Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024
  • Rais Mpya wa Chama cha Mawakili Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi amewataka mawakili kuondoa tofauti na kuwa pamoja huku akisisitiza umuhimu wa Chama hicho kuchukua nafasi yake kama wataalamu wa sheria nchini. Mwabukusi ameyaongea haya mapema baada ya kuapishwa leo Agosti 03,2024.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 141

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 2 месяца назад +35

    Nimekubatiza unaitwa Yelemia.Mambo yako unafanana na nabii Yelemia,hongera sana Mungu akubariki na akulinde na maadui zako wote.

  • @ismailibrahim-mo3ww
    @ismailibrahim-mo3ww 2 месяца назад +12

    Nimepata Imani sasa🙏🙏❤️

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 2 месяца назад +11

    Absolutely my icon , God stands with you and other Tanganyika's people.

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 месяца назад +2

    Perfect speech strong meaning big brain bright future bravo brother bravo TLS.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 2 месяца назад +10

    U are a man of people GOD is with you.

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 2 месяца назад +16

    Mwambukusi sounds like a LEADER not as BOSS.
    Bravo Mr Nwambukusi

  • @anthonyzimulinda7873
    @anthonyzimulinda7873 2 месяца назад +2

    Hongera saana Mh Mwabukusi, hongera Wana Kwa kumpata kiongozi mahiri. Tuna imani na wewe. Mungu wa mbinguni akulinde

  • @JohnNjuyuwi-c2t
    @JohnNjuyuwi-c2t 2 месяца назад +8

    Hongera kaka Mungu akulinde katika kweli yote

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 2 месяца назад +9

    Good 👍👍👍👍 your I leader big up

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 2 месяца назад +13

    Nakukubali mwabukusi

  • @SalomeYegela
    @SalomeYegela 2 месяца назад +15

    daaaa moyo wangu unaamani sasa

  • @chezariboy
    @chezariboy 2 месяца назад +2

    Hongera, uko smart ktk msimamo ,,i like your's.

  • @hajimjaja1163
    @hajimjaja1163 2 месяца назад +11

    Well done

  • @ntibashimadicksonmathiasna2915
    @ntibashimadicksonmathiasna2915 2 месяца назад +1

    ❤ Asanteni sana mawakili kwa kuchangua chuma hiki

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 2 месяца назад +14

    Songa mbele mheshimiwa achana na huyo chawa wa ccm Nkoba uwe makini sana naye

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 2 месяца назад +8

    Hongera sana Boniphace Mwabukusi 🎉🎉🎉🎉

  • @divastv4984
    @divastv4984 2 месяца назад +1

    Congratulations to you, we believe much on you!!

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 2 месяца назад +16

    Ukitaka kujua kulikuwa na mkono wa huko Juu. Hata kwa magazeti wamehabarisha kwa kubana sana.
    Hii ni hatari kabisa kwa taifa.

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 2 месяца назад +1

    Hongera sana.Mungu akutangulie

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 2 месяца назад +12

    I stand with mwabukusi

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk 2 месяца назад +10

    Tunakuamini Mwabukusi

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 2 месяца назад +5

    Hongeraaa mwabukusiiiii😂😂🎉🎉 baba pambana kwenye bandar hapo mbaka huyu mama aseme mwenyewe

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 2 месяца назад +2

    A choosen angel 🙏

  • @mwanakwetu6472
    @mwanakwetu6472 2 месяца назад +1

    Huyu ni kiongozi aise!

  • @kalagazacanada559
    @kalagazacanada559 2 месяца назад

    Ongera sana kwa ushindi

  • @norahfrank
    @norahfrank 2 месяца назад +7

    Mungu ni Mwema sana.huyu kuchaguliwa ni mkono wa Mungu.Tunakuombea sana ufikishe jukumu hil mbele kwa faida ya wanasheri wenzako, na taifa lako.

    • @huyu1993
      @huyu1993 2 месяца назад

      Mkono wa Mungu unaujua?

    • @DianaElias-d1v
      @DianaElias-d1v 2 месяца назад

      Acha upumbavu ww,acha chuki juha mkubwa​@@huyu1993

  • @Bihagaze
    @Bihagaze 2 месяца назад

    Very constructive speech.. ! Open and straight

  • @KanamugileCallixt
    @KanamugileCallixt 2 месяца назад +2

    Asante kwa kuchaguriwa tenda kazi yako ki hara

  • @kihondalutheran-qn1qk
    @kihondalutheran-qn1qk 2 месяца назад

    Mungu amsaidie yupo vizuri

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 2 месяца назад

    You can be a president

  • @KINASAITALABASH-pc8ld
    @KINASAITALABASH-pc8ld 2 месяца назад +1

    Hongera mwabukis kwa ushind ulio upata

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 2 месяца назад

    This man

  • @Tunaamini
    @Tunaamini 2 месяца назад

    God bless you Mr mwabukusi

  • @thabitimadabali1726
    @thabitimadabali1726 2 месяца назад

    Mungu akujalia Afya njema pia maisha mungu akupe guvu katika maisha yako ili upigania haka katika taifa lako mungu akusimamie inshallah❤❤

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 2 месяца назад

    Asante Mungu kwa kutupa rais mpya wa TLS..kura zimetosha japo ilikuwa ni kwa mbinde.

  • @NicodemusNkiami
    @NicodemusNkiami 2 месяца назад

    Hongera kwa ushindi wakili kajunjumele tutakuunga mkono kwa kazi yako ya haki

  • @musafidelis3543
    @musafidelis3543 2 месяца назад

    Mwambukusi oyeeeerrrreerr🎉

  • @musafidelis3543
    @musafidelis3543 2 месяца назад

    Asante mwambukusi kwa kuona wananchi tunaona

  • @AsheryMahayu
    @AsheryMahayu 2 месяца назад

    Hongera sana

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 2 месяца назад

    Hongera sana bro, may Almighty God 🙏 U

  • @makoyejeremiah5570
    @makoyejeremiah5570 2 месяца назад

    Big up

  • @NickTajir
    @NickTajir 2 месяца назад

    I was preaching to God you mb to win

  • @nikodemkajange3257
    @nikodemkajange3257 2 месяца назад

    A man from South Mbeya Moja mnyakyusa Makini San

    • @Yustina-q7x
      @Yustina-q7x 2 месяца назад

      Tunaomba Mby iendelee kuzalisha genius

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 2 месяца назад

    Hongera sana Dr. Mwabukusi mi nikuombe tu FANYA HATUA KWA HATUA !!

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 2 месяца назад

    Mungu atawapigania ✊

  • @emmanuelnnko-dv1th
    @emmanuelnnko-dv1th 2 месяца назад +1

    Ongera Sana wakili msomi mwabukusi ongera Sana zaidi ya sana

  • @tweveefron2106
    @tweveefron2106 2 месяца назад +1

    Akili kubwa hii

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад

    Uchaguzi ule ulifuatiliwa na watu wengi na wakijua Mwabukusi utapita Kwa kura nyingi na imekuwa hivyo. Tuna Imani utaonyesha njia kwa kufuata KATIBA Ili haki itamalaki Kwa watu wetu na maendeleo Yao na Ili tuseme yes Mwabukusi.

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w 2 месяца назад +11

    UPO VIZURI SANA MH MUNGU AKUSIMAMIE

  • @ruthnkurlu7602
    @ruthnkurlu7602 2 месяца назад +1

    Niliwaza nchi hii tutajikomboa vipi kifikra, kihaki na ki ukweli. Kumbe it is through this chama. Tunaungana nanyi.

  • @EmmanuelMaganga-ey4oz
    @EmmanuelMaganga-ey4oz 2 месяца назад

    Oy oy oy oy hongera upele umefika kwa mkunaji, ngoja mvua inyeshe tuone panapo vuja Mwabukusi🌹

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 2 месяца назад +3

    Mungu akutunze mh wakili raisi wa TLS tunatumaini mtatuvusha kutoka hapo tulipo na kusonga mbele hasa ktk mageuzi ya Sheria kandamizi inayopitishwa na wabunge wa chama kimoja hasa wale wasio na Elimu yakutosha wamebaki kupiga makofi tu na kushangilia

  • @EmmanuelKazimili-ky1ss
    @EmmanuelKazimili-ky1ss 2 месяца назад

    good message

  • @JofreyMfugale
    @JofreyMfugale 2 месяца назад +5

    Kweli mwabukus mm nakukubali kwani mm natamani kukuona tu uko vema

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 2 месяца назад

    Hongera sana Simba wa Vita Sasa ukimbizi umepatikana

  • @cassianhaule3681
    @cassianhaule3681 2 месяца назад +1

    😅😅😅ndeza sana uwe nuru kwa taifa ushangaze dunia wabaya waaibike milelee

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 2 месяца назад +8

    Safi. ❤ Mwabhukusi. Mzalendo WA kweli ndio huyu. Laiti chaguzi ZETU zingekuwa haziingiliwi na mashetani waliojificha kwenye rangi ya kijani na njano nchi yetu ingekuwa mbali sana. LAKINI tunamshukuru MUNGU hatayaacha hayo mashetani yaendelee kuitesa Tanganyika.

  • @NickTajir
    @NickTajir 2 месяца назад

    Naomba na ya mwambukusi

  • @abelmbilinyi7401
    @abelmbilinyi7401 2 месяца назад +1

    Naona nuru😂

  • @MaxmillianNassary
    @MaxmillianNassary 2 месяца назад +3

    Hongera sana mweshimiwa mwabukusi

  • @JerryMvanda-i1h
    @JerryMvanda-i1h 2 месяца назад

    Jeshiii

  • @rogasianshayo3740
    @rogasianshayo3740 2 месяца назад

    All the best 🎉

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 месяца назад +1

    TLS mnajipangaje kuhakikisha chaguzi za Selikali za mitaa na uchaguzi mkuu unasimamiwa kwa haki na matokeo ya haki ndio yatangazwe?

  • @knight6757
    @knight6757 2 месяца назад +1

    👍

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 2 месяца назад +1

    Kyala gwa kaka.

  • @mosesndomba9334
    @mosesndomba9334 2 месяца назад

    HONGERA SANAAA
    MHESHIMIWA B.A.K. MWABUKUSI
    Mimi nina imani uchaguzi ujao utakuwa wa amani na wa haki.

  • @Keyjop
    @Keyjop 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 2 месяца назад

    Kupitia chama hiki hakuna jambazi ataropoka kubeza wataalamu hawa mungu ambariki Rais TLS na mawakili wote watetea haki na usawa katika Taifa Letu.

  • @OrastoMgaya-rg2ck
    @OrastoMgaya-rg2ck 2 месяца назад

    Nikiwa Kijiji i stand with mwabukusi

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 2 месяца назад

    Huyu ni mwamba sana na ni mtu muhimu sana kwa haki za Watanganyika

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu 2 месяца назад

    🤝🤝🤔🤔👍👍👍

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад

    Ila huyu mwamba yupo vinzuri

  • @LeonardmatiasWiliamu
    @LeonardmatiasWiliamu 2 месяца назад

    Mwabukus.nakuamini.sana.rahis.wetu.tridie.baba.rasrimari.zetu.zatanzania.kuna.watu.bazi.hawatujari
    Watanzania.wanyonge

  • @StevenStima
    @StevenStima 2 месяца назад +1

    Hadi uchaguzi 2025 ufike kitaeleweka, humu tu kumamamake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 2 месяца назад

    Mungu awe nawe KTK uongozi wako

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 месяца назад

    Please be neutral.Never ever be a CCM or Chadema

  • @adelgotingingo8396
    @adelgotingingo8396 2 месяца назад +2

    Mimi nimeanza kuipendakazi Yako mdasana nilikuona wewe nisimba

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 месяца назад

    TLS - Mwabukusi
    BUNGE - Tulia
    Mbeya kuna Vichwa eeeh!? But napata Maswali hawa watu wana Ushirikiano..? Kukiwa na ushirikiano litakuja jambo Jema sana..kwenye jambo Haki kuna Changamoto sana..na wahusika wanaosababisha haya ni Mawakili wanaendekeza sana njaa.

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 2 месяца назад

    Nawasi mawakili wawe kitu kimoja kuwakomboa vizazi vyeti vijavyo maana hapa tulipo tuko tabani

  • @anitamashobe6185
    @anitamashobe6185 2 месяца назад

    Aise Rais nimefurahi walivyo umechaguliwa wewe hakika mambo yataenda nakuaminia

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 2 месяца назад

    Usibadilike tumekuamin kufakwako nitalehe yako kwaiyo usiogope kusimamia haki kisa kuogopa watakufanyaje mungu akulinde tunaamin wanao tuongoza niwaovu usikubali wakuingize mkenge kaka

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 2 месяца назад

    Chuma hicho.Hongereni TLS kwa uchaguzi wenu mahiri kwa kumpa huyo jamaa hiyo post,kwa kweli inamfaa.

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 2 месяца назад

    kama ni uzalendo huyu mwamba anaonesha ana uzalendo kwel, tuvushe baba!

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 2 месяца назад

    JEE NIMWANZO WA KURUDI SEREKALI YA TANGANYIKA BAADA YA USHINDI HUU?

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 2 месяца назад

    me nimependa jee ww unasemaje jembe letu hilo

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 2 месяца назад +1

    Wengiturikuwa tunakuombeadua mwabukusi fanyakazi tutetesisiwanyonge tusiyokuwa na msadawowote tusaidie sisimasikini hatuna mtetezi

  • @BukuruBahizi-go3fi
    @BukuruBahizi-go3fi 2 месяца назад

    Mimi niko KIGOMA nimejisikia vzr mno kwa kuchaguliwa,hakika wewe nimtu wakipekee kwa kutetea maswala yakijamii wara wewe siyo mbabaishaji piga kazi ipaswavyo

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 месяца назад

    dili na wanyonge mwabu kusi langu ilotu tuna onewa sana

  • @rwezanickson4249
    @rwezanickson4249 2 месяца назад

    🥰🥰🥰

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 месяца назад

    Hiki chama kinakazi kubwa sn sema viongozi huwa wanatoka kwenye misingi ya chama cha TLS NAKUFANYA YAO

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db 2 месяца назад

    Kuteuliwa kua wakala wa shetani ama?
    Toa taarifa kamilifu
    Vimidia vidogo havina habari ya maana😊

  • @EmmanuelJabayi-x4r
    @EmmanuelJabayi-x4r 2 месяца назад

    Baba mwabukusi ahadi ni deni timiza ndoto za matarajio mazur ya watanzania yani tunataka katiba mpya tuwe na mfano Bora uchaguz mkm

  • @StevenStima
    @StevenStima 2 месяца назад

    Mwabukusi ajaribu 2025 uraisi wa tz, yani itakua ni humu tu kumamamake, sisi na wamasai wotw tunamkata mama kilemba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 2 месяца назад

    uzalendo mbele mjomba mwabukusi

  • @LwitikoMwandosya
    @LwitikoMwandosya 2 месяца назад

    Pga kazi mkubwa wabobezi wenzio tuko nyuma yako

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 месяца назад

    Mwamba wetu pigania tanganyika yetu pili tunahitaji bandar tatu hatumtaki samia

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 2 месяца назад +2

    Tatizo la huyu Jamaa anachanganya siasa kwenye hii kazi

    • @RAHIMAWAZIRI-ik2kq
      @RAHIMAWAZIRI-ik2kq 2 месяца назад +3

      Si kweli. Nadhani huna ufahamu wa neno SIASA. Anazungumzia wanasheria, sheria, haki za watu, na mahakama. Hivyo vitu vyote ni ishu za SHERIA. au ulivyosikia kazungumzia mikataba ya taifa na chaguzi Ukadhani ni SIASA.

    • @DanstanMushobozi
      @DanstanMushobozi 2 месяца назад +1

      Kivipi fafanua,alafu kwenye maswala yote ya nchi unaikwepaje siasa?

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 2 месяца назад

      Weee mpuuuzi kweli hao viongozi waliopita wote wamechanganya na siasa mbona hukusema !!!??? Tena huyu ndiyo akachanganye sana kabisa kwa maendeleo ya Wananchi wa Tanzania.

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 2 месяца назад

      ​@@DanstanMushoboziHuyo hana lolote ni mshabiki tu wa serikali ya CCM wakat viongozi wote wamepita wako ndani ya siasa na walifuata upepo wa serikali iliyopo madarakani !
      !!!! Tatizo hlo hakuona !??? Huyo ni chawa na Shabiki wa Mafisadi tu.

    • @ramadhanichuma7925
      @ramadhanichuma7925 2 месяца назад

      Nadhani unachangamto a uelewa

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 2 месяца назад

    USICHANGANYE SIASA KWENYE KAZI YAKO NA UKADHANI KUWA UPINZANI KWA SEREKALI KATIKA KILA KITU NI JAMBO LA MAAANA

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 месяца назад +2

      Kwahiyo wewe huoni kama wamasai hawatendewi haki? Wewe ndio unaleta siasa. Labda wewe hauna kwenu na kama unako haueshimu mila na destuli za asili yako. Sio jambo jipya serikari kuamisha watu ila haijawahi kutokea kabila zima kuamishwa kwenda kwenye mkoa hauna mausiano na asili yao hilo halijawahi kutokea hata wakati wa wakoloni. Ni muhimu kuwatetea sio siasa.

    • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
      @ChristinaKilianNyoni-xb7lk 2 месяца назад +2

      Tafuta pahali kaa utulie huna hata hadhi ya kumshauri Mwabukusi ndio maana jana hukuwepo kwenye kupiga kura

    • @AnjelicaBayyone
      @AnjelicaBayyone 2 месяца назад

      Wewe hujitabui uccm Yako haitakiwe kwenye chama Cha wanasheria

    • @ErnestiSulle-w9k
      @ErnestiSulle-w9k 2 месяца назад

      Acha upumbavu wewe shetani, hoja za rais ziko sahihi

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 2 месяца назад

    ACHAUJUAJI USITULETEE MIGOMO NA FUJO HUO NI UPUUZI

    • @johnmuhitira7496
      @johnmuhitira7496 2 месяца назад

      Hili ndio gunia lililotoboka kichwani maana halijui lolote.

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 месяца назад

      Kama bunge limeshindwa kuisimamia serikari TLS inabidi wafanye hiyo kazi wakishirikiana na mahakama.

    • @yudatadeimdoe9215
      @yudatadeimdoe9215 2 месяца назад

      Tumia akiri basi

  • @eliazalgwambie6316
    @eliazalgwambie6316 2 месяца назад

    Hongera sana