Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
HTML-код
- Опубликовано: 21 окт 2024
- Rais Mpya wa Chama cha Mawakili Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi amewataka mawakili kuondoa tofauti na kuwa pamoja huku akisisitiza umuhimu wa Chama hicho kuchukua nafasi yake kama wataalamu wa sheria nchini. Mwabukusi ameyaongea haya mapema baada ya kuapishwa leo Agosti 03,2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Nimekubatiza unaitwa Yelemia.Mambo yako unafanana na nabii Yelemia,hongera sana Mungu akubariki na akulinde na maadui zako wote.
Nimepata Imani sasa🙏🙏❤️
Absolutely my icon , God stands with you and other Tanganyika's people.
Perfect speech strong meaning big brain bright future bravo brother bravo TLS.
U are a man of people GOD is with you.
Mwambukusi sounds like a LEADER not as BOSS.
Bravo Mr Nwambukusi
Hongera saana Mh Mwabukusi, hongera Wana Kwa kumpata kiongozi mahiri. Tuna imani na wewe. Mungu wa mbinguni akulinde
Hongera kaka Mungu akulinde katika kweli yote
Good 👍👍👍👍 your I leader big up
Nakukubali mwabukusi
daaaa moyo wangu unaamani sasa
Hongera, uko smart ktk msimamo ,,i like your's.
Well done
❤ Asanteni sana mawakili kwa kuchangua chuma hiki
Songa mbele mheshimiwa achana na huyo chawa wa ccm Nkoba uwe makini sana naye
Hongera sana Boniphace Mwabukusi 🎉🎉🎉🎉
Congratulations to you, we believe much on you!!
Ukitaka kujua kulikuwa na mkono wa huko Juu. Hata kwa magazeti wamehabarisha kwa kubana sana.
Hii ni hatari kabisa kwa taifa.
Hongera sana.Mungu akutangulie
I stand with mwabukusi
Tunakuamini Mwabukusi
Hongeraaa mwabukusiiiii😂😂🎉🎉 baba pambana kwenye bandar hapo mbaka huyu mama aseme mwenyewe
😂😂
A choosen angel 🙏
Huyu ni kiongozi aise!
Ongera sana kwa ushindi
Mungu ni Mwema sana.huyu kuchaguliwa ni mkono wa Mungu.Tunakuombea sana ufikishe jukumu hil mbele kwa faida ya wanasheri wenzako, na taifa lako.
Mkono wa Mungu unaujua?
Acha upumbavu ww,acha chuki juha mkubwa@@huyu1993
Very constructive speech.. ! Open and straight
Asante kwa kuchaguriwa tenda kazi yako ki hara
Mungu amsaidie yupo vizuri
You can be a president
Hongera mwabukis kwa ushind ulio upata
This man
God bless you Mr mwabukusi
Mungu akujalia Afya njema pia maisha mungu akupe guvu katika maisha yako ili upigania haka katika taifa lako mungu akusimamie inshallah❤❤
Asante Mungu kwa kutupa rais mpya wa TLS..kura zimetosha japo ilikuwa ni kwa mbinde.
Hongera kwa ushindi wakili kajunjumele tutakuunga mkono kwa kazi yako ya haki
Mwambukusi oyeeeerrrreerr🎉
Asante mwambukusi kwa kuona wananchi tunaona
Hongera sana
Hongera sana bro, may Almighty God 🙏 U
Big up
I was preaching to God you mb to win
A man from South Mbeya Moja mnyakyusa Makini San
Tunaomba Mby iendelee kuzalisha genius
Hongera sana Dr. Mwabukusi mi nikuombe tu FANYA HATUA KWA HATUA !!
Mungu atawapigania ✊
Ongera Sana wakili msomi mwabukusi ongera Sana zaidi ya sana
Akili kubwa hii
Uchaguzi ule ulifuatiliwa na watu wengi na wakijua Mwabukusi utapita Kwa kura nyingi na imekuwa hivyo. Tuna Imani utaonyesha njia kwa kufuata KATIBA Ili haki itamalaki Kwa watu wetu na maendeleo Yao na Ili tuseme yes Mwabukusi.
UPO VIZURI SANA MH MUNGU AKUSIMAMIE
Hongera sana kaka mungu azind kukuinua
Niliwaza nchi hii tutajikomboa vipi kifikra, kihaki na ki ukweli. Kumbe it is through this chama. Tunaungana nanyi.
Oy oy oy oy hongera upele umefika kwa mkunaji, ngoja mvua inyeshe tuone panapo vuja Mwabukusi🌹
Mungu akutunze mh wakili raisi wa TLS tunatumaini mtatuvusha kutoka hapo tulipo na kusonga mbele hasa ktk mageuzi ya Sheria kandamizi inayopitishwa na wabunge wa chama kimoja hasa wale wasio na Elimu yakutosha wamebaki kupiga makofi tu na kushangilia
good message
Kweli mwabukus mm nakukubali kwani mm natamani kukuona tu uko vema
Hongera sana Simba wa Vita Sasa ukimbizi umepatikana
😅😅😅ndeza sana uwe nuru kwa taifa ushangaze dunia wabaya waaibike milelee
Safi. ❤ Mwabhukusi. Mzalendo WA kweli ndio huyu. Laiti chaguzi ZETU zingekuwa haziingiliwi na mashetani waliojificha kwenye rangi ya kijani na njano nchi yetu ingekuwa mbali sana. LAKINI tunamshukuru MUNGU hatayaacha hayo mashetani yaendelee kuitesa Tanganyika.
Naomba na ya mwambukusi
Naona nuru😂
Hongera sana mweshimiwa mwabukusi
Jeshiii
All the best 🎉
TLS mnajipangaje kuhakikisha chaguzi za Selikali za mitaa na uchaguzi mkuu unasimamiwa kwa haki na matokeo ya haki ndio yatangazwe?
👍
Kyala gwa kaka.
HONGERA SANAAA
MHESHIMIWA B.A.K. MWABUKUSI
Mimi nina imani uchaguzi ujao utakuwa wa amani na wa haki.
Atakuwa kamaliza MDA wake mbona
🔥🔥🔥🔥🔥
Kupitia chama hiki hakuna jambazi ataropoka kubeza wataalamu hawa mungu ambariki Rais TLS na mawakili wote watetea haki na usawa katika Taifa Letu.
Nikiwa Kijiji i stand with mwabukusi
Huyu ni mwamba sana na ni mtu muhimu sana kwa haki za Watanganyika
🤝🤝🤔🤔👍👍👍
Ila huyu mwamba yupo vinzuri
Mwabukus.nakuamini.sana.rahis.wetu.tridie.baba.rasrimari.zetu.zatanzania.kuna.watu.bazi.hawatujari
Watanzania.wanyonge
Hadi uchaguzi 2025 ufike kitaeleweka, humu tu kumamamake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Weee hiyo furaha yako imepiliza
Mungu awe nawe KTK uongozi wako
Please be neutral.Never ever be a CCM or Chadema
Mimi nimeanza kuipendakazi Yako mdasana nilikuona wewe nisimba
😂😂😂😂😂
TLS - Mwabukusi
BUNGE - Tulia
Mbeya kuna Vichwa eeeh!? But napata Maswali hawa watu wana Ushirikiano..? Kukiwa na ushirikiano litakuja jambo Jema sana..kwenye jambo Haki kuna Changamoto sana..na wahusika wanaosababisha haya ni Mawakili wanaendekeza sana njaa.
Halafu wote ni wanasheria aiseeee Noma sn
Nawasi mawakili wawe kitu kimoja kuwakomboa vizazi vyeti vijavyo maana hapa tulipo tuko tabani
Aise Rais nimefurahi walivyo umechaguliwa wewe hakika mambo yataenda nakuaminia
Usibadilike tumekuamin kufakwako nitalehe yako kwaiyo usiogope kusimamia haki kisa kuogopa watakufanyaje mungu akulinde tunaamin wanao tuongoza niwaovu usikubali wakuingize mkenge kaka
Chuma hicho.Hongereni TLS kwa uchaguzi wenu mahiri kwa kumpa huyo jamaa hiyo post,kwa kweli inamfaa.
kama ni uzalendo huyu mwamba anaonesha ana uzalendo kwel, tuvushe baba!
JEE NIMWANZO WA KURUDI SEREKALI YA TANGANYIKA BAADA YA USHINDI HUU?
me nimependa jee ww unasemaje jembe letu hilo
Wengiturikuwa tunakuombeadua mwabukusi fanyakazi tutetesisiwanyonge tusiyokuwa na msadawowote tusaidie sisimasikini hatuna mtetezi
Mimi niko KIGOMA nimejisikia vzr mno kwa kuchaguliwa,hakika wewe nimtu wakipekee kwa kutetea maswala yakijamii wara wewe siyo mbabaishaji piga kazi ipaswavyo
dili na wanyonge mwabu kusi langu ilotu tuna onewa sana
🥰🥰🥰
Hiki chama kinakazi kubwa sn sema viongozi huwa wanatoka kwenye misingi ya chama cha TLS NAKUFANYA YAO
Kuteuliwa kua wakala wa shetani ama?
Toa taarifa kamilifu
Vimidia vidogo havina habari ya maana😊
Baba mwabukusi ahadi ni deni timiza ndoto za matarajio mazur ya watanzania yani tunataka katiba mpya tuwe na mfano Bora uchaguz mkm
Mwabukusi ajaribu 2025 uraisi wa tz, yani itakua ni humu tu kumamamake, sisi na wamasai wotw tunamkata mama kilemba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
uzalendo mbele mjomba mwabukusi
Pga kazi mkubwa wabobezi wenzio tuko nyuma yako
Mwamba wetu pigania tanganyika yetu pili tunahitaji bandar tatu hatumtaki samia
Tatizo la huyu Jamaa anachanganya siasa kwenye hii kazi
Si kweli. Nadhani huna ufahamu wa neno SIASA. Anazungumzia wanasheria, sheria, haki za watu, na mahakama. Hivyo vitu vyote ni ishu za SHERIA. au ulivyosikia kazungumzia mikataba ya taifa na chaguzi Ukadhani ni SIASA.
Kivipi fafanua,alafu kwenye maswala yote ya nchi unaikwepaje siasa?
Weee mpuuuzi kweli hao viongozi waliopita wote wamechanganya na siasa mbona hukusema !!!??? Tena huyu ndiyo akachanganye sana kabisa kwa maendeleo ya Wananchi wa Tanzania.
@@DanstanMushoboziHuyo hana lolote ni mshabiki tu wa serikali ya CCM wakat viongozi wote wamepita wako ndani ya siasa na walifuata upepo wa serikali iliyopo madarakani !
!!!! Tatizo hlo hakuona !??? Huyo ni chawa na Shabiki wa Mafisadi tu.
Nadhani unachangamto a uelewa
USICHANGANYE SIASA KWENYE KAZI YAKO NA UKADHANI KUWA UPINZANI KWA SEREKALI KATIKA KILA KITU NI JAMBO LA MAAANA
Kwahiyo wewe huoni kama wamasai hawatendewi haki? Wewe ndio unaleta siasa. Labda wewe hauna kwenu na kama unako haueshimu mila na destuli za asili yako. Sio jambo jipya serikari kuamisha watu ila haijawahi kutokea kabila zima kuamishwa kwenda kwenye mkoa hauna mausiano na asili yao hilo halijawahi kutokea hata wakati wa wakoloni. Ni muhimu kuwatetea sio siasa.
Tafuta pahali kaa utulie huna hata hadhi ya kumshauri Mwabukusi ndio maana jana hukuwepo kwenye kupiga kura
Wewe hujitabui uccm Yako haitakiwe kwenye chama Cha wanasheria
Acha upumbavu wewe shetani, hoja za rais ziko sahihi
ACHAUJUAJI USITULETEE MIGOMO NA FUJO HUO NI UPUUZI
Hili ndio gunia lililotoboka kichwani maana halijui lolote.
Kama bunge limeshindwa kuisimamia serikari TLS inabidi wafanye hiyo kazi wakishirikiana na mahakama.
Tumia akiri basi
Hongera sana