wakulipe tu mshaara ili uenderee kua kimya usipambanie maendereo mbaka watapopenda wao kuleta au wasilete akuna uhuru ccm wakudai maendereo
Hongera sana
Demokrasia kaka, hujanunuliwa, piga kazi acha mineno
Jamani mikoa yote igeni msimamo wa Wanachama wa Tarime. Ni ili hawa wasiotegemea ushindi wa kura wakakae nyumbani wanaokubalika na wananchi.
Wanaokubalika na wananchi ndio wawaongoze watu. Wa magoli ya mkono safari hii hakuna.
Hongela sana
Sasa baaaaas pipoooooooz🎉🎉🎉🎉
Huyo tumemtuma
Honger kwa kujitambua na kujitasmini umeachana dhuruma
Haswaaaaaaaaaa
Hongera sana .kwa kuokoka kwako umejitambua
Tarime ni mfano wakuigwa na wanachadema wote
Tunashukur kwakujitambua kuwa hamkuwa sehem sahihi karibu kwasimakamanda tuikomboe nchi yetu
Hamna lolote
CCM ukiwemo huruhusiwi kusema lolote
Sasa ww unadhani watajali
Hongera kwa kuokoka na kuacha dhambi KUBWA sana MUNGU atakuwa ameshakusamehe
Achana na misukile ni uwamuzuri sana.
Hayo kaka yalitokea uku tegeta walimfukuza mwenyekiti Gwajima na urio na kikundi chake
Uchaguzi umefika!! Walikuwapi??!
Ccm ni dhulma tu
Awe mwanachama wa kawaida kwanza,asipewe nafasi nyeti mapema,yumkini akarudi kulekule😂
Kasoro kugombea umwenyekiti wa taifa chadema ukigombea tu watakutowa macho,na hospital hakuna tanzania mama tembelea huko kunakero kubwa sana wanakualibia wanachi tunateseka gharama ni kubwa sana na huduma hakuna.muimbili ni kansa kwa watanzania.
KAMANDA HECHE YUKO WAPI???!!!