Jitafakari wewe hapo ulipo je Kuna nafasi yeyote ambayo utajilinganisha na marehemu Edward Sokoine? Je unakumbuka maneno yako kabla hujapewa cheo? Sasa hiyo itawatafuna
Hivi vitabu vya viongozi viwe vinatumika hasa sekondari na vyuo vikuu kwenye uchambuzi na pia italeta Chachu ya wasomi wengi kupata maarifa ya uongozi na uzalendo.
Prof ana uwezo mkubwa wa kujieleza na kuelezea, lakini ukekelezaji kivitendo hapo ana kigugumizi kikubwa Sana, pamoja na yote bado CCM Wana fumbia macho matatizo ya utekaji na ukaji wanmeweka pamba masikioni hii ni AIBU kwa Chama kongwe kutotoka hadharani na kuelezea ukweli.
This is an interesting narrative to twist and walk close to the Maasai,after serious injuries on their land and livelihood by the government of the land.
Mama tunakupenda sana usihofu na kelele za wapinzani wewe ni raisi na uwezo unao kuzidi wanaume na pia hakuna jipya wanachoweza kuleta zaidi ya kuibia Watanzania. Mama nakutakia maisha marefu.
Kaburdi soma Baba hicho kitabu kinaukweli mtupu najua kuna wengine kinawachoma hapo😂😂😂
Jitafakari wewe hapo ulipo je Kuna nafasi yeyote ambayo utajilinganisha na marehemu Edward Sokoine? Je unakumbuka maneno yako kabla hujapewa cheo? Sasa hiyo itawatafuna
Edward Moringe Sokoine mwanawatanzania lala salama baba sudi Yako Bado inaishi.
Ukweli ndio huo NYERERE alihusika na kifo cha sokeine. Wacha kigugumizi wewe. Weka sawa.
Kabudi very smart uanasheria wake unamsaidia kukwepa mambo 😅😅😅, hataki kuambiwa si ulisoma pale, someni
Hivi vitabu vya viongozi viwe vinatumika hasa sekondari na vyuo vikuu kwenye uchambuzi na pia italeta Chachu ya wasomi wengi kupata maarifa ya uongozi na uzalendo.
Prof ana uwezo mkubwa wa kujieleza na kuelezea, lakini ukekelezaji kivitendo hapo ana kigugumizi kikubwa Sana, pamoja na yote bado CCM Wana fumbia macho matatizo ya utekaji na ukaji wanmeweka pamba masikioni hii ni AIBU kwa Chama kongwe kutotoka hadharani na kuelezea ukweli.
Tengeneza.njia.ya.ukombozi.ccm.inameza.mambo.enzi.zazama.inaleta.ukabila.rushwa.upendele9.maovo.yapewamkipumbe
tungekuwa tunakubaluana na mawazo yangu wewe unataliwa kuwa rais wa jamhuri ya tanzania
🇹🇿🇹🇿💕🙏
This is an interesting narrative to twist and walk close to the Maasai,after serious injuries on their land and livelihood by the government of the land.
Uchaguz utakuwa mgumu sana
Sawa Prof kabudi
Pro uko vizuri kusimulia..
Tutaulainisha
19:40 sio appendix..ni appendicitis
Interesting story
5:24
Mama tunakupenda sana usihofu na kelele za wapinzani wewe ni raisi na uwezo unao kuzidi wanaume na pia hakuna jipya wanachoweza kuleta zaidi ya kuibia Watanzania. Mama nakutakia maisha marefu.