Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июл 2019
  • Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
    Waziri wa Katiba na sheria Prof. Palamagamba Kabudi leo katika makabidhiano ya pesa pamoja na madini ambayo yaliibiwa Tanzania na Kukamatwa Kenya amesema Tanzania na Kenya ni ndugu akabisa hivyo tuendelee kudumisha upendo na mshikamano...
    Pia ametoa shukrani kwa Rais wa kenya Uhuru Kenyatta kwa kuamua kurejesha mali za Tanzania , hivyo amefanya maamuzi mazuri na anastahili kuwa mfano wa kuigwa , na amelipa jambo hili uzito mkubwa sana..
    Kabudi ametoa rai kwa wananchi wote wa Kenya na Tanzania kutokuwa wahalifu na kuzilinda mali za nchi zote mbili kwa umakini wa hali ya juu..
    #MAWAZIRI
    ruclips.net/user/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Insta

Комментарии • 269

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 4 года назад +149

    I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 4 года назад +82

    Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 4 года назад +52

    Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 4 года назад +53

    Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana

    • @ezm
      @ezm 4 года назад +2

      Kweli Kabisa.

  • @petermartin7181
    @petermartin7181 4 года назад +21

    Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 4 года назад +24

    Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 4 года назад +45

    Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa.
    Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno.
    Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro .
    Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 4 года назад +1

      Jumbe Ojaso amen

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 4 года назад

      @@MsAggie5 .AMEEN

    • @sapduke8691
      @sapduke8691 4 года назад +1

      Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)

    • @williamlumbasia7110
      @williamlumbasia7110 4 года назад

      Ameen!

    • @lennyalega1559
      @lennyalega1559 3 года назад

      Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 4 года назад +32

    Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.

  • @abdallahhassan6055
    @abdallahhassan6055 4 года назад +91

    Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 4 года назад +1

      Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!

    • @ambrosemilinga1395
      @ambrosemilinga1395 3 года назад

      (99999999999)99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999)999999999999999999999999999999999999))9999999999999999999999999999999999)99999)9999999)99999999999999999999999999999999999999999

    • @deusrobert1343
      @deusrobert1343 3 года назад

      @@andreajeremia436 wambie

    • @devotawaitara2333
      @devotawaitara2333 3 года назад

      Ananivutia huyu baba, Yuko vizuri

  • @husseinnkenja8149
    @husseinnkenja8149 4 года назад +24

    Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 4 года назад +53

    Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana

    • @abdulatifmoxamed8047
      @abdulatifmoxamed8047 4 года назад +2

      Absolutely

    • @kiatu
      @kiatu 4 года назад +1

      4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him

  • @isayamwidete6420
    @isayamwidete6420 4 года назад +23

    The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕

  • @maryjohn8785
    @maryjohn8785 4 года назад +24

    Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪

  • @kahibiraphael2902
    @kahibiraphael2902 4 года назад +28

    your brain is so smart Prof Kabudi

  • @kingj9346
    @kingj9346 4 года назад +22

    I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region

  • @allykivike7228
    @allykivike7228 4 года назад +47

    Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.

    • @prospermakela7791
      @prospermakela7791 4 года назад +2

      Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 4 года назад +1

      Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.

  • @Kushpoll
    @Kushpoll 4 года назад +57

    Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.

    • @lennyalega1559
      @lennyalega1559 3 года назад +2

      Remember when he talked of magniloquence?

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 4 года назад +27

    Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 4 года назад +51

    Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P
    Magufuli.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 4 года назад

      Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu

  • @science_fact93
    @science_fact93 4 года назад +30

    This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 4 года назад +75

    Watu wanakula lecture kwa ikulu.
    Take notes......
    Free academic input.

  • @djatm1319
    @djatm1319 4 года назад +56

    Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya

  • @josephinemitamba3399
    @josephinemitamba3399 4 года назад +16

    Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja

  • @clementkithinji7091
    @clementkithinji7091 4 года назад +17

    Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 года назад +40

    sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake

  • @ntibanahum8113
    @ntibanahum8113 4 года назад +5

    Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania

  • @omarykaita43
    @omarykaita43 4 года назад +13

    Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.

  • @robertmwakavi1266
    @robertmwakavi1266 4 года назад +4

    This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.

  • @fediruben5009
    @fediruben5009 4 года назад +10

    Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 4 года назад +23

    My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli

  • @athumanomary1171
    @athumanomary1171 4 года назад +19

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 4 года назад +21

    Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.

  • @shaffimwakz1413
    @shaffimwakz1413 4 года назад +6

    This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand

  • @jamhuricity
    @jamhuricity 4 года назад +2

    Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 года назад +10

    Kabudi safii upo makini sanaaa

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад +9

    Profesaaa!!! I do appreciate you.

  • @TheB920
    @TheB920 4 года назад +8

    Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔

  • @remmychuma1313
    @remmychuma1313 4 года назад +11

    It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.

  • @nichkakumbi7657
    @nichkakumbi7657 4 года назад +10

    Kabudi uko vzr uncle..

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 4 года назад +17

    I always lean some when Prof. Kabudi chant
    One love Itinualy

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 года назад +29

    Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.

  • @johnjaphet9548
    @johnjaphet9548 4 года назад +15

    HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA

  • @masanjemuyenjwa2434
    @masanjemuyenjwa2434 4 года назад +4

    u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 года назад

    Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu.
    Asante kwa historia hii.
    Tku!!!

  • @williamray7751
    @williamray7751 3 года назад +2

    Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌

  • @jeremymakokha4797
    @jeremymakokha4797 4 года назад +2

    Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254

  • @lucieserero7475
    @lucieserero7475 4 года назад +1

    I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌

  • @Djaiicool2012
    @Djaiicool2012 4 года назад +8

    Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.

  • @davidmatoka5203
    @davidmatoka5203 4 года назад +1

    Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 4 года назад +10

    When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi

  • @shadrackkwemoi5604
    @shadrackkwemoi5604 4 года назад

    Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua

  • @hipu755
    @hipu755 4 года назад +3

    This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.

  • @davidgithiomi4021
    @davidgithiomi4021 4 года назад +1

    I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 4 года назад +10

    Tunazidi kujifunza mengi ya kale

  • @williamlumbasia7110
    @williamlumbasia7110 4 года назад +3

    Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up

  • @AliMvingira-ls2vm
    @AliMvingira-ls2vm Год назад

    Mungu akutangulie mzee wangu

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 4 года назад +1

    Indeed you are professor kabudi

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 4 года назад +1

    Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera

  • @robertkipkoech008
    @robertkipkoech008 4 года назад +2

    He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 4 года назад

    Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.

  • @moudymchemia6598
    @moudymchemia6598 4 года назад

    Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya

  • @adeltusbashara9720
    @adeltusbashara9720 4 года назад +18

    Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!

    • @boniphacetabu2903
      @boniphacetabu2903 4 года назад +1

      Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 3 года назад

    Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻

  • @muhamoha5038
    @muhamoha5038 4 года назад

    It's a joy always to listen to this great man talking

  • @johnzephania8549
    @johnzephania8549 4 года назад +3

    historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад +4

    Profesa Kabudi!!!

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed2880 4 года назад

    genius and intelgent man prof kabudi

  • @rasnjogu
    @rasnjogu 4 года назад +2

    I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.

  • @oslominiconcerts3538
    @oslominiconcerts3538 4 года назад

    Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region.
    Hongera mtoto wa kasisi.

  • @issamsomba7219
    @issamsomba7219 4 года назад +3

    big up

  • @wbabu6155
    @wbabu6155 4 года назад

    Prof Kabudi, what a great speech!

  • @okothdido3827
    @okothdido3827 4 года назад +1

    Great man. Kenyans honour you

  • @TheMrisho
    @TheMrisho 4 года назад

    Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.

  • @salvatorykipyoka1567
    @salvatorykipyoka1567 4 года назад +4

    Kweli huu ubongo ni dunia aisee

  • @sallykalya9023
    @sallykalya9023 4 года назад +5

    Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪

    • @kingnicky2568
      @kingnicky2568 3 года назад

      Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂

  • @jacksonzakayo6759
    @jacksonzakayo6759 4 года назад +6

    Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.

  • @josephkiliko7114
    @josephkiliko7114 4 года назад +1

    Tanzania tumebarikiwa kuwa na viongozi mahiri sana Mungu awatunze msogeze taifa ili mbele

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 3 года назад

    Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu

  • @samjohn583
    @samjohn583 4 года назад +1

    Pround to be East Africana.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 4 года назад +1

    We kabudi ni prof Ur real ticha

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 9 месяцев назад

    Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania

  • @robertngwagala5939
    @robertngwagala5939 Год назад

    Namkubali sana hyu mwmba

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 4 года назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂 Unaijua mipaka na historia vzr

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 4 года назад +30

    Ila huyu mgogo anamiss kufundiasha hebu mpeni kipindi awe anaingia class UDSM siku moja moja...

    • @amanichanga3448
      @amanichanga3448 4 года назад +2

      Mbona alishawah kuwa mwalimu hapo, amemfundisha hadi lisu

    • @muktarmashukura950
      @muktarmashukura950 4 года назад +1

      Anvyojiamini nilijua bukoba moja

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      @@muktarmashukura950 hahahaaaaaaaa, wahaya ndio wanaojiamini

    • @michaeljoseph6967
      @michaeljoseph6967 4 года назад +1

      @@amanichanga3448 wakati kabudi anakuja kufundisha ud lissu kashamaliza kitambo.kifupi lissu hajafundishwa na kabudi,lissu amefundishwa na prof Issa Shivji.
      Kabudi wanafunzi wake wakina dr Tulia na akina Halima Mdee.

    • @epafrangweshemi4014
      @epafrangweshemi4014 4 года назад +1

      Sasa kufundisha UDSM na kutoa haya kwa taifa zima ipi faida zaidi?

  • @franopybest3107
    @franopybest3107 4 года назад +2

    This guy shouldn't have left teaching at the university...that was a big loss to academia.though I see him becoming the next president of tanzania

  • @alexfrancis2278
    @alexfrancis2278 4 года назад

    Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo

  • @samuelotura5883
    @samuelotura5883 4 года назад +1

    I compare this man just with Amollo Raila,I wish we have this like person in Kenya

  • @cosmasmapesa
    @cosmasmapesa 4 года назад

    Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa

  • @kipkemoiisaac5326
    @kipkemoiisaac5326 4 года назад +1

    Who's this guy. Brilliance galore

  • @jamesohayo5329
    @jamesohayo5329 4 года назад +1

    This man IS brilliant.

  • @juliusmutungi4163
    @juliusmutungi4163 4 года назад +1

    Sasa nimehangria clips cha magufuli kwa utube .na nimependa sana vile anasaindia wanjonge. Kumalisha shinda chao hapo hapo huyu ndie raisi anatakikana kwa inchi cha kiafrica ..asantee na mungu amusindie

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 3 года назад

    Good History very Interestive

  • @schoolboy1614
    @schoolboy1614 4 года назад

    Prof. Kabudi respect kwako

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 4 года назад +7

    Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania

  • @MJ-ye7dd
    @MJ-ye7dd 4 года назад

    Nilimpenda huyo Prof Kabudi bure tu🌷

  • @davidmatoka5203
    @davidmatoka5203 4 года назад +1

    Please make trips to Kenya, educate kenyan ministers to stop tribalism and corruption

  • @nellynzau421
    @nellynzau421 4 года назад +1

    Mie Mkenya, Hotuba za Prof. Huwa na ujasiri

  • @josephkinyanjui8399
    @josephkinyanjui8399 4 года назад

    Very smart man...

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 4 года назад +3

    KATIKA MAWAZIRI NINAOJIVUNIA KUWANAO KATIKA AWAMU HII YA TANO CHINI YA JEMEDARI DR. J PM. KABUDI NI MMOJA WAO

  • @samgesaka4203
    @samgesaka4203 4 года назад +1

    Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm