PROF. KABUDI AFICHUA 'SIRI', RAIS SAMIA AKISIKILIZA 'WALITEKA NDEGE, JARIBIO LAKUIPINDUA SERIKALI'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 20

  • @jizzomonster
    @jizzomonster 2 часа назад +4

    Kaburdi soma Baba hicho kitabu kinaukweli mtupu najua kuna wengine kinawachoma hapo😂😂😂

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 Час назад +1

    Jitafakari wewe hapo ulipo je Kuna nafasi yeyote ambayo utajilinganisha na marehemu Edward Sokoine? Je unakumbuka maneno yako kabla hujapewa cheo? Sasa hiyo itawatafuna

  • @OmariGamuya-dz2oo
    @OmariGamuya-dz2oo 2 часа назад +1

    Edward Moringe Sokoine mwanawatanzania lala salama baba sudi Yako Bado inaishi.

  • @mundhirsaid1250
    @mundhirsaid1250 Час назад

    Ukweli ndio huo NYERERE alihusika na kifo cha sokeine. Wacha kigugumizi wewe. Weka sawa.

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 39 минут назад

    Kabudi very smart uanasheria wake unamsaidia kukwepa mambo 😅😅😅, hataki kuambiwa si ulisoma pale, someni

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Час назад

    Hivi vitabu vya viongozi viwe vinatumika hasa sekondari na vyuo vikuu kwenye uchambuzi na pia italeta Chachu ya wasomi wengi kupata maarifa ya uongozi na uzalendo.

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 2 часа назад

    Prof ana uwezo mkubwa wa kujieleza na kuelezea, lakini ukekelezaji kivitendo hapo ana kigugumizi kikubwa Sana, pamoja na yote bado CCM Wana fumbia macho matatizo ya utekaji na ukaji wanmeweka pamba masikioni hii ni AIBU kwa Chama kongwe kutotoka hadharani na kuelezea ukweli.

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 часа назад

    Tengeneza.njia.ya.ukombozi.ccm.inameza.mambo.enzi.zazama.inaleta.ukabila.rushwa.upendele9.maovo.yapewamkipumbe

  • @JovinMwakalebela
    @JovinMwakalebela 19 минут назад

    tungekuwa tunakubaluana na mawazo yangu wewe unataliwa kuwa rais wa jamhuri ya tanzania

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 45 минут назад +1

    🇹🇿🇹🇿💕🙏

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 2 часа назад

    This is an interesting narrative to twist and walk close to the Maasai,after serious injuries on their land and livelihood by the government of the land.

  • @JackJack-oi2io
    @JackJack-oi2io 3 часа назад

    Uchaguz utakuwa mgumu sana

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 2 часа назад

    Sawa Prof kabudi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 часа назад +2

    Pro uko vizuri kusimulia..

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 2 часа назад

    Tutaulainisha

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 часа назад

    19:40 sio appendix..ni appendicitis

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 Час назад

    Interesting story

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 часа назад

    5:24

  • @FelixMbore-wq7ho
    @FelixMbore-wq7ho 3 часа назад +1

    Mama tunakupenda sana usihofu na kelele za wapinzani wewe ni raisi na uwezo unao kuzidi wanaume na pia hakuna jipya wanachoweza kuleta zaidi ya kuibia Watanzania. Mama nakutakia maisha marefu.